BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 2

  Рет қаралды 20,594

ZamaradiTV

ZamaradiTV

19 күн бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 230
@EmmyMo
@EmmyMo 16 күн бұрын
Uyo hajawah kuwa na passport bana asitudanganye hapa hkn mtoto wake😂😂😂😂😂😂😂😂 Pole kaka mganga kazi unayo😂😂
@nuryatmussa9966
@nuryatmussa9966 10 күн бұрын
Eti aliletewa passport bila kwenda uhamiaji
@stellahlinusi8215
@stellahlinusi8215 8 күн бұрын
nikweli lakini ni zile za kijani mm sijawai kwenda uamiaji​@@nuryatmussa9966
@MwaminiyusuphRwekaza
@MwaminiyusuphRwekaza Күн бұрын
Akiii nqchekaa km mazurii at kujieleza mtihaniii😂😂😂😂
@MariaHamis-cl3nu
@MariaHamis-cl3nu 16 күн бұрын
Nimesikiliza mambo ya passpot nacheka hakimungu😂😂😂
@mutamurizajosephine8349
@mutamurizajosephine8349 17 күн бұрын
Sheikh apewe crown siyo kila mwanaum ataweza kaa na diva siku2
@AmanaHussein
@AmanaHussein 16 күн бұрын
Abdul apewe 👑 👑
@ZulekhaAmar-fy4pm
@ZulekhaAmar-fy4pm 16 күн бұрын
😂😂
@EmmyMo
@EmmyMo 16 күн бұрын
Nikweli😂😂😂
@WinWilly4162
@WinWilly4162 13 күн бұрын
Kabisa
@MwaminiyusuphRwekaza
@MwaminiyusuphRwekaza Күн бұрын
Saiv ndo naelewa kumbe kingereza sio akilii😅😅😅😅😅
@diannaphabian7440
@diannaphabian7440 11 күн бұрын
Hawa watu waliowanaje jaman hata majina yao hawayajui??😂🙆‍♀️
@esthermakelemo2864
@esthermakelemo2864 17 күн бұрын
Zamaradi tupe mambo mengi,tunapenda sana mashabiki zako,na full za shoo za gigy
@queentanitah1346
@queentanitah1346 17 күн бұрын
DIVA as Diva but doesn't have a passport 😂😂😂😂 LOL ohhh my...Tanzanian celebrity
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 15 күн бұрын
Hajawahi kuwa na passport huyu😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣angesema ukweli tu waendelee kujaza majibu ya passport yake ya kwanza
@LeeLian95
@LeeLian95 13 күн бұрын
🤣🤣umewaza kama Mimi
@AmanaHussein
@AmanaHussein 16 күн бұрын
Shida ya huyu diva ni mdomo alafu hajajua nini maan ya mume na ndoa inataka nini
@sherryx.7897
@sherryx.7897 16 күн бұрын
Ikiwa mume hana uwezo wa kukununulia gari..usimlazimishe...halafu Diva u don't respect ur husband.. talk to him as a husband sio kama takataka..
@lilianpeter1631
@lilianpeter1631 14 күн бұрын
Sasa ndo nmejua mganga Hana matatizo huyu diva ndo shida hajui kuongea na mumewe
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 5 күн бұрын
Self respect,self worth and self confidence as a woman is very powerful""treat others the same way you want to be treated""control your temper cause it will cost you badly one day.
@user-td8bp9kz8d
@user-td8bp9kz8d 16 күн бұрын
Diva anaongelea maisha ya kina biyonce walioshajipataga anayaleta kwa mganga wetu wa kienyeji
@ZulekhaAmar-fy4pm
@ZulekhaAmar-fy4pm 16 күн бұрын
😂😂😂
@EmmyMo
@EmmyMo 16 күн бұрын
😂😂😂😂daaah
@lucymtui8680
@lucymtui8680 14 күн бұрын
😂 we mshenzii😂😂😂
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 5 күн бұрын
😂😂😂 kwanini mganga wenu wa kienyeji jamani
@witnessmlay7415
@witnessmlay7415 16 күн бұрын
Hehehe Abdul ulipatikana kwenye hii ndoa aisee!😂😂 Diva 🙌🏽🙌🏽
@mapishiyetumazuri2312
@mapishiyetumazuri2312 17 күн бұрын
Huyu ndiva mshamba na mjinga unaleta majina ya 😂😂😂
@user-wu8qe4fv4j
@user-wu8qe4fv4j 17 күн бұрын
Diva mashauzi yote Hana pasport duuuuuu
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 16 күн бұрын
Yaani. Hata mimi nime mshangaa sana
@salmabamba2751
@salmabamba2751 15 күн бұрын
😂😂 yaan duh
@bahatihassan5413
@bahatihassan5413 15 күн бұрын
😂😂😂😂
@firdaussheikh4817
@firdaussheikh4817 17 күн бұрын
Kumbe sheikh anamzidi akili diva na ujuzi wake wote wa social media 😂😂😂😂😂 mpaka amepoteza passport na hajajulisha sheria😂😂😂 Pole hata mm nilipoteza yangu this year I don't know when and where 😢🇬🇧🇰🇪🇾🇪
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 15 күн бұрын
Yaani kumbe yote haya! Sasa anakua diva na hajasafiri! Huyu ni mjinga Sana
@mutamurizajosephine8349
@mutamurizajosephine8349 13 күн бұрын
​@@BarbaraPatience-qt9cc😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@verbalverbal2019
@verbalverbal2019 17 күн бұрын
Diva anaweza akakwambia babake ni mhaya, lakini yeye siyo mhaya, yeye ni black america, alienda mahakamani kubadili kabila... (Giselle)😂😂😂😂😂
@faridalihondo3322
@faridalihondo3322 16 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 15 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😅
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 15 күн бұрын
Siwezi kugawa kitu mume wangu kaniletea hata kama kiwe kibaya kiasi gani huwa nakipenda na kukitunza
@NnajMimi
@NnajMimi 17 күн бұрын
Haki diva hajui kuongea vizuri na mume wake,kasema kupika hajui,harafu kumbe haelewi vitu vingi maana hata pasport tuu mume anafaham kuliko yeye msomi,analazimisha apewe vya thamani wakati bajeti hajui,yaani kumbe anamsema mume nje vibaya wakati yeye ndo tatizo,
@EmmyMo
@EmmyMo 16 күн бұрын
Exactly 💯
@marysaituni4584
@marysaituni4584 11 күн бұрын
Haya maisha yenu ni kama movie 😂😂😂 part 1/2/3/4/5/6/7/8/9/11... Hivi mwisho ni lini.. huyu mume apewe tuzo ya mume Bora.🇰🇪
@annajoseph9955
@annajoseph9955 17 күн бұрын
Huyu passport hajawah miliki bhana,,,,,huyu mwenzetu wa humuhumu tu
@EmmyMo
@EmmyMo 16 күн бұрын
😂😂😂😂
@aminanyembo8471
@aminanyembo8471 11 күн бұрын
Sio wa humu humu tu,sema wa "Bukoba"😂
@nayarichard5318
@nayarichard5318 17 күн бұрын
Ila huyu kaka anajitahidi jaman khaaaa!!
@nayarichard5318
@nayarichard5318 17 күн бұрын
Yaani hapa Abdul kajikanyaga naatakonda sana😂😂😂😂
@mutamurizajosephine8349
@mutamurizajosephine8349 17 күн бұрын
Kweli atamimi nahisi ivo,jama anapambana sana sikazi ndogo kukuwa karibu na Diva
@LeeLian95
@LeeLian95 13 күн бұрын
@@nayarichard5318mbona washaachana kitambo show yenyewe marudio hii
@LeeLian95
@LeeLian95 13 күн бұрын
@@mutamurizajosephine8349washaachana
@RandB_Channel
@RandB_Channel 17 күн бұрын
Hata kama mnesemaga mme ooo shehe lakini hata huyo diva hana tabiaya nzuri yakuwa mke wa mtu . Kumbe unatumbo kumbwa hivi wenye wesha zaha ndo wanakuwaga navimatumbo ww imekuwaje 🤔🤔🤔 huyu diva maisha ya ndao hawutaweza ju tabia yako nimbaya
@marymanoni5536
@marymanoni5536 17 күн бұрын
Mbona kawaida
@Hajer-be2kh
@Hajer-be2kh 16 күн бұрын
Hilo liko wazi
@mapishiyetumazuri2312
@mapishiyetumazuri2312 16 күн бұрын
Yani hatari kwa kweye ndo ukivuvuna hiyo huishi na mwanaume kampata huyo mume naye wataka usataa tu
@RandB_Channel
@RandB_Channel 16 күн бұрын
@@marymanoni5536 apana kwahawa wasani wana maisha yakuigiza nilisema vile kwasababu wende utizame instagram nahapa nibitu 2 tofahuti kule iko na flati stomeki apa iko namama lawo
@gracekenan4665
@gracekenan4665 16 күн бұрын
Tumbo kama langu mama kachanga ila soon nalitoa
@leokamil6284
@leokamil6284 16 күн бұрын
Eti how are you 😂 huku hujui hata Wazazi wako wamezaliwa wapi 😅
@WinWilly4162
@WinWilly4162 13 күн бұрын
Abdul ni mwanaume na Robo 3.. Kuishi na kiumbe kama Diva inabidi utumie akili hekima, busara kubwa sana.
@rehemapeter8621
@rehemapeter8621 17 күн бұрын
Kumbe muhimbili ni hospital ya muda mrefu😂😂😂and u are a journalist? Heey eh
@3Dshoez
@3Dshoez 12 күн бұрын
Yan anajifanya mgeni TZ
@fettymilly7664
@fettymilly7664 11 күн бұрын
Mtu uliletewaje passport bila ww mwenyew kufika kule anatuchukuliaje huyu divaaa😂😂😂😂😂
@monicakimati4619
@monicakimati4619 15 күн бұрын
Daah nilikua na muwaza yule Roboti wa kizungu sijui hata kwanin nimewaza hivyo😂😂😂😂
@Mwanamkesahihi01
@Mwanamkesahihi01 17 күн бұрын
Kwa hiyo huyu Director hakujua kua kuonesha kuwa diva hapa pass ni brand Damage?????
@user-zl5mt6lk4n
@user-zl5mt6lk4n 13 күн бұрын
😂
@user-wd2bc7bf5x
@user-wd2bc7bf5x 16 күн бұрын
Anaomba msamaha huku anacheka yaan hajui jns yakuishi na mume waaa japo sijaolewa bado but diva bana
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 17 күн бұрын
Si angemwambia diamond amtafutie passport😂
@user-eo4hd8xu6d
@user-eo4hd8xu6d 16 күн бұрын
Unavituko Kwel.😂😂😂😂 Sasa km mamako mzigua hatunaga se mkiwa se niuko iringa wazigua tuna mokiwa hatuna semkiwa.
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj 17 күн бұрын
Muongo huyu aitwi diva 😂😂kadi lake la clinic 😂😂😂
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌eti nililetewa nmechekaaa
@fettymilly7664
@fettymilly7664 11 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 anatuona ss machiziii
@temeketv
@temeketv 11 күн бұрын
Mwanetu shehe anapitia vitu vingi vigumu na huyu demu, sema anaweza kukaza, kipindi cha ukoloni watu kama shehe ndo walikua wanasafirishwa na cheni shingoni huku wanachekelea kuenda mambele😂 😂
@NnajMimi
@NnajMimi 17 күн бұрын
Analazimisha apewe vya thamani wakati hajui bajeti,hajui thamani ya shilingi aiseeee atabaki hapoooo
@mariamhussein7620
@mariamhussein7620 10 күн бұрын
Kwenye ndoa zenu kuna kazi na hamtuambii😂😂😂😂
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 15 күн бұрын
Yaani nimemsikiza huyu Diva! No way! Hata hana knowledge fupi sana!! Bwana naye mrongo sana! Pwagu na pwaguzi
@user-eo4hd8xu6d
@user-eo4hd8xu6d 16 күн бұрын
😂😂😂diva yaan unavitu ww af abdul yuko makin atak ujinga😅😅😅😅mara malinz mara mpare mara muhimbil
@user-ii2dp3es9h
@user-ii2dp3es9h 17 күн бұрын
Wew diva mulize giving mawigi and nunua wapi akielekezee😂😂😂
@Bashitetako
@Bashitetako 12 күн бұрын
She's so fake anajikana mzima mzima eti naenda canada hata burundi hujafika 😅
@salama1113
@salama1113 16 күн бұрын
Nilichogunguwa kweli huyu dada maishayake ni feki we hada ditel ya mzazi wako huzijui au ww sio mtz
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 17 күн бұрын
Puwagu na pwaguzi 😀😀😀
@ZulekhaAmar-fy4pm
@ZulekhaAmar-fy4pm 16 күн бұрын
Pipa namfuniko 😂😂😂
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 17 күн бұрын
Diva umeolewa na mzungu 😅
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 14 күн бұрын
Watu mnanaisha jamani. Yaani milioni tatu mnatumia mwezi???? Hamko serious😂😂😂😂😂😂
@steveabel5819
@steveabel5819 15 күн бұрын
Yaan diva ni vituko jmn mwanaume wake kazi anayo😂🙌 anajikuta sana af hana chochote mxieew na hayo mawigi kama katani
@elizabethsamwel8628
@elizabethsamwel8628 16 күн бұрын
Realty yenu mbaya hainogi
@leokamil6284
@leokamil6284 16 күн бұрын
Hii inanionyesha kwa jinsi gani upeo ni shida katika watu wengi ambao huwezi hata kuamini
@awaynaaaa3490
@awaynaaaa3490 16 күн бұрын
Yaan ndiy nimeamin kumbe huyu dada uzungu t mwing kichwan hana kitu mana anasem ety tutasem sina passport khaa sasa hajui km tarifa zipo kule nimexhek
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 15 күн бұрын
😂😂😂khaaaa jingaaa sanaa halijui kitu upuuzi 😂😂😂 mwingi kwenye kitambulisho cha nidaa lilijaza nini sengeee sanaa😂😂
@activestudios.
@activestudios. 15 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂dah
@3Dshoez
@3Dshoez 12 күн бұрын
Baada ya hii show ,Abdul shikamoooooooooooooooo ndo maana ana cheat this is too much for him,anatafuta wakumliwaza
@mvfff7224
@mvfff7224 13 күн бұрын
Nacheka mno duu yaan hapa kwenye passport duuu umetuacha sana,,, pass kuhama ipotee😅,, anajiumauma tu😂😂Shekhe kazi unayo,,,, yaan ihi ni comedy
@LeeLian95
@LeeLian95 13 күн бұрын
Huyo hajawah kua na passport anazuga tu 😂😂 Shekhe kazi anayo kivipi wakati washaachana hiyo show ya tangu mwaka jana
@mutamurizajosephine8349
@mutamurizajosephine8349 13 күн бұрын
​@@LeeLian95😂😂😂😂😂
@rosehaule6765
@rosehaule6765 12 күн бұрын
​@@LeeLian95😂😂ndio hivyo.yasn 😂😂😂diva😂😂😂
@user-rf4yq9yj7u
@user-rf4yq9yj7u 12 күн бұрын
Kweli ni comedy nimecheka saana Leo 😂😂😂😂😂😂
@josephgatunzi1670
@josephgatunzi1670 17 күн бұрын
Tukalime jamani 😂❤😂❤😂❤
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 17 күн бұрын
😂😂😂
@user-us4jy4ju4h
@user-us4jy4ju4h 17 күн бұрын
Kwakweli tushike jembe😅😂
@beatriceevan3074
@beatriceevan3074 17 күн бұрын
@zamaradi tuwekeen na ya kajała na mwanae wengine hatukuiona kwa tv plz
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 14 күн бұрын
Jamani hadi leo huna passport jamani😢
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 14 күн бұрын
Canada 🇨🇦 unaenda kufanya nini? Acha zako diva
@annajoseph9955
@annajoseph9955 17 күн бұрын
Huyu wangu nikimwagia maji ataniua sio kwa mchaga huyu uwiiiii
@AmanaHussein
@AmanaHussein 16 күн бұрын
Huyu kaka anamoyo
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 14 күн бұрын
Nimecheka hapo uliponunuliwa vitenge😅😅😂😂😂
@floraflora9490
@floraflora9490 17 күн бұрын
Diva nimejua kweli ww muongo, pp huna na wala hujui maana ya pp,
@saraheunice8661
@saraheunice8661 15 күн бұрын
na huyu mwanamume kwa kueli n mzuri sana
@sund2553
@sund2553 16 күн бұрын
Diva 😂fake sana….. mpaka anamchangany mganga
@elizabethadabu4670
@elizabethadabu4670 14 күн бұрын
Nahapo mwanaume kanyweshwa maziwa tu no food afu anaongea utumbo hapo
@nyakahodenis1473
@nyakahodenis1473 Күн бұрын
Mwanaume unaujanja mwongi😅
@3Dshoez
@3Dshoez 12 күн бұрын
Mental health is real
@MariaThomas-wm9iq
@MariaThomas-wm9iq 10 күн бұрын
Diva mbona fek mpka majina😅😅😅
@fettymilly7664
@fettymilly7664 11 күн бұрын
Kuna mdada alicomment kwenye behind the gram ya paula na kajala kwamba bora niangalie reality show hii kuliko ya diva sizipend sofa zake ikabid nije kuziangalia😂😂😂😂😂 ni kwel km sofa yang mm nnae kaa vingunguti😂😂😂
@maidimples8236
@maidimples8236 17 күн бұрын
Ati mama angu alionizaa sindio Rosemary? Reall! Is it possiple your not sure about ur mama name?
@leokamil6284
@leokamil6284 16 күн бұрын
Ndio maana kichwa kibovu huyu
@ms_teeonly
@ms_teeonly 16 күн бұрын
Hakuwahi kuwa na mama yake..alifariki akiwa mdogo hata mwaka hana
@leokamil6284
@leokamil6284 15 күн бұрын
@@ms_teeonly Ooh pole sana kwake
@user-cr4th9lr6b
@user-cr4th9lr6b 17 күн бұрын
Na u diva wote Hugo hata passport hakuwa nayo ajabu
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 17 күн бұрын
Yaani mm nimemshangaa kwa kweli
@mariakiwia
@mariakiwia 17 күн бұрын
Shikamoo kurogwa!!! 😢
@esuvathmollel2475
@esuvathmollel2475 16 күн бұрын
Hahaaa😂 Hadi Mimi nimemshinda
@Zainab_salat
@Zainab_salat 17 күн бұрын
Kweli diva acha kichwa gumu mm nilikuwa na passport haja expired tuliambiwa tuna badilisha sababu ya id imetoka
@righitkileo
@righitkileo 12 күн бұрын
Vituko jaman huyu chizi diva ataniua mm.lkn huyu shekhe jmn anaweza je kuwa na huyu ? Ha,ha,ha,ha,😂😂😂😂😂
@TabithaAlfred
@TabithaAlfred 11 күн бұрын
Mmeweza😊😊
@Masoud-bi9bq
@Masoud-bi9bq 16 сағат бұрын
miaka yote likua wapi ata passpot atengeneze leo
@leokamil6284
@leokamil6284 16 күн бұрын
Hawa wamekutana wote wanapenda sifa kujionyesha
@happynessmuro6474
@happynessmuro6474 14 күн бұрын
Passport hujui magar hujui hahaha hahha ila jaman tuishinkawaidaaa yan huyo mwanaume anamuenjoy sanaa diva coz anajikuta mjuaji so.mwanaume anakaa nyumanyumaaa,hata kuongea is acting daaa wadada
@swaiseif2989
@swaiseif2989 15 күн бұрын
Kuna mimi nikipewa laki mbili inaisha mwez mzm nabdo naulizwa imeishaje 😂😂😂😂
@christinenere4696
@christinenere4696 17 күн бұрын
Siyo lazima bwana alipata passport akiwa mtoto sasa leo anaipata wapi 😂😂😂
@nancyg8664
@nancyg8664 16 күн бұрын
😂😂we hutaki kutumwa af unataka akununulie mavitu hahaha
@fatnaabdulhassan7383
@fatnaabdulhassan7383 9 күн бұрын
Dah etiquette waambie hana passport mweh 😂😂😂😂😂😂
@user-qq2oc4bt3i
@user-qq2oc4bt3i 17 күн бұрын
Yamekwisha ni upendoo tuuuu
@Babygirl758
@Babygirl758 3 күн бұрын
diva na kitambi chake 😂
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 14 күн бұрын
Aiseee ila diva kwa mashauziii
@elizabethmwakalinga3287
@elizabethmwakalinga3287 14 күн бұрын
Prague na Pwaguzi, nimecheka sana leo hiyo issue ya passport.
@alhamdullilla5108
@alhamdullilla5108 8 күн бұрын
Kwei sheikh 😅😅😅😅 ❤❤❤
@user-og4wh1xr2c
@user-og4wh1xr2c 16 күн бұрын
Abdul.razak...find.another woman...she's not of your kind..you living different cultures
@nancyg8664
@nancyg8664 16 күн бұрын
we mshenzi hujui baba ako kazaliwa wapi hv mbona unautoto mwingi duh yan kila kitu fake fake duh never seen before
@hollymore4904
@hollymore4904 6 күн бұрын
Kumbe muhimbili ni hospital ya muda mrefu!! Hahaha mshamba huyu
@AsiaSiraji-ud9ju
@AsiaSiraji-ud9ju 17 күн бұрын
Acha uwongo we utaletewaje Passport bila ww kuwepo yaan huyu dada ni muongo
@mutamurizajosephine8349
@mutamurizajosephine8349 17 күн бұрын
Si uongo ni ushamba nakuto juwa
@Hajer-be2kh
@Hajer-be2kh 16 күн бұрын
Shangaa na ww finger print anamuekea nani😂😂😂
@leokamil6284
@leokamil6284 16 күн бұрын
Kumbe ni ile kabila ndio maana kingereza kingi 😂😅
@user-og4wh1xr2c
@user-og4wh1xr2c 16 күн бұрын
Ok gizel na lile la bowse nalo liko na Nani sasa
@tinaminja5500
@tinaminja5500 16 күн бұрын
Eeh Mungu wangu nini hiki mbona aibu mpaka ujui wazazi wako ata kama amekufa hapana jaman
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 15 күн бұрын
Familia ya kipuuzi hii😂😂😂upareni ila Abdul ana moyo wa kuishi na diva muongo muongo 😅😅😅😅😅😂majina mawili mawili ivi mnamuelewa huyuu mpuuzi bab a mtanzania linajibu muhaya😂😂
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 15 күн бұрын
Yaan Diva 😂😂😂😂 ka mtoto😅
@3Dshoez
@3Dshoez 12 күн бұрын
Hata mume hajui majina ya mkewe
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 5 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 15 күн бұрын
Majina magumu kama maisha ya Kenya 😂😂Kwani muhaya sio mtz😂😂
@user-oq2wp8oh1f
@user-oq2wp8oh1f 16 күн бұрын
Diva jaman
@Babygirl758
@Babygirl758 3 күн бұрын
is this a bad joke? 😂
@3Dshoez
@3Dshoez 12 күн бұрын
Tatizo diva inajiona beyonce kumbe hamna kitu akarekebishe MENO mdomoni yapo zig zag
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 14 күн бұрын
Ni gisela sema tu anaiandika kingleza
@edithandunguru3405
@edithandunguru3405 14 күн бұрын
Well said gal, Gisela/Gissele
@patriciacarlo7236
@patriciacarlo7236 15 күн бұрын
Mme wangu Kila kitu ananunua kwa jina langu
@AmanaHussein
@AmanaHussein 14 күн бұрын
Mashallah 💞
@happybryce1269
@happybryce1269 12 күн бұрын
Kochi chafu
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 3
29:07
ZamaradiTV
Рет қаралды 20 М.
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 7
28:22
ZamaradiTV
Рет қаралды 8 М.
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 97 МЛН
Children deceived dad #comedy
00:19
yuzvikii_family
Рет қаралды 8 МЛН
MEGA BOXES ARE BACK!!!
08:53
Brawl Stars
Рет қаралды 35 МЛН
I wish I could change THIS fast! 🤣
00:33
America's Got Talent
Рет қаралды 109 МЛН
HII NDIO SABABU YA SHILOLE KUMUACHA ROMY
5:03
MASI MEDIA
Рет қаралды 1 М.
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 1
26:44
ZamaradiTV
Рет қаралды 19 М.
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 6
26:26
ZamaradiTV
Рет қаралды 9 М.
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 4
36:03
ZamaradiTV
Рет қаралды 22 М.
SHILOLE AKIRI "NITAOLEWA HATA NDOA 30, KWANI KUNA UBAYA?
23:13
Millard Ayo
Рет қаралды 47 М.
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 5
24:23
ZamaradiTV
Рет қаралды 12 М.
Ахахах 👅
0:44
Dragon Нургелды 🐉
Рет қаралды 1,3 МЛН
КАКОЙ ЛОГОТИП ЛУЧШЕ? #Shorts #Глент
0:32
ГЛЕНТ
Рет қаралды 2,8 МЛН
Такого они не видели😱😍
0:55
Следы времени
Рет қаралды 1,8 МЛН
谁能救救小宇宙?#火影忍者 #佐助 #家庭
0:43
火影忍者一家
Рет қаралды 2,6 МЛН
Did you believe it was real? #tiktok
0:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 46 МЛН
HOW DID HE WIN? 😱
0:33
Topper Guild
Рет қаралды 29 МЛН