Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri MAAJABU YA MAPACHA HAWA MAMA YAO MZAZI HAWAJUI/WAKIUMWA WANAUMWA WOTE/WANAWAZA PAMOJA #Bonatv #Exclusive #Mapacha
Пікірлер: 822
@joyceraphael66312 жыл бұрын
kunawengine awo wanafanana Kama aho wanaishi tabata changombe mwenyezi mungu nijarihee namimi nipate mapacha wangu wa2kama aho Amina❣️❣️🙏
@neemacharles98482 жыл бұрын
Mashaallah wanavyofanana mungu nijaliena nami nipate mapacha hongereni warembo😍😍😍😍
@bahatiagape71212 жыл бұрын
Hata mi ni pacha..Amabao wako pacha like zangu naomben 🙏💕👭
@nkalugiradio81404 ай бұрын
Hongera na Mimi nawezangu tupo watatu❤
@TheoHaule-vu5ub4 ай бұрын
Tupo my dear team twins community
@heriethkusigwa84692 жыл бұрын
MUNGU Fundi Mno 🙏🙏🙏GOD is so Adorable 🙏🙏
@hawasadik17603 жыл бұрын
Ooo jaman mwenyez mungu nijalie kizaz chamapacha na mm
@husseinbakromar58654 ай бұрын
shida ya pacha mukishikana sana kwakila kitu ila maisha tofauti kuna mmoja atafariki mapema kama mm niko na pacha wangu ila kashaniacha ashatangulia mbele ya mungu
@theonestinakajuga36284 ай бұрын
Hi no 6
@yasodishonest97923 жыл бұрын
MASHAALLAH. mm dada yangu anao mapacha wakike pia.yani kila siku akinitumia picha lazima niulize uyu nani kulwa au doto.paka leo siwajui kama wachina yani.mashaAllah
@dorinhasantebabaunazidikun16942 жыл бұрын
Mnapedeza. Sana Ila tu huyo pacha mwingine aolewe tu jamani wawe wanatembeleana tu,
@aminahema97143 жыл бұрын
Mi napenda story hiz z mapacha😍😍😍Mungu nijaalie n mm nizae vijipacha vyngu in Sha Allah
@hajrahassan12503 жыл бұрын
Inshaallah
@merryabiaza7113 жыл бұрын
Amen
@khadijahali48373 жыл бұрын
In shaa Allah
@judithkatoto33163 жыл бұрын
Waooo.namm.pia tuko mapacha
@maryamkipenzi99533 жыл бұрын
Pia mm naomba mungu anijalie
@karie90302 жыл бұрын
Warembo, voices of worship and preaching...
@asmarashidi92955 ай бұрын
+
@sifajacky77792 жыл бұрын
Manshaallah tabarak Allah ♥❤. Mwenyezi Mungu mtukufu Subhanah wataala awakinge na shari na husda za mahasidi Inshaalllah 🤲🏻
@fettyharoun13333 жыл бұрын
Mashallah ya rabby naomba nijalie watoto mapacha 🤲
@asmahansaid20893 жыл бұрын
Amin
@maryamkipenzi99533 жыл бұрын
Ameen
@liliandominaic56293 жыл бұрын
Utapt mamy mmi ninao
@rahmabebz61183 жыл бұрын
Aamin namie pia mpenzi
@fettyharoun13333 жыл бұрын
@@liliandominaic5629 mashallah my love congratulations my dear me inshallah Allah ani bless
@EmiliaKasalilaАй бұрын
Ee mungu na Mimi unipe mapacha wanao fanana katika uzao wangu Amina
@aminakshamoona69003 жыл бұрын
Kua na watoto mapacha ni raha sana mashaAllah yarrabi nijaalie na mm
@zulfahaji46662 жыл бұрын
Wamepishana. Sauti
@jaffjeff69124 ай бұрын
In Shaa Allah amiin thumma amiin Yarabbil Aa'lamin YaRahman Rahim
@mwashambagofa3523 жыл бұрын
Juzi niliona picha ya kinaigeria ya mapacha ambayo wanahisi pamoja sikuamini kumbe kweli wapo,Mungu ni mkuu Sana..
@manasadunia34583 жыл бұрын
Masha allah Allah nijalie na mimi nikiolewa nipate mapacha Ameen
@selinaingado26693 жыл бұрын
😂😂😂
@zahrahemed91712 жыл бұрын
Nitafutie 0777 814883
@shukuranikibona58932 жыл бұрын
0716841642...Piga nikupe nina asili ya mapacha but,Nina MKE amepacha na mpenzi wa nje anao...Karibu na wewe nikupe!!!
@manasadunia34582 жыл бұрын
@@shukuranikibona5893 😂😂😂😂😂 kweli au
@shukuranikibona58932 жыл бұрын
@@manasadunia3458 Ukweli kabisa... reality mom..!
@zainabuhussein34873 жыл бұрын
Jamani napend mapecha Allah nijalie namimi nikiolewa unijalie mapecha amina
@neemamsacky94682 жыл бұрын
Mungu nijalie nilicho kibeba kiwe mapacha wakufanana
@florahmathew35103 жыл бұрын
Kulwa ana sauti nzito na inakwaruza kuliko doto..So nice indeed
@husseinmgalula58642 жыл бұрын
Sauti ya pombe😂😂😂
@davidole82574 ай бұрын
Hongera kwao wanafanana sana huyu ambae Hana Mume mie nipo Tayari kuoa na nitawapenda wote Doto upo tayari
@furahakalekezi75373 ай бұрын
Nguvu kuu asili iwalinde na kuwatunza na kuwabariki mapacha, wakubwa zangu, Mimi ni nazo ya kufuata mapacha japo walirudi Asilini Hongereni sana 😘😘😘😘😘🌹🌹🌹🌹
@hawababuu43503 жыл бұрын
MashaAllah Tabarakallah.. Ila sauti zao hazifanani huezi kukosa kuwajua
@maloomaalmnsj51113 жыл бұрын
Ndio
@juliethcharles10612 жыл бұрын
Sauti zao hazifanani
@zawadiramadan63363 жыл бұрын
Mashaa Allah Mashaa Allah Mashaa Allah yaa Allah tujalie na sisi yaarabb
@agnesskasansa99592 жыл бұрын
Nataman mungu anipe mapacha nawapenda sn
@jacklinenoel58413 жыл бұрын
Napenda mimi jaman Eeer MUNGU nijaalie na mimi🙏
@yusrasalum3 жыл бұрын
Nimesoma na mapacha jamani wanapendana hawa huwakuti wanamashoga yani wenyewe tu na hawagombani ovyo 😂😂😘
@bonifaceyohana25153 жыл бұрын
Nawapenda mapacha sana huwa nikiwaona nafarijika mno
@MuhamadiAli4 ай бұрын
Mmoja mnene mwengin mwembamba. Mmoja sauti kavu na wengine sauti nzito
@ibrahimkhamis83942 ай бұрын
Kweli mmoja mnene mwengine mwembamba, wala hawajafanana kiiivo unaweza kuwatofautisha😅
@margrethmshana35602 жыл бұрын
Nimewapenda hatarii,hapo in finger print ndio tofauti, kwalivyofanana huyo ni MTU mmoja ,very lovely girls.
@magrethgavan93532 жыл бұрын
Warembo kweli mungu awape Maisha marefu 🤗
@felisterbaraka2093 жыл бұрын
Mungu anijalie nani mapacha
@rehemanyale22123 жыл бұрын
Mashaalah, wamefanana mpaka sauti, warembo sana
@cantonaiddy60423 жыл бұрын
Hpn sauti hazifanani huyu wa kushoto ana sauti ya mapozi
@cantonaiddy60423 жыл бұрын
Wa kulia sura yake pana kidogo
@rehemafungo50422 жыл бұрын
Asante wajina umeandika kiswahili🤔🤔
@gloryandrew94283 жыл бұрын
Ee mungu nijalie na mimi mapacha
@mdungikona19682 жыл бұрын
Acha kuwataka hao wasumbufu niulize mimi
@mariamhakim14634 ай бұрын
Mamayangu ana mapacha namimi nikiolewa nizae mapacha insha allah❤😅😊
@shanibaniyas63084 ай бұрын
Ameen🤲🏽
@aishadotto36404 ай бұрын
Ameen
@aminatumbo74103 жыл бұрын
Katika pacha nnao wapenda bas ni hawa wa mfuko mmoja nice hutenganishwa na kifo tuu ila sio binadamu
@ericklaura75113 жыл бұрын
Mungu awajalie moyo wa kupendana hivo hivo milele🌹💖👏
@ashanassour11393 жыл бұрын
Ya rabbi nijaalie na mm nipate mapacha wawili dua zenu naomba
@zennahmtoto18673 жыл бұрын
Amiin sote Yarabbi
@lucyhusein40433 жыл бұрын
Sasa akipata mime!!!??
@ericklaura75113 жыл бұрын
@@ashanassour1139 Ameni. Hitaji la moyo wako likatimie kwa uweza wa Mungu.
@ericklaura75113 жыл бұрын
@@lucyhusein4043 si umesikia amesema yeye hata asipoolewa ni sawa?
@barakatabdul32123 жыл бұрын
Mapacha sana mwenye mwili mdogo ndo yuwatoka mbele 🤣🤣🤣
@beera.g53022 жыл бұрын
Hadi nikatamn, eeeh Mungu niajalie namie🙏 mapacha
@husnamahadhi74372 жыл бұрын
Amin atujaalie sote in sha Allah
@princessmeggyclement75913 жыл бұрын
Yarabby nijaalie namimi Amiin👏👏
@dotahamad66403 жыл бұрын
Amiin
@halimaabdillah84403 жыл бұрын
Had rah mashaallah
@jacklinejohn94152 жыл бұрын
Nice wame pendeza xana na kuhusu wanacho kizungumzia ni kweli kuhusu wa toto mapacha mmoja Aki umwa ni wote hata Mimi ninao pia nawangu niwakike pia
@jeniphachristian21313 жыл бұрын
Woooooh ni nzur but hapo kwenye Mume Sasa...😊😊🤗
@evelynmallya23612 жыл бұрын
Sasa mimba mlipataje
@simonkiprotich33002 жыл бұрын
Beautiful due to their twin bonded love; could they hav been patient may be the Lord may have bless them married by twin bros too.
@missmoona44973 жыл бұрын
Kabla hujawauliza nan mkubwa nan mdogo tayar kwakuwatazama tu nikajua nan mkubwa nan mdogo usually nina mapacha Alhamdulillah pia mama zangu wadogo mapacha my family kuna mapacha fully na ninaomba mungu anipe tena mapacha inshaallah.
@missmoona44973 жыл бұрын
Lkn pia mama zangu mapacha hao waliposwa pamoja, waliolewa siku 1 na waume zao nimarafik mno wanaopendana kias kwamba mungu akawapa wake mapacha maashallah
@LyidiaMororo3 ай бұрын
Jamani mapacha wazuri mungu awalinde ,nami pia ninao wakike na wakiume ila wananitoa jasho naniwakubwa miaka 15 lakini ni hatari
@maryjoseph7873 жыл бұрын
Mungu anijalie na mm niwapate... inshallah 🙏
@husnamahadhi74372 жыл бұрын
Amin atujaalie sote in sha Allah
@edsonjonas27752 жыл бұрын
Ata Mimi mke wangu ni mapacha wanafanana Sana alafu mke wangu nlishawahi kumuita shemeji alafu nao walibeba Mumbai pamoja na wakazaa watoto wanafanana Sana mpaka nlpata tuhuma kwa baadhi ya watu kuwa huenda nilideti nao wote
Waaa this two girls are indeed beautiful ❤️❤️👏👏👏👏👏💐🎉
@user-vm8wn4qg6j4 ай бұрын
Mungu simama na mm nipate mapacha
@preciousjohn94053 жыл бұрын
Mapacha wote huwa wanapendaga siyo hao tyu
@thisiszai20453 жыл бұрын
Masha'Allah wazuri
@juliekashindi19197 ай бұрын
Mungu nijaliye na mimi wa Toto mapacha 🤲🤲
@edinahmaganga35282 жыл бұрын
😘😍😚😗 warembo sana Mungu awalinde
@eshialabonita77363 жыл бұрын
Wow Masha Allah
@elinabaltazali90552 жыл бұрын
Mungu ni wa ajabu sana.Mungu,uliewaumba hawa,na mimi naomba unipe mapacha wa kiume
@michelinemapendo66522 жыл бұрын
kabisa mimi piya
@salhatyusuph23053 жыл бұрын
Mashaallah nmewapenda
@tundaspodo69553 жыл бұрын
Mapacha wangu haooo nawapenda Sana Awana tabu na mtu
@mamafatuma1382 жыл бұрын
Ma sha Allah Allah awaeke in sha Allah
@user-ji1fm7eh1p5 ай бұрын
Mungu naomba nijaalie nami nipate mapacha
@jimmymbella9972 жыл бұрын
Nimewaakubar sana wadogo zangu❤️
@fakiibabalao41853 жыл бұрын
Mtangazaji na mapacha wanavithethe kama umegundua hili weka like hp
@nishrash36373 жыл бұрын
Kurwa saut yake inakwaruza na anakithethe Sana kuliko doto waskilize kwa Makin! Na kimuonekano Doto siyo muongeaje sana
@leylasadiki49512 жыл бұрын
Mungu nijalie na mm nipate mjawako inshallah
@aaa64sa132 жыл бұрын
Ameen inshaAllah
@asmintambwe95473 жыл бұрын
In shaa Allah mungu nipe namie mapacha
@mauwashomari81603 жыл бұрын
Mungu namiye mimba yangu ya kwanza nipate mapacha
@muniraally60663 жыл бұрын
Amiin mung atakujaalia ila na mm mung anilijaalia saiv wanamiak 7 mung aniwekee
@farajamwakamyanda30142 жыл бұрын
Amen
@halimahalima14882 жыл бұрын
Amiiiin thumma amiiiin mmi mwenyewa nataka ivo
@saumumunisi80134 ай бұрын
Half ni wazuri nimewapenda sana
@kamikazisalma52093 жыл бұрын
Manshallah ya Allah nijalie namimi mapacha Allahumma Amiin 🤲
@zalhathasaid20603 жыл бұрын
Amin na mm
@rahimaaaaa56823 жыл бұрын
Usiseme atamm nawataka kwer
@raheemaal-hady93283 жыл бұрын
In Shaa Allaah Mungu atakupa Mume bora Mammy Dotto... Nawapenda sana mammy zangu Allaah awalinde na killa shari.
@sophiamakani61332 жыл бұрын
U look very beautiful 😍 ❤
@saudalilingani92642 жыл бұрын
Mnanikumbusha mbali sana Sisi ktk mtihani ilikuwa tunajisahau tunaandika jina moja sasa hapo kazi kwake mwalimu hizo alama aweke kwa sauda au saida 🤣😂
@sisiliabugerheghon47453 жыл бұрын
Nice identical,,....❣️
@user-pp8bm9un5j4 ай бұрын
Jmn wanafanana kama sisi tunavyofanana lkn kuna tofauti kidog kweny saut lkn pia kulwa n mwembamba kidog Dotto mnene kidog. Yaan story yao haina tofauti na yao kama vle mama, marafk, majran na ndg wengne kutuchanganya n kawaida sana. Na cc wakat mwingne huwa anauliza ww n kulwa ama Dotto?, Kuhusu kuumwa na yenyew n hivyo. Kiufupi the way walivyoelezea halika n kwel. Nmependa mnavyoishi Mungu awape maisha marefu. Nmefeel vzr sana kuwasikiliza natamani niwaone jmn live ❤❤🎉🎉🎉
@maalimali55134 ай бұрын
Kweli kuna tofauti kidogo Doto ana uso mpana kidogo kuliko Kulwa
@user-uf1oz7zc3q3 ай бұрын
Ila wazur sana
@maalimali55133 ай бұрын
Allah kawajaalia Mashaallah♥️
@saudalilingani92642 жыл бұрын
Mapacha ni raha saaana, tulipokuwa watoto tulisumbua sana watu, yaani hadi leo mtaani watu wanachemka wakimuona saida humuita saida yaani wanahisi wamemuona sauda, watu huja kunilaumu eti nilimchunia
@user-pu5hf9eg4w4 ай бұрын
Pacha wang na ww😂😂hta me n pacha saida na sauda
@user-pu5hf9eg4w4 ай бұрын
Ndoto yngu kuja zaa pacha allah takabal dua
@hadijambwana90683 жыл бұрын
Mungu anijalie pchaa
@pendomarco89283 жыл бұрын
Ee Mungu Kama utapendezwa
@aminasamwel33793 жыл бұрын
Ee mungu naomba nibariki na Mimi pia mapacha
@husnamahadhi74372 жыл бұрын
Amin atujaalie sote in sha Allah
@user-cx7rh6jt6y4 ай бұрын
Jmn Mungu🙏 nawapenda ❤❤❤❤
@davisnkoba26832 жыл бұрын
You are real beautiful twins NAPENDA tu vile wanavyopendana l do love them.
@watendeabdallah65873 жыл бұрын
Mashaaalah napenda mapacha mm 😍❤️
@Feisal3792 жыл бұрын
warembo sana napenda xana
@husnamahadhi74372 жыл бұрын
Mungu akujaalie
@user-su1eb3im6t4 ай бұрын
Yaan wanaongea wao mapacha nacheka mm😂😂😂jaman napenda sana ila sipati . Namuomba Allah anijalie nipate inshallah 🙏🙏🙏🙏
@saudalilingani92642 жыл бұрын
Mimi na kulwa wangu tulitoa kali std 1 hadi form iv darasa moja na benchi moja enzi hizo hkn viti, tulikuwa tunakalia madawati, Ila mapacha watu huwa wanawapenda mnnooo lkn walishindwa kututenganisha Pia pacha huwa na hila mbaya hujiona wao ndio ndugu sana kuliko ndg wengine japokuwa wote wamezaliwa na baba na mama mmoja
@sadanassor49923 жыл бұрын
Mungu anijalie mapacha 🙏🙏
@happynesbaemuhappynes88133 жыл бұрын
Amina yarab
@ummuhkhalfan55422 жыл бұрын
Ameen ya Rabbi
@mariamhinda67102 жыл бұрын
Amen
@husnamahadhi74372 жыл бұрын
Amin
@fatmakhanii16767 ай бұрын
Mimi siwataki ulezi mgumu 😢 na hao mapacha kwenye familia yetu ndio usiseme mpaka naogopa
@user-lo2zq4fy6j4 ай бұрын
Jmn mpka raha ❤❤❤❤, nawapend san mapcha
@priscamagambo53202 жыл бұрын
Waoooo Kama wadogo zangu wanaonifata,Ila wao Ni wakiume
@barakasalim74063 жыл бұрын
Ewe mwenyezi mungu, nijalie mapacha katika uzao wangu insha allah.
@aminabashiru91713 жыл бұрын
Na mm mungu nijalie nipate mapacha nawapenda sana
@nananishimwe19635 ай бұрын
Napenda.apacha
@irenebellabellah40033 жыл бұрын
Mungu naomba nipe na mimi.kama hawa
@mohammedabdallah4653 жыл бұрын
Jamani nimewapenda Sana hao mapacha huyo doto niko tayari kimuoa
@kanezajoella66633 ай бұрын
Sauti ni tofauti pia kulwa ame changamka sana wazuri ❤❤❤❤
@deborahlagila63512 жыл бұрын
Wanafanana sio ajabu mama kuwachanganya me mwenyewe wa kwangu wana miaka 7 nikitoka safar nawauliza
@JaniJann-xv2nq2 ай бұрын
Wangu hawafani lakini wakiumwa na tabia wanashare ❤❤❤❤ maanake walishare placenta moja
@diananjoki67882 жыл бұрын
indeed fearfully and wonderfully made.
@musitemusite43163 жыл бұрын
Maashaallah
@matatomlik18462 жыл бұрын
Maashallah maashallah maashallah maashallah
@oman77102 жыл бұрын
Masha Allah Mungu awape umri mrefu
@user-kk7dd3xm8t4 ай бұрын
Ameen
@salamabakari8384Ай бұрын
Namimi munguanijalie nizae mapacha
@gloryqueen62963 жыл бұрын
Hongereni..sauti azifanani
@user-wc3hn4kt1x2 ай бұрын
Kitu ambacho sitaki kabisa ni mke wangu kuniletea mapacha. Ee Mungu naomba watoto tofauti ila MAPACHA sitaki