Pole sana ndugu mwenyekiti. Hayo yanayokukuta nimatokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa yaliyopita. Ulipowekwa uliona raha sasa hivi utamu umekua shubiri.
@user-qz2sk3is9cАй бұрын
Umenena vyema lakini nae hakuwa makini kwenye kiti chake
@user-rc8zw6jp2yАй бұрын
Hongera mh Makonda ,Mungu Akuepushe na mabaya yote
@deohank5995Ай бұрын
Nimeamini wananchi wa Tanzania siyo WAJINGA ni MUDA TU , hongera Mh. Makonda
@sebastianmusyebi-yv1hmАй бұрын
Mwenyekit labda alipita bila kupingwa hyu hata kaz hajui
@robertempire9542Ай бұрын
Kweli kwa style hii tutafika tu Mana spana ikikugonga unapewa na huduma ya kwanza... Makonda piga kazi❤
@samwelgeay81033 күн бұрын
Makonda bigab Sana Endelea kutenda haki Mungu akutie nguvu amina
@mussaharun7257Ай бұрын
Ukiskia responsible citizen ndo huyu sasa
@Jey-zh9tkАй бұрын
Uyo kaka apewe ulinz plz na ntamlipa bodyguard wake.
@anethmollel6564Ай бұрын
Ahsante kaka Makonda wewe ni mwanga wa jamii
@user-zk9ox3di4b8 күн бұрын
asante sana ndugu yangu waambie hao wajue ya kwamba CCM ni wezi wakubwa waache upuuzi kujifanya miungu makonda yeye ni boya ametumwa na Samia kumfanyia kampeni wachambue. kama. karanga wananchi masikini takukuru pia niwezi wacha mizengwe makonda usimsumbue mwenyekiti wakijiji unajifanya dereva saana wachana. mwenyekiti wetu apewe haki zetu zote wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu zote watanganyika tulinde tanzanaiti yetu msilale Tanzania walio wengi vijana wapewe mashamba wajiajiri kuliko kuajiriwa na waarabu tumekataa kuporwa na wezi wachache mwsho wao umefika
@Juke995Ай бұрын
Mie ningekuwa mwenye kiti ningezimia tu 😂😂😂😂😂😂😂
@joshuason557Ай бұрын
Uyo mwanainchi apewe uwongozi ,anaweza 👏🏿✌🏿🇺🇬
@BenithaAronАй бұрын
Kabisa yuko moto daaaa
@mussaharun7257Ай бұрын
Leadership is not about age, is about wisdom
@user-ef2ln1mx3sАй бұрын
Wewe unae sema tumpe urais unajitambua au maigizo Aya ndicho kipimo Cha urais wasiojukikana ukiwapa nchi matokeo yake nini
@nkwazigatshaАй бұрын
Huyu kama si Makonda basi ni chawa nene lakini lisilojitambua wala kuwatambua wengine. Hata hivyo, tangu urais ugeuke urahisi, hata kuku anauweza kwa sababu hakuna kuwajibika. Kama rais mzima anatetewa na chawa unategmea nini tena? Kama mazwazwa kama Mwigulu na PhD zao feki ndo washauri wakuu wa rais, untegemeani?
@harunarashid6404Ай бұрын
😂😂😂mwenyekiti kauguwa
@noahkapindo5 күн бұрын
Hongera makonda hii nchi kero ni nyingi mno kwa wananch
@DottoMalagoАй бұрын
Tatizo ni wananchi wenyewe,kufanya ushabiki kwenye kuchagua viongozi,bila kukumbuka kwamba,wanapomchagua kiongozi,wanachagua mtu anayewaamilia waishi vipi,ktk kipindi cha uongozi wake,sasa akiwa si mkweli au hajui anachokifanya,hasara ya miaka mitano,akiwa mchapakazi ni faida kwa miaka mitano,hivo unapofika wakati wa uchaguzi,tuache kuwa vipofu ghafla na tuache ushabiki wa kijinga,
@user-qz2sk3is9cАй бұрын
Makonda oyeeeeeee
@BoisDonkoil-rk8lrАй бұрын
Inanifunza kuwa ukitumia nguvu, siku moja ipo siku itatolewa kwa nguvu hiyo hiyo,,, Mungu atusaidie tusiwe wakujipenda kwa kujisahau🇰🇪
@nicodemuswidambe5132Ай бұрын
Hii staili ya kuongoza kwa nchi hii ni ngumu. Hiki kitu kinatoka wapi?
@DorikasiMwakabelaАй бұрын
Hiyo nikweli kabisa mtawala nimchungaji
@spiderelexander9977Ай бұрын
Makonda piga kazi tunakuombeab Mungu atakuongoza
@husseinkonz5192Ай бұрын
Mama kapanik huu mchezo hautaki hasira 😊😊
@najmanuru2021Ай бұрын
Wala hajapanic maana anaevidence na title mkononi ilikua haina haja hata yakuongea wametesewa miaka 30 alafu huyu jamaa sio mwenyekiti ni raia na nimuongo yy aitwe kama nani wakati mwenyekiti na diwani ndo wasisimiamia zoezi yakutoa godown na mkuu wa wilaya ndo aliamuru itolewe sasa yy kama nani alitaka aitwe
@leokamil6284Ай бұрын
@@najmanuru2021Mkuu wa Mkoa amebasse kwenye kufurahisha wananchi wenye visasi na yeye kaungana nao badili ya utawala wa sheria na haki.Mama anasema nyumba ni ya Kaka yake hasikilizwi kwa sababu ya kufurahisha watu wenye chuki .Huo sio uongozi
@najmanuru2021Ай бұрын
@@leokamil6284 kabisa alafu huyu jama ni mdogo kwa huyu mama na sio mzaliwa wa kisongo kahamia miaka ya juz sasa historia ya kiwanja cha watu unaingiliaje wakati wanatitle ya 1958 hapo yule mzee abel nae anadai kiwanja ambao hawa hawa viongozi wamechukua ndo angefaa kumuelezea ukweli wa eneo ya hao kina mama anawajua vizur lkn sio huyo kijana yani muongo kweli
@shabanikavula130428 күн бұрын
@@leokamil6284uko kamili
@shabanikavula130428 күн бұрын
Uko kamili
@user-pt5rn5nj2fАй бұрын
Ila jamaa mtoa hoja nae anapenda sifa jamn😂😂
@kichenjewillian5720Ай бұрын
Anajiaminisha sana...bila kujua hawa ni watu.
@barikiringo6311Ай бұрын
Mwananchi huyo ana haki ya kuwa mwanaharakati na diyo kiongozi! Akiwa kiongozi atapumbazwa
@user-yk8zp8zr5bАй бұрын
Huyu mwenyekiti hana tofauti na mwenyekiti wetu ukienda akuandikie hati anamuita mtoto wake ndio anaandika hajui kusoma wala kuandika na ukienda unashida pesa mbele 😂😂😂 magu hapo alituweza
@ShababuShababu-bh6sxАй бұрын
Wapi huko mdau kwani hata kwetu yupo kusoma hawezi kabisa.
@Mamagracious799Ай бұрын
😂😂 ni huzuni kwakweli 😢
@MabulaMboje-yp1xbАй бұрын
Tunamuomba poo Makonda aje kutumikia mkoa wa geita
@obednyagani506Ай бұрын
Mtoa kero apewe cheo
@obednyagani506Ай бұрын
Magodaoni yote ya enzi za Nyerere mengi sana yameuzwa
@NewadyNzuyuАй бұрын
Uje na uku kwet makonda iringaa
@musaamos2431Ай бұрын
Ilitakiwa mwenyewekiti akimbie😂😂😂
@barikiringo6311Ай бұрын
System ya Magufuli ya kupitishwa viongozi bila kupingwa
@hajjiomary2383Ай бұрын
Ndo shida
@awazimwanshuli5250Ай бұрын
Uyooo jamaa anavisa vyake kwa uyoo mama,mama kesha SEMA ana hati ya eneo saxa iweje anaulzwa maswal ya kumpankisha
@najmanuru2021Ай бұрын
Kweli kabisa ata hawampii nafasi yakujibu vzuri
@leokamil6284Ай бұрын
Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe nashangaa hata Mkuu wa Mkoa hataki kumsikiliza kwa kufurahisha wanakijiji walio changanya chuki za kipato. Amemwambia Mkuu wa Mkoa kuwa hiyo mali ni ya urithi na kwamba Kaka yake ndio mwenye upande ulozidi.Nilitegemea Mkuu huyo angemuita muhusika hata Ofisini kwake ili ampe kauli ya kuvunja matokeo yake anamuamuru asiyehusika infact yeye anabasse kwenye chuki za wananchi ili awafurahishe anaamua kumkandamiza Raia mmoja hiyo sio njia sahihi ya uongozi bali ni uongozi wa visasi
@jamesmaneno2281Ай бұрын
Uyo Mzee alie ongea apo apewe cheo kichwa sana
@najmanuru2021Ай бұрын
Cheo gani cha kuongea uwongo kuhusu kina mama wawatu walioteseka kupata haki yao miaka 30
@editorlais5185Ай бұрын
Mwenyekiti hajuy Kazi zake
@stevensteve7519Ай бұрын
Mifumo yetu ya usimamizi wa kazi na rasilimali haufanyi kazi inabidi sasa tufanye kazi kwa kutumia mikutano ya hadhara. Nani kawaweka hao watumishi wanaolalamikiwa? Hivi kwa staili hii tutafika kweli?
@spiderelexander9977Ай бұрын
Waliopita bila kupingwa matokeo yake ndo hayo
@hajjiomary2383Ай бұрын
Brother auna point mama ana title
@geofreymilinga2965Ай бұрын
Mwananchi mtata kweli kweli
@JuliusHatariАй бұрын
Duh
@user-qz2sk3is9cАй бұрын
Huyu mtoa kero apewe maua yake jamani
@user-qz2sk3is9cАй бұрын
Sana tu
@user-qz2sk3is9cАй бұрын
Apewe uenyekiti wa kijiji sasa
@ConfusedBloomingFlower-wv1gf15 күн бұрын
Makonda hoyeeeee
@MgondeMgonde11 күн бұрын
Makonda njoo Tabora
@rithaurassaАй бұрын
Mheshimiwa RC MAKONDA huyu. Mama ni mwuongo.Wasomali wamevamia kwasababu wa uwezo wapigwe nyundo haowameingilia eneo la Soko.
@khatrarage4445Ай бұрын
Nani alie kuambia wasomali wamevamia eneo la soko wakati hati ipo kabla y kuweka soko wao wameuza eneo la soko ss wakangangania eneo la watu acha zarau kama hujui
Makonda analazimisha na kutaka sifa. Kwanini asitumie taratibu za kiofisi badala ya kujimwabafy? Bado anaishi kwenye zama za mwendazake ambaye naye alikuwa na mazabe yake. Hili jinga linamzuiaje mtu kuchukua fomu wakati ni haki ya kila mtanzania? Yeye alichukua fomu Kigamboni akachemsha pamoja na kuonywa lakini hakuzuiliwa. Makonda ni wa hovyo japo wengi wanamuona anafaa. Mteule wa rais anapata wapi mshipa kumzuia mtu kuchukua fomu? Kwanini huyu zwazwa anawaumiza wananchi kutaka kufanya kampeni baada ya muda unaoruhusiwa kisheria? Ona anavyojisifu na kuwatuhumu mambo ambayo hata hana ushahidi nayo. Samia amekuwa wa hovyo au asiyefuatilia hadi anakuwa na watu wa hovyo kama Makonda ambao walishavuruga wakati wa yule aliyewatengeneza.
@damianjeremia3821Ай бұрын
Wewe uko idara gani au ulishawahi kuongoza hata mtaa
@nkwazigatshaАй бұрын
@@damianjeremia3821 Onglea tunayemuongelea. Mie umeniingizaje. Mie ni mtaaluma wa kawaida tu aishiye ughaibuni na nina safu kwenye gazeti la Mwananchi kila jumatano
@Gloria-vh5bzАй бұрын
WENYE akili Kubwa Km yako wachache sn watanzania wepesi kusahau kuwa HUYU wanaemuita mukombozi wao ndio moja ya Watu wasiojulikana waliotoa ROHO nyingi zisizona hatia ,Leo hii wanasahau kwa maigizo haya
@nkwazigatshaАй бұрын
@@Gloria-vh5bz Nakubaliana nawe kuwa ni criminal wa kawaida japo sikubaliani nawe kusema watanzania wanasahau wakati wewe nami ni watanzania hao hao.
@BukuruBahizi-go3fiАй бұрын
Huyu nikati yawala haki zawatu ndiyomana anamuona makonda wetu kua anatumia ubabe kutatua kero hasa eti alipandizwa tabia za MAGU ndug makonda piga kz
@ElizabethMungo21 күн бұрын
Hapo kny fomu uongo ni haki ya kikatiba
@user-nc9kh8zi6xАй бұрын
Mm kama mwananchi cheo cha mwenyekiti apewe huyu jama a
@najmanuru2021Ай бұрын
Muongo huyu kwenye vingine katunga
@DottoSaidy-wc9nn18 күн бұрын
Kazi ipo kulachumaicho
@TerryFozzy14 күн бұрын
Hizi kesi hizi unaweza pasua kichwa
@sylverbutamanya8588Ай бұрын
Huyu jamaa ajengewe Sanam hapo kijijini
@najmanuru2021Ай бұрын
Sanamu yakupewa rushwa kusema uwongo au ?
@JumaLugomeАй бұрын
Mm
@davidchihimba948916 күн бұрын
Mwenyekiti hana akili mwizi tu huyo
@victoriaMwashiuyaАй бұрын
Ninashida na hela
@user-lp3pv2wi5pАй бұрын
Wasomalia Wana tabu
@addymsola4625Ай бұрын
Makonda safi bwana nimekukubali kaka
@DottoSaidy-wc9nn18 күн бұрын
Mamausipaniki bwananendapolepole
@kemmymartine4884Ай бұрын
😂ila wananch ni wagumu hahah
@diegoshanga8184Ай бұрын
Risasi au bunduki nikuvurugwa!!
@nurukacharia6838Ай бұрын
He
@iddimiraji6551Ай бұрын
Wishoo boy they halaaaaaa
@jumaigoti7541Ай бұрын
Huyo mama anaonekana ni k8buri Cha pesa
@leokamil6284Ай бұрын
Umewahi kuzungukwa na wasio na uwezo wa kulingana?huwa ni hivi mwenye nacho huumizwa na asienacho kwa kigezo cha kuwa anacho hivyo anaonekana anajigamba.Kifupi usiombee uzungukwe na wato waliokuwa hawalingani kipato na wewe utajuta
@najmanuru2021Ай бұрын
Wala hana pesa ulizeni na fatilieni ukwel kabla yakushutumu mtu kama angekua na pesa inakuaje yy ndugu zake wameteseka miaka 30 bila kupata haki yao pka magufuli ndo wakapata swali rahisi sana hilo jiulize magufuli alikua mtetea haki ndo maana wakapewa eneo Lao ww unamskiliza huyu jama anvisa vyake ametumwa kusema uongo
@BeatriceKitembe-gs9siАй бұрын
Mungu atazidi kukuinua.... Zidi kutenda haki Mungu azidi kukutunza na kukulinda 🙏
@abidandastanmaliyatabu1373Ай бұрын
Wanyoshe, makonda MUNGU akuinue ktk taifa hili
@MegaAlexisonАй бұрын
Wasomalia hawo
@Zainab_salatАй бұрын
Na nani? Mm ni msomali na nimezaliwa Tanzania😮😮😮😮😮😮, unasemaje?
@najmanuru2021Ай бұрын
Kwahyo akiwa msomali kazaliwa tz shida nini
@najmanuru2021Ай бұрын
Na wanahaki 💯 maana eneo ni Lao tangu 1958
@MiriamAbdallahАй бұрын
Msomali ana haki ya kuishi hapa Tanganyika kama wewe mi ni mslomali nimezaliwa Arusha je mi sio raia, acha ubaguzi
@najmanuru2021Ай бұрын
@@MiriamAbdallah kweli kabisa embu muambie maana kule Somalia wapo watu wa tanga walipelekwa na wanaishi paka Leo wala hawatukaniwi lakini huku kutwa kututaja wasomali wasomali
@barikimollel7890Ай бұрын
Spana+Spana+Spana
@user-wh7ds5ys7yАй бұрын
Huyu tumpe uraisi anafaa sana tu
@bettyjimmy9007Ай бұрын
Uled yuko wap
@SAIDIMUKSIN-iy2opАй бұрын
Uenyekiti w nn kazi isiyo na malipo
@selemanimasatu2421Ай бұрын
Wenyeviti wanapata pesa mno tofauti na unavyofikili ndugu, kuna jamaa yangu M/kiti mpaka kanunua na Prado na majumba anajenga kwa kasi kubwa sana.
@zeelamipangoАй бұрын
😂😂😂😂
@stevensteve7519Ай бұрын
Mwenyekiti mlimweka wenyewe sasa tena mnamsulubisha hadharani
@EmmaPonera23 күн бұрын
Amesulibishwa au yameletwa malalamiko Kwa hiyo unataka akae kimya
@thomassalvatory8303Ай бұрын
serikali mkinyanganywa kitu mnakuwa wakali kama wamechukua chao nyinyi ni only 1.5m mbona mnakuwa wakali
@najmanuru2021Ай бұрын
Sindio hapo yani wao wamenyanganywa na serekali eneo Lao miaka 30 Leo yao 1.5 ni hatua moja ya unalalamika kwa rc mkuki kwa nguruwe kwa bindamu mchungu tena wangetakiwa hawa kina mama walipwe fidia yakuteseka miaka 30
@leokamil6284Ай бұрын
Point
@leokamil6284Ай бұрын
Asante na kuna sehemu nyingi walinyanganya na hawajalipa fidia
@angellomarcel5677Ай бұрын
Full spana DADEKI....Makonda❤..spana na Matibabu
@gabrielzakaria2810Ай бұрын
We makonda ni zawad toka kwa mungu kwanz una huruma hicho kitendo cha kumwambia mwenyekiti atibiwe ni heshima kubwa umeonyesha kwa wananchi
@nkwazigatshaАй бұрын
Unajua maana ya zawadi au uchawa na ujinga vinakusumbua?