No video

ELIMU DUNIA: MAMA ASIMULIA ALIVYOMTELEKEZA MTOTO WA MIEZI 2, BAADA MIAKA 20 AMPATA

  Рет қаралды 31,147

Bongo5

Bongo5

Күн бұрын

Пікірлер: 239
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 жыл бұрын
Hii inatufundisha tusiwatupie lawama halaka halaka wazazi wanaotupa vichanga vyao maana hatujui kilichowasibu Mungu nisaidie sana nisiwe miongoni mwa watoa lawama bila kujua kiini chake🙏🤲
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 2 жыл бұрын
Waraaah wanaume kuna muda huwa wanasambalatisha family daaaah huyu mama moyo wake unamaumivu anaongea mpaka anatetemeka
@lisahhans295
@lisahhans295 2 жыл бұрын
GEA KAPENDEZA NA GAUN LAKE NA ILE RANGI YA MTUME KAWA KAMA MWARABU JAMANI.MWIJAKU ANATUNZAAÀ!!!!.
@heyumi2340
@heyumi2340 2 жыл бұрын
@@lisahhans295 kwani gea mumuwe ni mwinjaku
@saniasezzy9085
@saniasezzy9085 2 жыл бұрын
Shangazi anasahau njinsi kaka yake alivgomtesa mkewe, huyo shangazi mshenzi hakupaswa kuwa hapo wangemleta huyo mume wake akaumbuka kwa tabia yake chafu
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 2 жыл бұрын
Basi shangazi ndio ukome unaadhirika kweupe Anwar mamake uyo
@user-eu6ql9zl7n
@user-eu6ql9zl7n Ай бұрын
Keshamjaza sumu za kutosha
@jamilamwangoka1055
@jamilamwangoka1055 2 жыл бұрын
Akuna lolote mama ni Mama tu mbaona uyoshangazi take aeleweki anataka kumtia ubaya kwamwanae ilimtoto amuone mbaya
@furaharyana5019
@furaharyana5019 2 жыл бұрын
Kumwacha mtoto wa miezi 3 ni kosa kisheria maana mtoto hakuwa na kosa hata angenyimwa matumizi angepambana tuu ata angefanya kazi za ndani wamama inatakiwa tuwe majasiri ata ukiwa na ali ngumu Mungu angemjalia angepata tu maisha
@sharonyasin7521
@sharonyasin7521 2 жыл бұрын
Kabisa mi mwenyewe mimepambana kuna wakati najiuliza nilipopita najishangaa
@user-eu6ql9zl7n
@user-eu6ql9zl7n Ай бұрын
Usijishangae mpendwa ni Mungu tuu mie mwenyewe nikijiulizaga nakuta namshangaa Mungu sio sisi ila ni Neema tuu Kila jaribu Lina mlango wa kutokea dear
@wamugimohammed3848
@wamugimohammed3848 2 жыл бұрын
Masha Allah ! Hii diyo kazi ya mawifi ! Mm pia kapitia hiyo REHEMA Alipitia ! Kwa sasa ALAHAMDULILAH kwa sasa watoto wangu wameniweka salama na ALLAH Awape wema Maishani yao AMIN AMIN! PIL WATANGAZAJI DUA ZANGU ZIWE MAQMBL KWENU AMIN AMIN ! Kazi nzuri ! MAWIFI DIYO KAZI YAO HIYO !
@williammorgan2204
@williammorgan2204 2 жыл бұрын
😭😭😭😭Mama ni mama2 hakuna mama anae penda kumuona mwanae anateseka ni changamoto za maisha2
@shabanihassani7115
@shabanihassani7115 Жыл бұрын
Wapo wengne hawalijali wanawatelekeza makusudi
@annakinyami2998
@annakinyami2998 2 жыл бұрын
Shangazi. Wa anuary hakutumia hekima kabisa akumbuke chanzo nikaka ake alitakiwa amchukuwe mama na mtoto ili amnyonyeshe mwanae huyu mama angeweza kujiuwa au kutoa mimba au kumtupa
@mamarazaki8975
@mamarazaki8975 2 жыл бұрын
Huyu shangazi inaelekea kampa sumu nyingi anuari Ila kwamungu hakuna linaloshidikana anuari mpokee mama yako hakuna mkamilifu chini ya jua Allah atakufanyieni wepesi kwakila jambo
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 2 жыл бұрын
Ndio mana anaazirika usikute yeye ndio aloficha mtoto halafu anaongea uongo eti kasema anapiga debe na mtoto shangazi shangazi hakuna kama mama wewe shangazi tu
@dorrinahlutaa7458
@dorrinahlutaa7458 2 жыл бұрын
Wamama wanapitia magumu.mungu bariki kina mama 😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@zainabumbondei8635
@zainabumbondei8635 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭 Kipindi kinaniliza sana kwasie tuliolelewa bila mama hatuwezi jua mama zetu walikua wanapiyia yapi kwa baba zetu ilobaki nikumshukuru MUNGU kwakukutana na kusameheana na kuruhusu Maisha mengine yaendelee
@saumugunga8453
@saumugunga8453 2 жыл бұрын
Habari zenu mimi ninafuraha sana kwa kazi nzuri mimi ni saumu kutoka kenya mombasa ninaomba msaada kwenyu niko na kijana anaitwa RAJAB SALIM kutoka Dar salama. Ako na miaka mingi sana hajaenda kwao naomba msaada
@khadijaabdul1970
@khadijaabdul1970 2 жыл бұрын
Rajabu na mie namtafuta ndugu yangu mtoto wa dada angu tumepoteana tokea mwaka2003 baba ake alipo kuja kumchukua mkononi kwa Bibi ake 0659175958
@fridaernestmkedege900
@fridaernestmkedege900 2 жыл бұрын
Tusimlaumu sana mama anuary... huenda alikuwa na umri mdogo!
@irenebaraka9268
@irenebaraka9268 2 жыл бұрын
Mtu yeyote aliezaa anaejua uchungu wa kuzaa lazima ulie pole mama na hongera sana kwa kukutana na mwanao
@mauasylla5024
@mauasylla5024 2 жыл бұрын
Huyu shangazi alijuwa huyo mama hatomtafuta mwanaye. Na bila Shaka walimjaza huyo Anwar maneno mabaya kuhusu mama yake. Sasa analia sababu huyo Anwar atapata stori kutoka pande mbili na ukweli ataujuwa. Huyo shangazi analia kwa mengi. Jamani , "tenda wema nenda zako, usingoje shukrani". Mungu ndiye mlipaji usilazimishe malipo.
@nuruemma7258
@nuruemma7258 2 жыл бұрын
Shangazi hakutaka mama amtafute Anuary
@juneydeatakujadaimondomar5549
@juneydeatakujadaimondomar5549 2 жыл бұрын
Mama anuary bado alikuwa ni mdogo ictoshe hana wazazi
@olphamoraa6683
@olphamoraa6683 2 жыл бұрын
Inaumiza sana yaani mama umenitoa machozi sana hila ni raha mungu ni mwema
@juliethjohn413
@juliethjohn413 2 жыл бұрын
Mmh aisee nimelia Sana Leo jmn kwakweli wanaume Wana weza kusababishasisi wanawake tukaonekana tuna roho mbaya sana hat wanaotupaga watoto Maji yanakuwa ymefika shingon kulingana na maadili mtu anaona familirahi Bora atupetoto atapata mweingin e mmh Mungu tusaidie wanawake Mimi ninalea watotl watatu Kila mtoto na baba yake na sikuwahi kuwaza Hilo nasijui huwa nakosea wapi mpaka sio lew mmm hhhh nimelia sana jm😭😭😭😭😭😭😭😔😔😔😭
@adrophinakamugisha5014
@adrophinakamugisha5014 2 жыл бұрын
Mungu ndo anaepanga maisha yetu,kikubwa watoto unao kuna wenye ndoa na hawana watoto,hakuna fraha kama kuitwa mama,tuko wengi ila life linasonga alafu milo yote 3
@nassoralinassor1698
@nassoralinassor1698 2 жыл бұрын
Innaumaaa yaaniii annuar huyo ni mama ake shukuru kwa kukubeba tumbonii kwake na kukuleta duniani
@Kanezaestella1481
@Kanezaestella1481 2 жыл бұрын
Nimewapenda sana group bongo 5 kwa kumnyima shangazi muda wa kuongeya kwani hakuna kama mama.
@marykakolaki1169
@marykakolaki1169 2 жыл бұрын
Mama ni Mama Asantee mtt kumsamehe Mama yko sie wazazi tunapitia Shida sana , Niwashukuru sana .Mbarikiwe wotee mapoja na Mwijaku
@johngerald4677
@johngerald4677 2 жыл бұрын
Mama anual aombe msamaha kwa shangazi anaonekana ujana wake alikua mshenzi huwezi acha mtoto wa miezi miwili alafu akalizika
@tifadent1112
@tifadent1112 2 жыл бұрын
Nikwel kabisa mama anuary amekosea inabid amwombe msamaha shangaz
@naomikatharinaandrewmnkai6760
@naomikatharinaandrewmnkai6760 2 жыл бұрын
Sure John
@desirenathan3734
@desirenathan3734 Жыл бұрын
Shangazi huku mukali. Jamanii. Mama ni mama. Hata ikuwenje
@agnesmgohele2413
@agnesmgohele2413 2 жыл бұрын
Soo touching 😭😭 Hakuna mkamilifu Shangazi shangazi🙌🙌
@rahmasalim1989
@rahmasalim1989 2 жыл бұрын
Mama Anuari yupo sahihi ulitaka afanyeje?
@julianamasato5655
@julianamasato5655 2 жыл бұрын
Mimi naona hapo mama anualy hakuwa sahihi kumuacha mtoto miezi 3 eti kisa hakuwa anapewa matunzo na baba anualy .miezi 3 hata kazi yamama ntilie angefanya akiwa na mwanae mgongoni .na kama maisha yamjini yarishindikana angeenda kijiji kwao na mtoto wake.hapo mama anualy aombe msamaha asiangarie kosa la mzazi mwenzie kutokumpa matumizi aangarie yeye kumuachia mtoto shangazi mtu akiwa na umri wa miezi 3 kulea nikazi jamani ,hata kufukuzwa na huyo baba alikuwa sahihi kabisa kumfukuza .
@halimarahma7450
@halimarahma7450 2 жыл бұрын
Mama ntilie wawapi anakupokea na mtoto wamiez 3 mfumo wa utaftaji n ngumu sana kama hujapitia unaweza ukaona wenzio wazembe
@rehemafungo7387
@rehemafungo7387 Жыл бұрын
Mimi nilijitegemea na kulea mwanangu.sasa anaoa,baba karudi Kwa ushindii.siachi mtt
@shenjamamzingi7950
@shenjamamzingi7950 2 жыл бұрын
Mwacheni Shangazi alie kwasababu alisimamia makuzi ya mtoto.
@gililwise
@gililwise 2 жыл бұрын
Mungu wangu wasaidie wamama wanaopitia katika matatizo kama haya.
@adrophinakamugisha5014
@adrophinakamugisha5014 2 жыл бұрын
🙏🙏
@madawakemikali776
@madawakemikali776 2 жыл бұрын
Huyo shangazi kiranga Sana na inaonekana alikuwa mtu mbaya Sana anavtoho mbay
@charlessilwimba4770
@charlessilwimba4770 2 жыл бұрын
Kwajinsi ninavyowajua mashangazi jamani! Huyu shangazi pia ni mama, ahsante Kwakua hukustahili iyo adhabu ilihali starehe zilkuwa zao wawili, ilipaswa akuombe msamaha na akushukuru hakupaswa kulipwa hayo, sawa n sahihi mama kukutana na mtoto ila aombe msamaha & amshukuru, hongera kwa busara anuari ni wazi shangazi amekulea kwa maadili mazuri.
@rodageoffrey8556
@rodageoffrey8556 2 жыл бұрын
Ni kaz sana kumuelewa huy mama lkn najiona mm kweny kiatu chake😭😭😭😭😭ila tuliotelekezwa na mmba dah
@rodageoffrey8556
@rodageoffrey8556 2 жыл бұрын
Shangazi💏😅😅😅😅😅hzo pole za nn c mwanae huy ahya mwemzie kaeleza alkopata jina la anuar aahya na yy aeleze au anajibebisha hapo nawachukia mawif mm😡
@malkiawanguvu3150
@malkiawanguvu3150 2 жыл бұрын
Aiseee hivi vipindi vinaliza saana saana ctaki tena kuangalia😭😭😭😭😭😭
@imeldaelias6303
@imeldaelias6303 2 жыл бұрын
Unalia coz Kuna Mahali umepita ni pachungu Sana! Always aliyepitia kwenye kipindi kichungu lazima Alie tu we are the same road hata Mimi nimelia sana
@malkiawanguvu3150
@malkiawanguvu3150 2 жыл бұрын
@@imeldaelias6303 nakumbuka mamayangu nilimjua nikiwa darasa la 4 sasa hiyo siku nililia saana tena saana na huwez amini alikuja shulen nikaitwa ofisin nikaulizwa huyu nani ,. Nikilio tu na machozi huku nikisemama mama wakati cjasahi kumwona ndio ujue damu nzito
@malkiawanguvu3150
@malkiawanguvu3150 2 жыл бұрын
Ila kwa mwanamke yeyote kwa maelezo ya huyu mama lazima ulie tu! Kilanmmoja anamapito na historia za machozi ktk maisha yake, history zangu ni nyingi saana, nikifumba macho hiviiiiiiiiiii nikiwaza na nikifumbua ni machozi! Ila Mungu ni mwema mpaka sasa nasema asante ndio kujifunza ktk dunia hilii
@sashahauke2032
@sashahauke2032 2 жыл бұрын
Kweli ndugu mimi nimelia sana sana sana san
@rehemajuma2202
@rehemajuma2202 2 жыл бұрын
Hongera watangazaji,mtoto ni mama....shangazi tulia....
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 2 жыл бұрын
Shangazi kiherehere anaadhirika mama ni mama tu ata kama alimtupa mtoto anataka mamaake shangazi weee
@judithmollel626
@judithmollel626 Жыл бұрын
Uyu shangazi mnafiki sana Yani kanikera kweli kuna mzazi anaweza kumtelekeza mtoto wake
@user-eu6ql9zl7n
@user-eu6ql9zl7n Ай бұрын
Shangazi hata ubinuke huwez kuwa kama mama utabak kuwa shangazi tuuu
@melvinkyando9081
@melvinkyando9081 2 жыл бұрын
Huyu mma anamaumivu sana ilaunaweza msema mtuu bila kujua historia yako. Inatia uchungu sana ila usipojua maisha yamtuu utamkosea Mungu
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 2 жыл бұрын
Shangazi udimlaumu huyo wifiyo. Likakazako ndio lilikuwa maharuni
@yustakipenya6231
@yustakipenya6231 2 жыл бұрын
Ila kulea mtoto ni kazi kuliko kuzaa shangazi anaona kama kanyanganywa mtoto lakini asamehe tuu mtoto atakuwa na upendo kwa shangazi yake kuliko mama lakini
@nasizakayo3592
@nasizakayo3592 Жыл бұрын
Mwanamke hafi kwa kulea ila anakufa wakati wa kujifungua mama niwa muhimu baba asingekuwa msumbufu haya yasingetokea
@peninabernardo2504
@peninabernardo2504 2 жыл бұрын
Uyu shangaz nyie wenzangu mmemuelewa?😳kwamba hatak mtt awe na mama ake au?
@lulutweve3516
@lulutweve3516 Жыл бұрын
huyu shangaz mbaya sana inaonyesha ana kinyongo rohon mwake
@houseofbeatytv9682
@houseofbeatytv9682 2 жыл бұрын
Aii mejikuta nalia but All in all Pole mama shukran anuary kwa akili yako ya kujua mama ni mama
@ummyyusra6740
@ummyyusra6740 2 жыл бұрын
Mashangazi wamerogwa na nani mtoto kasamehe mengine mapito hayo
@iloveoman7515
@iloveoman7515 2 жыл бұрын
Uyu shangaz hapo ametuonuesha kua hakua na Tabia njema
@eusebiaurassa3417
@eusebiaurassa3417 2 жыл бұрын
Shangaz kupewa🎤 ataka kuanza kumchamba mama Anuary mweee, haya tunashukur kwa kumlea kijana, afu kingine huyu shangaz anaonekana amemlisha maneno mengi Sana ya sumu😒
@emmyfoyi8461
@emmyfoyi8461 2 жыл бұрын
Nisingemuacha mtoto wanguu mburaaaaaaaa
@user-eu6ql9zl7n
@user-eu6ql9zl7n Ай бұрын
Shangaz ni baba kasoro surual ww ulisimama kwa niaba ya kaka ako inatosha ila chanzo ni nduguyo
@tinnabenben2328
@tinnabenben2328 2 жыл бұрын
Inaumiza Sana jmn pole Sana mama angu uchungu wa mtoto aujuae mama nimelia sana
@gracembise906
@gracembise906 2 жыл бұрын
Wow Gea na timu yako... Nmewapenda .... MUNGU AWATUNZE...
@naimarishedy1523
@naimarishedy1523 2 жыл бұрын
Mie nimefurahi Sana nawashukuru clouds. Mwiaku mungu awabariki maana mashangazi hamuwajui itakuwa huyo kaka yake alikuwa na pesa. Mie yangu ni makubwa mpk nimelia nayaona ni yangu
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 2 жыл бұрын
Mie wangu aliambiwa nimekufa na mashangazi we Mungu acha aitwe Mungu asaivi nafuaha na Mwanangu wamebaki njoo Manunu njoo wapii pale mlipo ninyanganya na kunipeleka polis 👮‍♀️ na kunipeleka mahakamani mtoto wangu mwenyewe tena mdogo tena baba amefariki machungu na Msumari wa moto juu
@user-eu6ql9zl7n
@user-eu6ql9zl7n Ай бұрын
Pole mtoto ni mama!Labda akukabidh mwenyewe sio kumnyang'anya
@abigaelshossy5966
@abigaelshossy5966 2 жыл бұрын
Hii ngumu jaman machozi hayaishi. Pole mama Anuary kwa mitihani hii hakika Mungu ni baba wa Yatima. Yaan unamfukuza mtoto nyumban kisa kabeba ujauzito jaman
@leylascherer3111
@leylascherer3111 Жыл бұрын
Hichi kipindi😢 is the best 😢 Mimi nimenyanganywa watoto wangu😢kila siku nalia umama nikazi
@Estherbongo
@Estherbongo 2 жыл бұрын
Nilichojifunz kwa anuar si kwamba ni kibur ila anajikaz
@aishamohamed1210
@aishamohamed1210 2 жыл бұрын
Shangazi kila mja wa ALLAH anamapungufu yake msamehe tu mama Anuary kikubwa mmekutana wote niwazima tuseme Alhamdulila hakuna kama MUNGU
@angelmollel3339
@angelmollel3339 2 жыл бұрын
Hapa nilipo nalia😭😭😭😭😭
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 жыл бұрын
Huyu Shangazi tatizo kubwa sana amebeba mzigo wa kaka ake
@user-eu6ql9zl7n
@user-eu6ql9zl7n Ай бұрын
Mwache abebe si kimbelembele chake?Angeongea na kaka yake halafu stake kujua huyu to mwanamke aliyezaa na kaka yake Kuna shida gan yy si slimsikilizaaa alimsikiliza kaka yake tuu!!
@melvinkyando9081
@melvinkyando9081 2 жыл бұрын
Asantee sana grouo kakunyima aunt maelezo maana nimswahili
@Kanezaestella1481
@Kanezaestella1481 2 жыл бұрын
Shangazi hajafurahiya mtoto na mama kukutana. Shangazi pole ila NANI KAMA MAMA?
@abdulrahmanmwadini5925
@abdulrahmanmwadini5925 2 жыл бұрын
Shangazi unataka SIFA upewe wewe tu,sawa unastahili sifa ila hupaswi kumlaumu huyo mama,mlaumu kaka yako,mama kama asingemtaka angeitoa hiyo Mimba mama wa watu anakuwa KONDA na Mimba sababu ya kaka yako?
@zahranabdi8124
@zahranabdi8124 2 жыл бұрын
pole sana mamaa
@annakinyami2998
@annakinyami2998 2 жыл бұрын
Chanzo ni wanaume
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 2 жыл бұрын
Shangazi kiranga
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 2 жыл бұрын
Wanaume tunadhambi sana ila wanawake wafundishwe tangu wadogo namna ya kujikinga na mimba tangu wadogo liwapo somo mashuleni hii inauma sana
@zainakurro5698
@zainakurro5698 2 жыл бұрын
Maskin mama Anuary mpk anatetemeka pole alhamdulilah
@khadijaabdullah6328
@khadijaabdullah6328 2 жыл бұрын
Shangazi mnafiki ata anuar anaonekana kumbeza Hahahaha mama ni mama Weee kwani si kaka ako ndo aloharibu Mambo au kapaniko kusemwa mumewe uchafu wake wa kumtimua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mashalaizer3152
@mashalaizer3152 2 жыл бұрын
Kumbe na wewe umeona eeeeh anazingua mama ni mama tu
@jenipherkavusha1661
@jenipherkavusha1661 2 жыл бұрын
Pole sana mama na hongera kwa kukutana na mwanao
@sifasanga7866
@sifasanga7866 Жыл бұрын
Shangaz Bado una nafasi Kwa huyo Mtoto....Usilie tulia...Huyo Mtoto Yuko Bounded na Wewe. Anamfariji tu Mama yake.... Kisaikolojia hawezi kuwa na Upendo nae
@mathayowilson1525
@mathayowilson1525 2 жыл бұрын
JAMANI MMENILIZA... UPENDO NDO MAISHA MAKUU YA UWEPO WA MWANADAMU DUNIANI...
@happinessmtani7621
@happinessmtani7621 2 жыл бұрын
mhh aiseh nimeumia sana mimi niliteseka kwanzia mimba mpk kulea mtoto japo sikumtelekeza mtoto au kumtupa ila niliyopitia mpk leo sijasubutu kuzaaa tena,kifupi tunaowapenda na kuwapa mioyo yetu wakishindwa kututhamini kipindi tumatatizo ni rahisi kufanya maamuzi magumu na huwa yanaumizaa baadaye,3 months my man married his x and chase me to his mother house,ila leo ninamaisha yangu na bado nalea mwanangu.more man's are evil,really nimerudisha siku nyuma nilizoteseka duh wacha nikae alone with my son.
@emmyfoyi8461
@emmyfoyi8461 2 жыл бұрын
Uyooo shangaz mwendawazimuu kaongopaa nn hapooo
@valentinanduku8718
@valentinanduku8718 2 жыл бұрын
Pole mama inaliza😭😭😭😭😭
@lusekeloswebe9858
@lusekeloswebe9858 2 жыл бұрын
Huyu mama Annuar sioni kinachomliza alikuwa na uwezo WA kufika ustawi WA jamii mtoto alivofikisha miaka miwili angemtunza
@ghazughazu4812
@ghazughazu4812 2 жыл бұрын
Nani mwengine amemuona mama alikua ashindwa kusimama alipoambiwa mwanawe yuangia😭😭😭
@halinotialicenunu656
@halinotialicenunu656 2 жыл бұрын
mungu azido kuwabariki
@aishamohamed1210
@aishamohamed1210 2 жыл бұрын
Pole mama 😭😭😭😭😭 nimelia mm jaman
@samiakikwete1762
@samiakikwete1762 2 жыл бұрын
Allah ndio mjuzi
@suleshmacs1286
@suleshmacs1286 2 жыл бұрын
Shangazi yuwakaa kiherehere sana
@khalila.matingas2448
@khalila.matingas2448 Жыл бұрын
Shangazi mnafiki huo si wakati wa kutaka kuongea vyenye kutaka kuchonganisha, akubali kashukuriwa kwani hakuna kama mama, asijaribu kumjaza mtoto mabaya ya mama yake wacha wapatane
@aishaaisha4549
@aishaaisha4549 2 жыл бұрын
Hakuna wakulaumiwa but mama alibeba anuary tumboni na kumzaa kwaiyo yaliopita achana nayo hakuna kama mama
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 2 жыл бұрын
Shangazi hongera lkn hayo mengine hayakusemwa lbd km wamekata
@emmyfoyi8461
@emmyfoyi8461 2 жыл бұрын
Uwiiiiii nimeliaaa
@jackdaniels9323
@jackdaniels9323 Жыл бұрын
Daaah imn nmelia hd kwikwi
@matswelopelemphela261
@matswelopelemphela261 2 жыл бұрын
Pole Sana Sana na hongera kwa kumpata mwanao.
@neemadaniel570
@neemadaniel570 2 жыл бұрын
Shangazi roho mbaya kama sura yake hata kama umelea ila una roho mbaya
@BEATRICENYONGOLE
@BEATRICENYONGOLE 2 ай бұрын
Mashangazi mmmmmmhhhh.Haya
@conymbetsa9377
@conymbetsa9377 2 жыл бұрын
Nimelia sana
@samiakikwete1762
@samiakikwete1762 2 жыл бұрын
Mungu anakupa mtihani ambao unauwezaaa
@rechogoda8920
@rechogoda8920 2 жыл бұрын
Mtihani pole sana ndugu yangu
@muungujaunguja8609
@muungujaunguja8609 2 жыл бұрын
Shangazi chizi
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 жыл бұрын
Huyo shangazi mnafiki tu.Anaona kama mtoto utampa msaada,msaada utakwenda kwa MAMA Masasi.
@salharunguma4210
@salharunguma4210 2 жыл бұрын
Shangaz mchawi co bure..wnzke wanajenga yy anaharibu
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 2 жыл бұрын
Huyu shangazi mtata na kaka yake mtata pia, huyu mama nimemuelewa kapitia magumu kweli.
@ummynasser8293
@ummynasser8293 2 жыл бұрын
Magumu yapi wakati lawama zipo kwa Shangazi wakati mama kasema uongo sasa lzm Shangazi ajitetee Kwann aongope iyo ndio hoja ya Shangazi na hao waandishi wanasema Mtoto kuwaambia maneno na Shangazi yake na baba yake
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 2 жыл бұрын
@@ummynasser8293 kukosa makazi, mimba kukataliwa, kufanya kazi ya ukonda hadi mimba miezi 7,kuzaa akiwa hajui atajimudu vipi yeye na mtoto, Shangazi kaanza malezi baada ya kuzaliwa mtoto, je hayo ni mepesi?
@asiahathuman7163
@asiahathuman7163 2 жыл бұрын
@@ummynasser8293 na hajaongopa shangaz mzandiki tu huyu.. Mambo ya ujambaz Yee shangaz Katoa wapi?? Mama kaeleza aliopitia
@daimamagehema8919
@daimamagehema8919 2 жыл бұрын
aisee inahuzunisha sna jamani hongera janual kukutana na mama yako
@wariditambi8679
@wariditambi8679 2 жыл бұрын
Uyu shangazi kaniacha hoi
@miriamhassan6566
@miriamhassan6566 Жыл бұрын
shanganzi ake anuar ana jaziba hatariii
@mamuwilly6182
@mamuwilly6182 2 жыл бұрын
Dah adi tumbo la uzazi limeanza kuniuma tunapitia mengi Sana😢😢😢
@rechogoda8920
@rechogoda8920 2 жыл бұрын
Huyu shangazi sio kwa hiyo ulitaka mtoto amkatae mama yake sio bhana
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Жыл бұрын
Acha tu!
@desirenathan3734
@desirenathan3734 Жыл бұрын
Jamanii huyu maman. Hajakosea. Uwo baba kwanini. Haja musaidia
@rahmasalim1989
@rahmasalim1989 2 жыл бұрын
shangazi acha uongoooooo
@jamilahsakina1561
@jamilahsakina1561 Жыл бұрын
Shangax jamani 😂😂😂😂😂😂😂ongera ila usimjaze mtoto ubaya kwa mama yake
@anethgodwin3224
@anethgodwin3224 2 жыл бұрын
mama hakustaili kumuacha myoto, atakua alibugi sehem
@rehamalafari3357
@rehamalafari3357 2 жыл бұрын
,shangazi shikamooo
@babynahiya6640
@babynahiya6640 2 жыл бұрын
😭😭😭 inaumiza mno jaman ingawa kher ishapatikana
@hellenhamani6056
@hellenhamani6056 2 жыл бұрын
Mama anuary pole mumy❤️
@margaretwambete1228
@margaretwambete1228 Жыл бұрын
Daha❤❤❤❤
@emmyfoyi8461
@emmyfoyi8461 2 жыл бұрын
Uyoo Mjomba hana utuu jmn anakwepaa kuumpa chakulaa
@ungwamwangaza7297
@ungwamwangaza7297 2 жыл бұрын
😭😭 I cried a lot
@robertmwangomale
@robertmwangomale 2 жыл бұрын
Jaman namtafuta baba yangu naambiwa alikuwa anaitwa mlewa A mlewa mtu wa iringa nami naitwa Robert mwangomale majina ya kwa mama , ilibidi niitwe Robert mlewa
@bahatirobert1009
@bahatirobert1009 Жыл бұрын
Nenda clouds watakusaidia utampata
@alisiaalexander1558
@alisiaalexander1558 2 жыл бұрын
Kulingana na msamaha aloutoa anwar kwa mama ake nidhahili kuwa shangazi alisha mjaza sumu akiwa mdogo . ila anuar akili kichwani we ndio unatakiwa kuwaunganisha na kusamehe .
@joycekiza2302
@joycekiza2302 2 жыл бұрын
Sasa shangazi alikua ataki mtoto alone mama?
@paulobonnifasi9215
@paulobonnifasi9215 2 жыл бұрын
Hongera kwa kumpata mtt,
@aishahussein9348
@aishahussein9348 Жыл бұрын
Wanatupa watoto wakiwa wakubwa dah shangazi ongera sana
Aangua Kilio Akimtafuta Mwanae Selemani Aliezamia Afrika Kusini
8:31
Алексей Щербаков разнес ВДВшников
00:47
managed to catch #tiktok
00:16
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 41 МЛН
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 49 МЛН
SAKATA LA NGORONGORO KABUDI ATIMBA,  ATAJA MAMBO MANNE
4:29
Mwananchi Digital
Рет қаралды 3,6 М.
HUYU NI MHE JOHN POMBE MAGUFULI 14 Nov 2013
13:38
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 283 М.
Алексей Щербаков разнес ВДВшников
00:47