ACHENI UBABE TOFAUTI ZA MWANDAMO WA MWEZI TANZANIA - SH. MUHAMMAD ISSA

  Рет қаралды 6,998

IHSAAN TV

IHSAAN TV

3 ай бұрын

Пікірлер: 141
@Zainabnoor0087-ze
@Zainabnoor0087-ze 3 ай бұрын
Shk Mohammad ISSA unaeleweka, crystal clear barakallah fik
@user-em3ye6el6z
@user-em3ye6el6z 3 ай бұрын
Shekhee ALLAH akulipe kheri nyingi kwa ufafanuzi ĥuu .
@johariabdalla3319
@johariabdalla3319 3 ай бұрын
Shukran Sheikh,unaeleweka vizuri ufafanuzi wako,labda wale wanaojitowa ufahamu kwa maslahi yao
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 3 ай бұрын
Hakuna maslahi yoyote hapo huu msimamo wenu ni bidaa
@abubakarisakini4080
@abubakarisakini4080 3 ай бұрын
Maa Shaa ALLAH elmu mujarrabu
@user-bt8wh8cd3g
@user-bt8wh8cd3g 2 ай бұрын
Wambie waislamu ukwel ikhtilafu ya maswahaba ilikua ipi je hio yenu inafanana ya maswahaba ao walkua wanatafautiana nch kwa nch na wala sio mji moja au nch moja kukhtalafiana hio haikutokea wakat wamaswahaba kua mji mmoja wengne wamefunga nawengne wamekula hii imeanza kwenu nyny.
@noorululaatv8973
@noorululaatv8973 3 ай бұрын
Kwanza hata ibara unazisoma hovyo na kufasiri hovyohovyo
@HamadaZubeirTahir
@HamadaZubeirTahir 3 ай бұрын
Juzi hamukuswali kwa mwandamo wa Nigeria nyinyii
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 2 ай бұрын
Wewe una uhakika uliandama?
@alifaki8741
@alifaki8741 3 ай бұрын
مشاء الله
@isaliisu3408
@isaliisu3408 3 ай бұрын
Mbona juwa lilipopatwa Amerika mbona hatukusikiya Adhana kwenye misikiti ya Tz au juwa halifungamani na mwezi?
@MasudiAthumani-kx7ye
@MasudiAthumani-kx7ye 3 ай бұрын
Hapo umefeli mzee huna dalili
@MasudiAthumani-kx7ye
@MasudiAthumani-kx7ye 3 ай бұрын
Tufafanulie hapo usifunikefunike quraib wameona usiku wa ijumaa bni abbasi usiku wa jumaa mosi yupi yupo sahihiiii
@KassimSalum-jv2lr
@KassimSalum-jv2lr 3 ай бұрын
Ukiandama irani hamfuati mnasema ooh mashia
@bagalucha
@bagalucha 3 ай бұрын
Barakallahu feek,Tanzania walipe wanadaiwa
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 3 ай бұрын
Nenda ukasome ndugu wewe ni jahil murakkab endeleza kufuata fitna na farakano za huyo Muhammad issa Ambae hana hojja hojja zake zote hazina mashiko kabisa nihojja dhaifu sana
@bagalucha
@bagalucha 3 ай бұрын
@@user-qm2of7vd3k Nani akasome?,mimi au wewe?Hujitambui masikini
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 3 ай бұрын
Haya Nita jie huo mwezi wakimataifa ulianza mwaka Gani wa kislamu
@bagalucha
@bagalucha 3 ай бұрын
@@user-qm2of7vd3k Hayo uliyokuwa nayo wewe,ni mambo ya kitoto,yaliyokosa kujifahamu na elimu,hivyo wewe inaingia akilini tuelimishane humu kwa text,hilo suala lako,Lina jibu fupi tu,mwezi wa kimataifa upo kabla ya Nabii Adam hajaumbwa,sasa wewe unapinga hilo??
@bagalucha
@bagalucha 3 ай бұрын
@@user-qm2of7vd3k Mambo ya kitoto,tukishandana humu mtandaoni,au tukiulizana Mambo ya kuelimishana,sio kwa text bwana mdogo,kwa Ufuk’u mwezi ulianza kabla ya Nabii Adam Alayh Salaam hajaumbwa.wakati huo,wakati huo ummah ulikuwa mmoja,kabla ya kuja hizi fitna za utaifa za sasa hivi.
@MuhammadRajabu-rd3fm
@MuhammadRajabu-rd3fm 3 ай бұрын
Shekh kwahio abdallah bin abbaasi nawenzie walifunga siku ya edi
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 3 ай бұрын
Elezea Lisa chenyewe ili tukifahamu tuone ni vipi wewe umekifahamu na wengine
@rashidjuma9169
@rashidjuma9169 3 ай бұрын
Subuhana Allah hata nyinyi mko hivyo .
@mattarmohd6617
@mattarmohd6617 3 ай бұрын
Hapa mayahudi wamefanikiwa kutugawa hapa afrika mashariki kwakisingizio cha ikhtilafu za muandamo eti kuna muandamo wa kimataifa. Hoja jee saudia anafuata muandamo wa kimataifa? Jawabu please.
@alhajnur1612
@alhajnur1612 3 ай бұрын
Kumbe hizo karary ni kama vile agano la kale na agano jipya hapo sikukubali hata kdg
@abuuzakariyalibumba6303
@abuuzakariyalibumba6303 3 ай бұрын
Shida ya watu hawataki haki
@muhammedaloufy4086
@muhammedaloufy4086 3 ай бұрын
kwakujidanganya hamjambo!
@ramadhanitwahili6837
@ramadhanitwahili6837 3 ай бұрын
Mm nataka nisaidiwe jambo hapa saudi imeshawai kufunga kwa mwandamo uliandama sehem yoyote duniani, ilo la kwanza la pili nisaidiwe kitu kingine Allah ametuelekeza tufunge kwa kufuata saudia au mtume amesema ivyo mana mimi nawaona hao wasaudia wenyewe wabaguzi tu kama kweli kauli ndio izo za kuona mwezi popote mbona atuwafuti waoman libia, marecani au Australia ama china, kila miaka iwe saudia tu mmmmh hpo tunafuata wazamini wetu dunia mzima.
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 3 ай бұрын
Haki Gani hiyo unayo zungumza huyo sheikh Muhammad issa anajia haki kuliko salafi Swaleh waliotangulia kwani wao walifunga na kufunga kwa mwezi wa kimataifa na mawasilano wakati hakuna ina maana funga zao naidd zao ni makosa ila hivi sasa nyie ndio muko sawa mcheni mola hii ni dini kesho mutakwenda ulizwa mbele ya mola juu ya huu upotoshaji wenu
@muhammedaloufy4086
@muhammedaloufy4086 3 ай бұрын
@@user-qm2of7vd3k linapofika suala la mwezi hawa majamaa huwasahau Salaf saalih! Ukija ktk maulid na dua baada ya Sala hurudi kwa Salaf Saalih! yaani yale wanayoyataka wao huwa si bid’a ni jaaiz Ibn Uthaimin kansema!
@r.m.a7570
@r.m.a7570 3 ай бұрын
Mbona ukionekana kenya wanafunga au Kenya n Tanzanian
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 3 ай бұрын
Hawa hawana nguvu za hoja Bali Wana hoja za nguvu ndio maana Mufti wao anataka mabavu ya Serikali wathibiti huu ujinga wao!
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 3 ай бұрын
Ndugu yangu kasome Kenya Tanzania bara na Zanzibar matlai Yao ni mamoja kwa hivyo mwezi ukiandama moja katika nchi nizozitaja aghlabu wate wanakubali muandamo huo kwa lugha ya usomi inaitwa itifaqi matalii
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 3 ай бұрын
@@user-qm2of7vd3k huku ndiko kuruka najisi ndogo na ukakanyaga kubwa!Ni wapi ktk maandiko tumeambiwa mambo hayo ya matlai?na nini hasa hayo matlai?
@TheTarabist
@TheTarabist 3 ай бұрын
Habari ya Quraib ni KISA sio HADITHI.
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 3 ай бұрын
Nenda ukasome maimamu wakubwa walio sahihisha wanasema ni Hadith kama lmam Muslim al imam Al tirmidhi an nasai na wengineo na wewe wasema hizo ni simulizi loo kumbe una ilmu kuliko muhadithin hao nilio wataka huu ni msiba inalillahi wa ina ilayhi rajiun
@mohamedhamismagoraonlinetv459
@mohamedhamismagoraonlinetv459 3 ай бұрын
BARAHIYAN NI HATARI KWA UMOJA NA MSHIKAMANO WA WAISLAMU kzfaq.info/get/bejne/eNSCnMWLmc-vfnU.htmlsi=pgMhUUvEIAYACLTT
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 3 ай бұрын
Acheni upumbavu mnayaingilia mamlaka ndio maana kuna mamlaka katika uma hivyo unataka mamlaka tokea zamani
@MasudiAthumani-kx7ye
@MasudiAthumani-kx7ye 3 ай бұрын
Tatizo ufaham
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 3 ай бұрын
Wamanisha nini usemapo tatizo ni ufahmu
@user-em3ye6el6z
@user-em3ye6el6z 3 ай бұрын
Shekhee tuwaombee BAKWATA duwa waweze kiona hakiii waweze kuifuata
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 3 ай бұрын
Hizo zenu ni chuki dhidi ya bakwata wala si dini
@user-ug8hc4yh5k
@user-ug8hc4yh5k 3 ай бұрын
Shukran sana sheikh wetu Wambie watu wa bakwata, Waislamu wa Tanzania walitambuwa uwongo wa Muhammad iddi ni mwongo zaidi, Sheikh Muhammad iddi Anaumbuka kwa uwongo wake
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 3 ай бұрын
Acha ushabiki wewe na huyo sheikh wenu Muhammad issa hamuna ukweli wowote kuhusu masaala ya muandamo wa mwezi Muhammad idd hojja zake ni nzito na hamuezi kuzijibu mume Baki na matusi dhidi yake na chuki kwani ukweli unauma
@HassanSalim-hl8qs
@HassanSalim-hl8qs 3 ай бұрын
Shekh Muhammad Issa Allah akulipe kwa ukweli wako wewe huburuzwi buruzwi na majitu ya Dunia Masufi wanataka Dunia wala hawana lengo na Akhera na huwazushia watu wa Sunna majina mabaya mabaya Masufi ukiwaangalia upande wa Akhera hawapo hawa ni watu wa Dunia ndio maana shekh wao anataka watu wa Sunna wakitangaza mwezi wakamatwe Hii ni chuki ya wazi kwani mbona watu wanatangaza mabaya wala hamtoi kauli kama hizo
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 3 ай бұрын
Munao taka Dunia ni nyinyi munaojiita answer Sunna na misimamo yenu potofu isiyo tekelezeka na kama yatekelezeka tutajie mwaka moja wa kiislamu kua mwezi uliandama Australia ulimwengu mzima ukafunga na kufunga kupitia mwezi kwa karne14 huu msimamo wenu ni bidaa
@khamishassan68
@khamishassan68 3 ай бұрын
Watu wanavyo ichukia saudia huenda kunaciku watu watagoma hata kwenda hija.
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 3 ай бұрын
Kazikwao wakigoma Allah yupo nae atawalipa nachukizao zakijinga
@saidishekalaghe3496
@saidishekalaghe3496 3 ай бұрын
Kamati ya Mwezi umeongea nini KUHUSU muandamo wa mwezi Nchini kwao? Usiwe bendera fata upepo.
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 3 ай бұрын
Kwani kina hadithi isemayo fungeni ama fungueni kwa mwandamo wa Saudi Arabia kama ipo basi tupeni ibada ya swaum lmefunganishwa na mwandamo mwezi wala si mwezi wa popote na hijja ibada yakeiko makka kwa dalil ya quraan kwa hivyo hizo ni ibada mbili tofauti hijja ni kwa mwenye uwezo na ilhali swaum kila mtu nenda ukasome
@mahadhikawia3610
@mahadhikawia3610 3 ай бұрын
Sheikh kesho wataswali kwa wakati mmoja na saudi Arabia ,wamesalim amri wale waliosema HAIWEZEKANI
@user-sm1ux6nj7b
@user-sm1ux6nj7b 3 ай бұрын
Hatimae mawahabi wa swali na muandamo wa Bakwata hawakufuata wa kimataifa
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 3 ай бұрын
Huyu maskini hata hajui asemalo wakati wa majira ya joto huko Saudi Arabia wanaswali idd saakumi na moja alfajiri ilhali huku kwetu tunaswali saa mbili asubuhi
@mahadhikawia3610
@mahadhikawia3610 3 ай бұрын
@@user-qm2of7vd3k hata kigoma tumetofautiana saa Moja. Kinachojadiliwa hapa ni Ile kukataa kabisa kwa kusema HAIWEZEKANI , HAIKUBALIKI HAITEKELEZEKI kuswali Idi Siku Moja ! Je Imewezekana au Laa ?
@salemaliy1963
@salemaliy1963 3 ай бұрын
Mohd issa hatuezi kufata pumba . Msituchanganye. Tuwacheni tufanye kma alivofanya mtume na maswahaba zake .. Miaka 100 . iliyopita ndio inakua hii mwezi 1 tu .. acheni tuwacheni ... Mohd issa elimu ako jitosholeze ww ufahamu wako ni mdogo na ww .. basi ata fikra huna acheni kutuletea kitu kipya wakati WAISLAMU zaid ya 1300 iliyopita wanafata miez tofauti hao msimamo je walifunga mwezi huu WA kimataifa...
@rajababdallah9239
@rajababdallah9239 3 ай бұрын
Hakuna aliyekulazimisha.fata popote ambapo wewe unaona sawa. Lakini tofauti zetu zisitupelekee kujenga uadui na uhasama,waislamu sote ni ndugu.tupendane tuheshimiane.
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 3 ай бұрын
Waloleta chuki na farakano ni hao kina Muhammad issa na wenzake na huo mwezi wa kimataifa
@zafarmohamed9413
@zafarmohamed9413 3 ай бұрын
kwahiyo sheikh unasema wewe umeelewa haduthi ya mtume zaidi kuhusu muandamo kuliko swahaba ibn abbas mpaka unasema ukubwa wa swahaba hyo sio hoja. acheni kukufuru ssi hatuwapati maswahaba hata ukucha wao kwa kumfata mtume MUHAMMAD S.A.W
@Aboodjan4-
@Aboodjan4- 3 ай бұрын
Nenda ukaangalie mpira huku huna unacho jua. جاهل مركب.
@nchiyangutanzaniatv9393
@nchiyangutanzaniatv9393 3 ай бұрын
Hiyo ni kauli ya imam Nawawi,,,Shkh kanukuu tu acha taasub
@user-sm1ux6nj7b
@user-sm1ux6nj7b 3 ай бұрын
@@nchiyangutanzaniatv9393 Sasa ww kw ujinga wako unaona imamu nawawi kapatia kuliko ibn Abass
@mzeemwinyihassan9774
@mzeemwinyihassan9774 3 ай бұрын
Nyinyi wanafiki hamufungi Wala hamufungii ukiandama popote museme TU msimamo wenu ukiandama Saudi Arabia na ujinga wenu wa kutoka elimu Jana nchi za Africa ya magharbi wameswali eddi mbona nyinyi hamkuswali na walitangaza
@MB-yq3ty
@MB-yq3ty 3 ай бұрын
Tunahaqi ya kujua hiyo nchi pia kama ina umakini katika jambo la mwezi. Kama tuna iamini kamati ya Saudi Arabia wewe Shida yako nn?. Pia Tanzania bara hamna aliyouona mwezi kwanini mlisali?
@user-sm1ux6nj7b
@user-sm1ux6nj7b 3 ай бұрын
@@MB-yq3ty Saudi walishawakataa kitambo, wanasema Kila mtu afunge na mwezi wake, Ila mawahabi ni vibaraka wa mayahudi, mnaendeleza farka kw waislaam
@MB-yq3ty
@MB-yq3ty 3 ай бұрын
@@user-sm1ux6nj7b Huelewi hayo ndio maana. Laiti ungekuwa unayaelewa ungekaa kimya. Nikuulize wewe mjuaji Ibn Uthymiin aliposema fungeni kwa kufuata nchi zenu ndo anakauli hiyo tu hana kauli nyingine?. Mbona mnaelezea kauli moja nyingine mnakaa kimya kasemaje?. Pia wameelezea sana suala la kufunga na nchi ki katika kuepusha migogoro pia hasa kwa nchi yenye Qadhi wa kutambuliwa na Mamlaka.wombe Sheikh wako akielezee kuhusu msimamo mwingine wanasemaje? Mnachagua pale panapowafaa tu?
@user-sm1ux6nj7b
@user-sm1ux6nj7b 3 ай бұрын
@@MB-yq3ty Mfuate Mtume (saw) kwanza, hlf maswahaba na taabiina, na wote Hao hakuna aliefuata mwezi wa kimataifa, Sasa kuwaacha Mtume na maswahaba walichofanya ukaanza kufuata rai za mashekhe huo ni ujinga mkubwa,
@user-sm1ux6nj7b
@user-sm1ux6nj7b 3 ай бұрын
@@MB-yq3ty NA ktk nchi zisizokuwa na umakini wa mwezi Saudia inaongoza, imeshawatangazia watu kilipa swaumu na kutoa fidia mara kibao, labda km ww bado ulikuwa mdogo na hujaanza ushabiki wa kiwahabi
@MasudiAthumani-kx7ye
@MasudiAthumani-kx7ye 3 ай бұрын
Bilali aliwatangazia watu wa duniamzima ebu tuweke sawa sio unabuluza tu
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 3 ай бұрын
Mwanzo hio hadithi ya mbedui nidhaifu moja ya walio dhoovisha hadithi ni mpokezi wa hadithi hiyo ni al imam anasai
@user-tw4nf6bv8b
@user-tw4nf6bv8b 3 ай бұрын
Mijishekhe yote ya msimamo wa mwezi wa ndani hata siku moja hawasemi wala kutoa msimamo wa upande wa msimamo wa mwezi wa popote ili waislam wasijue haki iko wapi
@AhmadMbarouk
@AhmadMbarouk 3 ай бұрын
Maashaalah
@saidishekalaghe3496
@saidishekalaghe3496 3 ай бұрын
Tupe Hadith inayosema mwezi ukiandama popote fungueni au fungueni. Watu wa Sunna sikuhizi wanategemea vyombo vya habari KUFUNGA na kufungua, si mfuate suna mfunge kwa kuuona na kufungua kwa kuuona? Pili nyinyi ndio mlikuwa wa kwanza kukataa Tv, Simu za mkononi, Kuwa na Taasisi, Leo mmegeuka kuvifanya vitu vyote ni halali, mbona hamueleweki? Ndio nyinyi MLIOKUWA mnalazimisha watu kuingia msikitin na Viatu baada ya kula VIBOKO mkaachana na fatwa hizo, kuweni makin Basi. Mwezi muandamo kule SAUDIA Kamati ya Mwezi imesema wazi kuwa hukuonekana jiulize wewe Amri ya KUFUNGA ilitolewa na nanai? Vilevile acheni kujenga chuki na kiongozi wa kidin Kila Nchi ina utaratibu wa viongozi kutangaza mwezi baada ya kufikiwa na Taarifa KUTOKA vyanzo madhubuti za muandamo wa mwezi, na wala si Kila mtu ana MAMLAKA ya kutangaza mwezi. Mkumbuke kuwa hiyo ni ibada.
@saidishekalaghe3496
@saidishekalaghe3496 3 ай бұрын
Sheikh unachanganya watu, kwan wapi tumeambiwa tufunge Dunia Nzima siku Moja? Mnajiridhisha kutoka wapi? Jiografia yako umeisoma wapi? Wewe na Mtume mjuzi zaidi ni nani? Na huo ni unafiki kusema kwanza mnategemea Katiba ya NCHI huko ni kupotoka kabisaaa!
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 3 ай бұрын
Swadaktaya sheikh wameacha maelekezo ya sheria na kufuata katiba ya nchi Kisha wajita ahlusunaa wal jamaa
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 2 ай бұрын
Kwahiyo kila mji uwe na muandamo, Dar na muandamo wake, Tanga na muandamo wake, Kigoma na muandamo wake?
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 2 ай бұрын
​@@user-qm2of7vd3kmaelezo ya sheria yepi hayo?
@husseinshaibu5239
@husseinshaibu5239 3 ай бұрын
Leo wamekuja na Hoja kuwa Nigeria leo wameswali Eid kitu ambacho si kweli.. hivyo kwanini sisi hatujaswali leo.
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 3 ай бұрын
Si Nigeria bali ni Mali na niger wametangaza mwezi umeandama kwenye nchi hizo sasa kioja chaja hapa nyinyi munafuata mwezi wa kimataifa ama mwezi wa popote mbona hamukuwafuata kwani wao siwaislamu illa Saudi Arabia na nchi za warabu haraka haraka kuwafuata bila kupambanua ni habari za kweli au la
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 3 ай бұрын
Si Nigeria bali ni Mali na niger wametangaza mwezi umeandama kwenye nchi hizo sasa kioja chaja hapa nyinyi munafuata mwezi wa kimataifa au mwezi wa popote mbona hamukuwafuata kwani wao siwaislamu illa Saudi Arabia na nchi za arabuni walitangaza haraka haraka kuwafuata bila kupambanua habari hizo ni kweli ama la
@selemankishema5780
@selemankishema5780 3 ай бұрын
Hakuna ikhtilafu suala la mwezi ni suala la madhehebu,majazba na upumbavu wa siasa za kidunia
@ImanSaid-ox3po
@ImanSaid-ox3po 3 ай бұрын
Maasha'allah uko sahihi ndugu yangu
@twahambowe440
@twahambowe440 3 ай бұрын
Ingia darasani usitoe maneno machafu mbele ya wasomi, huo ni utomvu wa nidhamu wa kielimu. Usuhukumu majambo kimuhemko.
@selemankishema5780
@selemankishema5780 3 ай бұрын
@@twahambowe440 mnatafuta kiki
@abuuaidh6500
@abuuaidh6500 3 ай бұрын
​@@ImanSaid-ox3poppp00p0pppp00p000000000p000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000⁰⁰000000000000000000000⁰000000000000000000000p0000⁰00000000000000000000⁰000000⁰p😊😊😊
@abuuaidh6500
@abuuaidh6500 3 ай бұрын
😊
@jumanneomary2997
@jumanneomary2997 3 ай бұрын
Sheikh mbona mishipa imekusimama hivyo mpaka unawatolea watu maneno yakuwakaliisha wenzako kwani ukisema kistaarabu mbona watakuelewa tu Je nao wakijibu kwakukariisha utajisikiaje
@user-qm2of7vd3k
@user-qm2of7vd3k 3 ай бұрын
Huyo sheikh amepandwa na hasira kwa sababu ukweli siku zote unauma
@alhajnur1612
@alhajnur1612 3 ай бұрын
Sheikh Muhammad Issa mbona Mwezi wa kimataifa ni Saudia peke yake sijawahi sikia mwezi umeonekana Ujerumani au Pakistan au China kila siku Saudia na vile vile mbona mbona wao hawaamini mwezi unaondama nchi nyingine?
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 3 ай бұрын
Hata huku UTuruki Afghanistan Seria wote wana muandamo mmoja sawa na Saudia Hii ya kila mtu na mwez wake ni cv tu Afrika mashariki , sjui kwann tunakuwa wagumu kuelewa!!?
@mohamedswaleh6778
@mohamedswaleh6778 3 ай бұрын
Acha unafiki ww
@mohamedswaleh6778
@mohamedswaleh6778 3 ай бұрын
Muogope mungu
@seifseif1572
@seifseif1572 3 ай бұрын
Allah akulipe kila lenye kheri Sheikh wangu
@jumafaki2891
@jumafaki2891 3 ай бұрын
tatizo musilifiche ni kua saudia haukuandama mwezi wameeleza waangalizi wa mwezi pale makka na Madina saudia anatekeleza kalenda yake basi sio kuona mwezi mwaka huu mumeaibika semeni ukweli ati hitilafu za kuonekana mwezi wacheni uongo watu wazima nyinyi
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 3 ай бұрын
eti ukionekana IRANI? Irani si waislam wala hatuwezi kufuata kwa lolote ktk sheria ya dini ya uislam!!
@user-sm1ux6nj7b
@user-sm1ux6nj7b 3 ай бұрын
Na hapo hakuna ubabe, ni kujaribu kuwaokoa na uzushi wenu, kwn uzushi ni upotevu na upotevu fin naaar
@nchiyangutanzaniatv9393
@nchiyangutanzaniatv9393 3 ай бұрын
Kwahiyo Imam Nawawi ni Mzushi?
@user-sm1ux6nj7b
@user-sm1ux6nj7b 3 ай бұрын
@@nchiyangutanzaniatv9393 wazushi ni mawahabi
@AllyMandunda-tj9jc
@AllyMandunda-tj9jc 3 ай бұрын
Upo sawa sana sheikh. Saudia ndionchi Mamaya dini ya kiislam
@AllyMandunda-tj9jc
@AllyMandunda-tj9jc 3 ай бұрын
Mwaka huu mungu amewatia aibu. Wajinga wa dini ninyi
@AllyMandunda-tj9jc
@AllyMandunda-tj9jc 3 ай бұрын
Mtazidi kuaibika mpaka basi. Fuatenimaelekezo ya makafiri hao
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 85 МЛН
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 83 МЛН
MAISHA NA HISTORIA YA SHEIKH OTHMAN MAALIM
45:49
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 82 М.
SHEKH MUHAMMAD ISHAQ NA ABUU IDDI
9:14
mirath tv online
Рет қаралды 2,3 М.
Kanuni ya kukubaliwa A'amali | KHUTBA YA JUMA | 1445H | 2024M
45:53
Sayyid Aidarus Shariff Alwy - Mzee Mwenye
Рет қаралды 2,4 М.
KWANINI MAKANISA YA SASA YANAPOA?
34:53
Pastor Tito Damiano
Рет қаралды 37
From Dance to Da'wah part 2. Wakristo wasikiliza mafundisho kwa utulivu.
1:01:53
OTHMAN MAALIM.....FADHILA ZA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN
2:54:23
ADELINK HABARI
Рет қаралды 128 М.