Рет қаралды 595
Heshima ni kiungo muhimu sana katika kufanikisha mahusiano yenye Tija.
Ni wajibu wa kila upande kuwa na heshima kwa mwenziwe.
Lakini Biblia katika kitabu cha Waefeso %:22-33 inatoa maelekezo mahsusi kwa WANAWAKE/WASICHANA/MABINTI kutii/kuheshimu waume zao, wenza wao , Je umewahi kujiuliza ni kwa nini?
Huduma ya DAUGHTERS OF JERUSALEM kupitia Mwl Joyce Kisha inakukaribisha , njoo upate maarifa ktk eneo hili muhimu la Mahusiano
SHALOM SHALOM