Mstaafu KIKWETE Bado tunakupenda sana Mwenyezi MUNGU Akuzidishie umri👍
@sunyareh3 күн бұрын
Samia Suluhu kamuuwa magufuli nimeona mpaka alivyo muuuwa, na Raisi kuondoka hapa haondoki mpaka aafe Raisi wa maisha ni Samia suluhu, Zainabu Laila.
@nivesmapunda694Ай бұрын
Mmmmm mh.Rais mstaafu tunakukumbuka sana hasa sisi watumishi wa umma. Mungu akujalie maisha marefu!
@ShadowScreamStudioАй бұрын
Jakaya ..always happier May Lord bless you mzee
@ramadhanijuma4130Ай бұрын
Safi sana interview inamafunzo mazuri
@jee947324 күн бұрын
Kufanya mahojiano na mtu kwenye televisheni ukiwa umevaa miwani ya jua kunaweza kuonekana kama ni kutokuwa na weledi ama kuwa kinyume cha maadili katika uandishi wa habari.
@jumambaga7825Ай бұрын
Yani pale kazungumza kwa hekma sana mzee anajua hapa kuna wahuni washagawana kiwanja lakn sasa najua ninamamlaka ya kuwajibisha ila ngoja nitumie busara niende kwangu kujenga dahh lini huyu mzee tutaonana kuvuna busara zake😂🔥👍🏾
@yohanamaiga3031Ай бұрын
Asante sana Rais Mstaafu Kikwete.
@jedidahbintidaudi8241Ай бұрын
mnatakiwa muje na interview kuhusu afya kwa ujumla..huyu nasikia kuna vyakula hali na vingine anakula. alafu mazoezi anafanya sana..itasaidia hata watu wazima na vijana kuskia hekma yake. alafu watu wanajumlisha zaidi na kuishi maisha ya utauwa kumuita Mungu sana kila siku
@jumambaga7825Ай бұрын
Big brain kikwete huyu mzee anamafira mapana sana busara na hekma mungu ampe maisha marefu🤝🔥👍🏾
@aediayumgo8546Ай бұрын
Hongera sana wa SA Fi Kwa interview yenye akili,💪💪💪
@user-fr7jj1bo7yАй бұрын
Kikwete is trying hard to rewrite history alikuwa Rais wa ovyo sana watu waliiba mali za umma wanavyotaka na yeye mwenyewe alituibia kupitia safari za nje zisizo na tija tofauti na Baba Magufuli hakuwahi kwenda ulaya na maendeleo tuliyaona
@aediayumgo8546Ай бұрын
@@user-fr7jj1bo7y Sasa wewe ulikuwa wapi nawe si ungeba😲
@user-fr7jj1bo7yАй бұрын
Kikwete is trying hard to rewrite history alikuwa Rais wa ovyo sana watu waliiba mali za umma wanavyotaka na yeye mwenyewe alituibia kupitia safari za nje zisizo na tija tofauti na Baba Magufuli hakuwahi kwenda ulaya na maendeleo tuliyaona
@sunyareh3 күн бұрын
Ni mchawi na ameenda Nigeria uchawi huu mkubwa ni wa Samia suluhu Hasan, Samia ni jina la mtoto wa Rafiki yangu mama yake anaitwa Juma,e, na Hasan ya baba yake ni jina la baba mmoja amefia UK na Korona, Suluhu itskuwa ya mtu mwingine hapa Tz. Na amesema anataka nyota yangu hawezii chukuwa mpaka nife ndiyo achukukuwe anataka kuuwa watoto wangu Kila siku.
@user-pu6pr5jt4n26 күн бұрын
❤❤❤❤❤jakayaaa
@sunyareh3 күн бұрын
Samia Suluhu anaitwa Zainabu na jina lake la pili anaitwa Laila
@ndonjelaurent3182Ай бұрын
Mh Jakaya Mrisho Kikwete una akili kubwa sana
@RogersMasamaloАй бұрын
Watanzania hata ufanye kazi vp mazuri hawayaoni..mimi ni Kati ya watu ambao nilipenda kazi na uongozi na mabadiliko sekta ya biashara ya mitandao.
@shadrackmijjinga9793Ай бұрын
Mh.Rais ukimwangalia nikama hazeeki ila umri inaongezeka ..soon atakuwa na 74yrs kweli kala chumvi nyingi last time nilibahatika kukaa meza kuu Moja pamoja nae pale Mlimani during Udsm marathon 2023 ..hakika Bado Mzee JK ana nguvu zakutosha.🙏
@JosefuSwai4 күн бұрын
Raisi Bora kuwahi kutokea tz
@sunyareh3 күн бұрын
Sanura siyo mama yake Diamond anamroga Diamond amenitoga Mimi vbaya sana,Mimi Zara Farah, na juwa Sanura vuzuri alitoka korogwe, kamuuwa mama yake Diamond na Baba yake, na ameniuliya wazazi wangu wote , na mpaka Sasa ananiandama na mchawi wa Diamond ni Sanura peke yake, Sanura anaitwa Mwantumu.
@phaustinemmao424Ай бұрын
Msoga
@jofreykivambe6520Ай бұрын
JK mara ya mwisho tumeonana wakati wa maziko ya aliekuwa Waziri wa Fedha Mgimwa.....
@RogersMasamaloАй бұрын
Watanzania hata ufanye mazuri vipi,wanaangalia mabaya tu Mungu anawaona jamani.
@JosefuSwai4 күн бұрын
Tulikula na kusaza aawaumu ya nne
@More_Tv111Ай бұрын
Rais wetu mpendwa
@huldamichael4445Ай бұрын
Shati zuri nyie,dah
@bonintajiri3958Ай бұрын
Mungu akubariki kiozi wetu
@jofreykivambe6520Ай бұрын
Anazeeka JK... usiseme hazeeki, anaazeeka mtu wetu
@matipukaAthumani25 күн бұрын
Rais bora kuwahi kutoa Tz
@saidkajagale3716Ай бұрын
Tutunze afya ni mtaji
@michaelmaziku991Ай бұрын
Rais akasema hawa watu siwawez kwl uongoz kaz wale wenye D mbili tumemuelew mzee wa Msoga inabid tujiffunze namna ya kupata viongozi wazalendo kwl kwl hasa wale wapenda maendeleo ya watu wa chini lkn sio viongoz kama hawa ambao nachukulia raisi raisi tu vitu vya muhim kwenye jamii nzima sio kwa maslahi ya wachache
@EliaoleshengEa-pv8fuАй бұрын
Mimi sijui maana ya d mbili sjasoma nisaidie kk
@gaudencekalyalya872124 күн бұрын
My greatest , tough President , Mungu aendelee kukupa afya njema , nakukubali sana!