Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli ambaye ameongozana na Mkewe Mama Janeth Magufuli tarehe 16 Oktoba, 2019 anaendelea na ziara yake Nachingwea na Masasi
Пікірлер: 30
@leskarlmollelmollel4805 Жыл бұрын
Sisi tulikupende,lakini mungu ndio kakupenda said,ata huko mungu ataenda kukupa uongozi,
@boniphacesumbuka4184 жыл бұрын
da. huyu jamaa atatufikisha mbali sana mungu amubariki kwa kila jambo nzuri analo lifanya kwa maendeleo ya leo na miaka ijayo.
@fatmamlumbwa76164 жыл бұрын
Mungu Akubariki sana rais wetu
@sultankibole14814 жыл бұрын
Duh haya kwa wale wenzangu na mimi tusiependa kufanya kazi, kazi tunayo
@maspro62944 жыл бұрын
Hapa kazi tuu JPM nyosha nchi imechezawa Sana na wapumbavu wapiga dili mpaka wale mawe wewe ndio kiongozi Bola kwa Sasa Africa piga kazi mpaka kieleweke
@damasmangole26042 жыл бұрын
Daah Aisee
@hawardmashoke36784 жыл бұрын
SAFI SANA RAIS WANGU MUNGU AZIDI KUKUPA AFYA NJEMA MAONO ULIYONAYO JUU YA TAIFA LETU UYATIMIZE
@khamiskasim74674 жыл бұрын
Kazi nzuri mh raisi, kura yangu unayo
@zakariampompo9534 жыл бұрын
SAFI SANA RAIS WETU
@richardmoby77964 жыл бұрын
Safi sana Rais wetu awamu yako mpaka wanyoke kama rula hakuna kubembeleza vilaza wakubwa sukuma ndani😀😀😀
@drewwains19203 жыл бұрын
kweli kabisa
@mangegervas96514 жыл бұрын
Saaafiii saana jpm na mawazir wako
@imagepower36414 жыл бұрын
hakuna kuwabembeleza,kwani walilazimishwa kuwa viongozi
@zakayolugano17874 жыл бұрын
i wish this was kenya
@namuwawumargaret93975 ай бұрын
Tz pole
@digitalcyber81704 жыл бұрын
Kuna swali ningependa kuuliza kuhusu hawa wanajeshi wa vikosi maalum (special forces), mbona kuvaa mavazi ya jangwani ambayo ni enye kungaa, ilhali sehemu hii ina majani. Wakenya huvaa mavazi kulingana na mazingira
@michaelmwaluko28824 жыл бұрын
Magu nimekuelewa
@georgechacha67454 жыл бұрын
Safi baba Wawa nyonge
@muhibumrope60294 жыл бұрын
nakukubali raisi wangu
@deogratiustitus69222 жыл бұрын
U will be remembered,toka nimekuwa nikajua Tanzania baada ya kumpoteza Nyerere ,sijawahi kumuona rais kama ulivyokuwa wewe mungu akupokee katika ufalme wake
@laurentmkolea5228 ай бұрын
Pumzika kwa Amani Mkuu .
@AmmieTz4 жыл бұрын
Uyu ndie mpambanaji uyu
@edsboresha25714 жыл бұрын
Duuuuu uh Kama umesikia VILAZA wakubwa kama mimi. ...... Gonga like
@fadhiligenda46464 жыл бұрын
eds boresha
@msafiriomary8939 ай бұрын
Hatuta msahau mpaka reo MIOYO yetu imejeruhiwa sana kumkosa kiongozi mwenye maono kama huyu
@jumantomola88974 жыл бұрын
Duuu, vilaza wakubwa
@user-rj2th6fq5v4 жыл бұрын
Engineers mjikague kuna nini kumbuka ile soma hiyooo