Dada Mungu azidi kukusimamia na kukuinua zaidi.Ukweli nimejiskia moyo wangu kuwaka hasira kali sana.Nahofia kutamka maneno magumu sana.Hivi Mkuu wa Wilaya kweli alishindwa nini ? Mkuu wa Polisi,wakuu wa Vituo,mwanasheria.Hakika nawaambia haya maneno hukumu ya Mungu ipo kwenu siku siyo nyingi.Makonda Mungu akazidi kukuinua piga kazi Baba.Hao wengne ni mawakala wa shetani.
@PrinceHendry-hp8vvАй бұрын
Asante dada wakristo wenzake tumetuliaaa
@elizabethmakaranga218Ай бұрын
Mh makonda mbeba maono wa familia hafi,hakuna ugumu mwanangu wa kazi hiyo maana umepewa KIBALI na mungu mwenye uwezo
@gmentertainmentcompany9353Ай бұрын
pambana mkuu msimamo mzito huo WA mahusiano but jilinde maana wenye msimamo huo bila kujilinda na kuwa makini wanaondoka Dunian mapema chagua team Bora inayochukia Yale unayochukia ukikuta wanayo mengine jaribu kushaur maana ss binadamu tunachangamoto nyingi