Boniphace alipewa picha na baba yake ya kuweza kumtambua Mama yake ikiwa ni miaka 28 toka waachane na baba yake. Amesema baba yake alipoteza mawasiliano na mama yake miaka na nyuma.
Пікірлер: 367
@florandomba68222 жыл бұрын
JAPO watazamaji tunalia Sana kwa ajili ya wenzetu ,,,,,,Hiki kipindi hataiweje tunakiombea kiendelee KUDUMU ,,,,na aliyebuni Hiki kipindi mungu amjalie busara zaidi,,,, na maisha marefu zaidi na aendelee kuigusa jamii km hivi,,
@yassintaibrahim242 жыл бұрын
Hakika Ndugu Umenena Vema 🙏🙏🙏
@jamillahmnemwa4913 Жыл бұрын
Nimelia walah
@marymakame241 Жыл бұрын
Dada Geah mambo haya tanatia uchungu sana shaloti.kwako
@user-ct3dx9yq2w Жыл бұрын
🙏🙏
@SharifaMohammed-el3ugАй бұрын
Nakia sana sana Hadi macho yameevimba has Clouds hongera sana sana
@abiollashayo56982 жыл бұрын
huyu bon maskini kwa muonekano tu anaonekana kapitia maisha magumu sana tu kwa muonekano bt all in all bon usikate tamaa kaka,,mama ndo huyo hongera
@hyacintagugu72 жыл бұрын
Ni kweli
@gidionsylivester89422 жыл бұрын
Asante Sana clouds tv hakika Leo Tena kipindi Bora , hongera kwa boni ni rafiki yangu tulikuwa wote bukoba katika harakati za kutafuta maisha hakika Mungu Ni mwema🔥🔥🔥❤️❤️❤️🙏🙏🙏
@janemsamati67002 жыл бұрын
Hakika mambo ya Mungu hayachunguziki , Mungu ni mwema sana familia zimekutana Hongereni sana Leo tena
@sharifaabdullah68252 жыл бұрын
Masha allah mungu awafanyie wepesi familia zote zilizokutanishwa wakina', gear mwijaku na wezenu' mungu awabariki
@mauemy46852 жыл бұрын
Nimeipenda familia wanapendana wamemsapoti dada yao
@hassanparamana22152 жыл бұрын
Kama ulishawai ku follow in love school ndio hii pole sana mama bone kipenzi chako cha kishule shule amefariki muombee dua mwenyezi mungu amsamehe makosa yake huko alipo Amiin...DC salute clouds 🔥🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪
@tricemollel67392 жыл бұрын
Jamani nimelia kama sina akili nzuri nimeumia sana lakini mungu awabariki sana wote wa leo tena!!
@Mpakauseme2 жыл бұрын
Wachaga hawana show mbovu nawakubali sana wachaga aisee wanaumoja very strong
@joycesamweli12192 жыл бұрын
Mungu akusaidie inawezekana hata maisha ya mtoto sio mazuri kabisa
@walinaziontime73002 жыл бұрын
Mwijaku ana life style ya kijanja sanaaa Big uP brother Kila sehem ana Play kutokana na mazingira 👏👏👏
@priscamchomvu40212 жыл бұрын
Mungu mwema daah Bon umeniliza umeniliza Glory to God
@fathimamct2322 жыл бұрын
Mashallah mnajitahidi kwa kweli mungu awatangulie na awape Riziki yenye khery na nyie
@husnatgamaah13352 жыл бұрын
MashaAllah Familia ina upendo sana hii imekuja kumsupport dada yao🌹🌹🌹
@sifasanga7866 Жыл бұрын
Mbona imeniliza hii? Daaaaah !! Pole na hongera Boniface. Mungu ni Mwema sana aliruhusu haya uyapitie
@isackahmed25632 жыл бұрын
Ongera sana Homeboy Bon kumuona mama ako❤️
@rosaliembarikiwa5922 жыл бұрын
Hallelujah 🔊🔊🔊 Dada nashukuru umekutanidhwa na mwanao Boniface
@scolamassao15512 жыл бұрын
Mungu nimwema
@nenenelly18782 жыл бұрын
Amina
@vincej92752 жыл бұрын
Asante sana clouds kwa kazi nzuri. Very beautiful
@mspwjjjso62612 жыл бұрын
Kwa jina naitwa Amina ahaman ,kweli hii Historia imeniza maana imenigusa Hata Mimi nimo miaka mingi nilikua sijuani na ndugu zangu lakini namshukulu mungu kaka yangu alivyokua ametufafuta anetuona alhamdullih
@florameza10282 жыл бұрын
Hadi nimelia kazi mnayofanya Leo tena ni nzuri saaana
@dorothtobias80532 жыл бұрын
Hongera Sana MAMA Kumpata mtoto wako.sisi wazazi tunajua unavyokuwa unajisikia na Sasa unavyojisikia. Mshukuru Sana Mungu kwa Hilo.
@mashramadhani19892 жыл бұрын
Kwakeli nimelia mtu mzima mm..poleni sana sana.
@kutailadifi28542 жыл бұрын
Nmelia SANA Mimi mnao fanikisha haya Mungu awabarik SANA
@dorisshirima33002 жыл бұрын
Nimelia sana jamani. Daaa
@minaelnathanael18462 жыл бұрын
Jamani huyu baba Boniface Mungu amlaze mahali pema peponi Glous FM Mungu awabariki sana. Wazazi kama baba Boniface mkiwapata tena hai shirikianeni na serekali yetu tukufu kuwaadabisha. Mtoto amafichwa na akakosa haki zake za msingi. Ndugu zake wanang"aa yeye anahuzuni
@hadijaabbas21922 жыл бұрын
Yani ameonekana mdg kwa wadg zake kimuonekano tu anaonesha alikuwa na maisha magum
@rechogoda89202 жыл бұрын
Kwa kweli iki kipindi ni kizuri sana Mungu awabariki sana timu nzima ya kipindi hiki Allah atawalipa Wallah
@wamugimohammed38482 жыл бұрын
Masha Allah Masha Allah ! Wallah dada zg na kakazangu Allah Atawalipa DARAJA la juuu wallah ! Masha Allah nimefurahia sana kipindi chenu ! Hili nijambo lakufurahisha sana wallah ! NANI KAMA MAMA ? ALLAH AWAPE UMRI DD NA KK ZANGU AMIN AMIN
@MosesKaponda-wx5vy3 ай бұрын
Baraka zizidi kwa krauzi utukufu kwa mungu
@allysaid67422 жыл бұрын
Hongereni Sana Kwa kufanya Jambo zuri Allah awazidishie ILa imenitoa machozi kwakweli imenigusaa
@florencemuthoni63012 жыл бұрын
I can't hold my tears,,GOD bless you heroes
@lydiajepchirchir51002 жыл бұрын
True sweety even me ooh
@temuemanuel46712 жыл бұрын
Clouds mnafanya kazi nzuri sana. Hongereni mno
@shamimkamwele36892 жыл бұрын
Wachanga nimewapenda mungu ni mwema siku zote
@antoniashoo7462 жыл бұрын
Gea Habib mwinjako nawote mlioamua kuandaa kipindiki hiki mungu awazidishie
@onesmokilufi70822 жыл бұрын
Bony ulimpenda sana baba yako,,usmwache baba yako kumkumbuka japo yupo mbere ya haki,, maana hicho kisa cha mama yako akiwezi kuvumilika😇wamama jamaniiii mhh
@subiratembo3033 Жыл бұрын
Nimeliza sana Leo kuona hiki kipindi mungu awabariki
@PaulinaSemindu-ob3de Жыл бұрын
Naomba sana mwenyez Mungu asiniweke mbali na watt wangu hak ntalia sana 😭 mtt unapotezana nae miaka hata nimiachana n mwanaume simpi mwanangu" nakufa nae
@gladyedwards30972 жыл бұрын
Hongera leo tena hongera familia
@nasiapullumber342 жыл бұрын
Mwijaku shikamooo hi ndio kazi nzuri unayo yakiwa kufanya
@monadinadi52952 жыл бұрын
Wamefanana na mama jmn nimelia😭😭🙏🙏
@mariammkuyu59062 жыл бұрын
Duuh huruma😭😭😭
@zaitunishaban79762 жыл бұрын
Yaan wamama tunapita mambo magumu!!
@jenabmakobeh36942 жыл бұрын
Mm pia nina miaka 38 cjawai muona babangu yuko moshi mchaga anaitwa nathaniel nilikua nimekata tamaa cna haja ya kumtafuta lkn naona nikianza mchakato
@dorothnayombe51992 жыл бұрын
Wow thank you so much 4 good job.
@beatricethadey21452 жыл бұрын
Hongereni sn hichi kipindi mungu awabariki sn.
@jescarwegoshola1754 Жыл бұрын
Kafanana na Mama Bwana.
@agathaleonard5974Ай бұрын
Mungu awabariki Sana clouds kwa kazi kubwa mnayofanya pole na hongera mama boniface
@minaelnathanael18462 жыл бұрын
Nimerudi tena. Watanzania tujaribu kuheshimu tamaduni za makabila yetu Kilimanjaro hatufichiwi watoto mlijue hilo
@beneyamuliri18772 жыл бұрын
Waaah only mountains will never meet wish one day Will also meet my dad of all this 33yrs siku moja itafika now i believe
@samiahmlimanzila64062 жыл бұрын
Ukisikia machozi ya fraha ndo haya🥰
@ashafroholdt76972 жыл бұрын
Daaah BON umeniliza sana, lakini mungu ni mwema ❤❤❤❤
@theophildamfuruki68592 жыл бұрын
Hongereni sana kwa kazi nzuri yakuwakutanisha wapendwa walopotezana,Mungu hatawalipa,kwa kazi yenu
@edwinaoduol3072 жыл бұрын
I have no words, happy for their reunion.🎉🎉🎉🎉🎉
@edwinmichoro3482 жыл бұрын
am just happy for you guys may God bless u so much, that some wonderful people and nice people still exist .
@zawaditamari97522 жыл бұрын
Nimelia kwa sauti miye😭😭😭😭😭
@amandamakinda8502 жыл бұрын
Jamani haya maumivu nikajua niyangu tu mm mwenyew nilitelekezwanikiwa kwabibi nikiwana umri wa miez tisa mpk leo nawatt wawili simjui mama 😭😭😭😭😭nimelia sana jamni dunia hiiiiii mmmmmmm mungu atusaidie
@happynescostat74202 жыл бұрын
Asante mwijaku na timu mzima mungu anawaona 🙏🙏
@njuka3515Ай бұрын
Tunaomba wakifanya party dar waturushie tuone Miriam from Dubai ❤
@EustaceRimoy-sg6lc29 күн бұрын
Jaman born amepitia pole piah kwa kumpoteza baba mungu Leo amempa faraja kumkutanisha na mama he born to win😘
@fatemafatemamubarak3965 Жыл бұрын
Hongera mama happy usimtowe mwanao kutesa kwa zamu sasa zamu yako wewe wao waweze wana nini wewe ushindwe una nini boni usirudi tena bukoba mama ndie huyo
@agnaskanyai33812 жыл бұрын
Have cry for the moment its awesome jamani nobody can b like mom
@puritykariuki4256 Жыл бұрын
Am already in tears 😢shukrani kwa mungu
@happynessmafuru89392 жыл бұрын
Familia ina upendo sana
@khalidakambi37542 жыл бұрын
Bon muonekano wke tu inaonesha kakulia ktk mazingira magumu
@elizabethjames23842 жыл бұрын
Mbarikiwe sana kipindi hiki kizuri sana Ila nimejikuta nalia machozi. Pia familia hiyo inaupendo mungu awabariki sana.
@asharajab53662 жыл бұрын
Kumbe sikuwa peke yangu niliyelia kwa kuangalia hicho kilicholetwa
@happymau2809 Жыл бұрын
Mungu awabariki
@shamirachanga18872 жыл бұрын
Hongera Mungunmkubwa kiukweli
@jamilajamila4572 Жыл бұрын
Masha allaah familia kubwa hongeren sana
@miriamsimtenda57802 жыл бұрын
Nimejikuta nalia hongereni sana
@upendomlay3572 жыл бұрын
Sasa msiende kutambika kwenye makaburi ila nendeni kwa mungu alie hai a liyewakutanisha mkamshukuru nae atawafanyia wepesi wa maisha na kushikamana kama familia.mbarikiwe sana.
@joyceoberlin35762 жыл бұрын
Wew ujasikia wanaenda kutoa shukurani kanisani au
@enockmaige8936Ай бұрын
Amina
@user-vn1cu7ts3k Жыл бұрын
❤❤❤ nawapenda sana claods
@yassintaibrahim242 жыл бұрын
Haya Ni Zaidi Ya Maumivu 😭😭😭 Hakika M/Mungu Ashukuriwe Saana Na Awabariki Saana Wanaleo Tena🙏🙏🙏
@roseshonyera99295 ай бұрын
Mbarikiwe sana Clouds
@AMINASAIDI-mx7rs6 ай бұрын
Mama umejieleza vizuri pole Sana .
@antoniashoo7462 жыл бұрын
Nimekupenda Hilo gauni lako gea
@halimaauthman93242 жыл бұрын
Ma shaa Allah
@dizzomontana721927 күн бұрын
Daaah mungu awabariki sana clouds
@esthermramba93952 жыл бұрын
Masha Allah Mungu ni mwema siku zote
@mariakibwana37002 жыл бұрын
Hongereni sana Clouds
@kagoyemwambal90612 жыл бұрын
Nawapa hongera sana Kwa kipind chenu lla mfanye japon mara mbili Kwa mwaka
@adam-saffi2112 жыл бұрын
What a good story! Clouds you are super human!
@raiyansaid58362 жыл бұрын
Jaman nimeumia km mzazi
@rebeccmushymushy48412 жыл бұрын
Kak karibu nyumbani.kaka tunakungoja
@valenakomba9218 Жыл бұрын
Kipindi chako kwa kweli ni kizuri Sanaa, na ni muhimu Sanaa. Ubarikiwe.
@suzanjohn9542 жыл бұрын
Kwakweli mungu azidi kuwabariki nimeumia hadi machozi
@esthermushi345511 ай бұрын
Kwa kweli inaumiza sana mtito kutenganishwa na wazazi wake
@princesshappy11612 жыл бұрын
Yooo Mungu awabariki kwa kweli!
@princesshappy11612 жыл бұрын
Kipindi kizuri sana Mungu awabariki sana
@mwatummselem2411 Жыл бұрын
Hii hatari jamani nimeliya mpaka kichwa kinaniuma haya Mambo yamenitokeya mimi mwenye nakumbuka Sana
@user-fd8ce8ct2mАй бұрын
Kinahuzunisha hichi kipindi lakini kizuri❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂
@asmahanyally32252 жыл бұрын
Allah Kareem
@hassanmugire14972 жыл бұрын
Inauma sana kiukweli
@phorahmahaza6382 жыл бұрын
😢 Daaah inauma Sana hakika mungu ni mwema
@user-uq9hh9rx5q Жыл бұрын
Nukuri narize cane yaani nimelia sana
@aishafrancis7714 Жыл бұрын
Bon amefanana na mama yake❤❤
@mwanaimamsangi9712 жыл бұрын
Hiki kipindi kinaniliza jamani
@hyacintagugu72 жыл бұрын
Sana jamani
@asmasalumu27 күн бұрын
Allah awasimamie katika kipindi hiki jaman Mimi mume wangu hata hamjui baba ake mtusaidie jamani
@Noah-se3ni2 жыл бұрын
Kipindi kizuri ongereni sana wote.
@stamelistameli84612 жыл бұрын
Moshi kumenoga ninyama tu mpaka laha
@nazaherimramba85862 жыл бұрын
Inauma sana jmn
@afamefunaokeke69662 жыл бұрын
hadi raha kwel mungu ni mkuu..
@fatemafatemamubarak3965 Жыл бұрын
Hongera mwanamke mwezetu kwakuunganishwa na mtoto wake boni baba ako ulikuwa uwaweke kikao kwenye uko uwambie kwamba baba ako akupeleke kwa mama ako kama wengepuuza ungeenda kwa mwenyeki kama hajakubali ungeenda kumshitaki baba ako baba kama huyu engenipata mimi engeijuwa siku alotahiriwa baba ake maana tungetoka na kisakina cha polisi na mmbwa wa polisi engenipeleka mpaka kilimanjaro
@aisharamadhani19482 жыл бұрын
Dahhh,,, jamani kupoteza mtoto sio rahisi jamani maumivu ni makali sana na hayavumiliki Allah awape afya njema nimefurahi mnoo Wallah
@annastevensteven9515 Жыл бұрын
Mim nasemaga mzaz ukimchukua mtot akenda kumficha ipo siku tu atamtafuta mama yak ata iweje kama atakuwa hai kwaiy jaman wazaz wemgin tuishi kwa upendo maan inauma sana