Tazama tofaut, dewj utajiri wake ni dollar billion 2, kule duniani watu wanamiliki adi dollar billion 100 na kuendelea, wao kulipipia iyo million 8 per hour ni kama Kama kununua pipi.
@salehsuleiman12185 жыл бұрын
hawa ndio matajiri tunao wataka upo vzr kaka nakukubali Allah akupe maisha yenye kheri Na afya njema akuondoshee hasaad
@ndihenzegervas95827 жыл бұрын
Nakutakia maisha marefu Ndugu Dewji
@rashidiwaiti66862 жыл бұрын
Kununua ndege Ni maisha mengine hayo sio ufahalii mtu Ana pikix2 na baiskeli kila usafiri unaumuhimu wake
@mfalmewanyika28044 жыл бұрын
Hizo hela za kununua ndege bora ukawajengea maskini apartment wakae bure angalau kesho utazikuta amall zako kwa Allah. na tunakuombea Allah akuzidishie kwa njia ya kheri ammin.
@laynerngole21197 жыл бұрын
nice,watu kama hawa ndio wanaohitajika ktk jamii
@miraclebullah96 жыл бұрын
Ishi unavyoweza sio unavyopenda such is life big up huo nfo mfano mzuri wa kuiga
@petermgosi21117 жыл бұрын
we mchumi nimekupenda kaka
@alinamakakyando32188 жыл бұрын
huyu jamaa pasua kichwa anaishi kwa mahesabu sana hana tamaa ya kuiga matumiz big up sana
@bakariselemani91706 жыл бұрын
alinamaka kyando taarabu
@stanslausmteme84554 жыл бұрын
Sio Hana tamaa hapana! Hana uwezo huo wa kutumia ndege binafsi kwani hujamsikia kasema kutumia ndege binafsi ni gharama na katoa mfano wa kwenda na private jet A.kusini.
@triplea34633 жыл бұрын
@@stanslausmteme8455 utopolo mnashida Haya tuoneshe private jet ya GSM😆
@GeorgeAkasha-zx2rj4 ай бұрын
@@stanslausmteme8455 Nani kakuambia hana uwezo.
@rashidiwaiti66862 жыл бұрын
Pesa zipo kwa akilii yamajitaji ya kila mtu anaehitaji kununua ndege nayo Ni hatua ya mahitaji kwa anaehitaji kwahiyo huyo hata chupi avai si Ana sulualii.
@elminamgimba60772 жыл бұрын
Uko uarabuni, ulaya watu wanamiliki maYatch na madege na wanazid kutajirika tu. Uyu pesa za familia that's why anajifanya mchumi, hakuna lolote Apo
@philysalum73447 жыл бұрын
hahaaa unatumia hakili ww hutak ujinga kbsa
@vendelinmassawemassawe36997 жыл бұрын
yuko vizuri kwenye esabu usifanye kitu kwa kuwa fulani kafanya hingera sana kaka moo
@ashaakidotkidotlyova28817 жыл бұрын
Vendelin Massawe Massawe hio ndio akili bora ukatoe hio pesa ukawape watoto yatima
@ashaakidotkidotlyova28817 жыл бұрын
Vendelin Massawe Massawe huyo simba hana akili awape masikin haswa waremavu huko kwetu
@rosemarykaroli67037 жыл бұрын
safiiiii sana kaka Yangu ishi kama ndoto zinavyo kuerekeza na si kuiga hao maribuken barkiwa saana saana mungu you pamoja nawe
@aminayasni90317 жыл бұрын
Ashaakidot Kidot Lyova ivi ww katika watu wanaojitolea misada huwex mwacha huyu kiumbe unatukana hata pesa Moja Kumpa tu kilema hujawahi unajuaje km huko kwnu hajawahi toa msaada mmeshazoea mtu akitoa msaada Mpk ajitangaze chefuuu mfyuuu zako
@djmikyexclusive38857 жыл бұрын
huyu jamaa sio bilionea no trillionea wa tanzania
@eliaskebero33508 жыл бұрын
Mo anaishi economically zaidi
@stanslausmteme84554 жыл бұрын
Hana uwezo huo mbona kasema kua ni gharama kusafiri na ndege binafsi
@triplea34633 жыл бұрын
@@stanslausmteme8455 Mtu mwenye utajiri wa 1.9 Billion dollars ashindwe kununua hivi vibombadia vya watu sita vya million 4 usd
@mr.rogers92387 жыл бұрын
MO you are The Man
@mtanzaniamzalendo70016 жыл бұрын
hongera sanaa Dewji
@allymwilu8089 Жыл бұрын
Tutegemee kukutana na mabilionea wengi vivuli kwa serikali hii ndugu zangu
@shaabanmasoud48278 жыл бұрын
unaakili sana MORE
@anawa43267 жыл бұрын
Very smart 👍🏼
@saumuhassan13657 жыл бұрын
Big up Brother uko powa tu
@evodbaliremwa41467 жыл бұрын
kila la heri kaka dewji japo hatujuani
@oscarkasalile39669 ай бұрын
Ndiomaana anakuwa Tajiri
@saumuhassan63655 жыл бұрын
Mashallah, unaakili sana.
@peterchande9576 жыл бұрын
Thamani ya Simba ni kubwa mno kuliko mnavyofikiria wadau kuweni makini
@koradjulius68816 жыл бұрын
creative focus
@danielkagoma28243 жыл бұрын
Vizuri mkuu
@BarakaSanane7 жыл бұрын
Hongeraa akili kubwa hyo.
@nelsonnyizi97988 жыл бұрын
Jamaa anajitambua
@bashaakumaarpandan90212 жыл бұрын
Huyu engekua muafrica nafkiri engenunua madege kibao kwa sifa ndio maana muafrica hasongi mbele
@elminamgimba60772 жыл бұрын
Mbona uarabuni waarab wanamiliki madege na Yatch zakutosha na wanazid kuwa matajiri, uyu muoga coz ni pesa za familia anaogopa
@ommyblessed66092 жыл бұрын
💯💯💯💯💯
@totoladinda30287 жыл бұрын
safi sana
@oyay28217 жыл бұрын
simba hoyee
@hassanihussein44797 жыл бұрын
hhhhh Abromovic ni m2 mwengine bana na ndio Tajir wa kwanza wa England
@handsamjerry7 жыл бұрын
Hassani Hussein ni kweli Mo anayoyasema... Simba hamtaki kumuuzia atajunua ndege ya nn... matajiri wa ulaya km Abramovich anawabeba wachezaji kwenye ndege yake.... anafanyia bussiness kwny Yatch yake soo Mo. ameeleza vzr na ndio maana ameweza kua tajiri
@doreenmalesi60397 жыл бұрын
unajua mahesabu poa
@stanslausmteme84554 жыл бұрын
Kwani hao matajiri wenye ndege zao c wachumi?!!!shida pesa sio zake yeye ni msimamizi kwani Nani hafahamu Baba yake Mzee Dewji alikua mdhamini wa Simba na ndo alikua mwenye Mali! Yeye ni muangalizi wa Mali ya familia isipotee Hana maamuzi binafsi ndo maana anatoa sababu za kushindwa kumiliki ndege na kuitumia kua mi gharama
@tumainikyando88035 жыл бұрын
Tatizo ni hiyo timu uliyowekeza ni bora hiyo fedha ungeenda kununua korosho !
@danielmwasongwe21504 жыл бұрын
Mo anaswali ndio maana anahekima ya matumizi,kweli atafika mbali,nakumbuka alipohojiwa BBC alisema anadeni kubwa na watanzani waliomuombea kipnd chote alichopoteaga na hvyo kutoa sehem ya utajiri kusaidia masikini.
@salcle97026 жыл бұрын
we ni singida united
@hamedalsaadi73506 жыл бұрын
asante baba
@maigathomas23533 жыл бұрын
Safi mo
@tanzuaexpress3 жыл бұрын
Sema uwezo wako haukuruhusu acha Maneno mengi
@triplea34633 жыл бұрын
Utopolo mnamatatizo kweli Basi tuseme GSM anayo private jet 😆
@nassiralawi87993 жыл бұрын
Wacha ubaili
@haddgome46827 жыл бұрын
haswaaa
@benndei50995 жыл бұрын
Heri utumie hela Ujikinge
@charlesmataba69316 жыл бұрын
DAHH ,,,,,HEBU UMESOMA VITABU GANI VYA UCHUMI MOH??????
@Togolay7 жыл бұрын
too much brain
@abeidmayanga8098 жыл бұрын
good
@fayeezomar29026 жыл бұрын
Mo maneno maxima lakn bad maskin mbele ya majir wa ulaya abrah ni billny was dunia wew Africa hugusi think hard before u make chocht
@stanslausmteme84554 жыл бұрын
Mmmh! Bado sio tajiri ulipambwa Tu na jarida la Fobes na shida hizo Mali huna maamuzi nazo kudhamini Simba ni matakwa ya familia coz tangu Baba yako alifanya
@samirarsan20243 жыл бұрын
zako wew hizo mali zote
@kingayo9996 жыл бұрын
wewe ni zaidi ya mabiliona
@jaxlim54207 жыл бұрын
Anakielw anch kifany
@mrtricks37425 жыл бұрын
SIKILIZA SIMULIZI HII MPYA YA KUSISIMUA
@fintaniferx95355 жыл бұрын
Kwa nini uwendi misibani?
@greysonsimba32518 жыл бұрын
aichukue tu simba
@robertsimon94557 жыл бұрын
kuna tajiri gn mwingine bongo ambaye ni free masonic
@triplea34633 жыл бұрын
Bakhresa
@chilolodenis23628 жыл бұрын
Upo sahihi
@shuwehaharunaomariikwena2337 жыл бұрын
yupo kwenye orodha ya Freemason wala simpapatikii sababu pesa za uchawi
@benbranco36887 жыл бұрын
Shuweha Haruna Omari Ikwena namm tafta za halali tuzione ha ha ha mbna ww hauna kitu kama mm tuu na wala ss sio freemason
@yusufujamali45777 жыл бұрын
Acha roho mbaya wewe una ushahidi na unachosema
@shuwehaharunaomariikwena2337 жыл бұрын
+Yusufu Jamali nawewe ni mmoja wao ndio maana watetea ushetani
@shuwehaharunaomariikwena2337 жыл бұрын
+Yusufu Jamali tatizo lako wewe ni mshamba wamitandao upo you tube tu mitandao mingine hupo mengi huyajui wewe
@yusufujamali45777 жыл бұрын
Unaongea bila data mkuu sio kila unachokiona kwenye mitandao ni chakuchukua tu jitahidi uwe mfuatiliaji wa mambo usiabudu mitandao kwani mangapi yamezushwa na mitandao mwisho wa siku niuongo mtupu Unaweza kutupa ushahidi wa wazi kuwa yeye ni mfuasu wa hiko unachosema
@abuibra6 жыл бұрын
MWENYE KUFIKIA UWEZO WA KUNUNUA CHOMBO CHA NAMNA HIYO HUNUNUA BILA KUPIGA HESABU MCHWALO,HAKUNA AIBU KUSEMA SIJAFIKIA KIWANGO HICHO.
@seducerkapero73066 жыл бұрын
uko sawa kabisa Azeez huo ndio ukweli wenyewe hayo mengine anaongea ni story tu.kwa maana unaposema dewji ana akili kwa kuto nunua ndege then una maanisha john travolta,anyemiliki zaidi ya ndege moja,donard trump na wengine ni wajinga..?sio kweli HILI NI SWALA LA PESA NA UWEZO SIO AKILI.DEWJI BADO HAJAFIKIA UWEZO WA KUMILIKI NDEGE BINAFSI"PERIOD"
@lubavaclassic70486 жыл бұрын
seducer kapero Haaaaaaa haaaa haaaa...Mnajisikiaje kwenye Komentii Buku nyie wawili tuu ndio mmejisapoti ujingaa....Amjajiisi Wachawii kweli uko mlikooo haaa haaaa haaaa...Mbona matajiri wengi awaishi kwenye nyumba zilizoezekwa kwa bati..ni kwamba awana uwezo wakuezekeaa Batii...Tumieni vichwa kuchambua kitu kilichotoka kichwani kwa mtu aliyekuzidi kimaendeleo...Sio mnachambuliaa makalioo Weuuuuuu nyieee alaaaaaaaaaaah...!!!
@triplea34633 жыл бұрын
Private jet anayo bakhresa ambaye hata uzidishe mara mbili utajiri wake bado hajamfikia Mo Tulia kijana mali bila Daktari huisha bila habari
@paulswai12377 жыл бұрын
Duh! Jamaa yuko critical knoma ndo maana anazd kuwa tajir