Dua zetu kwa wingi kwa Mh Jerry! Simamia haki Mungu anatosha kuwa na nawe
@salumally6633 ай бұрын
Waziri hongera sana kuwatetea wanyonge kazii hii unayoifanya ni ngumu sana. Kwanza kukesha mpaka usiku kutatua matatizo ya watu inaonyesha una moyo special...
@irenebarakelimnene48953 ай бұрын
Mhe.Jerry mwenyezi Mungu Akubariki kwa kutenda haki
@user-wt7vf4uf3x3 ай бұрын
Mh waziri hongera sana kwa kazi nzuri ambayo kila mmoja kwa macho yake anaiona kwa kwali usichoke endelea kupamabna kazi hiyo ni ngumu sana.
@user-sl1ko9me7u2 ай бұрын
MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUBARIKI MH. WAZIRI SILAA.
@beatricembunda61683 ай бұрын
Mungu akubariki Mh.Waziri kwa kutetea haki za wanyonge.
@uzimameditv81483 ай бұрын
Ubarikiwe saana waziri huo sio uongozi wa kisiasa bali bali ndio namna ya kumtumikia Mungu kwanjia ya uongozi, njoo kasulu Kigoma tupone.
@OdasiBuchumi3 ай бұрын
Matapeli wote wanakimbilia mahakamani kwa sababu ya kwenda kuhonga vipesa
@mr.yahzadochuno79143 ай бұрын
Dk sillah mungu akulinde akupe afya njema na maisha Marefu dk silah for president
@romanamassawe8143 ай бұрын
Ee, Jerry silaha amekuwa Dr lini ?
@user-id7lc7tk4d3 ай бұрын
Mzee anaonekana mjanjamjanja huyu, ila hakuna kitu kibaya kama kuzulumi ardhi
Mkuu Mungu atakulipa Kwa kusaidia watu Kuna watu wanapata shida na wapo na haki ya kumiliki
@ThomasfrancisMvella3 ай бұрын
Namfurahia mr waziri slaa ,,,,,pga kaz bro
@saidinaweka94253 ай бұрын
Polesana wazili kipenza changu unaweza sana mungu akubaliki kiongozii mpenda hakiii
@umsulaiman7468Ай бұрын
Asante wazir. Silla hutaki dhuluma kabisa Allah akulinde azidi kukupandisha cheo tunakupenda mtenda haki
@abibumussa88083 ай бұрын
Mahakamani Kama huna hela huwz pata haki kunawale wa le waliowazurumu wanch mwanzange kwa hat ya duga halafu wanajifanya waislam waislam gan nyie zurma jifunz en kwa taasisi ya answal hawajawah kumzurumu mtu hata tofari moja
@zwinaalhabsi6643 ай бұрын
Chaa kazi waziri
@ScopionScopion-zj9cd3 ай бұрын
jamani tangazo tangazooooo kama unajua ww unakaa kwenye nyumba ya zuluma hama mwenyewe ile zama ya uonevu kwenye alizi imekwisha mimi wala simuonei huruma kwasababu yeye nimshenzi zaid hiii ndio daw yao siwana lingia mahakama kwa sababu wana pesa sasa izo pesa watafute viwanja wajenge wakae kwa utulivu shenz wazili apewe mauwa yake mana hii kazi inahitaji uso wambuzi ningumu kurogwa nnje nnje
@KidotiiАй бұрын
Proud of you Mh. SILAA, Tunashukuru kwa kutuchongea barabara Pugu
@user-iw4vc3yj1y3 ай бұрын
Pongezi kwa mh Slaa, kwakweli upele umepata mkunaji, mahakamani hakuna haki ni rushwa mtindo mmoja
@yusuphalinani54323 ай бұрын
Mungu akukumbuke mh waziri katika kazi zako
@yasinimalya40013 ай бұрын
Hii inatia moyo sana, mungu akulinde mheshimiwa Slaa kwa kuisimamia haki, hakika wewe ni kiongozi wa mfano wa kuigwa. Safi kabisa mtetezi wa wanyonge
@ErickMdemu-xe3cd3 ай бұрын
God be with you honorable
@mwanaidikhamis54303 ай бұрын
Nampenda sana huyu kiongozi
@juliusnassari44683 ай бұрын
Mh, Silaa nina hakika mwenyenzi mungu atakupigania!! mahakama zetu hazina huruma na wanyonge,watu kama mmasi wapo wengi nchi hii,wanatumia pesa kufanya unyang'anyi!!!
@raurentkorosso20142 ай бұрын
Hii wizara umeimudu Mkuu mama akupe muda utatue shida hizi mkuu
@DerickNgowi-mf5pe3 ай бұрын
Huyu mzee ana haki hawa wasaidiz wajanja wanakula hongo nje ya kazi kabla ya makutano wa
@salumally6633 ай бұрын
Mm ntakuomba ukiwa ubaendelea na kazi ukipata mda Upate MAOMBI DUAa nzitoo sana ili wasije kukudhuru hawa halafu uendele na kazi..
@FreeGod3683 ай бұрын
Nkiona hivi najua kama lukuvi alikua anacheza singeli kwenye serikali tu
@MrKiwanjaupdates3 ай бұрын
Wazili umetisha saana, wajanja wajanja sikuiz wanajifichia mahakamani huku muda ukixidi kwenda
@zedyabdulrwabilingo90423 ай бұрын
Safi sana mh Silaa.
@froma37323 ай бұрын
Waziri upo Sawa 110%
@ahmadseaman34873 ай бұрын
masha Allah thanks so much
@user-iw4vc3yj1y3 ай бұрын
Namfuatilia huyu waziri kuliko kiongozi yeyote wa nchi yetu, he is at high level hakika profile yake inang'aa mno
@DavinaDavid-cp5ke3 ай бұрын
Mungu akubalii waziri wetu
@yassinitupa58193 ай бұрын
Hongela slaa nimekufuatiria kwa muda sasa tamgia uteuliwe na mheshimiwa yani hii nafasi inakufaa
@fauzishabani26223 ай бұрын
Duniani kuna vitu vya Ajabu zaidi ya Ajabu
@allyabdallah43572 ай бұрын
Daaa kweli jery mungu atakulinda in shaa allah
@msafiriomary8933 ай бұрын
Mnataka kumtapeli mzee WA watui duu inchi hii
@nishaabdula50153 ай бұрын
Lkn jmn silaha utumie utu kidpgo insi sawa ht kmnunaitaji mtu atokebso kiivi jmn mm cjapenda
@leonardsr8994Ай бұрын
Umeandika nini?
@DalilahAdamАй бұрын
Kiluga gan hikoooo
@shukurually87693 ай бұрын
Kati ya mawazili bora walioiweza kazi kwenye sekta ya uwazili wa ardhi slaa hongera sn unapambania haki kiukweli
@lukemelyemwenga29105 күн бұрын
Jeriiiiiii👍
@aliabdallah84563 ай бұрын
Matepeli wengi wanapenda mahakamani ili haki wapewe wao kwa sababu ya pesa zao zinapindisha haki Mungu atawchoma sana mkifa
@nicksonmremi34123 ай бұрын
Jembe letu hili mam huyu jamaa usimtoe kabisaa hii wizara mpaka umalize Urais wako na unaemkabidhi madaraka umuelekeze asije akamtoa aendelee kumpa hiyo kazi
@jacquelinesangu15213 ай бұрын
Mae mzee alitaka kudondoka do huruma
@yusuphsanga71943 ай бұрын
MM BADO SIJAELEWA VIZUR MZEE ANASEMA HII NYUMBA AMEJENGA YY SASA YY AMEZULUM NN
@israelkisaila84013 ай бұрын
Mimi ndo maana,mjini kitu kinaitwa ardhi,nyumba siwezi kununuwa wala kupewa nikapokea,siwezi hata iweje
@FelicianMasheyo3 ай бұрын
Eleweni sio mnacoment bila kuelewa kijana anasema baba take aliifadhi hati benk mzee mmasi akafanya mipango benki hati ikatoka baadae mzee mmasi akaekti kua nyumba kauziwa na marrhem baba yao vijana wamaungutuma kesi mwezi wa name mwaka Jana wakashinda kwahiy mmas alitakiwa akabiz nyumba mwaka Jana akawa anawayumbisha ndyo
@ghulamhaji78563 ай бұрын
Hongera waziri
@user-ex9sd8wm4l3 ай бұрын
Dah!!! Chamtu ni chamtu
@IgerekeRamson3 ай бұрын
Malaika aliyemsimamia mama Samia na kumshauri amchague dk slaa kuwa wazir wa ardh hakika hakukosea
@FredMwamgogwa-td6ni3 ай бұрын
Msani huyo wanazulumu maskini
@mr.yahzadochuno79143 ай бұрын
Hatar sana
@fredrickipembe81883 ай бұрын
Utapeli nikitu kibaya sana matokeo yake ndio kama haya sasa zuluma mbaya
@NancyMatuli-fb5jp2 ай бұрын
Mbona inaonekana kabila hiii nimatapeli
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm3 ай бұрын
Mawaziri igeni mfano w a slaa nchi yetu ingekuwa free from graft or corruption
@fatumasaidimmependezamjeng89943 ай бұрын
Big up
@rajabmsinzia17153 ай бұрын
Watu wenye pesa zao Tanganyika wakiambiwa waondoka na police fasta tu wala hawana shida maana wanajua hawatofanywa chochote watahonga pesa na watatoka tu hahha Tanganyika bhana kwa maigizo wamepasi
@aminaosman3315Ай бұрын
,matape wadhulumaji wanyanyasaji wanalimbilia mahakamani kununua haki Allah hahongeki
@Shafikimanga73 ай бұрын
Anataka atendewe haki wakati yeye kavunja haki za wengine.
@denisnjaila21823 ай бұрын
Ivi ardhi ina nini?
@hassaniabdi39913 ай бұрын
Matapeli wa tanga awooo
@aliabdallah84563 ай бұрын
Hawa jamaa mwezi wa Desemba lazima waende kwao kuhiji na wakaeleze kipi walichodhulumu kwa mwaka huo je wameua watu wangapi ili wapate pesa je wamefanya ujambazi wapi na umepata sh ngapi
@MasoudSultan-ks6kc3 ай бұрын
ALIPE KODI ULE MUDA ALIKAAA
@beatricembunda61683 ай бұрын
Mh.ameshunguza na kupata majibu ndo Mana ameamua hivyo,hajakurupuka amepita kote kinakohusika.
@rajaburajabu39633 ай бұрын
Hii inazihilisha kuwa mahakama zetu zimejaa rushwa Yan mahakama zinanuka rushwaaa...sasa silaa anawanyoosha
@YusuphMwangobolaАй бұрын
Baba yuko na pressure
@iddihamisi63203 ай бұрын
Siku zote haki itachelewa ila utapata tu hawa wachaga huwa ni wajanja wajanja sana
@edwinaugustine53883 ай бұрын
Weka ndani
@MrKiwanjaupdates3 ай бұрын
Huyu mzee anaonekana mjanja mjanja saaana
@MwanaishaShattry3 ай бұрын
Bye bye mzee Mmasi mwisho wa dhuluma ndio huo
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct2 ай бұрын
Mchukue mpeleke nondo.😅😅
@farhannahomary55052 ай бұрын
Ila watu wa ardhi jmn kwanini hati xuwe 2 /3
@MusaJuma-jr7wb3 ай бұрын
Matapeli hao
@hulukasefu3 ай бұрын
babayako arikopa benk ndiomana hati yake ikawa benk nahuyo mzee wa watu ariuziwa kweri swari je?ari ipataje hio hati na benk warimpaje hio hati muriwauriza benk kuhusu hiohati naje? irifikaje benk tuache zuruma .zuruma nimbaya nduguzagu.
@nelsonnevlin29193 ай бұрын
Kwanza hujui kuandika Fala ww ina maana Kilichoelezwa hapo huelewi pimbi ww
Mh hapa kwa huyu mzee hukufanya haki ,,ungeli muombea kwa mwenyewe angalau siku 3 iwe ameondoka,,ungelikua umekamilisha uungwana hasa
@YusuphMwangobolaАй бұрын
Akuna hyo huyu mzee alikuwa na nia mbaya
@hanifhassan1833 ай бұрын
Tunamuomba aje na huku Zanzibar dhulma ya Ardhi imekithiri
@princewambura92023 ай бұрын
Zanzibar kuna waziri wa makazi pia...serekali haziwezi kuingiliana katika majukumu zanzibar ina serekali pia
@teddyhenry257928 күн бұрын
19:12 19:13 19:14
@PatriceElias-uw9ujАй бұрын
MUNGU AENDELEE KUKULINDA WAZIRI WETU
@MwanaishaShattry3 ай бұрын
Huyu ameshirikiana na watu wa ardhi kuzulumu. Atapambana nao matapeli wenziwe
@MwanaishaShattry3 ай бұрын
Bila shaka
@henrysadam74063 ай бұрын
akuna aki kamaiyo nakwann iwe bek
@official_Nanga3 ай бұрын
Waukae humu humu tuuuuuu
@jamesbaisi-mt2bjАй бұрын
ushauri tu hii nyumba isiuzwe kabisa.
@adamsimba48863 ай бұрын
Mze wa kikibosho mchaga😅
@saidabdillahi81073 ай бұрын
Jambazi zee la kichaga
@abdullyjadu7723Ай бұрын
😂😂😂😂
@HildaMlayАй бұрын
Rais wangu baada ya Samia hili ni jembe
@Rahima-kv6mnАй бұрын
Mzee mzima tapeli muone pala lile kama jiwe la kusugulia miguu 😏😏
@abdullyjadu7723Ай бұрын
😂😂😂😂
@shabaniramadhani76322 ай бұрын
Hongera waziri kwa kazi nzuri hao wazurumaji ndio dawa yao haki sawa taperi mkubwa huyo
@Ba638283 ай бұрын
Mbona utaratibu wa kukaza hukumu upo wazi waziri anaingiaje hapo?
@MerickyMangula-yi6ow3 ай бұрын
Kukazia hukumu kwa mtu mwenye hela hutoweza anahonga
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm3 ай бұрын
Why waste time with corrupt people get rid of them bastard
@Ba638283 ай бұрын
@MerickyMangula-yi6ow Unao ushahidi? Sheria hairuhusu waziri au mtu mwingine kuingilia jambo lililopo kortini ni vyombo vya kimahakama tu ndo hutumika. Anachofanya waziri ni ubabe.
@neemawayesu1771Ай бұрын
Sheria inaruhusu ndio maana yuko hapo,nenda ofisini kwake utaonyeshwa
@Ba63828Ай бұрын
@neemawayesu1771 Neema are you a lawyer? Wapi alipotajwa waziri ktk Civil Procedure Code Cap 33 kuwa anayo mamlaka ya kuingilia utekelezaji wa hukumu/uamuzi uliotolewq na mahakama? Naomba utaje kifungu.
@davidole82573 ай бұрын
Yeye alieshinda kesi mwenzi wa 9 alikuepo wapi mbaka sasa uwonevu tu angeruhusiwa ahame kesho yake sio ungwana
@sosteneskawishe81803 ай бұрын
Huyo katili sio wa kuonewa huruma, usiombe yakukute mzee
@sambulugu99883 ай бұрын
Wewe mjinga ficha upumbavu wako!
@RaymondNjengo-bq1zc3 ай бұрын
Umesikia historia ya kupata hiyo nyumba toka 2005,kwa kutumia nyaraka za udanganyifu kuwa wasimamizi wa mirathi ya marehemu mmiliki ambae walichukua Hati NMB na kisha kujiuzia sasa huruma ya nini?
@stephanokanyika63213 ай бұрын
Angalia ungekuwa wewe umedhulumiwa ingekuweje kuwa na ubinadamu sasa waziri yuko sahii sana waziri piga kazi
@romanamassawe8143 ай бұрын
Jerry silaha unaonea, kesi ipo mahakamani unaingilia, acha kutumia nguvu na madaraka vibaya , unaonea wanyonge, huyo mzee umemuonea
@AllyMaya-yj3xd3 ай бұрын
Yaan wewe ukishinda kesi ukaachiwa huru sio kwamba ukikatiwa rufaaa ndio unakamaatwa tena unarudishwa magereza haoana rufaa inasikilizwa simple logic ni mpaka rufaa imalizike kusikilizwa kama una hatia ndio unakamatwa. Au ukikutwa na hatia ukawa magereza ni tayari unahatia ukikata rufaa unaendelea kusikilizwa rufaa yako ukiwa magereza yaan mfungwa utakuja kuachiwa huru na kutolewa magereza siku utakayoshinda rufaa yako. NIKUKUMBUSHE JAMBO JERRY NI MWANASHERIA MBOBEZI TU HAKURUPUKI VERY SMART PERSON
@user-pv2ez1nd3h3 ай бұрын
Hanee kitu watu wengi hukosa haki zao kwa kisingizio cha Maha Kama nikiwemo na mm kesi miaka 15 haikwisha mpaka sigustilitena
@iddihamisi63203 ай бұрын
Inatakiwa serikali iweke njia rahisi ili tuwe tunapima aridhi maana migogoro kama hii iwe rahisi