Рет қаралды 16,981
Kwa miaka sita sasa kijana wa kitanzania Mike brown ana tengeneza zaidi ya shilingi milioni mia moja fedha za kitanzania sawa nawastani wa dolla elfu 45000 za kimarekani kila mwaka kwa kuuza mbwa
Kijana huyu ambaye ana elimu ya shule ya msingi alikuwa mjasiriamali kwa muda akiuza vyombo minadani kabla ya kuhamia kwenye biashara ya simu na sasa mfugaji wa mbwa na mkulima
Mike ana amini iwapo vijana watatumia elemu zao kujiajiri tatizola ajira litakoma nchini
Eagan Salla alimtembelea jijini Arusha na hii ni simulizi yake