Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 230
@EmmyMo16 күн бұрын
Uyo hajawah kuwa na passport bana asitudanganye hapa hkn mtoto wake😂😂😂😂😂😂😂😂 Pole kaka mganga kazi unayo😂😂
@nuryatmussa996610 күн бұрын
Eti aliletewa passport bila kwenda uhamiaji
@stellahlinusi82158 күн бұрын
nikweli lakini ni zile za kijani mm sijawai kwenda uamiaji@@nuryatmussa9966
@MwaminiyusuphRwekazaКүн бұрын
Akiii nqchekaa km mazurii at kujieleza mtihaniii😂😂😂😂
@MariaHamis-cl3nu16 күн бұрын
Nimesikiliza mambo ya passpot nacheka hakimungu😂😂😂
@mutamurizajosephine834917 күн бұрын
Sheikh apewe crown siyo kila mwanaum ataweza kaa na diva siku2
@AmanaHussein16 күн бұрын
Abdul apewe 👑 👑
@ZulekhaAmar-fy4pm16 күн бұрын
😂😂
@EmmyMo16 күн бұрын
Nikweli😂😂😂
@WinWilly416213 күн бұрын
Kabisa
@MwaminiyusuphRwekazaКүн бұрын
Saiv ndo naelewa kumbe kingereza sio akilii😅😅😅😅😅
@diannaphabian744011 күн бұрын
Hawa watu waliowanaje jaman hata majina yao hawayajui??😂🙆♀️
@esthermakelemo286417 күн бұрын
Zamaradi tupe mambo mengi,tunapenda sana mashabiki zako,na full za shoo za gigy
@queentanitah134617 күн бұрын
DIVA as Diva but doesn't have a passport 😂😂😂😂 LOL ohhh my...Tanzanian celebrity
@AishaHaji-jn7sg15 күн бұрын
Hajawahi kuwa na passport huyu😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣angesema ukweli tu waendelee kujaza majibu ya passport yake ya kwanza
@LeeLian9513 күн бұрын
🤣🤣umewaza kama Mimi
@AmanaHussein16 күн бұрын
Shida ya huyu diva ni mdomo alafu hajajua nini maan ya mume na ndoa inataka nini
@sherryx.789716 күн бұрын
Ikiwa mume hana uwezo wa kukununulia gari..usimlazimishe...halafu Diva u don't respect ur husband.. talk to him as a husband sio kama takataka..
@lilianpeter163114 күн бұрын
Sasa ndo nmejua mganga Hana matatizo huyu diva ndo shida hajui kuongea na mumewe
@blandinamyinga94895 күн бұрын
Self respect,self worth and self confidence as a woman is very powerful""treat others the same way you want to be treated""control your temper cause it will cost you badly one day.
@user-td8bp9kz8d16 күн бұрын
Diva anaongelea maisha ya kina biyonce walioshajipataga anayaleta kwa mganga wetu wa kienyeji
@ZulekhaAmar-fy4pm16 күн бұрын
😂😂😂
@EmmyMo16 күн бұрын
😂😂😂😂daaah
@lucymtui868014 күн бұрын
😂 we mshenzii😂😂😂
@agnesjohn93825 күн бұрын
😂😂😂 kwanini mganga wenu wa kienyeji jamani
@witnessmlay741516 күн бұрын
Hehehe Abdul ulipatikana kwenye hii ndoa aisee!😂😂 Diva 🙌🏽🙌🏽
@mapishiyetumazuri231217 күн бұрын
Huyu ndiva mshamba na mjinga unaleta majina ya 😂😂😂
@user-wu8qe4fv4j17 күн бұрын
Diva mashauzi yote Hana pasport duuuuuu
@reynaaalrawahi413716 күн бұрын
Yaani. Hata mimi nime mshangaa sana
@salmabamba275115 күн бұрын
😂😂 yaan duh
@bahatihassan541315 күн бұрын
😂😂😂😂
@firdaussheikh481717 күн бұрын
Kumbe sheikh anamzidi akili diva na ujuzi wake wote wa social media 😂😂😂😂😂 mpaka amepoteza passport na hajajulisha sheria😂😂😂 Pole hata mm nilipoteza yangu this year I don't know when and where 😢🇬🇧🇰🇪🇾🇪
@BarbaraPatience-qt9cc15 күн бұрын
Yaani kumbe yote haya! Sasa anakua diva na hajasafiri! Huyu ni mjinga Sana
@mutamurizajosephine834913 күн бұрын
@@BarbaraPatience-qt9cc😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@verbalverbal201917 күн бұрын
Diva anaweza akakwambia babake ni mhaya, lakini yeye siyo mhaya, yeye ni black america, alienda mahakamani kubadili kabila... (Giselle)😂😂😂😂😂
@faridalihondo332216 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@nantaembanusurupia567415 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@peaceisrael815814 күн бұрын
😂😂😂😂😂😅
@AishaHaji-jn7sg15 күн бұрын
Siwezi kugawa kitu mume wangu kaniletea hata kama kiwe kibaya kiasi gani huwa nakipenda na kukitunza
@NnajMimi17 күн бұрын
Haki diva hajui kuongea vizuri na mume wake,kasema kupika hajui,harafu kumbe haelewi vitu vingi maana hata pasport tuu mume anafaham kuliko yeye msomi,analazimisha apewe vya thamani wakati bajeti hajui,yaani kumbe anamsema mume nje vibaya wakati yeye ndo tatizo,
@EmmyMo16 күн бұрын
Exactly 💯
@marysaituni458411 күн бұрын
Haya maisha yenu ni kama movie 😂😂😂 part 1/2/3/4/5/6/7/8/9/11... Hivi mwisho ni lini.. huyu mume apewe tuzo ya mume Bora.🇰🇪
@annajoseph995517 күн бұрын
Huyu passport hajawah miliki bhana,,,,,huyu mwenzetu wa humuhumu tu
@EmmyMo16 күн бұрын
😂😂😂😂
@aminanyembo847111 күн бұрын
Sio wa humu humu tu,sema wa "Bukoba"😂
@nayarichard531817 күн бұрын
Ila huyu kaka anajitahidi jaman khaaaa!!
@nayarichard531817 күн бұрын
Yaani hapa Abdul kajikanyaga naatakonda sana😂😂😂😂
@mutamurizajosephine834917 күн бұрын
Kweli atamimi nahisi ivo,jama anapambana sana sikazi ndogo kukuwa karibu na Diva
@LeeLian9513 күн бұрын
@@nayarichard5318mbona washaachana kitambo show yenyewe marudio hii
@LeeLian9513 күн бұрын
@@mutamurizajosephine8349washaachana
@RandB_Channel17 күн бұрын
Hata kama mnesemaga mme ooo shehe lakini hata huyo diva hana tabiaya nzuri yakuwa mke wa mtu . Kumbe unatumbo kumbwa hivi wenye wesha zaha ndo wanakuwaga navimatumbo ww imekuwaje 🤔🤔🤔 huyu diva maisha ya ndao hawutaweza ju tabia yako nimbaya
@marymanoni553617 күн бұрын
Mbona kawaida
@Hajer-be2kh16 күн бұрын
Hilo liko wazi
@mapishiyetumazuri231216 күн бұрын
Yani hatari kwa kweye ndo ukivuvuna hiyo huishi na mwanaume kampata huyo mume naye wataka usataa tu
@RandB_Channel16 күн бұрын
@@marymanoni5536 apana kwahawa wasani wana maisha yakuigiza nilisema vile kwasababu wende utizame instagram nahapa nibitu 2 tofahuti kule iko na flati stomeki apa iko namama lawo
@gracekenan466516 күн бұрын
Tumbo kama langu mama kachanga ila soon nalitoa
@leokamil628416 күн бұрын
Eti how are you 😂 huku hujui hata Wazazi wako wamezaliwa wapi 😅
@WinWilly416213 күн бұрын
Abdul ni mwanaume na Robo 3.. Kuishi na kiumbe kama Diva inabidi utumie akili hekima, busara kubwa sana.
@rehemapeter862117 күн бұрын
Kumbe muhimbili ni hospital ya muda mrefu😂😂😂and u are a journalist? Heey eh
@3Dshoez12 күн бұрын
Yan anajifanya mgeni TZ
@fettymilly766411 күн бұрын
Mtu uliletewaje passport bila ww mwenyew kufika kule anatuchukuliaje huyu divaaa😂😂😂😂😂
@monicakimati461915 күн бұрын
Daah nilikua na muwaza yule Roboti wa kizungu sijui hata kwanin nimewaza hivyo😂😂😂😂
@Mwanamkesahihi0117 күн бұрын
Kwa hiyo huyu Director hakujua kua kuonesha kuwa diva hapa pass ni brand Damage?????
@user-zl5mt6lk4n13 күн бұрын
😂
@user-wd2bc7bf5x16 күн бұрын
Anaomba msamaha huku anacheka yaan hajui jns yakuishi na mume waaa japo sijaolewa bado but diva bana
@rajabdibwa641517 күн бұрын
Si angemwambia diamond amtafutie passport😂
@user-eo4hd8xu6d16 күн бұрын
Unavituko Kwel.😂😂😂😂 Sasa km mamako mzigua hatunaga se mkiwa se niuko iringa wazigua tuna mokiwa hatuna semkiwa.
@rukaya-jg7hj17 күн бұрын
Muongo huyu aitwi diva 😂😂kadi lake la clinic 😂😂😂
@lilianestephanie788114 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌eti nililetewa nmechekaaa
@fettymilly766411 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 anatuona ss machiziii
@temeketv11 күн бұрын
Mwanetu shehe anapitia vitu vingi vigumu na huyu demu, sema anaweza kukaza, kipindi cha ukoloni watu kama shehe ndo walikua wanasafirishwa na cheni shingoni huku wanachekelea kuenda mambele😂 😂
@NnajMimi17 күн бұрын
Analazimisha apewe vya thamani wakati hajui bajeti,hajui thamani ya shilingi aiseeee atabaki hapoooo
@mariamhussein762010 күн бұрын
Kwenye ndoa zenu kuna kazi na hamtuambii😂😂😂😂
@BarbaraPatience-qt9cc15 күн бұрын
Yaani nimemsikiza huyu Diva! No way! Hata hana knowledge fupi sana!! Bwana naye mrongo sana! Pwagu na pwaguzi
@user-eo4hd8xu6d16 күн бұрын
😂😂😂diva yaan unavitu ww af abdul yuko makin atak ujinga😅😅😅😅mara malinz mara mpare mara muhimbil
@user-ii2dp3es9h17 күн бұрын
Wew diva mulize giving mawigi and nunua wapi akielekezee😂😂😂
@Bashitetako12 күн бұрын
She's so fake anajikana mzima mzima eti naenda canada hata burundi hujafika 😅
@salama111316 күн бұрын
Nilichogunguwa kweli huyu dada maishayake ni feki we hada ditel ya mzazi wako huzijui au ww sio mtz
@reynaaalrawahi413717 күн бұрын
Puwagu na pwaguzi 😀😀😀
@ZulekhaAmar-fy4pm16 күн бұрын
Pipa namfuniko 😂😂😂
@reynaaalrawahi413717 күн бұрын
Diva umeolewa na mzungu 😅
@lilianestephanie788114 күн бұрын
Watu mnanaisha jamani. Yaani milioni tatu mnatumia mwezi???? Hamko serious😂😂😂😂😂😂
@steveabel581915 күн бұрын
Yaan diva ni vituko jmn mwanaume wake kazi anayo😂🙌 anajikuta sana af hana chochote mxieew na hayo mawigi kama katani
@elizabethsamwel862816 күн бұрын
Realty yenu mbaya hainogi
@leokamil628416 күн бұрын
Hii inanionyesha kwa jinsi gani upeo ni shida katika watu wengi ambao huwezi hata kuamini
@awaynaaaa349016 күн бұрын
Yaan ndiy nimeamin kumbe huyu dada uzungu t mwing kichwan hana kitu mana anasem ety tutasem sina passport khaa sasa hajui km tarifa zipo kule nimexhek
@aishaabrahaman995715 күн бұрын
😂😂😂khaaaa jingaaa sanaa halijui kitu upuuzi 😂😂😂 mwingi kwenye kitambulisho cha nidaa lilijaza nini sengeee sanaa😂😂
@activestudios.15 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂dah
@3Dshoez12 күн бұрын
Baada ya hii show ,Abdul shikamoooooooooooooooo ndo maana ana cheat this is too much for him,anatafuta wakumliwaza
@mvfff722413 күн бұрын
Nacheka mno duu yaan hapa kwenye passport duuu umetuacha sana,,, pass kuhama ipotee😅,, anajiumauma tu😂😂Shekhe kazi unayo,,,, yaan ihi ni comedy
@LeeLian9513 күн бұрын
Huyo hajawah kua na passport anazuga tu 😂😂 Shekhe kazi anayo kivipi wakati washaachana hiyo show ya tangu mwaka jana
@mutamurizajosephine834913 күн бұрын
@@LeeLian95😂😂😂😂😂
@rosehaule676512 күн бұрын
@@LeeLian95😂😂ndio hivyo.yasn 😂😂😂diva😂😂😂
@user-rf4yq9yj7u12 күн бұрын
Kweli ni comedy nimecheka saana Leo 😂😂😂😂😂😂
@josephgatunzi167017 күн бұрын
Tukalime jamani 😂❤😂❤😂❤
@reynaaalrawahi413717 күн бұрын
😂😂😂
@user-us4jy4ju4h17 күн бұрын
Kwakweli tushike jembe😅😂
@beatriceevan307417 күн бұрын
@zamaradi tuwekeen na ya kajała na mwanae wengine hatukuiona kwa tv plz
@peaceisrael815814 күн бұрын
Jamani hadi leo huna passport jamani😢
@lilianestephanie788114 күн бұрын
Canada 🇨🇦 unaenda kufanya nini? Acha zako diva
@annajoseph995517 күн бұрын
Huyu wangu nikimwagia maji ataniua sio kwa mchaga huyu uwiiiii
@AmanaHussein16 күн бұрын
Huyu kaka anamoyo
@lilianestephanie788114 күн бұрын
Nimecheka hapo uliponunuliwa vitenge😅😅😂😂😂
@floraflora949017 күн бұрын
Diva nimejua kweli ww muongo, pp huna na wala hujui maana ya pp,
@saraheunice866115 күн бұрын
na huyu mwanamume kwa kueli n mzuri sana
@sund255316 күн бұрын
Diva 😂fake sana….. mpaka anamchangany mganga
@elizabethadabu467014 күн бұрын
Nahapo mwanaume kanyweshwa maziwa tu no food afu anaongea utumbo hapo
@nyakahodenis1473Күн бұрын
Mwanaume unaujanja mwongi😅
@3Dshoez12 күн бұрын
Mental health is real
@MariaThomas-wm9iq10 күн бұрын
Diva mbona fek mpka majina😅😅😅
@fettymilly766411 күн бұрын
Kuna mdada alicomment kwenye behind the gram ya paula na kajala kwamba bora niangalie reality show hii kuliko ya diva sizipend sofa zake ikabid nije kuziangalia😂😂😂😂😂 ni kwel km sofa yang mm nnae kaa vingunguti😂😂😂
@maidimples823617 күн бұрын
Ati mama angu alionizaa sindio Rosemary? Reall! Is it possiple your not sure about ur mama name?
@leokamil628416 күн бұрын
Ndio maana kichwa kibovu huyu
@ms_teeonly16 күн бұрын
Hakuwahi kuwa na mama yake..alifariki akiwa mdogo hata mwaka hana
@leokamil628415 күн бұрын
@@ms_teeonly Ooh pole sana kwake
@user-cr4th9lr6b17 күн бұрын
Na u diva wote Hugo hata passport hakuwa nayo ajabu
@reynaaalrawahi413717 күн бұрын
Yaani mm nimemshangaa kwa kweli
@mariakiwia17 күн бұрын
Shikamoo kurogwa!!! 😢
@esuvathmollel247516 күн бұрын
Hahaaa😂 Hadi Mimi nimemshinda
@Zainab_salat17 күн бұрын
Kweli diva acha kichwa gumu mm nilikuwa na passport haja expired tuliambiwa tuna badilisha sababu ya id imetoka
@righitkileo12 күн бұрын
Vituko jaman huyu chizi diva ataniua mm.lkn huyu shekhe jmn anaweza je kuwa na huyu ? Ha,ha,ha,ha,😂😂😂😂😂
@TabithaAlfred11 күн бұрын
Mmeweza😊😊
@Masoud-bi9bq16 сағат бұрын
miaka yote likua wapi ata passpot atengeneze leo
@leokamil628416 күн бұрын
Hawa wamekutana wote wanapenda sifa kujionyesha
@happynessmuro647414 күн бұрын
Passport hujui magar hujui hahaha hahha ila jaman tuishinkawaidaaa yan huyo mwanaume anamuenjoy sanaa diva coz anajikuta mjuaji so.mwanaume anakaa nyumanyumaaa,hata kuongea is acting daaa wadada
@swaiseif298915 күн бұрын
Kuna mimi nikipewa laki mbili inaisha mwez mzm nabdo naulizwa imeishaje 😂😂😂😂
@christinenere469617 күн бұрын
Siyo lazima bwana alipata passport akiwa mtoto sasa leo anaipata wapi 😂😂😂
@nancyg866416 күн бұрын
😂😂we hutaki kutumwa af unataka akununulie mavitu hahaha
@fatnaabdulhassan73839 күн бұрын
Dah etiquette waambie hana passport mweh 😂😂😂😂😂😂
@user-qq2oc4bt3i17 күн бұрын
Yamekwisha ni upendoo tuuuu
@Babygirl7583 күн бұрын
diva na kitambi chake 😂
@lilianestephanie788114 күн бұрын
Aiseee ila diva kwa mashauziii
@elizabethmwakalinga328714 күн бұрын
Prague na Pwaguzi, nimecheka sana leo hiyo issue ya passport.
@alhamdullilla51088 күн бұрын
Kwei sheikh 😅😅😅😅 ❤❤❤
@user-og4wh1xr2c16 күн бұрын
Abdul.razak...find.another woman...she's not of your kind..you living different cultures
@nancyg866416 күн бұрын
we mshenzi hujui baba ako kazaliwa wapi hv mbona unautoto mwingi duh yan kila kitu fake fake duh never seen before
@hollymore49046 күн бұрын
Kumbe muhimbili ni hospital ya muda mrefu!! Hahaha mshamba huyu
@AsiaSiraji-ud9ju17 күн бұрын
Acha uwongo we utaletewaje Passport bila ww kuwepo yaan huyu dada ni muongo
@mutamurizajosephine834917 күн бұрын
Si uongo ni ushamba nakuto juwa
@Hajer-be2kh16 күн бұрын
Shangaa na ww finger print anamuekea nani😂😂😂
@leokamil628416 күн бұрын
Kumbe ni ile kabila ndio maana kingereza kingi 😂😅
@user-og4wh1xr2c16 күн бұрын
Ok gizel na lile la bowse nalo liko na Nani sasa
@tinaminja550016 күн бұрын
Eeh Mungu wangu nini hiki mbona aibu mpaka ujui wazazi wako ata kama amekufa hapana jaman
@aishaabrahaman995715 күн бұрын
Familia ya kipuuzi hii😂😂😂upareni ila Abdul ana moyo wa kuishi na diva muongo muongo 😅😅😅😅😅😂majina mawili mawili ivi mnamuelewa huyuu mpuuzi bab a mtanzania linajibu muhaya😂😂
@nantaembanusurupia567415 күн бұрын
Yaan Diva 😂😂😂😂 ka mtoto😅
@3Dshoez12 күн бұрын
Hata mume hajui majina ya mkewe
@agnesjohn93825 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@chunaabdullah133315 күн бұрын
Majina magumu kama maisha ya Kenya 😂😂Kwani muhaya sio mtz😂😂
@user-oq2wp8oh1f16 күн бұрын
Diva jaman
@Babygirl7583 күн бұрын
is this a bad joke? 😂
@3Dshoez12 күн бұрын
Tatizo diva inajiona beyonce kumbe hamna kitu akarekebishe MENO mdomoni yapo zig zag