MSWAHILI : KIJIJI KIZIMA KINACHOUZA GONGO HUKO ZANZIBAR/ UBAYA UBAYA NA WANALALA KWA RAHA ZAO

  Рет қаралды 67,457

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 192
@onlyjesus7831
@onlyjesus7831 3 жыл бұрын
Zembwela hujawai kukosea kipindi cha uswahili kipo vema sana Nimeanza kukujuà nikiwa mdogo sana hadi leo unafanya vitu kwenye ubora saaana👏👏✊✊
@rasjamal9854
@rasjamal9854 3 жыл бұрын
Zembwela hiki pindi Very Deep big up brother kimbiza mbaya ❤️👊
@ramadhanminani314
@ramadhanminani314 3 жыл бұрын
hongera babu, hongera wasafi kwakuangaziya maswala kama haya yanayo ilenga jami moja kwamoja napenda sana kipindi hiki kinaelimisha kinafanya tuyafahamu maisha halisi yauswailini
@hassanimussa5776
@hassanimussa5776 3 жыл бұрын
Tanzania nchi ya Amani Sana.Hakika mungu ameibariki Sana Sana sanaa
@sk-wj9or
@sk-wj9or 3 жыл бұрын
Namzimia sana huyu mtangazaji. Down to earth. Sijui kwanini sikumjua zamani!!! Natamani siku nikija bongo nimuone japo nimshike mkono kumsallim.
@twariqzungu5001
@twariqzungu5001 3 жыл бұрын
Dah kitaa changu lofo mti roho sharap San wanangu like w raisi wa mti roho abui ghalib ✌️
@officialteeh1213
@officialteeh1213 3 жыл бұрын
😂😂😂panya kaloa majina hatari huku kwetu salute you zembwela chocho kwa chocho ukituletea habari za kwetu watching from Dubai
@oparetionmaalum9030
@oparetionmaalum9030 3 жыл бұрын
Mzee mpishi apo naona mazingira yako sio safi na ukicheki panachakula subhannallah
@kidjhdf7568
@kidjhdf7568 3 жыл бұрын
Zembwela hizi ndio kazi zake mashallah had raha
@ngokaomary5123
@ngokaomary5123 3 жыл бұрын
Uswahilini kuna vituko .. watching you guy's from madinat khalifa 🇧🇭 Qatar
@ramadhangona9085
@ramadhangona9085 3 жыл бұрын
Vidze Babu
@ngokaomary5123
@ngokaomary5123 3 жыл бұрын
@@ramadhangona9085 mautu ni nthe'nthee
@ommynations.9157
@ommynations.9157 3 жыл бұрын
@@ngokaomary5123 uswazi
@likeothers2498
@likeothers2498 3 жыл бұрын
hahha nakwambia hatare
@likeothers2498
@likeothers2498 3 жыл бұрын
tupo qatar
@carolmuchiri9921
@carolmuchiri9921 3 жыл бұрын
Uswahilini Kuna raha kwa kweri, Huku Ugaibuni hatupati Maisha kama hayo, Watu wapenda na Umoja 👌🤗♥️🇰🇪🇹🇿
@ericktanzanite4907
@ericktanzanite4907 3 жыл бұрын
Hongereni sana Wasafi Media kwa kazi nzuri hasa ya kugusa jamii moja kwa moja
@dr.madevualcantara4775
@dr.madevualcantara4775 3 жыл бұрын
Home sweet home..from..Buhamour Qatar 🇶🇦💪
@shamimushittindi1418
@shamimushittindi1418 3 жыл бұрын
Nimecheka
@fatmamatuma4073
@fatmamatuma4073 3 жыл бұрын
Mkataa kwao mtumwa
@MahmoudMohamed-ct8no
@MahmoudMohamed-ct8no 3 жыл бұрын
Nyumbani ni nyumbani tu Zanzibar raha Wewe zembwela kula maji mpaka ukwamwe ndio unywee 😂😂😂😂😂
@sanisani5266
@sanisani5266 3 жыл бұрын
😂😂😂Umenionga mara ngapi khaaa
@rozina2161
@rozina2161 Жыл бұрын
Diamond yafaa amuongeze mshahara huyu zembwela hiiki kipindi anakipatia sana much love from kenya🇰🇪🇰🇪
@hamedmohammed8912
@hamedmohammed8912 3 жыл бұрын
Dah uo mtaa mungu ausaidie mana kila unaemuangalia hayupo kawaida
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free 3 жыл бұрын
Daaah,nimecheka😜😜😜
@hamisaally1286
@hamisaally1286 3 жыл бұрын
Mtihani wallah
@aryfaryfinho2164
@aryfaryfinho2164 3 жыл бұрын
Mbona tupo kawaida ila tu kuna baadhi ya Maeneo na sifa ya jangombe wenyew kwa wenyew hatukabani ila mgeni dah mtaa uwo sio p hatariii
@davicekombe9021
@davicekombe9021 3 жыл бұрын
Hichi kipindi nina kipenda sana WASAFI congratulations 👏👏😅
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
Yaani sitamani nikikosee
@ismailmzee4223
@ismailmzee4223 3 жыл бұрын
Wasafii 🚀🚀
@ivaniavianarodrigo7201
@ivaniavianarodrigo7201 3 жыл бұрын
hongera zembwela
@dulabori9922
@dulabori9922 3 жыл бұрын
Kweli Wapemba tupo tofauti sana na wezetu wa kisiwa cha pili kijiji kizima kinauza pombe, duh mtihani kweli
@stn4873
@stn4873 2 жыл бұрын
Hahahaha Unawakataa wazenji wenzio🤣🤣🤣🤣😍
@user-xh7vw4kk7o
@user-xh7vw4kk7o 3 жыл бұрын
Zebwela mzee wetu huchoki kumbuni mashaallah
@julianajacksoni4275
@julianajacksoni4275 3 жыл бұрын
Nampenda zembwela.. Yan kavu Sana.. Mswahili aswaaa.. Aina ya vipindi hivi always unavifanya poa
@maumaulid1452
@maumaulid1452 3 жыл бұрын
Daah wasafi mpo juu sana
@kidjhdf7568
@kidjhdf7568 3 жыл бұрын
Hii jambuzi mateja hadi wazee subhanallah
@jumanesaidi7635
@jumanesaidi7635 2 жыл бұрын
Kila habari ya Mswahili, lazima iendane na kula !
@jebellwallace3509
@jebellwallace3509 11 ай бұрын
Well kudhibiti unga zanzibar inawezekana bila ya shaka,MH.rais mwinyi tangaza tenda watu hatuna ajira huku.
@MrNdanguza
@MrNdanguza 3 жыл бұрын
Aisee napenda lafudhi yakizenji mwana kaingia pabaya ,unga sio .
@ommietrendz7175
@ommietrendz7175 3 жыл бұрын
Gongo sio chai dk 22:50 😁😁 Z: umeapata shilling ngapi? M: ah hiyo Siri yangu rasta Z: nyumbani umeacha kiasi gani? M: tsh 25000 Z: gongo unaenda na ngapi? M: tsh 12000 😂😂😂😂 jumla kapata 37000 huyo
@allydaud612
@allydaud612 3 жыл бұрын
Q
@chisaid3999
@chisaid3999 3 жыл бұрын
😀😀
@frankcharles3881
@frankcharles3881 3 жыл бұрын
Yan Panya anataman Zembwera aruhusu Gongo na bhangi 😄😄😄😄
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
Frank hahaha nimechekaaa
@361NEWS
@361NEWS 2 жыл бұрын
😂😂😂
@sampachino5184
@sampachino5184 3 жыл бұрын
Kipindi kizuri sana endeleeni kuelewesha jamii 🔥🔥🔥🤲🏻🤲🏻🤲🏻
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 жыл бұрын
Zembwela rudi tena apo mpendae uje ukutane na sheha ambae ni mwenyekiti wa mtaa huu
@chesadennis254
@chesadennis254 3 жыл бұрын
Zembwela nakukubali sana tangu enzi za Uswazi. With love frm Nairobi. Wasafi noma sana.
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Жыл бұрын
Zembwela unamaliza ugali wa Wamasera,lipa hapo 👍👍👍👍👍❤❤❤
@abaone4288
@abaone4288 3 жыл бұрын
Jitihada zitumike sana kunusuru hizi hali Zanzibar ni moja ya vivutio vikubwa sana vya utalii
@ibrahimjuma4806
@ibrahimjuma4806 3 жыл бұрын
May God change your lives for better
@rajabuomy487
@rajabuomy487 3 жыл бұрын
Waswahili.
@ramshboy6218
@ramshboy6218 3 жыл бұрын
Mze baba yani mpaka unamaliza kipindi umesha shiba 😅😅😅camera man anabaki anaend miayo tu 🤣🤣🤣
@ramadhanomar5152
@ramadhanomar5152 3 жыл бұрын
Kumbe pia wewe umeona🤣🤣🤣🤣
@malikzafarani172
@malikzafarani172 3 жыл бұрын
Hongera zembwela
@stn4873
@stn4873 2 жыл бұрын
17:37 Ebu nyamaza🤣🤣🤣🤣
@dennischeyo1302
@dennischeyo1302 3 жыл бұрын
Daaah mitaa ambayo nilikuwa nahishi hapo Mtoto kutoka green City Mbeya Tz 🇹🇿
@kadulathumani7517
@kadulathumani7517 3 жыл бұрын
Real life mitaani na umasikini. Serikali ijitahidi ajira na elimu zenye maana. Yawezekana Kipindi cha maana sana mitaani. Na enjoy jinsi ya Kiswahili chenyewe.
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 Жыл бұрын
Kiswahili kitamu..
@husseinchea5524
@husseinchea5524 3 жыл бұрын
Njoo mitaa ya Mombasa uje ujionee watoto wa kiswahili walivyoharibika kwa unga yaani inasikitisha kwa kweli😭
@Wasafi_Media
@Wasafi_Media 3 жыл бұрын
Ahsante Sana ... Tunaomba Kuwasiliana na wewe kwa ajili ya Kuja Kutengeneza Kipindi cha #Mswahili - Tutafute Kupitia namba hii hapa - 0658996473
@aryfaryfinho2164
@aryfaryfinho2164 3 жыл бұрын
Wasafi naombeni mfike na kuna mtaa unaitwa kwahani au miembeni au mboriborini ni mitaa ya uswazi na inajulikana kwa umafia ukiacha na jangombe
@seifsalim9270
@seifsalim9270 3 жыл бұрын
zembwela mitaa ipo imepinda kishenxi miembeni na mboriborini
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
@@aryfaryfinho2164 kwahani maghorofa yetu hakuna mambo ayo ya kiswahili bro 🤣
@kinyikaog7267
@kinyikaog7267 3 жыл бұрын
Daaa maisha aya safi sana ya doneeeee
@pius1359
@pius1359 3 жыл бұрын
Panya Kaloa... Upo Baridi Saaana Mwanangu... Ume kaa ki TEMEKE kabisa...
@azikamujulius3530
@azikamujulius3530 2 жыл бұрын
Mwenye dini zao jamani gongo Tena 😳🤣🤣🤣
@hanifaamani3363
@hanifaamani3363 2 жыл бұрын
Ya Rabbi tulindie vizazi vyetu ya Allah.
@rajabuomy487
@rajabuomy487 3 жыл бұрын
Pwani asema ukwame. Bara asema ukabwe
@deeruta9894
@deeruta9894 3 жыл бұрын
Doh!!! Huyu jamaa mkali wao yani popote yy anacheza mechi akiona msosi yupo na taharifa juu hahahahahaha
@hamedmohammed8912
@hamedmohammed8912 3 жыл бұрын
Uyo mama aliejifungua mwenywe anaonkn mkabaji
@kiehbhzh7044
@kiehbhzh7044 3 жыл бұрын
duh mtangazaju mroho
@deeruta9894
@deeruta9894 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 hii kali eti wanawake wajangombe wanaoga!!!😂😂😂😂
@stellah3844
@stellah3844 3 жыл бұрын
Wapili leo like zang jaman
@king-rr8oc
@king-rr8oc 3 жыл бұрын
Zewbelela km zewbela kitambo sanaa uswaz daaah bongo nyosoo
@josej9888
@josej9888 3 жыл бұрын
Alipo tupo #mswahili
@bensonjulius5413
@bensonjulius5413 3 жыл бұрын
Wa like zangu
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 3 жыл бұрын
Hahaha daah uswahili kuna vituko sana
@masscake3872
@masscake3872 3 жыл бұрын
Watatu hapa ♌
@walidsultan7486
@walidsultan7486 3 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@idarous09
@idarous09 3 жыл бұрын
naona ndani ya maeneo ya malaga apo bar
@abdallahamad4682
@abdallahamad4682 3 жыл бұрын
Pambee shogaa... karudi baada ya mda mfupi yumajiii😄😅🤣🤣
@bashiryusuf9670
@bashiryusuf9670 3 жыл бұрын
Pombe haramu jee ipi pombe halali ?hamna pombe halali zote ni pombe haramu
@ibrahimjuma4806
@ibrahimjuma4806 3 жыл бұрын
Mimi nimezaliwa Malindi-Nimehama Unguja 1967 kendal Kusoma Barahindi. Zamani sisi vijana tukicheza futuboli Mnazi Moja. Ninasikita sana kuona hali ya vijana wa unguja siku hizi Leo usiku baada Sala ya Isha nitaomba kwa mzemungu Insha Allah Maisha Ya Vijana wa Unguja ya badilike
@upendomapile1234
@upendomapile1234 3 жыл бұрын
Penda wasafi
@samclassic7613
@samclassic7613 3 жыл бұрын
Pindi zuri sana hili
@mariamabdullah489
@mariamabdullah489 3 жыл бұрын
mama anahonga sana daaa
@stn4873
@stn4873 2 жыл бұрын
Huyo Panya Kaloa🙌🏾
@khadijaa815
@khadijaa815 3 жыл бұрын
Aibu
@mudathirmohd9721
@mudathirmohd9721 3 жыл бұрын
Aslam alaikum sizani km iyo Mana ya jangombe ipo sw
@jordanjordan3935
@jordanjordan3935 3 жыл бұрын
Thamani anayo sana tu, anahitaji tu msaada tu anahitaji
@princebabu6977
@princebabu6977 3 жыл бұрын
Kwetu Zanzibar raha sana
@TheSalma1999
@TheSalma1999 3 жыл бұрын
Anasema hana thamani anathamani mbele ya Mungu mpelekeni kwenye clinic ya kuacha kuvuta madawa
@ashurahamisi8577
@ashurahamisi8577 3 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@twocounrieslady7165
@twocounrieslady7165 3 жыл бұрын
Huyu mama anaekula embe hilo dera na kitenge alivyo vaa utadhani amevifua na maji ya kunde uuuufff.
@safiaimran4432
@safiaimran4432 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@jorgettemwajuma5428
@jorgettemwajuma5428 3 жыл бұрын
Nakubali ichi kipindi kweli
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 3 жыл бұрын
Kweli jangombe imerud kama zamani.
@rahimaan6481
@rahimaan6481 3 жыл бұрын
Hahaha panya karowa yy anahongwa 🤣🤣🤣
@hashimuyasini5905
@hashimuyasini5905 3 жыл бұрын
Safi sana 🔥 🔥 👏
@dullysaid9785
@dullysaid9785 2 жыл бұрын
Nyumba ulokaa na panya karowa ungeingiaa ndani duuh unga mtuu
@walidsultan7486
@walidsultan7486 3 жыл бұрын
Hakuna maji mpaka ukabwe 😂😂😂
@chidymngoni4516
@chidymngoni4516 3 жыл бұрын
Wasafi 🔥🔥
@salumshakespeare
@salumshakespeare 3 жыл бұрын
Panya karoa daaah 😂😂😂
@abdumarrash6337
@abdumarrash6337 3 жыл бұрын
hahahaha, panya karoa
@feiz3180
@feiz3180 3 жыл бұрын
Huyo dada 24.10 ameulizawa habari ya gongo mtaani akajibu hawana lakufanya . Yaani, hapo mtaani kuna mashehe na malwatan , wao hawana la kufanya. Hakika nimesikitika sana kuwa imefika muda ndugu zetu wanakata tamaa. Na makosa yapo wapi?.
@zahorsalum663
@zahorsalum663 3 жыл бұрын
Hahahaha jamanii huu mtaa noma sn.
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
Panya kaloa bwana eti gongo yake mwisho ya buku tu ya buku 5 atakufa
@mosucc1269
@mosucc1269 3 жыл бұрын
Sema zembwela unapenda kula hahahaha
@feifei9620
@feifei9620 3 жыл бұрын
Compton
@alikarisa
@alikarisa 3 жыл бұрын
Wake waongaji Waume Hadi raha
@alitunu3086
@alitunu3086 2 жыл бұрын
Ali kimbunga😳😳😳
@adijaniyonkuru9731
@adijaniyonkuru9731 3 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@idarous09
@idarous09 3 жыл бұрын
home sweet home muembe madafu
@jumakalukule5312
@jumakalukule5312 3 жыл бұрын
Kweli zembwela umefufua tena uswazi bg p
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
Hahaha Kalaisa bwana eti unauza pambe, lakutachiio haaha wahuni sio watu
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 3 жыл бұрын
Jang'ombe kweli hii🤣🤣🤣
@mabroukiddy2245
@mabroukiddy2245 2 жыл бұрын
Aseee kweli ugali wa sikanka ni mtamu balaa
@mbotwambotwa2186
@mbotwambotwa2186 2 жыл бұрын
Ameongea ukweli sana wanakamatwa wanwaji wauzaji wanahonga🤣🤣🤣🤣
@mamachris6811
@mamachris6811 3 жыл бұрын
Zembwela hujachangia ugali 😄😄😄😄
@ireneassey753
@ireneassey753 3 жыл бұрын
Yani uku matusi asee mtoto ana miak 2 anatukana matusi Yanguon ata wazaz awashuhulik ndokwanz wanafurahi atar
@mariammariam1812
@mariammariam1812 3 жыл бұрын
Babu mroho uyu😀😀😀😀😁
@fetychina3273
@fetychina3273 3 жыл бұрын
😀😀😀
@aswimjuomaly6415
@aswimjuomaly6415 3 жыл бұрын
Cha elf 5 nitauwawa
@mioszpiotrowski1467
@mioszpiotrowski1467 3 жыл бұрын
Lakini kwakweli kazi unayofanya wakuengezee mshahara unapambana sana yaani nnakukubalikaka
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 17 МЛН
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 44 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 10 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #memes
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 7 МЛН
JACKSON WAKIZAZI KIPYA - MKIMBIZI COMEDY
22:04
Jackson Wakizazi Kipya
Рет қаралды 32 М.
😇 or 🔥 ? #shorts
0:43
A4
Рет қаралды 6 МЛН
@juanchinbrodie #comedia #humor #juffec #felipecharry #amigos
0:15
Felipe Charry
Рет қаралды 19 МЛН
THE FLOOR IS LAVA 🌋🔥! Blippi Watch Out! #blippi #shorts
0:55
Blippi - Educational Videos for Kids
Рет қаралды 19 МЛН
Они так быстро убрались!
1:00
Аришнев
Рет қаралды 2,3 МЛН