Juu yako Mimi naamini kuwa mungu yupo kwa ukweli wako. Amen, amen..
@faustakomba818610 күн бұрын
Mungu mwema atusaidie. Sana onekama mungu baba Tunaangamia Rehemia sana moyo Tuliza sana roho yangu inakutumainia
@user-fu3cg3gv9g24 күн бұрын
Daah ok sawa acha maisha yaendelee
@RamadhaniRobart3 күн бұрын
Noma sana
@ecammunga993224 күн бұрын
Mungu akubariki. Jina lako ni hilo tu?.kwa umono wangu ni kifupi .Ningekuomba ulifunguwe kwa kirefu.
@Martadi-no2lb5 күн бұрын
Eneza injili Baba 🙏
@shadyaomary22 күн бұрын
Excellent
@jacquelinemwakasala956323 күн бұрын
Dah nimejifunza sana
@davinaheven479423 күн бұрын
Asante
@GraceKazi-z8d22 күн бұрын
Mungu ni wetu sote
@TzMose24 күн бұрын
Kweli
@estermarijan471323 күн бұрын
Tuwe makini na hawa wakuja.Sio watu wote wanaipenda nchi ya Tz na amani yake. Hii tunu tuliopewa na mwenyezi mungu. Tumtumikie mungu njia ipasavo. Inchi yetu itakuwa na amani milele.♥️
@saimonijonas147122 күн бұрын
Sasa hivi kuna watu kutoka Kongo jirani zetu.
@fredrickgitonga197223 күн бұрын
Yeye mwenyewe tapeli
@mauwachale24 күн бұрын
Mmm
@FlorensiaMkombozi-et1ts24 күн бұрын
Simamia kweli ya Mungu lpm maana Mungu alisema shika sana ulichonacho asije mtu akakupokonya
@judithtitomalyeta400016 күн бұрын
Jamani wachungaji kwann msifanye kazi mliotumwa na mungu mnakashifu watumishi wenzenu
@LeahAmani-yz9wh24 күн бұрын
Eeeh! Jamani!
@jumasango979323 күн бұрын
Sema jina lake ili tusihingiye kwenye mtego kama ulihitwa na Mungu
@bartinkahenga119622 күн бұрын
Omba MUNGU akupe macho ya Kuona. Unafeli wapi
@Mamshika20 күн бұрын
Du!!
@anzurunindume23 күн бұрын
Malawi Ina Amani na utulivu ....
@JAFARIKAHERA23 күн бұрын
Jpm nakuomba urudi ktk uislamu kwani muonekano wako na moyo wako haufanani naa maneno yako ya kila siku lazima utaje maeno ya kiisilamu hasa unapokua apo kwenye ofisi yako yakujitaftia kipato yaani kanisani
@CizaDangote24 күн бұрын
Halafu hili lijamaa linajuwa Ayaa za Allah kabisa. Ila tuu tamaa imempeleka hovyo. Kwenye dini kaka
@woah.africa9921 күн бұрын
Abu jahli pia l alikua anajua ila ni kafiri mmungu kamlani
@SmilingCityMap-xb9md22 күн бұрын
Hii ndio dunia samaki mkubwa kummeza mdogo huo ndio mchezo wa watumwa wa shetani wanaopola mali kwa udanganyifu watumishi hao wapo kila kona ni kosa kuwaita wachungaji ni matapeli mchungaji wa yesu haibi hapoli mali
@jacquelinemwakasala956323 күн бұрын
Jamani msimkandie prophet ipm anatufunza hapa ss wahanga tuliokumbwa na hiz mambo
@shubebunyesi54223 күн бұрын
yeye mwenyewe tapeli mm nimefika mapaka kanisani kwake kipindi icho kanisa la mabati pembeni ndio alikuwa anajenga jipyaa lipo kwenye msingi nakwambia huyu muhuni sema uwezi elewa lkn tapeli kweli ukiingia kwenye kopi umeumia,cku hizi kila leo makanisa ynaongezeka lengo sio wokovu bali wizi,utapeli,kwakifupi wanadili na upande wa dunia tu
@user-qo2xd3hb8l24 күн бұрын
Yeshuwa ndie nabii wa mungu aliepewa kitabu cha injili, yesu alipewa kitabu gani?
@faizanassor940019 күн бұрын
Ovyoo
@user-hi8le2vb7z24 күн бұрын
Ye mwenyewe tapeli..aliombwa bato na sule kakimbia😊...na skuizi hasomi somi tena aya za quran
@user-nb6yh2bn9y24 күн бұрын
tena Sula lake tuu linaonekana jangiri😮
@daudimichael733820 күн бұрын
Afadhali kama hasomi tena aya za Quran maana ni aya za shetani tu, hakuna la maana.😂😂😂
@jumajaffary969820 күн бұрын
Watu wangu wanapotea wachungaji wao wamewapoteza
@jumajaffary969820 күн бұрын
Sio kuhubiri Biblia waende kuihubiri Injili
@ramadhaninyangasa727518 күн бұрын
Bado neema ya uislamu inakutafuta
@user-qo2xd3hb8l24 күн бұрын
Umesema humtaji lakini ni mwanyumba, Sasa tumemjua!
@gracekagoma323123 күн бұрын
WaNigeria wasialikwe kwetu wanakuja kutuibia kwa vile sisi wajinga .Tufumbue macho,Sisi siyo sham b a la bibi😢
@EvaristoMwasenga18 күн бұрын
Leo mwamba nimekuelewa
@user-dz8ol9nk4u20 күн бұрын
Akiwemo kiboko Tapeli mkubwa
@veronicankhwazi795421 күн бұрын
Alikuona nyota yako mmefanana ndio mana alikufata. 😅😅
@zeharaz411624 күн бұрын
Mnafiki kuacha dini yake kwa tamaa ya pesa Allah akupe Hidaya kabla kifo hakija kufikia
@odilomwemeziernest64624 күн бұрын
Yulemuhama mfuga majini au unasema dini ipii
@bartinkahenga119622 күн бұрын
Dini ipi ?ya Kufuga Majini
@hashimchaoga956615 күн бұрын
Prophet wa 24 ni Issa wa 25 na wa mwisho ni Muhammad. Wengineo ilishasemwa ukikaribia mwisho wa dunia watatokea wengi wa uongo sasa tunaona lugha yao ni pesa tu. Yesu alihubiri hata nje na alipanda Punda au alitembea kwa miguu hebu wasikilize wanazungumzia mamilioni
@judithtitomalyeta400024 күн бұрын
Unatafuta umaarufu TU
@seifserenge334024 күн бұрын
Wewe wajiita mtume, utume huo kakupa nani, na icho kitabu chako kinaitwaje. Kazi yenu utapeli tu. Enyi wakristo acheni kudanganywa, msichezewe akili zenu na wachungaji
@user-mi8lu8jn1x24 күн бұрын
Ukweli kabisa
@judithtitomalyeta400024 күн бұрын
Huna lolote na ww ni wale wale hivi msiposema wenzenu hamna Raha acha hizo fanya yako
@Kalunirashidi12 күн бұрын
uyu mkeli unauma utapeli utawamaliza lana mchunguji m kweli sana wewe ndio unaziwiya mchungaji asisemi u kweli mungu atamsimamia ep
@EvaristoMwasenga18 күн бұрын
Leo kama umenena yamana kwel
@bensonmongi99624 күн бұрын
Interview yenyewe mnaunganisha vipande bila umakini, hapo uliposema wanaigeria wasomi, vipande vimeungwa Tena vinautofauti
@samuelmhando491421 күн бұрын
100 x 10,000=1,000,000 ni million 100 siyo BILLION 1 stori inautata.
@mrfashion168721 күн бұрын
Bro rudi shule, hiyo hesabu umeifanya vibaya
@bilid412821 күн бұрын
@@mrfashion1687😂😂
@dhinatsimbano885419 күн бұрын
Ee! Ee! Eeeee! Hiyo uliyoandika ni milioni kumi au elf kumi 😂😂😂 uko kwenye kukosoa zaidi.
Ni mabishop wa shetani,wana nguvu za kishetani..WanaNigeria ni matapeli wakubwa duni a ni.Nchi za Uarabuni hawataki kuwaona kabisa. Madawa ya kulevya ni kama c h ai tu
@user-ub8ig1rl7h24 күн бұрын
Ingekua wayne wote walk ivo kwa wake zao, mmmmingekua raha
@jumasango979324 күн бұрын
Tukutane mbinguni
@lwezaurawilliam449824 күн бұрын
Ipm ulisema una degree Saba unatafuta ya nane hivi wizara ya mambo ya ndani ikihitaji your academic background hautaonekana na wewe Tapeli??? Kwa sababu Nina uhakika huna !!
@PatrickMathias-cs9qc22 күн бұрын
Kama unauhakika thibitisha acha utoto ww
@jeanmiruho477022 күн бұрын
Mze nauliza kanini watumishi wa Mungu munapendeza kuchafua wenzenu watumishi? Kupitia wapagani faida?kilamutu afanye kazi kivyake bila husda gisi mulivyoitwa!!munaleta haya saaana