Nakuomba uombee familiar yangu sana, sana I'm Ben from Kenya machakos
@RosemaryChristopherАй бұрын
Amen Amen!! Mungu akubariki sana mtumishi nimebarikiwa mno na ushuhuda wako pia nimejifunza mengi.Mungu azidi kukutetea na kukupigania katika kuitenda kazi yake, Amen🙏
@CastoryKapinga-nb7htАй бұрын
Aminaa sanaa asanteew nami ni namba 4
@shasikienterprises386Ай бұрын
Shaloom mtumishi. Siku ukipanga kuja DAR es salaam naomba sana utuarifu wana Davista tukutane kwa maombi. Ubarikiwe
@user-xc8xw3cu8zАй бұрын
Tunaomba ututembelee hapa Kenya ngalama watu wa hapa tutakusimamia, na sana naomba ukuje hapa machakos
@marysigunaАй бұрын
Tunakukaribisha 🇰🇪 sana ata na kisumu mtumishi,
@annjohn194Ай бұрын
Amina
@PastorPhilipMbaabu.Ай бұрын
Karibu sana Nairobi. Davista tupe tarehe na venue please.
@mildredchonya2224Ай бұрын
Utukufu kwa Mungu juu Mbinguni
@kahindiwanje90Ай бұрын
Safi🙏
@jafalkutika879Ай бұрын
Tafadhari, ile story ya NILIMSOMESHA MCHUMBA WANGU AKANIGEUKA, mwendelezo tafadhari
@ayoubmwangonji2357Ай бұрын
❤❤❤
@vitabuvyashuhuda-lg2fnАй бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu. Ninapoona sura yako naona utukufu wa Mungu! Usibadilike mtumishi tafadhali, usianze kuvaa masuti masuti, baki kama ulivyo na Mungu akuzidishie karama na baraka
@GiliardKashimbaАй бұрын
Amina mwana wa MUNGU
@GiliardKashimbaАй бұрын
Amina
@fatumatandika6220Ай бұрын
Yuko vizuri sana tuombe MUNGU asijebadilika
@GiliardKashimbaАй бұрын
Kweli
@annkim2690Ай бұрын
Kuna watu wanabahati Sana sijui niwale wanaitwa wateule au ni vipi MTU anao koka Leo ana kufa kesho Yani anajipata mbinguni
@cheddarman8436Ай бұрын
Mimi nashukuru MUNGU kupitia huyu Mchungaji alimuombea mtoto wangu aliekuwa na cancer ya figo na Mungu akajibu maomba operation ilifanyika vyema.
@optimus_cruzАй бұрын
Asanti sana mtumishi. Utakua Nairobi pande gani?
@GiliardKashimbaАй бұрын
Kio ruwaraka
@PastorPhilipMbaabu.Ай бұрын
12 minutes!
@user-jn7tr8ei5nАй бұрын
Jaman mbona naipiga hiyo namba haitoki na nipo tz
@aphilinamsafiri9780Ай бұрын
Namba ya mtumishi plz tunaombs
@victorinakhamali9291Ай бұрын
Siko Nairobi lakini tunaitaji maombi yako niko Kenya maali panaitwa kitale mchungaji tunataka maombi yako