WATANZANIA WANAZIDI KUZIPAMBANIA FURSA WAKIWA CHINA

  Рет қаралды 50,360

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

#YIWUCHINA#FUTIAN#SILENTOCEAN#MILLARDAYO
Kampuni ya Kitanzania ya SILENT OCEAN inayofanya kazi zake za kusafirisha mizigo kutoka China na Dubai kuja Afrika kiwemo Tanzania inaendelea kuwahudumia Watanzania kwa kuweka matawi kwenye nchi ya China hapa ni mji wa Yiwu sehemu lilipo soko la Futian.

Пікірлер: 96
@batromeonassoro3273
@batromeonassoro3273 4 жыл бұрын
Hii safi sana kwa sisi wapambanaji, vipi sasa kuhusu mawasiliano ya huko mkuu maana wengine tunaweza tusifike ila tukawa tunaagiza tu tuweke sawa hapo kaka
@masachihorticultureunitcol711
@masachihorticultureunitcol711 4 жыл бұрын
Million 5 mbona mtaji wa kawaida Sana ngoja Mimi nitajitahidi nianze biashara ya kusafirisha mizigo kutoka China kupeleka Tanzania
@justdee6086
@justdee6086 4 жыл бұрын
Meneja anajieleza uzuri huyu,halafu anamtanguliza Mungu kila anachosema " namshukuru Mungu"
@boniphaceog1020
@boniphaceog1020 2 жыл бұрын
Mara ya kwanza kuingia chine niliteseka sana mawasiliano ila hawa jamaa salute kwao
@muhammehusna3384
@muhammehusna3384 2 жыл бұрын
Njoo unisaidie namm
@mwambakibucheche735
@mwambakibucheche735 3 жыл бұрын
Kaz nzuri sana kijana endelea kutuelimisha sis watanzania wenzako vijana wenzako mi nimmoja kati ya wanaopata elimu yako nakuifanyia kz tupo pamoja kaka asante sana.
@paulmaduhu5855
@paulmaduhu5855 Жыл бұрын
Namba za simu za silent ocean
@theophilukapinga2316
@theophilukapinga2316 4 жыл бұрын
Safi sana,ngoja nika renew passport yangu nije huko
@PeaceFamily-if8lv
@PeaceFamily-if8lv 6 ай бұрын
Ahsante sana brother, kwa kutujuuza jambo hilii. Lkn mm nahitaji number ya cimu! Au mawasiliano ili tiwasiliane vyema.
@esterswai7843
@esterswai7843 4 жыл бұрын
This is great opportunity
@OmarBaabdeTz
@OmarBaabdeTz 4 жыл бұрын
Karibuni Sanaa China Silent Ocean Yiwu
@ayadkishuga6271
@ayadkishuga6271 3 жыл бұрын
Uko china wewe?
@muhammehusna3384
@muhammehusna3384 2 жыл бұрын
Hi you
@OmarBaabdeTz
@OmarBaabdeTz 2 жыл бұрын
@@ayadkishuga6271 yeah Nipo China
@OmarBaabdeTz
@OmarBaabdeTz 2 жыл бұрын
@@muhammehusna3384 hello
@muhammehusna3384
@muhammehusna3384 2 жыл бұрын
@@OmarBaabdeTz yes
@upendowakwelinaamani1060
@upendowakwelinaamani1060 4 жыл бұрын
Kati ya siku ulionipa raha nileo milady ayo yaan umenipa mwanga mkubwa kuhusu mwanzo wa mtaji wa biashara na usafirishaji wa mizigo kupitia hii kampuni yetu ya kitanzania tunajivunia ugenini kua na wenyeji wetu shukran sana.
@amilall4972
@amilall4972 4 жыл бұрын
Kweli
@eusebionaungu1585
@eusebionaungu1585 Жыл бұрын
Naomba namber ya selent ocean🇲🇿
@mohamedjuma1878
@mohamedjuma1878 4 жыл бұрын
Haya ndio mambo yakutuletea sio mtuletee upumbafu tu
@hassanjinja
@hassanjinja 4 жыл бұрын
Ahsante greetings from Uganda
@hamonyyusto9907
@hamonyyusto9907 4 жыл бұрын
uki chukua vtu vya milion 5 naul mpka tz bei gani
@zenombele1798
@zenombele1798 4 жыл бұрын
safi san kwa hbr hii
@gooleserviceyoutubescandar3450
@gooleserviceyoutubescandar3450 4 жыл бұрын
Good news, Millard ago, Good happy on yes.
@omani6006
@omani6006 4 жыл бұрын
nimeipenda sana
@joromimwanga3274
@joromimwanga3274 4 жыл бұрын
Naweza kuagiza mali (bidhaa) toka China zikafika Tanzania na nikazipata zikiwa salama hebu wahusika nipen jibu sahihi.
@fahadalismaily9370
@fahadalismaily9370 4 жыл бұрын
Contact zao za silent ocean
@anafisuleimani7083
@anafisuleimani7083 4 жыл бұрын
Muda mchache insha Allah nitaruka kuja huko
@fahadalismaily9370
@fahadalismaily9370 4 жыл бұрын
Conact za silent ocean na je zanzibar mizigo inafika
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 4 жыл бұрын
😁😂😁
@amilall4972
@amilall4972 4 жыл бұрын
@@fahadalismaily9370 inafika
@damslandscapeworksadams6793
@damslandscapeworksadams6793 4 жыл бұрын
Safi sana
@cyprianomanirambona9424
@cyprianomanirambona9424 4 жыл бұрын
Naomba namba kabisa
@fedagonline9274
@fedagonline9274 4 жыл бұрын
I am dealing with stationeries, i would like one day to vist this place and correct items.
@fedagonline9274
@fedagonline9274 4 жыл бұрын
Nimejifunza mengi, nakumbuka mwaka juzi (2018) nimeibiwa kama tsh 10M nilikuwa najaribu kuagiza a4 copy paper from china, sitosahau, iliniumiza kwa namna nilivyokuwa nimeikusanya hiyo hela. Na sikujaribu tena, nahisi nitajaribu tena kupitia hawa silent ocean. Nashukuru millard ayo.
@jeremiahshipuge8232
@jeremiahshipuge8232 3 жыл бұрын
Naweza kufanya biashara yakuàgiza mizgo kutoka china mpaka tanzania kwa mfumo wa mawasiliano nikiwa tanzania bira kufka china
@dicksonulotu9717
@dicksonulotu9717 4 жыл бұрын
Good
@Bobobobo-jr9zr
@Bobobobo-jr9zr 4 жыл бұрын
Dickson Ulotu umepata hio no yao
@josephmatonyi1802
@josephmatonyi1802 4 жыл бұрын
Asante kwa elim brother
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 4 жыл бұрын
MILLAND AYO UNA KAZI NZURI ILA NOMBER ZAO NDIO HUWEKI
@zenombele1798
@zenombele1798 4 жыл бұрын
garama ya kwenda na kurudi china nauli sh.ngap
@sudiyahya9276
@sudiyahya9276 4 жыл бұрын
Du! Sasa nimeelewa aise, ninabiashara hiyo ya hardware,tunapigwa saana, nimeelewa sasa,
@madinidotcom1052
@madinidotcom1052 2 жыл бұрын
Mchawi tra kwa hapa nyumbani
@zumicsaid6086
@zumicsaid6086 3 жыл бұрын
Naomba Namba Yako boss
@franknoni5920
@franknoni5920 4 жыл бұрын
Leo ndosiku umenipa mwanga uko vizur
@malkavoice2570
@malkavoice2570 6 ай бұрын
Huyu ni Mwarabu au Mpemba guys?
@clementalu3925
@clementalu3925 6 ай бұрын
Ume tusaidia sa ila naomba namba za mawasiano
@clementalu3925
@clementalu3925 6 ай бұрын
Naishi musumbiji ila dar aingia Kila mara
@abdulabass5808
@abdulabass5808 4 жыл бұрын
Wewe Millard tuletee mambo km haya babalao
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 4 жыл бұрын
AWEKE NA NOMBER ZAO PIA
@abdulabass5808
@abdulabass5808 4 жыл бұрын
@@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 Fine
@thomasbutingo17
@thomasbutingo17 3 жыл бұрын
China taifa kubwa Asant xn China kwa kutupigania Africa Leo hii ata wale raia daraja la chini wanaweza kununua simu na nk
@shaadenshaduni7755
@shaadenshaduni7755 3 жыл бұрын
Millions 5 ! Kumbe nakuja!
@dicksonulotu9717
@dicksonulotu9717 4 жыл бұрын
Naomba number yako boss
@heavenlightabel5223
@heavenlightabel5223 4 жыл бұрын
Chief wangu hapo unatakiwa ufuatilie kupita tovuti yao
@zenjionline4087
@zenjionline4087 3 жыл бұрын
Zanzibar vipi pia mnatuma mzigo
@kiblamchengule8394
@kiblamchengule8394 4 жыл бұрын
nenda soko la simu
@mariammwendakazungu5783
@mariammwendakazungu5783 4 жыл бұрын
Na kwa mtu binafusi km sio biashara lkn n mizo ya nyumba je mwabeba au
@saimonjmai801
@saimonjmai801 2 жыл бұрын
Wanabeba silent ocean hata vibox vidogo wanabeba
@lwagamwakalinga5276
@lwagamwakalinga5276 4 жыл бұрын
Hii iko poa saaana,Ndugu mtangazaji turushie emails na simu zao tufanye kazi Sasa maana uoga kwisha
@cyprianomanirambona9424
@cyprianomanirambona9424 4 жыл бұрын
Ndugu mtangazaji turushie simu namba
@jeremiahshipuge8232
@jeremiahshipuge8232 3 жыл бұрын
jaman mm nataka nijue nauli ya kuja na kurud tanznaia to china
@taibually2791
@taibually2791 3 жыл бұрын
NAONA KAMA CORONA IMEISHA UKO SIONI HATA BARAKOA YA LINI HII
@zenjionline4087
@zenjionline4087 3 жыл бұрын
Tuwekee namba zao za simu
@naimajuma6002
@naimajuma6002 2 жыл бұрын
mawasiliano ya sm zao mbona ujaweka
@ramadhaniadammakange3639
@ramadhaniadammakange3639 4 жыл бұрын
Kumbe naweza kufanya hiyo.
@maulidissa8192
@maulidissa8192 4 жыл бұрын
Namba yake ya simu aujatupatia
@hamadndege9016
@hamadndege9016 4 жыл бұрын
Millard nisaidienamba za haojamaa
@abdulbonomali6548
@abdulbonomali6548 4 жыл бұрын
Naomba mtu yoyote mwenyeuzoefu wa kusafiri huko anicheki mesenja
@matishomateso9425
@matishomateso9425 3 жыл бұрын
Huyo jamaa anaweza patikana kwa nambari gani?
@aaaaaah290
@aaaaaah290 4 жыл бұрын
Good, Gooder, Goodest 🤣🤣🤣🤣
@nusalim3389
@nusalim3389 4 жыл бұрын
Pia usisahau goodiest goodiester na goodiestest ! Na kuendelea
@davidimarwa8190
@davidimarwa8190 2 жыл бұрын
Olingi kwokye santeh kupambania fulusa la china
@alikadibhar859
@alikadibhar859 2 жыл бұрын
are you sure yiwu iko north of china?au huna uhakika
@taibually2791
@taibually2791 3 жыл бұрын
Mbona sioni hizo barakoa ina maana hii ni ya kipindi hata corona bado?
@muhammehusna3384
@muhammehusna3384 2 жыл бұрын
Hhhhhy
@jamesmoricmsa9003
@jamesmoricmsa9003 3 жыл бұрын
Contact please
@hamadndege9016
@hamadndege9016 4 жыл бұрын
Nashukuru nambanimeipata kilichobaki sasa masndariz ya kuja
@mamyhelly9792
@mamyhelly9792 4 жыл бұрын
Tupe na sisi namba yao
@hamadndege9016
@hamadndege9016 4 жыл бұрын
O654928085 nitafute Wasap nikupe
@naomileonald8895
@naomileonald8895 Жыл бұрын
Tupe nmba
@petershayo2064
@petershayo2064 4 жыл бұрын
asante sana milady ayo God bless you
@maulidissa8192
@maulidissa8192 4 жыл бұрын
Asante Namba za simu za kampuni unasahau kuzitoa Contact
@mohamedjuma1878
@mohamedjuma1878 4 жыл бұрын
Natamani kufika huko one day
@isayamush3616
@isayamush3616 4 жыл бұрын
Nauli shingapi
@romualdmadeniromuald525
@romualdmadeniromuald525 4 жыл бұрын
Ingia kwenye mtandao utaipata
@hamadndege9016
@hamadndege9016 4 жыл бұрын
Ninashida nanambazao hao jamaa
@omarisaid3734
@omarisaid3734 4 жыл бұрын
Mawasiliyano tunayapataje ili tuweze kuwasiliana kabla yakwenda hukoo
@hamadndege9016
@hamadndege9016 4 жыл бұрын
Naulikiasi gani
@meshackmeshack6849
@meshackmeshack6849 4 жыл бұрын
Kaka nitumie namba zao
@aidanseleman834
@aidanseleman834 3 жыл бұрын
Naomba namba za wasap niagize mzigo
@paulmaduhu5855
@paulmaduhu5855 Жыл бұрын
Namba za simu za silent ocean
USIWACHUKULIE POA WAMAMA WA KITANZANIA WAKIWA CHINA
11:23
Millard Ayo
Рет қаралды 24 М.
TUMEONYESHWA KILA HATUA, WANAVYOTUMA MIZIGO CHINA- TANZANIA
8:36
Millard Ayo
Рет қаралды 103 М.
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 15 МЛН
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 62 МЛН
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 16 МЛН
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 11 МЛН
TUONDOE URASIMU,TUTENDE HAKI:WAZIRI NDEJEMBI(@Katalina691
3:09
Wakwetu Online TV
Рет қаралды 13
🔴Taarifa ya Habari ya Asubuhi, 28..Julai, 2024
ITV Tanzania
Рет қаралды 4
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 15 МЛН