Rafiki yangu Mr Baraka Magufuli, ninakukubali sana, mh Rais Dr Magufuli amekwisha kukutana na wewe, hiyo ni hatua nzuri sana kwako, Ongera sana
@mapenzi_tz15115 жыл бұрын
kw sababu unamuigiza sauti mtu mwenye Akili nyingi, Yaani naona hata Akili za JPM na ww kidogo unazo Hongera kijana uko vizuri.
@kajungumturi74145 жыл бұрын
Huyu jamaa ana elimu ya darasa la tatu. Ujasiri alonao na zaidi ya mtu ya chuo kikuu. Namuelewa msukuma mbunge.
@silverjoseph45775 жыл бұрын
Uko vizuri baraka nakukubali Sana from Uganda big up sana
@Ciphalee5 жыл бұрын
namkubaliiii kama unamkubali gonga like
@hamzaamry35805 жыл бұрын
Unavyo zungumza bei zako magufur anakuskia ngoja awambie TRA
@kassimrajabu78055 жыл бұрын
Pierre tunamsahau taratibu yaaani😂😂😂😂🤣🤣🤣
@mswanawamswana31295 жыл бұрын
Ayo hongereni. Msaidieni miwani mingine. Ili aweze kulinda macho yake.
@jacksonkundaelly47005 жыл бұрын
Huyu jamaa na mvulia kofia wakina oscer mpite kushoto
@esaumakele74765 жыл бұрын
Ongera brother, kaongeze elimu
@givenngoko45285 жыл бұрын
Jamaa ako na confidence sana...very genius kwenye response kwa maswali anayoulizwa..👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏...watching live from Kisumu kenya🇰🇪
@mbodzebemasika74775 жыл бұрын
Magufuli amteue awe msemaji wake
@festuskanga84955 жыл бұрын
SIYO WA TANZANIA PEKEE, ATA WA KENYA WANAMUONA. JU WA KENYA WANAMUKOSA KIONGOZI KA JOHN MAKAFULI.
@mahabatv5 жыл бұрын
ana jiamini sana, na anajua kujibu maswali bila papara, keep it up bro
@henrickovicent29335 жыл бұрын
Hongera sna kka kwa kusubutu.
@fahadfahmy5 жыл бұрын
Huyu Baraka anafanana na Raisi wa zamani wa South Afrika anaitwa Tabbo Mbeki.
@evelentinangando57435 жыл бұрын
T...kk
@victortibendagira80375 жыл бұрын
uko sawa kijan ongeza juhuda
@matekemateketv62105 жыл бұрын
Wako 3 kila mmoja ashike nafasi yake huyu anampatia sana magufuli jk comedian nae anamuweza jakaya Steve nyerere anamuza baba wataifa wakae pamoja kwenye mashuhuri kila mtu amuigize anae muweza 🔥🔥
@eliamniko2091 Жыл бұрын
Hongera sana ubarikiwe
@johnmanase28745 жыл бұрын
Aisee Mungu ameiinua kipaji chako.alafu kuna kitu kizur sana ktk kujieleza unatumia lugha mama mwanzo mwisho.. Wengine hapo ingekua u knw actually kibaoooo....safi kaka mkubwa
@dottocharles27975 жыл бұрын
Uko vizuri kaka.
@daxdegreefrank95375 жыл бұрын
Huyu Jamaa anatisha
@BenCheck-jx9lo5 жыл бұрын
Baraka kama jina lako lilivyo ubarikiwe ufike mbali.
@BenCheck-jx9lo5 жыл бұрын
Denis Fugamila Sana,
@kinghasheem22835 жыл бұрын
Baraka uko vizuri kujieleza wapo wajinga wasiojua kujieleza safi sana
@jazzymkalitv55352 жыл бұрын
Tunamuomba huyu kijana arudi kuendelea kuigiza kama Magufuli, huenda akili za Raisi Samia Suluhu zikamrudia. Anatutesa sana na maamuzi yake ya kutusaliti siye Wtz. BARAKA TUNAKUHITAJI
@tsitingilembombo99955 жыл бұрын
Uwezo wako wa kujibu maswali ni mkubwa.
@kinghasheem22835 жыл бұрын
Kwanza nakukubali sio muongo maana unajitambua
@mpenzujaneth71195 жыл бұрын
BARAKA, MUNGU AENDELEE KUKUBARIKI NA KUKUINUA JUU MAWINGUNI
@peterkaga96195 жыл бұрын
Jamaa noma sana
@nimrodichcharlesjr40645 жыл бұрын
Good talented
@mwaafricaharisi45185 жыл бұрын
Jamaaa Anaweza
@damianmosoka82545 жыл бұрын
Kwanini huyu mtangazaji amuulize uliishia darasa langapi???? Kwann hajamuuluza tu umefikia level gani ya elimu?
@floriennkeshimana27425 жыл бұрын
Nice
@ronaldsariah87605 жыл бұрын
Dharau. Sijui kamwonaje
@damianmosoka82545 жыл бұрын
Ujue darasa ni kuanzia la kwanza mpka la saba kwa hapa Tanzania,,, sasa huyu mtangazaji alisha mshusha hazi huyu Baraka,,, watangazaji waache dharau
@princehancesam98925 жыл бұрын
au mweshimiwa Ali........mbn mnafana sana kwa maneno
@abdukalembo7885 жыл бұрын
Prince hance Sam jiangalie dogo acha kuhisi vitu vyakijinga
@zakayosilas69635 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana jamaa yangu
@salmasaid7795 жыл бұрын
Baraka unanifurahisha upo juu
@patricks62285 жыл бұрын
Hongera Sana JPM.... Unaweza Kweli
@fortnataangelo48055 жыл бұрын
My dear baraka sio Kila swali lazima ujibu, usije ingia mtegoni, mengine sema no comment!
@abdkhalidi66255 жыл бұрын
DAaaah baraka iyo sifa inaendana na wew kabisa 😌👍
@mbodzebemasika74775 жыл бұрын
waaa Mungu ni mwema😣😣😣😣😣
@aloycekalinga7305 жыл бұрын
Upo ok sana
@vissamtelea98455 жыл бұрын
aisee uyo jamaa kiboko
@ashamnyole27765 жыл бұрын
Vissa Mtelea usikate tamaa
@jumaevarist91035 жыл бұрын
Jamaa nimekukubali ni mkweli yupo swa elimu kitu gan
@johnsway4595 жыл бұрын
Big up bro,utafika mbali sana kwan pene nia pana njia daima.
@alexnyanza94775 жыл бұрын
Hahaha huyo ni msanii shupavu#alex kutoka Kenya
@muniramussa15305 жыл бұрын
anatoboa huyu jamaa
@eunicejohn55205 жыл бұрын
Munura musa mpka hapo ameshatoboa haya maisha hayana fomula
@eunicejohn55205 жыл бұрын
Munura musa mpka hapo ameshatoboa haya maisha hayana fomula
@goodluckj90725 жыл бұрын
Good boy
@vicentnorasco82743 жыл бұрын
Gonga like kama unaona huyu jamaa genius🔥🔥🔥
@user-ik3ey9cs9e5 жыл бұрын
Huyu kijanaa angesoma. Anaonekana hata majibu yake.unapenda kumsikia.
@alexchungu88235 жыл бұрын
Angesoma???.?
@tatuta65295 жыл бұрын
uko vizuri jamani kaka ongera sana
@maubarak98315 жыл бұрын
jiendeleze baba elimu nimuhimu
@borisfrick42934 жыл бұрын
Unaweza baraka
@mkinga78895 жыл бұрын
Yupo vizur sana huyo jamaa
@sabongetz46765 жыл бұрын
ushatoka kaka
@ramadhanimagomba73955 жыл бұрын
#tnx #ayo
@isayangeze38585 жыл бұрын
uyu jamaa katoboa kiutaniutani tu
@soloartist_ivanvespalusind16095 жыл бұрын
isaya ngeze sio kiutaniutani, watu huwa wana njozi na malengo then muda ukifika yanatimia kwanamna hata wasizozitegemea lakini wakiwa na ushahidi kuwa walikuwa kama wanaona na kuhisi yaliyotokea kuwa yatatokea.
@rweyemamu75035 жыл бұрын
Piga moyo konde utafika mbali tu
@golyofrances13135 жыл бұрын
uko vzr kk bigap xn
@suzanemwangingo69323 жыл бұрын
Ila anaweza kwakweli yani utafikili magufuri
@rehemamsuya22635 жыл бұрын
Jamaa yupo makini sn hata ujibuji wa maswali yupo vzr sn
@ramafrica90165 жыл бұрын
Pacha wake si!ample hata ka uwaziri joman
@helmanikomba5765 жыл бұрын
Umejibu vizuri swali LA elimu. Kwanza kipajichako kiisaidie fsmilia na wewe, kisha elimu ije, safisana,, uo ndougsliwako ndugu, kusoma ata baadae kaka!!
@alhackmanhamisi70045 жыл бұрын
U lit broo
@elialova23555 жыл бұрын
Uko vizur bro pambana utafika
@raphaelgadau27835 жыл бұрын
👌
@mwambietv76145 жыл бұрын
Upo saafi jamaa endelea kaza buti
@kachawakikazi12175 жыл бұрын
eti hata chakula sikupata hahahaha pambana pambana
@namirihamisi38995 жыл бұрын
Na hizo mvi ni za kubandika au zako.
@aishakhamis29965 жыл бұрын
Hahahahahaha bora umuulize!
@stumaimnubi88735 жыл бұрын
unatisha kk
@soloartist_ivanvespalusind16095 жыл бұрын
Nilijua tu huyu jamaa ni lazima afike huku
@jacobomwaluka22784 жыл бұрын
Mungu atakubaliki balaka kipesile
@othmanlida69574 жыл бұрын
ukojuu
@suzanemwangingo69323 жыл бұрын
Pacha wa magu
@eliceduwe76095 жыл бұрын
Atoe kofia na anawe uso
@patrickchibuga29115 жыл бұрын
Hahahahaaa!! Ni kweli aisee umetoboa👏👏👏👏
@echasadenieiddy60225 жыл бұрын
Cool
@manmacho65295 жыл бұрын
jamaa ana roho ngumu sana anamuigiza rais alaf rais mwenyewe sio wa mchezo mchezo
@emyshaibu80895 жыл бұрын
ch ajabu kipi mbna stivini anaiga sauti ya nyerere mbna kawaida tu jmn