ASKOFU MKUU MSTAAFU JOSAPHAT LUI LEBULU AKIONGOZA KONGAMANO LA ROHO MTAKATIFU PAROKIA YA MBANDE-DSM Ni Kongamano la Roho Mtakatifu kutoka Viwanja vya Parokia ya Mtakatifu Yakobo Mkuu Mtume, Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam.
Пікірлер: 8
@user-fw8wm2xd8x2 ай бұрын
Asnt baba
@anatorylukosi9359 Жыл бұрын
Baba asante Sana KWA MAFUNDISHO MAZURI, KUHUSU karismatiki. Kweli Kuna BAADHI ya wanakarismatiki hujisahau KABISA na kuanza kuona wao ndio wenye NGUVU KATIKA KANISA ,,WANAONA HATA mapadre wetu Kama hamna wanachofanya. Kwa MAFUNDISHO haya NITAKUWA MWALIMU MWEMA..AMINA.
@lucidtv95 Жыл бұрын
🙏🏾🙏🏾 Amina
@jasiriasili369410 ай бұрын
Amina baba
@lucidtv9510 ай бұрын
🙏🏾🙏🏾
@audifansisafari55876 ай бұрын
Asante baba kwa mafundisho yako
@lucidtv956 ай бұрын
Amina🙏🏾🙏🏾
@user-qz5ch8ke4c Жыл бұрын
Asikofu mungu akupe nguvu yakutumikia sawasawa maana maisha yakuishi kikilisto ni kazi sana maana shetani Yuko kazini anapambana nawanao mkataa