#mwamposa #kakobe #diamondKatika ibada ya tarehe 2 /2/2020Askofu kakobe akemea vikali kwa baadhi ya mitume na manabii kutumia maji na mafuta aongea jana katika ibada
Пікірлер: 1 200
@paulmallya95732 жыл бұрын
Kakobe umekosa cha kufanya. Mwache Mwamposa, mbona ilijulikana kuwa ulikuwa unafuga majoka ndani na huzungumzii Hilo. Mwamposa shine and rising Amen
@gracejulius233 жыл бұрын
Watu tumepona kupitia madhabahu hiyo ya mwamposa ambayo wewe unaona ni uganga Ila tumepona kupitia jina la Yesu kristo aliyehi wa madhabahu ya inuka uangaze au sema SHINE AND ARISE
@meryngugi73923 жыл бұрын
Amen
@husseingabo54972 жыл бұрын
Kwan mtu ukienda Kwa mganga ndio hauponi. Huyo mwamposa mganga kama waganga wengine wa kienyeji sema kajificha kwenye mwanvuli wa din
Mwamposa kuinuliwa kwake na mungu ameponya maisha ya wengi sana muachen mtume
@glorybonifasi37043 жыл бұрын
Hujaoka wewe anaponya watu wapi, Mungu akupe macho ya rohoni sisi tuliokoka tumeona anatumia uchawi
@carolinederi56902 жыл бұрын
@EPAFRA MWANSASU kwa halali sio njia ya mkato au ulimuona Yesu akitumia mafuta ya upako?
@winifridaagidy77332 жыл бұрын
Msizungumzie mabaya juu ya watumishi wa mungu usitizame kibanzi kilicho kwenye jicho la mwenzio wakati wewe unaboliti
@carolinederi56902 жыл бұрын
@@winifridaagidy7733 Nabii wa uongo awatatoka kuzimu direct wako miongoni mwetu Yesu mwenyewe alisema utawajua kwa matendo...mafuta ya upako ni sign moja yao ya kuwatambua...
@MrherbsTz2 жыл бұрын
@@carolinederi5690 ndio. Alitumia tope kumponya kipofu au hujui biblia
@safinkeyemba2174 Жыл бұрын
Asante baba askofu kakobe kwakutufumbua macho naroho lakini Kwa MTUMISHI wamungu mwamposa sio hivo kwani TUNAPOKEA UPONYAJI tukiwa mbali sana nahatumjui nahatujui .maji anatuambia tutumie yanyumbani namafuta yanyumbani ukweli ndio huo
@eliasjonas3561Ай бұрын
Hawajui tu ni wivu wao acha tuendelee kupokea tupo nyumbani
@nathaliamhule20812 жыл бұрын
Tumwachie Mungu mwenyewe ,maana hii vita ni ya Mungu SI mwanadam yoyote
@barakabiz80763 жыл бұрын
Mtoto ambae mungu alimpa upako wa kuokoa watu duniani na mm nikiwa moja wapo kuokolewa mtume. mwamposa ama borodosa ni Powe ⚡⚡⚡⚡
@jasminsaid41422 жыл бұрын
Mwamposa alibarikiwa Toka tumboni kwa mama yake
@immaculatejohn99062 жыл бұрын
Acha ujinga
@jenipherhenry2092 жыл бұрын
But unatakiwa kujua tulipewa buree tunatoa buree but watumish wa Leo n after money
@lucasmabula83402 жыл бұрын
MATHAYO 7:21-23 kaisome na uielewe usifkiri kila mtumishi anayeponya katumwa na MUNGU, kama ni hivyo basi hata waganga wa kienyeji nao wametumwa na MUNGU. Tujifunzeni NENO mpendwa ili tuijue kweli nayo ituweke huru YOHANA 8:31-32 Tusiwe watu wa kufuata ishara, maajabu na uponyaji hivyo hata ibilisi hufanya
@diwenagoodiani8087 Жыл бұрын
@@jasminsaid4142 una uhakika jihadharini na manabii was uongo
@sarahtaste28762 жыл бұрын
Eeh Mungu kupitia madhabahu ya arise and shine naomba Mungu unipe utulivu wa imani simwabudu Mwamposa naliabudu jina la Yesu Kristo
@sevefred14562 жыл бұрын
Amen amen
@mariammwamaso39842 жыл бұрын
Ameen
@boniphacemvungi93172 жыл бұрын
Jichanganye umepumbazwa
@neemakasawanga1259 Жыл бұрын
Hauna lolote, miujiza ndo iliyokupeleka.
@floraelias8769 Жыл бұрын
Umep9tea maana unaab7du anachokiab7du mwam0osa toka hko hrk ww
@ellyjoel9689 Жыл бұрын
Ubarikiwe Mtumishi kwa ujumbe mzito aliye na sikio ayasikie hayo ambayo Roho ayambia makanisa
@edwindaniel58322 жыл бұрын
Unavyo mfaahamu mungu kakobe ni kwa kadri mungu alivyo kujalia kumjua mungu Hana mwisho ufaamu wako ndio una mwisho mugu hufanya apendavyo sio wewe ufaamuvyo usimsengenye mtumishi na kama wewe ni mwema ulisha wai kumwita uka fanya nae mazungumzo toa Kwanza kibanzi jichoni kwako ndio uone boriti jichoni kwa mwenzio
@neemaemmanuel30482 жыл бұрын
Facts 💯
@johnmushi97663 жыл бұрын
Mi kweli mckilizaji tyuu c mwongelei mtu kwa ubaya wala mtumishi wa Mungu🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@anganilekajigilikajigili26413 жыл бұрын
Uko upande gani kukemea ama kuacha ubovu unaendelea maana Mungu ukimfwata kiroho na kweli njia zake ziko wazi😀😆
@christinaamosisakiluamosis2835 Жыл бұрын
Mungu nisaidie nifundishe kunyamaza nisinene neno lolote baya juu ya watumishi wa Mungu maana neno linasema usihikumu usije kuhukumiwa sina mamlaka ya kuwanenea watumishi vibaya Mungu ndiye anawajua wa lio wake
@MarryMarcel13 күн бұрын
Mungu akupe Maish Marefu baba yangu nakukubar mafundisho ykooo
@halmaharuna63 жыл бұрын
Aaah wee mwamposa noma alfu yeye ajiiti nabii mwaache aponye watu ata mim nimepona kweny madhabao ile maji mafuta saf tunatumia weka na ww maji mafuta mwamposa ❤❤❤mungu akupe umri mrefu mwamposa
@emmanuelchipanha67653 жыл бұрын
Bibilia gani imesema mafuta yanaponya??,
@pamerakinabo36463 жыл бұрын
@@emmanuelchipanha6765 kakobe we mbwaa tuu.mbonawewe ulikuwa unanyanganya watumishi wako cheni hereni za dhahabu.na kanisa lako ukifungua macho unakutana na majoka. Huna lolote wewe ndiyo tapeli mkubwa huna uponyaji wowote. Acga wivu mwamposa anaponyaaa na ha na utapeli kama wewe.
@jmsonlinetvmalya8713 жыл бұрын
Yes mungu anatutendea kupitia mafuta na maji
@godfreywilliam96733 жыл бұрын
@@emmanuelchipanha6765 lejea kwenye biblia
@abdullahhaji87793 жыл бұрын
Ww muislamu au mkristo
@brendagunder16623 жыл бұрын
Imeandikwa usimseme Mtumishi wa mungu vibaya...kila mtu na ufunuo wako nb dini safi niileinayompendeza Mungu😇
@khamismwalimu26813 жыл бұрын
Hawa wote waongo wakubwa wanawaibia wenziwao
@livingstoneberege33482 жыл бұрын
Imeandikwa kitabu gani? Je tuliache Karisa la BWANA YESU litumbukie shimoni //KWA TAARIFA YAKO ILE SIYO INJILI YA BWANA YESU //KATIKA KITABU CHA WA GALATIA PAULO ANASEMA NI INJILI YA NAMNA NYINGINE KISHA AKASEMA NA WALAANIWE (WAGALATIA 1:8-9
@claudiadismas44872 жыл бұрын
Nae kakobe anahistoria yake,alisemwa vibaya ila amesahau na kusema wengine
@helenmpali7137 Жыл бұрын
Sasa hii ya mwamposa inampendeza Mungu kweli??
@doricemtungi2773 жыл бұрын
Maji na mafuta yapo kwenye kumbukumbu la torati mbona ukikanyaga unakuwa na miguu ya shaba na leo nimekanyaga kwa mwamposa hatumuachi kamwe man of god mwamposa Asante kwa kutuponya
@mwalimunyemba61833 жыл бұрын
Oh pole kakobe umekwishs
@aidanmbilinyi81843 жыл бұрын
Poleni san wenznu tunpikia samaki na tunkunywa mafuta na samaki endlen kufata miujiza mtajuta sana kakobe tapeli na huyo mwamposa ni wale wale tu
@samwelnyankena98733 жыл бұрын
Mh kazi mnayo karbu sabato achanen na huo ujinga
@teresiamwita17883 жыл бұрын
Mmetuibia......Sasa hv Mmezidiana mnapigana madongo nyie mtakuwa kuni
@naomibuchanga90472 жыл бұрын
Yaan mm kwa shda nilizokuwa nazo hanishawishi kakobe bas na iwe hvyo
@barakanestory35212 жыл бұрын
Mwamposa ni mtumishi wabwana,nakatumwa na Mungu kweli, mwambie Mungu atakuonyesha.mwamposa na huyo unaye mtaja tofauti, mwamposa ni Moto.
@neemakigala35782 жыл бұрын
Hallelujah
@RehemaKasanga-vu5nj12 күн бұрын
Mzee nyamaza Jaman Mbona mnamtangulia Mungu kwenye kaz yake Hivi mmekuaje ninyi Watumishi wa MUNGU Watu wanachojua wanapona mwachen Mungu ajitwalie utukufu wake
@nyawawawanyawawa9353 жыл бұрын
Mtaumbuana sana. Hivi mnaoneana wivu kwa kuzidiana Mbinu upigaji, balaa lingine Wafrika hujifanya wenye dini kuliko walioleta Dini hususani Wanawake
@magrethpius85663 жыл бұрын
Jamani kwa Mtumishi wa Mungu Mwamposa maji ni bure mafuta ni bure Mwamposa yuko na Mungu kabisa,mm namkubali tena na muelewa sana, kupitia Mwamposa familia yangu imeponywa,tena kupitia TV.Na wewe hubiri habari za Mungu acha uongo wa kusema vitu vya kutunga na kuchafua watumishi wa Mungu
mmmh askofu kakobe hebu muhubiri Mungu tu hayo mambo ya Kusema watumishi wa Mungu hapana
@AdamLuoga20 сағат бұрын
Ninyi mnao sema mwamposa ni mtumishi wa Mungu imekufa kwenu mwamposa ni nguvu za ziada Toka malango ya kuzimu
@ynyynyyny2 жыл бұрын
Baba yangu kakobe Nakupenda lakini kwa mwamposa hafanyi biashara, bei ya maji ni Ile Ile ya kawaida na viwete wanatembea vipofu wanaona,kifupi tunafunguliwa sana sana
@markonjoregwa2617 ай бұрын
Nakupa pole
@taifaramadhan868415 күн бұрын
acha uongo ww. Viwete na vipofu bado wapo wengi sana mitaani na mikoani. wale ni vipofu na viwete wa kutengenezwa sio wa ukweli ukweli. yule ni muongo anawatapeli na kuwadanganya watu wajinga wajinga waso jitambua.
@taifaramadhan868415 күн бұрын
@@markonjoregwa261kabisa hakika. tena pole haswaaa. tuna haki ya kumshukuru sana mola wetu kua Waislamu alhamdulilah kwa neema hii ya Uislamu.
@ynyynyyny12 күн бұрын
Asiyejua maana haambiwi maana
@danielmchome15063 жыл бұрын
Wewe nimtumishi wa Mungu nafikiri hata wewe ulisemwa vibaya ulikatiswa tamaa,Pima unacho kiongea,kwanza usije ukawasema wenzako vibaya,kwa sababu Mtumishi wa Mungu hawezi hubiri neno LA Mungu akaponya kwa jina LA yesu afu tukasema nishetan ,Mungu sio mwanadamu,anatenda kama anavyo ona
@nightnessrobert205 Жыл бұрын
Fy
@godfreymwamaso24242 жыл бұрын
Ubarikiwe lakini tunamshuru Mungu watu wanaponywa anapolitaja jina la Yesu tumtie. moyo anaponya roho za watu.wa Mungu tumuombee. mtumishi Mwamposa anafanya kazi ya Mungu imeandikwa usihukumu usije.ukahukumiwa Amen
@davidmwambona29732 жыл бұрын
ameen balikiwa
@tinajj48812 жыл бұрын
Haaaaaaaaa utajibeba achanana mwamposa wewe sio level zako hizo 👌👌
@hamzaadrin9413 жыл бұрын
We mwenyewe mwizi kama mwamposa Sema mwamposa kakupokonya waumini ladhima ikuume
@anithakalumuna99653 жыл бұрын
Alikiibia nini? Anaongea ukweli
@aidanmbilinyi81843 жыл бұрын
Hao wote n wamoja story zao tunazo na shuhuda watu wamezitoa
@hoseaseif66023 жыл бұрын
Usione kibanzi katikajicho lamwenzko nawakati wewe unaboriti toa boriti yako Kwanza
@chifukimwelitvimam7233 жыл бұрын
Unacho kisema unauhakikaa ?
@prophetmlokozi46333 жыл бұрын
😅
@chichasam90323 жыл бұрын
Ushafuliaaa kakobe achaaa wenzio na wao wapige helaaa
@lestutaleo72203 жыл бұрын
Atulieee dawa ya mwaposa imwingie, kwa ss habar ya mjin Ni mwaposaaa
@matorahusseni9363 жыл бұрын
Laaillah ilallah Muhammad allasullullah kama unamwamin Allah usiache kulaik
@vumiliamwakasyuka29112 жыл бұрын
Mko sawa baba.acha tuu
@danielmbughi2682 жыл бұрын
Allah sio mungu wakweli Bora ungemjua yesu mwana wa mungu wa kweli
Kwan kupona ndio nini Kwan hata Kwa mganga wa kienyeji SI unapona sisi hatuhoji kupona sisi tunahoji njia anazotumia kukuponesha je ni za mungu kweli au laaa?
@teklahyela45762 жыл бұрын
Mungu ndo hakimu wa wote Amina
@salomeshila36713 жыл бұрын
Kakobe umechanganyikiwa kweli acha wenzako wamuhubiri kristo kamq wewe umeshindwa jua kila nabii anaufunuo wake mungu aliempa kwahiyo wewe unaufunuo wako na mwenzako nae kapewa kivyake acha hivyo
@rosehaule2202 жыл бұрын
Yy mwenyewe alifanya hayo nyuma je tusadiki.kwamba na yy alikuwa akipelekewa taharifa tuamini.miujiza hipi mmmmh
@margaritoraphael38052 жыл бұрын
Wivu tu huo ..Kakobe mhubiri Kristo acha kuhubiri watumishi wa Mungu...Yupo atakae wahukumu na kuzichambua kazi zao
Very man of God yafaa tuombe mungu jamani maana siku zamwisho ndio hizo Sasa
@sophiapeter43083 жыл бұрын
Hubir Neno la Mungu acha kumponda mwenzako
@paulchibona80203 жыл бұрын
Amina
@frankmosha5854Күн бұрын
Acha mzee achape kazi
@user-mn2hb7xt9k11 күн бұрын
Roho ya wivu. Huleta anguka hata kama mungu alikupa chako. Kapumzike mzeee
@AnabAbdallah-ii7ou3 ай бұрын
Nampenda sana mtume mwaponsa mpaka ni ingie kabulini
@nancymorenje38803 жыл бұрын
Amesahau alikuwa nakusanya pete za watu za ndoa. Ndoa za watu wengi zimevunjika. Mungu hajakutuma uhukumu, we chapa injili utaeleweka
@unjushekimweri67873 жыл бұрын
Kakobe alikiri mbele za watu
@amirikoshuma30393 жыл бұрын
Na mwamposa akiri alihusika kwenye ajali ya kukanyagana kisa mafuta
@emmadora78483 жыл бұрын
Waliodanganywa ndio wajinga
@oscarphilip24283 жыл бұрын
Injili ni pamoja na hicho anachokifanya, kuwahubiria watu waijue kweli.
@nancymorenje38803 жыл бұрын
@@oscarphilip2428 Nikweli kabisa Oscar, kinacho tusikitisha ni pale Mtumishi wa Mungu unaposimama kwenye Madhabahu na kumsema Mtumishi mwenzie. Kama vile yeye ni kipimo cha haki, wanasahau haki ni ya Mungu. Ukiamini na kuona Mwenzio anakosea mfuate kwa upendo umwambie kile unachokiona hakikosawa kwako na si kwake.
@kelvinmapunda25892 жыл бұрын
Mwamposa anatibu kwa kukwambia muamini Mungu utaponywa kwa damu ya yesu tatzo lipo wapi ni maji tu au Kuna mengine?.
@lucykapinga369 Жыл бұрын
Kama siyo tatizo chukua mafuta nyumbani kwamko yatamkie hivyo na umuamin MUNGU Anaishi hakika pia yata fanya kazii kikubwa kinachotakiwa watumishii watangaze injiliii kisawa sawa Tuache dhambi tyuvae silaha za MUNGU Tupate kuzishinda hila za Shetani .TUWEZE KUVIOMBEA WENYEWEEEEE AYOMAVITYUU UWAyanatokea waaapii
@lucykapinga369 Жыл бұрын
Tukuwe kirohoo zambi tuacheee
@laurencemwanga6441 Жыл бұрын
Asante kwa kuona Hill. Watu wa Mungu wanaangamia kwa kukosa maiarifa, wanataka miujiza hawana haja na Mungu.
@magrethmallya77283 жыл бұрын
Karibuni sana ROMAN KATOLIKI. Huku maji ya baraka ni Bure kabisaa.
@fabianbenardngatunga27132 жыл бұрын
Kweli tulibatizwa kwa maji tumekombolewa kwa damu ya Yesu mengine ni uwongo
@rehemadaudi7423 жыл бұрын
Pole kwenu msioongozwa na roho mtasikia mengi,
@ibambasymanyama49143 жыл бұрын
We unaonaje anaongea ukweli au la?
@dibabatv57613 жыл бұрын
@@ibambasymanyama4914 yupo sahihi ndyo
@ernestkipenya42383 жыл бұрын
Mungu akusamehe bure ewe KAKOBE kumsema vibaya mtumishi mwenzio sio jambo jema hata kidogo. Napenda kukutia moyo ewe mtumishi wa Mungu Bulldozer Mwamposa kuwa hata Yesu alitukanwa na kudharauliwa sembuse wewe'! Tuko nyuma yako piga kazi, Mungu yu pamoja nawe, kwani yeye ndiye anajua alikuleta hapa kwa makusudi gani.
@carolinederi56902 жыл бұрын
Kwa nini watu awajiulizi wale walio tutanglia kuokoka awatumii mafuta wala maji wala awamiliki magari wala mali kwa nini hawa watumishi wa 20century wapita wazee wao kiinjil kwani theolojia ya bible si moja au nini?....
@immaculatejohn99062 жыл бұрын
@DOMKY INFO yaan hawa watu wamefungwa fahamu cjui wamelogwa dah
@verenavedasto7385 Жыл бұрын
Kumbe wachungaji ampendani mungu akusamehe kabisa soma Bible vizuri utaona mafundisho ya mafuta na maji
@rehemajuma4301 Жыл бұрын
Ikiwa mwamposa anatumia ushirikina kuponya basi ushirikina wake ni kiboko 💪ndio ninaouhitaji wengine ni feki. Mtume Mwamposa Mungu AKUPE umri mrefu kwa maana huchagui dini Wala kabila.mungu U pamoja nawe✌️
@endrualay67972 жыл бұрын
Kakobe hiyo siyo kazi yako acha magugu na ngano vikuwe pamoja mwenye kazi hiyo anafahamu lakuanya
@gracemwakibolwa7910 Жыл бұрын
Kabisa ndugu sio kazi yake atulie hata yy wanamsema hivyo hivyo.
@chayogasperi97833 жыл бұрын
Watu si wanapenda miujiza , acha waibiwe .
@Moon-rp5tm3 жыл бұрын
Aki naenda kusomea uchungaji maana ndo makolo walikoamia
@michaelnzunda73473 жыл бұрын
Ona.. ona.. akiona kibanzi kwenye jicho la mwenziwe anasahau kutoa boriti kwenye jicho lake
@fabricehavugimana32963 жыл бұрын
Uyu nimutumishi wa mungu
@mahewamahewa64613 жыл бұрын
Acha kuropoka
@schollastickamathanacki60622 жыл бұрын
Yesu lisaidie kanisa lako Mimi naogopa Sana hakika ni nyakat za mwisho watu wengi wameikimbia kweli 😭😭😭wametimukia huko kwenye mafuta
@janemagogo52192 жыл бұрын
Angalia neno linasemaje kwenye Biblia mengineyo tumwachie yeye Mungu aonaye motor hata viuno.
@mecklinmalawandu186 Жыл бұрын
Baba askofu tuna kuheshimu wafundishe waumini wako neno la nungu acha majungu kanisani,tumia kipawa chako ulicho pewa na mungu,sio kuwajaza chuki kondoo wako kwa watumishi wengine wa mungu,fanya yako baba,kama ulivyokuwa unafanya kipindi cha nyuma
@ericamwkyokile46812 жыл бұрын
usimpige vita Mwamposa.Injili ni ileile ila Mungu anatoa ufunuo na kumgawia mtu karama vile apendavyo
@esterkyando42752 жыл бұрын
Mwache mwaposa mbona wewe ulichuwa dhahabu zawatu
@shalomsichone6728 Жыл бұрын
Nisiku za mwisho wengi wataacha kweli na kufwata tamaa zao wenyewe
@halmaharuna63 жыл бұрын
Yeye aigize ni kwel kabisaaa mwamposa anaponya
@tifababynchimbi84543 жыл бұрын
Anayeponya Mungu peke yake
@asmahassan10443 жыл бұрын
Karibun kwa waislam hakuna makuu leo nabii huyu kesho huyu.😄😄😄😄😄😄
@stevec.s.majessah16262 жыл бұрын
Huyu amesahau yeye pia alikuwa akiuza na kuombea leso na nguo, kuwapa kina mama kuwashawishi kimiujiza waume zao wahamie Kanisa lake! Hana tofauti na Mwamposa.
@felistawilliam67372 жыл бұрын
Nyiee mponden mwezenu Alafu Mungu anamuinua zaidi na said kila itwapo leo
Tena huyu alivuka mipaka akawa anafanya watu kma misukule anawavalisha nguo nyekundu na nyeupe huyuuu baba alikuwa anafanya uchawi mpk watu wakaingilia kati ndio kufungwa kanisa alikuwa anawaingiza watu kwenye uchawi live
@anganilekajigilikajigili26413 жыл бұрын
Utatamani ukimbie ndio ulipotezwa mazima🤣🤣
@user-ng6yt2od7l3 жыл бұрын
Tangu mwaka 208 natembelea magongo nimepona mwaka 2018 sinaulemavu tena Arise and shines kiboko yao Mwamposa Mungu akulinde na akutie nguvu pambana mpaka kieleweke shetani ataisoma namba
@Churchofecclesia3 жыл бұрын
bora hata umeongea, hawa kaz yao ni kukandiana tu, pkea uponyaj tembea, BWANA atukuzwe sanaa
@marwamwita76733 жыл бұрын
👍 Mwamposa ni MTUME wa Mungu ametusaidia wenge na anahekima sana huwa apendi kuwasema vibaya watumishi wenzake na ametufundisha sisi pia tusiwaseme watumishi wa Mungu vibaya. KAKOBE MUNGU AKUPE HEKIMA NA UPAKO WA KUFICHA.
@charlesmakulumo2333 жыл бұрын
Acha utapeli na ww au mwamposa Ni hawala yako?
@tymchanneltv11433 жыл бұрын
Mafuta ndio yenye kufanya kazi ila sio mwamposa, kwasababu mafuta hayapatani na uchawi pamoja na majini na yanatengenezwa na kuuzwa duniani kote. Kama ukilogwa mafuta yanatoa uchawi. Ni utapeli na pesa wanaitafuta na wanailamba. Muislamu akienda kwa mwamposa hakuna tofauti na akienda kwa mganga kote huko Ni Haramu. Na Ni shirki,
@Churchofecclesia3 жыл бұрын
@@tymchanneltv1143 sio kila mafuta, mafuta yanayotoa uchawi na majini ni yalioombewa kwa JINA LA YESU KRISTO, vingine kama hayajaombewa kwa jina la BWANA WA MAJESHI, hayawez kufanya kaz, na ndo maana pia kuna mafuta ya kichawi, mafuta ya kifreemason
@rahmbanzi6202 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa mafundisho lakn mafuta ya mwamposa ni mafuta ya kawaida kabisa na maji ya kawaida kabisa Kama hayo ya nyumbn kwako kikubwa ni ile nguvu ya upako iliyoachiliwa ndani ya mafuta na maji alaf Nina swali kwako mbona tumepona ? Mbona tumefunguliwa vifungo vilivo tutesa kwa miaka mingi nyumba zetu zimefunguliwa ndoa zetu zimepona watoto wetu wamefunguliwa ? Usimuhukumu mtu iyo ni kazi yamungu
@user-ng6yt2od7l2 жыл бұрын
Wambie kina Tomaso walikuwepo yangu zamani hao na hawata Amini kamwe maana ndowalivyo💃💃
@zahirinashoo88132 жыл бұрын
Asiwatishe watu waende wasinunue maji wala mafuta ya pale wachukue ya nyumbani kwao yaachiliwe upako na wataponywa nakufunguliwa
@estermathias83543 жыл бұрын
Kwakwel maji hpn.💃💃💃💃yesu anatosha
@gracengonde85533 жыл бұрын
Huyu sialiweka pesa za watu mpaka Jana zikajaa
@Churchofecclesia3 жыл бұрын
mtakufa kaeni hvohvo, ndo maana mnakung'utwa na nguvu za giza, watu wa giza wenyewe wanatumia maji na mafuta yao ya kichawi, vp kuhusu sisi WANA WA MUNGU(BENEHA ELOHIM), je sisi sinzaidi ya wao, watu wa giza wameyaiga kwetu, lkn sisi watu wa YESU ndo tnajiganya ooh YESU anatosha, ni sawa YESU anatosha, lkn maandiko yanasema imani bila matendo imekufa nafsini mwako, unasemaje unamwamininYESU KRISTO, halaf hyo imani yako huionyesh kwake, unapomwamin YESU anza kuamini na vifaa vyake vitakatifu, maji, mafuta, udongo, chumv, vitambaa, nguo, maandiko yenyewe yameweka waz kuhusu hv vtu, mitume walitumia nguo kuponya watu, wakatumia na mafuta kuwapaka watu baada ya kuwaponya, kwann sisi ndo tunajifany hatutak, KRISTO YESU mwenyewe anasema ROHO WA BWANA yuko juu yangu kwa sabab amenipaka mafuta, sasa sisi ndo tunajifanya hatutak kutumia, ndo maana mnagandamizwa na nguvu za giza kwa sabab ya ubish
@happinessmwenda27733 жыл бұрын
HONGERA BABA NYUMBA YAKO PALE BARABARANI NI NZURI SANA MZEE.YESU ATAONDOKA NA WACHACHE
@priscamdindile36793 жыл бұрын
Nakukubar sana mtumishi wamungu
@gloryrestorationministrygr63742 жыл бұрын
Nani anakumbika saa ya maajabu kwahiyo baada ya saa ya maajabu sasa mzee wetu katulia mwamposa msikilize mzee kakobe alikutangulia kwenye izo izo ishu kwahiuo kakobe akiongea kitu inabidi muelewe. Mimi sasa hivi namwamini kakobe sio yuye wa saa ya maajabu huyu sasa ndo halisi big up baba
@magdalenalumolwa9916 Жыл бұрын
Uko kwenye madhabahu hubili neno la Mungu, acha kumsema mtumishi Mungu ndo muhukumu, ki ukweli mwamposa ni mtumishi wa Mungu
@witnessombetu6703 жыл бұрын
Ubiri neno na sio watumishi wenzio machafuko ni mengi Kuna kundi kubwa la wenye mahitaji wagonjwa makahaba majambazi tulishe chakula na sio wahubir
@cassianaltho14833 жыл бұрын
Kwa hivyo mchungaji anapokosea hapaswi kukosolewa si ndio?
@nyahingapeter88353 жыл бұрын
Kwan hayo so mahubiri
@ericbadu37263 жыл бұрын
Ndugu, tatizo la kuweka imani katika vitu vingine badala ya Yesu Messia. Yesu alisema tumuabudu Baba katika kweli na Roho. Ukiongozwa na Roho Mtakatifu hakuna binadamu atakaye kudanganya. Kama ni watu kupona, inatokea lakini sio kila mtu anaepona. Yesu ndiye mponyaji na anajua kwanini anaruhusu wengine wapone na wengine wasipone. Yesu mwenyewe hakumponya kila mtu alivyokuwa anafanya kazi yake duniani. Ila aliweka njia ya binadamu wote kupona na hukumu ya moto wa jehanamu kwa kutoa uhai wake. Kikubwa tuikubali hii neema tuliyopewa na tuache haya malumbano ya pembene.
@magesantejo3509 Жыл бұрын
Ok
@user-lb6tw9tl2v8 ай бұрын
Kakobe mtumishi wa Mungu kwelikweli kina mwamposa waganga tu
@graceifuja43314 жыл бұрын
Amen,kkwel ya Mungu iwaweke huru
@sarunyanda17412 жыл бұрын
Wivu tu umekujaa mzee
@richardboaz-mashagospel23463 жыл бұрын
Kwa ujumbe huu mimi ni mtoto wa Bishop Amon Lukama Redeemed Gospel church binafsi nimekuelewa sana sana sana sana....huo ndio uongo wa shetani ameuingiza kanisani. Wateule tuamke!
@saramungumwemakweliametend50893 жыл бұрын
Wewe ndo umesema kiekima Kaka laiki zingine duhu
@neemakigala35782 жыл бұрын
Kasome wakorinto wa kwanza ukaone jinsi Mungu anavyogawa karama but roho atendae niyuleyuleee...kuwa mtoto wa bishop sio kumjua Mungu...imani na kiyajua maandiko ndio siri ya kupokea nguvu za Mungu....tuwaheshimu watumishi wa Mungu...sio sisi tulowatumaa
@richardboaz-mashagospel23462 жыл бұрын
@@neemakigala3578 karama ya kuvaa barakoa na kuogopa corona? Maana mwanajeshi huyu anakimbia adui corona akiungana mkono na watu wa dunia kukimbia.....haya nguvu yake ilikua kwenye barakoa? By the way nahisi umeshaambiwa tayari na wale waliomwambia yeye kua barakoa ni deal leo wamebadili msimamo wamemwambia tena najua barakoa sio issue...je ni Mungu alisema naye juu ya barakoa kuvaa au kutovaa? Je Mungu wake anabahatisha kama wanadamu? Hapana kitu hapo, karama ya barakoa sitaielewa bora askofu gwajima alivyosimama na kiukweli aliishinda corona, hofu na mauti kwa jina la aliye juu sio kwa barakoa. Bye
@lucasmabula83402 жыл бұрын
@@neemakigala3578 unafikiri kila mtumishi ni mtumishi wa MUNGU kasome kitabu cha MATHAYO 7:21-23 utaona jinsi gani YESU anatoa tahadhari anasema anavyotoa tahadhari, usifikiri kuwa Kila alitajae jina la YESU ni mtumishi wa MUNGU la hasha wengine no mawakala wa shetani
@yuventmpiru7738 Жыл бұрын
Mtoto wa kuzaa au nawe umeshajisahau kusema mtoto wa Yesu Kristo
@SaraKalinga-i6v6 күн бұрын
Mwachen mtumishi hubili neno
@dianasago9214 Жыл бұрын
Ukisha jiingiza kwa hao matapeli eti manabii hata ukiiambiwa husikii unaona kama mchungaji wako anakudanganya au padri. Hao watu ni matapeli si haba nikimkumbuka kuna nabii alitokea mwanza akajiita Baba god leo hii hayupo sijui kashafia na wapi. Vya shetani havidumu. Tumjue sana Mungu ili tuwe na Amani 🙏🙏
@kapeljjkapeljj54073 жыл бұрын
Huyu naye akae kwa kutulia wakat yeye alkua anawaambia watu watoe dhahabu zao wakiingia kwenye kanisani lake apo mwenge atuache na MWAMPOSA wetu anatusaidia sana aacha uongo maji gan yanauzwa kwa laki du baba umetisha.hubir neno la Mungu acha kumsakama mwenzio
@shalompeter59832 жыл бұрын
Wanafanya biashara ya maji cyo kumuhubir krsto
@allyhamisi63943 жыл бұрын
Mtume wa mwisho ni MOHAMMAD acheni kudanganya watu halafu muogopeni Mwenyezi Mungu aliye wapa pumzi na nguvu ya kudanganya hao watu basi
@josephmusagasa55663 жыл бұрын
Soma Biblia utaelewa
@naimaabdallah94913 жыл бұрын
Muhammad mwenyewe muongo
@allyhamisi63943 жыл бұрын
@@naimaabdallah9491 🙏🏾
@elizabethfatuma90532 жыл бұрын
Amen ukweli njo uwo Wateule tuwe Macho
@biggboss864423 сағат бұрын
Hapo ume chemsha mwamposa ni moto
@charlesphiliph5283 жыл бұрын
Wacha basi wivu,hubiri injili basi.Muhubiri YESU.Hata YESU aliambiwa anatoa pepo kwa belizebuli.Mwamposa hata bishana na wewe,yeye Ni mbele kwa mbele.Watu Mtwara wanapokea, Zanzibar nk.wanapona kupitia TV.
@robinahumphrey97253 жыл бұрын
Wewe unayemwambia ivyo...unamjua au unamuona kwa picha...??? Nakupa shauli katubu.....acha Baba awapize waache utapeli...waganga wakienyeji wameingia makanisani.
@khalfanifarisy1193 жыл бұрын
Matayo 24:4,5 kwanini hamzingatii maonyo ya Yesu? Matayo 24:24 Hakuna Nabii Sasa hivi baada ya Muhammad. Matayo 7:22,23 ngojeni kukataliwa.
@marrypatrick32763 жыл бұрын
Sikuwahi kumwamini huyu mzee Ata siku moja
@janethmasawe7863 Жыл бұрын
Yy mwenyewe Ni tajiri wa kutupa angalia lile jumba lake la kifahari alilonalo tuhubirieni injili malumbano msiyape nafasi zamani yy alijaza kanisa Kama mwamposa kila nabii anakuja kwa wakati wake na atapita na watakuja wengine fahamu pia wapo manabii wengi walikuja na wamepita
@boniphacemjanja403 Жыл бұрын
Kinacho ponya no Imani tu ukienda kwa Imani unapona, kwani hata yesu kipofu alipo mwendea yesu kwaimani alipo mgusa macho take akaona nakamwambia enenda Imani yako imekuponya hivo kinacho tupeleka kwake ni matatizo tulio nayo ili atuombee naana yeye mungu amemtuma kuja kutukomboa Kama alivo tumwa Musa kwa Wana wa isilaeli au nuhu alivo ambiwa kutengeneza Safina
@eliakazilo60786 ай бұрын
MCHUNGAJI Kakobe upo sawaa..Mimi naona shetani yupo kazini.tena Ana nguvu.kinachotakiwa MCHUNGAJI Kakobe Ni kuvunja nguvu za shetani nal Mwaposa.kulalamika haitoshi.maana ule umati unaojwenda kwa Mwamposa sio rahisi kuuharibu..fanya maombi ya nguvu,kwa jina la YESU KUVUNJA NA KUHARIBU.tai hufuata mzoga....a.k.a kusiki nikwae
@epifaniamilinga28483 жыл бұрын
Watumishi wa mungu mmefika pabaya.kila siku kusemana.mnamwabisha Kristo.wanawashinda hata wanasiasa.jaribuni kukaa pamoja,mmtukuze mungu
@suzanasunday38552 жыл бұрын
Kabisa wanamuaibisha Mungu
@davidkasambala25752 жыл бұрын
Uyu kakobe kawaibia sana waumini wake zaabu
@jenipherkaramba7250 Жыл бұрын
Mwacheni mwamposa wetu .Mtabaki na utopolo wenu Tu.
@nivermwangajile43573 жыл бұрын
Angalia sana mzee simama na imani yako
@muelimishetv53373 жыл бұрын
Amina baba mungu akubaliki
@stevenmkomwa6333 жыл бұрын
Wewe mwenyewe ndio walewale we mara ya mwisho kufika kwenu kigoma lini na kunakanisa lako kule acha kuzungumzia maisha ya watu hubili mambo ya mungu kwani kwenye biblia maji na mafuta hayaja zungumziwa soma ISAYA 10:27,soma MARKO 6:13 hayo yalikua mawe sio mafuta
@constantinohaule29982 жыл бұрын
Ulisahau Samweli alimpaka mafuta Daudi
@lucykullaya12813 жыл бұрын
Paulo mtume wa NYAKATI hizi,,,,,, am so proud you BISHOP
@mosesbonamsafi5047 Жыл бұрын
karibu FGBF
@NaomiAgreey5 ай бұрын
Manabii mitume wachungaji mashemasi makuhani tupendane tufanye kazi ya mungu kwa upendo maana mungu wetu ni mmoja, kila kitu kwa mungu kiko wazi ukifanya kazi yako kiukamilifu na kutii amri za mungu utapata kibali
@deputyarchbishoppatriciaki84242 жыл бұрын
Ukweli usemwe katika JINA KUU LA YESU. Asante Mtumishi wa MUNGU umeliona hili, unabii wa uongo nimeingia na akapoteza Kanisa la BWANA
@rachelmpimbe13312 жыл бұрын
Clear Malisa alinitabiria bila hata hao vijana maana sikuaga mtu kwamba naenda hebu acha kusema watu vibaya
@rachelmpimbe13312 жыл бұрын
Halafu wewe si ndio watu wanakusikiliza kupitia tv hawaruhusiwi kukanyaga madhabahu jamani? Halafu Yesu aliponya hadi kwa matope ninini shida kwenye maji kwani!!
@monicaisaya61433 жыл бұрын
Mimi namsikiliza Mungu binadamu mtanifanya nitangetange maana kilamtu anakuja na yake Mungu atusamee kweli🙆🙆
@faithyhilary12593 жыл бұрын
Mungu azid kutuhudumia
@khalfanifarisy1193 жыл бұрын
Mungu yupi? Maana hata Yesu ameitwa Mungu na Paulo au Mama yake Maryamu mwana wa Imran?
Beans asifiwe,,baba askofu,,naomba niweze kukutana naww,,naitwa Paul kutoka Kenya,, ukiosta ujumbe huu,tafathsli unijibu
@peteralbert56362 жыл бұрын
Acha vijembe Fanya kazi ya Mungu.hayo unayoyaongea unampa faida shetani,
@paskalmagiri44663 жыл бұрын
Mark 6;13 isaya 10;27 Yesu alitumia mate na matope naamani alipona kwenye maji kila kitu kikiombewa kinatumika panua ubongo
@gestinabunganiekuya63003 жыл бұрын
Yesu alifanya hivyo lakini alikuwa akifanya muujiza kupitia maji, alikuwa harudii kufanya muujiza mwingine kupitia maji hayohayo tuombe roho mtakatifu atupe macho ya rohoni tupate kuona shetani ametupiga upofu hatujielewi tulio wengi tunafata miujiza hatutafuti ufalme wa Mungu. Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kusema ukweli.
@elishakayagwa93713 жыл бұрын
Acha ujinga, Yesu aliponya watu wangapi wenye tatizo la macho kwa tope? Funguka ww hapo uliyelala
Na hapo ndio unapokosea hivi kweli imani yako sahihi ? Huyo unaemfananisha na yesu wanaendana ?
@elishakayagwa93713 жыл бұрын
Uko sahihi sana Kakobe, Mtukuze Mungu aliyekutoa huko hata ww ila hapo kwenye chanjo umerudi ahela moja kwa moja
@mwelumanguli87142 жыл бұрын
Wewe mwenyewe ujihoji kwanza kabla hujamnyoshea kidole😂😂
@barakaalex27192 жыл бұрын
Ivii akitokea mtumishi saivi akampaka mtu tope la mate yake mtasemaje? Lakini yesu alifanya ishara kama hizo hamsemi... Ukistaaafu staafika.. Na Mungu atakupa thawabu amen
@pascalnicolaus69863 жыл бұрын
Umesahau moja,Kuna maombi ya pesa mara laki mbili mpaka ya tsh 1000:Kama unachagua simu au bidhaa.ahnsante pia mwimbaj Pascal casian
@glorybonifasi37043 жыл бұрын
Ni kweli siku za mwisho tuombe sanaa Mungu tuone mm nimeona
@julianapatrick79112 жыл бұрын
Watumishi wa Mungu mpemdane najua ulikuwa wakwanza ila kilamchungaji na namna yake. Freedom of worship
@evaristmbuya62202 жыл бұрын
Acha kutetea matapeli
@lilianmugyabuso89082 жыл бұрын
Anasema ukweli mtupu Kakobe
@festinamwakipale39192 жыл бұрын
Pambana na shetan sio kupambana na watu wa Mungu hao unaowasema wapo ila hawalihusu kanisa hizo nyumba hawatamzikia ni ubatili na hao manabii wa namna hii wanakuwa ni mashetan yanajigeuza kuwa manabii ila atapambana nao Mungu mtume paulo anasema hawatasonga sana mtumishi achana nao.hao tuhubiri injili
@yusuphmruma12322 жыл бұрын
Mbona sasa unasema Siri zenu hakuna watu wanashikwa masikio km wakristo kwl mungu asante sn kutupa neema ya uislam
@Pihansmo11293 жыл бұрын
Mwamposa uko sahihi. Tangu lini mganga akaagiza matembele🤣🤣😂🤣
@user-ng6yt2od7l3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@user-ng6yt2od7l3 жыл бұрын
Mganga anaagiza kuku na mbuzi
@emmanuelgontako59673 жыл бұрын
Sema Mtumishi wa Mungu, watu wapone. Tuwaze kuingia mbinguni.
@abuuanswaaronlinetv47472 жыл бұрын
Unaumwa sana wewe hakuna karifir lolote litakwenda mbinguni nyoote motoni