No video

WAZIRI SILAA AAGIZA UCHUNGUZI MGOGORO wa NYUMBA ya BIBI KIZEE MWANANYAMALA- AOMBA SIKU 30 KUMALIZA..

  Рет қаралды 37,199

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

WAZIRI SILAA AAGIZA UCHUNGUZI MGOGORO wa NYUMBA ya BIBI KIZEE MWANANYAMALA- AOMBA SIKU 30 KUMALIZA..
Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa ameingilia kati mgogoro wa kiwanja no. 781 maeneo ya Mwananyamala jijini Dar Es Dalaam ambapo imeibuka sintofahamu kati ya Bibi Juto Ally anayedai hakuwahi kuuza nyumba hiyo na Bwana Aloyce Msafiri anayedai amenunua nyumba hiyo muda mrefu.
Aidha Waziri Silaa baada ya kusikiliza pande zote mbili na kukagua baadhi ya nyaraka za kiwanja hicho amewaomba pande zote mbili wawe na subira na wampe muda wa siku 30 na kuwaagiza wataalamu wake pamoja na vyombo vinavyohusika na uchunguzi vichunguze ili kupata ukweli wa kadhia hiyo.
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 167
@globaltv_online
@globaltv_online 2 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 2 ай бұрын
Jerry uko humble baba. Huna jazba umetawaliwa na hekima.
@kanoa645
@kanoa645 2 ай бұрын
Ni kweli kabisa
@fatmaally7252
@fatmaally7252 2 ай бұрын
Muheshimiwa kuna pepo yako mungu atakulipa amini ilo inshallah ❤
@user-pi1st6pj3w
@user-pi1st6pj3w 2 ай бұрын
Waziri Silaa MUNGU BABA wa Mbinguni Akubariki Sana Katika Jina YESU KRISTO wa Nazareti aliye Hai Amen
@sas7728
@sas7728 2 ай бұрын
Amen
@mambas264
@mambas264 2 ай бұрын
Milioni saba, mkaa gunia tatu. Jamani wanadanu tumuogope mungu! Dhulma haifai
@michaelmillinga5064
@michaelmillinga5064 2 ай бұрын
Gunia Moja kubwa linauzwa 45,000 iweje milioni 7 upate gunia 3?
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 ай бұрын
Huyo Mwamba ni TAPELI
@godiegodie1336
@godiegodie1336 2 ай бұрын
​@@michaelmillinga5064 Na miaka hiyo aliyopewa hela huenda gunia moja lilikua elfu kumi.
@MariamHannif
@MariamHannif 2 ай бұрын
Bib janja nawajukuuu janja
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 ай бұрын
Rais wangu umefanya jambo nzuri sana kuchagua jembe hili mungu akubaliki sana. Una majembe Silaha:makonda:Ali hapi:chalamila:sidingawa manyara:❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@kanoa645
@kanoa645 2 ай бұрын
Kweli huyu Waziri anatufaa sana. Mheshimiwa Rais Samia tafadhali muamgalie sana huyu mtu maana ni zaidi ya hekma na busara
@shariffsagaf2305
@shariffsagaf2305 2 ай бұрын
Ukitaka kujua kiongozi anaependa haki NI MHESHIMIWA SLAA.imekuwa kila siku lazima niangalie clips zake zinatia furaha ndani ya moyo.
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 2 ай бұрын
Bila kumsahau Dingi Mh Makonda
@sixmundleonard2135
@sixmundleonard2135 2 ай бұрын
Makonda Rais wa wanyonge 2030
@EdwardMghuna-rg8rx
@EdwardMghuna-rg8rx 2 ай бұрын
Pia spika wa bunge tz
@romanilyimo
@romanilyimo 2 ай бұрын
​@@EdwardMghuna-rg8rxspika? Labda spika ya redio tafuta mtu wa kuweka kwenye hiyo nafasi.
@EsterEdward-eo6ds
@EsterEdward-eo6ds 2 ай бұрын
Safi sana muheshimiwa waziri Silaa mtu usiye kurupuka unafanya uchunguzi wa kina kwanza MUNGU akusaidie kumquat mwenye haki apate haki yake
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 2 ай бұрын
Nawapenda sana Slaa, Makonda Chalamila, Happy chini ya uongozi wa mama Samia na Serikali yake.. Mungu azidi kuwalinda
@seiphyahya5353
@seiphyahya5353 Ай бұрын
Huo ni mchezo unafanywa sana na wapemba kwa kudhulumu nyumba za wazee. Huwa wanawapa pesa kidogo kidogo hatimaye pesa zikiwa nyingi zilizopokelewa na mwenye nyumba mpemba huchukukua nyumba kwa bei ya kutupa.
@adammjomba5814
@adammjomba5814 2 ай бұрын
Tatizo watu wengi wa siku hizi wanapenda kurithi , fanyeni kazi ,
@ziggertv3185
@ziggertv3185 2 ай бұрын
Ishu sio kurithi mana hata ww nyumba aloacha mzazi lazma uipambanie ila kibaya ni nyie warithi mnakubalianaje
@AbisinaRashidi-wg5jt
@AbisinaRashidi-wg5jt 2 ай бұрын
Bibi tamaa kashauza kuna watu wanamtuma
@nixonjohnson4908
@nixonjohnson4908 2 ай бұрын
Umegundua kitu na wewe
@kanoa645
@kanoa645 2 ай бұрын
Na watu watamfanya bibi wa watu aumbuke maskini
@JumaOmar-ku6cr
@JumaOmar-ku6cr 2 ай бұрын
Kinachoonekana wamefanya tamaa kuona mabadiliko ya mtaa
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 2 ай бұрын
Mungu akubariki waziri wetu endelaa kusaidiaa wanyongeee🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲😭❤❤❤
@LovelyOmbreSky-pu4jt
@LovelyOmbreSky-pu4jt 2 ай бұрын
Mungu wa mbinguni akulinde kakayangu Jerry mtoto wa mzee slaa
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 2 ай бұрын
Huyu bibi aliuza kwa ridhaa yake sasa hao wajukuu wamepata tamaa wanamshawishi bibi agome kuachia nyumba. Ndo maana mimi naogopa kununua eneo kwa bibi mtu mzima au mlevi kudeal nao inakuwa ngumu unaweza kujikuta haki yako inapotea hivi hivi. Na huruma mara nyingi inaponza
@rhassanmkomwa
@rhassanmkomwa 2 ай бұрын
haaahaaahaaaa umenifurahisha
@shabanseif5774
@shabanseif5774 2 ай бұрын
Kwanza lazima uulize unauza unaenda kukaa wapi,kwa umri wa huyo bibi ndo ujiridhishe
@godiegodie1336
@godiegodie1336 2 ай бұрын
​@@shabanseif5774Nyumba imeuzwa 2006 inajua ni miaka mingap imepita. Ni wa ngap wanauza nyumba na kwenda pembezoni mwa jiji
@RutaEmmaMachumu
@RutaEmmaMachumu 2 ай бұрын
Mheshimiwa hao wadada wanaonekana ni waongo kiasi, ila tumia busara zako kuhamua, najua hushindwi.
@fatmaathumani7116
@fatmaathumani7116 2 ай бұрын
Familia ya bibi inajanja janja, bibi anajifanya hasikii lakn mengine anasikia vizuri tu, story zinapshana 😊
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 2 ай бұрын
Mwenyezimungu atawalinda dokta slaa ..wewe ni jembe letu ...mungu atakusimamia kijana wewe nikiongoz mzuli Sana mungu atakulipia kwakuwatetea wanyonge baba
@sundaystanley5322
@sundaystanley5322 2 ай бұрын
Magufuli alitengeneza vichwa hata kama sio wote
@user-df6ui9ro8s
@user-df6ui9ro8s 2 ай бұрын
Yan kunawat awamuogop mungu Astaghfillullah
@lusticabernad9982
@lusticabernad9982 2 ай бұрын
Bibi na wajukuu waongo, hao waliuza ila sasa hawataki kutoka kwasababu wameingia tamaa
@babuummary7723
@babuummary7723 2 ай бұрын
Bibi anajifanya asikii vizuri
@Kidia-yt3bm
@Kidia-yt3bm 2 ай бұрын
Waziri chunguza zaidi huyo bibi inawezekana anataka kumzulumu huyo jamaa
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 2 ай бұрын
Kabisa wanauza maeneo ukioaendeleza wanarudi kuwa wametapeliwa
@lissaMetta
@lissaMetta Ай бұрын
😂😂 Bibi ni mtu wa michongo,kumbe wanakopea nyumba mikopo akishindwa anasingizia kisa mzee
@olaislukumay2208
@olaislukumay2208 2 ай бұрын
Hiyo familia wanataka kumdhulumu huyo baba
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 2 ай бұрын
Hapo Waziri angalia haki. Huyo bibi atakuwa aliuza na huyo baba maelezo yake hayana shaka.
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 ай бұрын
Kwanza hiyo bibi muongo:kashauza nyumba hiyo muda inavyoonesha.
@Bruno4cus
@Bruno4cus 2 ай бұрын
Tena kauza bila kuwa shirikisha wajukuu zake wala ndugu.
@matthewmichaelsylvester5612
@matthewmichaelsylvester5612 2 ай бұрын
mungu akulinde waziri jerry slaa
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 2 ай бұрын
BIBI HUYO MMM! HAJUI KUSOMA ILA MILIONI SABA NA GUNIA TATU ZA MKAA HAPO NI UWONGO MTUPU ASEME UKWELI ALIIUZA HIYO NYUMBA. HAO WAJUKUU PIA NI WAONGO HAIWEZEKANI BIBI HAJUI KUSOMA MMRUHUSU AKOPE MILIONI SABA KWA BIASHARA YA MKAA GUNIA 3 HAPO SI KWELI. WAACHIE NYUMBA TU.
@nasritamwambungu8286
@nasritamwambungu8286 Ай бұрын
ni zile pesa alizopewa aloyce ni za nn , kwa ufahamu wangu wa haraka haraka jamaa alikuwa ananua hiyo nyumba kwa utapeli anampa bbibi hela kidogo na bb anakula na wajukuu zake
@stellarogath1876
@stellarogath1876 2 ай бұрын
Kisaikolojia bibi nimemuelewa, huyo ni Bibi wa mjini.
@rosemery3017
@rosemery3017 Ай бұрын
Bib wa Mjini kwel kwel wandengereko hatari sana 😢
@ramadhaniabdulkadry288
@ramadhaniabdulkadry288 2 ай бұрын
Dada uyo muongo kbs kwa sentesi iyo ilipuke tu ghafla . Dada wewe maisha ya duniani wewe acha uongo tunapita tu. Yani kila cku awe anakukuta wewe tu.. umekua mlango hufanyi shughuli zingine una mvizia mtu usie kua na ahadi nae . ...mkope milioni 7 kwa mkaa bila kujua rejesho linatokea wapi ...muongo mkubwa dada wewe... WAZIRI DADA NA FAMILIA WOTE WAONGO
@shabanseif5774
@shabanseif5774 2 ай бұрын
Hahahahahaa yaani hata mimi kweli haingii akilini yaani biashara ya mkaa umkopeshe ml7 😂
@olaislukumay2208
@olaislukumay2208 2 ай бұрын
Na hiyo 7ml mwaka 2006 ikikuwa hela nyingi sana
@swelehemkumba5007
@swelehemkumba5007 2 ай бұрын
Bibi na wajukuu wake kwenye hili hapana. Ni matapeli.
@Kombo2989
@Kombo2989 2 ай бұрын
usikurupuke Baba. sisi wazawa wa huu mtaa tunamfahamu huyu anajiita mnunuzi na huyu mw,kiti mstaafu ni wajanja wa mjini wewe umeiona hii1 kuna kesi nyingi sana zinazomuhusu huyu mstaafu ila kilamtu ananamna ya kijikwamua, wengi wajijikwamua wengine wasiojiweza ndioyanawakuta tena cha ajabu kesizote zinawahusu watu wasiojua kusoma wala kuandika
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 2 ай бұрын
​@@Kombo2989inawezakana huyu bibi wajukuu zake ndio wanamzunguuka na hao viongozi ndio wanamzunguuka huyu bibi
@kindandakudingwa7514
@kindandakudingwa7514 2 ай бұрын
Inaonekana Hawa wajukuu wajanja wajanja flan hivi
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 2 ай бұрын
Nakupenda sana my brother slaah mungu hakubariki sana
@allymnyenye8109
@allymnyenye8109 2 ай бұрын
Alivyosema yupo laila haila llah dah hadi machozi yamenitoka
@valentinamjindo5374
@valentinamjindo5374 2 ай бұрын
Kweli kabisa huyo Hana waswas inaonekana anaongea ukweli wazir busara Yako itumike
@user-tm5ls1ml6d
@user-tm5ls1ml6d 2 ай бұрын
kweli watu sowema hata bibi ni wakuzulumu
@StellaMwasha
@StellaMwasha 2 ай бұрын
Mbona baba hawezi kumdhulumu Bibi kizee jamani BABA apewe HAKI yake
@wanguwangu34
@wanguwangu34 2 ай бұрын
Dar imezidi Kwa laana maana watu wanahangaika na ardhi sijui watenda nayo Mbinguni wakifa.
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 2 ай бұрын
Kulipa kodi wanakimbia
@sundaystanley5322
@sundaystanley5322 2 ай бұрын
Hii kitu inaitwa aridhi kwa kweli namshukuru Mungu hainipotezei muda,vitu vya kupita hivi
@ahazinelson6351
@ahazinelson6351 2 ай бұрын
Hao wajukuu wanajisumbua,hiyo nyumba iliuzwa.
@costa_modelofficial1390
@costa_modelofficial1390 2 ай бұрын
Mungu Akuzidishie Hekima🙏🙏
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 2 ай бұрын
Mheshimiwa Waziri angalia vizuri sio kwa sababu ni bibi ndo umpe haki usije jikuta unamdhulumu huyo baba
@OnlyRuky
@OnlyRuky 2 ай бұрын
Alhamdulilahi
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 2 ай бұрын
Tunadi kukuombee mungu akulinde silaa wetu
@user-ry8xf1no2s
@user-ry8xf1no2s 2 ай бұрын
Ongela sana Alha atakulipa Wazili wangu una busala sana
@JumaAbdallah-gn5qu
@JumaAbdallah-gn5qu 2 ай бұрын
MashaAllah, Piga KAZI👍
@chantalharakandi2576
@chantalharakandi2576 2 ай бұрын
Umasikini mtihani kiurahisi rahisi mnatowa hati sasa inakuwa shida
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 ай бұрын
Yaani watu Masikini wananyanyasika Sana duh..!?
@user-ky4rb2lg3h
@user-ky4rb2lg3h 2 ай бұрын
Watanzania tunatakiwa tujifunze kutofautisha kati ya huruma na haki, huyu bibi ameuza hilo eneo,mimi ndo karani wa sheria ambaye sina huruma hata kidogo, Bibi aendelee kujizima data hivyo hivyo,ifikie hatua wananchi tuwaonee huruma viongozi wetu
@josephminja7953
@josephminja7953 2 ай бұрын
Siku zote rahisi ni ghali😢sjui mmenielewa?
@objstv6976
@objstv6976 2 ай бұрын
Hana baba wala mama 😢
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 ай бұрын
Waziri chonde chonde hao wanamtetea bibi.dhuluma
@hawaa341
@hawaa341 2 ай бұрын
Bibi taperi na wajukuu zake
@rosie8704
@rosie8704 2 ай бұрын
slaa na makonda nawapenda sana wanasikiliza wanyomge kwa upendo kbs
@user-fr7jj1bo7y
@user-fr7jj1bo7y 2 ай бұрын
Jerry silaa acha upuuzi wako wa kuingiza promo za kisiasa ktk matatizo ya watu unamjua mama samia unarudia mara 20 hiyo ina uhusiano gani na yeye kuibiwa kiwanja chake??
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
​​@@user-fr7jj1bo7yWEWE UNA UHAKIKA GANI KAMA BIBI KAIBIWA??? NA MHESHIMIWA AKIMTAJA RAISI UNAKEREKA KWA NINI????
@elizabethkikoti7265
@elizabethkikoti7265 2 ай бұрын
@@user-fr7jj1bo7ykwani shida iko wapi akimtaja rais wake mfyuu
@sabojanvierjaja2007
@sabojanvierjaja2007 2 ай бұрын
❤❤ongeza na RC Happy
@SaidZavallah
@SaidZavallah 2 ай бұрын
Hahahahahaha bibi napata wasiwasi na ww hahahahahaha bibi wa mjini kabisa
@MariamHannif
@MariamHannif 2 ай бұрын
Bibi wa mjininhuyo anaonekana yeye nawajuukuuuu ni janja janja alois apewe haki yake
@gracekaboigora189
@gracekaboigora189 2 ай бұрын
Mdogo wangu Mungu akutangulie
@ramadhaniabdulkadry288
@ramadhaniabdulkadry288 2 ай бұрын
Muuze nyumba mnunue nyumba ingine msilipe kukomboa nyumba muongo wewe
@user-uu7mg3ff8l
@user-uu7mg3ff8l 2 ай бұрын
m.mungu akuepushe na mabalaa mueshimiwa
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 ай бұрын
NARUDIA TENA: JERRY SLAA MAKONDA na BASHE asee hawa ndiyo TAIFA la leo maana tukisema Kesho Ni MUONGO, hawa ni WAPIGANAJI sana sana.. LUCAS KOMBA awekwe Ndani kuna jambo analiju KOMBA ni TAPELI awekwe ndani kwa Ushahidi. Yeye ndo Kasuka Mpango OVU
@hatimmohamed4299
@hatimmohamed4299 2 ай бұрын
Magari yanaendeshwa bila ya ukaguzi, kila siku magari yanafeli breki, inakuaje? Wekeni sheria kali na ziwe zinafuatwa na adhabu ziwe kali, wacheni rushwa
@manchalijob9600
@manchalijob9600 2 ай бұрын
Wajukuu wote mkorogo
@happinessmosala2217
@happinessmosala2217 2 ай бұрын
Hawa wajukuu wanamtumia huyu bibi kwa faida yao.
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 2 ай бұрын
Uyo mdda muongo kajichubua kawa mwekundu kama nyanya. Sio vzuri mnachukua pesa za wenzenu kisha mnahaza kukwepa ripeni deni iro kama nyumba mpenzi
@SamweliHozza
@SamweliHozza 2 ай бұрын
Hawa wajukuu sijui watoto wanarangi mbilimbili
@StellaMwasha
@StellaMwasha 2 ай бұрын
Natamani nipate mrejesho
@MrKhatibu
@MrKhatibu 2 ай бұрын
Dahh nchi ya Tanzania
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 2 ай бұрын
SHERIA YA ARIDHI IBADILISHWE .IWE KAMA NCHI ZA KIARABU.
@goodluckmsoka3660
@goodluckmsoka3660 2 ай бұрын
Waarabu wanafanyaje
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 2 ай бұрын
Sheria zao zikoje?
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 2 ай бұрын
@@OmanOman-dn6dj oman ukinunua aridhi kwa mtu.mtamaliza ofsi zte.wa mwisho watakuwa polisi.kuhakiki dokment hakuna fojari,hakuna utapeli.hakuna wizi.muuzaji na mnunuzi ndo hawa hpa.wakihakiki ikiwa sawa. Polisi kitengo cha aridhi.wanaidhinisha.kwa nyaraka yao.
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 2 ай бұрын
@@hamadsheni8997 NI SAWA. HATA GARI LAZIMA WAUZIANE POLISI.
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 2 ай бұрын
@@goodluckmsoka3660 mkiwa mnauziana mtakwenda ofisi zte.wa mwisho polisi.wanahakiki hpa hakuna utapeli,wizi,nyaraka feki. Muuzaji na mnunuzi ndo nyie.kama iko sawa. Ocd au rpc anaweka sain.kama kuna jinai mmoja anabaki.
@seifsaud
@seifsaud 2 ай бұрын
Kunamtaji wa mkaaa wa milioni saba acheninuongo
@shamtenyambega2944
@shamtenyambega2944 2 ай бұрын
achunguzwe bibi amepangwa ,ukweli itakuwa AMEUZA HUYO
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 2 ай бұрын
Huyu mama muongo tukaendaaaaa nyingi
@jtheophil5499
@jtheophil5499 2 ай бұрын
Jerry kichwa mno.Hapo ndio ninaamini ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi..Mwili mdogo akili kubwa...
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 2 ай бұрын
Uyo baba hawepe haki yake hakuna cha kuangaria mzee nn arikopa kabda hajawa mzee so zuruma isitoke hapo kwa uyo baba hapewe haki yake kwan pesa wamekulah
@tunujuma2995
@tunujuma2995 2 ай бұрын
Ila dunia hii😢
@daudymlauletv8489
@daudymlauletv8489 2 ай бұрын
Waongo hao wadada
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 2 ай бұрын
Kama viwanda hakuna, ajira serikalini, mashamba hakuna, watu tumenawili mtaani, siri yetu ya mafanio yetu nini. Tuliacha kuzalisha na kufanya kazi tukawekeza kwenye wizi.
@RamadhaniSelemani-bn1fz
@RamadhaniSelemani-bn1fz 2 ай бұрын
Duuuh 😢
@gracekaboigora189
@gracekaboigora189 2 ай бұрын
Mama slaa anatenda haki, umwongezee ulinzi japo ni mtu anasali
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 2 ай бұрын
Kiongozi wetu mtetezi wetu kipenzi cha watu inshallah mwenyez mungu akutunze inshallah 🙏
@malila4582
@malila4582 2 ай бұрын
Yani apo angekuwa makonda angemaliza kesi apo apo
@AwaziRajab
@AwaziRajab 2 ай бұрын
Bibi Kwa Sasa Zamani Alikua Kijana Jamani
@Rukwembe7712
@Rukwembe7712 2 ай бұрын
Nilicho gundua ukwer una jitenga na uwongo
@abdullayahya8717
@abdullayahya8717 2 ай бұрын
Hapa watu warudi 2006 sehemu hiyo kiwanja bei gani!? Kisha kitathminiwe kama millioni 7 basi bibi kweli kauza na kama 2006 ilikuwa millioni 50 basi itakuwa milioni 7 kweli ni mkopo
@alhabibsudi7997
@alhabibsudi7997 2 ай бұрын
Mashalah comment yako imemaliza kila kitu unaonekana una başara sana sheikhe wangu
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 2 ай бұрын
Huyu mwenye kiti wa mtaa ndio tatizo alikuwa anataka kumzurumu huyu bibi ili aje amtaifishe hii nyumba looo,
@rechobenjamin845
@rechobenjamin845 2 ай бұрын
Hongera sana muheshimiw
@JescaMwagama-oc9yt
@JescaMwagama-oc9yt 2 ай бұрын
nitakufa mm bila nyumba
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 2 ай бұрын
Wanataka kudhulumu kwa miloni tano huyu bibi wewe unaona milioni tano kuja kumsainisha bibi halafu mnampa pesa bile loya milioni kimi na moja kweli halafu nyumba uchukue kwa milioni 5 kweli n ipo mjini mnataka mdhulumu huyo bibi
@amour8802
@amour8802 2 ай бұрын
Mzee wa mashati meupe
@halimaa9367
@halimaa9367 2 ай бұрын
Bibi unajuwa lahilahahilah lkn ujui kujifunika
@fadhilimhagama2650
@fadhilimhagama2650 2 ай бұрын
HIYO KAULI YA KUSEMA BIBI KIZEE KAMA SIO NZURI KABISA
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 2 ай бұрын
Ila tuache nafki uyu jamaa nili sema mimi sio mlooo wa pesa ndomana nasaidiaa watu daaa
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 ай бұрын
Karatasi ya Mauziano iko wapi..?
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 2 ай бұрын
Bibi ameanza kupoteza network.
@chandeyusufu9570
@chandeyusufu9570 2 ай бұрын
Uyo mdada ukimuangalia machoni ni muhongo tu
@gracekaboigora189
@gracekaboigora189 2 ай бұрын
Ila inaonekana bibi aliraghaiwa
@Yassinseleman
@Yassinseleman 2 ай бұрын
Hivi mkopo mtu anaweza kwenda kukuchukulia tu kirahisi hivi
@hajiyusuf3837
@hajiyusuf3837 2 ай бұрын
Muheshimiwa tunaomba namba yako
@chantalharakandi2576
@chantalharakandi2576 2 ай бұрын
Bibi watoto wajukuu wamemgeuka
@hasaabdi7199
@hasaabdi7199 2 ай бұрын
mnatapeli hata wazee
@user-yj3gy4jc1t
@user-yj3gy4jc1t 2 ай бұрын
Bb achungu zwe
@adammjomba5814
@adammjomba5814 2 ай бұрын
Watu weusi hawaaminiki
@mitchellshayo4801
@mitchellshayo4801 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 Duuuuuh huyu bibi jmn
@rejobu9723
@rejobu9723 2 ай бұрын
Kiukweri bibi na familia yake wanachangamoto
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 3,1 МЛН
My Cheetos🍕PIZZA #cooking #shorts
00:43
BANKII
Рет қаралды 26 МЛН
ISSEI & yellow girl 💛
00:33
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 20 МЛН
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 14 МЛН
Aliyepona KICHAA, AELEZEA ALIVYODHULUMIWA Mjengo MBELE ya WAZIRI
21:35
Global TV Online
Рет қаралды 394 М.
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 3,1 МЛН