Power Dynamos 2-2 Simba SC | Highlights | CAFCL 16/09/2023

  Рет қаралды 1,030,290

Azam TV

Azam TV

10 ай бұрын

Ni sare ya 2-2 Simba wanapata kwenye Uwanja wa Levy Mwanawasa, Ndola Zambia dhidi ya Power Dynamos, mchezo wa kwanza hatua ya pili ya awali Ligi ya Mabingwa Afrika, #CAFChampionsLeague
Magoli yote mawili ya Simba yametoka kwa Clatous Chama dakika ya 59 na 90 huku Power Dynamos wakipata magoli yao kupitia kwa Ayoub Lakred aliyejifunga dakika ya 28 na Mulombwa dakika ya 74.

Пікірлер: 459
@RamadhaniMadanga-ne7jk
@RamadhaniMadanga-ne7jk 10 күн бұрын
Nimerudi kumtazama mutale baada yakusajiliwa na simba
@CharlesWanyeche-er6rw
@CharlesWanyeche-er6rw 9 күн бұрын
Kumbe tupo weng asee sema jamaa nimwamba
@user-jp2rg6yr1j
@user-jp2rg6yr1j 9 ай бұрын
Honestly, this Guy is lethal.. I am Zambian and proud of his tenacity, hardwork and desire to win. 👏👏
@aminata3702
@aminata3702 9 ай бұрын
Please he is ours 😆,Chama is a Tanzanian😘😘😘 we love him
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 9 ай бұрын
Chama Chama nakupend sana pamoja na Simba yangu
@LungwechanashonOtieno-zb4zj
@LungwechanashonOtieno-zb4zj 9 ай бұрын
@fadhiliedward8982
@fadhiliedward8982 10 күн бұрын
Simba mpya na imara inakuja wanasimba tuwe na imani na subira🔥🔥
@shelakidobi9945
@shelakidobi9945 9 ай бұрын
Yan hawa wawili Muhammed hussein na kapombe mechi za ugenin wanakuwa wabovu sana
@vitalisikavela6083
@vitalisikavela6083 9 ай бұрын
Tusimlaumu kipa! Kafanya kosa sawa lakin kuna save kazifanya znasahil pongez kabisa
@peterkapel5332
@peterkapel5332 9 ай бұрын
Kweli kama ile malone alotaka kupiga jamaa akagonga kichwa
@peterkapel5332
@peterkapel5332 9 ай бұрын
Kweli kama ile malone alotaka kupiga jamaa akagonga kichwa
@vitalisikavela6083
@vitalisikavela6083 9 ай бұрын
@@peterkapel5332 ubaya wetu sisi tunaangalia makosa tuuh
@zuberhamza7852
@zuberhamza7852 9 ай бұрын
Anaemlaumu kipa hajui mpira
@vitalisikavela6083
@vitalisikavela6083 9 ай бұрын
@@zuberhamza7852 kwel kbx
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 9 ай бұрын
Power mkija bongo mtakul nying sana nyiye wakawaid tuu kwa SIMBAAAAAAAAAAA
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 9 ай бұрын
Kwa kweli Mohamed Hussein na Kapombe wameisha kabisa
@witnesskihaga2241
@witnesskihaga2241 9 ай бұрын
Hongera sana simba sport club mmepambana vya kutosha karibu nyumbani
@obadiashadrack3156
@obadiashadrack3156 9 ай бұрын
Tunamuomba ally salumu mechi ijayo awepo golini huyo ❤❤❤❤ tunaipenda simbaaaaaaa yetu
@RASHIDMOHAMMEDI
@RASHIDMOHAMMEDI 9 ай бұрын
Naweza kumlaumu kipa Lakin kabla ya kipa namlaumu Baleke magoli mawili yeye peke yake anakosa huu ni ujinga wa hali ya juu sijawahi kuuona na goli la pili ni jepesi sana nahisi kipa bado hajawa katika mfumo kabisa na kocha hatufai maneno mengi lakini hakuna kitu
@msurimtenukila6745
@msurimtenukila6745 9 ай бұрын
Goli kipa mzuri sana ila wachezaji ndo wamezingua
@neemadionicmassawe9097
@neemadionicmassawe9097 9 ай бұрын
Kaka unajua sana mpira Mimi nimewaambia wengi lile ni kosa ambalo magoli kipa Bora wote wanafanyaga hata manula anapigwaga magoli ya kizembe apewe mda ndio kwanza gemu yake ya kwanza..,Ila makosa ya magoli yameigharimu timu wakati mwengine watarudi wakiwa bora
@markkayuni9775
@markkayuni9775 9 ай бұрын
Kiukweli kipa mzuri sana ata mm nimeona ilo
@user-dh7pm7xp7h
@user-dh7pm7xp7h 9 ай бұрын
Tatizo Simba wanacheza kistar sanaaa
@kelvinkapembwa9750
@kelvinkapembwa9750 9 ай бұрын
Will wire this Simba team,just one goal Power here we come to Silence Simba at there fortress!Go Power Go!
@khadijamisayo7476
@khadijamisayo7476 10 күн бұрын
Nimekuja hapa kumuona mutale
@kassidpandu866
@kassidpandu866 9 ай бұрын
Mohd Hussein na kapombe kweli ss wamechoka khaswaa
@rajabuhamadi
@rajabuhamadi 9 ай бұрын
Wamechoka wasifu na wanocheza nao
@emmanuelchilimo
@emmanuelchilimo 9 ай бұрын
Yeass
@Mpakauseme
@Mpakauseme 9 ай бұрын
Sana
@aminnoour4788
@aminnoour4788 9 ай бұрын
Nikweli wameshachoka wawapumzishe .kama chabalala kisha kauka sana muili
@himidiwekabuje8402
@himidiwekabuje8402 9 ай бұрын
Kwa ajili ya mechi hii au kwa mechi nyingine nyingine
@shelakidobi9945
@shelakidobi9945 9 ай бұрын
Halafu robatinh ukiona mechi ni yaumuhimu usituanzishie onana
@Mo_Blaze
@Mo_Blaze 9 ай бұрын
Fact
@alicenice1711
@alicenice1711 9 ай бұрын
Huyu keaper wa makolo ni chai ya rangi😂😂
@jumakassim8718
@jumakassim8718 9 ай бұрын
😂😂😂😂 chai ya rangi
@HisaniMsigwa-lc6zk
@HisaniMsigwa-lc6zk 9 ай бұрын
Kapombe na Hussein wapumzike ,kocha timu imemshinda mgunda alikuwa Bora upande wangu hii game angeshinda nyingi sana.Nabii akubaliki kwao
@user-vz4xj2ci2w
@user-vz4xj2ci2w 9 ай бұрын
tatizo hana sifa alafu akishikwa ndo mmefungwa hukumbuki alianza kupoteza mechi muhimu ad simba ikamaliza yapili
@husseinmassawa7186
@husseinmassawa7186 9 ай бұрын
Saido na baleke wamewanyima makolo ushindi wa goli tano 😅😅
@legendcharles841
@legendcharles841 9 ай бұрын
Apo kocha apewe pongezi wachezaji wao wameshindwa kutumia nafasi zao
@victorcephas3618
@victorcephas3618 9 ай бұрын
Hii timu apewe Juma Mgunda ilikuwa lazima tushinde ila kocha Hana mbinu na huyo kipa anajaribiwa kwenye club bingwa anaachwa Salim mwenye uzoefu. Ila Baleke,Saido na Kibu wamepoteza magoli mengi.
@JacqueSangu
@JacqueSangu 9 ай бұрын
Fablis ngoma ❤❤❤❤
@ernestjohnbosco2053
@ernestjohnbosco2053 9 ай бұрын
Kweli Simba mlifanya vizuri tuu
@renatusmwanakatwe-gl9xb
@renatusmwanakatwe-gl9xb 9 ай бұрын
usiikatie tamaa simba linapokuja suala la michuano ya kimataifa
@nassorntandu4513
@nassorntandu4513 9 ай бұрын
Hii mechi Simba tungeshinda nyingi tu, Baleke ametuangusha
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 9 ай бұрын
Chama huonekana sehem muhimu tu
@longlive_k10
@longlive_k10 9 ай бұрын
Hii timu inacheza kistar Sana kufika mbali ni ngumu wasipobadilika
@stemarcely7493
@stemarcely7493 9 ай бұрын
Yeah...ni kweli kabisa...ustaa utawaponza...
@RahabuWilliam-jo3eq
@RahabuWilliam-jo3eq 9 ай бұрын
Huyu Golikipa sio mbaya kama wanavyo mtukana kafanya saves nyingi sana
@otmanhassan9552
@otmanhassan9552 9 ай бұрын
Kumbe kipa wa simba kajitahidi sana lkn ndo mambo tuwachezaji hawako tyr kuipambania simba ndo ukweli
@fezboy6098
@fezboy6098 9 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Ila 1. Kocha hatuna maana amewapa mabeki wetu majukumu mengi yasiyo bebeka. 2. Kocha hatuna kwani falsafa yake ya mpira Haina matokeo pia inawachosha wachezaji. NB: Tuna timu nzuri wachezaji wenye uwezo ila hatuna matokeo .. kocha ni Tatizo
@frankmahenge5943
@frankmahenge5943 9 ай бұрын
Beki na 3 na 2 kwakweli hawajaonekana leo
@stevensisa1161
@stevensisa1161 9 ай бұрын
Good work👏👏...wataeleza hizo goli wamezifungaje? Eeeh bana eeeh! uchawi upo😂😂
@EliasPhilipo-k9n
@EliasPhilipo-k9n 9 күн бұрын
Hata mm pia baada mtale kutua simba nimerudia kumuona budo,o.
@rajenderrobert8605
@rajenderrobert8605 9 ай бұрын
No Coach No Goalkeeper. Mgunda won this kind of matches
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 9 ай бұрын
Yan unamuinua daidoo unamuacha Luis kwenye benchi hivi huyu kocha anamjua Luis au anamsikia tu ?
@Sherrymwinyi
@Sherrymwinyi 9 ай бұрын
kocha ndo wakulaumiwa kipa mzuri lkn angenpa match akazoea kwanza
@user-mg1vf5gv3p
@user-mg1vf5gv3p 9 ай бұрын
Chama apewe mauwa yake kwakweli anajua sanaaa
@Our_Patriotism
@Our_Patriotism 9 ай бұрын
Lakred asidake Tena mechi za kimataifa, adake za mchongo tu. Haiwezkani akafungwa magoli yote mawili yakizembe hivyooo. Magoli Yao haya a hata technique yoyote. Hatutaki sisi, tunataka Ally Salim bhana.
@user-ym9xh6fq6q
@user-ym9xh6fq6q 9 ай бұрын
4:26 kwa mkapa hatoki mtu
@YustaRozi-hl7ds
@YustaRozi-hl7ds 9 ай бұрын
♥️♥️che fondoh Malone ,c.c.chama,fabris ngoma
@didierdrogbar2302
@didierdrogbar2302 9 ай бұрын
Kipa wa mchongo uyoooo
@user-on6mi9is8r
@user-on6mi9is8r 9 ай бұрын
Kipa wamchongo katuuza Simba Ali salimu ludi kazin
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 9 ай бұрын
Acha hizo peleka kwenu yanga
@franciskasanga3491
@franciskasanga3491 9 ай бұрын
Huyu kipa mzur anahitaj muda
@nikkimbishiunju2402
@nikkimbishiunju2402 9 ай бұрын
Goli la kwanza la Power Dynamos mpira ulikuwa nje tayari
@justinemalima6701
@justinemalima6701 9 ай бұрын
Macho yako tu
@albabaly8297
@albabaly8297 9 ай бұрын
Yap mpira nje kabisa
@user-gw5lb9ju5m
@user-gw5lb9ju5m 9 ай бұрын
Kbsa
@allysalim3884
@allysalim3884 7 күн бұрын
Mm nmerudia baada ya chama kuwa yellow
@homedevices-we3bn
@homedevices-we3bn 7 күн бұрын
hii ndio mechi iliomuondoa Baleke Simba
@medimisi6930
@medimisi6930 9 ай бұрын
simba hawakuwa serious,
@innocentndowo2258
@innocentndowo2258 9 ай бұрын
amyway tushukuru kwa kila jambo...ila hii timu itatuua kwa presha
@Denice55-tz
@Denice55-tz 9 ай бұрын
Super league tunayaoga aisee ngoma 😂😂😂
@user-sn6fe2eh8h
@user-sn6fe2eh8h 9 ай бұрын
Chama mtu mwengne
@franccoz94
@franccoz94 9 ай бұрын
SIMBA WA BOVU MPAKA WANATUTAPISHA MASHABIKI WAO USAJILI N SAWA NA BUREE
@NeemaOthuman
@NeemaOthuman 9 ай бұрын
Huu mpira inauma hata kuutazama baadh ya wachezaji wamezingua kabisa
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 9 ай бұрын
Baleke amenikumbusha kuna siku Kagele alikosa magoli ya wazi kama haya kuna moja goli kipa alitoka kabisa akabaki yy na goli lakini akakosa,hivyo tusimlaumu sana Baleke hizi mambo zinatokeaga tu
@user-gk6hr1pn7q
@user-gk6hr1pn7q 9 ай бұрын
Yaan kapombe makosa hayo yasijludie bro
@user-rq8ho5qm4g
@user-rq8ho5qm4g 9 ай бұрын
Chama ni shida
@marselinarweyemamu4034
@marselinarweyemamu4034 9 ай бұрын
Tunawashukuru wana yanga kwa upendo leo mmeonyesha uzarendo
@Smart-alecky
@Smart-alecky 9 ай бұрын
Yani video imewekwa saa tano zilizopita na tayari imetazamwa na zaidi ya watu laki moja? Kweli mpira wa Tizedi una umaarufu. Kongole kutoka Kenya🇰🇪.
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 9 ай бұрын
Simba inafatiliwa sana
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 9 ай бұрын
Kapombe alikua anageuzwa tuu jana😅
@jumakassim8718
@jumakassim8718 9 ай бұрын
😂😂😂😂 umri kachoka
@georgekalulu2545
@georgekalulu2545 9 ай бұрын
Shabalala ule mpira si ungepiga tu mbal mpaka unaupaka mafuta unanyang'anywa unataka kuchomesha. Daa zama zimeisha sasa
@juliuslabarani8575
@juliuslabarani8575 9 ай бұрын
Hawa dynamos nawaonea huruma wakija kwa mkapa,,,,watakula nyingi ni wa kawaida sanaaaaa,,,makolo haoooooo makundi
@rogersiddy
@rogersiddy 9 ай бұрын
Nina imani hayo magoli aliofungwa uyo golikipa wa Simba Aly Salim asingefungwa kbs
@Mayra574
@Mayra574 9 ай бұрын
Chukua maua yako 🎉🎉🎉
@rogersiddy
@rogersiddy 9 ай бұрын
@@Mayra574 Asantee nimeyapokea kwa mikono miwili japo mimi Yanga ndani nje ila nazungumzia mpila wetu ili tupige hatua pamoja kocha kazingua sana
@khamismgunya4519
@khamismgunya4519 9 ай бұрын
Kipa huyo mbovu
@EstherKisandu
@EstherKisandu 9 ай бұрын
Kabla hamjamlaumu sana kipa walaumuni na waliokosa magori ya wazi
@LucasEvodi-xj1of
@LucasEvodi-xj1of 9 ай бұрын
Shomar mm naona mpira ushamkataa sjui kwann Yuko Bado simba
@MohammedShedafa
@MohammedShedafa 9 ай бұрын
Huyu baleke angeanza lingekufa jitu mapema tu lakini tuwasuburi dar es salaam
@allywilson4155
@allywilson4155 9 ай бұрын
Players are good but wamecheza na papara sana
@marinersanjitsingh8421
@marinersanjitsingh8421 9 ай бұрын
Why kocha ameamua kumuanzisha uyo kipa mgeni anafungwa Magoli mepesi mno yani
@mhandodanny4256
@mhandodanny4256 9 ай бұрын
Onana Hajitumi akipoteza mpira hakabi analeta ubishoo Kwenye kazi Management imuonye coz anaicost timu
@chingejotham3508
@chingejotham3508 9 ай бұрын
Anaboa kinoma huyu mwana..
@fra9873
@fra9873 9 ай бұрын
Miquissone?
@jbbrand73
@jbbrand73 9 ай бұрын
Yaani. Mpaka msemeeh😂😂
@jumakassim8718
@jumakassim8718 9 ай бұрын
😂😂😂 makolo haooo
@denisimaliyaweni9183
@denisimaliyaweni9183 9 ай бұрын
Welcome simba Joshua mulatw
@user-vz4xj2ci2w
@user-vz4xj2ci2w 9 ай бұрын
hana kitu huyo hafai kwanza winga wamejaa simba
@aminata3702
@aminata3702 9 ай бұрын
Kisa nini
@BoyPhotography_and_videography
@BoyPhotography_and_videography 9 ай бұрын
Mnyama💥
@hassanshafii4059
@hassanshafii4059 9 ай бұрын
shabalala jana chini ya kiwNgo sana na kapomba
@barakadaprince3742
@barakadaprince3742 9 ай бұрын
Chamaaaaaaa😁
@AllyFrank-wh3hw
@AllyFrank-wh3hw 9 ай бұрын
Simba sports club
@user-js8qd6ch6g
@user-js8qd6ch6g 9 ай бұрын
Jameni Wana Kamati Hawa perwerdainamo
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 9 ай бұрын
Wafungaji na Keeper ndo wameboa kabisa hii match Simba wangeifunga tena kiurahisi kabisa, ila poa tu marudiano Simba atafanya yake
@MatronKibongoto
@MatronKibongoto 9 ай бұрын
Tuache kumulaumu kipa ndio kosa kafanya hata kwa Salim tulilaum hivihivi saizi munamuona bora, makosa yapo tu kwaaaaanza ndio mechi yake ya kwanza msimbazi
@patrickmuvendi142
@patrickmuvendi142 9 ай бұрын
Kazi kubwa inafanyawa na inonga na chemalon lakini kapombe na shabalala ndo uchochoro.viongozi hilo suala liangalieni acheni kusifia wachezaji hawa uwezo wa kukaba ni mdogo tutateseka sana.
@AdolfLyaheja
@AdolfLyaheja 9 күн бұрын
Mwamba wa Lusaka tutakukumbuka sana broo daah ila sio mbaya maana we ndo umeamuwa maisha mema broo.😢
@user-gc4vt4yr1r
@user-gc4vt4yr1r 9 ай бұрын
Team bora akabiziwe mgunda
@raphaelchuche6281
@raphaelchuche6281 9 ай бұрын
#2 on trending
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 9 ай бұрын
Moja kashik nan
@UmayyaNkya-ze3ri
@UmayyaNkya-ze3ri 9 ай бұрын
Huyu wa leo ni baleke ama mugalu😅😅😂dahh sema wameupiga mwingi wachezaji wetu kwa mkapa tunawapiga 2 in shaa Allah tunasonga mbele nb: uto hatujauliza matokeo yenu atutaki kujua🤣🤣
@jozay50
@jozay50 9 ай бұрын
Balele kazingua sanaaaa leo kawa mzito
@aronpaul2331
@aronpaul2331 9 ай бұрын
Kocha ni.fala sana jana katunyimaa ushindii.iviii mbona anarudia makosa yale yale Msimu ulio isha robentinyoo anakera sana
@LungwechanashonOtieno-zb4zj
@LungwechanashonOtieno-zb4zj 9 ай бұрын
Huyu keeper sio😢
@maulidhussein2022
@maulidhussein2022 9 ай бұрын
Mmepambana vzr hata mpinzani anaitaj kushinda
@user-ns7ov2em6z
@user-ns7ov2em6z 9 ай бұрын
Huyu mtangazaji anaitwa nani
@mukaplatnumz2313
@mukaplatnumz2313 9 ай бұрын
Garibu mzinga
@fra9873
@fra9873 9 ай бұрын
,Good game
@ahmedshaban9111
@ahmedshaban9111 9 ай бұрын
Kwaiyo highlights ya Yanga imegoma kuexport
@khamisiramadhankombo
@khamisiramadhankombo 9 ай бұрын
Kocha kwakipindi chapili akuwa nakosa michezaji yenyewe aijitumi kama mwanangu shabalala nakapombe leo mmetuangusha mmecheza ovyo
@fabianjames8920
@fabianjames8920 9 ай бұрын
Wote wamecheza vizur Huo ni mpira
@samwelpanga7313
@samwelpanga7313 9 ай бұрын
Kipa ni mzuri, tuwapongeze wapinzani, kipa wao, joshua mutale na owen tembo
@samanyaswai
@samanyaswai 9 ай бұрын
Hakuna kipa hapo
@ElibarikMrema-zv7um
@ElibarikMrema-zv7um 26 күн бұрын
Simba mbovu
@kibokutiwanatanyika1540
@kibokutiwanatanyika1540 9 ай бұрын
Huyu mtangazaji ni SIMBA kweli, kwa maana simba wanapokuwa na mpira anatangaza kwa hisia kweli🙈
@alatupaeliassanga5303
@alatupaeliassanga5303 9 ай бұрын
😂😂😂😂 umeona eeh
@innocenthaulee
@innocenthaulee 9 ай бұрын
Mtanzania
@NicaTemba
@NicaTemba 9 ай бұрын
uzalendo uzalend uzalendo kwanza jamani
@EDWINBALELE
@EDWINBALELE 8 күн бұрын
Ilachama ni mwamba
@Pattrices1
@Pattrices1 9 ай бұрын
Kweli kabisa kina Kapombe wamechoka Kabisa!
@abdallahmdiliko8088
@abdallahmdiliko8088 9 ай бұрын
Timu HAINA speed. Onana na VIUNGO hawana body fitness.. speed.. UWANJA WANAUFINYA na pass ni fupi mnoo.huyu kocha MJANJA MJANJA TU.. anasaidiwa na UWEZO WA wachezaji binafsi.. Hana mifumo ya USHINDI.. IPO siku mutakumbuka maneno yangu..
@Hamidkaran
@Hamidkaran 9 ай бұрын
Aujui mpira watu wanakosa magori wenyewe unakuja kumsema kocha😹
@noelbryson7840
@noelbryson7840 9 ай бұрын
We kaa kimya, Hujui mpira mbabaishaji wewe..
@bukenyagodfrey4556
@bukenyagodfrey4556 9 ай бұрын
Kipa Lakred ametufunga goli mbili ndo mfumgaji bora wa leo
@kubwayoshomarytv
@kubwayoshomarytv 9 ай бұрын
@rodgersmwagu239
@rodgersmwagu239 9 ай бұрын
kipa hamna apa
1 in a Trillion Moments in Football
10:55
Score 90
Рет қаралды 4,9 МЛН
Дибала против вратаря Легенды
00:33
Mr. Oleynik
Рет қаралды 5 МЛН
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 66 МЛН
Khó thế mà cũng làm được || How did the police do that? #shorts
01:00
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 49 МЛН
MFAHAMU PASCAL MSINDO ZAO LA AZAM FC ACADEMY
2:45
1 Touch Studio Tz
Рет қаралды 336
MUDAHUU SIMBA WAMTAMBULISHA KIJILI KOCHA BADO ANAPIKA JAMBO SHEBBY.
17:36
Maximum Tv Online
Рет қаралды 1,6 М.
The Day Ronaldo Showed Messi, Neymar & Mbappé Who Is The Boss
19:19
Ronaldo & Ronaldinho will never forget Zidane's performance in this match
12:54
VSP7 FOOTBALL EXTRA
Рет қаралды 5 МЛН
Испания - Франция - 2:1 | 1/2 финал | UEFA EURO-2024 | Шолу | Обзор
9:11
QAZSPORT TV / ҚАЗСПОРТ TV
Рет қаралды 2,5 МЛН
❌the tape didn't hold up😆 #foryou #funny #sport #spiderman
0:24