Yan kundi la Original Comedy ndio wachekeshaji Bora Tz😂😂
@Chekesha6 күн бұрын
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
@salumidrissa88584 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣Utu uzima dawa, mtabaki kua malegend daima aisee. . . .You guys are still the best😂😂😂💪💪
@__B.O.B7 күн бұрын
Vitakuja vikundi vya comedy Tanzania lakini hawa jamaa kubali kataa hawana mpinzani..
@alengodfrey6576 күн бұрын
Dah! Ebhana mmetisha sana aisee😂🤣🤣
@bluekenya48257 күн бұрын
Kazi safi sana ya wakongwe. Natumai siku moja kundi litarudia kama kitambo.
@Chekesha6 күн бұрын
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
@godfreymasondaabel19046 күн бұрын
Mmetisha sanaa😂
@lunangabenjamin31217 күн бұрын
😂😂😂 hawa washenzi wawili wakikutana wananiumizaga kichwa eti nilisha jaribu mpaka kutowa rushwa ili viwezekane.kati ya nyumba yake na nyumba yangu ipi ilitakiwa kuwa numba moja.sasa ni sheriya ndo ifatwe au ujenzi uliopendeza.
@user-uf7oh5eu4v7 күн бұрын
Kiparaaa bhanaaaa😂😂yeye anaitikia tu
@josephgatunzi16707 күн бұрын
Pumbavu sana aisee😂😂😂
@alfredcharles80297 күн бұрын
Mimi wa pili naomba like zenu wadau
@BonnyMwajombe-iu7hb7 күн бұрын
Pokea hii kaiuze ,ikuinue maisha
@EricaBizuru-jp9by7 күн бұрын
Jaribu kuji-pliz😂😂😂
@user-uf7oh5eu4v7 күн бұрын
Kazi nzuri 👊
@anthonylister7546 күн бұрын
Mimi nitawakung'uta wote kama mwenyekiti 😂
@mustafarajabu40057 күн бұрын
Mm sio mshamba ingawa wakwanza na like zenu sitaki😂
@BonnyMwajombe-iu7hb7 күн бұрын
Jamaa mafundi
@Chekesha6 күн бұрын
chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
@georgeslupopo62155 күн бұрын
Hela ni hela
@simonhussein48487 күн бұрын
Dulla makabila ulimdhihaki Haji, je ungemfanyia hayo Zai?.
@raphaelmwamakimbula96424 күн бұрын
🎉
@barakaharrison86777 күн бұрын
Laki na nusu kutoka milioni 😅😅😅😅😅😅 jaribuni kujipriziii😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂
@danielandrew98924 күн бұрын
Ila Hawa tu kiboko nyie
@simas.a10037 күн бұрын
Daa!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂yan hawaviumbe.
@gilbertkalanda93547 күн бұрын
Yaani huu ndio uhalisia wa Serikali za mitaa hapo kwenye hela