Jamani sijapenda mashabiki wa kp hamutendi haki kwa likoma kumbukeni likoma kafanya tumujue zaidi lakini video za likoma eti watu mupo 78 kweli sio sawa like zipo 691 sio saw😢
@rozeyousef982326 күн бұрын
Jitaidi kushea link na kuhamasisha wengine ili tufike kiwango kwa sapoti zaidi😊
@christinamethod236426 күн бұрын
Muwe mnaniita mapema😁
@AmosBudoya26 күн бұрын
Kabisa jaman let's support likoma
@josephluomba880725 күн бұрын
Hatukuwa tiyari 😅😅😅
@user-sc7sn6ux2v23 күн бұрын
together
@NipherKwamboka26 күн бұрын
Kutka Kenya Leo nimekufa number 5 nipeeni like hata kumi jamani
@Zainab_salat26 күн бұрын
Umekufa? Mbona una comment😂😂❤😂😂
@purityneema21826 күн бұрын
Kufa tena ?😂😂
@PendoRobert-ph6ux26 күн бұрын
Umekufa namba 5😂😂😂😂
@Laxy_Talent26 күн бұрын
aya bwn
@PoliceNdizeye-rt2ml26 күн бұрын
Musalimie yesu 😂😂😂
@user-sy9cu5ef5q26 күн бұрын
Yani nkiona mzee likoma na Mr dibozi nacheka taar bila hata kujua inahusu nini jamani 😂😂😂 nawapenda sana nikiwa Kenya 🇰🇪
@user-ex6tg6di7r26 күн бұрын
Kp na zebuu mnapendeza , hii movie 🔥🔥🔥🔥👏👏🇰🇪
@abdallahassan637826 күн бұрын
Kp nilikua naumia kuona move yen ni moja tu nilitamani kuona kil kipindi cha wamangush mzee wagiza na dada ,yaani hongeren sana 🎉🎉🎉🎉kwa kuongeza move
@OUTLAWDRILLERS26 күн бұрын
Sijachelewa pia mm kutoka kenya,,likes kwangu
@JohariJohari-rv5js26 күн бұрын
Nguo zashule zimewapendeza
@nasorohusein-uz4hv26 күн бұрын
Mzee likoma KAZI nzuri mungu akuongezee maarifa zaidi utazidi kufanikiwa
@simbeyrugata874526 күн бұрын
The best movie, congratulations to you all actors, especially kp,zebu,diboz and likoma
@modostar26 күн бұрын
Kazi nzuri na mm ni msanii natamani kufanya ksz na nynyi
@Therapist_kicha17 күн бұрын
Why message kama hii huwa hawaijibuu
@tobiaschirwa936426 күн бұрын
Unyama Sana Mzee Likoma & Dibozi nawapenda kutoka malawi tuko pamoja tutasubiri mwendeleo 😂😂 mumependeza Kp na Zebuu ❤❤❤❤❤
@SamuelAloo-qv3kg26 күн бұрын
Mfuasi wa mzee likoma na dibozi manuva kutoka kenya 🇰🇪
@WardaMohhamed-xx9mv9 күн бұрын
Nimeipendasana
@ShanBaby-dy4db26 күн бұрын
Samahani am from Kenya the capital city of Africa nipeni like zangu❤❤❤
@hamzaIlunga26 күн бұрын
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa likoma tupia like zangu apo
@yohanemwanzalima277726 күн бұрын
Kp na zebuu napenda kazi zenu zote nzuri
@ruth137725 күн бұрын
Wow hii nzuri nimeipenda ad raha🔥🔥🔥🔥❤️❤️💯💯💯💯
@madymag692626 күн бұрын
Likoma na dibozi wow Nawependa bure kazi nzuri sana❤❤❤❤😂😂😂😂😂
@MauaroseMauarose26 күн бұрын
Hahaha haaaa jamani jamani mpaka tumbo linaniuma
@bakariomari673510 күн бұрын
Kwann likuume❤
@NishimweDeo-th6qw14 сағат бұрын
Nabapenda sana kabisa.kebi na zébu narikokoma.napenda muvie zébu 🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤❤❤❤
@Mariamjaromedevu2 күн бұрын
Mzee likoma na kibozi mnanifurahishag san❤❤
@lucyrif-np8ik26 күн бұрын
Nimebaki tu nikicheka yaan likoma wewe et tumbo linahifadhi vyakula vingi😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
@user-xd8qy1cx2b26 күн бұрын
Jamani move nzuri sana likoma big up 💪💪
@JanetSanga-b6p26 күн бұрын
Kazi nzuri nawapenda nyote
@ZitoAntonioNhanga-ms6uj26 күн бұрын
Nampenda sana mze likoma❤
@user-dy2zp2iw6z26 күн бұрын
Jmn zebuu Hilo shangazi kaja 😂😂😂
@user-yg7dy8ls9e13 күн бұрын
😅😅😅😅aisee nmecheka mpaka nmepaliwa
@user-md2ct5fl7h26 күн бұрын
Mzee likoma unauwa sababu ya dhahabu kali sana
@EdwardTz.26 күн бұрын
Hatari sana itanoga kuliko mzee wa giza ❤❤❤❤
@LinetOpio-uj2eb23 күн бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣 likoma acha uzembe ukalime bana na venye nilikua nmekufia hivi, ucfanye nchange mind🙆🙆🙆🙆🙆
@user-op7tg4wq2g26 күн бұрын
Nakubali wapi like za mzee likoma
@EdalyDaud22 күн бұрын
Dog sele
@FaithAdela7 күн бұрын
Wow kp n zebuu munawezanga sn na pia hao wengine munambamba sn ongereni sn timu zebuu
@johnfilbert591526 күн бұрын
Kumbe ndo maana plan b inachelewa ,,kina seasin nyingine
@jacksonminani978226 күн бұрын
Kazi nzuri sana likoma Suraj yupo wapi kwenye plan b??love kutoka burundi
@joycemaregesi1826 күн бұрын
Haya ndo maswali ya kuulza suraji toka sonaa haonekani lakini watu kuomba like tu kuchangia vitu vya musingi aaaaaaah 😮
@mary-lx3hr26 күн бұрын
😂😂pia mm nlikua nataka kuuuliza hivyo suraji Yuko wap
@joycemaregesi1826 күн бұрын
@@mary-lx3hr si ndo hàpo sasa lakini watu kila anayecomment anaomba like utadhani zinapunguza ugumu wa maisha😏
@jacklinefatma626322 күн бұрын
@@joycemaregesi18wa kuomba like waulize wapost nn
@joycemaregesi1822 күн бұрын
@@jacklinefatma6263 nawaulzaga wanaomba like kwa kipi wamefanya😏dalili moja wapo ya ushogha ni kuomba like ambazo hujafanyia kazi
@user-lf5ud8vb5j26 күн бұрын
Samaani nipeni like zangu from 🇨🇩 nakupenda sana likoma
@jaymapepefatma593622 күн бұрын
This is love from Mozambique 🇲🇿❤
@brenduemmanuel754019 күн бұрын
Kaz nzur nawapend saaan jamn mnafany naenjoi nikichk move zen
@AbdulBushiri-b6o4 күн бұрын
Ninawapenda sana hawa watu kifupi nina iipenda group lao 😅 kutoka tanzania dare ssalaamh
@BrayMark-d3z23 күн бұрын
Tupe hii baba achana na plan b
@user-su5oi5wb6c26 күн бұрын
Nawakubali sana kp na zebuu mumerudi shule na mumependeza 😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@metrinenyakoe176423 күн бұрын
Tunakupenda sana likoma kazi nzuri. Much love from kenya 🇰🇪
@CarolinePeter-gc8fp25 күн бұрын
Kiukweli mmejua kutusuprise but hongereni sana kwa kazi nzuri be blessed guys
@TamashaAwadhi14 күн бұрын
Nawakubali sana haswa kp
@AmosBudoya26 күн бұрын
Jaman from Tanzania nipen likes zang
@feisaldesign41565 күн бұрын
Likoma ume perform vzur ktk senior yko good
@user-rl5zb1jc9k26 күн бұрын
Unyama mwingi 🔥 much love from Kenya 🇰🇪😘
@theopisterjovent348321 күн бұрын
Kwanzia kesho mnaenda shule😂😂 aya MR MONEY❤ hatutaki haibu nenda shule KP na Zebuu🤝
@Asia-dq3rt26 күн бұрын
Aki nmecheka kwa saut so kwa hayo masomo 😂😂😂😂😂
@isabellahchuma21 күн бұрын
Ety zebuu darasa la pili,alaf nimekuama hapa kwa a e i o u😅😅😅😅😅😅kazi nzuri sana timu likoma na timu yako🎉🎉🎉❤
@ThumahSalush11 күн бұрын
Mambo napenda movie zenu mnajua kuakti wow ❤😅😅 mwaaaa
@MancaGilbert-os9kx16 күн бұрын
Huwa nikiangaliaga video za likoma na diboz huwa na cheka Sana mm jmn haya jamn kaz yenu nzuri