Asante Mchungaji,kweli mimi nawambiaga English is my third language. Wanakuwa interested kujua my first and second language,ambacho ni Kihaya na Kiswahili.Niko proud sana. Utukufu ni wako Yesu Kristo wa Nazaleth .
@ziporamachilu68774 күн бұрын
Nabarikiwa sana na injili yako We We ni mtumishi wa kweli tunauombea Baraka na ulinzi wa Bwana
@user-ho9cm1um8mАй бұрын
Asente pastor you are my hero natamani nitembee kwa nyaya yako
@mireillemwenze5970Ай бұрын
Yesu wangu ni kumbuke na kutumainia kweli wewe ni mganga mukuu ku zidi wanganga wa duniani ni wewe una neno juu afia zangu na mume wangu na watoto wangu
@DalmasNyariboАй бұрын
Amen 🙏
@jamesnyamweya9273Ай бұрын
Following from Nairobi Kenya so much blessed pastor
@ngoloroseАй бұрын
Asante mchungaji. Kwa kutugunza Mungu azidi kukubariki , Tumebatikiwa sana
@mireillemwenze5970Ай бұрын
Bwana leta msaada waki hushumi ndani ya famillia yangu
@robardmutisarobard4605Ай бұрын
Asante Sana pastor kwa neno nzuri la MUNGU
@MariamBuseleАй бұрын
Nabarikiwa sana nikiwa kitandan kwangu tarime MUNGU akubariki sana mchungaji
@zeliageorge3311Ай бұрын
Amina, Mungu atukuzwe.
@magesamatiku750627 күн бұрын
Naomba waumini wa SDA mwenye namba za pastor Mbaga anipe tafadhali❤❤
@penwelinatimothy9057Ай бұрын
Ameeen, mtumishi wa Mungu.
@sylviaomwenga874024 күн бұрын
Amina Amina Amina barikiwa pia
@neemasamwel8968Ай бұрын
Ahsante Yesu kwa neno lako na ufahamu wako umenielewesha hii hekima, ninaomba uendelee kuachilia mafunuo yako juu mtumishi wako ameen🙏
@FrankKegoye-sg2uqАй бұрын
Uko mkoa gan
@ChristineLengeАй бұрын
Hubarikiwe mtu wangu kwa kazi unaendeleya kuzifanya mtandahoni kwakutu djenga
@Petro757Ай бұрын
Amina ubarikiwe na Bwana
@ElijahMosongАй бұрын
Paster niombee kazi imeanguka gaki
@ZaharaKamotaАй бұрын
Kwa kweli mchungaji unanifurahisha sana, ubarikiwe na Bwana
@mireillemwenze5970Ай бұрын
Damu ya yesu ika okowe mahisha yangu
@user-wg2gd2nl6cАй бұрын
Mtumishi Yehova akirinde maana. Unatoa siri ambazo wengi wamefumbwa midomo yao. Nikama unajiripua. Yehova akurinde sana. Pia yesu atusaidie kutufumbua macho ya lohon. Barkiwa sana.
@MahubiriPrMmbagaАй бұрын
Amen
@mariamhelen7808Ай бұрын
Bariki kaz ya mikono yangu
@jeannettewilondja733Ай бұрын
Ubarikiwe san
@user-bl8lk7hy1sАй бұрын
Mushungaji mungu akubariki sana kwa mahubiri mazuri
@ChanceBariziraVital-cv5jx29 күн бұрын
Amina
@GiselaNdanzi-vl3mlАй бұрын
Mungu akubariki kwasomo zuli Sana mchungaji
@JosephineMuthoni-uw3ynАй бұрын
Pr kumbuka familia ya msichana wangu cate and Mike