Barikiwa sanaaa mtumishi wa Bwana Mungu na azidi kukutunza.
@jasperjackson887126 күн бұрын
Kwa mwanaume kujua kuhusu mkewe sio shida sana ila kuhusu mke kujua wengi hukosea kuanza kukupangia kwa kila kijisenti kitu ambacho wanaume huona km tunatawaliwa ktk hilo na sometimes inategemea na huyo mke mwenyewe km anauwezo wa kumanage hali ya kubaki ktk utulivu wa matumizi ya kifedha hata pale ambapo anajua kuna pesa nyingi hivyo ni sahihi kabisa ila inategemea una mke wa aina gani kwasabab wapo wasiokua na uwezo wa kutulia wakijua kuna fedha/money management hivyo basi n vema usemacho ila msome mwenzio n mtu gan kwanza ndipo utafanikiwa eneo hilo.
@minefacechaula27 күн бұрын
❤mom
@halimakikoti2390Ай бұрын
Shalom Mwl. Kisha. Mungu akubariki kwa unayotulishia chakula cha rohoni mabinti zetu.
@user-jc8vt7ct9tАй бұрын
Hii shule ni kali na iko vizuri
@WTC492Ай бұрын
Gharama ni sh ngapi kitabu. Kinapatikana wapi?
@mwl.joycekisha1849Ай бұрын
Ni shilingi elfu kumi tu, kama uko nje ya Dodoma kinatumwa kwako Contact: 0745 069443 Barikiwa
@UdindigwaАй бұрын
Amina Mama
@UdindigwaАй бұрын
Amina Mama
@eunicenjonge2205Ай бұрын
Wawww... Nimebarikiwa
@stephanosospeter1709Ай бұрын
Ameen
@Vanessa_Petro3 ай бұрын
Ubarikiwe sana mwalim nakupenda bureee
@anicethrichard3 ай бұрын
Amina mama❤
@kissamwamunyange10183 ай бұрын
🙏
@minefacechaula4 ай бұрын
❤
@mariasamwel6444 ай бұрын
❤Amina mama
@lisaamos86354 ай бұрын
❤️🔥
@VeronicaMacha-pl3xt4 ай бұрын
🎉
@getknowledge58365 ай бұрын
kunakitu nimepata hapo Mama!
@dicksonemmanuel21766 ай бұрын
Mama umereza vizuli sana japokua siamini mwanamke kufundisha
@user-wh6gi2xz3b6 ай бұрын
❤
@lisaamos86357 ай бұрын
🔥🔥🔥❤❤
@mwl.joycekisha18497 ай бұрын
Amina Mungu akubariki
@cmoshi70147 ай бұрын
DAH BARIKIWA SANA MTUMISHI WA MUNGU NIMEPATA CHANGU HAPO
@mwl.joycekisha18496 ай бұрын
Amen and Amen
@jeradmwamba68388 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu Asante Kwa mda wako na kuitikia mwito wa Mungu Kwa utumishi huu, Mungu anisaidie ili namimi nitumie Kwa nafasi ya wito wangu, haki nahitaji msaada wa Mungu nimeokoka ndio ila itakuaje Yesu akirudi na kunipata nimeitika ila sijatekeleza Mona nashindwa! Ee Mungu wangu nisaidie . Nashukuru Mungu Kwa ajili yako Mwl Joyce ukipata nafasi nikumbuke Kwa maombi nami nitaendelea kukuombea , hata watu wasipo comment usiache Wala kulengea nimeona kitu ulichopewa ubarikiwe katika jina la Yesu Kristo
@Roym979 ай бұрын
Amen, nimefurahi ujumbe mzuri , lakini hauelezi mizigo ikijaa network huwa inakamata hasa akipita mrembo mzuri, au umeamka zako tu asubuhi mtambo unakuta upo full charge au na enyewe tukimbie?
@user-pz7it4dh6w10 ай бұрын
Gdbless madam somo nzuri sn
@user-pz7it4dh6w10 ай бұрын
Somo nzuri sn madam ubarikiwe sn
@mwl.joycekisha184910 ай бұрын
Ameee
@user-sn5cs5nf4d11 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa mungu
@lisaamos8635 Жыл бұрын
❤🎉
@lisaamos8635 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥❤❤❤
@mwl.joycekisha1849 Жыл бұрын
Asante kwa comments nitafanya hivyo
@JC-lk3me Жыл бұрын
Safi sana mwalimu Joyce wambie pia wazazi waombee watoto wao na familia zao kila wakati ili Mungu awaongoze katika hayo mafunzo
@dianakiwale1058 Жыл бұрын
Ninaomb namba zako za simu
@faithhezron-cs3nw Жыл бұрын
Mungu akubarki mamy
@JC-lk3me Жыл бұрын
Safi sana👍🙏
@edwinurio Жыл бұрын
Mungu akuinue sana
@mwl.joycekisha1849 Жыл бұрын
Amina
@janelamor5667 Жыл бұрын
Congratulations mom🥳🥳🥰
@mwl.joycekisha1849 Жыл бұрын
God bless you my daughter keep watching better is not enough the best is yet to come
@MiraclemirajiMiraclemira-jm1ud Жыл бұрын
🔥🔥
@mwl.joycekisha1849 Жыл бұрын
Ameeen
@blackschooltv Жыл бұрын
Hongera sana Mwl kisha
@mwl.joycekisha1849 Жыл бұрын
Asante sana mentor wangu, Mungu akubariki sana
@lisaamos8635 Жыл бұрын
🥳🔥
@mwl.joycekisha1849 Жыл бұрын
💃💃💃💃💃
@joycemusimbi6773 Жыл бұрын
God bless you. Great teachings
@mwl.joycekisha1849 Жыл бұрын
Amen, God bless you Thank you for your comment
@mwl.joycekisha1849 Жыл бұрын
Thank you, God bless you, please assist by sharing to others
@mwl.joycekisha1849 Жыл бұрын
Ameen
@user-eg1bh4bh9u Жыл бұрын
Ahsante sana mwalimu Joyce kwa mafundisho mazuri sana kwa vijana wetu. Nikuombe pia semina hizi ufanye na kwa vijana wetu wa kiume.
@mwl.joycekisha1849 Жыл бұрын
Ndiyo kwa sasa najitahidi kuongea nao pia, nitajitahidi wqkati ujao kizingatia hilo maana wengi wananiambia hivyo Ubarikiwe kwa comment yako, tafadhali endelea kiwqjuza na wengine wafikiwe Barikiwa sana