Ni mfulilizo wa afundisho ya kila juma kutoka katika Kanisa kuu la Bukoba, Mafundisho haya hutolewa kila Alhamis saa 11 Jioni katika Kanisa kuu la Bukoba Jimbo Katoliki la Bukoba, www.radiombiu.co.tz #RmSautiYaFaraja
Пікірлер: 23
@manjaugodwin78342 жыл бұрын
Mungu akubarıkı sana sana.
@alexandergresmo2656 Жыл бұрын
Mungu akubariki dct Kamgisha
@manjaugodwin78342 жыл бұрын
Nabarıkıwa sana mtumıshı na mafundısho yako.
@mariamakoye90662 жыл бұрын
Asante Kasisi
@evodiastephano2926 Жыл бұрын
Baba Mungu amubariki kwa mafundisho Yako mazuri unaendelea kutubariki
@epifaniamilinga28482 жыл бұрын
Asante Sana padri.Endelea kupiga injili.ndivyo inavyotakiwa.siyo Jumapili kwa Jumapili.tena kwa SAA.Asante kwa neno.
@dominicblass43192 жыл бұрын
Tyk baba, mungu azidi kufungulia ufunuo ili utuelimishe zaidi
@ElishaKasambo-yu5jt Жыл бұрын
Ubarikiwe baba
@missphilip-vh2xp Жыл бұрын
Ameeen mtumish wa bwana
@paschalmiligo38962 жыл бұрын
Baba kamgisha asante kwa utume wako.
@edgarlupumbwe64362 жыл бұрын
Amina baba padre
@Udindigwa2 жыл бұрын
Amina Baba
@irenemashallo23112 жыл бұрын
Thanks alot Father....
@charlesadongo38852 жыл бұрын
Since I bumped into your teaching always Feeling encouraged from Kenya
@simonyombo33472 жыл бұрын
Amina mtumishi Bwana Yesu akutie nguvu
@agnessima50329 ай бұрын
Nimejifunza kitu..kumbe Mungu is not limited by SPACE!!
@dominicblass43192 жыл бұрын
Tyk baba, tunamshukuru Mungu ndani ya kanisa kuwa na mtumishi Kama wewe unayetuelimisha,unayetufundisha masomo mbalimbali.
@AlexPaschal-m4pАй бұрын
Baba
@trophywilson72112 жыл бұрын
Na mimi nitajibiwa hakika ,Asante saana Baba Padre napenda Mafundisho yako na wewe usiikose Mbingu kwa kujitoa kwako kuhubiri ili watu waokoke ,Naamini Unakohubiri Waumini wataacha pombe na Wampokee Roho mtakatifu ili Waje Wauone Ufalme Wa Mbinguni
@sarahmsangi72432 жыл бұрын
" nimesoma kwenye shule ya kikatoliki sikuwahi kujua kama pombe ni ruhusa ,miaka yote juzi nikiwa safarini siti moja na padri nikawa namuuliza maswali akaniambia kwa wakatoliki pombe ni ruhusa kunywa akaniambia mimi ni padri lakini nakunywa pombe lakini sio muda wa ibada
@sarahmsangi72432 жыл бұрын
" hakika nilishangaa sana padre kuniambia kunywa pombe sio dhambi nikamuuliza kwhyo kwa mkatoliki kunywa pombe sio dhambi na kumiliki baa sio dhambi. Padre Kamugisha umepewa neema ya kufundisha sana MUNGU akubariki