Hongera sana ndugu yangu kwa kufikiya ndoto yako, ni wachache watakao kupongeza, naona wengine ni kukuponda pahali ya kukupongeza, nasema tena Hongera kwa kazi nzuri, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.
@geofreysadok482311 ай бұрын
Sawa ni Gari nzuri sana bro,umeikosea sana umeinyima haki yake kuifanya auto badala ya manual
@mwami_the_don_11 ай бұрын
Atutaki shida
@evancesolomon454411 ай бұрын
Ni kweli mkuu
@nickmoshi824311 ай бұрын
Kweli kabisa
@bigshallythedj67310 ай бұрын
Walai
@ZAMB33410 ай бұрын
Nunua yako😂
@dennisevarist11 ай бұрын
Gari nzuri ila kuna makosa makubwa sana mwenye gari hajui kuielezea gari yake ilikuwa njema sana kama mngeenda kwa huyo Bosco mwenyewe mkiwa na hiyo gari ndio aielezee maana huyu mmiliki anaongea sana kujisifia kusifia gari pasipo kugusia features za gari yake na kosa lingine kubwa ni la camera man hajui kushoot alikuwa busy kumshoot mwenye gari badala ya gari yenyewe na vitu anavyovitaja muhusika.
@antonymwita607811 ай бұрын
Amejielezea yeye binafsi kuliko kuielezea gari yenyewe.. Kamera man ametupiga maana hata ndani ya gari hatujaona hizo tv . Kama Ni advertisement mngetafta mtu anayejuw magari vzuri akaelezea gari cyo mmiliki wa gari maana cyo professional yake. Content nzuri lkn fanyeni maboresho katika uwasilishaji wa content.. content Ni nzuri sanaa I appreciate but imewasilishaa kwa kiwango Cha chini🇺🇸🇺🇸
@itNeza11 ай бұрын
Sasa Cameraman Kweli Umetupiga. 😢😢😢😢
@suleymansalim573211 ай бұрын
MZEE HAWEZI KUJIELEZA KABISA YANI NA KUELEZEA GARI YAKE BADALA YAKE NIKAMA INABIDI MTU UJIELEZEE MWENYEWE KWA ULICHOKIONA
@johnycavishe520711 ай бұрын
Gar mkomao sanaaa big up Sana 💪 kwake kwishaaaaaaa anamfaa Sana masd kipanya waendeleze kampuni
@mathanikibuti667611 ай бұрын
Anae watambua au kuwa juwa vizuri #GTPtz #OTAKU MAP,plz like pale ❤❤
@johanesnixon547311 ай бұрын
Ange tuwekea after and before
@BenedictMatete11 ай бұрын
Milard kijana wako wa arusha anajituma sana pamoja sana
@isacklukinda605411 ай бұрын
Tatizo jamaa sifa zinazidi kuliko maelezo ya kawaida, mhaya nini huyu mwamba.
@MabulamalembekaMoris11 ай бұрын
😂😂😂 we umeleta story mpya
@anwaryabdallah778211 ай бұрын
@@MabulamalembekaMoris😂😂😂
@Oscarokran813311 ай бұрын
Kina lambat pia wahaya😂
@katabaroonlinetv968810 ай бұрын
Weee shika adabu muha huyo wa mwanga
@bagengift348810 ай бұрын
Leo interview yenu sijaelewa kabisa🤌
@jumalihumbo531411 ай бұрын
One day yes ntamilik land rover km ii😊❤
@harrisonkinuthia375410 ай бұрын
Land rover defender best 4x4 off-road machine in history. Manufactured since 1948 till now.
@geofreysadok482311 ай бұрын
Kigoma😮 aaah kumbe familia
@M_tika10 ай бұрын
Kwani ni taarifa ya habari? Camera zungusha kwenye gari ngani nje nyuma mbele pembeni tuone hizo unique features 😰
@gastonamnon700510 ай бұрын
GARI KWA NDANI HATUJAIONA VZR KWA NDANI ...CAMERA MAN UNACHEKA CHEKA TUU KAMA KUKU UMESAHAU KAZ YAKO
@thebushguy577411 ай бұрын
Ingekua nyeusi ingekua unyma sanaa
@michaelkessy574011 ай бұрын
Tanzania bado kwa maendeleo. Dubai ni nchi wanapost vitu ambavyo kila duniani akisikia ana vutiwa na Dubai. Hasa, Habari kama hizi ni local sana, Atutakuwa kimataifa. #HonMichaelDeusdedityKessy.
@kilimanjarobrothersclimbin752010 ай бұрын
Kidogo ameguzia kuwa Gari in Taa zenye mwanga mkali, sijaelewa ni za nini tena barabarani au ni kwa ajili ya night game drive porini?
@georgevalilanga741211 ай бұрын
Mwanga majenga una wafahamu wakina gazi Buti
@christopherwami200611 ай бұрын
Sio land Rover tena kama haina engine ya land Rover
@frankgichuhi899311 ай бұрын
Range rover engine manufacturer is land Rover...
@nurudinmwakisale15099 ай бұрын
Siyo rend rova Tena
@jamespk115411 ай бұрын
hatari sana hiyo mashine
@juliuskivuyo52719 ай бұрын
Kazi nzuri kwake mwamba ila bhana kuna makosa sana hapo Mengi moja kujieleza tatizo pili camera man akapimwe mkojo bado sana
@MusaMollely10 ай бұрын
Ongera sana brother
@nasibusaid416110 ай бұрын
Amesema kibachoendelea ndani ya cabin na nyuma ni same same na AC nyuma inafika?
@user-go5wb2pi2i10 ай бұрын
❤am coming kupanda
@barakamshiu714611 ай бұрын
Defender nazionaga tyu arushaa ila mikoanii duh cjui kwann hata
@Zanga9310 ай бұрын
Arusha utalii huku mikoani ni chache mno nyingi ni zile za zamani
@harrisonkinuthia375410 ай бұрын
Land rover defenders are more powerful than land cruisers in offroading and tug of war!!🏋️🏋️💪💪 MACHINE POWER V8!!!💪💪💪
@deogratiasshija589710 ай бұрын
Guud...
@vandelinaugust43728 ай бұрын
Uyu cameraman alkua bang uyu
@daluckyFinancialServices11 ай бұрын
Dadekiii engine 4.0 😢😢😢 inapepeeusha hiyo gari
@teachingtruthmission214010 ай бұрын
Baaadae mtaona hapo awali
@gasparmpoma386011 ай бұрын
Kila siku habari za Arusha tu daah millard unayumba sana mikoa mingine huna reporters?
@ilynpayne749111 ай бұрын
Mikoa mingine ime poa
@aggreyenock122110 ай бұрын
Imepoa mingine
@ahmedadan21779 ай бұрын
Too much unnecessary talks, Well built.
@user-bl3rq8fj9u10 ай бұрын
Mara v8 mara ranger rova😮😢
@jumakassim53518 ай бұрын
Mzee anapenda tv😂😂
@waziriomar141410 ай бұрын
Ungevua hiyo gearbox uweke manual mkuu
@pcthemaster909610 ай бұрын
Labda awezi kuendesha manual ndio maana. Coz chuma kama hizi mm zote naona ni manual. Sasa ikiwa auto na kwa jinsi ilivyo ameinyima heshima yake
@brianngowi447410 ай бұрын
Ulie andaa hii umezingua Ulipaswa umshike maic yeye ndio akuonyeshe hiki ni hiki na kile ni kile cameraman naww miyayusho
@jofreymata534311 ай бұрын
Mwamba kama dalali
@elinamilyatuu733710 ай бұрын
Gari ni kali sana iyo
@idreamfoto10 ай бұрын
Jamaa Anamaritingo Anajisifia Tu Badala Ya Kutuonyesha Hizo Vitu Anavyovosifia
@collinsstanley61269 ай бұрын
Camera man jau sana
@freedom-ui2et11 ай бұрын
aliyenyuma ya camera ni hopeless kabisa. milard kama huyu cameraman anakudai mlipe au kama vipi mpge chini utafute mwingine.
@adamsafari765711 ай бұрын
baadae mtaona hapo awli
@benjaminsanare-ug6ge10 ай бұрын
Cameraman kazingua aisee
@karimsolyambingu63359 ай бұрын
4:50 Baadae mtaona hapo awali 🤔
@nikodemumakibonya37811 ай бұрын
Eti baadae mtaona hapo awali!!r chuga automatcally wanazaliwa wakiwa tayar bange kichwani
@liberatusjackson504511 ай бұрын
Tereza nipopobawa
@aggreyenock122110 ай бұрын
😂
@user-ip3ey7xw8b11 ай бұрын
Ni kweli,,,habari karibu 75% ni Arusha tu,,,ikizidi ni Moshi,,,kwingineko hakuna habari?????
@leskarmeikok895611 ай бұрын
Jiji la kitalii habar zipo za kutosha
@geofreysadok482311 ай бұрын
TDi
@masoudalriyamy62989 ай бұрын
SHIDA YOTE YANINI UKASUMBUKE KUUNDA MAGAR MAGAR YAPO ZAMA ZA KUUNDA MAGARI ZIMEISHA USUMBUFU WANINI
@LucksonEdwardmgallah-tf5nc10 ай бұрын
Anayerekod nae ganzi
@robinsonmaleo3710 ай бұрын
Ni wangapi hawajaona tv
@shadrackkassale29689 ай бұрын
Arusha kama mbele
@scholahsimon-om1gt11 ай бұрын
One day land rover
@davidpaschal77810 ай бұрын
Ajui kuelezea
@EnesforoSama-my1om10 ай бұрын
Millard Millard mludishie Mzigo wake Message not Yet kama umekula Pesa yake nakwambia hiyo ni champion😂😂😂😂
@mugishamajeba962811 ай бұрын
Sas mutatuerimisha nin apo
@geofreysadok482311 ай бұрын
Defender
@reticiakaria6159 ай бұрын
Kuongea hujui unakera aisee
@babalad98311 ай бұрын
hatujaiona hiyo gali camera man na edita wabovu ni kama mnampa promo jamaa ila hatujaona chochote
@Alkibosstz10 ай бұрын
sielewi mimi aki but ongera basi 😢😅
@maddog61239 ай бұрын
Hakuna mtu hapa
@geofreysadok482311 ай бұрын
110
@brightontheogenes50938 ай бұрын
jamaa amejielezea mwenyewee hyo million 40 haijaonesha imepatikana vipii cameraa alilewa nini mbonaa content ya hovyoo hiviii
@ibrahkartel977810 ай бұрын
Mzee ni hatari
@leahmgunda41549 ай бұрын
Engine za v8 bei gani
@edwardmkwelele10 ай бұрын
una pesa lakini hujuwi kujielezea
@josephnjella491910 ай бұрын
Ungete ngeneza Ka ma ulivyo ulivyo inunua
@shamsaazhar34736 ай бұрын
Ajatengeneza amecopy tuy huyu
@bagengift348810 ай бұрын
Yaa yaaa yaaaa yaaa😂😂😂
@petronilamtei747011 ай бұрын
unaongea sana mwamba
@Alkibosstz10 ай бұрын
sasa wewe siuliamuwa wewe sasa ikawa gari powa wacha kutusubuwa bwana duuu😂😂😂😂 mbona rangi ni mutu anaweka
@daudiobedi507011 ай бұрын
Apo awali tenaa
@machasofficialsite622111 ай бұрын
😂
@erastomapunda144410 ай бұрын
iyo gali ata uku zm ipo
@aminakasim119810 ай бұрын
Kumbee milioni450 unapataa gari
@saidyfikirini967910 ай бұрын
😂😂😂hio gari mpe mtoto achezee ww ni mtu mzima unahitaji manual transmision bro
@user-cd2pk7pg7j10 ай бұрын
Unadaiwa shilingi laki 2 za kitanzania seat cover hukulipa
@everlyne85957 ай бұрын
Ndo umdai mtandaon
@user-rg5sg1xz8p10 ай бұрын
Weka manual ww
@kiaphs622210 ай бұрын
SS MASTA UNATUONYESHA MTU BADALA TUONE HYO NDINGA ULITAKIWA UREVIEW HYO GAR TUIONE JAMAA ANATUELEZA TU BUT GAR ZUR
@goodluckkilala8139 ай бұрын
Uchafu uo
@abubakarizuberi716510 ай бұрын
4:49 "baadae mtaona hapo awali"😅😅
@gasperjohnson338810 ай бұрын
Muongo huyu 😂
@elinamilyatuu733710 ай бұрын
Cameraman shame on you
@hamissnjumba30210 ай бұрын
Kiswahili ulicho tumia ni kichache mno
@robertphilip38510 ай бұрын
Hamna gari ya milioni 40 hapo tusidanganyane labda milio 8
@steveprosper40849 ай бұрын
Ujinga ni automatic transmission chuma hizi ni manual bwebwe zisizo za msingi
@bobanthony132610 ай бұрын
what is this all about - worst report ever witnessed on ayo tv.