Рет қаралды 9,797
RAis wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli anaweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Barabara ya Lami kutoka Njombe - Makete yenye Urefu wa Km 110.
Pia anafungua hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe.
Aidha Mhe.Rais anazungumza na Wananchi wa Njombe katika Uwanja wa Saba Saba.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli Yupo Mkoani Njombe kwa Ziara ya Siku Tatu