Рет қаралды 16,184
Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Katoliki la Arusha, JOSEPHATI LEBULU, akitoa ufafanuzi Juu ya Chama cha kitume cha Uamsho ndani ya Kanisa Katoliki (KARISMATIKI KATOLIKI), Anasisitiza zaidi kujikita katika kusoma maandiko Matakatifu, usipofanya hivyo maana yake Umefilisika Kiimani
Aliyasema hayo katika Adhimisho la Misa Takatifu la Pasaka, kwenye Kongamano la Pasaka la Kimataifa la Vijana wa Umoja wa Vyuo Karismatiki Katoliki 2024....Jimbo Kuu Katoliki la Arusha
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC @karismatikikatolikidar @umojawavyuonavijanakarisma8672 @JugoMedia @radiomariatanzania @tumainimediatelevision976