Kesho Miele ya Allah kutatanda 😢😢😢😢😢😢 na jasho, Ya rab nisamehe mimi na unionize ktk kheri na uongoze ulimwengu mzima.
@ramadhaninchimbi8807Ай бұрын
Huyu jamaa ni mshirikina...Tanbih kwa waowafuata hawa jamaa kwaajili ya tiba,,wajue wanawaendea washirikina wanaojificha ktk kivuli cha dini
@awadhrajabu14032 ай бұрын
Ukimsikiliza Uyu Ostazi Maneno Yake Yamejaa Elimu Kubwa Sana Sijajua Kwa Watu Mnaomsema Mnawaza Nini Kichwani Maneno Yake Ziko Pointi Nyingi2 Moja Anasema Mtu Ukipata Pesa Kupitia Jini Ujue Wewe Unamuamini Jini Kuliko Mungu Na Yapo Maneno Mazuli2 Tuache Kusema Uchawi Uchawi Mimi Nachukia Sana Mashee Wale Kazi Yao Maubili Yao Wanawake Na Ngono Wanawake Na Ngono Mpaka Unawaza Inamana Kitabu Kinazungumza Ngono2
@abdulrauphaiy3032Ай бұрын
Naam.
@user-je7no7lq7dАй бұрын
exactly
@fredducauntАй бұрын
Hakuna cha elimu Wala nn Ushirikina tu Mwogopeni Mungu Achana na mapichapicha Jini ndo ushenzi gani acheni dini za uongo
@user-rt5vq5vc3k2 ай бұрын
Subuhanallah Allah tujalie mwisho mwema
@Onchieku-cp8wd2 ай бұрын
Uislamu ni miongoni mwa wachawi, washirikina na ushetani pia
dunia hii inamambo mengi sana mwenyezi mungu atunusuru mana kila mtu analake kwasababu moyo wa mtu ni msitu Allah atuongoze ktk kheri zake atuepushe na tamaa za maisha haya kumekua na mambo mengi mnoo yaarabi tunusuru yaarabi
@Matunzo_ClassicАй бұрын
1a
@AbdulMikidadi-sl9gx2 ай бұрын
Kuita jinn ni katika ushirikina ushahidi aya ya 6 suratul jinn na hadith ya mtume (s.a.w) alipomfunga sheytwan akakumbuka maneno ya nabii suleiman ('alayhi salaam) aliposema Allah (s.w) asimpe kiumbe yeyote uwezo aliopewa yeye wa kuamrisha majinn Hakuna wa kati na kati ktk kuleta rizk, Allah (s.w) haitaji pete kukuletea rizk wala jinn muogope mola wako rejea ktk manhaj sahihi ya ahlul athar wa sunna wa jama'a kutoka kwa ufahamu wa wema waliopita
@RamadhaniMsukuma2 ай бұрын
We😂 nawe hata haujui tofauti ya shwaitan na jini
@AbdulMikidadi-sl9gx2 ай бұрын
@@RamadhaniMsukuma tafauti yake nini?
@user-kn8pw7vk4e2 ай бұрын
Hadithi tu izo ...sifa za shetani hakuna wa kumfunga zaidi ya MWENYEZI MUNGU, funguka akili
@user-yv3qi1yf3jАй бұрын
Swadakta
@allyally51242 ай бұрын
Masheikh wa bongo njaa zinawasumbua sana.. Allah atawahuku.
@nundabe2 ай бұрын
Mimi na YESU wangu fresh, pengine panatisha…
@softymoha54842 ай бұрын
yeu hakuwa mkiristo. wala wakiristo hamufwati yesu wala mafundisho yake wala lolote alilolifanya yesu hamna mnalilifanya. kwa taarifa yako. yesu hakuwahi ingia kanisani, wala wakati wake hakukuwa na kabisaa sasa wewe unamffwata yesu yupi?
@AlfredZacharia-of3je2 ай бұрын
YESU ni kristo, na sisi niwakristo soma wagaratia 3:29. Na tunafuata mafundisho yake, kwanza tunaamini kuwa alikufa na kufufuka, tunabatizwa kama alivyowaamulu wanafunzi wake, matayo 28:19
@fredducauntАй бұрын
@@softymoha5484toka pepo
@abelwillium4286Ай бұрын
Kaka nimekuelewa vizuri Sana Ira mtangazaji hajakuelewa
@Ostica..Omie..junior2 ай бұрын
Wewe mtangazaji..ni mgombanishi sana..DR sule ajasema kuwa aiwezekani kumwita jinni..amesema kuwa inawezekana rakini inaitajika uwe na elimu ya kutosha ya kuongea na majini...ninekusawisha vizuri mtangazaji..ukiwa na elimu ya kutosha ya kuongea na majini..utakuwa nao uwezo wakuwaita
@abdallahmkali32512 ай бұрын
Mtangazaji amejikanyaga
@chunaabdullah13332 ай бұрын
Alafu anataka kujua kila kitu mtu ashasema ni siri yake lakini yy analazima ajue khaa
@FridayMwassa2 ай бұрын
Unamwita jini Kwaajili ya nini,nyie watu acheni uchawi, Muhammad hakuwa mtume wa Mungu na ndiyo maana hakuna mahali kwenye koran panaonyesha Mungu alisema naye kama alivyosema na wakina Musa, Yesu, Samuel au Daniel,mud ni muongo na ndiyo maana hata mafundisho yake yanachanganya sana
@hatibubalozi5922 ай бұрын
wewe mwehu huna akili@@FridayMwassa
@maciaali3698Ай бұрын
Mwamini Allah,hakuna mafundisho ya Pete katika Quran tukufu watanzania wacheni ushirikina
@rashidbusanya58432 ай бұрын
Allah kuongelea shiriki Kwa mara nyingi zaidi Tena Kwa uzito kunamaana sio Bure
@JamesMoses-jd1yq23 күн бұрын
Yaani huyu mwamba Muhammad ana nguvu nyingii za giza hadi kawafanya wafrika wakafata ujinga wake duh mungu tusaidie
@saadislam71818 күн бұрын
Namba ya simu dkt sulle tafadhali
@shamimnelly.80422 ай бұрын
Huyu ana ukweli fulani mimi najua na naelewa chenye anakiiongelelea
@vijanawapendakherfoundatio50692 ай бұрын
Umemuelewa kwasababu ya rugha lakini akuna kitu
@mohammedmasudi-dz6hb2 ай бұрын
SUBHAANA ALLAH SUBHAANA ALLAH YAARABBY TUONGOZE NAHAWA NDUGU ZETU KTK HAKI ZAIDI
@trophywilson72112 ай бұрын
Tunapata Maneno jinsi waislamu Wanavyoita Majini na Jinsi wanavyotajirika kupitia Majini
@ismailsoud36342 ай бұрын
Acheni uongo, kwa Mwenyezi Mungu hakuna siku mbaya, siku zote ni nzuri. Vinginevyo ni shirki. Na sio mnaita majini mnaita uchawi.
@LumolaSteven2 ай бұрын
Una ushahidi gani kusema siku zote ni nzuri? Siku ya ijumaa ni siku bora kuliko zote imetukuzwa na tumepewa umati Muhammad.
@ismailsoud36342 ай бұрын
@@LumolaSteven Siku zote ni nzuri, na Al jumaa ni nzuri zaidi Na ndiyo maana inawakutanisha waja pamoja..
@ismailsoud3634Ай бұрын
Kweli, ubora uliomo ndani sala ya al jumaa ni bora kuliko uhai wako. Ila watu hawajuwi. Njooni kwangu niwafafaulie sala ya al jumaa na siku yenyewe. Nipo Toangoma( al musabih ) na maswali yenu yoye najibu Mimi mfano kama waliopita. Allah ameniruzuku elimu toshelezi.
@jovinmancomedytz2 ай бұрын
Mungu akujalie kaka mi nimekuelewa sana sule anatuongopea sana etikunamajini wazuri nimekuelewasana kaka
@alianboori97342 ай бұрын
Mm pia namkubali
@user-yv3qi1yf3jАй бұрын
Wote washirikiina muislamu safi anamjua mungu pekee.
@ismailsoud3634Ай бұрын
Abdullah ni neno la kiarabu, pia ni jina Abdullah maana yake ( KUMTEGEMEA MWENYEZI MUNGU ) sasa wengine Wanategemea majini kinyume na Mwenyezi Mungu. Hili ni balaa.
@amyassyassin79092 ай бұрын
Wote waongo hawa, si ktk mafunzo ya Quran wala mafunzo ya Mtume salallahu alayhi wasalla. Majini wema wanaomtii Allaah hawaingii ktk vichwa vya watu wala hawashirikiani na wanaadamu.
@KassimAlly-xp4dz2 ай бұрын
Swadakta
@thabitimkufi73882 ай бұрын
Yaani hawa waganga kweli leo ndio wanaiharibu dini kiasi hiki
@FatmaayoubsuleymanSuleyman2 ай бұрын
(@@thabitimkufi7388
@8pistons1942 ай бұрын
Hakunaga shetani mwema acheni uzwa,wa
@FridayMwassa2 ай бұрын
Majini wema uliwaona wapi, mafundisho potofu ya Muhammad,
@omarmzaham7248Ай бұрын
!!Hii ni SHIRKI!! kwa muislamu yeyote anae soma labda hana uhakika hapa, tiba ya ruqya na shifaa yeyote inatoka kwenye Quran kwa idhini yake Allah(s.w.t) na RasullAllah(s.a.w) ame tu ongoza kwenye Sunnah zake zote na dini ime kamilika usi danganywe kwenye Bidaa,ingekua kweli haya mambo sijui nyusi za samaki sijui nini ..kutoka kwenye sahaba wa kizazi cha pili auTābiʿū al-Tābin ingekua hizi sunna zote ziko wazi kwa waumini...chunga imani yako na amali zako jitenge na kufur!...
@user-hi8le2vb7z2 ай бұрын
JAMAAA KASOMA HAYO MANENO SIO YA KUOTESHWA😊,,,NA NDIOMANA TUNAMSIKILIZA,,,OPTION NI 2 TU,,,KUBALI AU PUUZA,,,USIANZE KU CRITISAIZ WATU NA HUNA UNACHOKIJUA TULIA ELIMIKA.
@saidishekalaghe34962 ай бұрын
SWADAKTA
@mpodilesefu34372 ай бұрын
😂Ni kweli kabsaaaaah
@abubakarahyan95152 ай бұрын
Yye hyu anajita bin laden aah hwa wote matapeli wallah mungu shahid hta mm kanitapeli anatafuta umaarufu hana lolote Na ushahid ninao juu ya u tapeli wke asimponde mwenziwe, asitoe aibu ya mwenziwe wakt zak anazoo
@SuleimanMsechu2 ай бұрын
Ulikutapeli je tuambie
@vijanawapendakherfoundatio50692 ай бұрын
Watu wengi wamebabaishwa na lugha mkamuona huyu shekh apana ni shirki tu
@abuarifhassan63162 ай бұрын
Sikliza mpk mwisho amefafanua vizuri kabisa
@luqmanjafariАй бұрын
Hakuna chchte hapo
@mohammedrutta4989Ай бұрын
Inna shshriki ladhulmun a'dhwiim.Hii ndo dhambi kubwa kuliko dhambi yoyote kuweni makini na hayo mnayoeneza na muandae majibu mazuri kwa Allah s.w
@albertpike62082 ай бұрын
12:55 kitu chochote ukivaa kwa malengo ya kinga huo ni ushirikina hata ukiandika aya za quran alafu ukazitundika ukutani ama mlangoni alafu ukaamini ni kinga yako huo ni ushirikina
@jumaa0522 ай бұрын
Je upo Sawa kabisa usitoe hukumu Hali ya kua hujui hukumu ya jambo
@thabitimkufi73882 ай бұрын
Yaani hawa waganga dahh dini inaharibiwa jamanii
@user-pl8pn7qb9eАй бұрын
Hawa waganga wa kienyeji ndo wanao tuharibia dini ,ushirikina umewajaa
@sadikiissa77562 ай бұрын
Waislam tujizatiti ktk kusoma Tawhiid na kujifunza tiba ya Ruqya ya kisheria kwa jinsi Mtume S. A. W alivyofunza.
@jesusislord91902 ай бұрын
Bado ni uchawi na majini watakuja tu uislam na majini ni kitu kimoja
@jpmanotaofficial6392 ай бұрын
Mtume wako kajifunza kwa nani na yeye
@jesusislord91902 ай бұрын
@@jpmanotaofficial639 mtume gani?? Sijawahi kuwa na mtume mchawi
@mohamedmwatuwano55262 ай бұрын
Huyu jamaa anajichanganya. ALLAH ndio kila kitu, haya mengine ni utunzI na uzushi tu wa siku nyingi. Huyu jamaa ni kibaraka wa maandishi asiyo yaelewa vizuri. Muulize nani kaandika hivyo vitabu. Mwambie aende akasaidie wapalestina wasidhulumiwe na waisrael. Kama kweli elmu hiyo yawasaidia waarabu wangesumbuliwa na muamerika. Huo wote ni ulaghai. Kama kweli hio elmu yao na mapete yao yafanya kazi nawaruhusu waitumie kunidhuru mimi, wayatume kwangu majini mabaya sana wafanyie unyama watakavyo wao. Hawa watu wana elmu potoshi. ALLAHU AKBAR!
@fredducauntАй бұрын
@@jesusislord9190😂😂 washenzi hawa wananafasi yao peponi kuongopea watu na kupotosha watu sio bure
@rukaka_jr4514Ай бұрын
Sule anachakujifunza hapa, ule wa sule ni ushirikiana wa wazi na kakufuru mpaka sasa
@swahilitherapytv38462 ай бұрын
HIZI ZOTE NI ELIMU ZA SHIRIKI MSIMFUATE WAISLAM. WAMUACHE ALLAH HAWA MASHEIKH NI WA GANGA KAMA WANGA WENGINE
@alianboori97342 ай бұрын
Elmu zipo ila kuwa na mipaka yake
@thabitimkufi73882 ай бұрын
Sahihi
@SaeedMughayyar-jv8etАй бұрын
Kusoma hizi elimu sio shida madhali Allah ametuteremshia, ispo kua ni mbaya sana kiupande Fulani kama ukizojua Kuna asilimia kubwa sana ya kumuasi Allah. Binadam tumeumbiwa na tamaa
@JumaHamisi-qh3lo2 ай бұрын
Acheni kuusema uislamu kwa vibaya kwasababu ya haya maneno qur-ani na sunaa za mtume Muhammad swalla llahu alayhiwasallam hazjafundidha upuuzi 17:54 hio
Hakuna jini wakuleta pesa fanyeni kazi acheni kudanganya umati Muhammad
@issahajjiira54112 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@thabitimkufi73882 ай бұрын
Sahihi
@meckmussa18402 ай бұрын
Sahihi, Hawa wote ni wezi tu.
@alijuma6752 ай бұрын
Mmoja kaua kisha kapotea mkali wa tiktok
@salumuledisalum80382 ай бұрын
wote hawa ni wezi tu wapumbavu hawa
@hakizimanaselemani19952 ай бұрын
Mimi na fwatiya sana vipindi vyako : Ila naku hakikishia wote wana tumia ilimu ya Siri ambayo ki sheria yaki islam ni shirki aina ubish ndanimo , Allah pekee ndo mwenye kutowa utajiri na ku kadiria kila kitu , Allah ndo mlinzi , na akuna ushirika wowot saw bin’Adam n majin wot weny kumia ilumu y nyota wot nyuma yao kuna nguvu y jini hutumika nao yot ni ushirikina , haijalish alo sem ame vaa kanzu na kilemba au ni mwarabu au ni nani Ila dini yetu iko waz waz , ndoman mtume saw ame tumia miak mingi kuifundish tauhid, turizik n maish alo tukadiria … Allah uko shahid nime fikish
@hashimudizele35Ай бұрын
inakuwaje shekh ..... hahahah ndugu mwanadishi zingatia mazingira ya salamu
@joshuaandrew3862 ай бұрын
Namshukuru MUNGU kuwa mkristo Hakika nipo mahali salama na pa uhakika ni njia isiyo na shaka yoyote.
@Anuarmustafa41282 ай бұрын
Bado hunawa salama yesu anaenda kukukataeni mbele ya mungu
Wewe unasema kweli na hutaki unafiki, endelea kuweka wazi wengi wajue, mwenyezi Mungu atakukipa mema, achana na muongo dr Sule
@CKMOАй бұрын
Hii imekuwa Bishara ya uganga sasa wallahi j😢Jamani watangazaji acheni kutafuta waganga kwenye mitandao watu wote wenye tamaa fupi muwataingiza ktk ushirikina hii dunia imekuwa ya ushirikina tuu loooh mungu atuhifadhi
@fredducauntАй бұрын
Ukristu ndo dini ya kweli Duh nkajua mnaakili kumbe manyumbu tu Majini toka lini akawa integral part na Dini Upuuzi huu
@omarbinjaa28012 ай бұрын
Wengi hawa ni wachawi na washirikina watu wa Elimu za majini na nyota n pete
@swahilitherapytv38462 ай бұрын
Elimu ya nyota ni miongoni mwa elimu ya shiriki.
@halimamohamed48422 ай бұрын
Subhnallah Allah tujalie mwisho mwema😢😢
@kaundemtanga2 ай бұрын
Uyu kijana nilimjua mwaka 2021 anaitwaa sir Bin laden Nilimpata Kwa Bingo alinisahidia Sanaa kunitibia matatizo yangu uyu anajua haswaa Tiba SEMA umri wako ni mdogo
@gideonjohn89122 ай бұрын
Habari ndugu naomba namba zake ninamgonjwa labda anaweza nisaidia
@faudhiasaidi36692 ай бұрын
@@gideonjohn8912 Kachukua kwenye channel yake inaitwa firdausi
@hamisiiddi73402 ай бұрын
Tunaomba namba
@GoodDeeds-Jesus2 ай бұрын
Naomba kuwasiliana na wewe tafadhali nikwambie Habari za uponyaji kupitia Yesu Kristo kama hutojali @@gideonjohn8912
@mansoorsuleiman1645Ай бұрын
Acha uongo ndugu yangu kumbuka kuna kesho unaongea uongo tu na hata hufikirii hio elimu wenyew ya majini hujui acha kupotesha
@user-ih7nl5nv3c2 ай бұрын
Tuwasomeshe watoto wetu ttauhidi wasije kua waganga
@Zaharaamiri2 ай бұрын
Subhanallah Allah Akbar Nyie ni washirikina wakubwa sana Na mtaingia motoni milele Mnatuaibisha ss waisilam
Mtangazaji umemsingizia dr sule huyo shehe yupo right ila umemsingizia dr sule hawezi kusema jini haitwi
@shamimnelly.80422 ай бұрын
Huyu jamaa Ameongea vitu vya ndani saana tatizo watu kuambiwa ukweli ndio hawapendi
@chunaabdullah13332 ай бұрын
Kabisa, lakini Kuna watu kuelewa ndio shida
@rashidkapile2 ай бұрын
Wengi wavivu kusoma huyo dogo kasoma
@eliudieliya63942 ай бұрын
Huyu ostadhi anapatikana wap
@user-yd3me5rr2zАй бұрын
Huyu jamaa anaelmu kubwa sana
@azizabuyonde83682 ай бұрын
Yaaani jini anajuwa dini la kislamu, kanisani hatupandishi jini, sisi tuna Roho mtakatifu
@bare-gj2muАй бұрын
Da Hawa wakristo nao Hawana akili kabisa mwanaadamu anawezaje akawa mungu. Mtu amezaliwa anawzje kuw Mungu, jamani hii ni akili kwel ya Mt?
@muhsinkimaro4283Ай бұрын
Unajarib kukwepa maswal ya mwandish lkn uhalisia ww nk mshirikina live, pete unaisomea dua
@masoudjongoАй бұрын
Naisi huyu muandishi anaeye hoji ana kumbukumbu na anaowaoji unafarakanisha hapo
@ala1608Ай бұрын
Muthani kweli kweli mie nampenda sana sheikh Nurdin kishik havai pete kbsa 😢😢🤔🤔🤔
@SureBoy-o2tКүн бұрын
Kishki pia kipenz chang
@user-qw3fj1zw6pАй бұрын
Munguninuxuru nauyu hoxtdhi yukoxahihi
@EliaMwangobe2 ай бұрын
Ko hilo neno la kiarabu la kuitia majini linasemwaga kansani ???? Acha uongo mwamba umeyatimba
@user-qw3fj1zw6pАй бұрын
Mungu nijaariye mimi naummawako woote
@PascalKingunge2 ай бұрын
Acha aseme ukweli mtu WWE kisha shehe jabili Acha namba za simu watu wajalibu kuuliza maswali zaid kwako hongela Kwa kutoa ukweli😂😂
@abuudachi3986Ай бұрын
Huyo sheikh mwenyewe anang'ata maneno hajaweka wazi anavaa hiyo Pete kwa malengo gani anatakiwa afunguke kama anavyo funguka mwenzie Sule
@mwatumsaidi51042 ай бұрын
SubhanaAllah mtihani Allah atuepushe na shirki
@maciaali3698Ай бұрын
Hawa watanzani wote washirikina mtapata laana kutoka kwa Allah
@mops89052 ай бұрын
Mbwa kwel wewe mungu atakulahan kwa utapel wako
@ayasspashaa81192 ай бұрын
Jamanii kwanini. Unasema utapelii ??
@KelvinAgalla-kg9gl2 ай бұрын
Vp ushataoeliwa!!😅😅
@epitomeapex2 ай бұрын
Kwani Umetapeliwa nin?🤔🤔🤔
@AbuuNuraiyah9009Ай бұрын
Hiyo sio elimu bali ni uchawi.acheni kudanganya watu
@user-ei9rh7vh7eАй бұрын
Tumcheni Allah tungu zanguni kwenye uwislam elimu zote zipo tunaamin lakn so kila elimu inafaa kuifanyia kazi ,hapo hatuna masheikh wote wamrudie Allah kabla kufa
@user-jh1vr1vt2k2 ай бұрын
Tatizo duniya hii mtu akiongea ukweli anaonekana nimpotoshi yeye hajasena hivoo lakin
@FadhilKassim-qj8tcАй бұрын
Huyo na Dr sule wamoja
@moseskusamba4312 ай бұрын
Jamani hii ndini au uchawi!
@moudy4realibrahim6012 ай бұрын
Naomba umuulize sheikh hukmu ya kumdhurumu mtu haki yake inakuaj kwa mwenyezi mungu
Nanyie angalieni na watu mnaokuja kuwahiji uchawi ni sayansi hivi kunashekhe gani Tanzania hii anaemshinda Dakta sule kwa sayansi jini kuitwa mpaka akaja kunajazi na jini ambae anaitwa mpaka kukufika tayari ashaweka mawasiliano na wewe na hili dka sule asha lizungumza
@aziziatumanially424Ай бұрын
Asante mtu uliyenihubilia injili ya Yesu
@muhammadmbaraka4515Ай бұрын
ALLAAH akuongoze
@noors7030Ай бұрын
Ukae ukijua wate ni washirikina wanamshirikisha Allah na majin Muslim humuomba Alla pekoe mmoja tu
@mohammedjabir6128Ай бұрын
Kajitahidi shekhe kueleza lakini hapo katika pete kachemsha, Allah amuhidi!
@user-lr6ri8bx2f2 ай бұрын
Innalillah Wainailayhi rajiun
@cydemanchester2368Ай бұрын
Mshirikina anamtaja mshirikina mwenzie
@sophiabaraka7602 ай бұрын
Kumuita jini mpaka kufata masharti hii ndio shirki yenyewe, Usimwamini Mungu akusaidie unamtegemea jini.
@musapfute66082 ай бұрын
Tukisema wabarakatu wafuga majini mnabisha
@Onchieku-cp8wd2 ай бұрын
Uislamu ni uchawi tu kwa huyu mhojiwa....
@saidjuma4547Ай бұрын
kuvaa kanzu sio ushekh
@MmingeMminge-kr8nj2 ай бұрын
Hata wew pia Ni mshirikina kwa maelekezo yako, Ni mtihani 😂
@AishouSamantha2 ай бұрын
Mmmmmh dunia iyi inamengi kwl allh tup mwisho mwem yarab
@user-hf3sf7rh5m2 ай бұрын
Huyu kijana yuko vizuri kabisa ! Kumbe kwa wa islamu piya kuna wanao fafanua mambo kwa ukweli ?
@HafidhKhamis-ph8qg2 ай бұрын
Nyie mmnaposema docter sule tuekeen clip yake tuskie ayo maneno msiongee uongo tu
@MeenaHassan-fd9vv2 ай бұрын
Kwa uchawi na majini saluti sana kwenu
@KhamisOmar-kt4kz2 ай бұрын
Mshirikina sana ww tubu kwa Allah la si hivo Allah atakutia.motoni
@abdulfatahumarsaideazamo26542 ай бұрын
Hapa Hakuna tcha ushekhe wala wislam safi. Huyu hana dhihirisha kuwa ni mshirikina na hana ijua shirk tena vizuri sana
@hassanmohammed62292 ай бұрын
Aww msiwasikilize hawa wahuni shauri zenu.elimu ni bahari 🙏🙏
@zuberhamza78522 ай бұрын
Bakabla hujacoment kwanza umewaskiliza alafu ndio umecoment Sasa unatwambiaje tusiwaskilize?? Kwanza Kuna kuskiliza na kukubali
@jayharryson49132 ай бұрын
😂Hayo macho matatu tunaoneshwa kwa makusudi ushamba huu
@hashtagdarling4738Ай бұрын
Jina la uyu shekhe tafadhali
@user-kn8pw7vk4e2 ай бұрын
Daaah...!! kazi ipo ktk izi Dinni...
@Muzmuayubu2 ай бұрын
Hii dunia imeisha ss mungu tunusuru😭🙏 mina
@amidanibimenya96922 ай бұрын
Yani wewe unajaribu ili ujuwe mungu akulinde .yani wa somi poleni .sis wamungu mungu atazidi kutulinda
@qariuzzamaantanzania7074Ай бұрын
Tuna mashehe wengiiiii wa mitandaoni. Mojawapo ya dalili za qiyama Ukiona wasiokuwa na darsa la watu mbele yao, kw maana angalau wanafunzi watatu tu, akifundisha Qur'an fiqihi tauwid nk. Yupo mitandaoni tu ama mihadhara ambayo mwisho wake ziuzwe dawa na michango kw ajili ya matumbo yao.....
@OmarMohamed-zf8dp2 ай бұрын
Mm nimmoja wa watuambao nimekutana na mambo mengisana ya kidunia ambayo sijaomba wala kutafuta ispokuwa ulimwengu ndio ulinifanya iweivo baadakuwa napigwa vita na wanadamu tena wandani ya familia sasa majini nilokuwa natupiwa kwaajili ya kuzulumiwa sasa mungu hajawa tayari kuwa mm mjawake kufa sasa majini waliamuwa kubadilika ndio wakaja kwangu naniukweli wamehitaji mm nifanye kazi ya utibabu na utafanya vip utibabu bila kukutana na hawaviumbe lazima uwaite tena anakuja na mnaongea na kiukweli hata wachawi iliuchawi wao utumike jini na quani na miti ifanyekazi tofauti na mti na quani mti unaroho iriji toka umeubwa ila quani mpaka uisadifu hayomambo nimakubwa sana
@issaosman739726 күн бұрын
Dini ya kislamu inaweza tatua shida zote hapa duniani
@raymondmunis3553Ай бұрын
Unahoji watu wenye sifa hizo tafuta watu wenye elimu.Pete zilizokuwa zikitumika kipindi hicho ni alama au kama muhuri ilikuonesha ujumbe umetoka kwa nani?Hao ndio wanabadili sasa kuwadanganya watu
@raymrash2 ай бұрын
Upande huu wanapenda sana majini 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@KarimuYusuph2 ай бұрын
toa jibu unavaa pete kwa maana gani mbona sule akiongea unampinga kubali nawew upo humo acha kumchafua mwenzako
@kaundemtanga2 ай бұрын
Uyu kijana anaitwa sir Bin laden nilimjua mwaka 2020 kwa Bingo alinisahidia sanaa matatizo yangu anajua tiba kweli ila ana umri mdogo
@KelvinAgalla-kg9gl2 ай бұрын
Ko yuko vzuri kitiba
@joventjohansenmushwaimi19882 ай бұрын
Kama hutojalii nisaidie namba zake tafadhali Ndg yangu
@princedesire62702 ай бұрын
Namba tu kaka🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@user-lq6kr2gl7n2 ай бұрын
Mmm! Si wote waelewa hii elimu ya hawa viumbe ni pana zaid
@SuleimanMsechu2 ай бұрын
Anapatikana wapi
@tahirnephessalum3678Ай бұрын
kiebrania ndo lugha aliyozungumza yesu...
@sadathashimu2232 ай бұрын
Huu ni ushirikina mtupu namuomba ALLAH mtukufu atuongoze sote maana Hawa ndo wachafuzi wa uislam kwa elim zao za kitaoeli za kutafutia ugali
@SAIDNYUNGUАй бұрын
Huyu na dr sule wote wasafiri wamoja gari moja isipokua mmoja manamba mmoja konda