Рет қаралды 466
Siku kadhaa zimepita baada ya msani Zuchu kutoka lebo ya WCB Wasafi kutumbuiza katika tamasha la Full moon Party huko Zanzibar.
Ameamua kuomba radhi kwa baraza la sanaa la taifa Basata na mashabiki kwa ujumla baada ya kuimba maneno ambayo yameleta sintofahamu.