Yusufu wambugu ameaibika mbele ya halaiki.baada yakujibiwa swali yake

  Рет қаралды 53,709

BIBLIA NURU YA DUNIA

BIBLIA NURU YA DUNIA

4 жыл бұрын

Пікірлер: 109
@ipyanapaul8268
@ipyanapaul8268 2 жыл бұрын
Ndacha barikiwa sana mwalimu hakika ROHO wa MUNGU anakaa ndani yako ubarikiwe mno
@kelvinaherimutula1207
@kelvinaherimutula1207 3 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu ndacha kwa tibu na elimisha watu ili wa mjiye Yesu kristo
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 2 жыл бұрын
Yesu hafananishwi na nabii yoyote
@triuneapologeticsevangelis5912
@triuneapologeticsevangelis5912 3 жыл бұрын
I can't stop watching ur videos as u counter Islam with ease,the gospel of Christ must be preached to everyone till muslims see the truth
@olengonelson7453
@olengonelson7453 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi Ndacha kwa kazi hii unayoifanya. Bwana ukuziwdishie afya njema na uzima.
@rosemawia4239
@rosemawia4239 4 жыл бұрын
Amen,amen, barikiwa mwalimu dacha, roho wa mungu na azidi kuishi ndani yako, Yusuf we okoka na ubatizwe, uache kutapatapa kama unji,
@jamilshisia5929
@jamilshisia5929 4 жыл бұрын
Ailkuwa mkristo akasilim aliona haki ndio akafwata ukristo ni biashara
@brianmathias6854
@brianmathias6854 2 жыл бұрын
@@jamilshisia5929 waaa ulipotea ndugu yangu
@user-rm1os9bm8i
@user-rm1os9bm8i 4 жыл бұрын
wow,from saudi aki Ndacha we hunitia nguvu,endelea kuwapa ukweli
@ipyanapaul8268
@ipyanapaul8268 2 жыл бұрын
Hallelujah ndacha barikiwa sana
@emoalembe4790
@emoalembe4790 Жыл бұрын
Huyu ndacha uta waacha watu hoyi kweli kweli Mungu akubariki kabisa.
@enosbahati223
@enosbahati223 Жыл бұрын
Ndacha mungu akubariki
@jamesombaso9493
@jamesombaso9493 Жыл бұрын
God bless you ndacha
@erickangima970
@erickangima970 Жыл бұрын
Mungu aendelee kukupa maisha marefu hulete kondoo waliopotea
@MsDantoz
@MsDantoz Жыл бұрын
I am the way, the truth and the life NOBODY goes to the father except through me.
@isaacsilomba
@isaacsilomba Жыл бұрын
May God touch our hearts to follow Jesus the only true way
@hotnews6887
@hotnews6887 Жыл бұрын
Amin amin
@enosbahati223
@enosbahati223 Жыл бұрын
Nimefurahia kwa majibu ya mwalimu ndacha
@sammunialo5463
@sammunialo5463 3 жыл бұрын
Yusufu alichanganyikiwa na mada, hata akasahau aya ya Quran. Jibu alipewa kutoka kwenye Bibilia na mwalimu Ndacha. Yusuf abatizwe alivyo sema mwenyewe.
@danielernest8588
@danielernest8588 4 жыл бұрын
Waislam siku zote ni watu wa kushindwa tu,hata wafanye nn hawawezi,Yesu ndio kimbilio letu
@sammunialo5463
@sammunialo5463 3 жыл бұрын
Pastor Ndacha, wewe ni Mwalimu wa kweli. Ubarikiwe sana kwa kufundisha hali halisi ya Bibilia na Kristo. Mwenye maskio amesikia.
@olisecharo6128
@olisecharo6128 2 жыл бұрын
Kuwa mkristo raha sana
@enosbahati223
@enosbahati223 Жыл бұрын
Yusufu wewe 'ndawa yako ni mwalimu ndacha
@user-sj3di5wy9p
@user-sj3di5wy9p 4 жыл бұрын
May the lord bless u mwalimu
@jabalimikechi7750
@jabalimikechi7750 4 жыл бұрын
Kweli Wewe ni muchaguliwa wa Mungu, Mungu azi kukuzidishiya hekima wape dawa yao.........to God be the glory
@fatmafaraj9435
@fatmafaraj9435 2 жыл бұрын
In the
@edwinkaris9602
@edwinkaris9602 2 жыл бұрын
tell them the truth,for they shall know the truth and the truth shall set them free....
@agneskhakali2069
@agneskhakali2069 4 жыл бұрын
Hongera mwalimu Ndacha you never disappoint Christians we are happy of you let God empower you much more.Uarabuni ndani nakupata vilivyo mwalimu
@tarimowakweli
@tarimowakweli Жыл бұрын
Siku maikitini watatumia jina la Yesu Kristo badala ya issa, hata mimi nitawaunga mkono, issa wa kuruani si Yesu wa Biblia, wao hawaanini Yesu Kristo ni mwana wa Mungu, sasa issa yeye siyo mwana wa Mungu kutokana na kuruani
@STEPHENAUNGO
@STEPHENAUNGO 26 күн бұрын
Mbona mahubiri yakifikia kwa Ndacha inaruka? I want to hear good response from Ndacha
@ipyanapaul8268
@ipyanapaul8268 2 жыл бұрын
Yusufu wewe uwezi shindana na wakristo kwani wapo juu sana kimaadiko
@johnamos8086
@johnamos8086 3 жыл бұрын
Yesu no yeye Yule Jana leo na hata milele
@johnamos8086
@johnamos8086 3 жыл бұрын
Hakuna aliyetumwa duniani kuokoa watu duniani dhambini isipokua Yesu peke yake
@mosesbarasa5134
@mosesbarasa5134 Жыл бұрын
Very wonderful
@rachealnazi9115
@rachealnazi9115 Жыл бұрын
Jamani Yusuf kaumbuka🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rajukpino1429
@rajukpino1429 3 жыл бұрын
Asante mwalim
@banlincoln5646
@banlincoln5646 2 жыл бұрын
Huu ulikuwa mkutano wa wapi
@christophermotonyi2547
@christophermotonyi2547 Жыл бұрын
Ndacha kiboko yao may God bless u
@7evenlyrics154
@7evenlyrics154 2 жыл бұрын
Can i get these pastor or apostle
@patrickndaro372
@patrickndaro372 4 жыл бұрын
Sasa kumbe munamuamini yesu kupitia Quran ata sio Muhammad 😂😂 sasa na bado unaenda muskitini hyu anaabu kweli aki
@BibliaMwangawaDunia
@BibliaMwangawaDunia 8 ай бұрын
Safiiii kabisa
@janenjenga5639
@janenjenga5639 4 жыл бұрын
Barikiwa pastor ndacha kwa kuwapatia dawa
@joelgodia4000
@joelgodia4000 2 жыл бұрын
Yesu kristo diye kweli na jia pekee hakuna jia ya mwigine
@emanuelmsaky8074
@emanuelmsaky8074 Жыл бұрын
Ukweli wa Mungu utaendelea mbele Kati ya mdahalo Bora huu nao Bora zaidi akili za wengi zifunguke January 2023
@FuadHamed5804
@FuadHamed5804 4 ай бұрын
Sasa hapa ndacha kuna kitu cha kusifiwa nacho kweli? Ndacha hajielewi anarukaruka maana ukweli anaujua ila ako kupinga ajili ya pesa ..... Pesa ni Shetani mkubwa
@bienvenueitangishaka7015
@bienvenueitangishaka7015 Жыл бұрын
Yusufu abatizwe tu.
@anwarKhan-gn6yt
@anwarKhan-gn6yt Жыл бұрын
Wewe ndacha ni msanii Sana,yaani unasoma kifungu bila KUMALIZA sentensi na wakristo wenzako wanashangilia bila kujua hahahhahahaha.
@peternduati8877
@peternduati8877 Жыл бұрын
Ndacha hoja zake zii wazi jmeni
@abdimoge3839
@abdimoge3839 Жыл бұрын
Mtu akijibiwa swali anaaibika wapi ama vipi?
@ndikumanainnnocent7796
@ndikumanainnnocent7796 Жыл бұрын
Safi sheikh Yusuf uko vizuri tatizo ya makafiri nikuerewa kidogo
@Bongolink
@Bongolink 4 жыл бұрын
Quran 5:46 Na tukawafuatishia hao Isa bin Maryamu kuyahakikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Taurati, na tukampa Injili iliyomo ndani yake uwongofu, na nuru na inayo sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Taurati, na uwongofu na mawaidha kwa wachamngu. Quran 5:47 Na wahukumu Watu wa Injili kwa yale aliyo teremsha Mwenyezi Mungu ndani yake. Na wasio hukumu kwa yale aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu basi hao ndio wapotofu.
@juliusabraham8499
@juliusabraham8499 2 жыл бұрын
Kwanza ujue Quran si kitabu Cha mungu,Quran ni ya shetani Quran 2:97,kwa hivyo hayo maandiko ilikuwa imeandikwa na nani?????na ili uamini,,,,Quran 72:1 wakati majini waliskia Quran walisema ((((it is amazing na wameiamini)) Mimi nikisema majini waliamini Quran yao kutoka kwa shetani kosa ni gani?????
@sammunialo5463
@sammunialo5463 2 ай бұрын
Waislamu lazima watumie uongo.
@vincentlion7487
@vincentlion7487 Жыл бұрын
Nawabenda Sasa bwana onyango na francois
@MohamedHassan-yo7rt
@MohamedHassan-yo7rt 4 жыл бұрын
Mungu atuhifadhi Amir Yussuf Wambugu maana anajua ukweli
@ntandujunior1204
@ntandujunior1204 2 жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️❤️🙌😂
@Bongolink
@Bongolink 4 жыл бұрын
Wanaso mfuata Issa (Yesu Kristo) Watawekwa Juu ya watu wengine hadi siku ya kiama Quran 3:55 Pale Mwenyezi Mungu alipo sema: Ewe Isa! Mimi nitakufisha, na nitakunyanyua kwangu, na nitakutakasa na wale walio kufuru, na nitawaweka wale walio kufuata juu ya wale walio kufuru, mpaka Siku ya Kiyama. Kisha marejeo yenu yatakuwa kwangu, nikuhukumuni katika yale mliyo kuwa mkikhitalifiana.
@hilalhilal8400
@hilalhilal8400 4 жыл бұрын
Kasome tena usisomee redioni
@intercontinental8203
@intercontinental8203 4 жыл бұрын
@@hilalhilal8400 Una macho lakini hauoni, Unaikana Qura'n maana imesema "Walio mfuata Issa Bin Maryam Watawekwa Juu ya watu wengine hadi siku ya Kiyama"
@emmyndunge6406
@emmyndunge6406 Жыл бұрын
Ndacha kiboko yao
@joelgodia4000
@joelgodia4000 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@intercontinental8203
@intercontinental8203 4 жыл бұрын
Watu wana sali kwa Allah Lakini Allah naye ana Sali, Ana Sali kwa nani? Au ana muomba nani kama yeye ndo Mungu? Kama ana sali basi kuna anaye Muomba Quran 33:56 Hakika Mwenyezi Mungu na Malaika wake wanamsalia Mtume. Enyi mlio amini! Msalieni na mumsalimu kwa salamu.
@profs.a5412
@profs.a5412 4 жыл бұрын
Hili swala inatakiwa lingie kwenye maajabu 7 ya dunia🤠🤠🤠.......yan allah wao anamsalia mtume......🤠🤠🤠🤠............bora ukae kwanza mpagani kuliko kwenda uislam aiseee
@janenjenga5639
@janenjenga5639 4 жыл бұрын
Vituko vitaisha hii dunia
@bictonykeraryo3900
@bictonykeraryo3900 2 жыл бұрын
Mbona hujasilimu mwongo wewe wambungu?. Na uliomba andiko umepewa!.
@janetkahada5206
@janetkahada5206 3 жыл бұрын
Isreal my brother siyo taifa kwenye Bible lsreal ni Yakobo mwanzo 32:28
@sulehassanshall6140
@sulehassanshall6140 3 жыл бұрын
Tunamuombea shetan ndacha .mungu Amzidishie uchizi wake.Amezid ujinga wake kumtukana mungu nanabii wake nabblia naquraan.ndacha Shetan Hana akili a Na Atazidi kukosa Akili ...Ata piga kelele zaid uciku mchna Akisema mungu nimejuta kwann nilikutakana. ...Namusitafute ninani Alie mroga ndacha bali niombi waislam Tunamuombea Akae ciku nyingi Akiwa chizi Kila mtu Amshuhudie uovu wake Aluotenda...
@michaeldoroleo4864
@michaeldoroleo4864 Жыл бұрын
😅😅😅hivi ndivyo waislam wanasomaga bible,hawakumbuki mistari miwili nyuma.
@jamilshisia5929
@jamilshisia5929 4 жыл бұрын
Huu ndio ukristo sasa Leo mumeamua kumtangaza yesu katumwa na Mungu ila siku zingine yesu ni Mungu inalilah wa inalilah rajuni, na ndio maana wakristo wanasilimu kwa wingi , ndacha wewe huwezani na ustadhi yusuf! wewe kwa dini yenu hakuna unacho changia ilah kwetu ustadhi Yusuf amesilimisha makafiri wengi mno kwako n pang'ang'a tu elimu huna marifa huna , njo usilimu upate rehema
@sarahabdulatif7391
@sarahabdulatif7391 4 жыл бұрын
Yusufu ana LAANA huyo .naasipobadilika atakufa kifo kibaya sana
@patrickndaro372
@patrickndaro372 4 жыл бұрын
😂😂😂
@MohamedHassan-yo7rt
@MohamedHassan-yo7rt 4 жыл бұрын
Kama we utajua njia yko
@Hopewavinya567
@Hopewavinya567 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@edwardchomba9733
@edwardchomba9733 2 жыл бұрын
Wacha makasiriko bana..😂😂😂
@paulmutisya3842
@paulmutisya3842 4 жыл бұрын
pasaka ya wakristo ulikataa kubatizwa.unamchezo wambugu
@lileoh3893
@lileoh3893 2 жыл бұрын
Wewe ndacha acha kufanya maandiko kama tim ya yanga na simba intakiwa tafakali maneno je nikweli. Maneno ya baybo nakuruani yap yanasema ukweli
@MohamedHassan-yo7rt
@MohamedHassan-yo7rt 4 жыл бұрын
Unaupload Nusu watu ni wasome si kama wewe unafikiria kama kuku😂😂
@hilalhilal8400
@hilalhilal8400 4 жыл бұрын
SIJAONA ALIPO AIBIKA. NIMEONA MCHUNGAJI KAFANYA KAZI YAKE YA KICHUNGAJI KUPOTEZA WATU. HAKUNA SEHEMU YESU KASEMA ATAOMBEA ULIMWENGU. WAAMBIENI WAKUONYESHENI ANDIKO NYIE WAKIRISTO MNAPACHIKIWA UJINGA MNAAMINI TU. YESU HAWEZ SEMA ATAOMBEA ULIMWENGU. HALAFU WAKIRISTO MNAMAAJABU SANA. KWANZA MNAMUITA YESU MUNGU PILI MNASEMA ATAOMBEA ULIMWENGU!!! YAANI HUYO MLOMUITA MUNGU JE ATAOMBEA KWA MUNGU GANI SI ANGESEMA NTAWASAMEHE ULIMWENGU! KUMBE ATAWAOMBEA KWANANI?. WAKIRISTO ACHENYI UJINGA KILA NENO KUITIKIA NDIO TU KAMA MLIOROGWAA!!! UJINGA HATA HAMFIKIRI
@edwinelyone3100
@edwinelyone3100 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Amen ndacha.
@saumusanjiama6991
@saumusanjiama6991 2 жыл бұрын
Kaabika wapi ndacha wenu hanampango
@kingplumber3849
@kingplumber3849 Жыл бұрын
Wambogu aki wewe
@TruthMustBeTold_911.
@TruthMustBeTold_911. 2 жыл бұрын
There is only one God,His Name is Jehovah.Bible is His Word.We will never worship any other gods or idols whether they use knives,swords,gun,bombs or suicide bombers.
@intercontinental8203
@intercontinental8203 4 жыл бұрын
Allah ni Muhammad asiye onekana. Allah = Muhammad Quran 33:56 Hakika Mwenyezi Mungu na Malaika wake wanamsalia Mtume. Enyi mlio amini! Msalieni na mumsalimu kwa salamu. Quran 4:80 Mwenye kumtii Mtume basi ndio amemtii Mwenyezi Mungu. Na anaye kengeuka, basi Sisi hatukukutuma wewe uwe ni mlinzi wao.
@hilalhilal8400
@hilalhilal8400 4 жыл бұрын
Wewe bakia na UJINGA WAKO. Lakini hakuna andiko lilosema Muhammad =Allah. Hakuna hilo andiko kwaio hizo kutoa tafsiri kwenye tafsiri ni upumbavu wako kadanganyaneni hukohuko kanisani mlipozoea uongo na upumbavu. Hizo tafsiri zipo ivo zilivo ndio ivo ivo wala Mungu hakusahau kuandika hio = . Kwaio usiiweke haipo. Wewe bakia tu na upumbavu uliokujaa
@hilalhilal8400
@hilalhilal8400 4 жыл бұрын
Sisi waislamu tushafahamu andiko wala hakuna andiko lilosema Allah ni Muhammad. HILO andiko hakuna ila ni kufuru za midomo yenu mkayatoa maneno ya Allah.sw. na mkatunga maneno teni. Allah.sw. hasahau wala hakosei kuandika kwaio msizidishe yasio kuwepo
@intercontinental8203
@intercontinental8203 4 жыл бұрын
@@hilalhilal8400 Allah akosei? Nenda kasome Qura'n 19:27,19:28 na 66:12 Uone uongo wa Allah, Maryam mama yake ISSA (Yesu) ni dada yake Harun na Musa kwa baba na mama mmoja? Kuna Tofauti ya miaka 1300 kati ya Musa na Maryam mama yake ISSA, inawezekanaje wawe Kaka na Dada? Alicho kifanya Allah kafikiri Miriam wa Kwenye biblia ndio Mariam bikira mama yake Yesu, Kamchukua Miriam Dada yake Harun na Musa na kumpachikia stori ya Maryam mama yake ISSA. Soma, 1 Mambo ya Nyakati 6:3 Imran ni baba yake Miriam sio Maryam mama yake ISSA, Mariam bikira /Maryam Baba yake ni Yoachim. Alafu anajiita mjuzi wa yote, mjuzi wa yote hajui hata historia? Qura'n 4:82 Allah anasema Kama Qura'n haitoki kwa Mwenyezi Mungu utakuta kuna Khitilafu nyingi. Ndio maana Surat Yunus 94 ana waagiza Waislam kama wana Maswali wawaulize wasomao Kitabu kabla yenu (Wakristo na Wayahudi) kwasababu anajua ukikisoma vizuri lazima utaona kuna matatizo na wa kutatua matatizo ni Wakristo na Wayahudi.
@intercontinental8203
@intercontinental8203 4 жыл бұрын
@@hilalhilal8400 Ndo maana Allah ame waruhusu kutumia Uongo (TAQIYYA) Jami` at-Tirmidhi 1939 Wakristo hakuna kupindisha maneno; Bali maneno yenu yawe Ndiyo, ndiyo; Siyo, siyo; kwa kuwa yazidiyo hayo yatoka kwa yule mwovu. Mathayo 5:37 Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo. Yohana 8:44
@janenjenga5639
@janenjenga5639 4 жыл бұрын
Tupe habari
@jamilshisia5929
@jamilshisia5929 4 жыл бұрын
Hapo sijaona chochote ju hujatoa majibu, wewe ndacha ndio uliaibika sana mpaka ukavalishwa kofia baada ya kutoa hoja eti itoke andiko yesu anaita mamake mama utasilimu walivunja hiyo hoja yako ukaibika
@michaelvicem6323
@michaelvicem6323 2 жыл бұрын
Wew ni acha ushabiki maandazi sis tunaangalia points Yusuf kauliza ujinga mtupu na kajibiwa safi,
@hilalhilal8400
@hilalhilal8400 4 жыл бұрын
We
@ramazecha2877
@ramazecha2877 2 жыл бұрын
Yusuph wambogo ni kiboko ya ndacha
@jamesombaso9493
@jamesombaso9493 Жыл бұрын
Kweli mmerogwa yaani mtu ameshindwa na bado unamtetea??
@josephdavid9859
@josephdavid9859 Жыл бұрын
@@jamesombaso9493 Achan nae hjui asemalo huyu😂😂
@juliusabraham8499
@juliusabraham8499 2 жыл бұрын
Yusuf ni kafiri
@godisgreat1845
@godisgreat1845 4 жыл бұрын
Yani wakristo hamna jipya yani huyu NDACHA anaigiza comedy hapa mnamwita mwalim kwali Allah anaapa hata kwa nafsi yake Sasa mnashangaa kwa Hilo nahii basi au ya qur'an Aya hii Amos 6:8 nyie kuna siku mtajuta mtakapooneshwa njia yenu Leo mnawadharau walimu wa Kiislamu kwa jitihada zao za kukuepusheni na adhabu za Allah siku ya kiama
@idrissatuppa3997
@idrissatuppa3997 4 жыл бұрын
Ndacha Yusuf wambughu kaaibika wapi sasa. Au unajfariji.huna hoja.
@angelinekinandaofficial9541
@angelinekinandaofficial9541 3 жыл бұрын
Yesu ohhyeee
@angelinekinandaofficial9541
@angelinekinandaofficial9541 3 жыл бұрын
Yesu njuu njuu shetani chini
@estherkanini4627
@estherkanini4627 2 жыл бұрын
Wacha kukasirika bro
@suleimanali8317
@suleimanali8317 4 жыл бұрын
masikini kondoo wanapotea kwa sababu hawajui mandiko msishabikie tu kuna hukumu kesho mtakuja lia na wala Ndasha hataweza kuwaokoa
@Bongolink
@Bongolink 4 жыл бұрын
Quran 5:46 Na tukawafuatishia hao Isa bin Maryamu kuyahakikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Taurati, na tukampa Injili iliyomo ndani yake uwongofu, na nuru na inayo sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Taurati, na uwongofu na mawaidha kwa wachamngu. Quran 5:47 Na wahukumu Watu wa Injili kwa yale aliyo teremsha Mwenyezi Mungu ndani yake. Na wasio hukumu kwa yale aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu basi hao ndio wapotofu.
@CK-ii5cc
@CK-ii5cc 4 жыл бұрын
ole wenu waislamu mtalia lakini itakua too late.moto ya kuzimu inawangoja
@davidsolomon5240
@davidsolomon5240 3 жыл бұрын
Kundi la Mashetani limesikiliza Koran na kuiamini(surah Al jinn ) 72
@jamilshisia5929
@jamilshisia5929 4 жыл бұрын
Mimi nilidhania kuna hoja kubw sana kumbe nkuweka viraka, kiswahili ndio shida kwako ukipewa mamulaka haimanishi umepewa mamulaka dunia mzima kwa mfano rahisi wetu ako na mamulaka hapa kenya mbali akienda nchi ingine hawezi kuwa na mamulaka,wewe rudi shulen ukasome acha kuleta sarakasi,
@intercontinental8203
@intercontinental8203 4 жыл бұрын
Allah anaapa kwa Ardhi na kwa aliye itandaza, kwa mbingu na kwa aliye ijenga, Kwa Nafsi na kwa aliye itengeneza. Kama anaapa kwa Nafsi na kwa aliye itengeneza, kwa ardhi na kwa aliye itandaza, kwa mbingu na kwa aliye ijenga ina maana sio yeye kuna mwingine aliye vitengeneza hivyo ndo maana anaapa kwake. Qura'n 91:1 Naapa kwa jua na mwangaza wake! Qura'n 91:2 Na kwa mwezi unapo lifuatia! Qura'n 91:3 Na kwa mchana unapo lidhihirisha! Qura'n 91:4 Na kwa usiku unapo lifunika! Qura'n 91:5 Na kwa mbingu na kwa aliye ijenga! Qura'n 91:6 Na kwa ardhi na kwa aliye itandaza! Qura'n 91:7 Na kwa nafsi na kwa aliye itengeneza!
JE YESU  NI MWOKOZI WA ULIMWENGU
1:13:53
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 23 М.
NDACHA AVUNJA AHADI NAKUTHALILIKA MBELE YA HALAIKI YA WATU.
5:31
KENYA DAWAH TV
Рет қаралды 42 М.
Sigma Girl Past #funny #sigma #viral
00:20
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 22 МЛН
The child was abused by the clown#Short #Officer Rabbit #angel
00:55
兔子警官
Рет қаралды 12 МЛН
FOOTBALL WITH PLAY BUTTONS ▶️❤️ #roadto100million
00:20
Celine Dept
Рет қаралды 36 МЛН
Vivaan  Tanya once again pranked Papa 🤣😇🤣
00:10
seema lamba
Рет қаралды 20 МЛН
Sheikh Muhammad Yarit...kwenye mdahalo baina yake na Ndacha...
20:19
Abass Online Tv ( Eastleigh Daawa, Nairobi Kenya)
Рет қаралды 6 М.
WAISLAMU HUKIMBIA BADA YA KUSHINDWA NA HOJA NYAHURURU
31:36
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 163 М.
MASWALI NA MAJIBU KUHUSU MUNGU WA BIBLIA // BUKAVU, DR CONGO
31:55
SAUTI NYIKANI MINISTRY
Рет қаралды 6 М.
ndacha alemewa na mada aliyochangua mwenyewe likoni Mombasa county 001
8:06
MDAHALO KATI YA WAKRISTO NA WAISLAMU MUJINI KISUMU MADA MSALABA
56:27
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 49 М.
Mwalimu Dancha Amefika
51:58
WARNING OF LAST DAYS
Рет қаралды 33 М.
YESU HAKUFA MSALABANI
32:36
MPAGAZE TV
Рет қаралды 7 М.
BIG DEBATE IN MUHURU-BAY  PASAKA
11:13
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 52 М.
Sigma Girl Past #funny #sigma #viral
00:20
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 22 МЛН