Hii inatufundisha tusiwatupie lawama halaka halaka wazazi wanaotupa vichanga vyao maana hatujui kilichowasibu Mungu nisaidie sana nisiwe miongoni mwa watoa lawama bila kujua kiini chake🙏🤲
@ashuuuaisha91222 жыл бұрын
Waraaah wanaume kuna muda huwa wanasambalatisha family daaaah huyu mama moyo wake unamaumivu anaongea mpaka anatetemeka
@lisahhans2952 жыл бұрын
GEA KAPENDEZA NA GAUN LAKE NA ILE RANGI YA MTUME KAWA KAMA MWARABU JAMANI.MWIJAKU ANATUNZAAÀ!!!!.
@heyumi23402 жыл бұрын
@@lisahhans295 kwani gea mumuwe ni mwinjaku
@saniasezzy90852 жыл бұрын
Shangazi anasahau njinsi kaka yake alivgomtesa mkewe, huyo shangazi mshenzi hakupaswa kuwa hapo wangemleta huyo mume wake akaumbuka kwa tabia yake chafu
@hejmabohejhej92 жыл бұрын
Basi shangazi ndio ukome unaadhirika kweupe Anwar mamake uyo
@user-eu6ql9zl7nАй бұрын
Keshamjaza sumu za kutosha
@jamilamwangoka10552 жыл бұрын
Akuna lolote mama ni Mama tu mbaona uyoshangazi take aeleweki anataka kumtia ubaya kwamwanae ilimtoto amuone mbaya
@furaharyana50192 жыл бұрын
Kumwacha mtoto wa miezi 3 ni kosa kisheria maana mtoto hakuwa na kosa hata angenyimwa matumizi angepambana tuu ata angefanya kazi za ndani wamama inatakiwa tuwe majasiri ata ukiwa na ali ngumu Mungu angemjalia angepata tu maisha
@sharonyasin75212 жыл бұрын
Kabisa mi mwenyewe mimepambana kuna wakati najiuliza nilipopita najishangaa
@user-eu6ql9zl7nАй бұрын
Usijishangae mpendwa ni Mungu tuu mie mwenyewe nikijiulizaga nakuta namshangaa Mungu sio sisi ila ni Neema tuu Kila jaribu Lina mlango wa kutokea dear
@wamugimohammed38482 жыл бұрын
Masha Allah ! Hii diyo kazi ya mawifi ! Mm pia kapitia hiyo REHEMA Alipitia ! Kwa sasa ALAHAMDULILAH kwa sasa watoto wangu wameniweka salama na ALLAH Awape wema Maishani yao AMIN AMIN! PIL WATANGAZAJI DUA ZANGU ZIWE MAQMBL KWENU AMIN AMIN ! Kazi nzuri ! MAWIFI DIYO KAZI YAO HIYO !
@williammorgan22042 жыл бұрын
😭😭😭😭Mama ni mama2 hakuna mama anae penda kumuona mwanae anateseka ni changamoto za maisha2
@shabanihassani7115 Жыл бұрын
Wapo wengne hawalijali wanawatelekeza makusudi
@annakinyami29982 жыл бұрын
Shangazi. Wa anuary hakutumia hekima kabisa akumbuke chanzo nikaka ake alitakiwa amchukuwe mama na mtoto ili amnyonyeshe mwanae huyu mama angeweza kujiuwa au kutoa mimba au kumtupa
@mamarazaki89752 жыл бұрын
Huyu shangazi inaelekea kampa sumu nyingi anuari Ila kwamungu hakuna linaloshidikana anuari mpokee mama yako hakuna mkamilifu chini ya jua Allah atakufanyieni wepesi kwakila jambo
@hejmabohejhej92 жыл бұрын
Ndio mana anaazirika usikute yeye ndio aloficha mtoto halafu anaongea uongo eti kasema anapiga debe na mtoto shangazi shangazi hakuna kama mama wewe shangazi tu
@dorrinahlutaa74582 жыл бұрын
Wamama wanapitia magumu.mungu bariki kina mama 😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@zainabumbondei86352 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭 Kipindi kinaniliza sana kwasie tuliolelewa bila mama hatuwezi jua mama zetu walikua wanapiyia yapi kwa baba zetu ilobaki nikumshukuru MUNGU kwakukutana na kusameheana na kuruhusu Maisha mengine yaendelee
@saumugunga84532 жыл бұрын
Habari zenu mimi ninafuraha sana kwa kazi nzuri mimi ni saumu kutoka kenya mombasa ninaomba msaada kwenyu niko na kijana anaitwa RAJAB SALIM kutoka Dar salama. Ako na miaka mingi sana hajaenda kwao naomba msaada
@khadijaabdul19702 жыл бұрын
Rajabu na mie namtafuta ndugu yangu mtoto wa dada angu tumepoteana tokea mwaka2003 baba ake alipo kuja kumchukua mkononi kwa Bibi ake 0659175958
@fridaernestmkedege9002 жыл бұрын
Tusimlaumu sana mama anuary... huenda alikuwa na umri mdogo!
@irenebaraka92682 жыл бұрын
Mtu yeyote aliezaa anaejua uchungu wa kuzaa lazima ulie pole mama na hongera sana kwa kukutana na mwanao
@mauasylla50242 жыл бұрын
Huyu shangazi alijuwa huyo mama hatomtafuta mwanaye. Na bila Shaka walimjaza huyo Anwar maneno mabaya kuhusu mama yake. Sasa analia sababu huyo Anwar atapata stori kutoka pande mbili na ukweli ataujuwa. Huyo shangazi analia kwa mengi. Jamani , "tenda wema nenda zako, usingoje shukrani". Mungu ndiye mlipaji usilazimishe malipo.
@nuruemma72582 жыл бұрын
Shangazi hakutaka mama amtafute Anuary
@juneydeatakujadaimondomar55492 жыл бұрын
Mama anuary bado alikuwa ni mdogo ictoshe hana wazazi
@olphamoraa66832 жыл бұрын
Inaumiza sana yaani mama umenitoa machozi sana hila ni raha mungu ni mwema
@juliethjohn4132 жыл бұрын
Mmh aisee nimelia Sana Leo jmn kwakweli wanaume Wana weza kusababishasisi wanawake tukaonekana tuna roho mbaya sana hat wanaotupaga watoto Maji yanakuwa ymefika shingon kulingana na maadili mtu anaona familirahi Bora atupetoto atapata mweingin e mmh Mungu tusaidie wanawake Mimi ninalea watotl watatu Kila mtoto na baba yake na sikuwahi kuwaza Hilo nasijui huwa nakosea wapi mpaka sio lew mmm hhhh nimelia sana jm😭😭😭😭😭😭😭😔😔😔😭
@adrophinakamugisha50142 жыл бұрын
Mungu ndo anaepanga maisha yetu,kikubwa watoto unao kuna wenye ndoa na hawana watoto,hakuna fraha kama kuitwa mama,tuko wengi ila life linasonga alafu milo yote 3
@nassoralinassor16982 жыл бұрын
Innaumaaa yaaniii annuar huyo ni mama ake shukuru kwa kukubeba tumbonii kwake na kukuleta duniani
@Kanezaestella14812 жыл бұрын
Nimewapenda sana group bongo 5 kwa kumnyima shangazi muda wa kuongeya kwani hakuna kama mama.
@marykakolaki11692 жыл бұрын
Mama ni Mama Asantee mtt kumsamehe Mama yko sie wazazi tunapitia Shida sana , Niwashukuru sana .Mbarikiwe wotee mapoja na Mwijaku
@johngerald46772 жыл бұрын
Mama anual aombe msamaha kwa shangazi anaonekana ujana wake alikua mshenzi huwezi acha mtoto wa miezi miwili alafu akalizika
@tifadent11122 жыл бұрын
Nikwel kabisa mama anuary amekosea inabid amwombe msamaha shangaz
@naomikatharinaandrewmnkai67602 жыл бұрын
Sure John
@desirenathan3734 Жыл бұрын
Shangazi huku mukali. Jamanii. Mama ni mama. Hata ikuwenje
@agnesmgohele24132 жыл бұрын
Soo touching 😭😭 Hakuna mkamilifu Shangazi shangazi🙌🙌
@rahmasalim19892 жыл бұрын
Mama Anuari yupo sahihi ulitaka afanyeje?
@julianamasato56552 жыл бұрын
Mimi naona hapo mama anualy hakuwa sahihi kumuacha mtoto miezi 3 eti kisa hakuwa anapewa matunzo na baba anualy .miezi 3 hata kazi yamama ntilie angefanya akiwa na mwanae mgongoni .na kama maisha yamjini yarishindikana angeenda kijiji kwao na mtoto wake.hapo mama anualy aombe msamaha asiangarie kosa la mzazi mwenzie kutokumpa matumizi aangarie yeye kumuachia mtoto shangazi mtu akiwa na umri wa miezi 3 kulea nikazi jamani ,hata kufukuzwa na huyo baba alikuwa sahihi kabisa kumfukuza .
@halimarahma74502 жыл бұрын
Mama ntilie wawapi anakupokea na mtoto wamiez 3 mfumo wa utaftaji n ngumu sana kama hujapitia unaweza ukaona wenzio wazembe
@rehemafungo7387 Жыл бұрын
Mimi nilijitegemea na kulea mwanangu.sasa anaoa,baba karudi Kwa ushindii.siachi mtt
@shenjamamzingi79502 жыл бұрын
Mwacheni Shangazi alie kwasababu alisimamia makuzi ya mtoto.
@gililwise2 жыл бұрын
Mungu wangu wasaidie wamama wanaopitia katika matatizo kama haya.
@adrophinakamugisha50142 жыл бұрын
🙏🙏
@madawakemikali7762 жыл бұрын
Huyo shangazi kiranga Sana na inaonekana alikuwa mtu mbaya Sana anavtoho mbay
@charlessilwimba47702 жыл бұрын
Kwajinsi ninavyowajua mashangazi jamani! Huyu shangazi pia ni mama, ahsante Kwakua hukustahili iyo adhabu ilihali starehe zilkuwa zao wawili, ilipaswa akuombe msamaha na akushukuru hakupaswa kulipwa hayo, sawa n sahihi mama kukutana na mtoto ila aombe msamaha & amshukuru, hongera kwa busara anuari ni wazi shangazi amekulea kwa maadili mazuri.
@rodageoffrey85562 жыл бұрын
Ni kaz sana kumuelewa huy mama lkn najiona mm kweny kiatu chake😭😭😭😭😭ila tuliotelekezwa na mmba dah
@rodageoffrey85562 жыл бұрын
Shangazi💏😅😅😅😅😅hzo pole za nn c mwanae huy ahya mwemzie kaeleza alkopata jina la anuar aahya na yy aeleze au anajibebisha hapo nawachukia mawif mm😡
@malkiawanguvu31502 жыл бұрын
Aiseee hivi vipindi vinaliza saana saana ctaki tena kuangalia😭😭😭😭😭😭
@imeldaelias63032 жыл бұрын
Unalia coz Kuna Mahali umepita ni pachungu Sana! Always aliyepitia kwenye kipindi kichungu lazima Alie tu we are the same road hata Mimi nimelia sana
@malkiawanguvu31502 жыл бұрын
@@imeldaelias6303 nakumbuka mamayangu nilimjua nikiwa darasa la 4 sasa hiyo siku nililia saana tena saana na huwez amini alikuja shulen nikaitwa ofisin nikaulizwa huyu nani ,. Nikilio tu na machozi huku nikisemama mama wakati cjasahi kumwona ndio ujue damu nzito
@malkiawanguvu31502 жыл бұрын
Ila kwa mwanamke yeyote kwa maelezo ya huyu mama lazima ulie tu! Kilanmmoja anamapito na historia za machozi ktk maisha yake, history zangu ni nyingi saana, nikifumba macho hiviiiiiiiiiii nikiwaza na nikifumbua ni machozi! Ila Mungu ni mwema mpaka sasa nasema asante ndio kujifunza ktk dunia hilii
@sashahauke20322 жыл бұрын
Kweli ndugu mimi nimelia sana sana sana san
@rehemajuma22022 жыл бұрын
Hongera watangazaji,mtoto ni mama....shangazi tulia....
@hejmabohejhej92 жыл бұрын
Shangazi kiherehere anaadhirika mama ni mama tu ata kama alimtupa mtoto anataka mamaake shangazi weee
@judithmollel626 Жыл бұрын
Uyu shangazi mnafiki sana Yani kanikera kweli kuna mzazi anaweza kumtelekeza mtoto wake
@user-eu6ql9zl7nАй бұрын
Shangazi hata ubinuke huwez kuwa kama mama utabak kuwa shangazi tuuu
@melvinkyando90812 жыл бұрын
Huyu mma anamaumivu sana ilaunaweza msema mtuu bila kujua historia yako. Inatia uchungu sana ila usipojua maisha yamtuu utamkosea Mungu
@ashuuuaisha91222 жыл бұрын
Shangazi udimlaumu huyo wifiyo. Likakazako ndio lilikuwa maharuni
@yustakipenya62312 жыл бұрын
Ila kulea mtoto ni kazi kuliko kuzaa shangazi anaona kama kanyanganywa mtoto lakini asamehe tuu mtoto atakuwa na upendo kwa shangazi yake kuliko mama lakini
@nasizakayo3592 Жыл бұрын
Mwanamke hafi kwa kulea ila anakufa wakati wa kujifungua mama niwa muhimu baba asingekuwa msumbufu haya yasingetokea
@peninabernardo25042 жыл бұрын
Uyu shangaz nyie wenzangu mmemuelewa?😳kwamba hatak mtt awe na mama ake au?
@lulutweve3516 Жыл бұрын
huyu shangaz mbaya sana inaonyesha ana kinyongo rohon mwake
@houseofbeatytv96822 жыл бұрын
Aii mejikuta nalia but All in all Pole mama shukran anuary kwa akili yako ya kujua mama ni mama
@ummyyusra67402 жыл бұрын
Mashangazi wamerogwa na nani mtoto kasamehe mengine mapito hayo
@iloveoman75152 жыл бұрын
Uyu shangaz hapo ametuonuesha kua hakua na Tabia njema
@eusebiaurassa34172 жыл бұрын
Shangaz kupewa🎤 ataka kuanza kumchamba mama Anuary mweee, haya tunashukur kwa kumlea kijana, afu kingine huyu shangaz anaonekana amemlisha maneno mengi Sana ya sumu😒
@emmyfoyi84612 жыл бұрын
Nisingemuacha mtoto wanguu mburaaaaaaaa
@user-eu6ql9zl7nАй бұрын
Shangaz ni baba kasoro surual ww ulisimama kwa niaba ya kaka ako inatosha ila chanzo ni nduguyo
@tinnabenben23282 жыл бұрын
Inaumiza Sana jmn pole Sana mama angu uchungu wa mtoto aujuae mama nimelia sana
@gracembise9062 жыл бұрын
Wow Gea na timu yako... Nmewapenda .... MUNGU AWATUNZE...
@naimarishedy15232 жыл бұрын
Mie nimefurahi Sana nawashukuru clouds. Mwiaku mungu awabariki maana mashangazi hamuwajui itakuwa huyo kaka yake alikuwa na pesa. Mie yangu ni makubwa mpk nimelia nayaona ni yangu
@hejmabohejhej92 жыл бұрын
Mie wangu aliambiwa nimekufa na mashangazi we Mungu acha aitwe Mungu asaivi nafuaha na Mwanangu wamebaki njoo Manunu njoo wapii pale mlipo ninyanganya na kunipeleka polis 👮♀️ na kunipeleka mahakamani mtoto wangu mwenyewe tena mdogo tena baba amefariki machungu na Msumari wa moto juu
@user-eu6ql9zl7nАй бұрын
Pole mtoto ni mama!Labda akukabidh mwenyewe sio kumnyang'anya
@abigaelshossy59662 жыл бұрын
Hii ngumu jaman machozi hayaishi. Pole mama Anuary kwa mitihani hii hakika Mungu ni baba wa Yatima. Yaan unamfukuza mtoto nyumban kisa kabeba ujauzito jaman
@leylascherer3111 Жыл бұрын
Hichi kipindi😢 is the best 😢 Mimi nimenyanganywa watoto wangu😢kila siku nalia umama nikazi
@Estherbongo2 жыл бұрын
Nilichojifunz kwa anuar si kwamba ni kibur ila anajikaz
@aishamohamed12102 жыл бұрын
Shangazi kila mja wa ALLAH anamapungufu yake msamehe tu mama Anuary kikubwa mmekutana wote niwazima tuseme Alhamdulila hakuna kama MUNGU
@angelmollel33392 жыл бұрын
Hapa nilipo nalia😭😭😭😭😭
@kennyrogers47342 жыл бұрын
Huyu Shangazi tatizo kubwa sana amebeba mzigo wa kaka ake
@user-eu6ql9zl7nАй бұрын
Mwache abebe si kimbelembele chake?Angeongea na kaka yake halafu stake kujua huyu to mwanamke aliyezaa na kaka yake Kuna shida gan yy si slimsikilizaaa alimsikiliza kaka yake tuu!!
@melvinkyando90812 жыл бұрын
Asantee sana grouo kakunyima aunt maelezo maana nimswahili
@Kanezaestella14812 жыл бұрын
Shangazi hajafurahiya mtoto na mama kukutana. Shangazi pole ila NANI KAMA MAMA?
@abdulrahmanmwadini59252 жыл бұрын
Shangazi unataka SIFA upewe wewe tu,sawa unastahili sifa ila hupaswi kumlaumu huyo mama,mlaumu kaka yako,mama kama asingemtaka angeitoa hiyo Mimba mama wa watu anakuwa KONDA na Mimba sababu ya kaka yako?
@zahranabdi81242 жыл бұрын
pole sana mamaa
@annakinyami29982 жыл бұрын
Chanzo ni wanaume
@hejmabohejhej92 жыл бұрын
Shangazi kiranga
@mashramadhani19892 жыл бұрын
Wanaume tunadhambi sana ila wanawake wafundishwe tangu wadogo namna ya kujikinga na mimba tangu wadogo liwapo somo mashuleni hii inauma sana
@zainakurro56982 жыл бұрын
Maskin mama Anuary mpk anatetemeka pole alhamdulilah
@khadijaabdullah63282 жыл бұрын
Shangazi mnafiki ata anuar anaonekana kumbeza Hahahaha mama ni mama Weee kwani si kaka ako ndo aloharibu Mambo au kapaniko kusemwa mumewe uchafu wake wa kumtimua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mashalaizer31522 жыл бұрын
Kumbe na wewe umeona eeeeh anazingua mama ni mama tu
@jenipherkavusha16612 жыл бұрын
Pole sana mama na hongera kwa kukutana na mwanao
@sifasanga7866 Жыл бұрын
Shangaz Bado una nafasi Kwa huyo Mtoto....Usilie tulia...Huyo Mtoto Yuko Bounded na Wewe. Anamfariji tu Mama yake.... Kisaikolojia hawezi kuwa na Upendo nae
@mathayowilson15252 жыл бұрын
JAMANI MMENILIZA... UPENDO NDO MAISHA MAKUU YA UWEPO WA MWANADAMU DUNIANI...
@happinessmtani76212 жыл бұрын
mhh aiseh nimeumia sana mimi niliteseka kwanzia mimba mpk kulea mtoto japo sikumtelekeza mtoto au kumtupa ila niliyopitia mpk leo sijasubutu kuzaaa tena,kifupi tunaowapenda na kuwapa mioyo yetu wakishindwa kututhamini kipindi tumatatizo ni rahisi kufanya maamuzi magumu na huwa yanaumizaa baadaye,3 months my man married his x and chase me to his mother house,ila leo ninamaisha yangu na bado nalea mwanangu.more man's are evil,really nimerudisha siku nyuma nilizoteseka duh wacha nikae alone with my son.
@emmyfoyi84612 жыл бұрын
Uyooo shangaz mwendawazimuu kaongopaa nn hapooo
@valentinanduku87182 жыл бұрын
Pole mama inaliza😭😭😭😭😭
@lusekeloswebe98582 жыл бұрын
Huyu mama Annuar sioni kinachomliza alikuwa na uwezo WA kufika ustawi WA jamii mtoto alivofikisha miaka miwili angemtunza
@ghazughazu48122 жыл бұрын
Nani mwengine amemuona mama alikua ashindwa kusimama alipoambiwa mwanawe yuangia😭😭😭
@halinotialicenunu6562 жыл бұрын
mungu azido kuwabariki
@aishamohamed12102 жыл бұрын
Pole mama 😭😭😭😭😭 nimelia mm jaman
@samiakikwete17622 жыл бұрын
Allah ndio mjuzi
@suleshmacs12862 жыл бұрын
Shangazi yuwakaa kiherehere sana
@khalila.matingas2448 Жыл бұрын
Shangazi mnafiki huo si wakati wa kutaka kuongea vyenye kutaka kuchonganisha, akubali kashukuriwa kwani hakuna kama mama, asijaribu kumjaza mtoto mabaya ya mama yake wacha wapatane
@aishaaisha45492 жыл бұрын
Hakuna wakulaumiwa but mama alibeba anuary tumboni na kumzaa kwaiyo yaliopita achana nayo hakuna kama mama
@gloriamichael79352 жыл бұрын
Shangazi hongera lkn hayo mengine hayakusemwa lbd km wamekata
@emmyfoyi84612 жыл бұрын
Uwiiiiii nimeliaaa
@jackdaniels9323 Жыл бұрын
Daaah imn nmelia hd kwikwi
@matswelopelemphela2612 жыл бұрын
Pole Sana Sana na hongera kwa kumpata mwanao.
@neemadaniel5702 жыл бұрын
Shangazi roho mbaya kama sura yake hata kama umelea ila una roho mbaya
@BEATRICENYONGOLE2 ай бұрын
Mashangazi mmmmmmhhhh.Haya
@conymbetsa93772 жыл бұрын
Nimelia sana
@samiakikwete17622 жыл бұрын
Mungu anakupa mtihani ambao unauwezaaa
@rechogoda89202 жыл бұрын
Mtihani pole sana ndugu yangu
@muungujaunguja86092 жыл бұрын
Shangazi chizi
@aminaomary55672 жыл бұрын
Huyo shangazi mnafiki tu.Anaona kama mtoto utampa msaada,msaada utakwenda kwa MAMA Masasi.
@salharunguma42102 жыл бұрын
Shangaz mchawi co bure..wnzke wanajenga yy anaharibu
@aishaamwalimu28872 жыл бұрын
Huyu shangazi mtata na kaka yake mtata pia, huyu mama nimemuelewa kapitia magumu kweli.
@ummynasser82932 жыл бұрын
Magumu yapi wakati lawama zipo kwa Shangazi wakati mama kasema uongo sasa lzm Shangazi ajitetee Kwann aongope iyo ndio hoja ya Shangazi na hao waandishi wanasema Mtoto kuwaambia maneno na Shangazi yake na baba yake
@aishaamwalimu28872 жыл бұрын
@@ummynasser8293 kukosa makazi, mimba kukataliwa, kufanya kazi ya ukonda hadi mimba miezi 7,kuzaa akiwa hajui atajimudu vipi yeye na mtoto, Shangazi kaanza malezi baada ya kuzaliwa mtoto, je hayo ni mepesi?
@asiahathuman71632 жыл бұрын
@@ummynasser8293 na hajaongopa shangaz mzandiki tu huyu.. Mambo ya ujambaz Yee shangaz Katoa wapi?? Mama kaeleza aliopitia
@daimamagehema89192 жыл бұрын
aisee inahuzunisha sna jamani hongera janual kukutana na mama yako
@wariditambi86792 жыл бұрын
Uyu shangazi kaniacha hoi
@miriamhassan6566 Жыл бұрын
shanganzi ake anuar ana jaziba hatariii
@mamuwilly61822 жыл бұрын
Dah adi tumbo la uzazi limeanza kuniuma tunapitia mengi Sana😢😢😢
@rechogoda89202 жыл бұрын
Huyu shangazi sio kwa hiyo ulitaka mtoto amkatae mama yake sio bhana
@basilisamsaka8469 Жыл бұрын
Acha tu!
@desirenathan3734 Жыл бұрын
Jamanii huyu maman. Hajakosea. Uwo baba kwanini. Haja musaidia
@rahmasalim19892 жыл бұрын
shangazi acha uongoooooo
@jamilahsakina1561 Жыл бұрын
Shangax jamani 😂😂😂😂😂😂😂ongera ila usimjaze mtoto ubaya kwa mama yake
@anethgodwin32242 жыл бұрын
mama hakustaili kumuacha myoto, atakua alibugi sehem
@rehamalafari33572 жыл бұрын
,shangazi shikamooo
@babynahiya66402 жыл бұрын
😭😭😭 inaumiza mno jaman ingawa kher ishapatikana
@hellenhamani60562 жыл бұрын
Mama anuary pole mumy❤️
@margaretwambete1228 Жыл бұрын
Daha❤❤❤❤
@emmyfoyi84612 жыл бұрын
Uyoo Mjomba hana utuu jmn anakwepaa kuumpa chakulaa
@ungwamwangaza72972 жыл бұрын
😭😭 I cried a lot
@robertmwangomale2 жыл бұрын
Jaman namtafuta baba yangu naambiwa alikuwa anaitwa mlewa A mlewa mtu wa iringa nami naitwa Robert mwangomale majina ya kwa mama , ilibidi niitwe Robert mlewa
@bahatirobert1009 Жыл бұрын
Nenda clouds watakusaidia utampata
@alisiaalexander15582 жыл бұрын
Kulingana na msamaha aloutoa anwar kwa mama ake nidhahili kuwa shangazi alisha mjaza sumu akiwa mdogo . ila anuar akili kichwani we ndio unatakiwa kuwaunganisha na kusamehe .
@joycekiza23022 жыл бұрын
Sasa shangazi alikua ataki mtoto alone mama?
@paulobonnifasi92152 жыл бұрын
Hongera kwa kumpata mtt,
@aishahussein9348 Жыл бұрын
Wanatupa watoto wakiwa wakubwa dah shangazi ongera sana