WEWE KIJANA UMEMDANGANYA RC MAKONDA TAFUTA KAZI YA KUFANYA MWENZAKO NISHA MUACHISHA KAZI

  Рет қаралды 151,194

Adil TV

Adil TV

Ай бұрын

#AdilTV

Пікірлер: 236
@japhetfisha6299
@japhetfisha6299 Ай бұрын
Makonda ni kichwa. Critical Thinker, questioning skills, composure, thoroughness 100%. Mungu akulinde Mh. Paul Christian Makonda
@baloz8974
@baloz8974 Ай бұрын
That's call leadership
@user-it1bo7rs9v
@user-it1bo7rs9v 29 күн бұрын
Magufuli amekuja kwa muundo wa makonda glory be to God ❤
@monicapeter9065
@monicapeter9065 2 күн бұрын
Kwakwel jaman mungu kaiweka roho ya magufuli ndan ya makonda Ahsante mungu kwa miujiza Kuna ktu cha kujifunza kuwa mungu ni mungu tuu Tulijua tumemnyamazisha maguful mungu kamleta kwa namna ya ajabu Aibu yenu wanawadamu waliohusika kukatili roho ya mpendwa wetu magufuli Karudi kwa mara nyingne
@user-jm6dr3hd1y
@user-jm6dr3hd1y Ай бұрын
Niseme ukweri Mimi sikuwahi kumuanga mkono makonda lakini kuazis Sasa Mimi nimekuelewa mungu akuongezee maisha marefu kaka etu Asante makonda
@babarungurallyteam2754
@babarungurallyteam2754 Ай бұрын
Kakayangu MAKONDA MWENYEZI MUNGU AKUPE UMRI MKUBWA 🙏🇹🇿
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo Ай бұрын
Chapa kazi mheshimiwa makonda mungu akulinde
@shahidalialibhai794
@shahidalialibhai794 Ай бұрын
Mungu akujalie mh makonda
@ramamtangi7776
@ramamtangi7776 Ай бұрын
Mungu amtangulie Makonda mtetezi wa wanyonge
@greenermichael2057
@greenermichael2057 Ай бұрын
Asante Mungu umeturudishia Magufuli wetu
@MalikioryBajuta-pb9ym
@MalikioryBajuta-pb9ym Ай бұрын
Uk vzr piga kaz
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 Ай бұрын
Tz Tz roho ya Magu.imemuingia.makonda.tumuombeeee.
@JimmyCosmas-cl2kh
@JimmyCosmas-cl2kh Ай бұрын
Mungu akulinde bro kipenz chaaa watanzania
@strongwomanwithnoregret8234
@strongwomanwithnoregret8234 Ай бұрын
Nampenda makonda ako kama makufuli
@sifueliduwe5982
@sifueliduwe5982 Ай бұрын
Kaka Makonda Mungu akubariki akupe hekima kama Sulemani asante
@mathewlive1372
@mathewlive1372 Ай бұрын
Makonda upo vizuri. Mim nakukubal mwanzo mwisho.
@user-zf2hh4zq2j
@user-zf2hh4zq2j Ай бұрын
Rais wetu nakupenda sana makonda
@ramadhanihot1945
@ramadhanihot1945 Ай бұрын
Hivi uyu makonda kwanini asiwehee RAISI TU mbona anatufahaa kabisa kuwa raisi wetu magufuli kila kitu uyuu jamaa
@jeraldjensen6504
@jeraldjensen6504 25 күн бұрын
Umeona
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk Ай бұрын
Piga spana makonda wewe ndio una viatu vya magufuli..mkubwa mungu akulinde
@ElitulizaMinja
@ElitulizaMinja Ай бұрын
Mzee makonda anapita mule mule kwa mwendazake matunda yake hakika mungu akulinde kwa mema unayoyatenda
@user-nn3xt4rj3x
@user-nn3xt4rj3x Ай бұрын
Allah akuongoze
@rosesilio9008
@rosesilio9008 Ай бұрын
Huyu makonda agombee uraisi tumchagueni jamani mbona anatutetea sana watu wa hali ya chini 🙏
@TatuRajabu-cz6jz
@TatuRajabu-cz6jz 24 күн бұрын
Anafanya Kaz,lakni tatzo huwa kunakiwaga na shida,chema huwa kinalindwa Kwa njia nyingi,mtihani
@AishayoutubeMoosa-zn1co
@AishayoutubeMoosa-zn1co Ай бұрын
Jaman Makonda hongera sanaa sanaa sanaa
@user-ve1rr3gz5d
@user-ve1rr3gz5d Ай бұрын
Jaman mungu amusimie huyu kiongoz wasimuue
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr Ай бұрын
Kwa mujibu wa maelezo yake kabla ya makonda hakua na haki huyu mama ila kwasasa baada ya makonda anahaki. Huu ni udhaifu mkubwa wa baadhi ya watumishi Katika wizara ya ardhi.
@frankaron783
@frankaron783 Ай бұрын
Hujaamua tu kugombea uraisi lkn ukigombea mpaka chadema watakupigia kura maana katikati ya hao unaowasaidia nawao wamo mkuu. Mungu akubariki mnooooooooo
@greenermichael2057
@greenermichael2057 Ай бұрын
Ooooh magufuli wenu kakufa ,kwan hamumuoni si huyu hapa ❤❤❤❤
@wycliffeombogo8953
@wycliffeombogo8953 21 күн бұрын
Wewe makonda anafaa kua rahizi wa mungano wa TZ umalishe kazi ya pombe magafuli
@yohanabmasunga3575
@yohanabmasunga3575 5 күн бұрын
hahahaaaa nimecheka kama mazuri
@myk6519
@myk6519 Ай бұрын
Very sober and critical questions from RC
@elishakimariyo4983
@elishakimariyo4983 Ай бұрын
Baba wa taifa nakupenda sana makonda
@RoseTimilai
@RoseTimilai Ай бұрын
Ubarikiwe
@sportsnewjs4330
@sportsnewjs4330 Ай бұрын
Nijambo zuri sana ukiwa kiongozi wa wananchi ukawa mtenda haki maama huo niuzalendo katika Nchi yako, na MUNGU atakubariki sana Hapo Makonda umewajibika vizuri sana'👏👏👏
@user-sd5zf6fz4v
@user-sd5zf6fz4v Ай бұрын
Mungu akusaidie makonda❤
@songeza
@songeza Ай бұрын
Yaani kweli kabsa anatakiwa kuwa Rais wa Nchi hii Mungu amlinde ampe maisha marefu
@monicapeter9065
@monicapeter9065 2 күн бұрын
Tanzania ingekuwa na akil kama za raia wa kenya Faster tungekuwa tumemtaka makonda awe raisi mara moja bila kusubir kampen
@BensonMazinga
@BensonMazinga Ай бұрын
Mm nipo Malawi ila namkubal sana uyu jama
@user-xm5xg1tt6d
@user-xm5xg1tt6d Ай бұрын
Kuna siku makonda atakua raisi wa nchi hii allah amuweke ampe maisha marefu inshaallah
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 Ай бұрын
Bora kuliko Punguani Tundu Lisu alishaolewa Belgium ila bado Talaka yake hakuweka Sahihi
@fatihiyadossa375
@fatihiyadossa375 Ай бұрын
​@@machintangachibwena5922Yani umenichekesha atar kwel uyu lisu sinawah kumpenda namchukia atari
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 Ай бұрын
Na iwe kama ulivyosema
@chakuboyofficial9720
@chakuboyofficial9720 Ай бұрын
Nime penda sanaa tupate wengine watatu wahivi 😍😍😍
@mohamedmngoya-lk3np
@mohamedmngoya-lk3np Ай бұрын
Hongera mkuu wa mkoa Paulo makonda.piga KAZI.
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 Ай бұрын
Mm nampenda sana saaaaaana makonda mama umewapendelea sana kuwapa mkuu wa mkoa sahihi vip hawa wengine
@stanslauslugendo31
@stanslauslugendo31 Ай бұрын
Paulo bhana!🌹🌹🌹 Mungu aendelee kukutunza!
@nathanfrancisondieki6586
@nathanfrancisondieki6586 Ай бұрын
Good speech Hon makonda
@lebahatilembris2390
@lebahatilembris2390 18 күн бұрын
Nampenda sana Mkuu wetu wa mkoa Po Makonda MUNGU akulinde sikuzote,,..
@user-bf1jd9nl3v
@user-bf1jd9nl3v Ай бұрын
Makonda nakubali sana kumbe hata pale Dar ulikuwa hubahatishi,ndio nimeamin Leo uongoz upo ndani ya damu.
@AmadeSalimoSalimo-gw8ij
@AmadeSalimoSalimo-gw8ij Ай бұрын
KAZI njema makonda❤❤❤
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Ай бұрын
Mdudu katambaa na Makonda hadi Karatu😢
@dennisezakiel3380
@dennisezakiel3380 Ай бұрын
Nimemwona kinyonyo hapo
@TUKUSUMAKASAMBO
@TUKUSUMAKASAMBO Ай бұрын
Mungu akusaidie sijawah kukoment Ila wew baba unafaa na unahofu na unyenyekevu wa mungu
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 Ай бұрын
Asiwepo wakusimama mbele.ya makonda awasaidie watanzania
@prospermuhindo
@prospermuhindo Ай бұрын
Ok Faya kazi makode
@piusmdoe3200
@piusmdoe3200 Ай бұрын
Mmoja kati ya waliokuwa wanababatiza kuamini utendaji wako,lakini kwa hapo Ar,wewe ni chuma.Go on bro.
@RebeccaMuhimba-be1pj
@RebeccaMuhimba-be1pj Ай бұрын
baba mi nitakupa kura omba urais
@TitoNgomuo
@TitoNgomuo Ай бұрын
Makonda toa majib,,usiulize wananchi majib
@user-vp2ux1ji4m
@user-vp2ux1ji4m Ай бұрын
Ee hii sasa ni 2024 makonda mungu we nawe siku zote
@antonbkatembo5029
@antonbkatembo5029 Ай бұрын
Awe kiongozi wa Wakuu wote wa mikoa Nchi itaheshamika mnoo
@mussaharun7257
@mussaharun7257 27 күн бұрын
Waziri Tamisemi
@doricadominic5095
@doricadominic5095 4 күн бұрын
Mungu anatuona Tanzania katuletea Magufuli Mwingine
@Yusra728
@Yusra728 Ай бұрын
Wawoooh! Jembe letu hilo, makonda wewe ni kama magufuli no. 2 Mwenyezi Mungu awe pamoja na wewe
@HurumaAntony
@HurumaAntony Ай бұрын
Raise wetu
@EmanuelKabea
@EmanuelKabea Ай бұрын
Naiona nchi ya ahadi hiyooooooooo !!!!! asanteeee mungu zid kutuongezea watu kama huyu
@BrayStephano
@BrayStephano 20 күн бұрын
Makonda noma sana namkubali yuko kwenye haki san bigap my brother
@HenryHabeli-iy5dv
@HenryHabeli-iy5dv Ай бұрын
Mtetezi wa wanyonge piga kazi na mungu atakutangulia
@SaNFamily274
@SaNFamily274 Ай бұрын
Nakubali makonda❤❤❤❤❤❤❤🎉
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 Ай бұрын
Safi sana kaka mm naomba kuonana na makonda
@husseineliasa452
@husseineliasa452 Ай бұрын
Huyu kiongozi ni mzuri sana wana arusha mmepata mtu sahihi
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz Ай бұрын
Watu w ardhi hua n waungu mtu,hukumu gan ww Mungu akuadhibu
@mikeshegzy7045
@mikeshegzy7045 11 күн бұрын
Uyi ni kama raisi magufuli , Ubarikiwe sana
@bugybuster5788
@bugybuster5788 9 күн бұрын
Makonda MUNGU akulinde sanaaa
@africanpesa3365
@africanpesa3365 29 күн бұрын
Mkuu mh makonda kujitoa sadaka nijambo jema je? Wantanzania wezangu makonda Akikabwa tutaungana au tutamukimbia kazi anaitenda kisawsawa natamanisana angalau hawa viongozi wengine angalau wakae wafikili akili anazo zitumia amelisi kwanani mwenyezi mungu akulinde kujitoa sadaka kunahitaji moyo ❤❤❤❤❤❤
@StephenMbugua-el9hy
@StephenMbugua-el9hy 24 күн бұрын
Wow great work ♥️🇹🇿❤🇰🇪
@user-hb6sg1sh1z
@user-hb6sg1sh1z 25 күн бұрын
Bom trabalho Mozambique kazi njema
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Ай бұрын
Hii operation ni FICHUA MAOVU. Na inasaidia sanaaaaaa. IENDELEEEE
@mupinimulila1762
@mupinimulila1762 Ай бұрын
Kabisa ndugu .
@ceankiiza9945
@ceankiiza9945 26 күн бұрын
Mungu Akuongoze Zaid Kaka ifike Mahala na URAISI tukupatie uinyoshe hii nchi aisee tumechoka kiukwel haki aipatikan kwa mnyonge
@user-zf2hh4zq2j
@user-zf2hh4zq2j Ай бұрын
Makonda dah❤❤
@songeza
@songeza Ай бұрын
Makonda we akili ulipata wapi ya majibu ya papo Kwa papo hongera mwanangu dah Mungu akuzidishie
@TatuRajabu-cz6jz
@TatuRajabu-cz6jz 24 күн бұрын
Kama magufuli jamanii
@user-ew7xd1xu3s
@user-ew7xd1xu3s 15 күн бұрын
Aluomba hekima
@jeraldjensen6504
@jeraldjensen6504 25 күн бұрын
Du!!!!! Sjui huyu kasoma shule gan, MUNGU amtunze kwaajili ya vizazi
@eddykatamba1008
@eddykatamba1008 Ай бұрын
safi sana mkuuu ikulu yako jaribu tu kugombee chadema wote watakupigia kura mpaka utashangaaa!!!
@user-ql7to3rm3p
@user-ql7to3rm3p 27 күн бұрын
Mimi ni mkenya lakini napenda Tanzania vile Viongozi wanafanyia Raiya❤❤
@amanaoman9690
@amanaoman9690 2 күн бұрын
Sisi watanzania huwa tunasikilizaza ❤
@SadaKigwangala
@SadaKigwangala 29 күн бұрын
❤❤❤❤❤RC makonda
@greenermichael2057
@greenermichael2057 Ай бұрын
Makonda gombea urais hata leo
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 Ай бұрын
HAWA VIONGOZI WENGINE AWAZIONI SUPANA WANAZOPIGWA VIONGOZI WENZAO MATAPELI😂KAZA SUPANA MAKUFULI JUNIOR 😂😂
@saidimgawe6548
@saidimgawe6548 Ай бұрын
Makonda 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@RebeccaMuhimba-be1pj
@RebeccaMuhimba-be1pj Ай бұрын
makonda😂😂😂😂 shikamoo nakupenda sana baba angu upo sawa kabisa yaana lazima nikuoe kura ya urais
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 Ай бұрын
Mm nampenda sana saaaaaana makonda
@DanielMwamengele
@DanielMwamengele 24 күн бұрын
Makonda mungu aenderee kukutunzaa
@Aida-qh3jq
@Aida-qh3jq Ай бұрын
Mwenyez mungu akusimamie popote pale uendapo makonda
@juliethmagembe2262
@juliethmagembe2262 2 күн бұрын
Mungu akutunze wee baba
@sebastiangabriely3279
@sebastiangabriely3279 Ай бұрын
Bro umeenea...wish uje kuwa kiongozi mkubwa Tanzania hiii
@user-by7ie6yy5n
@user-by7ie6yy5n Ай бұрын
Aise makonda we noma
@user-tc5vt1om5t
@user-tc5vt1om5t Ай бұрын
Nawaona mpaka wadudu hapo
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 Ай бұрын
Mungu Akupe Jana Makonda kipenzi chetu jamani nakupenda bure kwa kutenda haki Mungu akubarik Sana hutaki mchezo
@JuliasiSatoti
@JuliasiSatoti Ай бұрын
Mungu atakusahidiya m
@louxonmedia
@louxonmedia 26 күн бұрын
Ngole kachana nyavu
@IreneLeonard-rl3jq
@IreneLeonard-rl3jq Ай бұрын
lakin kuwa makin usje ukapewa sumu
@luganouswege628
@luganouswege628 Ай бұрын
Makonda fanya kazi ya mungu
@dondallas6683
@dondallas6683 21 күн бұрын
Makonda ww mkali snaa
@Donasian-ry9kh
@Donasian-ry9kh 3 күн бұрын
Baba kweli unafanya kaz mungu akubarik kingine huku mtaan tumejaa vijana kutoka jkt tunafunzo ya kutosha nimefundishwa silaha natupo mtaan tusaidie pamoja navyeti tunavyo mkuu tusaidie
@user-ei3rf1qb2z
@user-ei3rf1qb2z 18 күн бұрын
MUNGU KIPE IKI KICHWA MAMLAKA YA KULIONGOZA ILI TAIFA.
@Arsenal002
@Arsenal002 Ай бұрын
Hii Chanel ya nchi gani taarifa ya mwezi uliopita unapost leo
@tuikezeezra1315
@tuikezeezra1315 Ай бұрын
Mungu azidi kukupa ulinzi na afya njema bwana Makonda syo kwamba kila mtu anapenda maendeleo!!, ndo maana hata kwa Magu walifanya yao mapema.
@user-bf1jd9nl3v
@user-bf1jd9nl3v Ай бұрын
Makoonda Oyeeeeeeeeeeee.......
@billmkushi849
@billmkushi849 Ай бұрын
Huyu Dissmas Mungu atawamaliza kama hamtatubu!!!
@LovelyOmbreSky-pu4jt
@LovelyOmbreSky-pu4jt Ай бұрын
Safii sanaa makonda
@user-xf4qs5ti5m
@user-xf4qs5ti5m Ай бұрын
Kweli makonda huyu,,wanamawili tu haki ipatikane au watafute pakula😂😂😂😂
@MickyAbuyq
@MickyAbuyq 24 күн бұрын
Makonda kama magufuli mwakani anatakiwa kuwa raisi anaweza kuongoza nchi vizur sanaaa. Mungu ambarikii
@fahadsalim3000
@fahadsalim3000 Ай бұрын
Tumanamuomba makonda arudi dar
#EXCLUSIVE: KWA MARA YA KWANZA ROMA AFUNGUKA YOTE KUHUSU RC MAKONDA
53:33
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 1,4 МЛН
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 38 МЛН
MAKONDA AAMURU OCD BUGURUNI APANGIWE KAZI NYINGINE, WANANCHI WASHANGILIA
11:59
BOSS TANROAD AJICHANGANYA KWA MAKONDA, ASHINDWA KUJIELEZA AKOSEA
12:23
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 1,4 МЛН