MSUKUMA Akerwa na BEI ya SUKARI, TOZO / KODI ni Mzigo kwa Wananchi Amtaka Mwigulu Nchemba Apunguze

  Рет қаралды 22,449

BM TV TANZANIA

BM TV TANZANIA

Ай бұрын

#BmtvTanzania #Bmtv
Tembelea
bmtvtanzania.com/
INSTAGRAM
/ bmtvtanzania
FACEBOOK
/ bmtvtanzania
TWITTER
/ bmtvtanzania1

Пікірлер: 34
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 Ай бұрын
Kumbe mbunge Mpina nilizani anawivu na Bashe lakini kumbe Yuko sawa tatizo la Sukari Tanzania nilakutengenezwa na watu flan 🙄 pia nadhani huu niwakati wa watanganyika kuamka.
@gasperaroni5751
@gasperaroni5751 Ай бұрын
Kweli ccm kama mtanyanyasa mpina basi hata mimi nitahama kwanini hamtaki kuambiwa ukweli jamani
@user-tu9ps9kr2o
@user-tu9ps9kr2o Ай бұрын
Unaakili sana msukuma
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b Ай бұрын
Musukuma hao wakina mwigulu Hawajahi kufungua hata kibanda watajuwaje faini matozo tumechoka na wezi
@rojasshemweta1981
@rojasshemweta1981 19 күн бұрын
Maisha magumu nduguzangu
@joycmsokile9220
@joycmsokile9220 Ай бұрын
Mpina Yuko sawa
@MartinLilenga
@MartinLilenga 28 күн бұрын
Upo sahihi
@user-wh3zd2vs8g
@user-wh3zd2vs8g Ай бұрын
Mimi natamani msukuma apewe urahisi mm nitashawishi mkoa mnzima wampigie kula
@OmaryAndunje-y8r
@OmaryAndunje-y8r 24 күн бұрын
Michezoenibisitazaniya
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s 28 күн бұрын
Bashe aliwekwa kuja kutumaliza watanganyika, RIP JPM
@fadhilimoshi5754
@fadhilimoshi5754 Ай бұрын
Hili bunge ni malumbano ya hoja wala co utatuzi wa matatizo ya Watanzania Tafakari chukua hatua.
@user-ff1ti2bo4w
@user-ff1ti2bo4w Ай бұрын
Mhe kusukuma uko pamoja na mlima mko sawa kabisa
@mwanju3981
@mwanju3981 Ай бұрын
Viwanda na wasambazaji was sukari...wanatuchezeaga sana.....nafikiri alichowafanyia Bashe ni sahihiii....
@haroubhbm5728
@haroubhbm5728 26 күн бұрын
Huyu waziri hana mpango wowote kakosa muelekeo
@BernardMichaelMpombo
@BernardMichaelMpombo 27 күн бұрын
Mungu anaona
@Agustinongaloka
@Agustinongaloka Ай бұрын
Kweli msukuma
@KelvinMtavangu-ow8yo
@KelvinMtavangu-ow8yo 26 күн бұрын
Kadiri ilivyo katika bunge letu ni vigumu kusikilizwa haya maoni ya Wah. Wabunge? Kweli Serikali iwe macho na maoni ya Bungeni.
@jarnskorelly464
@jarnskorelly464 26 күн бұрын
Hao wnyiramba wanaimaliza Tanzania lakini mama kawaweka tu sijui anafikiria nini? Anazidi kuwamaliza watanzania 😢😢
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 Ай бұрын
Umeongea ukweli
@Worldunite
@Worldunite Ай бұрын
Hili ya sukari inatumaliza aisee
@robertphilip385
@robertphilip385 28 күн бұрын
Tatizo wizara ya kilimo inaongozwa na mtaalamu wa mira
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds Ай бұрын
Msukuma toka CCM Mimi naomba utafute chama watanzania tutakuunga mkono ugombee urais hii CCM imechoka kufikiri utawapigia kelele mpaka lini
@NixonJohnson-zn8nk
@NixonJohnson-zn8nk Ай бұрын
Huyu naye apelekwe maadali socks Kamata na huyu na shabby.. Nchi hii tutaandamana kwa akili ya mpina
@MasterRegan
@MasterRegan 26 күн бұрын
Nadhani Wazili wa fedha kazi imemshinda anatakiwa ajiudhuru. Aachie wengine nafasi
@msafiriomary893
@msafiriomary893 27 күн бұрын
Tatzo wanao fanya hvyo wapo humo humo bungeni ndio maana serkari hii tunaichukia
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 Ай бұрын
But this budget itapitishwa tu, maneno tu hayo ya kudanganya sisi. Professor Janabi, waambie hawa wabunge sukari siyo muhimu, it is dangerous.kwa afya zetu.
@jarnskorelly464
@jarnskorelly464 26 күн бұрын
Ushuru mkubwa anaweka wa nini huo
@maxlesijila6598
@maxlesijila6598 29 күн бұрын
Sukari sukariiii
@wekaputv9406
@wekaputv9406 Ай бұрын
Kwani kuna ulazima wa Mwigulu kuwa waziri wa fedha?
@rashidkihunga2938
@rashidkihunga2938 Ай бұрын
nasha tz tunatengeneza viwanda ila hatutengenezi mashamba .tukiwatengeza wakulima wakalima mashamba ya miwa kila kona mbona mabonde yapo mengi sio kagera tu .tengenezen mikakati boreshen tupande miwa kila kona. serikali wap mmefeli.
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 Ай бұрын
Huyu jamaa siyo msukuma niaminini mm wasukuma hawawezi kuwa na kichwa kama hichi💪💪
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 29 күн бұрын
Wasukuma ndio wanaakili za kutetea Raia bungeni ,mfano Kishimba , Msukuma, Makonda, Mpina,. kishimba, Kishimba Biteko JPM Hao wote ni wasukuma na ndio watu pekee wanaojielewa kutetea raia
@user-md7ug5dd9r
@user-md7ug5dd9r Ай бұрын
Asnt sana msukuma
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 54 МЛН
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3 МЛН
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 163 МЛН
MBUNGE WA MBULU VIJIJINI ARUKA SARAKASI BUNGENI, AKIDAI BUNGENI.
10:48
MSITULETEE SIASA HATUFUNGUI MADUKA/WAFANYABIASHARA KARIAKOO
12:10
Gangana Info Channel
Рет қаралды 38 М.