No video

Ahmed Shabiby: Ukiona Mbunge Ana V8 Hela Kajiongezea I Hela Wanazopata Wabunge za Kununulia Crown

  Рет қаралды 106,529

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

2 жыл бұрын

Bunge limeendelea na mjadala wa kuchangia bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2022/2023, Mbunge wa Gairo Mhe. Ahmed Shabiby, amesema kitendo cha Serikali kuwakopesha magari watumishi wa Serikali halijafafanuliwa kwa upana hivyo amemtaka Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, atakapohitimisha hoja yake haweze kulifafanua kwa sababu mtumishi anaweza kupunguza safari za kiserikali ili alilinde gari lake lisiharibike.
Pia Mhe. Shabiby, ametoa ushauri kwa Serikali kupunguza gharama za kununua magari ya kifahari kwa Watumishi wa ngazi za chini wawe wanatumia “Double Kibin”, “Prado ndogo” au “Crown” kama Wabunge wanavyotumia “Crown” kwa sababu hela wanazopata Wabunge ni za kununulia “Crown” mpya.
#KutokaBungeni
#HakunaKuleft

Пікірлер: 101
@barakamwakapoma2702
@barakamwakapoma2702 2 жыл бұрын
Safi kiongozi semeni ukweli huyu mwigulu hajielewi kabisa
@ibrahimkazembe8287
@ibrahimkazembe8287 2 жыл бұрын
Mh shabiby michango yako huwa inamashiko sana.kwenye ukweli ukwepeshi.
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 2 ай бұрын
Moro mna mbunge si mshiriki bungeni❤❤❤❤❤❤
@krisskifaro4087
@krisskifaro4087 2 жыл бұрын
Kweli kabisa Mijadala ya Bungeni ndio inaongeza maarifa, hapa Mh. Shabiby amelifungua vizuri hili vizuri.
@bamsnames149
@bamsnames149 2 жыл бұрын
BIG BROTHER ALWAYS RIGHT
@emmadominic9601
@emmadominic9601 2 жыл бұрын
Shabib,anaongea points kwakujiamini,haogopi,mana ana ela za kutosha.
@dalali_professionalwa_dodo8330
@dalali_professionalwa_dodo8330 2 жыл бұрын
Siku zote nasema huyu mwamba angekuwa kaingia darasani half akapata maujuzi ya kizungu... Aaahh hii ingekuwa ngumu..sasa imagine hii chafu iliishia o level tu nahisi...ila balaa lake ni zito..! Hiki ni chumaaaa🔥🔥🔥🔥🔥 tunaoishi nae mkoa mmoja tunajua mbanga zake...very humble guy..! Huyu angekuwa hata na kadegree kamoja...zile shabiby unazoziona zingekwa zinapaa kidgo..hazitembei kwenye lami.. #AKILIKUBWASANAAA
@isaacmwaipopo
@isaacmwaipopo 2 жыл бұрын
Malizia basi angekuwa anamiliki ndege
@hamoudabdallah4841
@hamoudabdallah4841 2 жыл бұрын
Don’t confuse intelligence with education
@nitumesokoni3164
@nitumesokoni3164 2 жыл бұрын
Kwa taarifa yako angekuwa kasoma kama unavyotamani angekuwa mjinga kama wajinga wengine walioenda shule. Mtazame mbunge kama Kishimba na maakili yake ya darasa la saba.
@philippeter198
@philippeter198 2 жыл бұрын
Mm naona bora ambaye hajasoma anaongea vitu vya maana sana kuliko aliyesoma anaweza kutuambia mambo ya darasani ambayo kwenye maisha ya kila siku hayapo
@nganajumo2557
@nganajumo2557 2 жыл бұрын
Kapata tumakofi tudooogo,wabunge wa ccm wanataka mada za kuunga mkono kila kitu
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 2 жыл бұрын
Ahsante sana Mbunge, nakupenda sana, kwa sababu wewe unajua sana kila unachosema kina maana, kwa sababu unajua kutafuta pesa wengine wamepata kams tunu ndiyo sababu hawaelewi wanaenda tu kama vipofu. Wamekalia kusifia tu hata hawaelewi wanacho sifia.
@humphreybilly7437
@humphreybilly7437 2 жыл бұрын
Wewe ukimusemea huyu hapa usisahau Gwajima wangu.
@kefajoseph158
@kefajoseph158 2 жыл бұрын
Ubarikiwe shabby serekari ya samia niya majizi MAGUFULI kaisha kufa naniwa kututetea tutetee aiseehali mbaya sana
@hudhaifamsafiri8731
@hudhaifamsafiri8731 2 жыл бұрын
Serikali ya magufuri ndo ilikuwa ya majizi. Ushasikia mtu katekwa, mfanyabiashara kadhurumiwa hiki kipindi cha samia??? Wewe ni kenge mweusi na hilo Jambazi lako tayr lishakufa sisi tunampenda Mama Samia na nchi inaendelea vzr
@karasuyazidi8547
@karasuyazidi8547 2 жыл бұрын
@@hudhaifamsafiri8731 we pia utakufa watu wanajiteka kisa ujinga zito alitaka kujiteka ishu ukabuma wamechinga waliruhusiwa kufanya biashara kila sehemu huyo mama yako kaingia kawafukuza ingekuwa mama yako anafanya biashara ndo ungeelewa
@prestonkenyaofficial
@prestonkenyaofficial 2 жыл бұрын
Wow! What a challenge to us Kenyans
@hassanamran3637
@hassanamran3637 2 жыл бұрын
Saf saanaaa
@petermdoe4691
@petermdoe4691 2 жыл бұрын
Hahaha amenifurahisha sana kaka " wanapigwa seheem nyingi sana, hawajui" tunashukuru kwa kuwaeleza wazi wajue.
@josephmutalemwa1461
@josephmutalemwa1461 2 жыл бұрын
Mkuu uko vzr sana
@faisalhassam3721
@faisalhassam3721 Жыл бұрын
Nakukubali sana mheshomiwa shabiby
@kizitokasulamo9167
@kizitokasulamo9167 2 жыл бұрын
Huyu mwamba yuko makini sana kwenye hutuba zake hongera shabbiy yan ma RAC nao wanataka v8😂😂😂
@lemausontz3513
@lemausontz3513 2 жыл бұрын
Ad madc wanataka V8 itafkia ad Diwan
@williammsigala6950
@williammsigala6950 2 жыл бұрын
Jamaaa ni tajiri na ana akili nyingii!!!
@douglasmichael7494
@douglasmichael7494 2 жыл бұрын
Great shabiby💥
@gracelutumo6911
@gracelutumo6911 2 жыл бұрын
Hongera mh Kwa kutetea wanyonge.
@letthedeadburythedead2148
@letthedeadburythedead2148 2 жыл бұрын
Wanyonge wanamiliki V8?
@karasuyazidi8547
@karasuyazidi8547 2 жыл бұрын
@@letthedeadburythedead2148 huwezi kuelewa
@omarikessy2339
@omarikessy2339 2 жыл бұрын
Safi sana mheshimiwa huo ndo ukweli kabisa
@muddyso1953
@muddyso1953 2 жыл бұрын
Hakika shabiby ni mtu makini na azina kubwa
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Mh Wewe ni kiona mbali. Hamjiulizi mkurugenzi wa jiji na Mimi V8 anaenda mayo wapi? Makatibu wakuu sawa Kuna ziara za mokoani. Hawa wa mijo na majiji ufujaji tu.
@mwalimunanabiinelsonmwakik5542
@mwalimunanabiinelsonmwakik5542 2 жыл бұрын
Vizuri sana uko sahihi
@evarimdecoration4256
@evarimdecoration4256 2 жыл бұрын
Shabby oyeee!!
@erickzephania1030
@erickzephania1030 2 жыл бұрын
Duuuh, kweli kila mmoja anaangalia maslahi yake
@moodyramadhan336
@moodyramadhan336 Жыл бұрын
G.O.A.T
@jamesrobertjames1455
@jamesrobertjames1455 2 жыл бұрын
kweli kabisa
@officialmkerewe
@officialmkerewe 2 жыл бұрын
Mtu makini Sana
@shelyboyshely2928
@shelyboyshely2928 2 жыл бұрын
Hahaha mbunge wangu kunywa soda umeongea point sana wambie wasijifanye mabosi watemberee gari kari akati wananchi hari tete
@reedfocus4517
@reedfocus4517 2 жыл бұрын
Million 100 crown we stupiidddd
@lemausontz3513
@lemausontz3513 2 жыл бұрын
Tanzania Kuna baadhi ya viongozi wanatoa hoja za zenye maana sana na Muhimu lakin hazifanyiwi Kazi na ngazi Husika
@yordanyona1234
@yordanyona1234 2 жыл бұрын
akili nyingi
@knight6757
@knight6757 2 жыл бұрын
Upigaji...oyee!!
@geladjuma6897
@geladjuma6897 Жыл бұрын
Akili mingi sana
@richardchijana9665
@richardchijana9665 2 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@allyngitu4584
@allyngitu4584 2 жыл бұрын
Hapo magari munayo mbona hamutembelei wananchi kwann?
@hassanbilali1697
@hassanbilali1697 2 жыл бұрын
Mawazo yako hayana maana kwani watumishi wa ngazi ya chini mbona wanatumia pikipiki zao na bado wa anatekeleza majukumu yao.
@hiltonmjema4189
@hiltonmjema4189 2 жыл бұрын
Uyu jamaa nikichwa Sana hawajajua tu
@ngogotajb4064
@ngogotajb4064 10 ай бұрын
Million 100
@Zwangendaba97
@Zwangendaba97 2 жыл бұрын
Zikichangiwa hoja za kubana matumizi hamna anae piga makofi
@johnsulle4679
@johnsulle4679 Жыл бұрын
Tutawachukia matajiri mpk kesho asbh kwasab ndo wanyonyaji wakubwa wa nchi hio
@shukranitv2971
@shukranitv2971 2 жыл бұрын
Huyu mbunge kichwa sanaaa
@edwardmaguluko6541
@edwardmaguluko6541 2 жыл бұрын
Mkaguru aliye elimika huyu
@epimackjohn461
@epimackjohn461 Жыл бұрын
Baadhi ya WABUNGE kupiga MAKOFI BUNGENI bila Kujua umuhimu wa kilichosemwa OYEEEEEEEEEE!
@piusxinlv5958
@piusxinlv5958 Жыл бұрын
kwani wana tembeleaga wananchi wapi? na uo mfano wa msukuma ni kweli mtu kakatiwa ela kwaajili ya uendeshaji wa halmashauri wanakata ya kununua kwanza v6 inayo baki ndo inaingizwa kwenye matumiz
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 2 жыл бұрын
Shabiby umeshiba pesa ww hao wanatakiwa wakopeshwe magari wanatumia vibaya
@chancesholdan342
@chancesholdan342 Жыл бұрын
CCM hawana jipya tena
@khamisali5978
@khamisali5978 2 жыл бұрын
wacha uwongo huo, mbona hamjiongezi nje ya bunge
@enockmsigwa6909
@enockmsigwa6909 2 жыл бұрын
Wewe unajua Mambo ya magari hao wenzio kazi kusifia ujinga hongera zako Kwa kuwafumbua akili maana hawaelewi chochote. Nawatapigwa Sana ndio maana wanatulipisha mikodi ya ajabu ajabu waige India kule wanatumia Suzuki
@erickevarist3660
@erickevarist3660 2 жыл бұрын
Ila mkumbuke huyu mwamba nitajiri
@kelvinmmary5170
@kelvinmmary5170 2 жыл бұрын
Kiongozi kusema ivi sio sawa kweli “Unanilazimisha tena nikafanyie kazi zingine ambazo sio za kwangu” Mwalimu Nyerere alifundisha sana kuhusu uongozi hakuna anayesoma vitabu wala kuzingatia mafundisho yake
@shabanidaudi5636
@shabanidaudi5636 2 жыл бұрын
Eti haifiki m3. Hahahahhahaha
@sharmelasaif47
@sharmelasaif47 2 жыл бұрын
Tena serkali inatia hasar kubwa mno waambia wajue waache tu kulifanyia kaz hilo maana umeeongea kit chamaan
@msamanga2277
@msamanga2277 2 жыл бұрын
Huyu jamaa apewe nyota
@alliyrubea5731
@alliyrubea5731 2 жыл бұрын
Suala la gari ni wajibu wenu wabunge kuyatumia kwa shughuli za kuwahudumia wananchi ukinunua V8 ni hiari yako nunua hiyo crown utoe huduma kwa Wananchi,nadhani kabla ya kuwa Mbunge likwenda kwao sasa jiulize ulikwendaje wacheni kukwepa wajibu wetu baada ya wananchi kukuchaguweni tena mukatowa ahadi nyingi ambazo hamujatekeleza na hamutatekeleza mpaka muondoke bungeni
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 2 жыл бұрын
Gari lako binafsi unalitumiaje kwa kazi za serikali?? Usiseme tu kwakuwa unatamani wenzenu wapoteze pesa. Jiukize hata gari lako familia nzima wakitaka kulitumia utakubali??? Je unataka leo mbunge kanunua gari halafu serikali inataka atumir hilo gari kwanini???
@alliyrubea5731
@alliyrubea5731 2 жыл бұрын
@@faithjonathan3845 Nadhani bado hujaelewa wajibu wa Mbunge ndugu yangu jiuze kwann Serikali inatoa mkopo kwao wa kununua gari, ni kwasababu wakastarehe na familia zao
@yohanadeusi9084
@yohanadeusi9084 2 жыл бұрын
Dah ndio nimefaham leo hela mnapewa ndogo hazitoshi V8 zamani nilikua nikijua ukishinda ubunge V8 inaanza kupaki nyumbani kumba uhakika zaid ni clown dah ndoto yng bdo sna
@nyellasuwedisanga6929
@nyellasuwedisanga6929 2 жыл бұрын
Mzee wazili v8 ya nin? Apewe gali ya kawaida. Mbona mna sema mmejenga balabala nchi nzima wapewe ata ist mbona india hawana mambo mengi wanatumia Suzuki
@karasuyazidi8547
@karasuyazidi8547 2 жыл бұрын
usifananishe India na huku kila nchi na maamuzi yake mbona hutolei mf wa marekani
@victorjames3730
@victorjames3730 2 жыл бұрын
Kwaio anamaanisha wakopeshwe hela zaidi
@sharifuamuri4638
@sharifuamuri4638 Жыл бұрын
irudie tena uisikilize utaelewa nini alichomaanisha
@geraldmwingwa8236
@geraldmwingwa8236 2 жыл бұрын
Uko vizuli mbunge wetu
@jacksongidion5170
@jacksongidion5170 2 жыл бұрын
7
@kayembesaidi9949
@kayembesaidi9949 2 жыл бұрын
Uyo mbunge ni mtu wa chuma
@asteriashios1852
@asteriashios1852 Жыл бұрын
Safi sana mkuu ubunge tutakupa Tena maana unaitetea hii nchi bc hawakuskii wafungue macho hawaoni
@zully756
@zully756 2 жыл бұрын
Sweden wabunge wanatembelea baiskeli
@dannywiston6391
@dannywiston6391 2 жыл бұрын
Acha uongo wewe
@onesmojustice2348
@onesmojustice2348 2 жыл бұрын
😂😂😂
@dazk7861
@dazk7861 2 жыл бұрын
Chuma umeupiga mwingi
@marcoenock4596
@marcoenock4596 2 жыл бұрын
Shabiby hana ushamba wa mandinga yeye hata pikipki anapanda hata trecta twende tuuu
@kesiathuman9779
@kesiathuman9779 2 жыл бұрын
Lakwako tumekukopesha kwakua wewe ninani
@hizamwaimu3918
@hizamwaimu3918 2 жыл бұрын
Sasa na wewe usipo tembelea wananchi wako SI watakutema hapo ndo utakua unapigania kula kwa haki
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 2 жыл бұрын
haujaelewa
@musason1680
@musason1680 2 жыл бұрын
Wanazungumzia watumish wa serikali so wabunge pee mfano mkurugenzi na maafisa wengne wa serikali wasio wanasiasa
@fabiansemba4918
@fabiansemba4918 2 жыл бұрын
@@nsajigwamwakalonge5702 kadandia behewa
@hassankongolilo8408
@hassankongolilo8408 2 жыл бұрын
Kama ubunge haukulipi achia ngazi ng'ombe wewe
@gwalalacomyuniti1736
@gwalalacomyuniti1736 2 жыл бұрын
Shabibi una akili timamu
@martinsamatajr7972
@martinsamatajr7972 2 жыл бұрын
mh shabiby ni mshusha nondo kwelikweli hajawai kuongea pumba kabisa yan ni fact tyuuuuu
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 2 жыл бұрын
Huyu mbunge kashiba hela.Tuambie mbunge kwa mwezi analipwa kiasi gani? posho,marupurupu na mshahara ni zaidi ya milioni 25 kwa mwezi.
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 жыл бұрын
😲😲😲
@filbertdaniel2190
@filbertdaniel2190 2 жыл бұрын
Llllllaq1
@aloycemacha9894
@aloycemacha9894 2 жыл бұрын
Haifiki 25
@jeraldboman3053
@jeraldboman3053 2 жыл бұрын
Milion 12 had 17milion mkuu!
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 2 жыл бұрын
Nchi za Kiafrika zina matatizo makubwa ya kifikra ni akili mavi, ubinafsi na kujionyesha ni matajiri , sasa magari ya million 500 ya nini wakati mko masikini omba omba budget almost yote misaada ya Wazungu . Huku Ughaibuni Wazungu Serikali zao wenyewe wako very simple na ni matajiri kuliko, hadi maboss kabisa wanatembelea baiskeli huku Ughaibuni ila ona mswahili kwa mbwembwe zake
@CHITUS
@CHITUS 2 жыл бұрын
Mh shabiby michango yako huwa inamashiko sana.kwenye ukweli ukwepeshi.
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 38 МЛН
"PETROL STATION ZINAOTA KULIKO SHULE ZA KATA" - MBUNGE SHABIBY
11:16
Joseph Kusaga Atoa Kanuni Muhimu Za Mafanikio Kwa Vijana
7:36
Curve Goals That SHOCKED The World
5:35
iLance7i
Рет қаралды 42 МЛН
SHABIBY ATANDIKWA NA MDOKO WAKE LIVE BILA KUPEPESA MACHO
5:45