WAZIRI SILAA AMTIMUA MZEE MASS ALIYEVAMIA NYUMBA SIO YAKE | AMKABIDHI MWENYE HAKI | MHE.NINA NJAA...

  Рет қаралды 25,238

RAI TV

RAI TV

3 ай бұрын

Пікірлер: 115
@edlumala9428
@edlumala9428 3 ай бұрын
Dua zetu kwa wingi kwa Mh Jerry! Simamia haki Mungu anatosha kuwa na nawe
@salumally663
@salumally663 3 ай бұрын
Waziri hongera sana kuwatetea wanyonge kazii hii unayoifanya ni ngumu sana. Kwanza kukesha mpaka usiku kutatua matatizo ya watu inaonyesha una moyo special...
@irenebarakelimnene4895
@irenebarakelimnene4895 3 ай бұрын
Mhe.Jerry mwenyezi Mungu Akubariki kwa kutenda haki
@user-wt7vf4uf3x
@user-wt7vf4uf3x 3 ай бұрын
Mh waziri hongera sana kwa kazi nzuri ambayo kila mmoja kwa macho yake anaiona kwa kwali usichoke endelea kupamabna kazi hiyo ni ngumu sana.
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u 2 ай бұрын
MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUBARIKI MH. WAZIRI SILAA.
@beatricembunda6168
@beatricembunda6168 3 ай бұрын
Mungu akubariki Mh.Waziri kwa kutetea haki za wanyonge.
@uzimameditv8148
@uzimameditv8148 3 ай бұрын
Ubarikiwe saana waziri huo sio uongozi wa kisiasa bali bali ndio namna ya kumtumikia Mungu kwanjia ya uongozi, njoo kasulu Kigoma tupone.
@OdasiBuchumi
@OdasiBuchumi 3 ай бұрын
Matapeli wote wanakimbilia mahakamani kwa sababu ya kwenda kuhonga vipesa
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 3 ай бұрын
Dk sillah mungu akulinde akupe afya njema na maisha Marefu dk silah for president
@romanamassawe814
@romanamassawe814 3 ай бұрын
Ee, Jerry silaha amekuwa Dr lini ?
@user-id7lc7tk4d
@user-id7lc7tk4d 3 ай бұрын
Mzee anaonekana mjanjamjanja huyu, ila hakuna kitu kibaya kama kuzulumi ardhi
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 3 ай бұрын
Kudhulumu chochote
@user-ex9sd8wm4l
@user-ex9sd8wm4l 3 ай бұрын
Waziri silahaa niwakuigwa yuko vizuri apewe maua yake🎉🎉🎉🎉🎉
@user-pc3zj6eg4f
@user-pc3zj6eg4f 3 ай бұрын
Mkuu Mungu atakulipa Kwa kusaidia watu Kuna watu wanapata shida na wapo na haki ya kumiliki
@ThomasfrancisMvella
@ThomasfrancisMvella 3 ай бұрын
Namfurahia mr waziri slaa ,,,,,pga kaz bro
@saidinaweka9425
@saidinaweka9425 3 ай бұрын
Polesana wazili kipenza changu unaweza sana mungu akubaliki kiongozii mpenda hakiii
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 Ай бұрын
Asante wazir. Silla hutaki dhuluma kabisa Allah akulinde azidi kukupandisha cheo tunakupenda mtenda haki
@abibumussa8808
@abibumussa8808 3 ай бұрын
Mahakamani Kama huna hela huwz pata haki kunawale wa le waliowazurumu wanch mwanzange kwa hat ya duga halafu wanajifanya waislam waislam gan nyie zurma jifunz en kwa taasisi ya answal hawajawah kumzurumu mtu hata tofari moja
@zwinaalhabsi664
@zwinaalhabsi664 3 ай бұрын
Chaa kazi waziri
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 3 ай бұрын
jamani tangazo tangazooooo kama unajua ww unakaa kwenye nyumba ya zuluma hama mwenyewe ile zama ya uonevu kwenye alizi imekwisha mimi wala simuonei huruma kwasababu yeye nimshenzi zaid hiii ndio daw yao siwana lingia mahakama kwa sababu wana pesa sasa izo pesa watafute viwanja wajenge wakae kwa utulivu shenz wazili apewe mauwa yake mana hii kazi inahitaji uso wambuzi ningumu kurogwa nnje nnje
@Kidotii
@Kidotii Ай бұрын
Proud of you Mh. SILAA, Tunashukuru kwa kutuchongea barabara Pugu
@user-iw4vc3yj1y
@user-iw4vc3yj1y 3 ай бұрын
Pongezi kwa mh Slaa, kwakweli upele umepata mkunaji, mahakamani hakuna haki ni rushwa mtindo mmoja
@yusuphalinani5432
@yusuphalinani5432 3 ай бұрын
Mungu akukumbuke mh waziri katika kazi zako
@yasinimalya4001
@yasinimalya4001 3 ай бұрын
Hii inatia moyo sana, mungu akulinde mheshimiwa Slaa kwa kuisimamia haki, hakika wewe ni kiongozi wa mfano wa kuigwa. Safi kabisa mtetezi wa wanyonge
@ErickMdemu-xe3cd
@ErickMdemu-xe3cd 3 ай бұрын
God be with you honorable
@mwanaidikhamis5430
@mwanaidikhamis5430 3 ай бұрын
Nampenda sana huyu kiongozi
@juliusnassari4468
@juliusnassari4468 3 ай бұрын
Mh, Silaa nina hakika mwenyenzi mungu atakupigania!! mahakama zetu hazina huruma na wanyonge,watu kama mmasi wapo wengi nchi hii,wanatumia pesa kufanya unyang'anyi!!!
@raurentkorosso2014
@raurentkorosso2014 2 ай бұрын
Hii wizara umeimudu Mkuu mama akupe muda utatue shida hizi mkuu
@DerickNgowi-mf5pe
@DerickNgowi-mf5pe 3 ай бұрын
Huyu mzee ana haki hawa wasaidiz wajanja wanakula hongo nje ya kazi kabla ya makutano wa
@salumally663
@salumally663 3 ай бұрын
Mm ntakuomba ukiwa ubaendelea na kazi ukipata mda Upate MAOMBI DUAa nzitoo sana ili wasije kukudhuru hawa halafu uendele na kazi..
@FreeGod368
@FreeGod368 3 ай бұрын
Nkiona hivi najua kama lukuvi alikua anacheza singeli kwenye serikali tu
@MrKiwanjaupdates
@MrKiwanjaupdates 3 ай бұрын
Wazili umetisha saana, wajanja wajanja sikuiz wanajifichia mahakamani huku muda ukixidi kwenda
@zedyabdulrwabilingo9042
@zedyabdulrwabilingo9042 3 ай бұрын
Safi sana mh Silaa.
@froma3732
@froma3732 3 ай бұрын
Waziri upo Sawa 110%
@ahmadseaman3487
@ahmadseaman3487 3 ай бұрын
masha Allah thanks so much
@user-iw4vc3yj1y
@user-iw4vc3yj1y 3 ай бұрын
Namfuatilia huyu waziri kuliko kiongozi yeyote wa nchi yetu, he is at high level hakika profile yake inang'aa mno
@DavinaDavid-cp5ke
@DavinaDavid-cp5ke 3 ай бұрын
Mungu akubalii waziri wetu
@yassinitupa5819
@yassinitupa5819 3 ай бұрын
Hongela slaa nimekufuatiria kwa muda sasa tamgia uteuliwe na mheshimiwa yani hii nafasi inakufaa
@fauzishabani2622
@fauzishabani2622 3 ай бұрын
Duniani kuna vitu vya Ajabu zaidi ya Ajabu
@allyabdallah4357
@allyabdallah4357 2 ай бұрын
Daaa kweli jery mungu atakulinda in shaa allah
@msafiriomary893
@msafiriomary893 3 ай бұрын
Mnataka kumtapeli mzee WA watui duu inchi hii
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 3 ай бұрын
Lkn jmn silaha utumie utu kidpgo insi sawa ht kmnunaitaji mtu atokebso kiivi jmn mm cjapenda
@leonardsr8994
@leonardsr8994 Ай бұрын
Umeandika nini?
@DalilahAdam
@DalilahAdam Ай бұрын
Kiluga gan hikoooo
@shukurually8769
@shukurually8769 3 ай бұрын
Kati ya mawazili bora walioiweza kazi kwenye sekta ya uwazili wa ardhi slaa hongera sn unapambania haki kiukweli
@lukemelyemwenga2910
@lukemelyemwenga2910 5 күн бұрын
Jeriiiiiii👍
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 3 ай бұрын
Matepeli wengi wanapenda mahakamani ili haki wapewe wao kwa sababu ya pesa zao zinapindisha haki Mungu atawchoma sana mkifa
@nicksonmremi3412
@nicksonmremi3412 3 ай бұрын
Jembe letu hili mam huyu jamaa usimtoe kabisaa hii wizara mpaka umalize Urais wako na unaemkabidhi madaraka umuelekeze asije akamtoa aendelee kumpa hiyo kazi
@jacquelinesangu1521
@jacquelinesangu1521 3 ай бұрын
Mae mzee alitaka kudondoka do huruma
@yusuphsanga7194
@yusuphsanga7194 3 ай бұрын
MM BADO SIJAELEWA VIZUR MZEE ANASEMA HII NYUMBA AMEJENGA YY SASA YY AMEZULUM NN
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 3 ай бұрын
Mimi ndo maana,mjini kitu kinaitwa ardhi,nyumba siwezi kununuwa wala kupewa nikapokea,siwezi hata iweje
@FelicianMasheyo
@FelicianMasheyo 3 ай бұрын
Eleweni sio mnacoment bila kuelewa kijana anasema baba take aliifadhi hati benk mzee mmasi akafanya mipango benki hati ikatoka baadae mzee mmasi akaekti kua nyumba kauziwa na marrhem baba yao vijana wamaungutuma kesi mwezi wa name mwaka Jana wakashinda kwahiy mmas alitakiwa akabiz nyumba mwaka Jana akawa anawayumbisha ndyo
@ghulamhaji7856
@ghulamhaji7856 3 ай бұрын
Hongera waziri
@user-ex9sd8wm4l
@user-ex9sd8wm4l 3 ай бұрын
Dah!!! Chamtu ni chamtu
@IgerekeRamson
@IgerekeRamson 3 ай бұрын
Malaika aliyemsimamia mama Samia na kumshauri amchague dk slaa kuwa wazir wa ardh hakika hakukosea
@FredMwamgogwa-td6ni
@FredMwamgogwa-td6ni 3 ай бұрын
Msani huyo wanazulumu maskini
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 3 ай бұрын
Hatar sana
@fredrickipembe8188
@fredrickipembe8188 3 ай бұрын
Utapeli nikitu kibaya sana matokeo yake ndio kama haya sasa zuluma mbaya
@NancyMatuli-fb5jp
@NancyMatuli-fb5jp 2 ай бұрын
Mbona inaonekana kabila hiii nimatapeli
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm 3 ай бұрын
Mawaziri igeni mfano w a slaa nchi yetu ingekuwa free from graft or corruption
@fatumasaidimmependezamjeng8994
@fatumasaidimmependezamjeng8994 3 ай бұрын
Big up
@rajabmsinzia1715
@rajabmsinzia1715 3 ай бұрын
Watu wenye pesa zao Tanganyika wakiambiwa waondoka na police fasta tu wala hawana shida maana wanajua hawatofanywa chochote watahonga pesa na watatoka tu hahha Tanganyika bhana kwa maigizo wamepasi
@aminaosman3315
@aminaosman3315 Ай бұрын
,matape wadhulumaji wanyanyasaji wanalimbilia mahakamani kununua haki Allah hahongeki
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 3 ай бұрын
Anataka atendewe haki wakati yeye kavunja haki za wengine.
@denisnjaila2182
@denisnjaila2182 3 ай бұрын
Ivi ardhi ina nini?
@hassaniabdi3991
@hassaniabdi3991 3 ай бұрын
Matapeli wa tanga awooo
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 3 ай бұрын
Hawa jamaa mwezi wa Desemba lazima waende kwao kuhiji na wakaeleze kipi walichodhulumu kwa mwaka huo je wameua watu wangapi ili wapate pesa je wamefanya ujambazi wapi na umepata sh ngapi
@MasoudSultan-ks6kc
@MasoudSultan-ks6kc 3 ай бұрын
ALIPE KODI ULE MUDA ALIKAAA
@beatricembunda6168
@beatricembunda6168 3 ай бұрын
Mh.ameshunguza na kupata majibu ndo Mana ameamua hivyo,hajakurupuka amepita kote kinakohusika.
@rajaburajabu3963
@rajaburajabu3963 3 ай бұрын
Hii inazihilisha kuwa mahakama zetu zimejaa rushwa Yan mahakama zinanuka rushwaaa...sasa silaa anawanyoosha
@YusuphMwangobola
@YusuphMwangobola Ай бұрын
Baba yuko na pressure
@iddihamisi6320
@iddihamisi6320 3 ай бұрын
Siku zote haki itachelewa ila utapata tu hawa wachaga huwa ni wajanja wajanja sana
@edwinaugustine5388
@edwinaugustine5388 3 ай бұрын
Weka ndani
@MrKiwanjaupdates
@MrKiwanjaupdates 3 ай бұрын
Huyu mzee anaonekana mjanja mjanja saaana
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 3 ай бұрын
Bye bye mzee Mmasi mwisho wa dhuluma ndio huo
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct 2 ай бұрын
Mchukue mpeleke nondo.😅😅
@farhannahomary5505
@farhannahomary5505 2 ай бұрын
Ila watu wa ardhi jmn kwanini hati xuwe 2 /3
@MusaJuma-jr7wb
@MusaJuma-jr7wb 3 ай бұрын
Matapeli hao
@hulukasefu
@hulukasefu 3 ай бұрын
babayako arikopa benk ndiomana hati yake ikawa benk nahuyo mzee wa watu ariuziwa kweri swari je?ari ipataje hio hati na benk warimpaje hio hati muriwauriza benk kuhusu hiohati naje? irifikaje benk tuache zuruma .zuruma nimbaya nduguzagu.
@nelsonnevlin2919
@nelsonnevlin2919 3 ай бұрын
Kwanza hujui kuandika Fala ww ina maana Kilichoelezwa hapo huelewi pimbi ww
@josephndunguru6290
@josephndunguru6290 3 ай бұрын
Yaniii huyuuu nae nyumbuu kwelii, huelew nn hapoo, dhuruma nanii hapoo,
@rashidomar2771
@rashidomar2771 3 ай бұрын
Mh hapa kwa huyu mzee hukufanya haki ,,ungeli muombea kwa mwenyewe angalau siku 3 iwe ameondoka,,ungelikua umekamilisha uungwana hasa
@YusuphMwangobola
@YusuphMwangobola Ай бұрын
Akuna hyo huyu mzee alikuwa na nia mbaya
@hanifhassan183
@hanifhassan183 3 ай бұрын
Tunamuomba aje na huku Zanzibar dhulma ya Ardhi imekithiri
@princewambura9202
@princewambura9202 3 ай бұрын
Zanzibar kuna waziri wa makazi pia...serekali haziwezi kuingiliana katika majukumu zanzibar ina serekali pia
@teddyhenry2579
@teddyhenry2579 28 күн бұрын
19:12 19:13 19:14
@PatriceElias-uw9uj
@PatriceElias-uw9uj Ай бұрын
MUNGU AENDELEE KUKULINDA WAZIRI WETU
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 3 ай бұрын
Huyu ameshirikiana na watu wa ardhi kuzulumu. Atapambana nao matapeli wenziwe
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 3 ай бұрын
Bila shaka
@henrysadam7406
@henrysadam7406 3 ай бұрын
akuna aki kamaiyo nakwann iwe bek
@official_Nanga
@official_Nanga 3 ай бұрын
Waukae humu humu tuuuuuu
@jamesbaisi-mt2bj
@jamesbaisi-mt2bj Ай бұрын
ushauri tu hii nyumba isiuzwe kabisa.
@adamsimba4886
@adamsimba4886 3 ай бұрын
Mze wa kikibosho mchaga😅
@saidabdillahi8107
@saidabdillahi8107 3 ай бұрын
Jambazi zee la kichaga
@abdullyjadu7723
@abdullyjadu7723 Ай бұрын
😂😂😂😂
@HildaMlay
@HildaMlay Ай бұрын
Rais wangu baada ya Samia hili ni jembe
@Rahima-kv6mn
@Rahima-kv6mn Ай бұрын
Mzee mzima tapeli muone pala lile kama jiwe la kusugulia miguu 😏😏
@abdullyjadu7723
@abdullyjadu7723 Ай бұрын
😂😂😂😂
@shabaniramadhani7632
@shabaniramadhani7632 2 ай бұрын
Hongera waziri kwa kazi nzuri hao wazurumaji ndio dawa yao haki sawa taperi mkubwa huyo
@Ba63828
@Ba63828 3 ай бұрын
Mbona utaratibu wa kukaza hukumu upo wazi waziri anaingiaje hapo?
@MerickyMangula-yi6ow
@MerickyMangula-yi6ow 3 ай бұрын
Kukazia hukumu kwa mtu mwenye hela hutoweza anahonga
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm 3 ай бұрын
Why waste time with corrupt people get rid of them bastard
@Ba63828
@Ba63828 3 ай бұрын
@MerickyMangula-yi6ow Unao ushahidi? Sheria hairuhusu waziri au mtu mwingine kuingilia jambo lililopo kortini ni vyombo vya kimahakama tu ndo hutumika. Anachofanya waziri ni ubabe.
@neemawayesu1771
@neemawayesu1771 Ай бұрын
Sheria inaruhusu ndio maana yuko hapo,nenda ofisini kwake utaonyeshwa
@Ba63828
@Ba63828 Ай бұрын
@neemawayesu1771 Neema are you a lawyer? Wapi alipotajwa waziri ktk Civil Procedure Code Cap 33 kuwa anayo mamlaka ya kuingilia utekelezaji wa hukumu/uamuzi uliotolewq na mahakama? Naomba utaje kifungu.
@davidole8257
@davidole8257 3 ай бұрын
Yeye alieshinda kesi mwenzi wa 9 alikuepo wapi mbaka sasa uwonevu tu angeruhusiwa ahame kesho yake sio ungwana
@sosteneskawishe8180
@sosteneskawishe8180 3 ай бұрын
Huyo katili sio wa kuonewa huruma, usiombe yakukute mzee
@sambulugu9988
@sambulugu9988 3 ай бұрын
Wewe mjinga ficha upumbavu wako!
@RaymondNjengo-bq1zc
@RaymondNjengo-bq1zc 3 ай бұрын
Umesikia historia ya kupata hiyo nyumba toka 2005,kwa kutumia nyaraka za udanganyifu kuwa wasimamizi wa mirathi ya marehemu mmiliki ambae walichukua Hati NMB na kisha kujiuzia sasa huruma ya nini?
@stephanokanyika6321
@stephanokanyika6321 3 ай бұрын
Angalia ungekuwa wewe umedhulumiwa ingekuweje kuwa na ubinadamu sasa waziri yuko sahii sana waziri piga kazi
@romanamassawe814
@romanamassawe814 3 ай бұрын
Jerry silaha unaonea, kesi ipo mahakamani unaingilia, acha kutumia nguvu na madaraka vibaya , unaonea wanyonge, huyo mzee umemuonea
@AllyMaya-yj3xd
@AllyMaya-yj3xd 3 ай бұрын
Yaan wewe ukishinda kesi ukaachiwa huru sio kwamba ukikatiwa rufaaa ndio unakamaatwa tena unarudishwa magereza haoana rufaa inasikilizwa simple logic ni mpaka rufaa imalizike kusikilizwa kama una hatia ndio unakamatwa. Au ukikutwa na hatia ukawa magereza ni tayari unahatia ukikata rufaa unaendelea kusikilizwa rufaa yako ukiwa magereza yaan mfungwa utakuja kuachiwa huru na kutolewa magereza siku utakayoshinda rufaa yako. NIKUKUMBUSHE JAMBO JERRY NI MWANASHERIA MBOBEZI TU HAKURUPUKI VERY SMART PERSON
@user-pv2ez1nd3h
@user-pv2ez1nd3h 3 ай бұрын
Hanee kitu watu wengi hukosa haki zao kwa kisingizio cha Maha Kama nikiwemo na mm kesi miaka 15 haikwisha mpaka sigustilitena
@iddihamisi6320
@iddihamisi6320 3 ай бұрын
Inatakiwa serikali iweke njia rahisi ili tuwe tunapima aridhi maana migogoro kama hii iwe rahisi
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 16 МЛН
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 14 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 10 МЛН
There’s A Starman #superman #shorts #memes
0:26
Walking Streets 워킹스트리트
Рет қаралды 40 МЛН
Waka Waka 😁 #funnyshorts #rianashow
0:14
RianaShow
Рет қаралды 26 МЛН
Difference of girls and boys when eating sweets 😂😬
0:35
VovaLika Family
Рет қаралды 11 МЛН