MR MONEY_EP 01

  Рет қаралды 270,838

LIKOMA

LIKOMA

27 күн бұрын

#mzeelikoma#mrmoney#kpnazebuu

Пікірлер: 749
@AnithaStiven
@AnithaStiven 26 күн бұрын
Jamani sijapenda mashabiki wa kp hamutendi haki kwa likoma kumbukeni likoma kafanya tumujue zaidi lakini video za likoma eti watu mupo 78 kweli sio sawa like zipo 691 sio saw😢
@rozeyousef9823
@rozeyousef9823 26 күн бұрын
Jitaidi kushea link na kuhamasisha wengine ili tufike kiwango kwa sapoti zaidi😊
@christinamethod2364
@christinamethod2364 26 күн бұрын
Muwe mnaniita mapema😁
@AmosBudoya
@AmosBudoya 26 күн бұрын
Kabisa jaman let's support likoma
@josephluomba8807
@josephluomba8807 25 күн бұрын
Hatukuwa tiyari 😅😅😅
@user-sc7sn6ux2v
@user-sc7sn6ux2v 23 күн бұрын
together
@NipherKwamboka
@NipherKwamboka 26 күн бұрын
Kutka Kenya Leo nimekufa number 5 nipeeni like hata kumi jamani
@Zainab_salat
@Zainab_salat 26 күн бұрын
Umekufa? Mbona una comment😂😂❤😂😂
@purityneema218
@purityneema218 26 күн бұрын
Kufa tena ?😂😂
@PendoRobert-ph6ux
@PendoRobert-ph6ux 26 күн бұрын
Umekufa namba 5😂😂😂😂
@Laxy_Talent
@Laxy_Talent 26 күн бұрын
aya bwn
@PoliceNdizeye-rt2ml
@PoliceNdizeye-rt2ml 26 күн бұрын
Musalimie yesu 😂😂😂
@user-sy9cu5ef5q
@user-sy9cu5ef5q 26 күн бұрын
Yani nkiona mzee likoma na Mr dibozi nacheka taar bila hata kujua inahusu nini jamani 😂😂😂 nawapenda sana nikiwa Kenya 🇰🇪
@user-ex6tg6di7r
@user-ex6tg6di7r 26 күн бұрын
Kp na zebuu mnapendeza , hii movie 🔥🔥🔥🔥👏👏🇰🇪
@abdallahassan6378
@abdallahassan6378 26 күн бұрын
Kp nilikua naumia kuona move yen ni moja tu nilitamani kuona kil kipindi cha wamangush mzee wagiza na dada ,yaani hongeren sana 🎉🎉🎉🎉kwa kuongeza move
@OUTLAWDRILLERS
@OUTLAWDRILLERS 26 күн бұрын
Sijachelewa pia mm kutoka kenya,,likes kwangu
@JohariJohari-rv5js
@JohariJohari-rv5js 26 күн бұрын
Nguo zashule zimewapendeza
@nasorohusein-uz4hv
@nasorohusein-uz4hv 26 күн бұрын
Mzee likoma KAZI nzuri mungu akuongezee maarifa zaidi utazidi kufanikiwa
@simbeyrugata8745
@simbeyrugata8745 26 күн бұрын
The best movie, congratulations to you all actors, especially kp,zebu,diboz and likoma
@modostar
@modostar 26 күн бұрын
Kazi nzuri na mm ni msanii natamani kufanya ksz na nynyi
@Therapist_kicha
@Therapist_kicha 17 күн бұрын
Why message kama hii huwa hawaijibuu
@tobiaschirwa9364
@tobiaschirwa9364 26 күн бұрын
Unyama Sana Mzee Likoma & Dibozi nawapenda kutoka malawi tuko pamoja tutasubiri mwendeleo 😂😂 mumependeza Kp na Zebuu ❤❤❤❤❤
@SamuelAloo-qv3kg
@SamuelAloo-qv3kg 26 күн бұрын
Mfuasi wa mzee likoma na dibozi manuva kutoka kenya 🇰🇪
@WardaMohhamed-xx9mv
@WardaMohhamed-xx9mv 9 күн бұрын
Nimeipendasana
@ShanBaby-dy4db
@ShanBaby-dy4db 26 күн бұрын
Samahani am from Kenya the capital city of Africa nipeni like zangu❤❤❤
@hamzaIlunga
@hamzaIlunga 26 күн бұрын
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa likoma tupia like zangu apo
@yohanemwanzalima2777
@yohanemwanzalima2777 26 күн бұрын
Kp na zebuu napenda kazi zenu zote nzuri
@ruth1377
@ruth1377 25 күн бұрын
Wow hii nzuri nimeipenda ad raha🔥🔥🔥🔥❤️❤️💯💯💯💯
@madymag6926
@madymag6926 26 күн бұрын
Likoma na dibozi wow Nawependa bure kazi nzuri sana❤❤❤❤😂😂😂😂😂
@MauaroseMauarose
@MauaroseMauarose 26 күн бұрын
Hahaha haaaa jamani jamani mpaka tumbo linaniuma
@bakariomari6735
@bakariomari6735 10 күн бұрын
Kwann likuume❤
@NishimweDeo-th6qw
@NishimweDeo-th6qw 14 сағат бұрын
Nabapenda sana kabisa.kebi na zébu narikokoma.napenda muvie zébu 🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤❤❤❤
@Mariamjaromedevu
@Mariamjaromedevu 2 күн бұрын
Mzee likoma na kibozi mnanifurahishag san❤❤
@lucyrif-np8ik
@lucyrif-np8ik 26 күн бұрын
Nimebaki tu nikicheka yaan likoma wewe et tumbo linahifadhi vyakula vingi😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
@user-xd8qy1cx2b
@user-xd8qy1cx2b 26 күн бұрын
Jamani move nzuri sana likoma big up 💪💪
@JanetSanga-b6p
@JanetSanga-b6p 26 күн бұрын
Kazi nzuri nawapenda nyote
@ZitoAntonioNhanga-ms6uj
@ZitoAntonioNhanga-ms6uj 26 күн бұрын
Nampenda sana mze likoma❤
@user-dy2zp2iw6z
@user-dy2zp2iw6z 26 күн бұрын
Jmn zebuu Hilo shangazi kaja 😂😂😂
@user-yg7dy8ls9e
@user-yg7dy8ls9e 13 күн бұрын
😅😅😅😅aisee nmecheka mpaka nmepaliwa
@user-md2ct5fl7h
@user-md2ct5fl7h 26 күн бұрын
Mzee likoma unauwa sababu ya dhahabu kali sana
@EdwardTz.
@EdwardTz. 26 күн бұрын
Hatari sana itanoga kuliko mzee wa giza ❤❤❤❤
@LinetOpio-uj2eb
@LinetOpio-uj2eb 23 күн бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣 likoma acha uzembe ukalime bana na venye nilikua nmekufia hivi, ucfanye nchange mind🙆🙆🙆🙆🙆
@user-op7tg4wq2g
@user-op7tg4wq2g 26 күн бұрын
Nakubali wapi like za mzee likoma
@EdalyDaud
@EdalyDaud 22 күн бұрын
Dog sele
@FaithAdela
@FaithAdela 7 күн бұрын
Wow kp n zebuu munawezanga sn na pia hao wengine munambamba sn ongereni sn timu zebuu
@johnfilbert5915
@johnfilbert5915 26 күн бұрын
Kumbe ndo maana plan b inachelewa ,,kina seasin nyingine
@jacksonminani9782
@jacksonminani9782 26 күн бұрын
Kazi nzuri sana likoma Suraj yupo wapi kwenye plan b??love kutoka burundi
@joycemaregesi18
@joycemaregesi18 26 күн бұрын
Haya ndo maswali ya kuulza suraji toka sonaa haonekani lakini watu kuomba like tu kuchangia vitu vya musingi aaaaaaah 😮
@mary-lx3hr
@mary-lx3hr 26 күн бұрын
😂😂pia mm nlikua nataka kuuuliza hivyo suraji Yuko wap
@joycemaregesi18
@joycemaregesi18 26 күн бұрын
@@mary-lx3hr si ndo hàpo sasa lakini watu kila anayecomment anaomba like utadhani zinapunguza ugumu wa maisha😏
@jacklinefatma6263
@jacklinefatma6263 22 күн бұрын
​@@joycemaregesi18wa kuomba like waulize wapost nn
@joycemaregesi18
@joycemaregesi18 22 күн бұрын
@@jacklinefatma6263 nawaulzaga wanaomba like kwa kipi wamefanya😏dalili moja wapo ya ushogha ni kuomba like ambazo hujafanyia kazi
@user-lf5ud8vb5j
@user-lf5ud8vb5j 26 күн бұрын
Samaani nipeni like zangu from 🇨🇩 nakupenda sana likoma
@jaymapepefatma5936
@jaymapepefatma5936 22 күн бұрын
This is love from Mozambique 🇲🇿❤
@brenduemmanuel7540
@brenduemmanuel7540 19 күн бұрын
Kaz nzur nawapend saaan jamn mnafany naenjoi nikichk move zen
@AbdulBushiri-b6o
@AbdulBushiri-b6o 4 күн бұрын
Ninawapenda sana hawa watu kifupi nina iipenda group lao 😅 kutoka tanzania dare ssalaamh
@BrayMark-d3z
@BrayMark-d3z 23 күн бұрын
Tupe hii baba achana na plan b
@user-su5oi5wb6c
@user-su5oi5wb6c 26 күн бұрын
Nawakubali sana kp na zebuu mumerudi shule na mumependeza 😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@metrinenyakoe1764
@metrinenyakoe1764 23 күн бұрын
Tunakupenda sana likoma kazi nzuri. Much love from kenya 🇰🇪
@CarolinePeter-gc8fp
@CarolinePeter-gc8fp 25 күн бұрын
Kiukweli mmejua kutusuprise but hongereni sana kwa kazi nzuri be blessed guys
@TamashaAwadhi
@TamashaAwadhi 14 күн бұрын
Nawakubali sana haswa kp
@AmosBudoya
@AmosBudoya 26 күн бұрын
Jaman from Tanzania nipen likes zang
@feisaldesign4156
@feisaldesign4156 5 күн бұрын
Likoma ume perform vzur ktk senior yko good
@user-rl5zb1jc9k
@user-rl5zb1jc9k 26 күн бұрын
Unyama mwingi 🔥 much love from Kenya 🇰🇪😘
@theopisterjovent3483
@theopisterjovent3483 21 күн бұрын
Kwanzia kesho mnaenda shule😂😂 aya MR MONEY❤ hatutaki haibu nenda shule KP na Zebuu🤝
@Asia-dq3rt
@Asia-dq3rt 26 күн бұрын
Aki nmecheka kwa saut so kwa hayo masomo 😂😂😂😂😂
@isabellahchuma
@isabellahchuma 21 күн бұрын
Ety zebuu darasa la pili,alaf nimekuama hapa kwa a e i o u😅😅😅😅😅😅kazi nzuri sana timu likoma na timu yako🎉🎉🎉❤
@ThumahSalush
@ThumahSalush 11 күн бұрын
Mambo napenda movie zenu mnajua kuakti wow ❤😅😅 mwaaaa
@MancaGilbert-os9kx
@MancaGilbert-os9kx 16 күн бұрын
Huwa nikiangaliaga video za likoma na diboz huwa na cheka Sana mm jmn haya jamn kaz yenu nzuri
@FatumahUbwa
@FatumahUbwa 22 күн бұрын
Nawapenda mno jmn yaan mnajua afu mnajua tena❤❤🎉🎉🎉🎉
@PedrocesarmsuyaMsuya-k9p
@PedrocesarmsuyaMsuya-k9p 26 күн бұрын
Kati yao nan mdebwedo wa ukweli😂😂😂❤
@philohmutua2968
@philohmutua2968 25 күн бұрын
Naipenda sana likoma amekuwa Nigerian walai
@MarcygloriaIbrahim
@MarcygloriaIbrahim 26 күн бұрын
Hata mm mnipee like cjachelewa sana❤
@UchebeUchebe-h3w
@UchebeUchebe-h3w 24 күн бұрын
Vp
@BaroJunio
@BaroJunio 13 күн бұрын
Mdada
@ALAINMUFUNGIZI-gb2gs
@ALAINMUFUNGIZI-gb2gs 26 күн бұрын
Kp wewe nduguyangu ningekuwa uko tz ninge jiunga na wewe tatizo niko congo
@zainzain1163
@zainzain1163 25 күн бұрын
Haaaa mzee na team yako nawapenda kutoka kenya 🇰🇪😍😢😆❤❤❤❤kazi nzuri
@MaryamSafi-vm6or
@MaryamSafi-vm6or 26 күн бұрын
Jmn chukuen maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤ Kaz nzuri
@user-jd9jb3ri4u
@user-jd9jb3ri4u 26 күн бұрын
Shangazi kaja inakimo kuzidi mbebaji,,,,,,,si kwa kukwea hko jaamaan. 😍😍😍
@user-dt9uc7wj1y
@user-dt9uc7wj1y 24 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂Kp na zebu mtakuja nivunja mbavu🤣🤣🤣🤣kazi yenu Safi kabisaa❤❤❤
@GentilKakule-rd2pz
@GentilKakule-rd2pz 26 күн бұрын
Likoma mtu hatari sana hii nimeipenda sana 😂😂 leteni mwendelezo haraka basi😅 Ila kifutu mwenzio kasha kua tajiri tayari😂😂
@FatimaFatima-bx8ez
@FatimaFatima-bx8ez 24 күн бұрын
Wow nimeipenda nzuri sana Kp na zebuu mmpendeza sana❤❤ aaaa had raha nawapenda nyote 😅😅😅😅🎉❤
@MalakiKapesa
@MalakiKapesa 7 күн бұрын
Kazi nzr Sana likoma nakubali sana
@user-wn9xk7ys7n
@user-wn9xk7ys7n 7 күн бұрын
😂😂😂😂mwanzo hiy nyimbo ya pochi nene nlkua nme imiss san mzee lkoma
@abdullatif053
@abdullatif053 21 күн бұрын
Mzee liko unalaza sana damu tushachoka kusubiri ep y 2🎉
@JuliaAyuma-z5w
@JuliaAyuma-z5w 22 күн бұрын
Natoka kenya siku moja natamani sana niwaone macho kwa macho nyie ndugu zangu watanzania
@aishalovesesibe
@aishalovesesibe 18 күн бұрын
Mwendo wa Rikoma unanivunjaga mbavu😂😂😂🇧🇮🇧🇮🥰🥰
@EstherwakioWukanda
@EstherwakioWukanda 24 күн бұрын
😂😂😂😂jamani Likoma na Dibozi huwa mwanifurahisha sana,nawapenda bure❤
@user-zo8lz3wm7n
@user-zo8lz3wm7n 26 күн бұрын
😂😂😂😂😂Maajabu likomaa mvivu KP kazi nzuri pamoja na watu zako 😂😂😂😂😂kimbembe sasa likoma kita kulamba mwenye Mali yake kaja
@user-gg5ed4wt2v
@user-gg5ed4wt2v 26 күн бұрын
Nimefurahi,sana liko na dibozi❤❤
@user-zw7nz4nh6d
@user-zw7nz4nh6d 15 күн бұрын
Mashabaki wa kp tumo❤❤ likoma tuko pamoja🎉🎉😂 kwanza hongera kwa likoma
@TantineZuzu
@TantineZuzu 26 күн бұрын
Hongereni kwa kazi nzuri sana 🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮
@NAOMICOM-my4ql
@NAOMICOM-my4ql 26 күн бұрын
Heheeeeeee mnanipa Sana raha mm nawaombea mdumu wote msitengane
@juliusshauri4498
@juliusshauri4498 21 күн бұрын
Niache na uvivu wangu😂😂😂 Lima huko mzee likoma
@directorshasibu
@directorshasibu 25 күн бұрын
Kazi nzuri, Natamani kukushot filamu moja uone ubora wangu pia 😢
@CollisBill-mu3zp
@CollisBill-mu3zp 26 күн бұрын
😂😂😂😂 Diboz anavo limaaa😂 mikwara mingii.Kama MABALA THE FARMER
@GentilKakule-rd2pz
@GentilKakule-rd2pz 26 күн бұрын
Hii inaonekana itakua kali sana 🔥🔥🔥 ongera sana mzee likoma kwaku tuletea kitu kikali
@MbataMbataa
@MbataMbataa 19 күн бұрын
Mzee rikoma nooma❤❤❤ namuelewa sana
@janepaul-pu3ds
@janepaul-pu3ds 26 күн бұрын
Likoma kwa hii mnanoga sana hongereni sana Kp na Zebuu nimependa hizo sare 😍😊🎉🎉🎉🎉 msikawie sana bac kutuletea ep 2
@JerryGebiyr-dv6jp
@JerryGebiyr-dv6jp 26 күн бұрын
From south africa tujuwane apa kwa safari hii ya Mr Money 🔥🇿🇦
@MussaMasondore
@MussaMasondore 19 күн бұрын
Najisikia raha sana hawa wazee kuliko kp
@user-dv2wl3gh4n
@user-dv2wl3gh4n 26 күн бұрын
😂😂 mkiwa pamoja nina imani itanoka nawapenda sana
@Lovekidoti32
@Lovekidoti32 25 күн бұрын
Dah Likoma tunaomba ep2 chap chap can't wait
@user-bc5zw3jn2x
@user-bc5zw3jn2x 22 күн бұрын
Jamani Mzee likoma ayo majibu yako tuh 😂😂😂Sina usemi
@tommroverdose1242
@tommroverdose1242 26 күн бұрын
mzeee likoma ana vituko kweli nampenda lakn bona ukorome
@user-xm4uu7he9c
@user-xm4uu7he9c 26 күн бұрын
Kazi nzuri sana likoma n kundi lako❤❤❤
@sanetag2173
@sanetag2173 24 күн бұрын
Kazi nzuri ila Hawa wazee wawili Huwa mwanifurahisha sana
@user-qq4zr3sk2g
@user-qq4zr3sk2g 23 күн бұрын
Eti mzee mwenzangu tumetajirika 😂😂😂 anavyojishirikisha😂😂😂
@AmosBudoya
@AmosBudoya 26 күн бұрын
Hongera sana likoma nakuona mbali san kaka
@DianaKatyetye
@DianaKatyetye 26 күн бұрын
Kazi nzur vipenzi nimewapenda bule
@agapitshayo-cy7vy
@agapitshayo-cy7vy 26 күн бұрын
Sijachelewa big up likoma
@mussa-w5t
@mussa-w5t 17 күн бұрын
Wazeee mnatisha saààna nawap hongela
@user-vp5yi6gb8v
@user-vp5yi6gb8v 23 күн бұрын
Hongereni sana movie nzuri like kwao🎉🇹🇿
@user-eq9xt7qi3n
@user-eq9xt7qi3n 26 күн бұрын
Ila mnapendeza sana na hizo uniform 😂😂
@MomoDarucy-tw2ti
@MomoDarucy-tw2ti 26 күн бұрын
Heeeh Mzee likoma umenunua hadi kitambi😂
@JuliaAyuma-z5w
@JuliaAyuma-z5w 22 күн бұрын
Hadi mimi nawapenda sana kp na zebuu
@AnoriteMungusa
@AnoriteMungusa 26 күн бұрын
Nawakubali sana ❤💪
@RehemaMwambene-nf3yh
@RehemaMwambene-nf3yh 25 күн бұрын
Zebuu umetisha na hilo kasha kubwa alafu halina nguo ❤😂😂
@user-ck7fi3bh3i
@user-ck7fi3bh3i 26 күн бұрын
Mi nmependa iyo shangaz kaja ya zebuu🤣🤣🤣
@Stardinyo
@Stardinyo 25 күн бұрын
Yaan mi ntalitafut shangaz kaja
@EmmyMo
@EmmyMo 23 күн бұрын
Imenzidi umrii😂😂😂
@fatuma46ramadhan18
@fatuma46ramadhan18 26 күн бұрын
Wow alipo KP na timu yake nami nipo🎉🎉🎉❤
@user-fb8cd2kc8l
@user-fb8cd2kc8l 25 күн бұрын
Nafurah mko pamoja kazi nzuri
@AyubuMalando
@AyubuMalando 23 күн бұрын
Nakuaminia sana mzee kijana, fanyakaz😊
MR MONEY_EP 02
21:43
LIKOMA
Рет қаралды 181 М.
MR MONEY_EP04
27:37
LIKOMA
Рет қаралды 98 М.
SPILLED CHOCKY MILK PRANK ON BROTHER 😂 #shorts
00:12
Savage Vlogs
Рет қаралды 8 МЛН
Это реально работает?!
00:33
БРУНО
Рет қаралды 3,6 МЛН
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 10 МЛН
BABA YANGU KIPOFU Full episode /24/ #love
30:52
BabaJoan
Рет қаралды 128 М.
Ugomvi wa Kisima na Gudegude_Massanja official 🙏
4:41
Massanja B
Рет қаралды 9 М.
PLAN B _ Episode 9
27:15
kp wa Aquino
Рет қаралды 104 М.
MCHEPUKO
8:46
kicheche
Рет қаралды 1,8 МЛН
EXCLUSIVE NA MZEE LIKOMA
26:37
Kp&Zebuu Media
Рет қаралды 39 М.
BABA KIJACHO | Sehemu Ya Pili
33:29
DONTA TV
Рет қаралды 163 М.
KP & ZEBUU _ SLAY QUUEN
4:59
kp wa Aquino
Рет қаралды 304 М.