EXCLUSIVE: JAKAYA KIKWETE / MAISHA Baada ya URAIS / BIASHARA BINAFSI / AFUNGUKA MENGI | GOOD MORNING

  Рет қаралды 16,345

Wasafi Media

Wasafi Media

Ай бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 41
@YusufLubangula-yn6tq
@YusufLubangula-yn6tq 17 күн бұрын
Mstaafu KIKWETE Bado tunakupenda sana Mwenyezi MUNGU Akuzidishie umri👍
@sunyareh
@sunyareh 3 күн бұрын
Samia Suluhu kamuuwa magufuli nimeona mpaka alivyo muuuwa, na Raisi kuondoka hapa haondoki mpaka aafe Raisi wa maisha ni Samia suluhu, Zainabu Laila.
@nivesmapunda694
@nivesmapunda694 Ай бұрын
Mmmmm mh.Rais mstaafu tunakukumbuka sana hasa sisi watumishi wa umma. Mungu akujalie maisha marefu!
@ShadowScreamStudio
@ShadowScreamStudio Ай бұрын
Jakaya ..always happier May Lord bless you mzee
@ramadhanijuma4130
@ramadhanijuma4130 Ай бұрын
Safi sana interview inamafunzo mazuri
@jee9473
@jee9473 24 күн бұрын
Kufanya mahojiano na mtu kwenye televisheni ukiwa umevaa miwani ya jua kunaweza kuonekana kama ni kutokuwa na weledi ama kuwa kinyume cha maadili katika uandishi wa habari.
@jumambaga7825
@jumambaga7825 Ай бұрын
Yani pale kazungumza kwa hekma sana mzee anajua hapa kuna wahuni washagawana kiwanja lakn sasa najua ninamamlaka ya kuwajibisha ila ngoja nitumie busara niende kwangu kujenga dahh lini huyu mzee tutaonana kuvuna busara zake😂🔥👍🏾
@yohanamaiga3031
@yohanamaiga3031 Ай бұрын
Asante sana Rais Mstaafu Kikwete.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 Ай бұрын
mnatakiwa muje na interview kuhusu afya kwa ujumla..huyu nasikia kuna vyakula hali na vingine anakula. alafu mazoezi anafanya sana..itasaidia hata watu wazima na vijana kuskia hekma yake. alafu watu wanajumlisha zaidi na kuishi maisha ya utauwa kumuita Mungu sana kila siku
@jumambaga7825
@jumambaga7825 Ай бұрын
Big brain kikwete huyu mzee anamafira mapana sana busara na hekma mungu ampe maisha marefu🤝🔥👍🏾
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 Ай бұрын
Hongera sana wa SA Fi Kwa interview yenye akili,💪💪💪
@user-fr7jj1bo7y
@user-fr7jj1bo7y Ай бұрын
Kikwete is trying hard to rewrite history alikuwa Rais wa ovyo sana watu waliiba mali za umma wanavyotaka na yeye mwenyewe alituibia kupitia safari za nje zisizo na tija tofauti na Baba Magufuli hakuwahi kwenda ulaya na maendeleo tuliyaona
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 Ай бұрын
@@user-fr7jj1bo7y Sasa wewe ulikuwa wapi nawe si ungeba😲
@user-fr7jj1bo7y
@user-fr7jj1bo7y Ай бұрын
Kikwete is trying hard to rewrite history alikuwa Rais wa ovyo sana watu waliiba mali za umma wanavyotaka na yeye mwenyewe alituibia kupitia safari za nje zisizo na tija tofauti na Baba Magufuli hakuwahi kwenda ulaya na maendeleo tuliyaona
@sunyareh
@sunyareh 3 күн бұрын
Ni mchawi na ameenda Nigeria uchawi huu mkubwa ni wa Samia suluhu Hasan, Samia ni jina la mtoto wa Rafiki yangu mama yake anaitwa Juma,e, na Hasan ya baba yake ni jina la baba mmoja amefia UK na Korona, Suluhu itskuwa ya mtu mwingine hapa Tz. Na amesema anataka nyota yangu hawezii chukuwa mpaka nife ndiyo achukukuwe anataka kuuwa watoto wangu Kila siku.
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 26 күн бұрын
❤❤❤❤❤jakayaaa
@sunyareh
@sunyareh 3 күн бұрын
Samia Suluhu anaitwa Zainabu na jina lake la pili anaitwa Laila
@ndonjelaurent3182
@ndonjelaurent3182 Ай бұрын
Mh Jakaya Mrisho Kikwete una akili kubwa sana
@RogersMasamalo
@RogersMasamalo Ай бұрын
Watanzania hata ufanye kazi vp mazuri hawayaoni..mimi ni Kati ya watu ambao nilipenda kazi na uongozi na mabadiliko sekta ya biashara ya mitandao.
@shadrackmijjinga9793
@shadrackmijjinga9793 Ай бұрын
Mh.Rais ukimwangalia nikama hazeeki ila umri inaongezeka ..soon atakuwa na 74yrs kweli kala chumvi nyingi last time nilibahatika kukaa meza kuu Moja pamoja nae pale Mlimani during Udsm marathon 2023 ..hakika Bado Mzee JK ana nguvu zakutosha.🙏
@JosefuSwai
@JosefuSwai 4 күн бұрын
Raisi Bora kuwahi kutokea tz
@sunyareh
@sunyareh 3 күн бұрын
Sanura siyo mama yake Diamond anamroga Diamond amenitoga Mimi vbaya sana,Mimi Zara Farah, na juwa Sanura vuzuri alitoka korogwe, kamuuwa mama yake Diamond na Baba yake, na ameniuliya wazazi wangu wote , na mpaka Sasa ananiandama na mchawi wa Diamond ni Sanura peke yake, Sanura anaitwa Mwantumu.
@phaustinemmao424
@phaustinemmao424 Ай бұрын
Msoga
@jofreykivambe6520
@jofreykivambe6520 Ай бұрын
JK mara ya mwisho tumeonana wakati wa maziko ya aliekuwa Waziri wa Fedha Mgimwa.....
@RogersMasamalo
@RogersMasamalo Ай бұрын
Watanzania hata ufanye mazuri vipi,wanaangalia mabaya tu Mungu anawaona jamani.
@JosefuSwai
@JosefuSwai 4 күн бұрын
Tulikula na kusaza aawaumu ya nne
@More_Tv111
@More_Tv111 Ай бұрын
Rais wetu mpendwa
@huldamichael4445
@huldamichael4445 Ай бұрын
Shati zuri nyie,dah
@bonintajiri3958
@bonintajiri3958 Ай бұрын
Mungu akubariki kiozi wetu
@jofreykivambe6520
@jofreykivambe6520 Ай бұрын
Anazeeka JK... usiseme hazeeki, anaazeeka mtu wetu
@matipukaAthumani
@matipukaAthumani 25 күн бұрын
Rais bora kuwahi kutoa Tz
@saidkajagale3716
@saidkajagale3716 Ай бұрын
Tutunze afya ni mtaji
@michaelmaziku991
@michaelmaziku991 Ай бұрын
Rais akasema hawa watu siwawez kwl uongoz kaz wale wenye D mbili tumemuelew mzee wa Msoga inabid tujiffunze namna ya kupata viongozi wazalendo kwl kwl hasa wale wapenda maendeleo ya watu wa chini lkn sio viongoz kama hawa ambao nachukulia raisi raisi tu vitu vya muhim kwenye jamii nzima sio kwa maslahi ya wachache
@EliaoleshengEa-pv8fu
@EliaoleshengEa-pv8fu Ай бұрын
Mimi sijui maana ya d mbili sjasoma nisaidie kk
@gaudencekalyalya8721
@gaudencekalyalya8721 24 күн бұрын
My greatest , tough President , Mungu aendelee kukupa afya njema , nakukubali sana!
KUSTAAFU ANZA MAPEMA USISUBIRI MUDA UFIKE
5:01
Wasafi Media
Рет қаралды 2,8 М.
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 11 МЛН
KIPINDI MAALUM CHA SIMULIZI ZA IKULU
32:35
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 47 М.
Salama Na JK Ep 48| MSOGA UNO PART 1
28:27
YahStoneTown
Рет қаралды 550 М.
Why UK 🇬🇧 is going Bankrupt? : Detailed Economic Case Study
20:37
#cat #shorts Rescue Adorable Kittens
0:50
Shohel Is Back
Рет қаралды 27 МЛН
Хитрая ГОРНИЧНАЯ вернула ДОМ матери 😱 #shorts
0:57
Лаборатория Разрушителя
Рет қаралды 2,7 МЛН
Neden yüzünü saklıyor
0:19
H. DANIŞIK
Рет қаралды 35 МЛН
Waka Waka 💦💃😁 #funnyshorts #rianashow
0:14
RianaShow
Рет қаралды 19 МЛН