No video

BARAKA MAGUFULI ALIVYOKUTANA NA JPM | ANAWEZA KUIGIZA SAUTI YA LOWASSA "HAKUNIPA KITU"

  Рет қаралды 258,453

Millard Ayo

Millard Ayo

5 жыл бұрын

Пікірлер: 93
@lameckeliakimu8677
@lameckeliakimu8677 5 жыл бұрын
Rafiki yangu Mr Baraka Magufuli, ninakukubali sana, mh Rais Dr Magufuli amekwisha kukutana na wewe, hiyo ni hatua nzuri sana kwako, Ongera sana
@mapenzi_tz1511
@mapenzi_tz1511 5 жыл бұрын
kw sababu unamuigiza sauti mtu mwenye Akili nyingi, Yaani naona hata Akili za JPM na ww kidogo unazo Hongera kijana uko vizuri.
@kajungumturi7414
@kajungumturi7414 5 жыл бұрын
Huyu jamaa ana elimu ya darasa la tatu. Ujasiri alonao na zaidi ya mtu ya chuo kikuu. Namuelewa msukuma mbunge.
@silverjoseph4577
@silverjoseph4577 5 жыл бұрын
Uko vizuri baraka nakukubali Sana from Uganda big up sana
@Ciphalee
@Ciphalee 5 жыл бұрын
namkubaliiii kama unamkubali gonga like
@hamzaamry3580
@hamzaamry3580 5 жыл бұрын
Unavyo zungumza bei zako magufur anakuskia ngoja awambie TRA
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 5 жыл бұрын
Pierre tunamsahau taratibu yaaani😂😂😂😂🤣🤣🤣
@mswanawamswana3129
@mswanawamswana3129 5 жыл бұрын
Ayo hongereni. Msaidieni miwani mingine. Ili aweze kulinda macho yake.
@jacksonkundaelly4700
@jacksonkundaelly4700 5 жыл бұрын
Huyu jamaa na mvulia kofia wakina oscer mpite kushoto
@esaumakele7476
@esaumakele7476 5 жыл бұрын
Ongera brother, kaongeze elimu
@givenngoko4528
@givenngoko4528 5 жыл бұрын
Jamaa ako na confidence sana...very genius kwenye response kwa maswali anayoulizwa..👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏...watching live from Kisumu kenya🇰🇪
@mbodzebemasika7477
@mbodzebemasika7477 5 жыл бұрын
Magufuli amteue awe msemaji wake
@festuskanga8495
@festuskanga8495 5 жыл бұрын
SIYO WA TANZANIA PEKEE, ATA WA KENYA WANAMUONA. JU WA KENYA WANAMUKOSA KIONGOZI KA JOHN MAKAFULI.
@mahabatv
@mahabatv 5 жыл бұрын
ana jiamini sana, na anajua kujibu maswali bila papara, keep it up bro
@henrickovicent2933
@henrickovicent2933 5 жыл бұрын
Hongera sna kka kwa kusubutu.
@fahadfahmy
@fahadfahmy 5 жыл бұрын
Huyu Baraka anafanana na Raisi wa zamani wa South Afrika anaitwa Tabbo Mbeki.
@evelentinangando5743
@evelentinangando5743 5 жыл бұрын
T...kk
@victortibendagira8037
@victortibendagira8037 5 жыл бұрын
uko sawa kijan ongeza juhuda
@matekemateketv6210
@matekemateketv6210 5 жыл бұрын
Wako 3 kila mmoja ashike nafasi yake huyu anampatia sana magufuli jk comedian nae anamuweza jakaya Steve nyerere anamuza baba wataifa wakae pamoja kwenye mashuhuri kila mtu amuigize anae muweza 🔥🔥
@eliamniko2091
@eliamniko2091 Жыл бұрын
Hongera sana ubarikiwe
@johnmanase2874
@johnmanase2874 5 жыл бұрын
Aisee Mungu ameiinua kipaji chako.alafu kuna kitu kizur sana ktk kujieleza unatumia lugha mama mwanzo mwisho.. Wengine hapo ingekua u knw actually kibaoooo....safi kaka mkubwa
@dottocharles2797
@dottocharles2797 5 жыл бұрын
Uko vizuri kaka.
@daxdegreefrank9537
@daxdegreefrank9537 5 жыл бұрын
Huyu Jamaa anatisha
@BenCheck-jx9lo
@BenCheck-jx9lo 5 жыл бұрын
Baraka kama jina lako lilivyo ubarikiwe ufike mbali.
@BenCheck-jx9lo
@BenCheck-jx9lo 5 жыл бұрын
Denis Fugamila Sana,
@kinghasheem2283
@kinghasheem2283 5 жыл бұрын
Baraka uko vizuri kujieleza wapo wajinga wasiojua kujieleza safi sana
@jazzymkalitv5535
@jazzymkalitv5535 2 жыл бұрын
Tunamuomba huyu kijana arudi kuendelea kuigiza kama Magufuli, huenda akili za Raisi Samia Suluhu zikamrudia. Anatutesa sana na maamuzi yake ya kutusaliti siye Wtz. BARAKA TUNAKUHITAJI
@tsitingilembombo9995
@tsitingilembombo9995 5 жыл бұрын
Uwezo wako wa kujibu maswali ni mkubwa.
@kinghasheem2283
@kinghasheem2283 5 жыл бұрын
Kwanza nakukubali sio muongo maana unajitambua
@mpenzujaneth7119
@mpenzujaneth7119 5 жыл бұрын
BARAKA, MUNGU AENDELEE KUKUBARIKI NA KUKUINUA JUU MAWINGUNI
@peterkaga9619
@peterkaga9619 5 жыл бұрын
Jamaa noma sana
@nimrodichcharlesjr4064
@nimrodichcharlesjr4064 5 жыл бұрын
Good talented
@mwaafricaharisi4518
@mwaafricaharisi4518 5 жыл бұрын
Jamaaa Anaweza
@damianmosoka8254
@damianmosoka8254 5 жыл бұрын
Kwanini huyu mtangazaji amuulize uliishia darasa langapi???? Kwann hajamuuluza tu umefikia level gani ya elimu?
@floriennkeshimana2742
@floriennkeshimana2742 5 жыл бұрын
Nice
@ronaldsariah8760
@ronaldsariah8760 5 жыл бұрын
Dharau. Sijui kamwonaje
@damianmosoka8254
@damianmosoka8254 5 жыл бұрын
Ujue darasa ni kuanzia la kwanza mpka la saba kwa hapa Tanzania,,, sasa huyu mtangazaji alisha mshusha hazi huyu Baraka,,, watangazaji waache dharau
@princehancesam9892
@princehancesam9892 5 жыл бұрын
au mweshimiwa Ali........mbn mnafana sana kwa maneno
@abdukalembo788
@abdukalembo788 5 жыл бұрын
Prince hance Sam jiangalie dogo acha kuhisi vitu vyakijinga
@zakayosilas6963
@zakayosilas6963 5 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana jamaa yangu
@salmasaid779
@salmasaid779 5 жыл бұрын
Baraka unanifurahisha upo juu
@patricks6228
@patricks6228 5 жыл бұрын
Hongera Sana JPM.... Unaweza Kweli
@fortnataangelo4805
@fortnataangelo4805 5 жыл бұрын
My dear baraka sio Kila swali lazima ujibu, usije ingia mtegoni, mengine sema no comment!
@abdkhalidi6625
@abdkhalidi6625 5 жыл бұрын
DAaaah baraka iyo sifa inaendana na wew kabisa 😌👍
@mbodzebemasika7477
@mbodzebemasika7477 5 жыл бұрын
waaa Mungu ni mwema😣😣😣😣😣
@aloycekalinga730
@aloycekalinga730 5 жыл бұрын
Upo ok sana
@vissamtelea9845
@vissamtelea9845 5 жыл бұрын
aisee uyo jamaa kiboko
@ashamnyole2776
@ashamnyole2776 5 жыл бұрын
Vissa Mtelea usikate tamaa
@jumaevarist9103
@jumaevarist9103 5 жыл бұрын
Jamaa nimekukubali ni mkweli yupo swa elimu kitu gan
@johnsway459
@johnsway459 5 жыл бұрын
Big up bro,utafika mbali sana kwan pene nia pana njia daima.
@alexnyanza9477
@alexnyanza9477 5 жыл бұрын
Hahaha huyo ni msanii shupavu#alex kutoka Kenya
@muniramussa1530
@muniramussa1530 5 жыл бұрын
anatoboa huyu jamaa
@eunicejohn5520
@eunicejohn5520 5 жыл бұрын
Munura musa mpka hapo ameshatoboa haya maisha hayana fomula
@eunicejohn5520
@eunicejohn5520 5 жыл бұрын
Munura musa mpka hapo ameshatoboa haya maisha hayana fomula
@goodluckj9072
@goodluckj9072 5 жыл бұрын
Good boy
@vicentnorasco8274
@vicentnorasco8274 3 жыл бұрын
Gonga like kama unaona huyu jamaa genius🔥🔥🔥
@user-ik3ey9cs9e
@user-ik3ey9cs9e 5 жыл бұрын
Huyu kijanaa angesoma. Anaonekana hata majibu yake.unapenda kumsikia.
@alexchungu8823
@alexchungu8823 5 жыл бұрын
Angesoma???.?
@tatuta6529
@tatuta6529 5 жыл бұрын
uko vizuri jamani kaka ongera sana
@maubarak9831
@maubarak9831 5 жыл бұрын
jiendeleze baba elimu nimuhimu
@borisfrick4293
@borisfrick4293 4 жыл бұрын
Unaweza baraka
@mkinga7889
@mkinga7889 5 жыл бұрын
Yupo vizur sana huyo jamaa
@sabongetz4676
@sabongetz4676 5 жыл бұрын
ushatoka kaka
@ramadhanimagomba7395
@ramadhanimagomba7395 5 жыл бұрын
#tnx #ayo
@isayangeze3858
@isayangeze3858 5 жыл бұрын
uyu jamaa katoboa kiutaniutani tu
@soloartist_ivanvespalusind1609
@soloartist_ivanvespalusind1609 5 жыл бұрын
isaya ngeze sio kiutaniutani, watu huwa wana njozi na malengo then muda ukifika yanatimia kwanamna hata wasizozitegemea lakini wakiwa na ushahidi kuwa walikuwa kama wanaona na kuhisi yaliyotokea kuwa yatatokea.
@rweyemamu7503
@rweyemamu7503 5 жыл бұрын
Piga moyo konde utafika mbali tu
@golyofrances1313
@golyofrances1313 5 жыл бұрын
uko vzr kk bigap xn
@suzanemwangingo6932
@suzanemwangingo6932 3 жыл бұрын
Ila anaweza kwakweli yani utafikili magufuri
@rehemamsuya2263
@rehemamsuya2263 5 жыл бұрын
Jamaa yupo makini sn hata ujibuji wa maswali yupo vzr sn
@ramafrica9016
@ramafrica9016 5 жыл бұрын
Pacha wake si!ample hata ka uwaziri joman
@helmanikomba576
@helmanikomba576 5 жыл бұрын
Umejibu vizuri swali LA elimu. Kwanza kipajichako kiisaidie fsmilia na wewe, kisha elimu ije, safisana,, uo ndougsliwako ndugu, kusoma ata baadae kaka!!
@alhackmanhamisi7004
@alhackmanhamisi7004 5 жыл бұрын
U lit broo
@elialova2355
@elialova2355 5 жыл бұрын
Uko vizur bro pambana utafika
@raphaelgadau2783
@raphaelgadau2783 5 жыл бұрын
👌
@mwambietv7614
@mwambietv7614 5 жыл бұрын
Upo saafi jamaa endelea kaza buti
@kachawakikazi1217
@kachawakikazi1217 5 жыл бұрын
eti hata chakula sikupata hahahaha pambana pambana
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 5 жыл бұрын
Na hizo mvi ni za kubandika au zako.
@aishakhamis2996
@aishakhamis2996 5 жыл бұрын
Hahahahahaha bora umuulize!
@stumaimnubi8873
@stumaimnubi8873 5 жыл бұрын
unatisha kk
@soloartist_ivanvespalusind1609
@soloartist_ivanvespalusind1609 5 жыл бұрын
Nilijua tu huyu jamaa ni lazima afike huku
@jacobomwaluka2278
@jacobomwaluka2278 4 жыл бұрын
Mungu atakubaliki balaka kipesile
@othmanlida6957
@othmanlida6957 4 жыл бұрын
ukojuu
@suzanemwangingo6932
@suzanemwangingo6932 3 жыл бұрын
Pacha wa magu
@eliceduwe7609
@eliceduwe7609 5 жыл бұрын
Atoe kofia na anawe uso
@patrickchibuga2911
@patrickchibuga2911 5 жыл бұрын
Hahahahaaa!! Ni kweli aisee umetoboa👏👏👏👏
@echasadenieiddy6022
@echasadenieiddy6022 5 жыл бұрын
Cool
@manmacho6529
@manmacho6529 5 жыл бұрын
jamaa ana roho ngumu sana anamuigiza rais alaf rais mwenyewe sio wa mchezo mchezo
@emyshaibu8089
@emyshaibu8089 5 жыл бұрын
ch ajabu kipi mbna stivini anaiga sauti ya nyerere mbna kawaida tu jmn
@aminakuchora4972
@aminakuchora4972 5 жыл бұрын
nakukubalii sanaaa duuuu
@moozalsoo2991
@moozalsoo2991 5 жыл бұрын
Hahahaha nimecheka sana
Dakika 48 za Lissu jukwaani Temeke baada ya kutua uwanja wa ndege
48:19
Mwananchi Digital
Рет қаралды 204 М.
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 9 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 3,5 МЛН
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 15 МЛН
Mohammad bin Salman: Prince With Two Faces
54:00
Show Me the World
Рет қаралды 710 М.
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
Wasafi Media
Рет қаралды 1,8 МЛН
COMEDIAN BARAKA MAGUFULI MEETS RAIS MAGUFULI!TALENT!
5:09
Mutembei TV
Рет қаралды 112 М.
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 9 МЛН