Рет қаралды 822
Amesema hayo katika Kigango cha Watakatifu Petro na Paulo Mazinga, Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Ulimwengu- Kijwire Jimbo Katoliki Bukoba, katika ziara ya kichungaji katika Parokia hiyo.
Askofu Mwijage anafanya ziara ya kichungaji kwa siku nne kuanzia July 4-8 2024, katika Parokia hiyo lengo likiwa ni kuimarisha masakramenti mbali mbali katika Parokia hiyo, kutembelea vigango na kufahamu maisha ya jumuiya ndogo ndogo za Kikristu katika Parokia hiyo.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja