Huyu kijana anaongea kweli....kabisa lakini yote tisa 10 anaelimisha sana ,hayo mambo niya kweli ktk dunia hii tunayoishi,, uamuzi wa maisha yako yaweje utajua wewe,,,yeye anachoongelea ni elimu dunia,mimi binafsi nimejifunza kitu.
@dseven70942 ай бұрын
umeongea point kk
@MichaelMusafiri-bn8rb7 күн бұрын
Alhamdulilahi kwakuwa mweslam, kwasa babu tuna ilmu kuhusu dini Na majini Na bublia pia!!!
@omarbinjaa28012 ай бұрын
Jini yoyote hawezi kukufanyia chochote ila mpaka umuasi Allah na lengo lake mukutane makaoni jahannam( motoni)
@HamzaMakobanice2 ай бұрын
Swadakta
@SaidKondo-rw8wb3 ай бұрын
Huyu nae anamatatizo,Hana tofauti na sule ,wanapromoti ushirikina,sio msomi wa dini huyu jamaaa ,labda aseme nae ni mganga
@user-ht8po7un8p2 ай бұрын
Sio aseme ni mganga
@DavidMapunda-ge6ff2 ай бұрын
Huo ndio uislamu tatizo Waislamu wengi hawaijui dini yao, kazi ubishi waki senge tu,. Hawa dini Wana ijua kuliko nyie mbwa mnao wabishia
@SaidKondo-rw8wb2 ай бұрын
@@DavidMapunda-ge6ff yaani wee mbwa Mla nguruwe ndio ujue dini yetu sisi waislam ambao tunalelewa nayo na kufundiswa,wee kunguni hapa mjini,tusikilize sisi wenye jambo letu ,utapigwa nje ndani.huyo ni mchawi bwana mdogo utaibiwa
@mwinyiabdallah43832 ай бұрын
@@DavidMapunda-ge6ffwe pimbi mbwa na nguruwe umewaacha nyumbani kwenu huko unaleta uchoko hapa kenge we
@HassanJaphari-rx7jy2 ай бұрын
@@DavidMapunda-ge6ffwe mjinga nenda kausome kwanza Uislamu acha kukurupuka. Uyo jamaa kaamua kukufuru kama alivosema m/mungu ndani ya Quran kwamba imma tushukuru au tukufuru kutokana na neema alizotuneemesha.
@samxx4113 ай бұрын
Muislamu hamshirikishi Mwenyezi Mungu ila baadhi ya watu wanatumia dini kama kivuli katika kumshirikisha Allah..Pete ukiivaa urembo inafaa zaidi ya hapo ni ushirikina na unashirikisha Allah..
@ramadhanimmana38293 ай бұрын
Umaskini bye bye kumbe very simple hivi nimechelewa kweli 😂😂 hata iwe kufunga mwez Frsh tu 😊😊😅
@juliashashimu27982 ай бұрын
Ukipata nikumbuke 😂😂😂😂😂😂
@NkunzimanaKevin-ck7lv2 ай бұрын
😂😂😂😂
@Putin3312 ай бұрын
Bongo touch na huyo azzazaziru unayemhoji watu mnafirwa❤au mnafirana
@kennedymokeha63752 ай бұрын
😂😂
@YusufuMusaniАй бұрын
Nimekufata
@Putin3312 ай бұрын
Huyo unayemuhoji azaazir mdg 😅😂
@English-SomaliTranslationHub2 ай бұрын
Wakristo wanadhani mtu akona kanzu maumini
@almasmkoko15912 ай бұрын
Hao wanatoa mafundisho mwenye hiyari anaweza kwenda au asiende kwa sababu mwenyezi mungu ameumba binadamu na majini wote tumuabudu yeye tu
Nasaha kwenu mnaohojiwa, na elimu mnayotoa, Litafakarini LENGO la mahojiano haya na elimu hiyo n Nini hasa Kwa mustakabali wa dini ya kiislam na Kwa wasikilizaji Kwa ujumla!, YAEPUKENI HAYA
@faridaAli-td1fo3 ай бұрын
Jina pls kwa utub
@user-hw7ce8gf6v2 ай бұрын
Huyu jamaa tapeli mkubwa sana sana Anajifanya anajuwa dawa ya kunenepesha uume kumbe muongo sana sana
@Abu-Hamza2542 ай бұрын
Mfano uyo vala itwa Dotto Magari🇰🇪
@calendecalende92892 ай бұрын
naomba no ya simu shekhe
@joseaugust28053 ай бұрын
Ila sio mbaya nyie akina Azazel na samyaza mnawaita ni majini , ila sisi wakristo hao wote ni malaika waasi (fallen angel).
@pharmkiksi74633 ай бұрын
Azazel sio malaika, yeye ni mmoja wa kundi la iblis, kwenye dini ya kislamu ilo ni jina la iblis..... Hahusiki kabisa na malaika,
@joseaugust28053 ай бұрын
@@pharmkiksi7463 Kwa mujibu ya dini yenu ni sawa alikuwa jini, ila Kwa mujibu wa ukristo alikuwa malaika muasi
@DhaharaniJongo-gt2un2 ай бұрын
Hakuna malaika ambaye anamuasi mungu
@joseaugust28052 ай бұрын
@@DhaharaniJongo-gt2un kwa mujibu wa uislam ni sawa , ila kwa mujibu wa ukristo kuna malaika baadhi waliasi
@RahimaJames2 ай бұрын
Hauna tofaut na mwamposa😂 mnatumia jina la Allah kufanya ushilikina
@RusiaSalehe2 ай бұрын
unamtusi Ahu nawewe umo ? hongea ukweli baba
@SelemaniAbuu-nm3sx2 ай бұрын
Namba zako dokter
@kilogreekachananawatuwasio40542 ай бұрын
SHEIKH WANGU SIMU KIWEKA KIFUANI APO KISAYANSI UNIJIUMIZA KIAFYA
@Wamoyothenumberone2 ай бұрын
Ushilikina ndo asili yetu binadam,hizo dini wazungu walituletea
@NkurunzizaKevin-vs5lk2 ай бұрын
Huyu kaka namuombea neema naheri y'a muumbaji wa arzi na mbingu.usemi naujuzi anao inaonekana niyayake hafurahiye kumpoteza muumba.basi hekima na ufunuo wakweli naomba umpate
@ayubutwalbu65942 ай бұрын
Jamaa muongo Sana kakilemu kwenye vitabu vya Babu haji Hana lolote kasoma vitabu vya Babu haji ukimskiliza Hana jipya
@RachaelMchanda2 ай бұрын
Sasa mnamkataza n kitabu cha majini wanacho waislam mwataka akasome wapi, kwa bibilia😢😢😢😢😢 ?, hatuna hizo vitu sisi hatushirikiani n majiji yashindwe katika jina kuu la yesu😂😂😂😂😂😂😂
@wharang-hg2yx2 ай бұрын
Hujui unachoongea ww uelewa mbele itikadj zako baadae huyu anaelezea namna mambo hayo yalivyo solo kwamba wa2 wafanye afu wee n kama mpuuz2 kwanza hiyo biblia n kitabu cja nano unavyofikiaria ni nani kaandika yesu kashuka uarabun kwann wanaoipromote hiyo biblia n wazungu tena wao ndo waandike hiyo biblia afu kila kitabu kimejitaja katafute kama biblia imeandikwa katika ktabu crochet n hakuna alas soma iyo Bible yote uielew soyo unapiga 2mistar 2wili tu3 afu unapiga makelel etuislam ndo unafuga majin
@SaidiBakari-kl1gu2 ай бұрын
Hizo mada mnajidhalilisha na mnadhalilisha uislamu. .
@user-xz8mm5kt5m2 ай бұрын
Wanajianika tu wenyewe, ukimsikiliza vizuri yeye mwenyewe anakwambia ili jini akufanyie jambo lake ni lazima utimize masharti yake ambayo ni kumkufuru Allah. In a simple language, anakiri kuwa yeye mwenyewe amemkufuru Allah.
@user-jc8jo2po9g2 ай бұрын
Hazalilishi mtu Wala usilaam Bali elewa kua nielimu kubwa anayotoa Bali akili kichwani mwako Ila ukubali haha Mambo yapo pia Tina ipo na uchawi upo
Ushirikian umejifich sana na huyu pia ameingia katika hiyo fitna yakufru
@georgenjeri85473 ай бұрын
😂😂😂😂 No Comment,,,!!
@abulfidaamedia2 ай бұрын
UPUUZI MTUPU TU.. WEWE KAMA NI MUISLAM WA KWELI HUWEZI KUMSIKILIZA HUYU MSHIRIKINA.
@BoniphaceKisokola3 ай бұрын
Ongera shee kwa elimu yako tupe namba zako
@shenjamamzingi79503 ай бұрын
WALE WALE
@IvanBenjamin-fy9lg2 ай бұрын
We azazili sio jin n malaika aliasii [ the watcher] na amepewa azabu n mungo kupitia malaika Gabriel na amefungiwa jangwa lenye giza mpaka kiama
@kipchorngwonektiroto457Ай бұрын
Mapete je? Yeye anavaa pete ya kichawi!!
@bushbabytz2 ай бұрын
Sara wa Diamond si alisema Diamond anapendaga kulala ghafla ie usingizi...mmmh mbona sheikh kama naanza kusadiki maneno yako😂
@AboubacarcastingKassim2 ай бұрын
Naomba namba ya cm shekhe
@joemeika30202 ай бұрын
hatarii
@KhamisMohammed-vr4hz2 ай бұрын
Nilikuw naomb no ya uyo shekh
@almasmkoko15912 ай бұрын
Kwa nn huwa tuna swali sunat haja na nimudagani unatakiwa kuswali
@abdulmgassa78482 ай бұрын
Asalam hivi mbona unamohoji huyu kijana kwanza Hana elimu yeyote ya sini nakushauri wewe muliza maswali tafuta watu wemye kujua dini sio wangamga kama Hawa kwa huyo azazel anaye mtaja anamjua huyu elimu za kuambiwa huyu sindio alikuwa anasema Sule vibaya Sasa anaongea nini alafu acha kufatuta waru kama wewe mtangazaji upo Sawa huyo ana elimu bali amekariri acha kuhoji kama kama na hiyo sio dini
@taichi53703 ай бұрын
'Satanic Verses '😂😂😂😂😂
@KhamisMohammed-vr4hz2 ай бұрын
Shekh nilikuw naomb namb ya please
@nubianqueen67003 ай бұрын
Mtu yeyote anaye shirikiana na ma jini, ila kwa "wema" au maovu nimshirikina. Nabi suleiman peke yake ndo aliyemuomba mwenyezi mungu ampe uwezo wa kumiliki ma jini na akamwambia Mungu asimpe yeyote baada yake. Quran 88:35 Kueni makini waislam, msije mkamshirikisha Allah.
@tahiyasaidi65323 ай бұрын
Washirikiana Hawa hamna shekh humu.....Hawa ni washirikina....khassa
@Wamoyothenumberone2 ай бұрын
Aachauoongo😂😂
@thebroski97632 ай бұрын
Anaitwa nan? Tafadhali
@neemakassan65383 ай бұрын
😮mwenyewe naomba zake naomba maana kataja haraka hataka
@ramadhanimmana38293 ай бұрын
Kumekucha sas 😊😊😊😂
@user-hy9pp5rp9i2 ай бұрын
😂😂😂😂 nenda ukatapeliwe😂😂😂
@user-zk3ql9th2c3 ай бұрын
Hawa watu wanatuchanganya mungu tu ndie mlizi wetu jini bila ya mungu hana uwezo
@DavidMatata3 ай бұрын
Pumbavu !!
@Itsblackghost3 ай бұрын
Huyu jamaa kanyooka kunavitu anaongea anawabyoosha waongo😁 ila usikazi kul chm ich
@allahisone63863 ай бұрын
😮😮
@SebitAbubakar-iy8ve2 ай бұрын
Ni elimu ya Quran ama ni elimu ya kishirikina.
@FridayKyanndo2 ай бұрын
Sheikh No:yako tafadhali
@ismailysaidy8842 ай бұрын
wee nan kakwambia huy ni shee
@allymohd58552 ай бұрын
Uislam ni dini ya kwl ila wanatumiw kuchafua uwislam ila uwislam ni dini ya haki dunian kataa usikatae ila uwislam ni dini yakwl na allah ndie mungu mweny ila njaa mbay san daaa
@PaulinaJohn-ox5hl2 ай бұрын
Wewe unapotea uwislamu ni ushirikina mtupu
@PaulinaJohn-ox5hl2 ай бұрын
Auwez kukupeleka popote ila yesu kristo ndio njia pekee ya kwenda mbinguni
@athumanally84933 ай бұрын
Namba ya huyu maalim tafadhali
@Hussein-gx4qu3 ай бұрын
huyu tapeli jinga wewe
@youngtomuller-vh2pu2 ай бұрын
É verdade irmao mesmo eu tou asofrer muito mal as vezes fico nervoso sem querer e também às vezes faço algo derepente parece alguém mi mandou irmao eu preciso da sua ajuda para poder aprender muitas coisas por favor🙏
@LatifaMusa-dy3id2 ай бұрын
Huyu Kaka ukiachana na hayo mambo yake anayo yafahamu alivyo tu anafaa kuwa mume
@nimefikaulipo2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@YusufSwaibu3 ай бұрын
Yesu Si Mungu
@josephwilliam58133 ай бұрын
Sawa
@andrewmhagama98163 ай бұрын
Lakini ndio bingwa wa majini yoote mnayoyaabudu break yao ni Yesu Kristo pekeee Nyinyi kukurukeni lakini kutokana na maandiko matakatifu wote Nyinyi jehanamu ya moto inawasubili. Sisi tuna lala kama wafalme kwa kutumia huyo huyo ambae unamwita sio Mungu ndio anatulinda sisi.No uchawi Nguvu za giza wala majini ya aina yoyote.Mumefungwa ufahamu kwa maana Nyinyi ni wa upande wa pili yaani wa ibilisi mungu wa waovu.
Bas ucpanic Sheikh Naona ushakua Star ⭐ Mganga mkuu
@aminasalum-yh4fh3 ай бұрын
TUNAOMBA TUWEKEE JINA LAKE LA UTUBE
@zulekhaa68173 ай бұрын
Usimguate mshirikina huyo, dini haijafundisha hivyo. Sio tiba hiyo ila ni uchawi
@aminasalum-yh4fh3 ай бұрын
@@zulekhaa6817 ASANTE
@user-ie3lw9eb6p3 ай бұрын
Tapeli mkubwa yeye na huyo suleiman wake wanata gisi wataibiya watu pesa
@betinvestment32043 ай бұрын
Tutafute elimu hata kama ipo umbali wa China ila tu tusimshirikishe mwenyezi mungu
@christianmwabukusi83662 ай бұрын
Kwa nini mnampinga? Mbona wakriato wakisemwa mnashabikia kasoro? Acha yasemwe yote
@HamzaMakobanice2 ай бұрын
Yesu sio mungu kwa mujibu wa maandiko 8:40 yohana.wapi uislam umehalalisha ushirikina?
@abdulmgassa78482 ай бұрын
Yani wewe unawapigia ramli wazi kabisa alafu unamsema shekh Sule vibaya huyu kijana ukimtaxama akili Hana uongo mtupu
@samuellubunga17283 ай бұрын
Njooni kwa Yesu akunaga mambo ya hivyo
@fahadrashid97543 ай бұрын
Na msalaba uko wap
@hamismohamed35413 ай бұрын
Ww ni fala nani aje sehemu mnasema Kuna mungu watatu
@zulekhaa68173 ай бұрын
Yesu ni mtu, na huyo msemaji pia ni mtu, sisi tumuamini Allah ambae ni Mungu sio mtu.
@samuellubunga17283 ай бұрын
Elimu gani hapo mnafundishwa Kama si uchawi yote hayo ni shirki tu Utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na haki yake hayo mengine mtazidishiwa Ombeni lolote kwa jina langu nami nitalitenda hayo ndo maneno ya Bwana Yesu Kumbukeni Mungu ndie mtoa riski
@samxx4113 ай бұрын
hiyo misalaba ipo wapi msikitini au??? washirikina wapo katika waislam na nyie ndo wote
@BarreMushi-yz4wt2 ай бұрын
Huyu ustadh anaitwa Nani na mawasiliano yake napataje
@emaneman78992 ай бұрын
Namjua A to Z yuko vizuri sana alishawahi kutufundisha elimu ila kwa sasa yupo Yemen namba zake ninazo
@user-zk3ql9th2c3 ай бұрын
Hv jamani huyo mganga anapewa nguvu na nani km sio mungu
@mwawekomiuda97793 ай бұрын
Shetani ndio anampa nguvu ni jini sio M'mungu
@user-jh1vr1vt2k2 ай бұрын
Miye naamini Allah pekee yes ninani kam yeye ni mungu mbon alikufa duniya ilibaki nanani wakilistu acheni kuzarau dini za we zenu mungu ndoajuaye walio sahihi na wasiyo sahihi
@zulekhaa68173 ай бұрын
Hiyo sio tiba ila ni uchawi. Usidanganye watu. Mche Allah. Namuomba Allah atuongoze sote.