Рет қаралды 939
Homilia ya Askofu Jovitus Mwijage Askofu Jimbo Katoliki la Bukoba, wakati wa adhimisho la Misa takatifu ya Sakramenti ya Kipaimara katika Parokia ya Kasherelo Jimbo Katoliki la Bukoba, misa itakayoambatana na uzinduzi wa nyumba ya Mapadre katika Parokia hiyo.
Misa takatifu imeadhimishwa na Askofu Jovitus Mwijage Askofu Jimbo Katoliki la Bukoba ambapo Jumla ya watoto 234 wamepatiwa Sakramenti ya Kipaimara.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja