Unatuekea vitu vyako nusunusu mzeee siyo kazi hyo kiredio
@JosephChumi-sp6zq2 ай бұрын
Njia ya mwongo nifupi😂😂
@dianerditto3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂aaah cjategemea mwizi mzembe kama huyu
@LucyCornery3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@FAUSTINAULEDI-ln5fi3 ай бұрын
😅😅😅😅
@S-dMichael952 ай бұрын
Numechekaaa. Eti mwizi mzembe😂😂
@mwanaishatezura77393 ай бұрын
Mm sina ushoga na wadada kukugeuka nidakika sifur tuuuuu😂
@user-gb3sf9fy2u3 ай бұрын
Hlf kiredio tabia ya kutuletea habar nusunusu ujue sipendi 😂😂 sasa hapo bado atujapata ukwel yan
@bekirdonmez65983 ай бұрын
hadi napata hasira😅😅
@user-gb3sf9fy2u3 ай бұрын
Umeona eeeeh yan kiredio anazingua sana
@evageorge64803 ай бұрын
Sa ndo nn kiredio lkn😢
@fhugghi41093 ай бұрын
😂😂Halafu kiredio Acha kuvuruga mahusiano ya watu 😂😂😂
@user-cp6xm8nz1e3 ай бұрын
Lete part 2
@enockmaige89362 ай бұрын
Mbona haloo beib
@HidayaSaidjuma3 ай бұрын
Eti halo baby😂😂😂😂😂
@evageorge64803 ай бұрын
Dada Kapanic 😂😂
@office25552 ай бұрын
Njooo zanzibar ndgu nimependa hiyo❤❤❤❤❤
@user-wr6uz1rx1o2 ай бұрын
😂😂😂
@user-pk8bp7th9eАй бұрын
Kweli yani
@user-jo6qn9sb6z2 ай бұрын
Ukiwa muongo usiwe msahaulifu😂😂😂😂
@abedysteven49303 ай бұрын
Hili nalo taila tena hallo baby! Jinga kabisa😅😅😅😅
@daydaypapaa77093 ай бұрын
Kajichanganya vibaya eti hallo bby😂😂
@Allenimichaeli3 ай бұрын
Mwiz kazingua
@rosejonson3241Ай бұрын
Ety allo babee😂😂😂😂anaakili uyo dada kweli
@user-eo4hd8xu6d2 ай бұрын
😂😂😂ila mtoto msenge yule anautani wa ngumi,,,et halooo bebi 😂😂😂😂wakat mwenzie anamuona kbs hali ya kupuaji iko 0.1 point af yeye anataka ammalize kbs. Af mbio😅😅😅😅ajasubiri suruhu.
@user-pk8bp7th9eАй бұрын
Yule hakukusudia ilimtoka tu mwisho wa ubaya aibu😂😂😂
@JacklineJosia-qs5hb3 ай бұрын
Halo bby😂😂😂😂😂😂😂
@VeronicaDamas-in9yxАй бұрын
Mapenzi shikamoo
@user-db1uy6hv9q2 ай бұрын
Unatengeneza sasa
@naominehemiah33063 ай бұрын
🤣🤣🤣 ila mapenz ngj niendelee kuw biz nakutembezaa chupiii
@user-rf9ip9bc5d3 ай бұрын
2:14 kakosea au ndo ile kukamatwa ugon
@user-nz7un6js2x3 ай бұрын
Hahahahahaha patam hapo ugoni tena bila nguo
@user-ow9jw3hg7eАй бұрын
Halooo babe😂😂😂😂😂😂😂😂
@EneaKibiki3 ай бұрын
Hallo babe😂
@DoraHassan-sg6ie3 ай бұрын
😂😂😂😂yalishawahi kunikuta hayo ila nilimpekesha alienda polis mwenyew mwisho wa siku bwana kapiga sim polis kamwambia amtaki anaipenda familia yake alichanganyikiwa
@PriscaMosha-tg7mn3 ай бұрын
😂 za mwizi arobain
@deborahmidiburo35412 ай бұрын
Ila kiredio wew
@userlizkenya2 ай бұрын
Mm kwanza kama ww n shoga yangu namba ya mumewangu kwa simu Yako inafanya nn kwanza
@jacklinakinabo64793 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂mwizi mzembe sana
@nasramakang36793 ай бұрын
Jaman utamu umeishia kati
@user-bt9yg4on6m3 ай бұрын
Tafteni hela
@user-yn8yj5xf2p3 ай бұрын
😂😂kaumbuka mtu
@husnagel2 ай бұрын
Kaumbuka😅
@jacquelinefrankie5309Ай бұрын
Mirium Mugabe my classmate 😅
@zinatyben3 ай бұрын
Kisha nikasikia sauti ikisema halo baby😂
@MohamedYusuph-gw7yg2 ай бұрын
Ahahahahaha
@sahraabdallah72423 ай бұрын
Hallo baby😅😅😅😅😅😅😅
@FredyJawa-qy2tp3 ай бұрын
Mnazungua habari nusu nusu
@user-hm4hk5hi1c2 ай бұрын
Sio mbaya sijina tuilo
@user-qo6ft7kg6hАй бұрын
Hallo babe
@user-hm4hk5hi1c2 ай бұрын
Minabinam yangu mtoto wa anko tunaitanaga beby tunakumbatiana tuna kis ilaatufanyi mapenzi
@hamisaabdulhamid5292 ай бұрын
Yashanoga hayo hawezi hata kujizuia
@AgnesDavid-et3zn2 ай бұрын
Hili jinga ety hallow beby
@monassoro54772 ай бұрын
Khunanako😂😂😂😂
@user-ss9ct4cf1c2 ай бұрын
Uongo mtupuuu
@EmmyJumanne-mf2nu3 ай бұрын
😂😂😂😂.bby
@sophiemtitu99212 ай бұрын
Sina shoga sitaki shoga na hata akiwepo mipaka hatomkuta bwana angu kivyovyote lbda wakutane hukoooo
@user-cg5dk6hq4d3 ай бұрын
Hah
@CharifaRachidi18 күн бұрын
Nimecheka kama mjinga
@britneyivy2 ай бұрын
Mtu enyewe rahim😂
@dotnatajoseph26202 ай бұрын
Kiredio mmbea
@pillyramadhani37262 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂🤲
@MwajumaMmbaga-vm1xzАй бұрын
Yani kiredio unazuiyaga nn Acha mtu afinywe
@trinnagriffo93663 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Maryam-kl6gj2 ай бұрын
😂😂😂
@neemakinyamagoha2 ай бұрын
binafsi kipindi ni kizuri kwa upande wenu kinawaingizia pesa ni sawa ila mnajenga vip hayo mahusiano mnayovunja ama mnawasaidia vp ama lengo lenu ni nini? mfikirie future ya mlichokianzisha je badae kitaendelea kuwepo ama watu wakua wanaogopa,ni kama nawapata siwapati vile🤔
@NuruZebedayombise-ie5zb2 ай бұрын
Mimi naona kiredio anatufanya tujue kama mtu tunaye ishi naye anatupenda au laaa kama ni mume je katulia? Na kama ni mwanamke je katulia kama ni rafiki je ni wakweli au kupotezeana muda
@EbenChiwinga-pt5wb3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@saniaidrisa39203 ай бұрын
Hii huwa nasema kila siku usigombane na mwanamke mwenzio kisa mwanaume ?pambana na bwana ako ndo mkosaji hapo unajichosha tu ukiona hivo ujue mwanaume ni tatizo sio huyo tu wapo wengi kafolenisha ohooo
@adrianomaulaga15993 ай бұрын
Unatetea ujinga kwani huyo bidada alikuwa hajui kuwa huyo jamaa ni bwana wa rafikangu ake hata kama alifuatwa kutongozwa alishikiwa bunduki akubali wote wana matatizo hapo usitete mwanamke labda angalau angekuwa hamjui ila anamjua kabisa na anamkubalia half unasema mwenye matatizo ni mwanaume siriasi
@saniaidrisa39203 ай бұрын
@@adrianomaulaga1599 amini usiamini hata Kama wanajisemea et wameumbwa kwa tamaa Ila mwanaume anayekuenda na anayekuheshimu hawezi kutembea na watu wako wa karibu ukiona hivo jikatae hakupendi unaforce tu
@adrianomaulaga15993 ай бұрын
@@saniaidrisa3920 mimi pointi yangu ilikuwa unasema dada hana makosa hana makosa kivipi na anajua huyo jamaa ni jamaa wa rafiki ake? Ayo ya kupenda au kutopenda mimi sijui upendo wa kweli anao Yesu tu