Leo Tarehe 29 June 2023 ,Muimbaji Wa Muziki wa Injili Tanzania Bella Komba amefunguka Mengi kuhusu Maisha na Huduma.
Пікірлер: 191
@YonahEmanuel5 күн бұрын
Hongera sana bella kombo mungu akuangazie nuru, lakni mimi pia napenda kuimba so naomba connection yako,
@JaneyChigga8 күн бұрын
Bella ukiendelea na utulivu ulionao ktk kumsikiliza Mungu utafika mbali sana. Utaliishi kusudi la Mungu. Nimekusikiliza una kitu kikubwa cha Mungu. Pambana, ng'ang'ana utamaliza na Kristo. Mungu akutunze.
@ebbyescor761411 ай бұрын
Vita wanazopitia waimbaji inabidi tuwaombee sana
@lizzynkifu417910 ай бұрын
Sana
@juddiewandera5 ай бұрын
Asante sana Kwa mtazamo wako. Waimbaji kama watumishi wengine, wanapitia vita sana haswa wakiwa Kwa ndoa, wanapigwa vita sana Kwa sababu ya Ile mwito walio nao
@rev.mariamarthachazkailemb6092 ай бұрын
Uko sahihi kabisa watu wanahukum bila kufikiri..waimbaji wanapigwa sana na majeshi ya kuzim
@darcasgodfrey80822 ай бұрын
Well said
@johnsonmushi453723 күн бұрын
True brother, ikumbukwe hiyo nafasi ilikua ya Lucifer mwenyewe,
@williamnassari959411 күн бұрын
Mungu akutunze sana Madame Bella. Focus!
@user-gg1hg3zy4fАй бұрын
Unaimba vzr hongera ila muombe sana mungu uwe mnyenyekevu
@esthershonde1453Ай бұрын
Bell nimekupenda buree, Mungu azidi kukuinua zaidi mtumishi wake
@nuhumathewsalasala1708Ай бұрын
Bella nikikuangalia naona neema ya Mungu inavyotenda kazi kwa watu mbalimbali. Uendelee kukua katika Bwana na kumuelewa zaidi na zaidi. Na kamwe usiache kumuinua Bwana ata kama vikwazo viweje songa mbele.
@highnessnkini10 ай бұрын
Bella nimekuelewa pia nakupenda Sana nyimbo ya nifinyange imenivusha pakubwa Sana ubarikiwe Sana
@johnsonmushi453723 күн бұрын
Bella hongera sana unaimba kwa hisia kutoka moyoni, mwamini sana MUNGU, anakuheshimisha, usiumizwe na comment mbaya, that was past life. Ukizaliwa upya MUNGU anasamehe na kufuta yote.
@MartinMawenya3 сағат бұрын
Kuhusu ndoa bado afundishwe,,idara yao inaongoza kwa talaka.
@lifecoachwithlina187910 ай бұрын
Dada Bella i love you for real has kwa eneo la ndoa .Maisha ya ndoa siyo ya mteremko, yanakuwa na ups and down kama tu yalivyo maisha ya wokovu yasivyo mepesi. chamno ni kuomba sana.kumbuka shetani anapinga sana ndoa na ndo maana ndoa ndoa nyingi zina changamoto.Mwanandoa dumu katika kuomba sana. usisikilize maneno msikilize Mungu.
@FainesyKyando2 ай бұрын
Mungu anawapenda watu wote hata wenye tatuu ni wake.usiangalie madhaifu tu.inawezekana wewe Mungu anakuonyesha madhaifu ili uombe sio uhukumu.hakuna aliyekamilika tunakamilishwa na Roho Mtakatifu kila siku
@mosesmaingi-ep6gb2 ай бұрын
Bela kombo The blood of Jesus cover you in Jesus name ❤❤
@user-bx3ko9ft5t2 ай бұрын
Jinsi ulivo jibu kweli wew umeokoka dada uko vizuri
@syriansanguli4765 Жыл бұрын
My favourite🎉@bella kombo
@maurismbonimpa45689 ай бұрын
I love you bella
@agnesnnko887211 ай бұрын
Waaa ooooh kumbe Pazia una TV.👏👏👏👏
@kayombo4730 Жыл бұрын
Una maswali mazuri, #MrJohn #Inspired
@happynessyusufu8258 Жыл бұрын
Good sana dada umenifundisha jambo
@annatemu44889 ай бұрын
Nimemuelewa vizuri sanaa Bella,Mungu akutunze
@jaquelineokioma8402 ай бұрын
Amen.purpose and vision
@martinejustinee363311 ай бұрын
Amina
@winnifridaashery4449 Жыл бұрын
Nakupendaga sana we mdada jmn.Umeongea point sana
@robertadolf5622 ай бұрын
Bella my bby. pole dear
@Teresiabundala2 ай бұрын
I Love you Bella.
@Rachou9410 ай бұрын
Yesu akutiy nguvu dada unanibariki saaaana nakupenda saaaana
@theroofofafricaadventures657811 ай бұрын
I want to meet you next time I come to TRanzania!
@sosthenesmaemba2 ай бұрын
Naomba jina Hilo la NJUU, Litume, ni jina zuri sana My dada tafadhali sana,
@oumabyronproduction2 ай бұрын
Wonderfull
@upendojoseph7912 Жыл бұрын
Good dada
@jameskataliko63922 ай бұрын
Belle Komboa, acha neno yangu ibaki moyoni. Oza kitoko
@CanBoy-iu4mz2 ай бұрын
Mungu akubariki daima
@florencemalonza34412 ай бұрын
Wow,this lady is very wise and blessed
@DastanKulwa2 ай бұрын
Bella I thought your from Nigeria,be blessed bella
@tabithakitundu87362 ай бұрын
Ukisema mwombaji naamini your songs zinathibitisha hilo
@anitajohn383411 ай бұрын
😮bella kumbe ni mtz
@JOJoButchery2 ай бұрын
Mungu akuongoze dadaangu
@patriciaeliya6907Ай бұрын
Love you sister 💖😘 may God continue to use you in his kingdom ❤
@JackieMichael-je6tw2 ай бұрын
Asante dada
@witnescholela115610 ай бұрын
Jaman Bella nakupenda mama yangu unanifundisha saaana❤❤
@CanBoy-iu4mz2 ай бұрын
Nakupenda bela ila zivutiwi ulivyochora mwili nimachukizo mbele ya uso wa Mungu
@angelemmanuel71432 ай бұрын
Hiyo ni zamani kabla ya wokovu nadhani wajua tatu haifutiki
@CanBoy-iu4mz2 ай бұрын
I like you
@hellenrichard1872 ай бұрын
Alijichora kabla hajaokoka jmn alikuwa bongo fleva huko na kama unavyojua tatoo hazifutiki so inabidi uishi nazo hivyo hivyo lkn ndani yako umekuwa mtu mpya
@godwinkileo7702Ай бұрын
kwahiyo afanye nini? alikua kwenye bongo fleva akajichora, sasa ameokoka
@julieeliah5511Ай бұрын
Hivii wewe ulizaliwa ukiwa umeokoka? Je Roho Mtakatifu akiyafunua uyafanyayo sirini watu wasiyoyaona/kuyajua. Muhukumu ni Mungu pekee maana anatujua sote jinsi tulivyo.
@raphaelkessy73602 ай бұрын
Bela ubarikiwe barikiwa
@johtimoth425010 ай бұрын
Maneno yako ni mazuri MUNGU akubariki sana.
@edsonmwijage5462 ай бұрын
Ubarikiwe sana dada yangu!! Huduma yako ni njema
@hafsalucky10882 ай бұрын
Mungu Akubariki sn Bella na Azidi kukutumia🙏
@user-nb6hl5lc9g2 ай бұрын
Bella kombo MUNGU akutangulie zaidi ❤❤
@puritycherotich85916 ай бұрын
Awesome God
@PhilipoSaimonАй бұрын
Mungu akubariki na barikiwa na huduma zako
@DeboraKyembela10 ай бұрын
Yanii kama ni kitu watu especially wanawake maarufu wanapaswa kujifunza basi ni hii kitu ya ndoa.. Yanii nimekuelewa sana ma Mtumishi.. keep it up !!! Natamani ningekupongeza nikupe mkono kabisaa sema uko mbali. Huo uelewa ni making sanaa.. Safiii
@jasirimjasirimedia7940 Жыл бұрын
💪💪💪💪🔥🔥🔥
@samwelmwiru67822 ай бұрын
Very authentic responses
@aloycendalu686710 күн бұрын
Aiseehuyumdada kweliameokoka kwanza anaujasili wakipekee
@RachelMkumboАй бұрын
❤❤ my sister
@lynnettemas85132 ай бұрын
Wokovu haujigambi,hauringi n that's what I have seen in you Bella
@user-it5gj7ls8t10 ай бұрын
Mwambie na mpenda ❤❤❤
@esterngirwa1022 Жыл бұрын
❤❤❤❤
@lynnettemas85132 ай бұрын
Now I believe, the thing is the HOLY SPIRIT,he must intervene n do it, not me not you. You are real n I love it. Am strongly touched by the song MUNGU MMOJA. Be blessed Bella
@jasperswai9320 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤
@barakamwange-tq2qvАй бұрын
Mungu akuinue
@MartinMawenya3 сағат бұрын
Kama alikua amechora kabla ya kuokoka ,unajaji vp kuhusu tatoo?,,why,,huoni ukuu wa neema aloipata ,,Iteni wote waje na tatoo zào. Mungu anawapenda.
@user-tf8mx2if5q9 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@mosesmaingi-ep6gb2 ай бұрын
The blood of Jesus cover you in Jesus name
@graysonsika9 ай бұрын
❤
@levizwannah9 ай бұрын
Well, I think you guys need to work on your audio. But great job.
@kennedybrown3482 ай бұрын
Women of God
@lyimoej7198Ай бұрын
Watu wengi wanashindwa kuelewa maana ya hofu ya Mungu. Ukichambua kwenye biblia kitabu cha mithali hofu ya Mungu ni kuchukia maovu.
@stellashao7885Ай бұрын
Amen
@lyimoej7198Ай бұрын
@@stellashao7885 amen
@emmaculategideon Жыл бұрын
Nimekuelewa Bella, kua na Nia ya Kristo...huo ndo msingi!! Mungu akubariki mtumishi wa Bwana, Leo nimekujua Kwa upya...be blessed
@pastorbarakangata60611 ай бұрын
imani pasipo matendo imekufa,anavaa suruali haoki kwamba anawaingiza wanaume kwenye tamaa ya uzinzi kupitia mwili wake
@Charlotte-zi3cz11 ай бұрын
@@pastorbarakangata606 Kwanini mtu alie okoka anamjua Mungu aingizwe kwenye uzinzi na suruali
@pastorbarakangata60610 ай бұрын
anaemtamanisha mwenzake na atakaetamani wote watahukumiwa,suruali inachora maumbile ya mwanamke kaaa na wanaume wakuambie jiulize
@odilomwemeziernest6462 ай бұрын
@@pastorbarakangata606 wewe ndo hujaokoka hata ukiona waliovaa dela unatamani tu,hampendi kuokoka mnasingizia kuvaa masuluali
@pastorbarakangata6062 ай бұрын
@@odilomwemeziernest646 wewe unajua sababu ya ibilisi kuleta suruali za kike duniani au unavaa tu kwa kuiga watu jiulize,duniani kila jambo linakusudi lake kusudi jema au baya,kama akipata mtoto wa kiume atamfundisha nn kupitia suruali zinazochora makalio na uke atamuingiza mtoto kwenye tamaa.kwanza jiulize pale unapotaka vaa suruali lengo lako ni nini,wanaume wanaume wayasifue na wayatamani matako na hips,wasanii wa bongofleva nyimbo zao zinasifia nini matako,hips,miguu ya bia na kuvaa suruali kumeanzia kwenye bongofleva na sasa hawavai suruali wanaonesha utupu ili maumbile yao yaonekane vizuri zaidi na kwasababu gospel singer huiga wataiga kuwa uchi,wanaume kusuka rasta,dredi,kukata mauno na mengineyo.wewe kama ni wakala shetani kwako ni sawa na mshindwe kwa jina la yesu lengo lenu tushalijua wanajifanya wameokoka na kuanza kuimba gospel song au kuhubiri huku tabia zao hazijabadilika,lengo lenu ni kuaribu maadili ya ukristo hamtaweza kwa jina la yesu na amini ivyo
@AmosObanda23Thursday16Nov8am2 ай бұрын
Thank you Bella for pointing out about your oneness as worship ministers, we're called in different capacities, further more depending on God as the source which we ought to be anchored to.
@AmosObanda23Thursday16Nov8am2 ай бұрын
the illustration of different cultures in Parenthood entails maturity is very clear and maybe at some point I've also been judgmental as a person. May God give us grace and revelation to understand this. following from KE
@themgizi2 ай бұрын
You have nailed it, Hofu ya Mungu is KEY.
@MariaNgusa-gn4gkАй бұрын
Mtu aki okoka akiwa amechola mwili wake alipo kuwa bado hajaokoka akiokoka atawezaje kuzitowa tatuuu mwilini?
@odilomwemeziernest6462 ай бұрын
Kwa tunayemjua huyu Dada kabla na baada ya kuoka daaa lazima umtukuze Yesu
@nkoydavid96582 ай бұрын
Ni Mtanzania?
@lilianhumphrey24012 ай бұрын
Nimesoma nae uhuru mchanganyiko secondary school alikuwa ni .....ila yote kwa yote kaokoka anampenda yesu nimefurah kuona anambra sana mungu na kajikabidhi kwa mungu nakupenda mungu akubariki sana
@gloriashao3986Ай бұрын
MUNGU akubariki sana ktk uimbaji wako nakupenda mpendwa
@daudiazizi84952 ай бұрын
Tuwaombee jaman
@kassimualli17552 ай бұрын
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
@SalamaNauthary-ip4iy Жыл бұрын
Ama kweli Duniani hakuna mwembamba jamani,!!!!
@godwinkileo7702Ай бұрын
alikua mwembamba sana, wakati anafanya bongo fleva
@ezekielmichael943110 ай бұрын
Mmmmh hio TATOO ya nin kifuani
@WITNESSHAULE-km8ou3 ай бұрын
Alichora kabla hajaokoka
@moseskatindasa63647 ай бұрын
Wewe utakaa mwenyewe ujue
@gidedyumyeko2570Ай бұрын
Shida ni hizo ramani ulizojichora ambazo kibiblia ni dhambi mbele za Mungu.
@phinaswai471814 күн бұрын
Ukifatilia stor yake utaelewa, alikua mbongo fleva, now kabadilika, na hizo tatoo hazifutiki
@MaryShukran28 күн бұрын
Ameokoka akiwa tayari na tatoo hivyo usijaribiwe kuhukumu maana Yesu alikuja kuwatafuta hao. Hivyo tusiwavunje moyo
@thebmcblackmiccatcher394918 күн бұрын
Tumia neno ALIKUJA KWA AJIRI YETU, SIYO HAO. UNAHISI HAKUJA KABISA KWA AJILI YA WATU KAMA WEWE, UNA MKATA WA MOJA KWA MOJA UTAFIKA KWAKE SIYO?
@SiaCollinsАй бұрын
Bella nakuelewaga sana,,Sasa hiyo tattoo ya nini ?si vema kuchora tatoo
@simontv8124 Жыл бұрын
Mbon una katattoo tena, Dada bela
@sailicekomba8075 Жыл бұрын
Katatuu ka zamani wakati wa bongo star search
@HellenLemilya2 ай бұрын
Enewe umeongea mengi ,kwangu Mimi mrudie ule aliyekuacha kama hajaoa au uolewe maana kuishi mwenyewe utashindwa mwishowe utakuja fanya zinaa
@neemaneychricious64932 ай бұрын
asa huu mkelele wakt mnahoji ndio nin jamn
@saimonbikulaofficial8 ай бұрын
Nimekuelewa bella but utamtambuaje mwanamke au mwanaume mwenye hofu ya mungu coz kwenye uchumba unaweza muona kama Malaika ila mkishaingia kwenye ndoa ndo unaanza kuona baadhinya vitu vinaanza kuonekana .
@user-gn8vu3tb4h2 ай бұрын
Upo single je una watoto wangapi uliolewa au na kama unao ni kabla kuokoka na kwanni ulimpinga baba au ulilelewa na single mama? Au kama Cristina
@BabygirlDadiyoАй бұрын
For the very 😅😅😅
@amosken32814 ай бұрын
Nisaidie number yake please
@gracemacha93572 ай бұрын
Walawi 19:28.
@evawambugha49392 ай бұрын
Eeeeh umemuamulia sio let God be the judge. His ways are not our ways neither are his thoughts ata yesu alisema asie kua na dhambi awe wa kwanza kurudha jiwe.
@user-zu3xm8xx5dАй бұрын
Mambo ya Walawi 19 28 Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi Bwana. ( hiyo scripture na hiyo tatooo yk kibiblia ukirefer hiyo scripture inaruhusiwa au umuamua Kwenda nje na sheria ya MUNGU?)
@comsmkemwa26712 ай бұрын
Kila mtu anataka mwenzi mwenye sifa hizo, si kijana wala msichana, Tatizo liko hapa, unamjuaje mwenye hizo sifa? Kumbuka mtu anapataka chake kwako, pretender ni wengi mno, wasichana kwa wavulana, otherwise ukubali kuishi naye zaidi ya miezi 6 bila ndoa mkichunguzana, sasa je inakubalika? Vinginevyo mwombe Mungu tu ucheze karata, ama sivyo utazeeka bila mume,
@daudinzunda87392 ай бұрын
Daaaaaah watu mmeacha kutoa comment mmeshaangalia tattoo
@mako3312 ай бұрын
Huyu dada sikujua ni mbongo aisee, safi sana
@DeboraKyembela10 ай бұрын
Binafsi kiukweli nimekuelewa sana Bella... Yanii nimekuelewa.. Na mi nakukaribisha sana Mwanza ( Ukerewe na Magu). MUNGU akujalie Neema yake usonge mbele
@RoseMseleАй бұрын
Hiyo tatoo jmn
@anoldcharles8 ай бұрын
kachora tatuuu☹️🤔
@DianaTesha-iz4pb3 ай бұрын
Alichora kabla hajamjua Kristo
@davyadamsontz10 ай бұрын
Bella, some years ago you came at our church with your husband, where is he? Kitu gani kiliwatenganisha? Au mlikuwa mnaishi bila ndoa?
@agnesnnko887211 ай бұрын
Ila jamani kuchora ngozi Bible inakataza...
@lydianedward412211 ай бұрын
Kablq hajaokoka alikuwanayo
@deandralove11005 ай бұрын
Maybe it was from before,we all did something unclean before gettting saved
@gladyschepchumba93112 ай бұрын
Msikize, tattoo aliiweka kabla hajaokoka
@Gloria_and_Si25 күн бұрын
Alichora kabla ❤ wokovu
@vincentonsomu83722 ай бұрын
utamwambia nini ukimwona.
@augustinemainde3 ай бұрын
Ila amwepuke Diamond atakuja Kama malaika kumbe ni shetani
@emmanuelamani9832 ай бұрын
😂😂😂😂
@StivinWambuto-zy5ft2 ай бұрын
Huyu kachora tatuu halafu anasema anafanya kazi ya MUNGU! , anasoma KWELI neno la MUNGU? , Walawi 19:28. MUNGU akusaidie dada utoke kifungoni na pia , ninyi waimbaji mmeamua kuyapiga mateke maneno ya MUNGU na kuamua mjiongize wenyewe na si kuongozwa na MUNGU, mmeona kuachana ni kawaida tu . Msijidanganye ipo hukumu mbele yenu , angalieni mapema , mtoke ktk uchafu wa ibilisi.
@amisasadock68572 ай бұрын
Alikua mwimbaji wa bongo fever ndio alicho akiwa huko badae akaja kuokoka
@clouartmichael7296 Жыл бұрын
Sasa huyu mtumishi wa Mungu anatetea suruali wakati Mungu anakataz,huwezi upo kwenye ibada umevaa suruali Tena za kubana alafu unasema kanisa Lina judge watu Kumb 22:5 ! Hayo mavazi unayovaa Ni ya kikahaba siyo ya kujistiri 1 Petro 3:3 ,hata hayo mapambo mnatakiwa kukubali mnaenda tofauti na Neno ,wengi mkiuliza mnachukua andiko la kwamba huwezi kwenda Mbinguni kwa matendo ya Sheria ...Ile roho ya Yezebeli inatenda kazi kwa wanawake wengi na hawataki kukosolewa hasa watumishi wa Mungu ..Bado mnaipenda dunia na kumchangany Mungu na Mambo ya duniani .1 Yohane 2:15
@itikamlagalila1911 Жыл бұрын
She didn't mention Kama ni suruali ya kubana ama la,,hata hivyo ukweli ni kwamba Roho Mtakatifu ni Mwalimu personal wa Kila mcha Mungu,u don't need to be judgemental,it doesn't build..
@clouartmichael7296 Жыл бұрын
@@itikamlagalila1911 Neno la Mungu linasema Kila Neno lafaa Kwa Mafundisho na hata kukemea ,Paulo aliwaandikia hivyo Wakorinto...hivyo Leo watumishi wengi Wanaenda tofauti ...Mimi naangalia Neno simjudge maana mm pia ninamtumikia Mungu huyo anaemtumikia Yeye ila Roho Mtakatifu aliye ndani anatushuhudia hayo sio maelekezo ya Neno la Kristo ..hivyo twapasa kukemea ..sio kwamba tunajudge...hata hivyo Yeye mavazi yake mengi si ya Adabu Huw ni ya kubana ...hayo yote hapo katika maandiko matakatifu ,kama wewe ni hekalu la Roho Mtakatifu,Roho hawezi kukushuhudia hayo mavazi ni sahihi 1 Wakorinto 6:19...pia andiko lipo linasema ..Tito 1:16 Wanakiri ya kwamba wanamjua Mungu, bali kwa matendo yao wanamkana; ni wenye machukizo, waasi, wala kwa kila tendo jema hawafai.,Hilo Neno linawaongelea watu wote wanaosema wanamjua lakini hawafati Neno linavyosema na Neno ni Kristo mwenyewe..Hakuna mkamilifu lakini ukiijua kweli itakuwek huru ila wengi wanapinga Neno Kwa tamaa zao za mwilini na wanakiri katik media na kuwapoteza wengi Kwa kuwaamini wao...Mungu akubariki.
@kenedymdemu6943 Жыл бұрын
Ki ukweli wanawake wengi mnaomjua mungu shetani kawaweza na kawafunga golf la mkono bila ninyi kujua katika suala la mavazi na kujichorachora miili na matokeo yake mnakuja kuwa approached na watu wa duniani na mwishowe kunakuja kutokea lugha gongana kwenye ndoa zenu, na hayo mmeyataka ninyi wenyewe kwa kuwa mmesha kariri kwamba ukiolewa na mwanaume wa kawaida mnaonekana mmeolewa na watu washamba any way endeleeni shetani atawanyoosha mungu hadhihakiwi wzla sio wa sanaa
@davyadamsontz10 ай бұрын
Kwa nini mnapenda kudanganya Watu, Biblia imekataza lini Suruali? Hayo mavazi ya Kikahaba unayajuaje? ushawahi kuwa Kahaba?
@davyadamsontz10 ай бұрын
Bad enough unahukumu makati video uliyopost ni ya mwanaume mwenye hereni...