Makonda ni kichwa. Critical Thinker, questioning skills, composure, thoroughness 100%. Mungu akulinde Mh. Paul Christian Makonda
@baloz8974Ай бұрын
That's call leadership
@user-it1bo7rs9v29 күн бұрын
Magufuli amekuja kwa muundo wa makonda glory be to God ❤
@monicapeter90652 күн бұрын
Kwakwel jaman mungu kaiweka roho ya magufuli ndan ya makonda Ahsante mungu kwa miujiza Kuna ktu cha kujifunza kuwa mungu ni mungu tuu Tulijua tumemnyamazisha maguful mungu kamleta kwa namna ya ajabu Aibu yenu wanawadamu waliohusika kukatili roho ya mpendwa wetu magufuli Karudi kwa mara nyingne
@user-jm6dr3hd1yАй бұрын
Niseme ukweri Mimi sikuwahi kumuanga mkono makonda lakini kuazis Sasa Mimi nimekuelewa mungu akuongezee maisha marefu kaka etu Asante makonda
@babarungurallyteam2754Ай бұрын
Kakayangu MAKONDA MWENYEZI MUNGU AKUPE UMRI MKUBWA 🙏🇹🇿
@AMBROSIJOSEPH-qc7xoАй бұрын
Chapa kazi mheshimiwa makonda mungu akulinde
@shahidalialibhai794Ай бұрын
Mungu akujalie mh makonda
@ramamtangi7776Ай бұрын
Mungu amtangulie Makonda mtetezi wa wanyonge
@greenermichael2057Ай бұрын
Asante Mungu umeturudishia Magufuli wetu
@MalikioryBajuta-pb9ymАй бұрын
Uk vzr piga kaz
@festinamwakipale3919Ай бұрын
Tz Tz roho ya Magu.imemuingia.makonda.tumuombeeee.
@JimmyCosmas-cl2khАй бұрын
Mungu akulinde bro kipenz chaaa watanzania
@strongwomanwithnoregret8234Ай бұрын
Nampenda makonda ako kama makufuli
@sifueliduwe5982Ай бұрын
Kaka Makonda Mungu akubariki akupe hekima kama Sulemani asante
@mathewlive1372Ай бұрын
Makonda upo vizuri. Mim nakukubal mwanzo mwisho.
@user-zf2hh4zq2jАй бұрын
Rais wetu nakupenda sana makonda
@ramadhanihot1945Ай бұрын
Hivi uyu makonda kwanini asiwehee RAISI TU mbona anatufahaa kabisa kuwa raisi wetu magufuli kila kitu uyuu jamaa
@jeraldjensen650425 күн бұрын
Umeona
@DafiMohamed-dz8xkАй бұрын
Piga spana makonda wewe ndio una viatu vya magufuli..mkubwa mungu akulinde
@ElitulizaMinjaАй бұрын
Mzee makonda anapita mule mule kwa mwendazake matunda yake hakika mungu akulinde kwa mema unayoyatenda
@user-nn3xt4rj3xАй бұрын
Allah akuongoze
@rosesilio9008Ай бұрын
Huyu makonda agombee uraisi tumchagueni jamani mbona anatutetea sana watu wa hali ya chini 🙏
@TatuRajabu-cz6jz24 күн бұрын
Anafanya Kaz,lakni tatzo huwa kunakiwaga na shida,chema huwa kinalindwa Kwa njia nyingi,mtihani
@AishayoutubeMoosa-zn1coАй бұрын
Jaman Makonda hongera sanaa sanaa sanaa
@user-ve1rr3gz5dАй бұрын
Jaman mungu amusimie huyu kiongoz wasimuue
@AlhajiIssa-jb9hrАй бұрын
Kwa mujibu wa maelezo yake kabla ya makonda hakua na haki huyu mama ila kwasasa baada ya makonda anahaki. Huu ni udhaifu mkubwa wa baadhi ya watumishi Katika wizara ya ardhi.
@frankaron783Ай бұрын
Hujaamua tu kugombea uraisi lkn ukigombea mpaka chadema watakupigia kura maana katikati ya hao unaowasaidia nawao wamo mkuu. Mungu akubariki mnooooooooo
@greenermichael2057Ай бұрын
Ooooh magufuli wenu kakufa ,kwan hamumuoni si huyu hapa ❤❤❤❤
@wycliffeombogo895321 күн бұрын
Wewe makonda anafaa kua rahizi wa mungano wa TZ umalishe kazi ya pombe magafuli
@yohanabmasunga35755 күн бұрын
hahahaaaa nimecheka kama mazuri
@myk6519Ай бұрын
Very sober and critical questions from RC
@elishakimariyo4983Ай бұрын
Baba wa taifa nakupenda sana makonda
@RoseTimilaiАй бұрын
Ubarikiwe
@sportsnewjs4330Ай бұрын
Nijambo zuri sana ukiwa kiongozi wa wananchi ukawa mtenda haki maama huo niuzalendo katika Nchi yako, na MUNGU atakubariki sana Hapo Makonda umewajibika vizuri sana'👏👏👏
@user-sd5zf6fz4vАй бұрын
Mungu akusaidie makonda❤
@songezaАй бұрын
Yaani kweli kabsa anatakiwa kuwa Rais wa Nchi hii Mungu amlinde ampe maisha marefu
@monicapeter90652 күн бұрын
Tanzania ingekuwa na akil kama za raia wa kenya Faster tungekuwa tumemtaka makonda awe raisi mara moja bila kusubir kampen
@BensonMazingaАй бұрын
Mm nipo Malawi ila namkubal sana uyu jama
@user-xm5xg1tt6dАй бұрын
Kuna siku makonda atakua raisi wa nchi hii allah amuweke ampe maisha marefu inshaallah
@machintangachibwena5922Ай бұрын
Bora kuliko Punguani Tundu Lisu alishaolewa Belgium ila bado Talaka yake hakuweka Sahihi
Mmoja kati ya waliokuwa wanababatiza kuamini utendaji wako,lakini kwa hapo Ar,wewe ni chuma.Go on bro.
@RebeccaMuhimba-be1pjАй бұрын
baba mi nitakupa kura omba urais
@TitoNgomuoАй бұрын
Makonda toa majib,,usiulize wananchi majib
@user-vp2ux1ji4mАй бұрын
Ee hii sasa ni 2024 makonda mungu we nawe siku zote
@antonbkatembo5029Ай бұрын
Awe kiongozi wa Wakuu wote wa mikoa Nchi itaheshamika mnoo
@mussaharun725727 күн бұрын
Waziri Tamisemi
@doricadominic50954 күн бұрын
Mungu anatuona Tanzania katuletea Magufuli Mwingine
@Yusra728Ай бұрын
Wawoooh! Jembe letu hilo, makonda wewe ni kama magufuli no. 2 Mwenyezi Mungu awe pamoja na wewe
@HurumaAntonyАй бұрын
Raise wetu
@EmanuelKabeaАй бұрын
Naiona nchi ya ahadi hiyooooooooo !!!!! asanteeee mungu zid kutuongezea watu kama huyu
@BrayStephano20 күн бұрын
Makonda noma sana namkubali yuko kwenye haki san bigap my brother
@HenryHabeli-iy5dvАй бұрын
Mtetezi wa wanyonge piga kazi na mungu atakutangulia
@SaNFamily274Ай бұрын
Nakubali makonda❤❤❤❤❤❤❤🎉
@edrisalusonge4141Ай бұрын
Safi sana kaka mm naomba kuonana na makonda
@husseineliasa452Ай бұрын
Huyu kiongozi ni mzuri sana wana arusha mmepata mtu sahihi
@HamisMghuna-fj3vzАй бұрын
Watu w ardhi hua n waungu mtu,hukumu gan ww Mungu akuadhibu
@mikeshegzy704511 күн бұрын
Uyi ni kama raisi magufuli , Ubarikiwe sana
@bugybuster57889 күн бұрын
Makonda MUNGU akulinde sanaaa
@africanpesa336529 күн бұрын
Mkuu mh makonda kujitoa sadaka nijambo jema je? Wantanzania wezangu makonda Akikabwa tutaungana au tutamukimbia kazi anaitenda kisawsawa natamanisana angalau hawa viongozi wengine angalau wakae wafikili akili anazo zitumia amelisi kwanani mwenyezi mungu akulinde kujitoa sadaka kunahitaji moyo ❤❤❤❤❤❤
@StephenMbugua-el9hy24 күн бұрын
Wow great work ♥️🇹🇿❤🇰🇪
@user-hb6sg1sh1z25 күн бұрын
Bom trabalho Mozambique kazi njema
@itanzaniaASАй бұрын
Hii operation ni FICHUA MAOVU. Na inasaidia sanaaaaaa. IENDELEEEE
@mupinimulila1762Ай бұрын
Kabisa ndugu .
@ceankiiza994526 күн бұрын
Mungu Akuongoze Zaid Kaka ifike Mahala na URAISI tukupatie uinyoshe hii nchi aisee tumechoka kiukwel haki aipatikan kwa mnyonge
@user-zf2hh4zq2jАй бұрын
Makonda dah❤❤
@songezaАй бұрын
Makonda we akili ulipata wapi ya majibu ya papo Kwa papo hongera mwanangu dah Mungu akuzidishie
@TatuRajabu-cz6jz24 күн бұрын
Kama magufuli jamanii
@user-ew7xd1xu3s15 күн бұрын
Aluomba hekima
@jeraldjensen650425 күн бұрын
Du!!!!! Sjui huyu kasoma shule gan, MUNGU amtunze kwaajili ya vizazi
@eddykatamba1008Ай бұрын
safi sana mkuuu ikulu yako jaribu tu kugombee chadema wote watakupigia kura mpaka utashangaaa!!!
@user-ql7to3rm3p27 күн бұрын
Mimi ni mkenya lakini napenda Tanzania vile Viongozi wanafanyia Raiya❤❤
@amanaoman96902 күн бұрын
Sisi watanzania huwa tunasikilizaza ❤
@SadaKigwangala29 күн бұрын
❤❤❤❤❤RC makonda
@greenermichael2057Ай бұрын
Makonda gombea urais hata leo
@kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын
HAWA VIONGOZI WENGINE AWAZIONI SUPANA WANAZOPIGWA VIONGOZI WENZAO MATAPELI😂KAZA SUPANA MAKUFULI JUNIOR 😂😂
@saidimgawe6548Ай бұрын
Makonda 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@RebeccaMuhimba-be1pjАй бұрын
makonda😂😂😂😂 shikamoo nakupenda sana baba angu upo sawa kabisa yaana lazima nikuoe kura ya urais
@edrisalusonge4141Ай бұрын
Mm nampenda sana saaaaaana makonda
@DanielMwamengele24 күн бұрын
Makonda mungu aenderee kukutunzaa
@Aida-qh3jqАй бұрын
Mwenyez mungu akusimamie popote pale uendapo makonda
@juliethmagembe22622 күн бұрын
Mungu akutunze wee baba
@sebastiangabriely3279Ай бұрын
Bro umeenea...wish uje kuwa kiongozi mkubwa Tanzania hiii
@user-by7ie6yy5nАй бұрын
Aise makonda we noma
@user-tc5vt1om5tАй бұрын
Nawaona mpaka wadudu hapo
@umsulaiman7468Ай бұрын
Mungu Akupe Jana Makonda kipenzi chetu jamani nakupenda bure kwa kutenda haki Mungu akubarik Sana hutaki mchezo
@JuliasiSatotiАй бұрын
Mungu atakusahidiya m
@louxonmedia26 күн бұрын
Ngole kachana nyavu
@IreneLeonard-rl3jqАй бұрын
lakin kuwa makin usje ukapewa sumu
@luganouswege628Ай бұрын
Makonda fanya kazi ya mungu
@dondallas668321 күн бұрын
Makonda ww mkali snaa
@Donasian-ry9kh3 күн бұрын
Baba kweli unafanya kaz mungu akubarik kingine huku mtaan tumejaa vijana kutoka jkt tunafunzo ya kutosha nimefundishwa silaha natupo mtaan tusaidie pamoja navyeti tunavyo mkuu tusaidie
@user-ei3rf1qb2z18 күн бұрын
MUNGU KIPE IKI KICHWA MAMLAKA YA KULIONGOZA ILI TAIFA.
@Arsenal002Ай бұрын
Hii Chanel ya nchi gani taarifa ya mwezi uliopita unapost leo
@tuikezeezra1315Ай бұрын
Mungu azidi kukupa ulinzi na afya njema bwana Makonda syo kwamba kila mtu anapenda maendeleo!!, ndo maana hata kwa Magu walifanya yao mapema.
@user-bf1jd9nl3vАй бұрын
Makoonda Oyeeeeeeeeeeee.......
@billmkushi849Ай бұрын
Huyu Dissmas Mungu atawamaliza kama hamtatubu!!!
@LovelyOmbreSky-pu4jtАй бұрын
Safii sanaa makonda
@user-xf4qs5ti5mАй бұрын
Kweli makonda huyu,,wanamawili tu haki ipatikane au watafute pakula😂😂😂😂
@MickyAbuyq24 күн бұрын
Makonda kama magufuli mwakani anatakiwa kuwa raisi anaweza kuongoza nchi vizur sanaaa. Mungu ambarikii