Ambwene Mwasongwe - Unikumbuke (Official Music Video)

  Рет қаралды 902,556

Ambwene Mwasongwe

Ambwene Mwasongwe

2 жыл бұрын

Ambwene Mwasongwe presents the Official Music for "Unikumbuke"
Watch All Music Videos by Ambwene Mwasongwe: • Ambwene Mwasongwe All ...
Follow Ambwene Mwasongwe
Instagram: / ambwenemwasongwe_
Subscribe to Ambwene Mwasongwe: / @ambweneobadiamwasongwe
Digital Branding & Marketing By:
Black Ozen Entertainment Limited: / blackozenentertainment...
Ambwene Mwasongwe - Unikumbuke
Nimekuita uambie watu ushuhuda wangu
Miaka tisa nimekaa jela
Nilifungwa kwa kosa la kusingiziwa
Namshukuru Mungu nimetoka
Usiku ule nilikamatwa kama mchezo
Na mke wangu na mtoto mdogo
Nikadhani labda walikuwa wanatania
Labda ilikuwa siku ya wajinga
Hakuna mtu alielewa ukweli wa ushahidi wangu
Wala sikuwa na wakumweleza akanielewa
Mazingira ya kesi, ushahidi, sheria za kazi
Siri ni ban, mpaka mke wangu kaniambia
Kama umefanya kiri kosa tujue moja
Nikumbuke, kumbuka haki yangu, sikufanya ubaya
Nikumbuke, nikumbuke, sikufanya ubaya
Nikumbuke, namna walivyonishtaki kwa hila na wivu
Nikumbuke, bwana unikumbuke nililia
Hey, kumbuka bwana haki yangu
Hey, wakumbuke, walivyo kufanikiwa jela
Uwakumbuke, Mungu wakumbuke washa mshumaa ndani ya nyumba
Mkumbuke mtoto mchanga asiye na hatia
Uwakumbuke, kama ningekuwepo angekonda
Kumbuka Adam, aliyebaki, alikufanya kushtuka kwa ajili yako
Nilidhani Mungu kalisahau faili langu
Nikadhani kwamba nitaaibika
Sikuwa tena na tumaini lililobaki
Haki yangu ilikuwa tumaini pekee
Waweza elewa shahidi wangu alikuwa Mungu
Labda na wale walioua
Mwisho wa siku Mungu alinitetea
Na waliofanya kosa kunikana
Haki yangu ikasitana kama mtende na mwelezi
Pale banoni, walinichimba wakuning'oa sababu ya Mungu
Waliinamisha wakunivunja, walinitikisa sikupukutika
Walinichuma ili niishe
Wewe bwana ulinitetea na haki yangu
Nikumbuke, kumbuka maadui walivyonizunguka
Nikumbuke, kumbuka ushahidi wa maneno yao
Nikumbuke, kumbuka walivyonichafua jina langu
Nikumbuke, kumbuka walivyoniona
Mi ni mhalifu, hey ukalisafishe jina langu
Hey bwana, uwakumbuke! Uwakumbuke Ukarehemu makosa yao
Uwakumbuke! Japo walifanya ubaya bwana na uwasamehe
Uwakumbuke! Nilienda jela nikiwa bado sikujui
Uwakumbuke! Nimetoka nimeokoka nimekujua
Nikumbuke! Bwana unikumbuke usinisahau
Natengeza fadhili zako, niimbe Mungu baba
Nimefurahi, niimbe Mungu bwana
Nimefurahi, niimbe Mungu bwana
Nimefurahi, niimbe Mungu bwana
Nimefurahi, niimbe Mungu bwana
#AmbweneMwasongwe #Unikumbuke

Пікірлер: 1 100
@carlosleonard6050
@carlosleonard6050 Жыл бұрын
Nmemwona huyo mwanajeshi aliyefungwaga bila hatia i hope uliimba kwa ajili yake, kama umemnotice huyo mjeda...nipe likes
@beatriceminja2148
@beatriceminja2148 2 жыл бұрын
😭😭😭 Kuna watu wanapitia pagumu!! Mungu kutana na watu ambao wanapitia pagumu na wanasikiliza huu wimbo, wakumbuke Bwana!!!
@jeniphersichamba545
@jeniphersichamba545 Жыл бұрын
Mungu uwakumbuke wote wanaopitia magumu.
@dianamuhumba
@dianamuhumba Жыл бұрын
Amina🙏
@godfreyluhimbo6555
@godfreyluhimbo6555 Жыл бұрын
Wakumbuke wote Bwana wenye shida mbalimbali
@janemsamati6700
@janemsamati6700 Жыл бұрын
Oooh Haleluya
@mama_mlezi7744
@mama_mlezi7744 Жыл бұрын
Amina
@kettyym9859
@kettyym9859 2 жыл бұрын
Eee Mungu uikumbuke Tanzania yetu Mauwaji yamekua mengi sana 😭😭😭😭 tusamehe uturehemu na ututakase Yesu 🙏🏼🙏🏼 turudishie kupendana na kuchukuliana madhaifu tunaomba Baba 😭😭🤲🏾. Amen
@lusajomwasanga1877
@lusajomwasanga1877 2 жыл бұрын
Amina
@danielmparanyi
@danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzfaq.info/get/bejne/b9t6jKSlrau8gmw.html🙏🙏🙏
@danielmparanyi
@danielmparanyi 2 жыл бұрын
@@lusajomwasanga1877 Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzfaq.info/get/bejne/b9t6jKSlrau8gmw.html🙏🙏🙏
@theresiagasto5240
@theresiagasto5240 2 жыл бұрын
AMEEEEN
@frankrobertkomba2318
@frankrobertkomba2318 2 жыл бұрын
Kwakwel hata kutembea tunaogopa,Mungu tukumbuke
@kelvinlukoo5182
@kelvinlukoo5182 2 жыл бұрын
Hakika sio wote wanaokwenda jela wamekosa, wengine wanasingiziwa tu. Wimbo huu unanikumbusha nina rafiki yangu tuliyesoma wote kozi ya utabibu CO mwaka wa kwanza then akahamia chuo kingine baada ya kumaliza mwaka wa pili akabambikiziwa kesi ya kumbaka hadi kufa mtoto wa kaka yake akaenda jela ila baada ya mwaka mmoja ikabainika amesingiziwa daaah so pain , Mungu ndio mtoa haki ahsante sana kaka ambwene napenda sana tungo zako ujumbe katika nyimbo zako.
@rebydaffi2846
@rebydaffi2846 2 жыл бұрын
Duh
@sharifmtunku4309
@sharifmtunku4309 2 жыл бұрын
Hii pia ni true story
@captainabimelek140
@captainabimelek140 2 жыл бұрын
Hii pia, ni true ctory kabisaaa
@Official83640
@Official83640 2 жыл бұрын
@Martin Kawishe Ndy na askar mwenyewe si yupo humo huyo mwenye macho yaliyolegea aliyefungwa pingu kavaa shati la blue
@cosmasarnold7288
@cosmasarnold7288 2 жыл бұрын
Hakika wimbo ni mkubwa sana huu watanzania,Mungu amtunze hakika
@danielmparanyi
@danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzfaq.info/get/bejne/b9t6jKSlrau8gmw.html🙏🙏🙏
@issamnyika4862
@issamnyika4862 2 жыл бұрын
Huu wimbo kwaajili ya Nazalet,pole bro kikubwa upo huru Rip shemeji na mtoto.
@stivertz7014
@stivertz7014 2 жыл бұрын
Wimbo huu unaniumiza sana kila nkikumbuka hii story ya mauaji mwaka 2006 ubungo mataa (Kijazi Interchange), huyo main character kwenye video ndio alikutana na huu mkasa kukaa miaka tisa kwa kesi ya kusingiziwa an. Ila Mungu mkubwa na anataendelea kumuweka juu ya maadui zake. Amen
@joharijonasi5845
@joharijonasi5845 Жыл бұрын
Aamiin 🙏
@mpwapwanewstv8204
@mpwapwanewstv8204 2 жыл бұрын
Huyu mwamba nimeifuatilia story yake ni ya kweli kabisa na nimeona kwe wimbo, Pole chief kwa mapitio wanyakyusa wanasema "UNGAPASYAGA PAPO NDE NUNGWE "Mungu amrehemu Mtoto na shemeji yetu na dada.
@mparanyibagalwa7376
@mparanyibagalwa7376 2 жыл бұрын
Amen na amini uta barikiwa Na huu wimbo pia 👉🏻kzfaq.info/get/bejne/b9t6jKSlrau8gmw.html God bless you for your supports🙌🏻
@jacquelinemkeremi3009
@jacquelinemkeremi3009 2 жыл бұрын
imenisikitisha mnoo pia😭
@cyprianmkindi7276
@cyprianmkindi7276 2 жыл бұрын
Alikua mwanajeshi Sio??
@Moo1788
@Moo1788 2 жыл бұрын
@@cyprianmkindi7276 ndio
@majaliwacossan3916
@majaliwacossan3916 2 жыл бұрын
Umeiona wapi hiyo historia niifatilie
@frankhella8377
@frankhella8377 2 жыл бұрын
Hallelujah tuliusubiri sana video hii. Hongera sana mtumishi wa Mungu . Utukufu ni kwa BWANA
@danielmparanyi
@danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzfaq.info/get/bejne/b9t6jKSlrau8gmw.html🙏
@titopg5299
@titopg5299 2 жыл бұрын
Kaka yangu Ambwene, this song speaks our life, some of us been to jail without having committed a crime! We’ve cried a million times before God and now we here, MUNGU NI MWEMA!! NIKUMBUKE, NIMEKUMBUKWA🙏🏽😭😭
@saveme4551
@saveme4551 2 жыл бұрын
Amina utukufu kwa Mungu
@miamo4789
@miamo4789 2 жыл бұрын
Wewe ni mshindi haki yako istawi kama mtende wa lebanoni,umekita mizizi ndani ya Neema ya Mungu,,,shuhudia wema wake wengine wamjue
@jacklinemtenga7418
@jacklinemtenga7418 2 жыл бұрын
I found myself crying. God,ur the one who knows every one's need. Answer us according to your will
@rogersdavis3058
@rogersdavis3058 2 жыл бұрын
😭😭😭 nakumbuka nilipoambiwa nmeuziwa simu ya wizi kumbe ni mchezo ulichezwa pamoja na mwanamke ambae nilijitoa sana kwake na kuja kuhukumiwa 1year jeal
@racheljob6601
@racheljob6601 Жыл бұрын
Ee mwenyezi Mungu mkumbuke uncle wangu najua hana hatia 😭
@rehemarobert516
@rehemarobert516 2 жыл бұрын
Nimeisikiliza story ya Kaka Nazareth kwa Milard Ayo! Atukuzwe Mungu sana kwa kumuinua na kumuokoa mtumishi wake
@stellajohn5647
@stellajohn5647 Жыл бұрын
Amen
@moudboss846
@moudboss846 2 жыл бұрын
Nimelia Sana Baba angu alikamatwa Kwa kosa la kusingiziwa Akaenda Segerea 😭😭😭 Alipotoka baada ya miaka miwili akafariki 😭😭😭😭😭 Mungu wangu nakuomba umrehem baba yngu Na uwakumbuke wote wasio na hatia 🙏🙏🙏
@mparanyibagalwa7376
@mparanyibagalwa7376 2 жыл бұрын
Amen na amini uta barikiwa Na huu wimbo pia 👉🏻kzfaq.info/get/bejne/b9t6jKSlrau8gmw.html God bless you for your supports🙌🏻🙌🏻
@emmymichael7356
@emmymichael7356 2 жыл бұрын
Pole sana😭😭
@oscarngondya8839
@oscarngondya8839 2 жыл бұрын
Tukumbuke eemungu kwakweli umeweza juniliza maana nimefwatilia kisa kilichomtokea muhusika wahuu ujumbe kwakweli nilimwonea huluma eemungu simama nae mpenguvu nauvumilivuz😂😂😂😂😂😂😂😂
@veronicalufingo3513
@veronicalufingo3513 2 жыл бұрын
Aisee pole sana
@malaikahansen
@malaikahansen 2 жыл бұрын
I have cried 😢 jamani. Ila nani Kama MUNGU anaetufuta machozi yetu. Nazareth will never be the same, but GOD has already changed his story. Isaiah 61:3 “…to bestow on them a crown of beauty instead of ashes, the oil of joy instead of mourning, and a garment of praise instead of a spirit of despair”. GOD BLESS you all.
@officialnazatv9654
@officialnazatv9654 Жыл бұрын
Amen amen thanx
@queengee4154
@queengee4154 2 жыл бұрын
I pray for my friend who is in jail with her wife and their small beutiful daughter God remember them naomba uwakumbuke ugenini huku nawaombea kila siku🙏🏻
@esteremily2435
@esteremily2435 2 жыл бұрын
MUNGU awakumbuke
@lucysteven8982
@lucysteven8982 2 жыл бұрын
Amen
@doricekadushi3924
@doricekadushi3924 2 жыл бұрын
Amen
@blackqueen3532
@blackqueen3532 2 жыл бұрын
Mungu wa Israel aisikie sauti yako🙏🙏
@NadhifaDauda
@NadhifaDauda 5 ай бұрын
Kupitia wimbo huu MUNGU akawafariji n kuwakumbuka wote wanaopitia magumu amiina
@user-yu2cj2bf9c
@user-yu2cj2bf9c Ай бұрын
Amen
@maonezinyagalu9393
@maonezinyagalu9393 2 жыл бұрын
Asante sana Ambwene kwa kunikumbusha juu ya wafungwa. My prayers are with all those who are imprisoned. May the strength of the Lord be with them all.
@sevelinamwailanga9391
@sevelinamwailanga9391 Жыл бұрын
MUNGU akufunge mkanda kaka Nazareth kaka ambwene ubarikiwe kwakufariji wengi tuliovunjika moyo
@dianadaudi5535
@dianadaudi5535 2 жыл бұрын
Watching from Europe 🇪🇺 this song makes my faith 🙏 to God stronger than I thought 🙏 God bless Man of God @Ambwene mwasongwe
@danielmparanyi
@danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzfaq.info/get/bejne/b9t6jKSlrau8gmw.html🙏🙏
@rogathesarwatt
@rogathesarwatt 2 жыл бұрын
Rudi nyumbani kumenoga dada
@marthaeponda833
@marthaeponda833 2 жыл бұрын
Nimekumbukwa
@subiranjohole1935
@subiranjohole1935 Жыл бұрын
Mungu akutunze akupe hitaji lamoyo wako. Najua baada ya mapito yote. Uliopitia. Mungu nijibu tosha la maisha Yako brother. Mungu anaekupenda sana,kukaa gerezani ilikuwa kusudi la Mungu. Ili umtumikie, usajhigweghe fijho gwa jesu🙏🙏🙏. Najua umeacha kulia 😭umeshaamini sasa, songs mbele🏃🏃🏃
@jacklinenyambura3508
@jacklinenyambura3508 2 жыл бұрын
A great song .Hakika Mungu nikumbuke,kumbuka wote ambao were falsefully accused.🙏 Blessed from Kenya🇰🇪
@malilamusic-tz6097
@malilamusic-tz6097 2 жыл бұрын
Brother ujawai kuaribu mungu azid kutupigania mbeya Tanzania mbeya boy unyakyusa mwing Sana kwa mungu wetu love song
@piussalama5485
@piussalama5485 2 жыл бұрын
@@malilamusic-tz6097 j
@joshualubango2877
@joshualubango2877 2 жыл бұрын
Kweli kabisa Wakumbuke Wote Yesu. ❤from🇰🇪
@tulizomlowe7054
@tulizomlowe7054 2 жыл бұрын
Mawe
@naomimwakapala4655
@naomimwakapala4655 Жыл бұрын
Unaimba baba, Mungu aliyekukumbuka, anikumbuke Na mimi
@stelahthomas4145
@stelahthomas4145 2 жыл бұрын
UNIKUMBUKE ni moja ya nyimbo ninayoipenda sanaa nikiwa nasikiliza najikuta nafarijika Mungu akubariki ambwene mwasongwe kwa tungo nzuri za nyimbo zako 🙏🙏🙏
@emanuelmbise2348
@emanuelmbise2348 10 ай бұрын
Sio wote walioko jela n wakosaji ama Wana hatia ila n kwamba tu wamejikuta either kusingiziw ama jumba bovu kuwaangukia ee mungu usikiaye maombi Kila aliejikuta uko bila hatia jua la haki likamzukie na ukamkumbuke...hakika Ambwene mm huwa najikuta nasikilz nyimbo zake natokwa tu na machozi ....
@swadatimmbaga7435
@swadatimmbaga7435 Ай бұрын
Unaeza zania Ni Serekal kumbe Mambo mengine Yanatokana na mauchawi ya family zetu wasiopenda kutona tuko mbali
@georgenathanael
@georgenathanael 2 ай бұрын
Ambwene ni mwimbaji wangu bora kabisa wa gospel tangu ule wimbo misuli ya Imani hajawahi nangusha,,,,, utukumbuke eeh Yesu Kristo wa Nazareth 😭🙏🏻
@letisiabaritazari7606
@letisiabaritazari7606 9 күн бұрын
Ambwene nyimbo zako zote ninzo na aziweza kuzimba zote na kuzipagila Mungu akubaliki zinanifaiji sana
@SamuelErnest
@SamuelErnest 2 жыл бұрын
"Nimekumbukwa, nimefurahi" Nimeupenda sana wimbo huu! Mungu akubariki sana Brother kwa kazi njeema hiiiii
@sharifmtunku4309
@sharifmtunku4309 2 жыл бұрын
True story
@alphamusyani2844
@alphamusyani2844 2 жыл бұрын
Mungu awaongoze wote watumishi wamungu na Mr Nazareth mungu amludishe kazini mwake aendelee kulijenga taifa
@gracemfangavo4824
@gracemfangavo4824 2 жыл бұрын
I cried a lot, but nmekumbukwa na nimefurahi🙏🙏🙏🙏
@jacobmwankenja-cd7rm
@jacobmwankenja-cd7rm Жыл бұрын
Pole sana kaka Nathareth kwa mapito makubwa na mazito uliyo yapitia hakika ni mungu tu na pia ubarikiwe sana kaka ambwene mwasongwe kwa huu wimbo mzuri wewe kufariji mioyo ya watu iliyovunjika kwa changamoto nzito tunazopitia apa duniani ubarikiwe sana kaka
@mtindoelias8888
@mtindoelias8888 2 жыл бұрын
YESU NIKUMBUKE NAMIMI Blessed my brother #Ambwene🙌🙌🙌👏👏👏🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏
@danielmparanyi
@danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzfaq.info/get/bejne/b9t6jKSlrau8gmw.html🙏🙏🙏
@maishasimba6193
@maishasimba6193 Жыл бұрын
Umenibariki sanaa.Yesu Nikumbuke
@jeremiahmsangi8215
@jeremiahmsangi8215 9 ай бұрын
Unaweza guswa na Habari ya Yusuphu,kumbe hata sasa Kina Yusuph wengine wangali wakionesha ukuu wa Mungu, Akhsante Mungu kuyashuhudia haya katika macho yangu,Wewe ni Mungu wa Nyakati Zote,Ambwene Ambwene
@standardtv3494
@standardtv3494 Жыл бұрын
nimemuona huyu jamaa aliyesingiziwa kesi hiyo kweli kweli Mungu huwa anasababu ya kila jambo haijawahi kuwa rahisi kaka samehe kunajambo Mungu ameakuandalia sehemu mwanandamu hakupanga au kupaswa kujua haikuwa bureee, nahisi huzuni sio huruma na ninaamini katika Kristo anayeishi Utakuwa mkuu siku moja, Amen
@MrLabadias
@MrLabadias 2 жыл бұрын
I fall in love with this song the first time i came across it in KZfaq, the song has been an inspiration to me. Keep up with the good work man of God and may you manifest his will. Unikumbuke
@danielmparanyi
@danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzfaq.info/get/bejne/b9t6jKSlrau8gmw.html🙏
@wadhifatv8827
@wadhifatv8827 Жыл бұрын
Na ni story ya kweli ya huyo Baba aliyeonekana kwenye video
@jimmy8470
@jimmy8470 2 жыл бұрын
Tatizo nikisikilizaga hii nyimbo lazima nitokwe machozi 😭😭😭 nakumbuka mbali sana 😭😭😭
@nahyasulei5951
@nahyasulei5951 2 жыл бұрын
😭😭😭😭
@augustosjr4836
@augustosjr4836 Жыл бұрын
Poleehh 😥😢🙏
@user-hs6nu3gs4u
@user-hs6nu3gs4u Жыл бұрын
leo nimefuatilia nimegundua kumbe huu wimbo ni tukio la kweli kabisa!!!!!daah hii dunia mungu ndio mjuzi wa kila kitu
@tonyelshabbaz
@tonyelshabbaz 5 ай бұрын
Na mhusika mwenyewe yupo kwenye video
@fanuelzakayo4463
@fanuelzakayo4463 2 жыл бұрын
Niliingoja kwa mda Sana kaka ubarikiwe Sana kwa kazi nzur Mungu akubariki 🙏🙏🙏
@danielmparanyi
@danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzfaq.info/get/bejne/b9t6jKSlrau8gmw.html🙏🙏
@user-bh9if3bo8r
@user-bh9if3bo8r 8 ай бұрын
Hii nyimbo inanifanya nimkumbuke mzazi mwenzangu, pumzika kwa amani kpnz changu 😢😢😢
@FarhanaPimper
@FarhanaPimper 3 ай бұрын
Nikiona sms kama hyo yako napata matumani kweli upendo wakweli bado upo, Kuna sisi upo kwenye ndoa ila mume anakutelekeza na watoto alafu anakuambia yeye aishi ofisini analala huko huko ofisini ingalia ana kwake ataki kurudi nyumbani kwake Huku mkiwa hamna ugovi wowte, Mungu uikumbuke ndoa yangu mim sijui chochte bwana ...😢😢😢
@emmahbooooo
@emmahbooooo 2 ай бұрын
Mungu yupo atasikia haja ya moyo wako atakutetea.
@enjoysoccer1
@enjoysoccer1 8 ай бұрын
Huu wimbo nimeusikiliza na nimesikiliza na historia ya huyo baba, binafsi namuombea sana kwa Mungu amukumbuke na kila kilichochake kirudi kwake kwa jina la Yesu kristo. ikiwa wana wa Israel walikumbukwa basi na yeye akumbukwe ili sifa na utukufu virudi kwake Yesu.
@alikomwandoto1258
@alikomwandoto1258 2 жыл бұрын
Kumbe huu wimbo ni true story ya huyo mwanajeshi kweli mungu yupo😭😭😭
@rmaryp6269
@rmaryp6269 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu pamoja na woye ulioshirikiana nao. Kazi yenu ni njema sana.
@danielmparanyi
@danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzfaq.info/get/bejne/b9t6jKSlrau8gmw.html🙏
@fabrisakasongo3277
@fabrisakasongo3277 6 ай бұрын
Daaah hiii ni historia nishapitia Zamani
@sliminstallerss5127
@sliminstallerss5127 2 жыл бұрын
Huyu main character kwenye hii video hii ni history yake ya kweli kabisa..great work bro ambwene..so touched
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 Жыл бұрын
Wangemrudisha kazini jamani
@justinemico1871
@justinemico1871 Жыл бұрын
Bwana unikumbuke na Mimi japo Ni mdhambi na mchafu nisie faa hata kulitaja jina lako.
@HammyAbdallah-lk4en
@HammyAbdallah-lk4en 11 ай бұрын
Hakikaa mungu atukumbukee
@emmahbooooo
@emmahbooooo 2 ай бұрын
Bwana tukumbuke
@didasstanley3769
@didasstanley3769 2 жыл бұрын
Hamu sasa imepata tiba Mungu akutunze mtumishi wa Mungu kazi nzuri na ujumbe ni mzuri sana unamafundisho makubwa🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏
@danielmparanyi
@danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzfaq.info/get/bejne/b9t6jKSlrau8gmw.html🙌🏻
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 2 жыл бұрын
Nilifatilia history yauyo jamaa mwanajsh aliefungwa bilakosa nakupoteza mke namtt Mungu ambariki bado anampend
@wellumadusa2412
@wellumadusa2412 2 жыл бұрын
This song is my testimony..... ✍🏽 In tears every time I listen to it 🙌🏾 Nimekumbukwa ✅
@ErickKimaro-bf8zs
@ErickKimaro-bf8zs 6 ай бұрын
Mwezi mungu nikumbuke baba nime pambana sana jmn lkn sioni tumaini langu
@jastinmkandala5620
@jastinmkandala5620 2 жыл бұрын
Huu wimbo Umekua Kama wimbo wa taifa kwenye simu yangu ,yamenikuta uliyo imba ,nilimwacha mke wangu tukiwa na miezi miwili tumeoana😭😭😭😭,inauma Ila nauona muujiza ya Mungu ninayo mengi yamekaa moyon
@marthagabriel3417
@marthagabriel3417 2 жыл бұрын
Pole hata hapo kwenye huu wimbo kuna huyo mweusi mwenye macho makubwa ndo stori ya maisha yake alifungwa miaka tisa bila kosa na mkewe na mtt wakaungua ndan ya nyumba nawalikiwa watumishi wajeshi sasa huku mtaani si ndo wamejaa huko magereza Mungu turehemu
@Louez24
@Louez24 Жыл бұрын
Ambwene ni miongoni mwa waimbaji wenye upako. Mungu azidi kukuinua Mtumishi. Ambwene est parmi les chanteurs nommés. Que que Dieu continue à t'élever son Serviteur. Ambwene is among the annointed singers. May God continue to raise you up. Jumbe zako sku zote zinagusa nyoyo. Tes messages, toujours touchent la coeur. Your messages are always touching the souls. Que Die te bennisse beaucoup.
@gracesteven7078
@gracesteven7078 2 жыл бұрын
Amen amen 🙏🏽 Mungu ni mwema na hamtupi kamwe mja wake. YEYE NI ALFA NA OMEGA 🙏🏽 Huwatendea mema walio wema na wasio wema 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@isaackiswaga3736
@isaackiswaga3736 2 жыл бұрын
Best artist of Gospel ever I'm from Colombia Bogota
@mariammwamaso3984
@mariammwamaso3984 2 жыл бұрын
Mambo ya 2022 🔥 🔥. Unatibu sana mioyo yetu kaka. Mungu akutunze
@danielmparanyi
@danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzfaq.info/get/bejne/b9t6jKSlrau8gmw.html🙏🙏🙏🙏
@geradmuyeka7460
@geradmuyeka7460 2 жыл бұрын
Mungu akubalik kaka abwen barikiwa
@evalynejoel5489
@evalynejoel5489 Жыл бұрын
Kwa kweliiiiiiih n 🔥 jaman.. wakuwapi waimbaji kumi Kama Huyu Tanzania ety...
@evalynejoel5489
@evalynejoel5489 Жыл бұрын
Jaman jaman.. Kuna watu wameitwa kwenye uipaji,, nikiwa nimesongwa na mawazo.. nasikia rohoni usiruhusu maneno yakuvuruge,, hakika MUNGU akubariki kaka ambwene jamani.
@user-np5rp2fi5t
@user-np5rp2fi5t 7 күн бұрын
Mungu endelea kunikumbuka katika nyakati hizi ngumu
@happymwanyika9205
@happymwanyika9205 10 ай бұрын
Mungu unikumbuke na mimi 😭😭😭😭
@wetoons9166
@wetoons9166 Жыл бұрын
this song made me so emotional, God is good ya'll
@esterelia894
@esterelia894 9 ай бұрын
Waweza kudhani unapitia majaribu mqgum kumbe la kwako ni dogo sana, Mungu nipe moyo wa kuvumilia majarbu nayopitia , nijue kuwa unanifundisha na mwisho ntatoka salama
@Christ_In_Me
@Christ_In_Me 2 жыл бұрын
English translation ON POINT 😇😇 Wimbo wenye mguso sana May God remember everyone falsely accused and vindicate them,AMEN!
@danielmparanyi
@danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzfaq.info/get/bejne/b9t6jKSlrau8gmw.html🙏🙏🙏
@asnethmaythealmightygodbew3570
@asnethmaythealmightygodbew3570 2 жыл бұрын
Nafrahishwa saan na nyimbo zako Mungu azid kukutumia kwa viwango vya juu
@ApiaMpinga-qr1yf
@ApiaMpinga-qr1yf Жыл бұрын
Unanikumbusha mbali kama ulvyo wimbo ndivyo ninavyopitia Sasa Tena aliniacha mjamzto n mpaka Sasa hajatoka yesu akutangulie kaka kea kunifalij
@mogwathbalele9420
@mogwathbalele9420 Жыл бұрын
Mungu azidi kukuimarisha na kuwatunza
@8pistons194
@8pistons194 Жыл бұрын
Akukumbuke Mungu wa amani
@anangisyejaphet5691
@anangisyejaphet5691 Жыл бұрын
Mungu akukumbuke
@exaverymwandabale6667
@exaverymwandabale6667 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu, hakika umeubariki Moyo wangu
@danielmparanyi
@danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzfaq.info/get/bejne/b9t6jKSlrau8gmw.html🙏🙏
@otilasanga1543
@otilasanga1543 Жыл бұрын
Stori hiyo nimefatilia sana ata Mimi nilifungwa songea kwa kuzingiziwa na msanii super danger niliumia sana naamini mungu yupo Tena leo nakuona Tena na ambwene mungu tusaidie dunia tunapita
@rachelhenry415
@rachelhenry415 2 жыл бұрын
Nimelia sana😭😭😭😭😭😭Unikumbuke Mungu wangu 🙏🙏🙏
@dr.d5558
@dr.d5558 2 жыл бұрын
Glory glory glory! Glory to Jesus.. Thank you Servant of God for such a great message to the body of Christ
@kweliyakristoyesu
@kweliyakristoyesu 2 жыл бұрын
Amen ubarikiwe mtu wa Mungu Roho Mtakatifu akutunze sana
@danielmparanyi
@danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzfaq.info/get/bejne/b9t6jKSlrau8gmw.html🙏🙏🙏🙏
@kelvinkasanga1235
@kelvinkasanga1235 2 жыл бұрын
Bro hivi ni wewe sijaamini kama ni mwasonge, nyimbo mbaya pia sauti sijakuelewa
@niyiesther6571
@niyiesther6571 4 ай бұрын
Mtetezi ni YESU KRISTO tuu pekeyeke
@rogathemassong1788
@rogathemassong1788 Жыл бұрын
Pole sana brother Nazareth nmepitia mkasa wako kukaa jela Miaka 9 umepoteza mke wako na mtoto wako pamoja na dada Yako sio rahisi kuvumilia maumivu Yako kama sio mungu Mungu amekupitisha kwenye tanuru la moto Kuna neema mbele
@neemamartin2949
@neemamartin2949 2 жыл бұрын
The last part of this song had me in tears.........🙌
@josephsadock1911
@josephsadock1911 2 жыл бұрын
Amen, Mungu atukumbuke ktk maisha yetu ya kiroho na kimwili.
@piussimtala5111
@piussimtala5111 2 жыл бұрын
Inasikitisha sana,Wengi wanaonewa!
@sophianasri6107
@sophianasri6107 2 жыл бұрын
Nimefulahia pia kumuona kaka yetu aliefungwa miaka 9 katika video hii Yesu ambariki sana ubarikiwe pia kaka ambwene ww wa juu sana
@raphaelalphonso1447
@raphaelalphonso1447 2 жыл бұрын
True Story Thanks Ambwene it will remain in our minds let’s pray for our Brother after going through all this. God is the Provider.Shame unto the devil and his dirty deeds.
@saveme4551
@saveme4551 2 жыл бұрын
Wow Asante Mungu for remembering pastor Nazareth,May YOU Ohh Lord remember all those falsely accused and bless your servant for such a powerful song reminding us of Your faithfulness our King.
@frankdanford8245
@frankdanford8245 2 жыл бұрын
Historia ya hii nyimbo inaumiza sana eeeeh yesu nikumbuke ktk maisha yangu niliposhitakiwa ktk madhabahu za kuzimu bila kuwafanya chochote nikumbuke. Nikumbuke kama nimefungiwa ktk gereza lolote lile la ulimwengu wa roho nikumbuke yesu kunitoa.
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 Жыл бұрын
Kaka ambwene ninajua kuigiza hasa upande machozi ukiwa na wimbo wa aina Hiyo nitafute.
@BGHaule
@BGHaule Жыл бұрын
😂😂😂
@Segerethom
@Segerethom 2 жыл бұрын
For those who don't know this song is a true story.. a really true story, and the Storry teller is on the song. God remembered Him.
@kingswebe3251
@kingswebe3251 2 жыл бұрын
this testimony develops our faith, be greatly blessed.
@upendodickson897
@upendodickson897 2 жыл бұрын
Nimelia kama mtoto. Asante Yesu kutukumbuka,usiacha tuaibike na hata tukiaibika, Utukufu wake ni mkubwaaa mnoooo
@joharijonasi5845
@joharijonasi5845 Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@geniezekiel1922
@geniezekiel1922 2 жыл бұрын
Huyo kaka Mungu amkumbuke nimesikia kisa chake nimerudi kusikiliza wimbo tena duuh Mungu yupo na amkumbuke kila kilichoibiwa kikarudishwe katika jina la yesu amina
@veniranda6508
@veniranda6508 2 жыл бұрын
Amen . I waited for this. Great message. Watching from Saudi Arabia. God bless you all .
@danielmparanyi
@danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzfaq.info/get/bejne/b9t6jKSlrau8gmw.html🙏🙏🙏
@user-ld8gv3mn8u
@user-ld8gv3mn8u 10 ай бұрын
Mungu awakumbuke wote waliofungwa bila hatia wewe wajua maumivu wanayopitia katika mioyo Yao huenda umepanga hivyo lakin kibinadamu kukubal matokeo yakitu ambacho hujafanya ningumu wape neema yakukubal matokeo
@JustinKamwite-fd4sw
@JustinKamwite-fd4sw 9 ай бұрын
Mungu akumbuke wa fugwa yote kwani Wengi wa mebebwa bila hatiya
@emmahbooooo
@emmahbooooo 2 ай бұрын
Hakika Mungu awakumbuke
@mwilanyalwale6266
@mwilanyalwale6266 2 жыл бұрын
Mungu unikumbuke, ukumbuke wafungwa wote kimwili, lakini katika ulimwengu waroho Kuna wafungwa wengi than we can imagine...Mungu kumbuka wafungwa wote katika ulimwengu wa roho
@hanifabakari6245
@hanifabakari6245 2 жыл бұрын
Mungu hunikumbuke kwenye magumu nayopitia ,,hunikumbuke kwenye huu ujauzito nilio nao nijifungue salama✍️💆
@mercylinebosibori3268
@mercylinebosibori3268 2 жыл бұрын
Nimekumbukwa mimi😭😭😭 utakumbukwa pia🥰 kwa jina la yesu. Thanks for the great song with a very strong message, more grace to sir.
@gradientlife
@gradientlife 2 жыл бұрын
Be blessed brother, what a great video what a testimonial song. Singing a story song is among hard stuff, this one has captured all the contents, message, and gospel. Inguluvi yikuvikage, Kyala gwe mololo. #Nimekumbukwa #HongeraKaka wapi likes za Wanyakyusa
@danielmparanyi
@danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzfaq.info/get/bejne/b9t6jKSlrau8gmw.html🙏
@grolyqueen5833
@grolyqueen5833 2 жыл бұрын
Aisee hii story inalizaa sana barikiwaa ulivyo muwekaa na muusikaaa 😭🙏🙏🙏🙏
@monalisamwakitabu6018
@monalisamwakitabu6018 2 жыл бұрын
Wow nyimbo nzuri sana Wapo watu hawafungwa jera lakini wamefungwa kimaisha hakika Mungu akukumbuke Na uende kufurahi zaidi na kuendelea kutumainia neno la bwana daima.
@saramartin1182
@saramartin1182 2 жыл бұрын
Be blessed brother ambwene me and my whole family tunakukubali sana HUDUMA YAKO NI NJEMA INATUBARIKI NA KUTUIMARISHA DAY AFTER DAY @ ambwene Mwasongwe
@honorathandossi5726
@honorathandossi5726 2 жыл бұрын
Huu wimbo ni wa aina yake! Na wa kipekee.. Mungu awakumbuke wote waliowekwa pasipostahili kwa uonevu au kwa dhuluma! Blessed up Brother Ambwene!
@mparanyibagalwa7376
@mparanyibagalwa7376 2 жыл бұрын
Amen na amini uta barikiwa Na huu wimbo pia 👉🏻kzfaq.info/get/bejne/b9t6jKSlrau8gmw.html God bless you for your supports🙌🏻
@felixmagulu6142
@felixmagulu6142 2 жыл бұрын
Huu wimbo ni kisa cha kweli kuna jamaa alikuwa anatoa ushuhuda kuhusu mapito aliyopitia, anaonekana kwenye hii clip, Story yake ipo KZfaq.
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 2 жыл бұрын
POLE SANA KAMANDA KWA YALIYOKUFIKA, MUNGU BADO ANAKUKUMBUKA 🙏 ALL THE BEST
@johnbuyobetruegospelchanne4302
@johnbuyobetruegospelchanne4302 2 жыл бұрын
Hakika huu NI wimbo wa baraka sana. Nami nabarikiwa zaidi kwa kazi njema ya mtumishi wa Mungu Ambwene. Huyu aliyepaswa na huu mkasa ninamfahamu sana. Na ndo huyo huyo ambaye ameigiza kwenye huo wimbo. Miaka yote hiyo Tisa nimekuwa naye gerezani. Kwa Sasa anamtumikia Mungu kanisa moja huko KIBEBERU DAR ES SALAAM.
@aidanmtungi5577
@aidanmtungi5577 2 жыл бұрын
This man is incredible Ambwene Genius
@immanhojr7819
@immanhojr7819 2 жыл бұрын
This is true story. For those who don't know ,that guy on the cover of this song is a victim of whole story
@rehemafungo3705
@rehemafungo3705 Күн бұрын
Mungu unikumbuke
@roseasimwe827
@roseasimwe827 2 жыл бұрын
Hapo kwenye shaidi pekee alikuwa Mungu,Kuna muda unakuwa huna pa kupata msaada zaidi ya Mungu pekee hili limenitokea anaamua kufanya njia baharini ili upite , nitazidi kukushuudia Mungu wangu maajabu yako ni makubwa sana ukisema ndiyo hakuna wakusema hapana, ninakuomba Mungu nikumbuke Tena 2022,
@Blessed_Ann
@Blessed_Ann 2 жыл бұрын
Nimekumbukwa nimefurahi. 🤗🤗🙌🙌
@danielmparanyi
@danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzfaq.info/get/bejne/b9t6jKSlrau8gmw.html🙏🙏🙏
@morganjustusk5135
@morganjustusk5135 2 жыл бұрын
What a great song! We've been waiting for this video for so long,Barikiwa sana mtumishi kwa wimbo mzuri hata nami nimekumbukwa.much love from Kenya 🇰🇪
@edinahmaganga3528
@edinahmaganga3528 2 жыл бұрын
Kwa kweli huu wimbo umenigusa sana nilisikilizaga stori ya kweli ya huyo mwanajeshi ni kweli watu wengi wanaangamia magerezani kwa kesi za kusingiziwa kaka yangu mimi alifungwa mwaka mmoja bila kosa lolote hii nchi yetu bwana Mungu tu atusaidie pole kaka yangu Mungu atakulipa tu.
@lucyringo4487
@lucyringo4487 2 жыл бұрын
Unikumbuke e Yesu na mimi...
@danielmparanyi
@danielmparanyi 2 жыл бұрын
Amina na amini huu wimbo uta kubariki pia 👉🏻kzfaq.info/get/bejne/b9t6jKSlrau8gmw.html🙏🙏🙏
@lucyringo4487
@lucyringo4487 2 жыл бұрын
@@danielmparanyi amen
@husseinkiza4177
@husseinkiza4177 2 жыл бұрын
Congratulations my brother Ambweni 🇺🇸 Mungu akutie nguvu 🙏📖🙏🇺🇸🇺🇸💓🇹🇿
@Gideonnaire
@Gideonnaire 2 жыл бұрын
Real story of former TPDF soldier. Be blessed
@ndamgobadenis2936
@ndamgobadenis2936 2 жыл бұрын
Mtu atauelewaa wimbo huu vizuri akiwaa ameifatiliaa Ile story yakee nimeguswaa Sanaa kumuonaa yupo nae kwenye video
@zalewotv3441
@zalewotv3441 2 жыл бұрын
Nazareth pole sana nakumbuka nilikuacha jela ya segerea ukiwa nyapala mkuu Mungu ni mwema mimi pia niliingia jela kwa kosa la kusingiziwa lakini ukweli ulibainika tuzidi kupambana.
@josephhaule6926
@josephhaule6926 2 жыл бұрын
Hongera Mtumishi wa Mungu Ambwene kwa wimbo wenye kiss Cha kweli, Ni kweli wapo WENGI magerezani kwa makosa ya kubambikiwa tu na wengine wapo hump kimakosa, yote kwa yote tuwaombee MZEE WA SIKU AWAKUMBUKE na ikiwezekana hata kuwatembelea, ukweli inauma sana.
Ambwene Mwasongwe - Nimeachilia (Official Music Video)
7:17
Ambwene Mwasongwe
Рет қаралды 994 М.
KUTANA NA MUNGU KWANZA( Official video)  By Emmnuel Mgogo.
9:43
EMMANUEL MGOGO Official Tz
Рет қаралды 114 М.
Me: Don't cross there's cars coming
00:16
LOL
Рет қаралды 15 МЛН
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 23 МЛН
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 14 МЛН
AMBWENE MWASONGWE - ALIKUTA IBADA (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
8:07
Ambwene Mwasongwe
Рет қаралды 1,2 МЛН
WAHA WASHINDWA KUKAA BAADA YA WIMBO WA KIHA KUIMBWA MKUTANONI LEO
5:01
AMBWENE MWASONGWE - NITAAMBATANA (official music video)
7:48
Ambwene Mwasongwe
Рет қаралды 389 М.
Uso Wangu
9:52
Emmanuel Mgogo - Topic
Рет қаралды 52 М.
Paul Clement - Amefanya Mungu ( Official Video )    SMS SKiza 9841777 to 811
5:09
Paul Clement Official
Рет қаралды 4,2 МЛН
MAJARIBU NI MTAJI BY AMBWENE MWASONGWE (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
8:14
Ambwene Mwasongwe
Рет қаралды 902 М.
Say Mo - LIL BIT & 1 shot 2 (Waysberg Music Remix)
2:43
Waysberg Music🇰🇿
Рет қаралды 430 М.
akimmmich (feat. Turar) - UMYTTYŃ BA?| official lyric video
2:54
akimmmich
Рет қаралды 1,3 МЛН
Sardor Tairov - Sen meni yeding (Official Music Video)
5:02
Sardor Tairov Official
Рет қаралды 4,6 МЛН
Alisher Konysbaev - Suie ala ma? | Official Music Video
2:24
Alisher Konysbaev
Рет қаралды 198 М.