No video

EXCLUSIVE: KIJANA WA TANZANIA ANAYELIPWA ZAIDI YA MIL 600 MAREKANI, AMEAJIRIWA NA KAMPUNI YA APPLE

  Рет қаралды 108,270

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 251
@SingoMedia
@SingoMedia 10 ай бұрын
Maashallah, kijana wa Mburahati. Tunajivunia kuwa na kijana kama ww yaani kutoka uswahilini hadi kufika katika mahala ambapo wengi wasingetarajia, binafsi nakujua tangu utotoni ni kijana mchamungu, mwenye nidhamu, akili nyingi na uchapakazi. Endelea kutuwakilisha vyema vijana wa Kitanzania na tunamuomba MUNGU atuletee vijana wengi zaidi wenye weledi kama wako na hata zaidi. MUNGU ibariki Tanzania, MUNGU ibariki Africa.💯💯💯
@willygraphics360
@willygraphics360 9 ай бұрын
Huyu alikuwa among 10 best students in 2009 noma sana
@shafiichipwenge6034
@shafiichipwenge6034 10 ай бұрын
Safi sana Abuu bakar kwa kuipeperusha bendera ya Mivumoni .Teacher Msumba upewe maua yako💐🌺🌷💐
@saidhamza5318
@saidhamza5318 10 ай бұрын
Too humble,very genius, so talented 🙏🙌
@JobKCMinistry
@JobKCMinistry 10 ай бұрын
Sure
@MerryRenatus-ck4lz
@MerryRenatus-ck4lz 10 ай бұрын
Nice
@ramseychobaliko1002
@ramseychobaliko1002 9 ай бұрын
Ongea Kiswahili mbona msomi katumia Kiswahili na anaishi uzunguni wewe too humble 😅😅😅😂😂😂😂
@vivianlameck6331
@vivianlameck6331 9 ай бұрын
Hakika
@ahmedally3891
@ahmedally3891 8 ай бұрын
​@@ramseychobaliko1002😂😂😂😂😂kmmk
@geeva99
@geeva99 10 ай бұрын
Yupo kwenye class nzuri sana hata kwa San Francisco, hiyo ni second grade to 3rd grade six figure, yuko sehemu njema sana
@josephlyakurwa
@josephlyakurwa 10 ай бұрын
Jamaa yuko very humble, anajua sana
@allahisone6386
@allahisone6386 10 ай бұрын
NDIOOO MAAN ANA JITAMBUA
@kyannickk2be
@kyannickk2be 9 ай бұрын
Mortal Kombat 9 credits mwishoni lipo jina la Mtanzania ..great works
@TheNdaki
@TheNdaki 5 ай бұрын
Wow! Hii imekaa poa sikujua, Jina gani kaka??
@mohammedally4378
@mohammedally4378 8 ай бұрын
Mashallah abu hongera sana tulikuwa pamoja mtambani
@joycefrances4516
@joycefrances4516 10 ай бұрын
Sana kaka,Mungu akuzidishie zaidi,akukinge naabaya yoye ufike mbali zaidi
@jimboulaya
@jimboulaya 9 ай бұрын
Sasa hapo upate hawa wanaojiita Influencers ambao ulaya wamefika labda kutembea tu, Kiingereza na mbwembwe nyingi utasikia I gara I gara you know whamsayin? Mwamba anateleza na kiswahili fasaha na yuko humble tu.
@fredducaunt
@fredducaunt 4 ай бұрын
😂😂 kiingereza ni lugha tu isikutishe hata maskini anaongea kiingereza japo wapo watu wanaongea kujikuta matawi Au pia labda utaonekana sio mzalendo Kikubwa angalia hadhira na kuwa free kushare ulichonacho na watu kwa lugha yoyote inayowaunganisha
@beatricejoseph2347
@beatricejoseph2347 10 ай бұрын
Hapo kwenye kupenda connection umeongea kweli ,vijana wetu na wtz wengi kwanza hatuna uthubutu halafu ni waoga,ndyo maana wakenya na west Afrika wanazipata hixi opportunity, tutumie vzr mitandao itatutoa.
@ChoroTesla
@ChoroTesla 10 ай бұрын
waoga kujarbu afu mentality yaviongozi wetu tuzid kudidimia yani wanataka wote tuwe boda boda au watu wa kuwaza ngono ili wawe mtaji wetu kwa siasa zao ndo mana unakuta mtu ana degree lakin boda boda.
@GloryMariki-ng6gf
@GloryMariki-ng6gf 9 ай бұрын
Genius kama genius
@muhidinkassim8574
@muhidinkassim8574 10 ай бұрын
🌍🌍🌍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🍏🍏👍👍👍Hongera Sana kijana ABUU BAKAR RASHID...(ALLY) .. a.k.a Mtoto wa Bibi.....dddaahh ...sheikh Mungu azid kukuongoza ..Maaana Umeelezea MAISH YAKO Kwa UCHACHE saaanaaa ..ila Kwa sisi tuliosoma DARASA MOJA... primary...(ALI HASSAN MWINYI PRIMARY SCHOOL..)🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌍🌍 Mburahati....tulikuwa tunaona unayoyapitia sheikh ..kweli ulipitia magumu sana Mwamba ..ila all in all MUNGU hamtupi mja wake.....👍👍👍👍👉👉👍👍Keep up your target.....🇹🇿🇹🇿🌍🌍🌍🇹🇿🇹🇿👍👍
@omyjr5795
@omyjr5795 10 ай бұрын
Ilikuaje
@mohammedbaraka9230
@mohammedbaraka9230 10 ай бұрын
ماشاءالله
@goodluckmasaawe8343
@goodluckmasaawe8343 10 ай бұрын
Jamaa ata haringi ... mungu atamsaidia san
@ahz6907
@ahz6907 10 ай бұрын
Amen
@beatricejoseph2347
@beatricejoseph2347 10 ай бұрын
Hongera kijana pia kwa kuwa mwenye bidii hadi kuvutia watu wengi kukuona na kukushika mkono hadi ulipo.
@user-vo6gm6pl3y
@user-vo6gm6pl3y 10 ай бұрын
Kaka unachokisema uko sahihi na Mwenyezi Mungu akusimamie kwa kila ulipangalo. Ila cha kuskitisha ni pale wenye mawazo wengi nima fukara na wenye hela wengi hawana mawazo labda kwa sababu ya majukum wanazo. Mbaya zaidi kwetu Wa Africa tuna ubinafsi na upatowa wazo kwa muwekezaji au wawekezaji inakuja kinyume yake, na kuishia kuwanufaisha wao na kuwaambiwa ile issues imebuma. Sijui kwa nini.
@justusngonyani165
@justusngonyani165 10 ай бұрын
Kuacha dini KWA ajili ya dunia si dhambi.Utakuwa salama tu.Bali kumwacha Yesu Kristo KWA ajili ya dini au dunia ni kuharibikiwa SASA ba baadaye.Mwishoni hutaulizwa dini yako.Jidanganyeni tu.
@samsonpaschal5044
@samsonpaschal5044 10 ай бұрын
Interview Safi sana ...
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 10 ай бұрын
Heri yake,mashaAllah 🎉🎉🎉
@LeodigaryPatrick-zo5kl
@LeodigaryPatrick-zo5kl 10 ай бұрын
Genius
@shammhagama2527
@shammhagama2527 10 ай бұрын
Hongera Sana kijana
@mayaalrawahy5470
@mayaalrawahy5470 10 ай бұрын
Ma sha allah tabarak Rahman
@honorykwahhay4364
@honorykwahhay4364 9 ай бұрын
Vizuri sana, lakini hawa vijana waliofanikiwa huko Marekani, Asia na Ulaya, wakirudi Tanzania na huo ujuzi, nchi yetu itafika mbali mno, walau waje wafungue kampuni huku.
@kyannickk2be
@kyannickk2be 9 ай бұрын
shida ni pale wanaanza buruzwa na wanasiasa ...wabaki huko huko kwanza unless bongo unafiki uishe ..anyway let it flow
@sultanjames9395
@sultanjames9395 9 ай бұрын
Wakirudi huku hamna watachifanya hamna miundo mbinu wezeshi.
@piusmdoe3200
@piusmdoe3200 9 ай бұрын
Wanasiasa tz roho mbaya hawawataki watu wajuzi wanataka makaratasi
@TheNdaki
@TheNdaki 5 ай бұрын
Kuna Baaadhi wanarudi na kiuzalendo wakiamini nchi yetu wataijenga na ujuzi waliopata huko ila…. Tuishie apa. Maana wengi wanaishia kwama ajira, ila pia wanapewa vitu ambavyo sio walivyosomea au nafasi zao.
@BongoVibesTV
@BongoVibesTV 8 ай бұрын
Kila mtu ana njia yake ya mafanikio tumtegemee Mungu tu
@TheNdaki
@TheNdaki 5 ай бұрын
Sahihi , nakubali 100%
@verCeJr.
@verCeJr. 8 ай бұрын
I like him. Big up bro I'm wish kuwa Kama wewe one day
@user-de2rg9kk7u
@user-de2rg9kk7u 10 ай бұрын
DAH!! Aisee huyu jamaa amesoma HARVARD university, anafanya Kazi kampuni ya APPLE! Analipwa zaidi ya 1bn kwa mwaka!😯🫢 Duuh hatari sanaa huyu jamaa noma
@ChoroTesla
@ChoroTesla 10 ай бұрын
wenzetu softwaare engineering kwa kampuni km apple wana muadmire sana manake yeye ndo.kashirikia roho ya kampuni ikiwemo siri za kampun
@georgerichard4902
@georgerichard4902 10 ай бұрын
Unoma gani sasa au kusoma Harvard?
@blackwarrior-animations593
@blackwarrior-animations593 10 ай бұрын
​@@georgerichard4902noma wewe kaka
@neemakeenja3385
@neemakeenja3385 9 ай бұрын
​@@georgerichard4902acha wivu kijana mdogo
@emauf
@emauf 9 ай бұрын
​@@georgerichard4902 Jifunze ku appreciate my brother. Mimi ni engineer ila pia nina admire watu kujituma na kufikia stage hizo. Maana sio kwa akili tu, ni juhudi binafsi kubwa pia inatumika.
@ZilfatAlly-lv1rw
@ZilfatAlly-lv1rw 8 ай бұрын
Mashaallah
@gshift83
@gshift83 9 ай бұрын
Hongera sana Kaka. Be blessed.
@sporxzone771
@sporxzone771 9 ай бұрын
Yupo cool sana wala avimbi ✊
@Ambwene
@Ambwene 10 ай бұрын
Jamaa yupo simple tuu 👊 🤜 🤛
@johpixel4108
@johpixel4108 10 ай бұрын
Wenzetu ni wajanja wameshamteka ila huku technology bado inatutesa hasa upande wa umeme 🙌
@ahz6907
@ahz6907 10 ай бұрын
Angebaki kuwa fundi simu pale kkoo...angejiita abubakar matelephone.😅
@TheNdaki
@TheNdaki 5 ай бұрын
@@ahz6907Tanzania yetu, huu ni ukweli wapo wahitimu wazuri wanapoteza elimu na ujuzi wao
@elibarikimaganga9571
@elibarikimaganga9571 2 ай бұрын
Kweli kabisa ​@@ahz6907
@allygoodboytzsdoneintanzan3970
@allygoodboytzsdoneintanzan3970 9 ай бұрын
Allah akubless
@barakandaombwa239
@barakandaombwa239 10 ай бұрын
hongera sana
@youngtomuller-vh2pu
@youngtomuller-vh2pu 9 ай бұрын
Juntos somos iguais ❤❤❤
@mikestuner9206
@mikestuner9206 9 ай бұрын
Havard 😊
@mohdasaa
@mohdasaa 9 ай бұрын
Uthubutu wa vijana katika kuongeza thamani. Hajongea kuhusu vijana kuweka hela mbele. Nakubaliana naye. Pia umasikini wa fikra (mindset).
@RoanCorporation
@RoanCorporation 10 ай бұрын
KIJANA ANAONGHEA VITU SAHIHI KABISA , KWA VIJANA MTANZANIA , KAZENI MAISHA, LENGA JUU KABISA
@PrinceWalterM
@PrinceWalterM 9 ай бұрын
Very Humble Mungu amuongezee zaidi na zaidi
@tumainielmaruwa3148
@tumainielmaruwa3148 10 ай бұрын
Big up Eng.
@stevekdaniel
@stevekdaniel 9 ай бұрын
Very inspiring 🫡 safi sana
@Fesary
@Fesary 10 ай бұрын
Vigumu sana kukuelewa unaongea kama Softwere vilevile.
@AbdulkarimNestori
@AbdulkarimNestori 10 ай бұрын
😂😂 kama Elon Musk
@ahz6907
@ahz6907 10 ай бұрын
Mi nimemuelewa labda ntakuwa na brain software 😅
@ahz6907
@ahz6907 10 ай бұрын
Mi nimemuelewa labda ntakuwa na brain software 😅
@Fesary
@Fesary 10 ай бұрын
@ahz6907 hasa pale alipoanza kutolea mfano wa Usd3000 ambao kwa maelezo wa mshahara wa 1B+ ulikuwa chini sana, ndio hapo sasa mara chumba ehe! Mpaka uwe Chip.
@neema_mollel
@neema_mollel 10 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@idrisamngagi284
@idrisamngagi284 9 ай бұрын
tukowachache sana . hizi ni baadh ya Tanzanite zetu . Nasubiri Kenya
@jessykadaraja2691
@jessykadaraja2691 10 ай бұрын
Usikae hapa Bongo kaka. tutakufundisha masiasa yetu utaua kipaji kaka.
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 10 ай бұрын
Wala hajivungi wala hana mambo mengi engekua wengine hapo sijui hata tusingeambulia chochote kwa maringo
@user-db2hi8jn3e
@user-db2hi8jn3e 9 ай бұрын
😄😄😄😄😄😄
@pastorymasanja8838
@pastorymasanja8838 9 ай бұрын
Wangekuwa wengine kiingereza kiingi ila jamaa yupo simple
@nattyebrandy
@nattyebrandy 9 ай бұрын
WOW
@dreamleague-uq2gx
@dreamleague-uq2gx 10 ай бұрын
Tatizo sio kujiajiri. Tatz ni mtaji mimi serekali ikinipa milioni 10 tuh nakua tajir na biashara zng
@nickhealthcare5612
@nickhealthcare5612 10 ай бұрын
Njoo tuzungumze kaka
@nickalreadyknows
@nickalreadyknows 10 ай бұрын
Ahaha jinga sana 🚮 ww utaweza kweli kuzalisha hiyo hata kuandika hujui? Unadhan ni makakio sio? Sasa kama unajiamini kwann usitumie huo uwezo kupata 10 mil ndio uendelee? Jinga 🚮
@mwisukulu1
@mwisukulu1 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@SeifAhmed-ob3ym
@SeifAhmed-ob3ym 9 ай бұрын
​@@nickalreadyknowsNani hajui kuandika sasa mimi au wewe?
@user-lb8lq7um5x
@user-lb8lq7um5x 9 ай бұрын
Jamani tupate no zake nataka nikamshike mkono tu 😢
@user-ey8bo5iw9y
@user-ey8bo5iw9y 10 ай бұрын
Marekani ni nchi isiyobagua din yeyote huweza timiza ndoto zake bila kujali dini,rang lkn uende mkristo uarabuni saudia uone kama utatoboa kwanza unakiwa uishi kwa sheria zao hata dini sio yako
@mozasalum9715
@mozasalum9715 9 ай бұрын
Wee labda uende kama mfanyakazi wa ndani kuna wa tz wanapokea ma milioni zaid ya wananchi wenyewe kikubwa ni elimu yako ndio itakufikisha ulipo
@hanifbahajaj9039
@hanifbahajaj9039 9 ай бұрын
Kwaio cristiano ronaldo ni muislam?
@stantamba5628
@stantamba5628 8 ай бұрын
😂😂😂😂
@ChoroTesla
@ChoroTesla 10 ай бұрын
n watu km hao wasije bongo huku wanasiasa wakianza kuwapa vyeo wanaua ujuzi wao unakuta jamaa ana vission kubwa kwenye wizara ila wajinga wajinga waliopo wanamkwamisha mwisho inakua ngumu yani bora akae huko huko kwa wanapojielewa. wasije wanasiasa kumrubuni
@mwisukulu1
@mwisukulu1 10 ай бұрын
umeongea vema sana
@ahz6907
@ahz6907 10 ай бұрын
True
@misanaantipas8338
@misanaantipas8338 10 ай бұрын
Mnaona sasa ukiona aple kuuzwa bei kubwa kuliko teknol
@theshiningstargroup
@theshiningstargroup 10 ай бұрын
GUSA LINK HAPO JUU MTAZAME YOMBO
@emmyandrew8670
@emmyandrew8670 10 ай бұрын
Nimesoma na.ww
@yudachelango6824
@yudachelango6824 3 күн бұрын
Acheni USHAMBA
@abdulla4344
@abdulla4344 9 ай бұрын
Hao wanafunzi 10bora 2009 kuna aliyebaki Tanzania au wote wapo majuu
@prosperjuma4993
@prosperjuma4993 9 ай бұрын
Wote wapo juu
@aaronswai3092
@aaronswai3092 10 ай бұрын
Hii ni mishahara ya kawaida sana kwa Marekani kama alivyosema dogo. Mungu amtangulie
@timoliiisaya3824
@timoliiisaya3824 10 ай бұрын
Jidanganye hiyo hela n kubwa hata kwa marekan
@emauf
@emauf 9 ай бұрын
Kawaida ni $50,000 mpaka $150,000 $200,000 ni kati ya 10% ya juu ya wanaolipwa vizuri, ni mshahara mzuri sana hata US. Mshahara wa $200,000 unapata $136,700 after taxes, kama alivosema kodi ya apartment ni $3000, ko x12=$36,000 Kodi ya serikali na nyumba ukitoa =100,000+ - Transport - Chakula - Utilities - Bata kidogo (ma engineer muda wa bata mchache sana) Vitategemea na lifestyle ya mtu, ila hawezi zidi nusu ya hio hela, ko ukiwekea $30,000 inabaki $70,000 sawa na Mil175Tsh kama ana save, au analipa madeni au anajenga, au anannua nyumba au anannua gari, anajua yeye😅
@mayaally2512
@mayaally2512 9 ай бұрын
Sio ya kawaida bwana acha mazoea na hela
@KhalifaKush-cs8mv
@KhalifaKush-cs8mv 9 ай бұрын
Ni hela ya kawaida marekan kama hiyo 600 marekan kama 30000
@MM-pb7fw
@MM-pb7fw 9 ай бұрын
Huyu mwandishi yuko slow sana,kichwa kina-load slow..anauliza maswali ya kijinga ambayo jamaa amesha-explain ila anauliza tena!..Millard status ya brand yako ni kubwa watu kama hawa inabidi wakaongeze elimu au ujuzi,wakishindwa TOA!!!professionalism ianze kuzingatiwa duh!
@user-ek1bf8rz2u
@user-ek1bf8rz2u 9 ай бұрын
acha majungu usiwe sehemu ya kumuharibiam mwenzi kibarua
@Ibrah287
@Ibrah287 8 ай бұрын
​@@user-ek1bf8rz2uSure
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 10 ай бұрын
Usiache Dini sababu ya Dunia kwani Dunia mapito kaka Allah akuwezeshezaidi hukouliko upate mafanikiyo unayoyaitaji yenyeheri na ww
@williamnassari
@williamnassari 10 ай бұрын
Kwani kuna mahali kasema anacha dini kisa mamb ya dunia au na ww udini umekukaaa tuu kichwani hamna kitu mnajifanya kuijua dini sanaaaaaa kumbe ni 0 kichwani
@samwelnaal7952
@samwelnaal7952 10 ай бұрын
Dini imeingiaje hapa mr Hanifa😂
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 10 ай бұрын
@@samwelnaal7952 imeingia Dini kwani najua. Wangi. Wakiwahuko umaghalibi. Wanajifanya wazungu wanaacha milayetu ya baba yetu Hibrahim. Na kufata makafili yani huwo. Ukumbosho kwani tabia yetu waislam kukumbushana. . Ww naona siwakwetu ndiyo maana ujui
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 10 ай бұрын
@@williamnassari Ssi Diniyetu ni ya kukumbu shana kilawakati. . Ilkiwamtu kateleza anarudi kuwasaea jua binaadam tunajisahau hasa wenye pesa na wakishaenda huko umaghalibi yani Ulaya wanafata uzungutu kwahiyoninanafasi kama muislamkumkumbusha........... Ok
@kazumarihamisilikumbato9213
@kazumarihamisilikumbato9213 10 ай бұрын
Hanifa kama hujaolewa njoo nakuhitaji nikuoe nimetokea kukupenda
@noahgondwe4779
@noahgondwe4779 9 ай бұрын
Mmhhhh hayo mapozi yake sasa. Rangirangi hivi
@mjumbemwanda9666
@mjumbemwanda9666 10 ай бұрын
Interview kama hizi ziwe ndefu sasa
@benedictonesmo6857
@benedictonesmo6857 10 ай бұрын
very nice interview and its so interested so we have a lot things to learn
@salimkombo4004
@salimkombo4004 10 ай бұрын
Mbona kama kaleft?
@rewardyesse7314
@rewardyesse7314 9 ай бұрын
Kwishaaa kabisaa
@RoseKimishabhalemi-oz9bn
@RoseKimishabhalemi-oz9bn 10 ай бұрын
Unaonaje kurudisha ujuzi nyumbani kwako tanzania? Ukafaidisha wazawa.
@mengikiguruwe6750
@mengikiguruwe6750 10 ай бұрын
Akirudi nyumbani akateuliwa kuwa KATIBU MWENEZI😂
@hassanmassaga2476
@hassanmassaga2476 9 ай бұрын
​@@mengikiguruwe6750😂
@luperbukuku2659
@luperbukuku2659 9 ай бұрын
Anauweka kwenye nini
@wilsong520
@wilsong520 9 ай бұрын
Hata asi jisumbue, kuna vijana ni ma developer apa apa bongo lakin wame shindwa kusajiri kampuni zao kisa mfumo wa hovyo
@lawrencegwerino1656
@lawrencegwerino1656 5 ай бұрын
Usiwambie watanzania unainginza hela ngapi kwa mwaka,watakulilia shida hadi ukome…
@khalifajuma26
@khalifajuma26 10 ай бұрын
Huyu Jamaa Pia anakipaji cha utangazaji wa habari
@hijazhija316
@hijazhija316 10 ай бұрын
Em tulia
@hillarymushi2227
@hillarymushi2227 9 ай бұрын
Huyu anayehoji ana matatizo gani? Mbona anashindwa kuidirect mic vizuri kwa muhusika mara apindishe mara aweke mbali millard watu wako hawa
@rashidhamis5320
@rashidhamis5320 9 ай бұрын
Kupambana
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 10 ай бұрын
UMETHUBUTU KAKA NA UMEWEZA HONGERA SNA NIMEKUPA MAUA YAKO HONGERA SNA SIWEZ KATA TAMAA KM BADO NIPO.HAI
@rashidmsuya5721
@rashidmsuya5721 9 ай бұрын
Chipsi tofauti tofauti chipsi zege au chipsi kavu
@husseinhussein9971
@husseinhussein9971 9 ай бұрын
Muongo tu.
@florencejohn6427
@florencejohn6427 9 ай бұрын
Serikali yetu ingekuwa inawekeza kwa vijana kama 200 kila mwaka kwa kuwatafutia shule bora nje ya nchi. Au kujenga hizo shule bora mbili hapa nchini. Baada ya miaka 20 hii nchi ingekuwa mbali mno. Sema ndio hivyo watoto wa wanasiasa na watu wengine wenye hela ndio wanaosoma shule nzuri huko nje, ila wengi wa hao watoto akili nidhamu commitments ni dhaifu. Ndio maana hatuwaoni wala kuwasikia kwenye taasisi kubwa kama hizi za Apple nk
@cleopatra01-m6m
@cleopatra01-m6m 8 ай бұрын
Umeongea point haswaa😅
@user-yx2kl3ji8e
@user-yx2kl3ji8e 9 ай бұрын
Sasa kwanini tunahangaika kama simu zina chips situnajilia hapo tu
@ZilfatAlly-lv1rw
@ZilfatAlly-lv1rw 8 ай бұрын
😂
@ellymakongo656
@ellymakongo656 10 ай бұрын
Sijui kwanini naangalia mikono yake sana? Anyway shetani toka.
@magazijuto7991
@magazijuto7991 10 ай бұрын
Watu wengi wenye akili...mikono yao inakuwaga haitulii...
@Guccidrugz
@Guccidrugz 9 ай бұрын
Mwendo wa chipsi tu
@jayproducts5871
@jayproducts5871 10 ай бұрын
Uzima upo??
@nyimbilebravo3347
@nyimbilebravo3347 10 ай бұрын
Asije akaleft, Awe makin
@rajabumussa3451
@rajabumussa3451 9 ай бұрын
Umeongea poit sana, nawasiwas 😢
@nureyna629
@nureyna629 9 ай бұрын
Isikuhadae iyo mikono. Ukifanya kazi nje mara nyingi unaadapt na the way wanavyoongea na yeye keshakaa sana nje, that's very normal ..
@ramseychobaliko1002
@ramseychobaliko1002 9 ай бұрын
Jamaa amesoma na yupo apple lakin anaongea Kiswahili sio hawa ma cheap boys wa bongo na madanga wa bongo wenye English course kujiongelesha oooh actually ooohh you know 🤮🤮🤮🤮👎👎👎🐍🐍
@gracenbarnes5254
@gracenbarnes5254 10 ай бұрын
Marekanj mambo ya teknolojia na it ndio yana pesa ndefu ikifatiwa na sekta ya afya na sheria
@kibasatv1524
@kibasatv1524 10 ай бұрын
Sio kweli baada ya teknolojia ni idara za ulinzi na usalama hapo ni hatariiii sana
@pascojm6816
@pascojm6816 9 ай бұрын
​@@kibasatv1524ah wapi, sheria ipo juu sana
@chacha-255
@chacha-255 9 ай бұрын
@@kibasatv1524 DOCTOR, LAWYER na ENGINEER (ikiwemo it na computer engineering).......Hizi ndio ishu zinazolipa makampuni binafsi, jeshini, serikalini, n.k
@tzcomputerservices4944
@tzcomputerservices4944 9 ай бұрын
mbona kama kashaleft
@Monyo04
@Monyo04 9 ай бұрын
Hamna ni ongea yake tu kule Kwa wenzetu ni normal though Kuna red flag kwake
@naturelle1097
@naturelle1097 9 ай бұрын
Mshahara ni siri ya mutu why you are tangazaring😊
@richardvedasto2285
@richardvedasto2285 9 ай бұрын
Kwaiyo hizo chips zinakaangwa na simu?
@alexchungu6263
@alexchungu6263 10 ай бұрын
Sio upinde ukweli?
@salminirajabu8502
@salminirajabu8502 10 ай бұрын
😃 Amna mbwe mbwe tu za kimarekani
@gordondavid6063
@gordondavid6063 10 ай бұрын
Upinde kabsa
@ahmedalshaibany
@ahmedalshaibany 10 ай бұрын
Kama kaleft group hivi
@richardchimba3800
@richardchimba3800 9 ай бұрын
Unazingua😂
@alimaftah7640
@alimaftah7640 10 ай бұрын
Mbona kalegea sn ! Dah
@ChoroTesla
@ChoroTesla 10 ай бұрын
watu wote smart wanaongea kwa intelligence sasa akaze umesikia yeye boda boda mbona mnamawazo ya kijinga
@suratibrahim6417
@suratibrahim6417 10 ай бұрын
Aisee... sidhani kama ni salama...kalainika kote..ulimi na viungo nk..🤨
@isacmusa4760
@isacmusa4760 10 ай бұрын
🥲🥲 mtoto lainiii
@ChoroTesla
@ChoroTesla 10 ай бұрын
@@suratibrahim6417 hapana ni swagg tu sio kwamba kalinika sana watu wote wanao deal na mambo ya tech wako hvyo mfano MKHD yule anayechumbua simu ukimusoma km kalainika ila ni swagg tu
@user-ex6sh1rl4d
@user-ex6sh1rl4d 10 ай бұрын
​@@ChoroTeslahahahhahahahhahahah😂😅😂😅😅😂😅😂
@shabaniramadhani8891
@shabaniramadhani8891 10 ай бұрын
Watanzania washamba sana inshu za mishahara ni maisha binafsi
@sakayonsakihunga3496
@sakayonsakihunga3496 10 ай бұрын
we ndo mshambA kwakua hunahela zakuwambia watu
@samwelnaal7952
@samwelnaal7952 10 ай бұрын
Vidole Kipochi kwapani Bado sielewi
@eddopaul18
@eddopaul18 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂 nyie
@daudimwidimakihanda5386
@daudimwidimakihanda5386 9 ай бұрын
Gay sign 🦧🦧 (hand shake for men is not like that)
@Monyo04
@Monyo04 9 ай бұрын
Tafuta pesa acha malalamiko mbwa wewe
@highlinestar4583
@highlinestar4583 9 ай бұрын
@@Monyo04ndo shida ya wabongo yani hawakosagi kukosoa kosoa na hawana kitu😂😂
@prosperjuma4993
@prosperjuma4993 9 ай бұрын
Manyoko ya mamaako
@marjentertainment2031
@marjentertainment2031 9 ай бұрын
Niliamua kunyamaza tuu
@msowamhokole7714
@msowamhokole7714 10 ай бұрын
Ni Kama milioni tatu kwa siku ila iyo pesa watu wengi tu bongo wanapata
@issaomari7244
@issaomari7244 10 ай бұрын
Hiyo milioni 3 kwasiku wewe waipata??
@ahz6907
@ahz6907 10 ай бұрын
Watu wengi wangapi? Ktk makampuni gani?
@Seluh_classic
@Seluh_classic 9 ай бұрын
Dohh m cjui niko nchi gan wallahi 😂
@crershawmafia1009
@crershawmafia1009 9 ай бұрын
Ukiachana na Bhakresa na MO wako wachache mno wenye level hizo ila sio waajiriwa.
@mrlongrichlongrichagent1929
@mrlongrichlongrichagent1929 9 ай бұрын
Labda uwe mwizi
@kamole3
@kamole3 10 ай бұрын
Jamaa sio rizki
@neema_mollel
@neema_mollel 10 ай бұрын
Mbona abuu unayumba yumba umetupia kamnyweso au
@flowinfabian9386
@flowinfabian9386 10 ай бұрын
Kwan huja ona movie ya krish magenious ndo wako hivyo 🤣
@neema_mollel
@neema_mollel 10 ай бұрын
@@flowinfabian9386 🤣🤣🤣
@afrimage_decor
@afrimage_decor 9 ай бұрын
Chip zikiwa nying ni chips kuku 😂😂😂
@ZilfatAlly-lv1rw
@ZilfatAlly-lv1rw 8 ай бұрын
😂
@ZilfatAlly-lv1rw
@ZilfatAlly-lv1rw 8 ай бұрын
😂
@user-wv4rf2zk1o
@user-wv4rf2zk1o 10 ай бұрын
Hiyo mikono vipi
@aberinegosanga7067
@aberinegosanga7067 10 ай бұрын
Muongo huyo
@abubakarothman7249
@abubakarothman7249 10 ай бұрын
Uong wake nini
@khamismohamed8634
@khamismohamed8634 10 ай бұрын
Tupe ushahidi wa uongo wake. Mwenzako ametoboa badala ya kumpa moyo pamoja na wengine wewe unapuuzia
@hemedsheha2515
@hemedsheha2515 10 ай бұрын
Wewe mkweli au choyo tu na rohombaya ilokujaa ? @aberinegosanga
@Youngchimodzi823
@Youngchimodzi823 10 ай бұрын
Sanga, muongo Kwa vipi fafanua,tuhuma mzito hizo? Mtu ana inspire vijana wafile mbali unasema muongo?una maanisha nini?
@isayamlala3075
@isayamlala3075 10 ай бұрын
Uongo wake uko wapi..wewe ndo umekata tamaa...mpumbavu
@ShakuDazi
@ShakuDazi 10 ай бұрын
Mbona kama shoga huyu jamaa
@allywilson4155
@allywilson4155 10 ай бұрын
Anaongea kidemdem sana..
@sleeprelaxation8431
@sleeprelaxation8431 10 ай бұрын
Hivi watanzania epo ime wafanya nin?
@gidemeritus9644
@gidemeritus9644 9 ай бұрын
wanamtafuta kilichomponza adam na eva 😅😅
Mtanzania Daktari Bingwa USA 🇺🇸 aliyesoma Harvard University
12:55
Can This Bubble Save My Life? 😱
00:55
Topper Guild
Рет қаралды 75 МЛН
Mpaka Home MAISHA HALISI YA MWIGIZAJI ANKO BENI SELENGO
14:35
Mbengo Tv
Рет қаралды 507 М.
Kujiunga na jeshi Jeshi la Marekani | Taratibu na faida zake
12:29
Mtanzania Milionea Mtarajiwa alieacha kazi ya mshahara wa milioni 1
29:05