Padre Dkt Kamugisha: "Kuna matunda ya Ulimi" Malaika wanakuja kama watu/Muda wa ziada fanya kitu.

  Рет қаралды 20,214

Radio Mbiu

Radio Mbiu

2 жыл бұрын

Ni mfulilizo wa afundisho ya kila juma kutoka katika Kanisa kuu la Bukoba, Mafundisho haya hutolewa kila Alhamis saa 11 Jioni katika Kanisa kuu la Bukoba Jimbo Katoliki la Bukoba,
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja

Пікірлер: 23
@manjaugodwin7834
@manjaugodwin7834 2 жыл бұрын
Mungu akubarıkı sana sana.
@alexandergresmo2656
@alexandergresmo2656 Жыл бұрын
Mungu akubariki dct Kamgisha
@manjaugodwin7834
@manjaugodwin7834 2 жыл бұрын
Nabarıkıwa sana mtumıshı na mafundısho yako.
@mariamakoye9066
@mariamakoye9066 2 жыл бұрын
Asante Kasisi
@evodiastephano2926
@evodiastephano2926 Жыл бұрын
Baba Mungu amubariki kwa mafundisho Yako mazuri unaendelea kutubariki
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 2 жыл бұрын
Asante Sana padri.Endelea kupiga injili.ndivyo inavyotakiwa.siyo Jumapili kwa Jumapili.tena kwa SAA.Asante kwa neno.
@dominicblass4319
@dominicblass4319 2 жыл бұрын
Tyk baba, mungu azidi kufungulia ufunuo ili utuelimishe zaidi
@ElishaKasambo-yu5jt
@ElishaKasambo-yu5jt Жыл бұрын
Ubarikiwe baba
@missphilip-vh2xp
@missphilip-vh2xp Жыл бұрын
Ameeen mtumish wa bwana
@paschalmiligo3896
@paschalmiligo3896 2 жыл бұрын
Baba kamgisha asante kwa utume wako.
@edgarlupumbwe6436
@edgarlupumbwe6436 2 жыл бұрын
Amina baba padre
@Udindigwa
@Udindigwa 2 жыл бұрын
Amina Baba
@irenemashallo2311
@irenemashallo2311 2 жыл бұрын
Thanks alot Father....
@charlesadongo3885
@charlesadongo3885 2 жыл бұрын
Since I bumped into your teaching always Feeling encouraged from Kenya
@simonyombo3347
@simonyombo3347 2 жыл бұрын
Amina mtumishi Bwana Yesu akutie nguvu
@agnessima5032
@agnessima5032 9 ай бұрын
Nimejifunza kitu..kumbe Mungu is not limited by SPACE!!
@dominicblass4319
@dominicblass4319 2 жыл бұрын
Tyk baba, tunamshukuru Mungu ndani ya kanisa kuwa na mtumishi Kama wewe unayetuelimisha,unayetufundisha masomo mbalimbali.
@AlexPaschal-m4p
@AlexPaschal-m4p Ай бұрын
Baba
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Na mimi nitajibiwa hakika ,Asante saana Baba Padre napenda Mafundisho yako na wewe usiikose Mbingu kwa kujitoa kwako kuhubiri ili watu waokoke ,Naamini Unakohubiri Waumini wataacha pombe na Wampokee Roho mtakatifu ili Waje Wauone Ufalme Wa Mbinguni
@sarahmsangi7243
@sarahmsangi7243 2 жыл бұрын
" nimesoma kwenye shule ya kikatoliki sikuwahi kujua kama pombe ni ruhusa ,miaka yote juzi nikiwa safarini siti moja na padri nikawa namuuliza maswali akaniambia kwa wakatoliki pombe ni ruhusa kunywa akaniambia mimi ni padri lakini nakunywa pombe lakini sio muda wa ibada
@sarahmsangi7243
@sarahmsangi7243 2 жыл бұрын
" hakika nilishangaa sana padre kuniambia kunywa pombe sio dhambi nikamuuliza kwhyo kwa mkatoliki kunywa pombe sio dhambi na kumiliki baa sio dhambi. Padre Kamugisha umepewa neema ya kufundisha sana MUNGU akubariki
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Amina Amina
@freddykulwa8190
@freddykulwa8190 Жыл бұрын
Tumsifu yesu kristor
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
Padre Dkt Faustin M Kamugisha - Hatupangi Kushindwa, Tunashindwa Kupanga Morning
41:59
NONDO ZA Pd Dkt. KAMUGISHA KWA WANAHIJA SUKAMAHELA SINGIDA
44:43
PRECIOUS BLOOD TV
Рет қаралды 8 М.
JISAJILI KIMTANDO NA FAHAMU PIA TARATIBU ZA KUBADILI TAARIFA
30:50
nida tanzania
Рет қаралды 1,7 М.