Mashallah maneno yako mashallah powerful husemi urongo your write everything.kafara ni kuchinja na sadaka nipesa au vitu vidogo vidogo.
@nginqKanunga23 күн бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi nko mombasa
@BorerMsaah22 күн бұрын
Kama Sio ushirikina Ni Nin hii Yaani Wokovu umebadlishwa kabisa Kua uganga hivii YESU KRISTO kazi yake Nin mbona tunankosea Mungu Jamani Mungu Atusamee 😢😢😢
@paschalsafari974711 күн бұрын
Walokole ni masikini sana..
@tinershayo61916 күн бұрын
Mimi bado naumwa sasa
@hadijatwahadossa5 күн бұрын
Huo ndo ùkweli,,,ndo maana watu wanaoongoza kwa umasikini ni walokole,,,hili liko wazi..
@johnwoshi345924 күн бұрын
Imani ngeni
@trophywilson721124 күн бұрын
Anatoa Kafara kila siku
@trophywilson721124 күн бұрын
Huu uchawi kweli kweli
@user-ji1mq4sk1n20 күн бұрын
Dini mpya
@japhetferuzi121922 күн бұрын
Kuchinja au kumwaga damu kweli ni kanuni ya mungu/kibiblia kupata mafanikio?
@prochesernest543919 күн бұрын
Tutawatambua kwa matendo yao mnatimiza maandiko 24:24 Mathayo wakristo kuweni macho ukweli wa biblia huwo hapo Yesu kristo Asante sana kwa uokovu wako Yesu analudi mapema Sana
@uziasinkamba73803 күн бұрын
Kwahiyo hapo wanatoa kafara za kuchinja ndiyo wakapata hizo kazi,siyo kweli jaribu kutulia usiwe na haraka.Yesu ni kila kitu na ndani ya yote....Mungu ponya Taifa letu
@nginqKanunga23 күн бұрын
Mimi naona utanisaidia
@nginqKanunga23 күн бұрын
Mimi nmependa mafundisho ykomtushi
@PeterDaud-w4y19 күн бұрын
Kanisa lake lipo wap hapa
@woah.africa9921 күн бұрын
Ibrahim ktk kuchinja mmedanganya ila alipo jenga alkabah mmepinga na huyohuyo ibrahim leo ndio saudi arabia sio saudi mzungu yote ni uongo wa wazungu wamebadilisha ukweli kua uongo vp isaka alikua sio jangwani ni phalestina alichwa sara na mwanae isaka na hajir na esmael na ibrahim ndio jangwani ndio hapo aipo ameiwa kumchinja mwanae esmael ndio mpka leo ukienda kuhiji unachinja na be ibrahim na esmael na hajir ndio sababu ya kuhiji naibrahim aliombea ardhi za arabia ndio mana hata ngamia alisomewa analala mana bee wote ni kutoka arabian land
@user-zm7kk1tr5l23 күн бұрын
Yaaani mimi uwa simelewi kabisa huyu mtu wewe nishetani wa kuzimu kabisa kwanza unajizalilisha tu mtadaoni bora tu ungebaki tu kwenye waisilamu maana huku wakiristo unatuvuruga tu inamaa na wewe kwenye kanisa lako unachinja Yaaani wewe unapotosha kabisa wewe siyo mchungaji nimganga wa kienyeji inamaa wewe waumini wako unawavuta kwa kuchinja
@lwezaurawilliam449824 күн бұрын
Ipm wewe mwongo unapenda sifa sana! zitakushusha! Swali south Africa ulienda lini? na ulikuwa unasoma chuo gani?
@nancymuriuki30422 күн бұрын
Tuelimishe kabisa
@SaadatSaeed-re6nk24 күн бұрын
Mongo.kudanganya
@Kuminamoja199524 күн бұрын
Sio isaka ni ismaili?
@nginqKanunga23 күн бұрын
Mimi pia nataka unifundishe kutoa kfara
@tinershayo61916 күн бұрын
Sasa wewe mtowe mtoto wako ujue kondoo atakuja 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
@dicksonkilupa225822 күн бұрын
HII IMANI NI NGENI, SISI KONDOO WETU WA SADAKA ALISHATOLEWA MSALABANI , HIVYO HATUPASWI KUMWENDEA MUNGU KWA DAMU YA MWINGINE ZAIDI YA DAMU YA YESU KRISTO. Wao walichinja wanyama bado damu haikutosha. WAKRISTO KUWENI MAKINI NA HIZI MAFUNDISHO NGENI KUTOKA KWA MAPEPO.
@SalahSalum23 күн бұрын
Ipm umeongea ukweli mtupu na umeongea kwa hekima sana watakaolewa ni wajanja pekeyao 😅😅😅
@AbdulHakim-ne8jl8 күн бұрын
Ipm ni binaadamu hawezi kuwa mkamilifu wa kila kitu ndio kakoseya jina unapaswa kumrekebisha alipokoseya na siyo kutumiya neno uwongo kila mja anaangaliwa hatimayake ya mwisho kwa imani ya dini yetu ya kiisilamu tumuombe Alhwa hatma jema kwa soto tuchoke kukumbushana kwa ajili ya Alhwa
@salisali373819 күн бұрын
Ipm muongo haja fungwa kamba alikuwa ana jua kama yy ndio ana chinjwa
@hamoodhhamoodalsharji758421 күн бұрын
NA NYINYI WAANAMIDIA ACHENI KUCHANGANYA WATU UNAULIZA JITU HATA HALIJIELEWI. ETI NABII HAKUNA UNABII KWA SASA. MANABII WA UONGO HAO NA JAHANNAM INAWASIBIRI.
@Kalunirashidi14 сағат бұрын
unasema ajeeliwi mlikata.wake wengi alafu Leo MNA weka vimada nje kweli
@woah.africa9921 күн бұрын
Muongo sio isaca
@jacquelinemwakasala956323 күн бұрын
Ipm unatuchanganya ww yaan imebidi nicheke
@NyamweruBushaza23 күн бұрын
Aaaaaaaaaaa
@FaustinaMkama23 күн бұрын
Hivi wewe nimtumishi wa Mungu kweli?
@deboramuhoja177724 күн бұрын
Mwenye Enzi yote na Mamlaka, MUNGU mwenye uweza, utupe Hekima🤲
@prochesernest543919 күн бұрын
Wewe wapi Yesu aliwafundisha mitume watoe kafara kwenye biblia angano la kale ? Hachana na ukristo wewe ludi huko ulikotoka kwenye Dini ya majini wanaopenda muwatolee sadaka za makafara Mungu alishatukataza kutoa sadaka kwa majini walawi 17:7
@hamoodhhamoodalsharji758421 күн бұрын
Acha uongo ndugu muogope mola wako kwanza wewe ulikuwa muislam Tamaa ya pesa umekuwa murtadi. Hapo unaposema isaka si ukweli ni Ismail ndie alitaka kuchinjwa.
@woah.africa9921 күн бұрын
Solomon au sulaiman mana phalestina ni arab land
@hadijatwahadossa5 күн бұрын
Huo ndo ùkweli,,,ndo maana watu wanaoongoza kwa umasikini ni walokole,,,hili liko wazi..