Sisi wa mkuyuni tunaosaidiwa na BWANA tu like hapa
@Aviellar118 күн бұрын
Na tulivowengi😂😂
@toytv8917 күн бұрын
🔥
@dionizcyprian202316 күн бұрын
Mungo mbariki Pastor Tony muinue zaidi kwa viwango Vyatumbo Jud sana’Much respect Baba keep the good work Baba uwezi kuanguka IJN Amen
@isayasimwinga28548 күн бұрын
Hahahaha nawe amekudakaa😂😂😂
@JenniferAela19 күн бұрын
MUNGU mbariki Pastor Tony
@japhetstanislaus795619 күн бұрын
Sisi wamkuyuni
@olivagerald626617 күн бұрын
Amen🎉
@GloryLubango-tv4hd5 күн бұрын
@@JenniferAela Amen🙏
@mashande237319 күн бұрын
P T ...nakutambua sana baba keep the real gospel in town lazima utasemwa baba muhimu wako mahusiano yako na MUNGU wako#sisi ni wale tunaosaidiwa na bwana
@jacquelinephilimon516313 күн бұрын
😅😅😅😅😅 Dah any way I love PT for life nampenda sana Baba yangu wakiroho Pastor Tonny Osborn kapola baba your new Generation is on fire 🔥
@GloryLubango-tv4hd5 күн бұрын
@@jacquelinephilimon5163 safi bro na mtu asikusumbue Hapo, ili upate baraka Wa mzaz wakiroho acha kua kinyume nae, watu hawajuagi thaman ya watumishi Wa Mungu wanaonaga tu makosa, ila wakiwa na shida sasa baba niombeee, shenz kabisa🤔 Hawa ndo walisababisha wana Wa Israel kusimama kusumbili ukoma wao uishe, wakina miliamu hao 😢 mtu anashindwa kumtafuta Mungu anaangalia Nan kafanya nn
@JACKLINEMAHENGE20 күн бұрын
I've never been attentive to pastor Tony preachings but i think he's so much into celebrities world he loves to associate with those kinds, he maybe be have his valid reasons and i pray that the darkness from that side may not overpower the anointing in him if there is any
@sharontv361820 күн бұрын
Golden comment❤
@SarahKibiti20 күн бұрын
❤❤
@elijahmtatuu312818 күн бұрын
Amen Amen
@bintalmasi239313 күн бұрын
He is already overpowered and corrupted
@lilyg213412 күн бұрын
exactly
@peter_paulofficialy21 күн бұрын
Umejitahidi kuongea, ila nadhani ungekuwa na lengo la kumuonya ungemtafuta inbox na kumueleza haya, mm nadhani unatafuta attention ya watu au kutrend kama yeye, mm nazungumza nikiwa siyo muumini wa Tonny wala muumini wako....cdhani kama umefanya vizuri, jitahidi kuubiri bila kuwasema watu ili Mungu awabadilishe na cyo kumuattack mtumishi yeyote....kama umeliona hili gonga like hapa na itawasaidiq watumishi wengine wahubiri watu wabadilishwe na c kusemana kama kina harmonize na kina diamond na kina kajala
@lwimboderick747921 күн бұрын
Hao walio yapokea tayari.. nani atawaambia sio sahihi. Casian ana deal na nguvu ya mtandao...kuharibu na Kutengeneza.
@jmonlinetv493221 күн бұрын
Cassian yuko sahihi kwasababu yeye alisema hadharani na watu wengi wamesikia je akimwambia kwa siri hao waliosikia hilo somo la upotovu watajuaje kama hilo somo sio sahihi?, kumsema hadharani inamponya yeye na wote tunaomfuatilia pst Tony ili tujue kapotoka, mi nampenda pst Tony sana ila kuna vitu haendi sawa.
Amepotosha hadharani akemewe hadharani hii ni Biblia Petro alikemewa hadharani na Yesu tena kwakusema Shetani rudi nyuma.
@cydrahope525120 күн бұрын
Wewe unayedhani umesimama angalia ......... I respect anointing ya Kapola God keep you man of God 🙏 hata Yesu alikosolewa sana na mafarisayo 😅
@shavasjohnkay-cw8lg15 күн бұрын
Tony Kapola may God keep you and increase you.
@kelkel448323 күн бұрын
Kuwataja Hao aliwataja aliwataja katika angle ya kumaanisha kwamba Hao wasanii wanauwezo wa kumrudia na kumtumikia Mungu sema basi tu ni kwamba hawajui,maana yesu alikuja kwa wenye dhambi kwa hiyo na Hao wasanii Wana nafasi ya kubadilika,na pia kama wanaweza kushawishika wakatunga nyimbo ya kumsifu Mungu haitokua na shida yoyote,so wakati wa mungu ni wakati sahihi so anajaribu kuwashawishi wake kundini like kuwin their soul.. so ulitakiwa uanze mwanzo wa kongamano mwanzo mwisho,sasa kama atakua amekosea labda kwa angle za level za kitumishi kwenye vyama vyenu huko..,so shida sio Nani kaimba ila ni nini kimeimbwa,ndio maana rahabu kahaba nae alitumiwa kufanya kazi ya Mungu,so it's possible kwa uelewa wangu mdogo
@Samsonnoahndagw22 күн бұрын
Afadhali umekiri kwa uelewa mdogo
@user-ll6pj1lg3e22 күн бұрын
umenena vyema
@sigimwangombola591520 күн бұрын
Bora ungenyamaza tu
@gitongaz20 күн бұрын
Mimi hungojea sana mungu anifunulie wahubili wa uongo, tena na wale wa ukweli , kabla ya kutaja mtu, Kisha niedee hizo kondoo hizo simepotea ,Dunia inahitaji unabii wa mungu Ili injili ikubalike bele za mungu
@DaudDavis-ur6cm18 күн бұрын
@@kelkel4483 ulipo kunywa soda maana kuna watu wanajua yesu alikuja kwa waliokoka
@user-ru6ct4rh3t23 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu Asante nashukuru. Naomba uniwezeshe kuchanga chochote kwa kazi hii ya mtumishi wako.
@user-yz3rl8pd6q21 күн бұрын
Barikiwa sana mtumishi, Endelea kuwakosoa watumishi wa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Wengi ni matapeli kwa sasa, wamepotosha asili ya Neno la Mungu. Wamekalia mafanikio, sio Neno lakweli la Mungu. Wanaendelea kupoteza utakatifu wa Tanzania katika uso wa Mungu.
@toytv8917 күн бұрын
Akiwakosoa ndio anawabadilisha au 😂 tafuteni ela mtamuelwa Tony kama Huna ela uwezi muelewa
@isacktesha66593 күн бұрын
@@toytv89 Hela inakujaje hapo Sasa.
@princenelsonsinko523723 күн бұрын
2Wakoritho 6:4 bali katika kila neno tujipatie sifa njema, kama watumishi wa Mungu; katika saburi nyingi, katika dhiki, katika misiba, katika shida; 14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza? 15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini? 16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu. 17 Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.
@edwardpapianomigembe755317 күн бұрын
WE LOVE YOU PASTOR TONYY ❣️❤️❤️❤️❤️
@Here.there242 күн бұрын
Pastor Tony is preaching the truth...a true gospel. Jesus came for the lost. God loves all. We should stop judging people.
@Leah-mbilizi21 күн бұрын
Thank you, God, for this Revelation message 🙏🏾 it’s 1:28 am 7/7/2024 watching this beautiful message… Ubarikiwe sana Mtumishi 🇺🇸
@ahazichunya426513 күн бұрын
Ubalikiwe anatufunza mengi
@ruthhamisi290223 күн бұрын
Yesu anarudi jamani, tusaidiane, ukiona mwenzako anaenda tofauti na maagizo, na amri za mungu ,tuonyane sisi kwa siku,Mungu baba anatupenda sanaa
@geitandelwa29923 күн бұрын
Kweli hali ni mbaya mno tuombeane
@rightsman18 күн бұрын
Lakini wenzetu wanatuangalia ss tunaowashauri tuna Tania gani Kwanza kama njema watatusikiliza😢
@user-bv9ce5sd7u13 күн бұрын
Yeah fact kbs
@ABIGAIL67-tria23 күн бұрын
You make me cry 😭 every i listen 👂🏾 your preaching 😭 i hope my kids will never leave my teaching 😢 Eeh MUNGU saidia watoto wangu.kwa jina la YESU KRISTO naomba 😭🙏🏾🙏🏾🙏🏾Amena
@AminaIssa-lx9hs19 күн бұрын
Isaya 54:13
@ABIGAIL67-tria17 күн бұрын
@@AminaIssa-lx9hs *Isaya **54:13** Na watoto wako wote watafundishwa na BWANA, na amani ya watoto wako itakuwa nyingi.* Asante dada Kwa maandiko
@isacktesha66593 күн бұрын
Mimi ni mshabiki wa pastor Tony, kwa hapo ameteleza ,naunga mkono hoja ya Ezekiel, Mungu wetu akubariki mtumishi kwa kuliona hilo na kuchukua hatua
@prophetjohnmasso18623 күн бұрын
Umeongea ktk ukomavu sana kiimani Mungu akutunze akufiche mikononi mwake
@laurentraphael547023 күн бұрын
Huyo mpuuzi tangu alipojiunga na ma charlatan kina Ubert angel, kina Bushiri waabudu mashetani ndio amepotezwa kabisa. My Brethren, kanisa limevamiwa na mashetani mbwa mwitu wakali. Pasipo maarifa ya kiroho umekwisha na kuangamia kabisa.
@adelinaruhiye890423 күн бұрын
Tru
@adelinaruhiye890423 күн бұрын
True
@rosemarinawiliam328923 күн бұрын
Ni kweli kabisa alipojiunga na ubert Angle basi ikawa mwisho wangu wa kumfuatilia, wale wana mikataba na shetani ili kuwapoteza wengi. Alianza vizuri sana lkn mmmh
@apostle_AngazaGN23 күн бұрын
Alikuwa kijana mzuri sana Tony, sijui nn kimempeleka kubadili mafundisho yake
@mariamswedi114022 күн бұрын
@@apostle_AngazaGNpesa
@AmyeSanga23 күн бұрын
Kanisa la Sasa tunashindwa kutofautisha mhubiri na inspirational speaker.kisa Kuna kamstari ka Biblia tunadhani ni mhubiri .Hakika Mungu atupe macho ya kuona maana tuna macho ya kutazama tuu huku fahamu zetu zikiwa zimefungamana na kutazama
I LOVE YOU SO MUCH PASTOR TONY KAPOLA OSBORN DAIMAAAAAA🙌 PASTOR TONY ACHANA NA IZI KELELE ZA HAWA WATU WENGINE NA CHUKI ZAO NA MAHUBIRI YAO YA KINAFKI NA KUJIFANYA WA KILOKOLEEEE SANA YAAAN WAO NDIO YESU SASA😂😂 PT SONGA MBELE3EEE TUNAOKUOMBEA NI WENGI SANA BABA KAPOLA OSBORN
@user-dq1ss2uq6u23 күн бұрын
Asante mtumishi ..ni hatari kuizoea madhabahu
@tujajackson814223 күн бұрын
Nimegundua mtu kukosa unyenyekevu mbele za Mungu akiwa madhabahuni huwa kuna kujisahau na kwenda nje ya mstari wa kweli aloo.watumishi tujifunze kumentain annoint bila hivyo ni hatari tutaongea ya kwetu.hongera paskali kws hapo nakupongeza
@piusbaruhuwundi898721 күн бұрын
Hii imewakuta hata manabii wengi. Wapo waliofika sehemu wakajisahau na Mungu akawakataa
@AmyeSanga20 күн бұрын
@@tujajackson8142 ni kweli Mungu akimutambulisha mtu kwa watu badala ya kumuachia Mungu utukufu anaupokea yeye Mungu anakaa pembeni tunaanza kuona madhaifu yake maana aliyemsitiri anaondoka
@imanmsuwakollo446018 күн бұрын
ila kwa kusikiliza kipande huwezi jua maana au alichomaanisha... ni mpaka usikilize mafundisho yote ndio utajua alimaanisha nini@@piusbaruhuwundi8987
@imanmsuwakollo446018 күн бұрын
Bila kujua nini alisema mwanzo na bila kujua nini alisema mwishoni....uka base na ka clip tu lazima utaona makosa...maongezi yana connect..sasa hapa hatuona connection sababu hatujui ujumbe ulianzia wapi mpaka akasema hivi na aliishia wapi ku connect na clip. Sasa watu tunachukua ka clip tunaanza kutafsiri
@ruthhamisi290223 күн бұрын
Mungu anatumia watu wake, kuonya na kurekebishana ili sote tuende mbinguni, hapendi tuanze vizuri na tumalize vibaya anaumia sana mungu baba, sababu anatupenda saaaana kama baba
@sweetbertdrummer394012 күн бұрын
No one ana haki ya kuhukumu mwenzake Tuihubiri injili kila mtu anamafunuo yake na mafunuo ni tofauti 🙌🙌
@lilyg21345 күн бұрын
SOMA MAANDIKO NA WEW USITUCHOSHE...INAITWA KUONYANA,,,,MTUME PAULO ALIWAONYA TENA KWA UKALI,, 1Timotheo 5:20-22, waefeso 5:11 HUYO MOTIVATIONAL SPEAKER WENU ASIONYWE KISA
@isdommushi953619 күн бұрын
Ubarikiwe na Bwana Yesu Mch. Cassian kwa kufanya kazi ya mhubiri wa Injili. Mtumishi wa Mungu hapaswi kuwainua watu wenye roho ya Mpinga Kristo, watungao na kupenda nyimbo zenye uwezo mkubwa wa "mind & spiritual pollution", kuwainua katika madhabahu ya Kristo ni jambo la upotofu. Watoto wamemezwa na nyimbo chafu, vyombo vya habari, vyombo vya usafiri, kila mahali, "mind pollutants are at work", sasa hata kanisani kwa watumishi wa Mungu jamanii?! Hapana. Mambo haya ynapaswa kukemewa kwa neno la hekima.
@EdwardSamson-uf1ee11 күн бұрын
Kww Hiyo kumsema Mtu hivyo madhabahuni ndio neno la Hekima..!?
@kingsonkambey143623 күн бұрын
Muonye,mkemee,mkaripie waziwazi bila kuogopa kitu chochote Paulo anamuagiza Timotheo kufanya hivyo Amen!!
@ruthmuja779223 күн бұрын
Amina Amina
@RwidhiaRichard23 күн бұрын
MKOMBOZI MITIMINGI HERBAL CLINIC UPONYEKE NAWE UKAFANYIKE SHUHUDA KWA WATU WENGINE TUNA DAWA ZA ASILI ZA TIBA MBALI MBALI ZILIZOTHIBITIKA KUWEZA KUTIBU MAGONJWA MBALI MBALI KAMA VILE :kina dada huyo HAPA MITIMINGI TRADITIONALCLINIC Anatibu fangasi sungu ukeni na U.T.I sungu (2)P. I . D .Maumivu wakati wa tendo la ndoa na halafu mbaya ukeni . (3) Mirija ya uzazi uliolegea . (4)Maumivu ya tumbo chini ya kitovu na changu (5)UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME (6)BAWASIRI AU HEMORRHOIDS ) BAWASIRI YA NDANI NA NJE (7)PRESHA ,SUKARI NGIRI N.K (8)LIFE CARE;dawa ya asili yenye uwezo wakuboresha kinga za mwili ni msaada pia kwa wenye virusi vya ukimwi _dawa zote zina kibali cha wizara ya afya kitengo cha tiba mbadala WASILIANA NASI KUPATA DAWA piga 0673060366 WhatsApp ♥
@jenifferjasper136919 күн бұрын
Wewe na familia Yako mtakemewa waziwazi mpaka mshangae
@Pendopasilika23 күн бұрын
Amen ameni tena ameni nabarikiwa mno MUNGU wa mbinguni akutunze baba
@ellymtenga812721 күн бұрын
Mungu akubariki sana Paschal unahubiri injili ya kweli be blessed man
@toytv8917 күн бұрын
Kukwaruza sauti ndio injili ya kweli 😂 tafuteni ela
@foncetecelectricalandelect348 күн бұрын
@@toytv89unadhani pesa ndio kipaumbele?
@EvarineMdaki23 күн бұрын
Pastor Casian. Be blessed. Endelea kuihubiri KWELI.
@user-gj2gc4en3t22 күн бұрын
Pst ton alijificha nilimutambua mwaka mumoja uliopita kashajichanganya kitambo, but wewe mtumishi mungu Akulinde na tunakuombea na tunakupenda sana sana niko Mombasa kenya
@andrewmwakabela868623 күн бұрын
Kwanza n kosa kubwa sana mbele za mungu kuimba nyimbo za dunia madhabahun haiwezekan kinywa ichoicho kitoe maji masafi na machafu. Enhe mola tusaidie
@rajabmohammed398219 күн бұрын
Kindly give us scriptures too
@toytv8917 күн бұрын
Lakini uku disko tunapiga za gaspel 😂
@conciousclement215 күн бұрын
Vipi Unapotukanaga Kule Na unapoomba Kwa MUNGU Ni Sawa Au Siyo
@lilyg213412 күн бұрын
@@rajabmohammed3982 MWEHU KWELI WEWE, SECULAR NI MZIKI WA WATU WA MATIFA....ISNT COMMON SENSE COMMON TO U? OR DO U THINK BIBLE IS AN ENACTED LEGISLATION/LAW? UNGEKUWA UNASOMA BIBLE WALA USINGEMUULIZA HUO UFOKO WAKO MTU MWENYEW UNAITWA RAJABU KWAHYO NI WAZI MWEUPEE KICHWANI HAYA KULA HYO *2 CORINTHIANS 6:14* "Do not be yoked together with unbelievers. For what do righteousness and wickedness have in common? Or what fellowship can light have with darkness?"....... *Proverbs 4:14-15* Do not enter the path of the wicked, and do not walk in the way of the evil. Avoid it; do not go on it; turn away from it and pass on. *Psalm 1:1-2* Blessed is the man who walks not in the counsel of the wicked, nor stands in the way of sinners, nor sits in the seat of scoffers; but his delight is in the law of the Lord, and on his law he meditates day and night. *1 Corinthians 15:33-34* Do not be deceived: “Bad company ruins good morals. Reply
@bahatadof554323 күн бұрын
Hivi Toni ni mtumishi wa Mungu au inspirational speaker ili baadae awe Mwana siasa
@ShawnBeatz23 күн бұрын
umeona mbali sana! religion sikuizi ni stepping stone tu!
@FridayMwassa23 күн бұрын
Mwanasiasa yukoje na muhibiri yukoje,siasa ni kuleta Maendeleo kwa watu bila kuumiza wengine na kutaza kufanya mabaya hali kadhalika dini ni vivyo hivyo
@mshindimpangala73122 күн бұрын
Man of God,kama humuelewi mtu anae sema yeye ni mtumishi wa Mungu kwa kukosa mafunuo,nyamaza usiseme vitu huna uhakika.....laana nyingne zinaepukika
@SisterDuu22 күн бұрын
Uko busy kujadili maisha ya mutu wakati maisha yako mwenyewe ya nakushinda unaacha kushuulikia ndoa yako au watoto wako wewe uko busy kujadili mutu
Pastor tonny haowatu achananao.Kama umeshindwa kuwahubiria injili ya kuwaleta acha
@SuzanneMyles19 күн бұрын
😢😢😢😢God katikati ya ghadhabu kumbuka rehema😢❤
@anordchaula345823 күн бұрын
Ubarikiwe mtumishi. naona injili za Paulo zinarudi Mungu wa Mbingu na nchi amrudishe huyo pastor kwenye mstari naona waz anaptea
@alexandernyambo773923 күн бұрын
MUNGU AKUBARIKI BRO CASIAN.... WEWE NI POLISI WA KIROHO. NAKUOMBEA SANA NA NAKUPENDA SANA KWA UKWELI WAKO WA 100%
@ev_abediespoir49023 күн бұрын
Ameeeeen!!! Mtumish wa Mungu, lihubirini neno, Onya, karipia na kukemea pia. Natumai Mungu wa mbinguni yupo pamoja na ww
@user-gr9wc7bc2m23 күн бұрын
Hawa vijana wana siri kubwa sana mwanzo alianza vizuri sasa hivi amejifunua enyi mliohama tag eagt holiness klpt rudini haraka mnapotea watoto wetu
@geitandelwa29923 күн бұрын
Sana yaani walidanganya wenginila sasa YESU KAWAUMBUA
@FridayMwassa23 күн бұрын
Wapentecost nao siku hizi ni wajanja wajanja tu,wanavaa kama wadunia na vibinti malaya malaya ndiyo viimba choir,
@estermathias835423 күн бұрын
@@FridayMwassani kweli kbs.lkn sio wote ila wengi wao mmhhh
@jemedalimwakalundwa352023 күн бұрын
Ko eagt irudi kwa tag
@user-tt7cu2et1x23 күн бұрын
Kwan jamn pastor ..kapola kavamiwa na roho chafuuu.. wallah alkua mzurii saana at maandiko...na alkua anasema ukweli..saah ameshakuwa naye Christina shusho dah😢😢😢😢
@dannymollel182410 күн бұрын
WE LOVER OUR PASTOR TONNY ❤❤❤🥰🩸❤️
@SophiaThadei-hx4wd23 күн бұрын
Asante Sana maana me mafundisho anayoyafundisha huaga siyapokeagi vzur roho yangu inakataaga kabisa yani
@mslady582421 күн бұрын
😂😂😂Ukiona hivyo ujue hakuna ujumbe uliotumwa kwa ajili yako kupitia yeye.
@magejay471517 күн бұрын
Ata mm sisikii kitu Roho mtakatifu nisaidie
@user-oo1cr7vx5z3 күн бұрын
@@magejay4715sio lazima uelewee ujue Kuna watu wameendaliwa
@Evancedamas-pz2xi2 күн бұрын
Muombe kwa Mungu kwa kazi zur ya Bwana
@iamnick85472 күн бұрын
We love Him moree and moree ❤❤❤ Pastor Tony
@musachomoitson235019 күн бұрын
Mungu akuzidishe paschal, unaifanya kazi yake vizuri na usione uko pekeako ktk kusema kweli, pambana sana na uovu bila kusita maana MUNGU amejisazia wengine wa kuungana na wewe ktk kusema ukweli... Amen
@rilekijuma402419 күн бұрын
Kusema ukweli ni kuhubiri injili sio kukosoa watumishi kama humuelewi mtu kaa kimya mnajichumiaga ma laana hivi hivi
@toytv8917 күн бұрын
Ndio maana roma alisema ukienda baa kuna umoja kuliko kanisani yeye apo kaonyesha walokole hawana umoja kwa sababu kama tunaumoja angemtafuta na amuulize kama ni sahihi au sio sahihi na kama sio sahihi amfundishe ila kama ni sahihi aeleweshwe
@phillipowwilliam113120 күн бұрын
Acha kuponda watumishi wewe siku ya mwisho ukifika mbinguni hautaulizwa uliwaponda watumishi wangapi utaulizwa, how many souls have you win so sir I respect you go and win souls, achana na watumishi maana haujui wamewekewa reveletion gani
@stevenalex912120 күн бұрын
Wewe revelation ya Paschal unaijua? Je kama hicho anachokifanya ndio revelation yake
@aminashayo926318 күн бұрын
Ni kweli kila Mtumishi anatakiwa kusimama katika utumishi wake, yaani karama ile Mungu aliyomjalia, kuwasema watumishi wenzako hiyo sio karama ni uchonganishi, CASSIAN please STOP
@CelisterKahimbi3 күн бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu kwa kusema kweli
@theonestrenatus95422 күн бұрын
Mungu akubariki sana Cassian umenena vyema sana, sasa wahubiri wanaangalia pesa tu
@user-dt5wp5qo4n21 күн бұрын
Nabarkiwa kwa mafundisho yako mchungaji pascal,mungu akupe maisha marefu,
@alicejohn256722 күн бұрын
hello handsome😂 kabla hujasema zaidi kuhusu PT naomba pitia shuhuda za siku ya alhamisi😊 ubarikiwe mtumishi
@RyanElias122 күн бұрын
God Bless you my Sister……………. They dont understand what we learn Yet
@alicejohn256721 күн бұрын
@@RyanElias1bado hawajajua jmn natamani wapitie mafundisho ya PT mimi yamenibadilisha maisha yangu kwa asilimia zote kabisa maana yeye anafundisha mtu ujielewe na ujue kujiombea na kuweka imani katika kila unalofanya… watu wengi wanapenda mambo ya miujiza ya kuwekewa mikono lakini sisi watu wa mkuyuni tunaamini katika kufunga na kujiombea wenyewe katika kila tunalofanya
@neemacassian186919 күн бұрын
Tunaojua tunajua na haturudi nyuma wacha tuendelee kumtetea Pt wetu kwasababu tunajua vile ametutoa wapi kiimani
@japhetstanislaus795619 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 sisi wa mkuyuni wala atuna shida wenyewe
@japhetstanislaus795619 күн бұрын
Mimi najiuliza kama kumrekebisha pt kwanini awake picha ambayo haiendani na somo
@amariafumbo42335 күн бұрын
PT naikubari kazi yako... Najua ndoto yako nikuwaona hao wakina Diamond wanaokoka Yesu hakuja kwa watakatifu as your now pastor Tony
@mwesigyeglory2155 күн бұрын
Ni kweli Yesu alikuwa Mungu sisi bado ni miungu hatujawa na uwezo wa Mungu Tunasaidiwa na Mungu kupitia roho mtakatifu anaeishi ndani yetu
@user-tw9td1qy6l21 күн бұрын
Watching from Kenya,tuweni makini maana hatujui siku wala saa ya kuja kwake Yesu 🙏 tunaweza sema mmoja ni mkweli kuliko mwengine lakini siku moja yaja😂😂 hukumu itamkuta kila mtu..lets be wise 🙏
@GraceMuthoni-nz3fh20 күн бұрын
Apo umenena
@kelvinmbogela471820 күн бұрын
Kuwa makini haimaanishi kutosema kweli ya Kristo. Acha aseme kilichosahihi kwani yeye hayuko responsible kwako bali kwa anayemtumikia
@aminashayo926318 күн бұрын
Exactly, ajionae amesimama angalie asianguke, hakuna binadamu aliye mkamilifu mbele za Mungu, ni kwa neema tu na rehema zake ndipo anatuhesabia haki
@tulimwaipopo-eq3be22 күн бұрын
Baba Mungu akukumbuke hatuwezi kufanya ibada pamoja sio kwelivijana wetu walianza vizuri wanamaliza vibaya
@famsetv86617 күн бұрын
Nimependa hili hubiri pastor ❤️ endelea kuutafuta ukweli na njia ya kweli na uzima Dunia iko ukingoni sana Mimi ni msabato nakukaribisha kanisani ❤️❤️
@conciousclement215 күн бұрын
Wewe Umefanya Ukweli Gani Kuhusu MUNGU??
@vidaseline14 күн бұрын
mwbie pastor wako aache majungu
@peterchikumba8183Күн бұрын
Mkishaanza kupitisha namba za kuchangia huwa nakosa imani katika mahubiri yenu. Imani yangu inaniambia kwamba ukiinuka basi Bwana atakuinua nadhani Mungu huwaleta watu wake ukifanya injili ya kweli huna haja kuwaambia watu wachange ikiwa umeitwa kwa jina lake basi atakuletea watu katika neema yake.....
@dh-bioproducts820521 күн бұрын
Hukumu ni ya Bwana. Sisi yetu ni kuitangaza na kuifunua kweli ya Kristo Yesu
@lilyg213414 күн бұрын
HAKUNA ANAE HUKUMU, ILA NI VZURI KUKEMEANA MNAPOKOSEA, KUAMBIANA UKWELI...HATA PAULO ALIWAKEMEA WAJINGA...BIBLIA INATUAMBIA KBSA KUAMBIANA UKWELI WAEFESO 4:25
@DismasVenance6 күн бұрын
Hapa Ndo kuifunua kwel ya kristo ndugu
@EstherYoram23 күн бұрын
Nia yake iliyojificha inajitokeza taaaaaratibu ,na tabia ya mtu ijifichayo nikama spring ilijibana,kwahiyo kadiri muda ukisogea hujiachia.
@user-tt7cu2et1x23 күн бұрын
Cha MUNGU kinaonekana tu..at kma kitachelewa vilevile n ibilis kaz yake itaonekna
@magejay471517 күн бұрын
Asante Yesu
@YusuphLutamb23 күн бұрын
Mungu awabariki watumishi wake uyu mtumishi aombewe maana ana umati mkubwa sanaa unaomfata na wote natamani kufika mbinguni kwa kufuata mafundisho yake
@user-ki6pg8tq3w7 күн бұрын
Mungu azidi kukutunza mwana wa Mungu....wewe ni nuru ya watu....
@jovettedenise259123 күн бұрын
Mungu akupe uvumilivu na mwoyo mugumu manaa hiyi kazi ningumu sana❤️❤️❤️
@salima265823 күн бұрын
Pasta tonny alianza vizur lakini asa iv kabadilika
@priscillahpolepole842723 күн бұрын
Baada ya kuja ubert angel naona ndipo alipoangukia na anamwita baba yake wa Imani.
@annewanjiru81823 күн бұрын
True, mimi nilimskiza pastor Tony first time in 2020, na alikuwa mnyenyekevu sana, na alihubiri kwa spirit. But nikajikuta sina hamu tena kuskiza mahubiri kutoka kwake🇰🇪
@user-sb7lz9xp4v23 күн бұрын
Ameanzaa kulewa sifa ndio maana
@veeJesus22 күн бұрын
Acha inafiki ujawahi kumskiliza tony. Watu wa tony hawajawahi kuhama@@annewanjiru818
@BenMudy21 күн бұрын
Mbona wengine tunamuelewa na tunafata mafunzo yake mazuri na tunaacha mabaya yake cus hakuna aliyekamilika
@jelemiamkudiso466022 күн бұрын
Amen barikiwa Sana mtumishi wa Mungu. Ni sahihi kabisaaa Mungu atusaidie sana tupone
@elizabethnyaboke450213 күн бұрын
Wewe ambaye ulikua mwovu Wa kutemwa Ila Mungu kakusamehea Ivo Ivo Bali wasikia Kero PST Tony akiwaseduce people of the world to God. How do you win souls pastor? Wokovu umekujia waovu. Pst Tony anazidi kuendelea Ila Hilo hamtaki kusikia😂😂. Mungu awasamehe pia nyinyi.
@user-cw8zn2dn6m23 күн бұрын
Ww kweli ni mtumwa wa Mungu. Hakika ww ni nuru. Hakika. Paschal uinuliwe juu Mbinguni. Amen.
@adiliatharweikiza388514 күн бұрын
Nakuelewa sana pastor Mungu akubariki sana cna shaka na ww..... Cc tupungue Yesu aongezeke sio kutafuta kuwa na majina na kuushusha utukufu wa Mungu ctokuja kumwelewa mtumishi wa namna hyo..... Shetani ana mbinu nyingi sana za kupoteza watu tuwe makini tuache kushabikia watumishi tumshabikie Kristo.... Ukiona mtu anaenda kinyume na nenoa la Mungu pga chini
@Vee_money15 күн бұрын
Watumishi wa Mungu wamekosa hekima sasa, huu ni uropokaji na sio injili, sidhan kama huyu pasta anawasikilizaga mahubiri ya watumishi wengine kwa lengo jingine zaidi ya kutafuta kosa ili aje mitandaoni kukosoa, I love you pastor Tony Osborn, injili sio vita mpak tuwachukie watu wengine Kwa sababu eti wanaimba nyimbo za kidunia, alaf pia Mungu angekuwa na hasira kama huyu pasta basi tusingekuwepo maana duh
@subirawatson99353 күн бұрын
Alaf ni kama anahukum yy Nan?? Atuachie PT weetu
@andrewisaya338221 күн бұрын
Huyo Tona kapola hana adhi ya kuitwa pastor unakosea,huyo ni motivation speaker asi halibu watu kupitia neno la Mungu.
@breezy939819 күн бұрын
we em kasafishe kalio ndo uje apa ucoment fala ww
@loveandrew969422 күн бұрын
Kwani Tony ni pastor!mi namuona kama motivational speaker.....anachohubiri sio Habari za wokovu na kwenda mbinguni....
@BEATRICETEWA-on6qo20 күн бұрын
Mi pia nlijua hivo et
@lusekelomwasandube299220 күн бұрын
Mbona anajiita pastor 😂😂
@user-in4cu5wy9m5 күн бұрын
Muda mwingi anafundisha kupata hela na mambo mengine ya duniani which ni mambo ya motivational speakers yule sio pastor ni mpigaji ni vile tu kakamata akili za wengi hasa mabinti wadangaji malaya na wanaotaka kufanikiwa bila kufanya kazi
@salomemaleko68902 күн бұрын
Usihukumu usije ukahu kumiwa akuna alie mkamilifu.Tony kapola ni mtumishi wa Mungu tunaomwelewa sana Tupo Mungu kamtumia sana tukufanya tumjue Mungu sanaa
@GloryLubango-tv4hd20 күн бұрын
Hubirini injiri, msikae kukosoana, Nan kasema nn au kafanya nn, tunamuda mchache Yesu yukaribu kuja, na Kama mkristo mwenzako kakosea ungemfata binafsi na sio kutuhubiria sis kumuhusu, unapohubiri ww hubiri kweli ya MUNGU watu wamjue MUNGU na wajue kupambanua kila mmoja Kwa binafsi yake kupitia Roho mtakatifu, mfate umwambie Kwamba ndugu yangu Hapa unakosea
@edithmassawe562920 күн бұрын
Well done
@NemesiTemba18 күн бұрын
Kwenye bibilia walikosoana Acha na leo wakosoane
@conciousclement215 күн бұрын
@@NemesiTembaTupe Mstari Wa BIBLIA Usiongee Kwa Mihemuko
@lilyg213414 күн бұрын
ACHA WAAMBIWE UKWELI BANA!! NENO LA MUNGU LINAPOKUWA CORRUPTED ACHA WATU WAWAAMBIE UKWELI, 1Timotheo 5:20-22, waefeso 5:11
@lilyg213414 күн бұрын
@@conciousclement2 wE NDO UNA MIHEMKO NA PUNK LAKO KMA DEFAO,,,WAEFESO 4:28, WAEFESO 5:11, 1TIMOTHEO 5:20-22 KASOME HUKO..AFU ACHENI KUKARIRI, YAANI MTU ASIONYWE ANAPOKOSEA MPAKA MAANDIKO? LILE NI NENO LA MUNGU SIO PENAL CODE MFYUU!! YAANI TUNAHITAJI ANDIKO KUKEMEA UOVU? MZIKI WA KIDUNIA UNAENDA KUIMBA MAHALI PATAKATIFU KWA MUNGU? NYOKO KABSA
@user-tt7cu2et1x23 күн бұрын
Kanisaa wallah limevamiwaa😢😢😢😢😢 jamani tuwaombee ma Bishop.na mapastors hali n mbaya ndan ya church
@ANDREAJOHN-q2u20 күн бұрын
Wanaanza vzr wakipata fedha wanafanya yakwako. Kiburi Cha fedha hicho
@Maryc2G23 күн бұрын
God continue exposing the bad apples 🍎 to the body of Christ. Too much love of money is root of all evil. God you never fail to me by ashamed my anemias, thank lord for answering my preyer, mtawajua kwa matendo yao.yangu macho, asante kwa kuinua watu kuongea on my behalf. Inua wengine ili jina lako lisije likatukanywa.
@Maryc2G23 күн бұрын
God never fail me. Correction on my abave statement 😅😅😂😂😂 yangu macho na maombi👀👀👀👀
@DaudiKabogo11 күн бұрын
Ukweli utatuweka huru Mungu wa majeshi yote duniani na mbinguni epindi kabisa mchanganyo ilizi kiunoni rozari shingon tuwe makini tunaangamia kwa kukosa marifa 😢❤
@JohnMfundo23 күн бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi pascal casian
@ndojes71120 күн бұрын
Kukosoa sawa ila kusifia Aaaaaaaaaaah........ WATU TUMEOKOKA, TUMEACHA POMBE, SIGARA, Hutukuti Kidimbwi, hatukeshi COUNTER, saiv tunakesha LEADER'S CLUB kwa MUNGU hamuon hlo. MAN of GOD fundisha neno, acha kufundisha kupitia mifano ya huduma za watu 😢😢,. Ingia CHEMBA MUOMBEEEE KAM UNAHC ANAKOSEA,. Utakuw hauna tofauti na MAFARISAYO sas
@jenifferjasper136919 күн бұрын
Hakika
@JenniferAela19 күн бұрын
Hawaoni namna Pastor Tony anavyookoa watu wamekalia kujudge tu
@toytv8917 күн бұрын
Mi kiukweli pt kanitoa sehem ambapo mtu ata aniambie nn hawezi nibadilisha yaani mi ni wakuitwa tajiri mtoto nimeacha kwenda disco nimeacha pombe then mtu anakuambia nn
@ndojes71115 күн бұрын
@@toytv89 hawaon hayoooooo watu tumeacha hata Zinaaaaaa 😂😂😂
@ndojes71115 күн бұрын
@@JenniferAela watu tumeacha shisha, Bangi, kwenda kidimbwiiii, Kukesha Counter mpka asubuh. Yan mzazi unamwambia naend kweny mkesha wa MUNGU anasema ASANTE MUNGU KWAAAJILI YA HUYO PASTOR WENU. MUNGU AMUWEKEEEE
@AgreyMinga9 күн бұрын
Ukumu ni ya mungu Ila we unakeleka nini anapo sema mtumishi wa mungu endelea tu mtumishi , yesu yupo pamoja nawe
@joannekesa183523 күн бұрын
Amen amen ubarikiwe mtumishi wa MUNGU
@katarinaJ23 күн бұрын
Watumishi wa baali.....wamejaa kila kona 😢
@Bambagatz22 күн бұрын
Aisee sio mchezo, hayo ndo madhara ya kujichanganya na yale mataifa Mungu aliyokataza.
@clarissengeni888520 күн бұрын
Wamejaa kweli ila Pastor Tony sio mmoja wao.
@RamadhaniMusa-jg2cu23 күн бұрын
MAHUBIRI YAKIWASHINDA ,MSIHONE HAYA ;HACHENI . USIWATUMIKIYE MABWANA WAWILI ENYI WAGALATIYA ,...NANI KAWAROGA.😢😢😢😢😢😂😂😂😂 AMAKWELI MUNGU ANACHEKA.
@clarissengeni888520 күн бұрын
Kwa mwandiko huu Pastor Tony huwezi kumuelewa
@markjonathan726016 күн бұрын
Wewe huna tofauti na farisayo tuuu😁
@EdwardSamson-uf1ee11 күн бұрын
Hovyo kabisaaa. Badala ya kuhubiri wakovu unamuhubiri mchungaji mwenzio. Ani Kuna walevi ,wazinzi ,waongo una acha kuwahubiri unakuja kumuhubiri mchungaji mwenzako. Hovyo kabisa. Ani daaahh😢😢
@mahomamahoma77523 күн бұрын
Ukipata nafasi piamsikilize Mchungaji Abiudi na Ev Daniel kwa kweli utakuwa kiroho,utumishi wa kwelii ni kukemea dhambi,kuhubiri kuhusu toba na msamaha,Roho Mtakatifu na kumrudia Mungu.
@AzizalucasMbiduka23 күн бұрын
Mt watu Sasa wanafunguliwa kupitia mahubili yako
@PaulFidel-fi3sh22 күн бұрын
Ameni Ev Daniel. Is My Daddy Be Blessed
@esterpeter855622 күн бұрын
Daniel nani jmn nimfuatilie@@PaulFidel-fi3sh
@neemawasha808022 күн бұрын
Mungu akulinze mtumishi Paschal.Mungu alikuleta duniani na kukuacha hai kwa ajili ya nyakati hizi ili Uonyeshe njia bila kupepesa macho.
@zaramuneer325720 күн бұрын
Mungu tutie nguvu safari ya mbinguni ni Ngumu sana Mungu atusaidie tuanze na roho tumalize na roho😢,, niwengi walianza na roho ila sas wamejikuta wanamaliza na mwili😢
@user-ru6ct4rh3t23 күн бұрын
Hakika tunamtaka bwana na nguvu zake.
@zyonhopefaith369222 күн бұрын
Daah Ila mafundisho ya Pastor tonny.... Huwa nayapenda hunipa ujasili Sana...... Hasa kwenye Biashara Huwa najiamini na kuwa huru....
@veeJesus22 күн бұрын
Naomba nikushauri. Mfuate Pastor Tony usiwaskilize hawa mbweha wanaacha kuhubiri injili wanamuubiri Tony
@AnnaJackson-zi3xe22 күн бұрын
@@veeJesusyaniiii seriously mtu anaandaa sermon kumcritisize mwingine🙌🏾🙌🏾🙌🏾did God sent these men to judge other ni huzuni kwanini usiplay nafasi yako , ubiri injiliii eeeeeiiiiiiiiiiiiiii looking at this fyuuuuuu
@upendoryobafrancis9820 күн бұрын
Naona ameandika pastor Tonny ili apate viewers alafu atangaze kununua vyombo. Maana kwenye ufalme wa Mungu ni kuutangaza ufalme sio kumkandamiza mmoja ili wewe ujiinue Yesu hakufanya hivi.
@teklaagustino20 күн бұрын
Alafu muwe mnasikiliza kitu mwanzo mwisho ndio muwe mnalaumu mtu akikosea Kwan Ni vibaya kumkosoa
@kelvinmbogela471820 күн бұрын
@@veeJesuskuna spiritual understanding ukikosa huwezikujua kipi sahihi na kipi sio. Usiite watumishi mbweha ikiwa kiroho chako hakijakomaa nakushauri tu mpendwa
@sylvanolufunyo877911 күн бұрын
Ni leval yake hao ! Maana imeandikwa onya, karipia, kemea ! Yesu mwenyewe hakuwaita faraghani watu wa aina hiyo ! Bali alifundisha kwa ukali na kama mtu mwenye amri ! Ila katika agano la kale Yehu aliwachinja kabisa ! Hao ni watumishi wa Mungu wenye wivu na Mungu wao aliyehai !
@nonveroniquejohn12 күн бұрын
Mungu akupe maisha marefu mtumishi ✋✋
@EditingTrial0123 күн бұрын
Napenda unavyo pambania injili ya kweli
@user-vn7zu3jr8n16 күн бұрын
Nashukulu Mungu mm uyo pastor katony nilimuona muhun tu nilipomuona na mwamposa
@jonasmanirakizanzinga788219 күн бұрын
Wakristu wengi wamejificha katika msemo huu: Hukumu ni ya Bwana. Soma 1Wakorintho 5:12 _Maana yanihusu nini kuwahukumu wale walio nje? Ninyi hamwahukumu hao walio ndani? For what have I to do to judge them also that are without? do not ye judge them that are within? Ko kama huu Pasta Tony ni wa ndani tuna ruksa ya kumkanya na kumkemea kwa nguvu zote maana hao wa nje watajuana na Mungu. Jonas MANIRAKIZA mwinjilisti kutoka Bujumbura Burundi 🇧🇮
@anandepallangyo417718 күн бұрын
Mimi napita tuu....ila Mungu ndo anaujua ukweli maana watu wote sisi wa Mali yake....na YESU alikuja tafuta aliyepotea,....
@user-gr9wc7bc2m23 күн бұрын
Huyu pascal ameletwa na Mungu
@petronilahkedogo234723 күн бұрын
😂😂😂Aty mungu
@ginimbifamily399523 күн бұрын
😂😂😂😅😅😅😅
@hopekatemba786119 күн бұрын
Yesu aliufia ulimwengu mzima,Tony uzidi kwenda mbele
@jameschacha87906 күн бұрын
njaa mbaya sana maana tunashindwa kuwaza, watu wako wampokee vipi Mungu unakaa kupiga umbea pita hivi bwana
@UkweliTopic22 күн бұрын
Motivation preaches are very dangerous. Makini sana mwanadamu.