Tunamtaka makonda wetu ,na wote walio husika na kumpa sumu kama ni kweli wale woteee waliohusika wafee kwa Jina la Yesu viongozi wao watano walio wakubwa wafe kwa Jina la Yesu.
@user-cg3vf2bl6b3 минут бұрын
😢😢Mimi mkenya lakini KAZI ya makonda napenda Sana,mwanzo vile anafuatila kesi za wanyonge Mungu amsaidie
@OmarMohamed-bs2hf12 минут бұрын
Ewe molo wetu mutunzie uhaiwake kaka etu makonda iliatuwekee uwazi kwa hawa wasio julikana
@Elizakilisipinilikolika199624 минут бұрын
Mungu naomba umponyeshe makonda
@menyajoseph9729Сағат бұрын
OOoo kumbe mwalimu wawanasiasa jpm alitolewa hivi hivi sasa maama Samia tusaidie kutafuta watega sumu hao, wao mashetani washindwe may god bless Paul christian makonda poleni sana na Salam kutoka Jinja city Uganda
@mathewdaniel4341Сағат бұрын
Oi kiboko ya wachaw ww piga hera mzeee kikubwa ushapata mtaji
@emmanuelmayunga1518Сағат бұрын
Kwel kabisa Makonda ni next level mtenda haki namba moja kabisa nchi hii,,ananiuma sana aisee..harafu tujiulize mbn wanaotupenda na wanaotutendea sana haki wanyonge ndio wanaopata dhorba jpm katuliza na sasa faraja yetu iliyobakia nayo hadi sasa hatujui alipo..its so sad HAKIKA TUPO MWISHO WA DUNIA WATZ NA WAPENDA HAKI WOTE TUENDELEE KUMUOMBEA MAKONDA
@MargrethjonesmshanaСағат бұрын
MUNGUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU WA MBINGUNIIIII INUKAAAAAA KWA AJILI YA HUYU KIONGOZIIIII, JAMANIII MUINUE POPOTE ALIPO AWE SALAMAA,
@emmanuelmayunga1518Сағат бұрын
Mungu amuinue Makonda tena,watanzania tunakupenda,,binafsi niko na maumivu sana kusikia Makonda kapewa sumu😢
@WILLIAMDOMISIO2 сағат бұрын
Mungu ana watu wake hata leo, haijalishi kanisa lina moto gani leo bado ndio kanisa la kweli la Mungu, hubiri neno na sio kulichambua kanisa lilivyo, kazi tuliyopewa ni kuutangazia ulimwengu Habari njema za Ufalme wa Mungu....
@YvetteShabani2 сағат бұрын
Amena mama Mungu akusamehe sana ata mimi ninakusamehe
@FrankBella-qe4tj2 сағат бұрын
Mungu mponye makonda
@jumapiliissa48352 сағат бұрын
M/MUNGU msaidie apone arudi kuwajibika wewe ndio muweza wayote
@jalinachilala84652 сағат бұрын
Hafii ng'ooo na ubaya utawarudia wanawomtakia mabaya Allah awa laani laana tu llahi
@elizabethvenans36723 сағат бұрын
Tunavunja roho ya mauti kwake kwa jina la Yesu
@elizabethvenans36723 сағат бұрын
Mungu sikia maombi ya watu hawa tunaomba umponye kwa jina la Yesu
@user-ks9ui8td7y3 сағат бұрын
Amen
@user-fi1yg4qj1i3 сағат бұрын
Sahihi tunataka tujue makonda wetu yupo wapi😔😔
@johnmaganga443 сағат бұрын
Mungu Muumba Mbingu na nchi na vyote viujazavyo ulimwengu Tunaomba Umponye na uzidi kumlinda Rc Paul Christian Makonda. The Spirit of JPM is operating in him
@drona29tv3 сағат бұрын
Mtumishi kwanza mungu akulinde kwa ujasiri wako
@silasponeka17733 сағат бұрын
Amponye Kama Tundu lissu alivyomponya .
@user-yu2hh7kh8o3 сағат бұрын
duuuu ni balaa ssna
@fatmasalim82933 сағат бұрын
Mimi ni musalaam lakini nampenda sana makonda mungu amlinde na watu mahasidi Amen ❤❤❤
@fatmaallyabdul17323 сағат бұрын
Mungu amlinde huko aliko
@NoelyWilson3 сағат бұрын
Tx au😊😊😊
@user-nr2xh4ui2f3 сағат бұрын
Kabisa kaka
@greenermichael20573 сағат бұрын
Kabisa
@FabienMuteba-fv6nu3 сағат бұрын
Endeleya kupiga kelele kwa kwambiya makosa yao na nyumba ya yakobo (isaya 58:1)
@user-ks9ui8td7y3 сағат бұрын
Usiogope Mungu atakutia guvu utashinda 🙏🙏🙏
@JosephDamas3 сағат бұрын
Mungu hatuachie Makonda Hasituumize Guys
@geofreydamas16973 сағат бұрын
Kuabudu kunamleta Mungu karibu na nyimbo za kuabudu na tenzi za rohoni .But siyo hayo mapigo ya kidunia
@vagashappnecy48503 сағат бұрын
Damu ya Yesu ikamsafishe simu zote na awe mzima tena
@samwelndaki2013 сағат бұрын
Kweli mtumishi tag imebaki kujivunia tu kwakusema eti TAG nikanisa nzuri sana hcho. nikiburi kwani makanisa mengine ya kilokole nimabaya?
@finiaskagenda62583 сағат бұрын
MUNGU Baba, Muumba wa vitu vyote, mwenye uweza wote, unayejua yote, Ninakuomba umponye Paul Makonda ktk Jina la YESU. Kama kazi uliompa kamaliza basi mapenzi yako yatimizwe Amina.
@issotv17364 сағат бұрын
Kama anapitia changamoto kwasasa
@CarolineLwaho4 сағат бұрын
Mungu tunamkabidhi mikono mwako mtumishi wako Makonda apokee uponyaji,apone haraka jitihada zake bado zinahitakika Kwa watanzania
@geitandelwa2994 сағат бұрын
MUNGU AKULINDE MIWIGI NA MAPAMBO VISULUALI VIMEJAA HAKUNA KAHABA WALA MUINGIA KANISANI WOTE TUMEJITITIA NYIMBO TWAIMBA HAZINA UPAKO KISA DHAMBI OLE WETU
@IsakaKiyalo-s3v4 сағат бұрын
Amina mtumishi wa mungu
@geitandelwa2994 сағат бұрын
Sasa tutaimba nj na ss ni masengenyo tu na kuchukuana kujichubua uongo uzinzi na miwigi kibao na uzinzi nguo za ajabu aaaa hali ni mbaya mno kwetu wengi na MUNGU ATUHURUMIE SS NA WATOTO WETU
@AbdalahMtambuka-rh1dp4 сағат бұрын
Mimi namtukana mtu yeyote asie mkubali makonda
@konderaeriasi62514 сағат бұрын
Mmmhhh ngoja nipite siongei chochote mm
@user-th4yr2jn1t4 сағат бұрын
Jamani yani mtu akiwa mkweli anachukiwa hivi .mungu tenda muujiza kwa makonda
@SamwelilaitayokLaitayok4 сағат бұрын
Serikali ya Tanzania inafeli sana hawataki watu wenye maono ya mbali wanataka mambumbu wasiojielewa ndo inanyima inchi maendeleo ila mungu anawaona mtakuja kujutia
@ManenoSimkoko-df9yj4 сағат бұрын
Hauta kufa Bali utaishi utayasimulia matendo makuu ya mungu , mungu akusimamie mh rc makonda Mimi binafsi napenda sana kazi zako
@catherineamani76714 сағат бұрын
da mwenyezi amponye jamani
@Frolian-j9o4 сағат бұрын
Hii nchi ni ya hovyo kama mama samia kwer ni kiongozi Bora aliangarie hili na Ili tupate suruhisho inabid katiba yetu na Sheria zetu tunazo zitumia Kwa nchi yetu Tanzania zinabid kubadilishwa Ili Viongozi wanafanya maovu ziwabane
@tinershayo61914 сағат бұрын
Tanzania mmezidi kuuwa watu wazuri wanaochapa kazi kwa nini na wewe usichaps kazi upendwe mmebaki kuzurumu wananchi
@raskise74934 сағат бұрын
Ni Sawa kabisa tunajua Mh Makonda ni kiongozi anayegusa mioyo ya watu, tunamuombea Mungu amlinde,,,,,,,,, ila usipitishe tangazo kusema uchangiwe kwa hudumu, kuongea na kutupa taarifa kwa mb za buku2 unanata tusaport nini hapo,,, kwenye vitu vyenye mantiki tutachangia ila msijisikie tu kusema kila kitu ni mchango, vingine fanyeni kwa moyo
@thanksrjhood950816 минут бұрын
Kutoa ni moyo, sio dhambi kuomba kuchangiwa. Na sio lazima kumchangia. Ni wengi wana_habari_ka kupia yy.