LEO TENA YA CLOUDS: MAMA ALIYEKUTANA NA MTOTO WAKE BAADA YA MIAKA 28, BABA ALIKUFA, VILIO VYATAWALA

  Рет қаралды 122,735

Bongo5

Bongo5

2 жыл бұрын

Boniphace alipewa picha na baba yake ya kuweza kumtambua Mama yake ikiwa ni miaka 28 toka waachane na baba yake. Amesema baba yake alipoteza mawasiliano na mama yake miaka na nyuma.

Пікірлер: 367
@florandomba6822
@florandomba6822 2 жыл бұрын
JAPO watazamaji tunalia Sana kwa ajili ya wenzetu ,,,,,,Hiki kipindi hataiweje tunakiombea kiendelee KUDUMU ,,,,na aliyebuni Hiki kipindi mungu amjalie busara zaidi,,,, na maisha marefu zaidi na aendelee kuigusa jamii km hivi,,
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 жыл бұрын
Hakika Ndugu Umenena Vema 🙏🙏🙏
@jamillahmnemwa4913
@jamillahmnemwa4913 Жыл бұрын
Nimelia walah
@marymakame241
@marymakame241 Жыл бұрын
Dada Geah mambo haya tanatia uchungu sana shaloti.kwako
@user-ct3dx9yq2w
@user-ct3dx9yq2w Жыл бұрын
🙏🙏
@SharifaMohammed-el3ug
@SharifaMohammed-el3ug Ай бұрын
Nakia sana sana Hadi macho yameevimba has Clouds hongera sana sana
@abiollashayo5698
@abiollashayo5698 2 жыл бұрын
huyu bon maskini kwa muonekano tu anaonekana kapitia maisha magumu sana tu kwa muonekano bt all in all bon usikate tamaa kaka,,mama ndo huyo hongera
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 2 жыл бұрын
Ni kweli
@gidionsylivester8942
@gidionsylivester8942 2 жыл бұрын
Asante Sana clouds tv hakika Leo Tena kipindi Bora , hongera kwa boni ni rafiki yangu tulikuwa wote bukoba katika harakati za kutafuta maisha hakika Mungu Ni mwema🔥🔥🔥❤️❤️❤️🙏🙏🙏
@janemsamati6700
@janemsamati6700 2 жыл бұрын
Hakika mambo ya Mungu hayachunguziki , Mungu ni mwema sana familia zimekutana Hongereni sana Leo tena
@sharifaabdullah6825
@sharifaabdullah6825 2 жыл бұрын
Masha allah mungu awafanyie wepesi familia zote zilizokutanishwa wakina', gear mwijaku na wezenu' mungu awabariki
@mauemy4685
@mauemy4685 2 жыл бұрын
Nimeipenda familia wanapendana wamemsapoti dada yao
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 2 жыл бұрын
Kama ulishawai ku follow in love school ndio hii pole sana mama bone kipenzi chako cha kishule shule amefariki muombee dua mwenyezi mungu amsamehe makosa yake huko alipo Amiin...DC salute clouds 🔥🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪
@tricemollel6739
@tricemollel6739 2 жыл бұрын
Jamani nimelia kama sina akili nzuri nimeumia sana lakini mungu awabariki sana wote wa leo tena!!
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Wachaga hawana show mbovu nawakubali sana wachaga aisee wanaumoja very strong
@joycesamweli1219
@joycesamweli1219 2 жыл бұрын
Mungu akusaidie inawezekana hata maisha ya mtoto sio mazuri kabisa
@walinaziontime7300
@walinaziontime7300 2 жыл бұрын
Mwijaku ana life style ya kijanja sanaaa Big uP brother Kila sehem ana Play kutokana na mazingira 👏👏👏
@priscamchomvu4021
@priscamchomvu4021 2 жыл бұрын
Mungu mwema daah Bon umeniliza umeniliza Glory to God
@fathimamct232
@fathimamct232 2 жыл бұрын
Mashallah mnajitahidi kwa kweli mungu awatangulie na awape Riziki yenye khery na nyie
@husnatgamaah1335
@husnatgamaah1335 2 жыл бұрын
MashaAllah Familia ina upendo sana hii imekuja kumsupport dada yao🌹🌹🌹
@sifasanga7866
@sifasanga7866 Жыл бұрын
Mbona imeniliza hii? Daaaaah !! Pole na hongera Boniface. Mungu ni Mwema sana aliruhusu haya uyapitie
@isackahmed2563
@isackahmed2563 2 жыл бұрын
Ongera sana Homeboy Bon kumuona mama ako❤️
@rosaliembarikiwa592
@rosaliembarikiwa592 2 жыл бұрын
Hallelujah 🔊🔊🔊 Dada nashukuru umekutanidhwa na mwanao Boniface
@scolamassao1551
@scolamassao1551 2 жыл бұрын
Mungu nimwema
@nenenelly1878
@nenenelly1878 2 жыл бұрын
Amina
@vincej9275
@vincej9275 2 жыл бұрын
Asante sana clouds kwa kazi nzuri. Very beautiful
@mspwjjjso6261
@mspwjjjso6261 2 жыл бұрын
Kwa jina naitwa Amina ahaman ,kweli hii Historia imeniza maana imenigusa Hata Mimi nimo miaka mingi nilikua sijuani na ndugu zangu lakini namshukulu mungu kaka yangu alivyokua ametufafuta anetuona alhamdullih
@florameza1028
@florameza1028 2 жыл бұрын
Hadi nimelia kazi mnayofanya Leo tena ni nzuri saaana
@dorothtobias8053
@dorothtobias8053 2 жыл бұрын
Hongera Sana MAMA Kumpata mtoto wako.sisi wazazi tunajua unavyokuwa unajisikia na Sasa unavyojisikia. Mshukuru Sana Mungu kwa Hilo.
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 2 жыл бұрын
Kwakeli nimelia mtu mzima mm..poleni sana sana.
@kutailadifi2854
@kutailadifi2854 2 жыл бұрын
Nmelia SANA Mimi mnao fanikisha haya Mungu awabarik SANA
@dorisshirima3300
@dorisshirima3300 2 жыл бұрын
Nimelia sana jamani. Daaa
@minaelnathanael1846
@minaelnathanael1846 2 жыл бұрын
Jamani huyu baba Boniface Mungu amlaze mahali pema peponi Glous FM Mungu awabariki sana. Wazazi kama baba Boniface mkiwapata tena hai shirikianeni na serekali yetu tukufu kuwaadabisha. Mtoto amafichwa na akakosa haki zake za msingi. Ndugu zake wanang"aa yeye anahuzuni
@hadijaabbas2192
@hadijaabbas2192 2 жыл бұрын
Yani ameonekana mdg kwa wadg zake kimuonekano tu anaonesha alikuwa na maisha magum
@rechogoda8920
@rechogoda8920 2 жыл бұрын
Kwa kweli iki kipindi ni kizuri sana Mungu awabariki sana timu nzima ya kipindi hiki Allah atawalipa Wallah
@wamugimohammed3848
@wamugimohammed3848 2 жыл бұрын
Masha Allah Masha Allah ! Wallah dada zg na kakazangu Allah Atawalipa DARAJA la juuu wallah ! Masha Allah nimefurahia sana kipindi chenu ! Hili nijambo lakufurahisha sana wallah ! NANI KAMA MAMA ? ALLAH AWAPE UMRI DD NA KK ZANGU AMIN AMIN
@MosesKaponda-wx5vy
@MosesKaponda-wx5vy 3 ай бұрын
Baraka zizidi kwa krauzi utukufu kwa mungu
@allysaid6742
@allysaid6742 2 жыл бұрын
Hongereni Sana Kwa kufanya Jambo zuri Allah awazidishie ILa imenitoa machozi kwakweli imenigusaa
@florencemuthoni6301
@florencemuthoni6301 2 жыл бұрын
I can't hold my tears,,GOD bless you heroes
@lydiajepchirchir5100
@lydiajepchirchir5100 2 жыл бұрын
True sweety even me ooh
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 2 жыл бұрын
Clouds mnafanya kazi nzuri sana. Hongereni mno
@shamimkamwele3689
@shamimkamwele3689 2 жыл бұрын
Wachanga nimewapenda mungu ni mwema siku zote
@antoniashoo746
@antoniashoo746 2 жыл бұрын
Gea Habib mwinjako nawote mlioamua kuandaa kipindiki hiki mungu awazidishie
@onesmokilufi7082
@onesmokilufi7082 2 жыл бұрын
Bony ulimpenda sana baba yako,,usmwache baba yako kumkumbuka japo yupo mbere ya haki,, maana hicho kisa cha mama yako akiwezi kuvumilika😇wamama jamaniiii mhh
@subiratembo3033
@subiratembo3033 Жыл бұрын
Nimeliza sana Leo kuona hiki kipindi mungu awabariki
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de Жыл бұрын
Naomba sana mwenyez Mungu asiniweke mbali na watt wangu hak ntalia sana 😭 mtt unapotezana nae miaka hata nimiachana n mwanaume simpi mwanangu" nakufa nae
@gladyedwards3097
@gladyedwards3097 2 жыл бұрын
Hongera leo tena hongera familia
@nasiapullumber34
@nasiapullumber34 2 жыл бұрын
Mwijaku shikamooo hi ndio kazi nzuri unayo yakiwa kufanya
@monadinadi5295
@monadinadi5295 2 жыл бұрын
Wamefanana na mama jmn nimelia😭😭🙏🙏
@mariammkuyu5906
@mariammkuyu5906 2 жыл бұрын
Duuh huruma😭😭😭
@zaitunishaban7976
@zaitunishaban7976 2 жыл бұрын
Yaan wamama tunapita mambo magumu!!
@jenabmakobeh3694
@jenabmakobeh3694 2 жыл бұрын
Mm pia nina miaka 38 cjawai muona babangu yuko moshi mchaga anaitwa nathaniel nilikua nimekata tamaa cna haja ya kumtafuta lkn naona nikianza mchakato
@dorothnayombe5199
@dorothnayombe5199 2 жыл бұрын
Wow thank you so much 4 good job.
@beatricethadey2145
@beatricethadey2145 2 жыл бұрын
Hongereni sn hichi kipindi mungu awabariki sn.
@jescarwegoshola1754
@jescarwegoshola1754 Жыл бұрын
Kafanana na Mama Bwana.
@agathaleonard5974
@agathaleonard5974 Ай бұрын
Mungu awabariki Sana clouds kwa kazi kubwa mnayofanya pole na hongera mama boniface
@minaelnathanael1846
@minaelnathanael1846 2 жыл бұрын
Nimerudi tena. Watanzania tujaribu kuheshimu tamaduni za makabila yetu Kilimanjaro hatufichiwi watoto mlijue hilo
@beneyamuliri1877
@beneyamuliri1877 2 жыл бұрын
Waaah only mountains will never meet wish one day Will also meet my dad of all this 33yrs siku moja itafika now i believe
@samiahmlimanzila6406
@samiahmlimanzila6406 2 жыл бұрын
Ukisikia machozi ya fraha ndo haya🥰
@ashafroholdt7697
@ashafroholdt7697 2 жыл бұрын
Daaah BON umeniliza sana, lakini mungu ni mwema ❤❤❤❤
@theophildamfuruki6859
@theophildamfuruki6859 2 жыл бұрын
Hongereni sana kwa kazi nzuri yakuwakutanisha wapendwa walopotezana,Mungu hatawalipa,kwa kazi yenu
@edwinaoduol307
@edwinaoduol307 2 жыл бұрын
I have no words, happy for their reunion.🎉🎉🎉🎉🎉
@edwinmichoro348
@edwinmichoro348 2 жыл бұрын
am just happy for you guys may God bless u so much, that some wonderful people and nice people still exist .
@zawaditamari9752
@zawaditamari9752 2 жыл бұрын
Nimelia kwa sauti miye😭😭😭😭😭
@amandamakinda850
@amandamakinda850 2 жыл бұрын
Jamani haya maumivu nikajua niyangu tu mm mwenyew nilitelekezwanikiwa kwabibi nikiwana umri wa miez tisa mpk leo nawatt wawili simjui mama 😭😭😭😭😭nimelia sana jamni dunia hiiiiii mmmmmmm mungu atusaidie
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 жыл бұрын
Asante mwijaku na timu mzima mungu anawaona 🙏🙏
@njuka3515
@njuka3515 Ай бұрын
Tunaomba wakifanya party dar waturushie tuone Miriam from Dubai ❤
@EustaceRimoy-sg6lc
@EustaceRimoy-sg6lc 29 күн бұрын
Jaman born amepitia pole piah kwa kumpoteza baba mungu Leo amempa faraja kumkutanisha na mama he born to win😘
@fatemafatemamubarak3965
@fatemafatemamubarak3965 Жыл бұрын
Hongera mama happy usimtowe mwanao kutesa kwa zamu sasa zamu yako wewe wao waweze wana nini wewe ushindwe una nini boni usirudi tena bukoba mama ndie huyo
@agnaskanyai3381
@agnaskanyai3381 2 жыл бұрын
Have cry for the moment its awesome jamani nobody can b like mom
@puritykariuki4256
@puritykariuki4256 Жыл бұрын
Am already in tears 😢shukrani kwa mungu
@happynessmafuru8939
@happynessmafuru8939 2 жыл бұрын
Familia ina upendo sana
@khalidakambi3754
@khalidakambi3754 2 жыл бұрын
Bon muonekano wke tu inaonesha kakulia ktk mazingira magumu
@elizabethjames2384
@elizabethjames2384 2 жыл бұрын
Mbarikiwe sana kipindi hiki kizuri sana Ila nimejikuta nalia machozi. Pia familia hiyo inaupendo mungu awabariki sana.
@asharajab5366
@asharajab5366 2 жыл бұрын
Kumbe sikuwa peke yangu niliyelia kwa kuangalia hicho kilicholetwa
@happymau2809
@happymau2809 Жыл бұрын
Mungu awabariki
@shamirachanga1887
@shamirachanga1887 2 жыл бұрын
Hongera Mungunmkubwa kiukweli
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 Жыл бұрын
Masha allaah familia kubwa hongeren sana
@miriamsimtenda5780
@miriamsimtenda5780 2 жыл бұрын
Nimejikuta nalia hongereni sana
@upendomlay357
@upendomlay357 2 жыл бұрын
Sasa msiende kutambika kwenye makaburi ila nendeni kwa mungu alie hai a liyewakutanisha mkamshukuru nae atawafanyia wepesi wa maisha na kushikamana kama familia.mbarikiwe sana.
@joyceoberlin3576
@joyceoberlin3576 2 жыл бұрын
Wew ujasikia wanaenda kutoa shukurani kanisani au
@enockmaige8936
@enockmaige8936 Ай бұрын
Amina
@user-vn1cu7ts3k
@user-vn1cu7ts3k Жыл бұрын
❤❤❤ nawapenda sana claods
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 жыл бұрын
Haya Ni Zaidi Ya Maumivu 😭😭😭 Hakika M/Mungu Ashukuriwe Saana Na Awabariki Saana Wanaleo Tena🙏🙏🙏
@roseshonyera9929
@roseshonyera9929 5 ай бұрын
Mbarikiwe sana Clouds
@AMINASAIDI-mx7rs
@AMINASAIDI-mx7rs 6 ай бұрын
Mama umejieleza vizuri pole Sana .
@antoniashoo746
@antoniashoo746 2 жыл бұрын
Nimekupenda Hilo gauni lako gea
@halimaauthman9324
@halimaauthman9324 2 жыл бұрын
Ma shaa Allah
@dizzomontana7219
@dizzomontana7219 27 күн бұрын
Daaah mungu awabariki sana clouds
@esthermramba9395
@esthermramba9395 2 жыл бұрын
Masha Allah Mungu ni mwema siku zote
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 2 жыл бұрын
Hongereni sana Clouds
@kagoyemwambal9061
@kagoyemwambal9061 2 жыл бұрын
Nawapa hongera sana Kwa kipind chenu lla mfanye japon mara mbili Kwa mwaka
@adam-saffi211
@adam-saffi211 2 жыл бұрын
What a good story! Clouds you are super human!
@raiyansaid5836
@raiyansaid5836 2 жыл бұрын
Jaman nimeumia km mzazi
@rebeccmushymushy4841
@rebeccmushymushy4841 2 жыл бұрын
Kak karibu nyumbani.kaka tunakungoja
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Жыл бұрын
Kipindi chako kwa kweli ni kizuri Sanaa, na ni muhimu Sanaa. Ubarikiwe.
@suzanjohn954
@suzanjohn954 2 жыл бұрын
Kwakweli mungu azidi kuwabariki nimeumia hadi machozi
@esthermushi3455
@esthermushi3455 11 ай бұрын
Kwa kweli inaumiza sana mtito kutenganishwa na wazazi wake
@princesshappy1161
@princesshappy1161 2 жыл бұрын
Yooo Mungu awabariki kwa kweli!
@princesshappy1161
@princesshappy1161 2 жыл бұрын
Kipindi kizuri sana Mungu awabariki sana
@mwatummselem2411
@mwatummselem2411 Жыл бұрын
Hii hatari jamani nimeliya mpaka kichwa kinaniuma haya Mambo yamenitokeya mimi mwenye nakumbuka Sana
@user-fd8ce8ct2m
@user-fd8ce8ct2m Ай бұрын
Kinahuzunisha hichi kipindi lakini kizuri❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂
@asmahanyally3225
@asmahanyally3225 2 жыл бұрын
Allah Kareem
@hassanmugire1497
@hassanmugire1497 2 жыл бұрын
Inauma sana kiukweli
@phorahmahaza638
@phorahmahaza638 2 жыл бұрын
😢 Daaah inauma Sana hakika mungu ni mwema
@user-uq9hh9rx5q
@user-uq9hh9rx5q Жыл бұрын
Nukuri narize cane yaani nimelia sana
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 Жыл бұрын
Bon amefanana na mama yake❤❤
@mwanaimamsangi971
@mwanaimamsangi971 2 жыл бұрын
Hiki kipindi kinaniliza jamani
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 2 жыл бұрын
Sana jamani
@asmasalumu
@asmasalumu 27 күн бұрын
Allah awasimamie katika kipindi hiki jaman Mimi mume wangu hata hamjui baba ake mtusaidie jamani
@Noah-se3ni
@Noah-se3ni 2 жыл бұрын
Kipindi kizuri ongereni sana wote.
@stamelistameli8461
@stamelistameli8461 2 жыл бұрын
Moshi kumenoga ninyama tu mpaka laha
@nazaherimramba8586
@nazaherimramba8586 2 жыл бұрын
Inauma sana jmn
@afamefunaokeke6966
@afamefunaokeke6966 2 жыл бұрын
hadi raha kwel mungu ni mkuu..
@fatemafatemamubarak3965
@fatemafatemamubarak3965 Жыл бұрын
Hongera mwanamke mwezetu kwakuunganishwa na mtoto wake boni baba ako ulikuwa uwaweke kikao kwenye uko uwambie kwamba baba ako akupeleke kwa mama ako kama wengepuuza ungeenda kwa mwenyeki kama hajakubali ungeenda kumshitaki baba ako baba kama huyu engenipata mimi engeijuwa siku alotahiriwa baba ake maana tungetoka na kisakina cha polisi na mmbwa wa polisi engenipeleka mpaka kilimanjaro
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 2 жыл бұрын
Dahhh,,, jamani kupoteza mtoto sio rahisi jamani maumivu ni makali sana na hayavumiliki Allah awape afya njema nimefurahi mnoo Wallah
@annastevensteven9515
@annastevensteven9515 Жыл бұрын
Mim nasemaga mzaz ukimchukua mtot akenda kumficha ipo siku tu atamtafuta mama yak ata iweje kama atakuwa hai kwaiy jaman wazaz wemgin tuishi kwa upendo maan inauma sana
@isaremohamed8939
@isaremohamed8939 2 жыл бұрын
Nimeliaa sanaa leoooo
@tinahminja2452
@tinahminja2452 Ай бұрын
Wew unaekata vitunguu pembeni yangu acha jamn nimelia sana😢😢😢
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 117 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 38 МЛН
Mama Amwaga Machozi , Baada ya Miaka 29 Amekutana na Mtoto Wake
4:16
Makali Ya Gen Z: Kizazi cha Gen Z chasimama kidete na kuikosoa serikali
29:11
Сын вернулся с войны и сделал сюрприз 🤯
0:17
Фильмы I Сериалы
Рет қаралды 6 МЛН
DO YOU HAVE PARENTS LIKE THIS?
0:19
dednahype
Рет қаралды 2,4 МЛН
Когда покупки идут не по плану🤯
0:32
One Two Buckle My Shoes 2 ! #spongebobexe #shorts
0:20
ANA Craft
Рет қаралды 23 МЛН