YUPI NI SHEMEJI? HATIMAE MREMBO KATEGUA KITENDAWILI WALICHOFELI WENGI |JAMANI RAHAA |PELUSI NIGHT

  Рет қаралды 687,911

MC KATO KISHA

MC KATO KISHA

Күн бұрын

Пікірлер: 345
@gloryjimson9831
@gloryjimson9831 10 ай бұрын
Walomuona shemeji akimpa ishara wanyooshe kidole
@brunoh_bx
@brunoh_bx 8 ай бұрын
😂😂😂😂 upo makini balaa
@asrasanyu
@asrasanyu 7 ай бұрын
Eti
@RoseCate-gd8io
@RoseCate-gd8io 5 ай бұрын
Nimeona
@bhokejaqulineelias4197
@bhokejaqulineelias4197 5 ай бұрын
😂😂we ni mfukunyuku😂
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 10 ай бұрын
Nawapendaga sana Mapacha kama hawa' Ee YARABBI Nijaalie na Mimi nipate Mapacha kama hawa' YARABBI🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@mohammedhussein6748
@mohammedhussein6748 10 ай бұрын
Amin
@user-uh7to2kw2z
@user-uh7to2kw2z 10 ай бұрын
Salama ACHA t2 mm mwenyew nawatakia Ila mungu atatupa t2 tuendee kumuomba🙏🤝
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 10 ай бұрын
@@user-uh7to2kw2z In-shaa Allah🤲🤲🤲
@user-xh8zm8pw2p
@user-xh8zm8pw2p 10 ай бұрын
Amen 🙏
@sammohung1506
@sammohung1506 10 ай бұрын
Njoo mm hapa pacha
@janethmnali7261
@janethmnali7261 10 ай бұрын
Mbingu zinaona na ardhi ikawe shahidi siku Moja na mm nikawe mama wa mapacha wanaofanana ee Mungu tia muhuri ktk hili
@bravinmugabe8656
@bravinmugabe8656 10 ай бұрын
Wow I like your confidence
@nickodemsimchimba594
@nickodemsimchimba594 10 ай бұрын
Hata mimi napenda Sana watoto mapacha😍😍
@happinesspatrickkuziwa6400
@happinesspatrickkuziwa6400 10 ай бұрын
Najishikamanisha na maneno haya yamekua kwangu katika jina la Yesu na yamewekwa muhuri wa damu ya Yesu
@annethycyprian3520
@annethycyprian3520 9 ай бұрын
amina
@wilfredmwakatwila6295
@wilfredmwakatwila6295 9 ай бұрын
Mungu wetu ni mwaminifu aombae atapewa Muombe na atakupatia hitaji LA moyo wako
@sahhgdsag4949
@sahhgdsag4949 10 ай бұрын
Nami mungu nijaliee tumbo langu kishike mapacha kama hawa
@FatmaRashid-bq6yx
@FatmaRashid-bq6yx 9 ай бұрын
Amin
@brunoh_bx
@brunoh_bx 8 ай бұрын
Msiwe mnatumia sindano za kuzuia mimba sasa
@timothysamweli8808
@timothysamweli8808 6 ай бұрын
hongera Sana college mate, MUNGU akawape furaha katika Safari yenu hii mpya na maisha mema
@neemagodfrey1118
@neemagodfrey1118 10 ай бұрын
Aiseeeeee hahahaha nimekumbuka mbali sana...mchumba wangu mm ni mapacha, ilinichukia muda kumtofautisha maana ni brian kwa briton, walifanana kila kitu mpka dimpo wote walikuwa nayo, ilinifanya mpka kuna wakat nikimuona mmoja wao inanilazim nikae kwa kutulia mpka nione action zake, maana wa kwangu ni mpole lkn shemeji ni muongeaj, lkn siku wakiamua kukaa kimya nachanganyikiwa 😂😂😂😂😂......so nilianza kwa kuwachunguza tofauti zao na hapo ni miaka miwili imepita, so nilianza kutafuta tofaut zao ukiachana na uchangamf Lkn nilikuja kugundua utofaut wao mkubwa ni macho, 😂😂😂😂😂...mmoja macho yake akikuangalia sana yanageuka kuwa makengeza na mwengine ni kawaida japo pia yamefanana sana😅😅😅😅na hii mpka leo nisipodeal na macho nachanganyikiwa sana
@elizabethgabriel1502
@elizabethgabriel1502 9 ай бұрын
😂😂😂🙌
@neemagodfrey1118
@neemagodfrey1118 9 ай бұрын
Yaan naomba MUNGU tu shemeji asiniigizie kma yeye ni mlengwa maana itakuwa hatar sana ...maana akijifanya mpole tuu nimeisha hahahahaah
@elizabethgabriel1502
@elizabethgabriel1502 9 ай бұрын
@@neemagodfrey1118 Unaweza ukaumbuka 😂😂😂
@neemagodfrey1118
@neemagodfrey1118 9 ай бұрын
Hahaha hahaha hahaha
@elizabethgabriel1502
@elizabethgabriel1502 9 ай бұрын
@@neemagodfrey1118 😁😁
@user-ew6sj8ft8b
@user-ew6sj8ft8b 4 ай бұрын
Hongera ndugu zangu wa kisarawe nimepata faraja sana kuwaona Brothers long time since 2012
@bibianachomba1585
@bibianachomba1585 10 ай бұрын
Mungu nijalie nami mapacha waje wafute machozi yangu
@vanessajames2192
@vanessajames2192 10 ай бұрын
I can't wait to see my two boys
@andrewmadaga7913
@andrewmadaga7913 9 ай бұрын
😍😍😂 DJ apewe mauwa yake 🎉🎉 pia maan kaitendea haki hii segment 😊😊🔥🔥🙌🏿
@joycemushi3577
@joycemushi3577 10 ай бұрын
Namuomba Mungu anipe na mimi mapacha kama hawa Jamani Hadi rahaa wamefanana n bibi Arusi uko vizuri 🎉❤
@nickodemsimchimba594
@nickodemsimchimba594 10 ай бұрын
Acha umalaya kwahyo unataka wanaume wote wawili wakulale
@joycemushi3577
@joycemushi3577 10 ай бұрын
Wewe unamaanisha nini kusema wanaume wote wawili wakulale?
@CecyliahCruzy-op3ox
@CecyliahCruzy-op3ox 10 ай бұрын
Mhmhmh kabsa mtu mtu wako hushindwe mjua aaah so kwel hata feelings tu all in all congrats 🥰🤗
@hamisiharuna3099
@hamisiharuna3099 10 ай бұрын
Wewe hujawahi kuona mapacha wanaofanana, wakiwa washenzi wanaweza wakakula wote kwa zamu na uaijue kamwe hayo tumeisha yaona sana
@user-nt3xx8vq6u
@user-nt3xx8vq6u 7 ай бұрын
Mwenynzi mungu nibariki siku moj namimi nipate mapacha3
@agneskomba3916
@agneskomba3916 10 ай бұрын
As long as ni pacha hata ningekosea tungesolve mbele Kwa mbele 😂😂😂😂
@OleboElias
@OleboElias 4 ай бұрын
Hongera sanaa kipenz hongera ikawe her kwako
@WelimaNyamwanja
@WelimaNyamwanja 4 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Devothakimei
@Devothakimei 4 ай бұрын
Hongera sanaa teacher. Binafsi mlikuwa mnanichanganya. Hata hapo nimekosea nilijua bwana harusi ni aliyeondoka😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-po5wy5cs7r
@user-po5wy5cs7r 3 ай бұрын
Mm ninao nawao wamefanana asante mungu
@irenepeter1746
@irenepeter1746 10 ай бұрын
Hongera president wetu kljs kwa hatua I .I wish nipate mapacha wakufanana
@user-yz6fs2wi3e
@user-yz6fs2wi3e 5 ай бұрын
My favourite couples, perusi na mumewe wana kipawa cha uimbaji na uchezaji jmn nawapenda sna
@user-dv5xl6lu2d
@user-dv5xl6lu2d 5 күн бұрын
Napenda mapacha mungu nijalie na mim
@lusekelodaison8159
@lusekelodaison8159 10 ай бұрын
Utofauti wa kwanza hata style yao ya ndevu iko tofaut 🤣🤣
@neemageorge3270
@neemageorge3270 9 ай бұрын
I love this, Ila huu mtihani mgumu aki 😊..
@dorcassmarco3425
@dorcassmarco3425 3 ай бұрын
Mama yangu mungu akupe maisha marefu kwa kunizaa tukiwa mapacha jaman hakuna kit kizur kama kuzaliwa mapacha 🥰🥰
@EmmyBeka-h6d
@EmmyBeka-h6d 15 күн бұрын
Jaman so amaizing hongera dada wako ni wako2
@sophiapeter7843
@sophiapeter7843 10 ай бұрын
Saafi biharusi mtarajiwa mzuri Sana na anajiheshimu
@nancyg8664
@nancyg8664 10 ай бұрын
We umejuaje kwenye kujiheshim hapo
@sophiapeter7843
@sophiapeter7843 10 ай бұрын
@@nancyg8664 nalo swali ila nimedanganywa na sura na muonekano.
@messiasulleydidy2585
@messiasulleydidy2585 9 ай бұрын
Kabisaa Dada wa watu anajiheshimu sanaa
@user-jr4wn3ov6c
@user-jr4wn3ov6c 10 ай бұрын
Hata ningekuwa mimi nisingekubali shemeji aaibike ishara mhim
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 10 ай бұрын
Mashaa allah wamefanana.
@nathaliamakunga3634
@nathaliamakunga3634 9 ай бұрын
Hongera sana choir master David ntelee🎉🎉🎉🎉
@Robbyonline09
@Robbyonline09 10 ай бұрын
Congratulations Bro David
@salmasudi8901
@salmasudi8901 4 ай бұрын
Mungu nijalie na Mm mtu anipende tufunge ndoa na sie🥹❤❤maa shaa Allah
@SalomPhata
@SalomPhata 14 сағат бұрын
Daah aiseh yet macho
@JaneAlly-j4t
@JaneAlly-j4t Ай бұрын
Nashukuru Mungu kwakunipatia mapacha kama hao nazidi kuomba Mungu azidi kuwakuza
@jescajoshua6343
@jescajoshua6343 10 ай бұрын
😂😂😂bebe alikua ana tabasamu sana nilihisi kumbe kuhisi kwangu imekua ndivyo ilivyo❤
@manyakuulaompondelo4419
@manyakuulaompondelo4419 10 ай бұрын
Ukiangalia vizuri ndevu wamemtia tofauti.
@scholasticathomas8357
@scholasticathomas8357 10 ай бұрын
😂😂😂😂ila beb alikuwa anacheka😂😂kwa akili zangu ninavyozijua ningeshindwa haki😂
@RandB_Channel
@RandB_Channel 10 ай бұрын
Jamani hawa wamapasa sio kwakufanana du . Ingekuwa miye sijuwi kama ningemujuwa jamani Huyu Mungu anajuwa kuumba kweli hawa miye takuwa tu nauliza mmewangu niyupi ju nisije ndaganyika
@lelaiddy6856
@lelaiddy6856 10 ай бұрын
Yaaani ni kweli sema mmoja mfupi mwingine mrefu..mm mapacha wangu wa kike wanafanana saaaana na kimo kiko sawa ..hadi mwenyewe nashindwa kuwatambua haraka mpka niwaangalie kuna mmoja ana alama ya baka mkononi..ndo nijue nani ni nani
@RandB_Channel
@RandB_Channel 10 ай бұрын
@@lelaiddy6856 hatari sana iyo Mungu niwahajabu sana
@liliannyagawa7777
@liliannyagawa7777 10 ай бұрын
Wow pelus wangu nakukubali kipenzi 😊
@magejay4715
@magejay4715 10 ай бұрын
Wahooo ❤❤❤ beautiful 🎉🎉
@carolinenyanchama8109
@carolinenyanchama8109 10 ай бұрын
Soo beautiful ❤
@ernestmathias9773
@ernestmathias9773 6 ай бұрын
Tulisoma wote mrangu ttc congrants ntele david
@HusnaAthumani-nm4ye
@HusnaAthumani-nm4ye 3 ай бұрын
M pia nataman nje kuwa mama wa watoto mapacha naiman mng at ckia maomb yng🤲
@user-rb9wl4zq3e
@user-rb9wl4zq3e 6 ай бұрын
Mungu naomba na me nipate twins wa kufanana ❤❤❤❤❤❤❤
@kenedynashon9717
@kenedynashon9717 5 сағат бұрын
Wala hawafanani sana kiasi cha kumshinda mtu kuwatofautisha 😂😂
@Gladivester
@Gladivester 5 ай бұрын
Wamependeza very nice
@rhodanangoma7386
@rhodanangoma7386 10 ай бұрын
Beautiful 🎉
@user-wl3kb1ef6u
@user-wl3kb1ef6u 6 ай бұрын
Mnependeza so nice
@JofreyDamson-nm6ec
@JofreyDamson-nm6ec 3 ай бұрын
Mungu aje anipe namimi mapacha nawapenda sanaaaaaa
@joyceabeli3787
@joyceabeli3787 10 ай бұрын
Mmoja mrefu mwingine mfupi
@monicapeter9065
@monicapeter9065 10 ай бұрын
Pia waupande wa kushoto mnene kiasi mwenzake mwembamba kiasi
@zainabuibrahim4766
@zainabuibrahim4766 6 ай бұрын
Mashaallah.namimi ni pacha nimefurahi mno
@samuelrondo8006
@samuelrondo8006 4 ай бұрын
Congratulations 🎊🎉🎊🎉
@blackwarrior-animations593
@blackwarrior-animations593 10 ай бұрын
Goatee zao ziko tofauti....Kuna Mmoja zimepanda mpaka Juu ...mwengine ziko chinichini tu
@khaijakadija2082
@khaijakadija2082 10 ай бұрын
Huyu shemeji amemuonyeshe kwa ishara hapo nyie angalieni kwa umakini 😂
@shabanigenya4708
@shabanigenya4708 10 ай бұрын
Nimeona pia.
@joyce55727
@joyce55727 10 ай бұрын
Kuna mda walikua wameweka ote ivo vidole 😁😁
@Neema-lh8pi
@Neema-lh8pi 10 ай бұрын
Kwan yy sianajua mume wake niyupi
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 10 ай бұрын
Sio kweli dhana yako tu
@ajuayebunyaga
@ajuayebunyaga 10 ай бұрын
Nimeona kabisa anamkatalia
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 10 ай бұрын
Mmoja mrefu mwengine mfupi
@goodteam7890
@goodteam7890 10 ай бұрын
Alie mfupi mweupe na huyo mrefu maji ya kunde
@CHARLESAMISI-tl4td
@CHARLESAMISI-tl4td 2 ай бұрын
❤naipenda sana ❤
@jameskilasa759
@jameskilasa759 10 ай бұрын
Ila mmoja katumia ishara bila hivyo asingejua
@user-hg7ct2uc9j
@user-hg7ct2uc9j 10 ай бұрын
Kweli
@maligeltabatholomeo8128
@maligeltabatholomeo8128 10 ай бұрын
Mimi nilijua tu kwa ishata ya kucheka sana
@SalomPhata
@SalomPhata 14 сағат бұрын
Utofaut wao mwingne alikuw mref kidog 😅😅
@asteriashios1852
@asteriashios1852 4 ай бұрын
Mapacha ni inshu wakifanana kuwatambua balaa ila mmoja alionyesha ishara mpendenza sana hongereni suti zenu zimewapendenza balaa
@UmayyaNkya-ze3ri
@UmayyaNkya-ze3ri 10 ай бұрын
Mbona wanafanana sana🤣🤣
@Ellymeener
@Ellymeener 3 ай бұрын
Mungu anipe mapacha
@WilfredPeter-ee1lq
@WilfredPeter-ee1lq 3 ай бұрын
Mpaka nawaonea wivu❤️
@graciellaYerry-hi2ky
@graciellaYerry-hi2ky 8 ай бұрын
jaman so beautiful❤❤❤❤❤❤❤
@user-ms8il5mn6n
@user-ms8il5mn6n 6 ай бұрын
Mungu naomba na Mimi ck ni baliki nije kuzaa mapacha
@SalomPhata
@SalomPhata 14 сағат бұрын
Utofaut wao mwingne alikuw mref kidog 4:18
@davidjackson448
@davidjackson448 8 ай бұрын
Noma sana hy ila imekaa vyema sana hongera kwa mc
@janethkawishe9368
@janethkawishe9368 10 ай бұрын
Mmoja kamzidi mwenzake urefu kidogo
@SHANIATHVEDASTO
@SHANIATHVEDASTO Ай бұрын
Woow dada kaweza
@user-vl5hl6vq1n
@user-vl5hl6vq1n 9 ай бұрын
Ukitazama kwa makini sana bwana harus aliachia tabasmu fuln hv la ishara wakt bb hars anamtzam husoni😂😂😂😂😂
@geofreysekei7792
@geofreysekei7792 9 ай бұрын
Kasaidiwa na shemeji yake mara mbili bila hivyo hakuwa na uwezo wa kuwatogautisha sana ila nimeipenda
@veronicawilsonmbwambo1054
@veronicawilsonmbwambo1054 9 ай бұрын
Yaani mlipendeza halafu ulikuwa mtengo 👏👏
@user-dh4uo1tl6y
@user-dh4uo1tl6y 7 ай бұрын
Nipe hii baraka we Mungu
@asshuramussa4359
@asshuramussa4359 7 ай бұрын
Mungu unaishi na me nipate pacha wanaofanana sana
@princessdianalameck8528
@princessdianalameck8528 10 ай бұрын
Hahah hawa mapacha wakicheka utajua tofauti....hahah Gideon and David... alafu siku zote Gideon huonekana bonge hahahah tofauti zipooooo .
@devothadickson4917
@devothadickson4917 10 ай бұрын
Sema Devi huwa anapenda kucheka sanaa
@princessdianalameck8528
@princessdianalameck8528 10 ай бұрын
@@devothadickson4917 yes always but G sio sanaaaa
@user-uo7qi8mg3m
@user-uo7qi8mg3m 10 ай бұрын
Waaoooo nice Bibi harus amshukur xhemel maana....🎉🎉🎉🎉
@user-cc2ie4ey1c
@user-cc2ie4ey1c 10 ай бұрын
Nywele zao ziko tofauti kidogo ni rahisi kujua 😅😅
@sportsnewjs4330
@sportsnewjs4330 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂 hii rahaa sanaa😂😂
@user-yo7hq8hu9m
@user-yo7hq8hu9m 10 ай бұрын
Kweli shemej amemuonea uruma akamtonya maana alikuwa akoseee😂😂
@aishakibaya7567
@aishakibaya7567 10 ай бұрын
Kumbe umeona km mimi 😂😂
@cristaezekiel1036
@cristaezekiel1036 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@nicksonjoseph7696
@nicksonjoseph7696 10 ай бұрын
Uko vizuri
@janethjohn7053
@janethjohn7053 10 ай бұрын
Wa kwanza kaka taa sio yeye kwa kutingisha kichwa
@user-cn7cv4dp3z
@user-cn7cv4dp3z 8 ай бұрын
Hongera sana David mkawe na amani
@EmmanuelMduma-ly5xk
@EmmanuelMduma-ly5xk 3 ай бұрын
Nasty 😊😊
@miriamnteko3601
@miriamnteko3601 10 ай бұрын
Mapacha wa Mchungaji wetu msaafu Mchg Ntele na Wana Praise team wetu KKKT wazohill David and Gidion Ntele. Hongera sana David Hakika utumishi wako unaonekana
@user-yi4vn3ov4o
@user-yi4vn3ov4o 9 ай бұрын
nice nimependa bure yan
@KailimaMihiko-fn8mn
@KailimaMihiko-fn8mn 9 ай бұрын
Jamani maashalah
@GodwinSamwely
@GodwinSamwely 5 ай бұрын
3:05 kabisa kamuonesha na vidoro
@user-qq2db1zj7h
@user-qq2db1zj7h 7 ай бұрын
Nice nice♥️👏
@Stephaniealphonce
@Stephaniealphonce 9 күн бұрын
Bi harusi mtalajiwa nimekupenda bule unajiheshimu
@halimahbwelele694
@halimahbwelele694 10 ай бұрын
Mpka mwenyew kachanganyikiwa du😂❤
@ZenaYahaya-sw3oh
@ZenaYahaya-sw3oh 10 ай бұрын
Mbaka raha jamani na mm natamani mapacha 👨‍👩‍👧‍👦👨‍👩‍👧‍👦
@user-ur8bu2sz2o
@user-ur8bu2sz2o 10 ай бұрын
Kweli bint alikuwa making hongera
@nakshaofficial2817
@nakshaofficial2817 10 ай бұрын
Mmoja mrefu mmoja mfupi😂 ila kam nimeshapiga vitu vyangu Wakwe watanitizama kwa jichola tatu😂😂
@suzanfelix6320
@suzanfelix6320 10 ай бұрын
Huyu alivyoanza kucheka nikagundua sio yy japo bint alitaka kujichsnfanya na alivyotikisa kichwa kukaata ilimpa bint kugundua kwamba sio yey
@elizabethfrank4396
@elizabethfrank4396 10 ай бұрын
Shemeji kaokoa jahazi😂😂😂😂
@EmmanuelMacha-kr7tx
@EmmanuelMacha-kr7tx 5 ай бұрын
Shemej no ma😂
@TamalyMichael
@TamalyMichael 2 ай бұрын
Haraf ni uongo huo Jaman usimjue anae kunanii kwel kwenda😅
@rachelgunagujemedan2082
@rachelgunagujemedan2082 10 ай бұрын
Shem kaokoa jahazi ❤
@geofreysekei7792
@geofreysekei7792 9 ай бұрын
Kweli buana Shem kasaidia sana
@monicahmis1150
@monicahmis1150 8 ай бұрын
Nani mwengine anawaza huyu dada alikosea 😂 afu wametofautiana vichwa bwana mmoja nywele zipo nyuma zaid❤
@KailimaMihiko-fn8mn
@KailimaMihiko-fn8mn 9 ай бұрын
So much for the God of the day
@maligeltabatholomeo8128
@maligeltabatholomeo8128 10 ай бұрын
Mmoja anapenda kucheka mmoja kinuno
@teresabarongo5745
@teresabarongo5745 8 ай бұрын
Wow 🎉
@JANE-d3r
@JANE-d3r 23 күн бұрын
@Richard_14
@Richard_14 10 ай бұрын
SHEMEJI AMEOKOA JAHAZI.. AMETOA ISHARA 1:58
@vailethaboubakar1884
@vailethaboubakar1884 5 ай бұрын
Mbon Kama alijioneshea yeye 😂😂😂alf akatikisa kichwa Kama amekisea embu angalia vinzur
@christinajisena2634
@christinajisena2634 10 ай бұрын
Ningefeli haki😂
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 28 МЛН
Happy birthday to you by Tsuriki Show
00:12
Tsuriki Show
Рет қаралды 12 МЛН
WALIMDHARAU KWASABABU YA KINYAGO KUMBE NI MTOTO WA MFALME | MOVIE KWA KISWAHILI
28:46
UNAMJUA OBIMO WA IRENE MUSHI WEWE. ILA KUA MVUMILIVU TU KUMSUBILI
5:10
Namna Sia alivomtambua Mume wake mtarajiwa.
7:06
4Designs studios
Рет қаралды 208 М.
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 28 МЛН