Kumbe mbunge Mpina nilizani anawivu na Bashe lakini kumbe Yuko sawa tatizo la Sukari Tanzania nilakutengenezwa na watu flan 🙄 pia nadhani huu niwakati wa watanganyika kuamka.
@gasperaroni5751Ай бұрын
Kweli ccm kama mtanyanyasa mpina basi hata mimi nitahama kwanini hamtaki kuambiwa ukweli jamani
@user-tu9ps9kr2oАй бұрын
Unaakili sana msukuma
@user-sw7tf1ob1bАй бұрын
Musukuma hao wakina mwigulu Hawajahi kufungua hata kibanda watajuwaje faini matozo tumechoka na wezi
@rojasshemweta198119 күн бұрын
Maisha magumu nduguzangu
@joycmsokile9220Ай бұрын
Mpina Yuko sawa
@MartinLilenga28 күн бұрын
Upo sahihi
@user-wh3zd2vs8gАй бұрын
Mimi natamani msukuma apewe urahisi mm nitashawishi mkoa mnzima wampigie kula
Hili bunge ni malumbano ya hoja wala co utatuzi wa matatizo ya Watanzania Tafakari chukua hatua.
@user-ff1ti2bo4wАй бұрын
Mhe kusukuma uko pamoja na mlima mko sawa kabisa
@mwanju3981Ай бұрын
Viwanda na wasambazaji was sukari...wanatuchezeaga sana.....nafikiri alichowafanyia Bashe ni sahihiii....
@haroubhbm572826 күн бұрын
Huyu waziri hana mpango wowote kakosa muelekeo
@BernardMichaelMpombo27 күн бұрын
Mungu anaona
@AgustinongalokaАй бұрын
Kweli msukuma
@KelvinMtavangu-ow8yo26 күн бұрын
Kadiri ilivyo katika bunge letu ni vigumu kusikilizwa haya maoni ya Wah. Wabunge? Kweli Serikali iwe macho na maoni ya Bungeni.
@jarnskorelly46426 күн бұрын
Hao wnyiramba wanaimaliza Tanzania lakini mama kawaweka tu sijui anafikiria nini? Anazidi kuwamaliza watanzania 😢😢
@omarybakunda2554Ай бұрын
Umeongea ukweli
@WorlduniteАй бұрын
Hili ya sukari inatumaliza aisee
@robertphilip38528 күн бұрын
Tatizo wizara ya kilimo inaongozwa na mtaalamu wa mira
@PaskaliCharles-pz8dsАй бұрын
Msukuma toka CCM Mimi naomba utafute chama watanzania tutakuunga mkono ugombee urais hii CCM imechoka kufikiri utawapigia kelele mpaka lini
@NixonJohnson-zn8nkАй бұрын
Huyu naye apelekwe maadali socks Kamata na huyu na shabby.. Nchi hii tutaandamana kwa akili ya mpina
@MasterRegan26 күн бұрын
Nadhani Wazili wa fedha kazi imemshinda anatakiwa ajiudhuru. Aachie wengine nafasi
@msafiriomary89327 күн бұрын
Tatzo wanao fanya hvyo wapo humo humo bungeni ndio maana serkari hii tunaichukia
@AdamSaffi211Ай бұрын
But this budget itapitishwa tu, maneno tu hayo ya kudanganya sisi. Professor Janabi, waambie hawa wabunge sukari siyo muhimu, it is dangerous.kwa afya zetu.
@jarnskorelly46426 күн бұрын
Ushuru mkubwa anaweka wa nini huo
@maxlesijila659829 күн бұрын
Sukari sukariiii
@wekaputv9406Ай бұрын
Kwani kuna ulazima wa Mwigulu kuwa waziri wa fedha?
@rashidkihunga2938Ай бұрын
nasha tz tunatengeneza viwanda ila hatutengenezi mashamba .tukiwatengeza wakulima wakalima mashamba ya miwa kila kona mbona mabonde yapo mengi sio kagera tu .tengenezen mikakati boreshen tupande miwa kila kona. serikali wap mmefeli.
@deogratiusyudatadei5658Ай бұрын
Huyu jamaa siyo msukuma niaminini mm wasukuma hawawezi kuwa na kichwa kama hichi💪💪
@charlesboniphace224929 күн бұрын
Wasukuma ndio wanaakili za kutetea Raia bungeni ,mfano Kishimba , Msukuma, Makonda, Mpina,. kishimba, Kishimba Biteko JPM Hao wote ni wasukuma na ndio watu pekee wanaojielewa kutetea raia