Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 48
@hadijamshimbula761629 күн бұрын
Nakupenda sana Diva❤❤❤❤MUNGU akupe hitaji la moyo wako dear
@rahabu149729 күн бұрын
Wakwanza Leo naomben like hata mbili jmn
@AmanaHussein29 күн бұрын
Happy muharam happy new year leooooooo🫂
@RandB_Channel29 күн бұрын
Nawewe Diva hajielewi maneno yakuambiwa yanvunja ndoa mingi sana na mmeo mwobote hamujielewi
@MwanakomboNassor-bw3by28 күн бұрын
Masha Allah umependeza leo
@rajabdibwa641528 күн бұрын
Huyu diva kama chizzy fresh😂😂
@AishaHaji-jn7sg29 күн бұрын
Geti limefungwa ili😂 vitu vya mke mwenzio vitolewe 😂😂😂😂😂😂
@esthermakelemo286429 күн бұрын
Ila nyie walimwengu wachomozi
@fatmaabdallah770928 күн бұрын
Diva ndugu yangu unajidhalilisha hivyo mpaka wafanyakazi wanakudharau wanakufungia mageti wakikuona😂😂😂
@steveabel581927 күн бұрын
Jamani diva ndo utembee peku bila viatu🙌😂 15:55
@Zainab_salat29 күн бұрын
Amefunga ndoa😂😂😂😂 kwann unaficha, masha mmbeya
@rehemapeter862129 күн бұрын
Na shoga ake hawana akili et wakampige huyo mwanamke😂😂😂
@user-em5fd4qr6g28 күн бұрын
What kind of marriage is this?
@angelinamwakadi522627 күн бұрын
Jameni mlinzi si afuata maagizo😂😂
@cdeleo933627 күн бұрын
Kwani huyu hiyo ndoa ni lazima? Duuh hatari
@annajoseph995529 күн бұрын
Diva ni mkorofi duh,,,mbabe looh
@user-np8wv7el5m15 күн бұрын
Kwa kweli hii behind de gram ya diva nimeangalia mpka hii episode lkn redflag nimingi kwa kweli huyu dada akona subra Diva his ndoa uanilazimisha ww
@nancyg866429 күн бұрын
jamani sipendi mtu anaenifokea naeza mnasa makofi
@sund255326 күн бұрын
Hii ndoa unadharauliwa hadi na walinzi mi hapana haki uwiiii
@Sunshine022229 күн бұрын
Napenda hichi kipindi
@sharifabahar990528 күн бұрын
😂😂😂anataka kununulia gari tulia ww
@jamilaathumani548129 күн бұрын
Apo mwenye makosa ni abduli si mwingine..ila anakana tu kwa aibu
@lizzshayo206129 күн бұрын
Hahahahahah 😂😂😂😂 pwapwapwapwa
@salamalsawaqi120629 күн бұрын
Ongea kiswahiri wengine hatujui kizungu
@deega123427 күн бұрын
15:41 bila viatu? kweli Diva? what diva r u!!
@NaimaSalum-di8zj28 күн бұрын
Duh sio kwa Wigi ilo
@user-wy9rv2vm4s29 күн бұрын
Hayo mawigi shoga hayakutii wahka 😅
@queenmilan202428 күн бұрын
Mawigi ya katani
@elizabethsamwel862828 күн бұрын
Diva king'ang'a
@upendommbaga707027 күн бұрын
Diva katika kosa aliwahi kufanya duniani ni kuolewa na huyo kaka.. yaani hapo ndo heshima yake ilipopotea kabsa
@user-wu8qe4fv4j29 күн бұрын
Unapendeza ukiva nguo Akujistriri
@lucia2024029 күн бұрын
Ila mawigi ya diva😂😂😂
@dublea411828 күн бұрын
😂 Ma wigs ya TheBawse😂
@steveabel581927 күн бұрын
Ni kasheshe😂 mawigi ya mtumba
@hannansaidahmed194327 күн бұрын
Ungejua kama unajidhalilisha tu ungeeachaga huo ujinga dada
@AmanaHussein29 күн бұрын
Si Kwa udhalilishaji huu etii vitu vyangu. aibu ushatuambia vitu ni vyako office mzima hatauku pia hakuficha jamaniiiiii diva kiboko🤐
@NaimaSalum-di8zj28 күн бұрын
We akili huna na uyo mwanaume hakupendi yani ujiongezi shoga na ilo wigi ndio umekua kichaa
@sofiasimbasimbasofia242027 күн бұрын
Mumeo mshezi mshez duh siku kitakapo Kutoka mikononi ndio utajuwa diva jifunze kujibu wacha kuropoka
@darlenedada65129 күн бұрын
Ndo utembee bila viatu
@ramhuudulla892128 күн бұрын
Ujinga mtupu mwanamke anamnyambua mumewe kama si mumewe kisha mwisho wa siku wanalala pamoja mke anasubutu kukkuita mshenzi hadharan Kisha mwaame anaigiza anasimamia misingi ya dini wapuuuzi wote wanapotezeana muda tu Wala hawaana funzo lolote wala burudani yyt kwa jamiii kichechefu tu. Labda iwe wanaigiza mwanamke mdomo mchaaafuuuu kiliko hao washezi