Jaman tufanye kazi kwa bidii afu tuombe mungu atujaalie mana daaaah si mchezo pia vijana tusikate tamaa! Pia tusikubal kukatshwa tamaa!
@mpelajohn26812 жыл бұрын
Mimi mshabiki wako mkubwa sana nakukubali sana Diamond nakuombea sana kwa mwenyezi Mungu akupe maisha marefu na mafanikio zaidi ya hapo❤️❤️
@seifchembela43462 жыл бұрын
Maskin tupunguze husda ndomana atufanikiwi ebwana mondi fulai ndugu ata ningekuwa mm ningefulai
@andulilemwakihabha20482 жыл бұрын
Kabisa
@avitydamian19942 жыл бұрын
Nikwel kabsa
@takid.master2 жыл бұрын
Waelezeeeeee
@sophiaabubakary5272 жыл бұрын
Kutimiza ndoto kuna raha yake jaman. Hongera bro
@dieudonnebigirimana80832 жыл бұрын
Neematullah,ALLAH akuongezee zaidi huna roho yakukunja #diamond #wcb 4life #NLM #IYO 🎶 Generale dangote, Simba bin raden.... ALLAH akubariki ALLAHUMMA amin🙏
@patimabilali78202 жыл бұрын
Hamna kitu apo ayo n mapambo ya dunia kajipangaje n akhera
@vanessalaizer43632 жыл бұрын
Amina
@dieudonnebigirimana80832 жыл бұрын
@@patimabilali7820 tunajua niyampito! rakini kufurahi sio dhambi.Allah kaumba dunia na viliomo kwajili yetu binadamu.M/mungu akikuruzuku ukafurahi sio dhambi
@mikythechef2 жыл бұрын
This life is not about pride .. yesterday he didn't have and no one cared,today he has and that's why he has to tell us everything is possible
@salmamganga65842 жыл бұрын
Nimekupenda
@ashakasikile26982 жыл бұрын
🙏 Amen
@mikythechef2 жыл бұрын
@@salmamganga6584 nashukuru
@takid.master2 жыл бұрын
Jealousy kills!! he's not showing you plzzzzzzzzzzz!!! you've just felt it important to follow n watch everything about him! He's got it all!If i were you,i would have just ask myself how he did it to be where he is today but not talk jealously!! Let's learn to appreciate others when they make it not call everything pride.
@jumakapilima56742 жыл бұрын
Did said salim bakressa do that or he has no money?
@zakiasirya40772 жыл бұрын
Wenye roho za kitu Bado waseme ni ushamba...washamba ni wao ..Simba Fanya kwa Raha zako
@michaelvicem63232 жыл бұрын
Ushamba tupu yan bado bado wasanii wetu awakui umaalufu wake tu unatosha ASA magali kama ndo nin anapambana na hamo ndo ushamba
@humphreynduye75732 жыл бұрын
Anapiga misele jaman ,,,, Magari si yake
@svt32 жыл бұрын
@@humphreynduye7573 ni za baba yako? Au zako? Fanya kazi kwa nguvu na wewe utapata na kuna watu wa roho chafu kama wewe hawata amini ni vyako
@issabinmaryam74502 жыл бұрын
Ulimbukeni kuna watu wana miwe wametulia
@jumakapilima56742 жыл бұрын
Ni ushamba kweli
@phiylismoraa75492 жыл бұрын
Huyu jamaaa mnyama kwa kweli 🦁🦁🦁🦁🦁💯
@takid.master2 жыл бұрын
Wenye wivu Sasa wajinyongeee!!SIMBA SIYO PAKAAAA!!!BIDII YAKE HIYO!! Always proud of this African 🦁🦁 PLATINUMZ you're the best wapende wasipendeee
@tariqhassan13852 жыл бұрын
Vijana wenzangu tumuombe sana mungu, kama kusoma tusome kwa bidii na tufanye kazi kwa bidii na tusiwachukie waliofanikiwa
@amrimwingwa9942 жыл бұрын
Uyo mpuuuzi mwenye boda anajipitisha kando ya hiyo gari wacha aichubue halafu ajue maaana ya RR
@andulilemwakihabha20482 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@otiliamkenga20662 жыл бұрын
😃😃😃😃😃
@mgoiink47392 жыл бұрын
😂😂😂😂
@abdulyabubakar62472 жыл бұрын
Tutamyooosha wewe heee asichubue gari ya boss wetu
@jannethcharles96582 жыл бұрын
🤣🤣unaonekan una asila🤣🤣
@TEN10TV.2 жыл бұрын
Kuna watu roho zinawauma hapo ... Big up mond
@issabinmaryam74502 жыл бұрын
Na wao wajiunge free nation tu..majuto mjukuu
@chrismwanakwetu36772 жыл бұрын
Kwa Mara ya kwanza naiona gari kari naomben japo like zangu
@samsunggalax82582 жыл бұрын
Mashallah mwenyezi mungu akuzidishiye zaidi na zaidi ameen🥰
@alexlingwendu67802 жыл бұрын
Hizi ndo Kiki ambazo mburukutu hawatoweza iga kirahisi rahisi labda tu wakaazime kwa mondi .Much Respect kwa Mtoto wa Tandale
@willsontv74242 жыл бұрын
Kama umesikia harmonize chupi tuu tipia like hpa
@mejamiela16052 жыл бұрын
Aisee sasa sisi maskin dunian shida na mbingu tunsikosa Mungu akulinde sima
@vero572 жыл бұрын
Jamani fanyeni kazi kwa bidiii, hongera sana 🎊 mondi
@mussamwamoto82312 жыл бұрын
SIO SIFA ILA NI KUONYESHA VIJANA UKITAKA KUTAFUTA UTAPATA MUHIMU NI MALENGO,TUTAFUTE PESA NA SI MAJUNGU
@azizawadh59732 жыл бұрын
We umepata
@elishasolomon97422 жыл бұрын
Vzr una akili sana
@TheRock-wo6mx2 жыл бұрын
Hapo sasa simba watakoma huu mwaka niwetu bado private jet tuwazime kabisa WCB for life more love from Doha Qatar 💖💖🇶🇦🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@jimyjastini99952 жыл бұрын
Diamond kwenye uborawake 💎💎💎💎❤❤❤💪💪💪🙏🙏🙏🇹🇿🇺🇸🇺🇸🇺🇸
@antoinebakevya89112 жыл бұрын
Nakubaliiii, kiwasheeeeeeee
@bashiruhassan73102 жыл бұрын
Half kuna watu wanadai ni feki kwan haya magari wachina wameshea kuunda au😆😃
@lennoxshimanyula8452 жыл бұрын
Simba wa ukweli🥲🤑🤗....hongera platinumz
@abelymembe23342 жыл бұрын
Jamani huyu mtoto haweze kani
@kabrahu_no_16652 жыл бұрын
Mash,Allah mungu akuzidishie vyahalali amn
@mgasa_tz55272 жыл бұрын
Platinum umetisha Brother.! Daah! Sijui hawa akina H-Mama sura zao watazificha wapi 🤣🤣🤣
@kotboylikoti67372 жыл бұрын
Hiyo ndo kz kijana
@alesnema95962 жыл бұрын
Nimependa iyo Kwa kweli luu
@user-wj2ss1qk8k2 жыл бұрын
Mashaallh mungu akuzindishie amiin
@vero572 жыл бұрын
Enjoy mondi, pesa yako mweyewe, why not, hongera sana, 🚘💎🎊💪👍👏👏👏👏
@zakiasirya40772 жыл бұрын
Minshar hasidin idha hasad
@saniakisinga36452 жыл бұрын
Escarade ndani ina taa kwa ajili ya kupunguza mawazo hatari ...
@faridhamad3678 Жыл бұрын
Et taa ya kupunguza Mawazo😂😂😂😂
@lexq-sm6lq2 жыл бұрын
Nimesikia harmonize mfupi tu😂😂😂😂 Ila watu
@abdallaabedi23542 жыл бұрын
Hahahah
@gynae84072 жыл бұрын
Bingo mnatisha kwa kazi nzuri
@hanifamasudi97322 жыл бұрын
Hata kazi jameni wengine wanatembea kwenye gari we wakimbizana nagari kwa miguu mondi anazarau sana jameni
@samoragoodwin73092 жыл бұрын
Ungetenga muda wakushukuru mungu kuliko kuwaonyesha binadamu ungekuwa nazo tu wala hakuna shida ila ongera uko vizuri kijana umepewa na muumba wako
@TibaTitoАй бұрын
Baraza litengeneze bendera yao wampatie mond kokote anakoenda aweke kwa gar yake! Kaufanya mziki uende mbali sanaaaaa! He is talented man
@yusuphsege74952 жыл бұрын
Ni sawa tu kuwa na magari, ya kifahari majumba ya kifahari. Ila hizo zote ni mapambo ya hapa hapa Duniana. Hishu kubwa na fahari kubwa nikumuogopa Mwenyezi Mungu na kuijenga nafsi ili akutengenezee Janatu Firdaus.
@geraldluiso67922 жыл бұрын
Excellent 100%✓
@robertkisasa13462 жыл бұрын
Tufanye sana kaz wanetu wasifany kazi ya kukimbiza roll royce ya boss isichubuliwe na bodaboda
@lucasmsangalawe42542 жыл бұрын
This is SIMBAAA brother
@mbigokabwere52512 жыл бұрын
Nakubali boss wetu diamond sasa wanafiki waongee sasa kina Hbaba na mwijaku
@basilisamsaka84692 жыл бұрын
Diamond naomba unipe mie like gari ya zamani
@innobugobola16942 жыл бұрын
Hyo ndo matumiz ya Pesa !! Ukizpata fanya kwel 🙏🏼,sio kukalia maneno ya h.baba na mwijaku 😜😜😜!!
@sebastianeverlund85262 жыл бұрын
Daimondi I would like to advise you that you should bay a two big motorcycle to your bodyguard so they can protect you side by side sometime when you are driving your car. 👌🏾🙏❤️🥰
@jumaibrahim97732 жыл бұрын
Mnyama mnyama kweli achana na wapika majugu
@fababindawood83632 жыл бұрын
Hakuna ki2 kizur katika maisha yako ukawa na ndoto kubwa sana na ukakakamilisha ndoto yako kwakweli vijana tufanye kanye kaz kila k2 kinawezekana hongera sana Diamond wabongo tupunguze chuki diamond amewazid xana tena xana
@timelessdaddy.25422 жыл бұрын
Watanyooka tu
@joycechacha78502 жыл бұрын
😂
@jeniferlaswai88732 жыл бұрын
Unazid kunipa nguvu ya kufanya Kaz usiku na mchana. Majungu pemben sasa
@nancykwendo10412 жыл бұрын
Naomba tu mchango wa wheelbarrow ya kubeba maji , kichwa kime Choka kubeba na Nina toa mbali maji yenyewe
@zeinababdi47572 жыл бұрын
These cars with those Africa roads🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@filbao81132 жыл бұрын
SUVs
@Wamikogo2 жыл бұрын
Jaman s2kizzy yuko mbele
@jamesmasero56422 жыл бұрын
Mwijaku sema Sasa Domo kubwa H.MANYAU SEMA NA WEWE FARA ACHA SIMBA AITWE SIMBA
@hekimaisaya82552 жыл бұрын
Chuma zinatembea bila plate namba anii 🙌🙌 pesa nomaa
@tayt40862 жыл бұрын
Kwel simba gar ata nmba hazina na unatembea road
@carrenjaber35192 жыл бұрын
This show off is on another level nkt
@dan_platnumz87902 жыл бұрын
Mkali wao, Simba 🦁
@phillipmatola69642 жыл бұрын
Barabara zenyewe ziko wapi za kuendeshea hayo magari
@thehunter59202 жыл бұрын
Is this Ginimbi?
@ameedamilja79922 жыл бұрын
Ushamba Mwingine Ni hatari sana. Mambo ya kukulia Mbagala hata mtu azeeke au awe na pesa still Ushamba hautoki.
@chifuthedoni8889 Жыл бұрын
Magari ya watu hayo ya kukodi kwenye shoruumu! Hakuna mtu anaeweza kutembea na gari mwezi hata mmoja bila usajiri! Na hio sio tanzania tu, ni duniani kote, Hizo gari diamondi huwa anazikodi shoruumu na kuomba kibali cha muda polisi ili azugie! Nadhani wengi mnatembea sana tu na mnaelewa, Hizo gari kama ni za kwake ni mwaka sasa! Mwambie aonyeshe pleti namba!
@venturejackson63572 жыл бұрын
Lazima wanyooke shenz type 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@salumulongwa94612 жыл бұрын
Nomasana chibu🦁🦁👍
@ndakiwilson63472 жыл бұрын
Big up?
@ndakiwilson63472 жыл бұрын
Big up?
@ashuuyusuf39782 жыл бұрын
Big up mond...mwiteni mwijaku jamen 😁
@florakabadoelkana67642 жыл бұрын
Tunyoshe akiri zitukaye sawa
@waytvtz25492 жыл бұрын
RR Mimi sijuii kwann sipend Kama Escalade
@theafricannetworker82292 жыл бұрын
Siku moja nitaendesha Cadillac
@mishiabdullahsalma78722 жыл бұрын
Simbaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥
@kevindominion46662 жыл бұрын
The cars seems to have no number plates 🙄🙄🙄
@teddy76202 жыл бұрын
Respect to this guy
@bigbossmanbossman69462 жыл бұрын
Wow! The guy has money
@saidsuleiman76902 жыл бұрын
Nasibu unaidhulumu nafsi yako unajifaharisha kwa pesa dhambi mziki mrejee muumba wako kuna kurejea kwa Allah ipo siku
@johnmagambo92312 жыл бұрын
Mkundu wako,ww ulierejea kwa mungu unanini acha roho ya wivu mwishowe utakua mchawi
@kaburaakbar48382 жыл бұрын
Simbaaa baba lao
@smukelomkhize97752 жыл бұрын
Kikukuu Baba lao
@amanikillo6402 жыл бұрын
#mwijaku hapo veepe? Mbona hutembei uchi?
@bhaleeali84592 жыл бұрын
sasa PLATNUMZ anaenda wap na foleni ya DSM 😁😁😁
@subirajohn7282 жыл бұрын
Furaha ndugu yangu hata ningekuwa Mimi ningefanya zaidi ya hivi wabaya wangu wote waungue
@delahflora24792 жыл бұрын
Ushamba tu 😤😏
@ramamtoo9392 жыл бұрын
kweli wabongo washamba jaman daa
@nancymohamedy76722 жыл бұрын
Alafu daimond akili yake ninavyo ifahamu mimi kwa upeo wangu Akijua unakelekwa Basi jua ndio atakukela zaidi hahaaaa sio mtu mzuri uyu namkubali sana MATUKIO YAKE
@nancymohamedy76722 жыл бұрын
Kula maisha mwanangu umehangaika sana nani asie jua watu wamekutukana sana kiukweli NAKUPENDA TUU SIJALI MATUSI YAO WANAFKI
@emmanueldaud83712 жыл бұрын
Pamoja simba never give up
@mwinjilistiboniphacealfred60352 жыл бұрын
Shida mnapita njia za washua njooni uku tandale
@latifasharon80542 жыл бұрын
Mungu akuongezee
@ambakisyemwanjemba57872 жыл бұрын
Safi Sana dogo akina mwinjaku walikuwa hawaamini na walikuwa Wana diss mpaka plate namba pumbavu zao mtu anamiliki mark X anamdiss mond
@saydimtepende17042 жыл бұрын
MOD 🤝🤝🤝🇹🇿🔥🔥
@henryhassan5972 жыл бұрын
Brother big up
@erickstevenericksteven63712 жыл бұрын
Mwamba bishoo kinyama namkubali saaana
@MwanaashaRSaid2 жыл бұрын
Hongera but sikuona haja yakufanya hivyo my bro mana hayo mambo wenzio wanafanya sana ulaya ila hawatembez barabaran hii hali inakuja kuku cost kwenye vitu vya maana mfano tunzo kuna baadhi tu ya watanzania waliacha kupiga au kukuchagua wakiamin ukishinda utaleta shida kubwa mtaani ,,,ni mpambanaj but badil huu mfumo my brother🔥
@bigbossmanbossman69462 жыл бұрын
Convoy imeshinda ya mama samia kwa umbali sana
@chicharitoronaldo59502 жыл бұрын
Tambaa Simbaa wasikupangie maishaa
@graceamadi21412 жыл бұрын
Thank God for the blessings, but remember God says what you have in the right hand never let the left hand know.
@jumbeink31732 жыл бұрын
Watajuaje?
@raphaelbravo8432 Жыл бұрын
But these are luxurious and visible property that you can't hide.
@sultanadam55292 жыл бұрын
Matakoma watanzania Mondi ndio anawaweza
@aaa64sa132 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@kingdinho93922 жыл бұрын
Congrats
@shomikhamis19312 жыл бұрын
Da! mwamba anajeuri Kwa kweli
@ombeniruvubika53922 жыл бұрын
🤣🤣🤣 Kumbe na ww umeona
@ramadhanmzigo99972 жыл бұрын
Wanyooshe simbaa iyo iyo
@georgewilson25442 жыл бұрын
Diamond platnumz kwakweli sasa yupo mjini Ameni swahili nation
@dorothycelestin12582 жыл бұрын
Jamaa et "hii ndo escarade"
@captainbosingwa72262 жыл бұрын
Huyo bodyguard yuko na Kazi kweli kukimbia kufuata gari Hadi wapi sasa si anachoka.
@magdalenaisrael34322 жыл бұрын
Msasani imekua masaki?
@munezeroamida36832 жыл бұрын
Mondi hawakuwezi walai ume washikisha adabu
@stiviemshuza4462 жыл бұрын
Yani uje nakigar chako ugonge hiyo RR tunakiuza kwanza ili tupate hela yakufungulia jalada