CHEKI JINSI PROF KABUDI ALIVYOTOA HISTORIA YA MKOA WA SINGIDA, KISWAHILI CHAKE CHAWAKUNA WENGI

  Рет қаралды 42,988

BONGO NEWS TV

BONGO NEWS TV

9 ай бұрын

#sports #entertainment #BONGONEWSTV Usisahau ku-subscribe channel hii kwa taarifa nyingi zaidi na pia tembelea mitandao yetu ya kijamii Instagram @bongonewstz twitter @bongonewstz na Facebook @bongonewstz

Пікірлер: 69
@gosbertrwezahura3645
@gosbertrwezahura3645 9 ай бұрын
Asante sana Prof. Kabudi. Unaielewa historia ya taifa letu vizuri sana. Kiswahili chako ni cha kuigwa na kila Mtanzania hasa wale wenye ulemavu wa kuchanganya Kiswahili na Kiingereza wakidhani ndo wataonekana wasomi. Unakipa heshima Kiswahili chetu.
@stevenobunde9345
@stevenobunde9345 9 ай бұрын
Prof. Kabudi you are the best!! Asante kutukumbusha Watanzania tulikotoka na tulipo sasa!!!
@user-cx7uz3ri6v
@user-cx7uz3ri6v 9 ай бұрын
Asante sana Prof. Kabudi Sikuwahi kufahamu mambo mengi kuhusu mkoa wa Singida
@peterkanza2207
@peterkanza2207 9 ай бұрын
Mzee Kabudi,sauti ya mamlaka,safi sana.
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 Ай бұрын
Vizuri sana Mzee.🙏🙏🙏🙏 Kumbe ni ndugu yetu👍
@justinebosire9804
@justinebosire9804 9 ай бұрын
From Kenya i love listening ..to him fluency..
@KelvinMtavangu-ow8yo
@KelvinMtavangu-ow8yo 9 ай бұрын
UHUYU BABA NI HAZINA NA RASILIMALI WATU KUBWA SANA KWA TAIFA LETU TANZANIA. TUNAKUOMBEA AFYA NJEMA PROF P. KABUDI. HAPA KAZI TU NA KAZI IENDELEE.
@jumanneshigela2900
@jumanneshigela2900 9 ай бұрын
Prof. Well done siku nitakutafuta niombe historia hii bora kabisa Mungu akihifadhi na kila lililo ovu na akupe maisha marefu ili tusome mengi toka kwako binafsi saluti kubwa kwako
@rajaburajabu12509
@rajaburajabu12509 2 ай бұрын
Historia nzuri sana kabudi Najivunia sana
@thetopafricatours9355
@thetopafricatours9355 9 ай бұрын
Asante Profesa na salamu kwa wanasingida. Mheshimiwa kabudi bado nakuomba uongee na Mheshimiwa Raisi kuhusu Mkataba wa Bandari Kwani Mheshimiwa Rasi alituambia wewe ni Mtu wa Mikataba. pamoja na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambao kwa kweli unahitaji marekebisho makubwa kwani wazanzibar kwa asilimia kubwa wanasema tanganyika inawanyonya nami sielewi. kabisa Tangyika inawanyojnyaje zanzibar. Mimi Naona tuwe na Nchi Moja tu. na serikali tatu hiyo inahitaji kura ya maoni pande zote Mambo haya naona ni vyema yaongelewe na ninyi wazee sasa hivi. na sio kesho.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 9 ай бұрын
Kama huoni Zanzibar inadhulumiwa vipi na Tanganyika basi acha Muungano ubakie hivi hivi lakini sasa mamlaka yote iliyonayo Tanganyika kwa Tanzania sasa ipewe Zanzibar na Tanganyika iwe na Serikali yake kama ilivyo leo Zanzibar. Wazanzibar HATUKUBALI hata siku moja iwe nchi moja, kimsingi hatuutaki tena Muungano kwa sababu Watanganyika wengi hamuujuwi Muungano kwa sababu hauwaumizi, Wazanzibar wote wanatafautiana kusiasa lakini kwenye kudhulumiwa na Muungano wote wanaelewa. Nakutajia mambo machache Wazanzibar hawahawahi kuwa na hata Naibu Spika, Naibu Gavana, kuna taasisi kadhaa za Muungano kama vile NECTA, TCRA, ATCL nk Wazanzibar hawapati hata ujumbe wa bodi achilia mbali management. Kwenye Katiba ibara ya 133 - 144 imezungumzia masuala ya fedha ikiwemo kuanzishwa akaunti ya pamoja, mikopo na misaada, CAG nk mbona ibara hiyo hadi inadaiwa Katiba Mpya HAZIJATEKELEZWA. Fedha ndio uchumi mkiizuwia hapo Zanzibar ndio mumeiua kabisa. Ndio tunasema Katiba mpya tuangalie na tuujadili upya Muungano kwanza tuone uendelee au uvunjwe. Wazanzibar HATUTAKUBALI Katiba Mpya ambayo ni Mkataba mpya bila kuelewana vizuri kwenye hii. Yanayoidhulumu Zanzibar hayatokani na Katiba iliyopo ni kutokutekelezwa tu, kuna assurance gani kwamba Katiba Mpya ITATEKELEZWA 100%?
@bijaporaelias4280
@bijaporaelias4280 9 ай бұрын
Asante mheshimiwa kwa kutupa elimu kuhusu umhimu wa mkoa singida
@user-mc3du2rz8l
@user-mc3du2rz8l 9 ай бұрын
Huzee wako unafaida kwetu vijana pa kujifunza mengi ya kimaarifa Na kizalendo big up prf kabudi long life💐
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 9 ай бұрын
Sana Mashaallah
@foundationforcommunityhope7327
@foundationforcommunityhope7327 9 ай бұрын
Big up Prof Kabudi, popote unapokwenda na kutoa hotuba ...unakuwa super hii haina kupinga... proud of Tanzania...uko vizuri Sana.
@pepchallanga3626
@pepchallanga3626 9 ай бұрын
the only Prof we have in Tanzania
@shadowkasi6881
@shadowkasi6881 9 ай бұрын
Mimi sinashaka pro kabudi Namkubali sana.
@bonnymartin3348
@bonnymartin3348 9 ай бұрын
Asante kwa kuitaja shule yangu ya Mwenge Sekondari sauti ya Mamlaka hiyo.
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke 9 ай бұрын
Umesoma sana lakini umetuagusha kisa cheyo simamiya ulicho someya
@obedlwinga9194
@obedlwinga9194 9 ай бұрын
Cheyo kafanya mini tens hapo? Au cheo
@rwekazamugasha6448
@rwekazamugasha6448 9 ай бұрын
Prof Kabudi apewe majukwaa ili aendelee kutuo historia sahihi na uasilia wa Kiswahili. Keep it up, Prof Kabudi
@user-yd1pc8uy8x
@user-yd1pc8uy8x 9 ай бұрын
Kwa Nini mama kamtoa w ya mambo ya ndani? Niliuzika Sana.
@user-yd1pc8uy8x
@user-yd1pc8uy8x 9 ай бұрын
Samahani mambo ya nje
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 9 ай бұрын
SAUTI YENYE MATUMAIN SAUTI UKISIKIA UJUE KUNA KITU HAPO ..HONGERA MH.KABUDI
@braviuscosta1430
@braviuscosta1430 9 ай бұрын
Huyu ndo angekuwa rais nampenda sana
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 9 ай бұрын
Haswaaaa uongozi wa urais unahitaji mtu mwenye akili
@ObediKinkusha-gq8fw
@ObediKinkusha-gq8fw 9 ай бұрын
Asante kabudi uko vizuri tunakuhitaji
@AhmedHassan-vl5zf
@AhmedHassan-vl5zf 3 ай бұрын
Singidani NI jina la kimangati ua barbagi pia hujakosea Sana watindiga NI WA barbagi WA mbugani na wanyaturu hawakutokea ethopia wametokea Somalia wao na Watusi waliondoa wakati moja
@alexanderdustan8872
@alexanderdustan8872 9 ай бұрын
Huyu ndio professor
@user-ur4rx1lr6l
@user-ur4rx1lr6l 9 ай бұрын
Huyu niwaukweli sio wengine wanao ota kama uyoga
@Sisopotashiumz
@Sisopotashiumz 8 ай бұрын
🎉🎉🎉
@karimambosanga4290
@karimambosanga4290 9 ай бұрын
Unashangaa dhahabu kama hii haithaminiwi kisa simwenzetu,ila Mungu akuongoze pr Kabudi
@meshackmwankusye2908
@meshackmwankusye2908 9 ай бұрын
Amina Amina sema amen ukombozi wa kweli unakuja
@MartinLaban
@MartinLaban 9 ай бұрын
Jembe jembe jembe sauti haijawahi badirika safi saaana mama akitoka kura yangu nakupa roho saaaafi.
@mwanaidiomari2676
@mwanaidiomari2676 9 ай бұрын
It's very good
@yahayaally8416
@yahayaally8416 9 ай бұрын
Baba Pinga kazi nakubari ww mze
@shd12m55
@shd12m55 9 ай бұрын
Hk kichwa ni balaa,,RIP MAGUFULI
@AugustKisaka-qy7kl
@AugustKisaka-qy7kl 8 ай бұрын
Professional person God helps you for everything
@sashawambura
@sashawambura 9 ай бұрын
He is always unique...
@user-yd1pc8uy8x
@user-yd1pc8uy8x 9 ай бұрын
Good man
@mariamusaulo4429
@mariamusaulo4429 9 ай бұрын
Mungu akutunze ww Baba
@husseinmkanga7794
@husseinmkanga7794 9 ай бұрын
Amesha ramba asali uzalendo umemshinda sasa anafukuzia vyeo. Tuliambiwa yeye ndio mzee wa mikataba na matumda yake tumeyaona bandari wanakabidhiwa Dubai na watanzania wanafukuzwa kwenye ardhi ya nchi yao wapewe wageni hongera Prof.
@joycemalima2790
@joycemalima2790 9 ай бұрын
Hongera sana
@christopherchisuligwe512
@christopherchisuligwe512 9 ай бұрын
Real profro
@josephkafumu3006
@josephkafumu3006 14 күн бұрын
Hiii ndo sauti ya kutunzwa sasa
@coolruler6820
@coolruler6820 9 ай бұрын
Nabii hanaga heshima kwao,,,,,watu kama hawa ingepaswa kuonekana wamekalia ngazi za juu za uongozi wa nchi ili tuyafaidi madini yaliyomo vichwani mwao,,,,ila ndivyo hivyo
@mangashajunior242
@mangashajunior242 9 ай бұрын
Vipi yale makonteina ya makinikia na mikataba yake imeishia wapi...
@johnmsambuzi9094
@johnmsambuzi9094 9 ай бұрын
Lengo la historia hiyo kwa mda huu nini,tunaomba kuelewa,na anayesomewa historia hiyo lengo afanye nini
@WestonMbuba-ff4jk
@WestonMbuba-ff4jk 9 ай бұрын
Nyerere alikuwa na akili sana
@humbemusa3480
@humbemusa3480 9 ай бұрын
Mbojo ni hatariii saana kwa wakati huo
@mdoeonesmo6780
@mdoeonesmo6780 9 ай бұрын
🔥
@msafiriatanasiovicent209
@msafiriatanasiovicent209 9 ай бұрын
Kabun we ni baraa mkuu mpe uwazir
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 9 ай бұрын
huyu akiongea hatulii macho
@jairoshamisi3266
@jairoshamisi3266 9 ай бұрын
Wana manyoni singida hoyeee
@kianda973
@kianda973 9 ай бұрын
Noah zetu ziko wapi?
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke 9 ай бұрын
Kwanini ulijitukana mwenyewe nakukumbusha uliokotwa wapi? Do you still remember
@alexanderdustan8872
@alexanderdustan8872 9 ай бұрын
Akili yako ndio inaona hivo
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 9 ай бұрын
Endelea kukumbuka historia na roho yako ya chuki...huwezi mfikia huyu mwamba kwa lolote !!!
@amanikudeli5297
@amanikudeli5297 9 ай бұрын
Mwamba huyu
@humbemusa3480
@humbemusa3480 9 ай бұрын
Nimeipanda bureee hii historia ya Singida kutoka kwa Kabudi umetishaaaaaaaaaa ungesema na kinyaturu kidogo tukusikie. Maua yako tunakupatia 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-cs7xw9gl2p
@user-cs7xw9gl2p 9 ай бұрын
Vee umnyaturu mbuyani
@augustinempule7385
@augustinempule7385 8 ай бұрын
Mnyampaa
@godiusjilaoneka3484
@godiusjilaoneka3484 9 ай бұрын
9
@user-or8ow5vr7m
@user-or8ow5vr7m 9 ай бұрын
Acha upumbavu wewe nani kakuuliza
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 9 ай бұрын
Kuwa na heshima kwa viongozi wako
@coolruler6820
@coolruler6820 9 ай бұрын
Si lazima kumsikiliza,,,kalale
@jumanneshigela2900
@jumanneshigela2900 9 ай бұрын
Prof. Well done siku nitakutafuta niombe historia hii bora kabisa Mungu akihifadhi na kila lililo ovu na akupe maisha marefu ili tusome mengi toka kwako binafsi saluti kubwa kwako
@user-mc3du2rz8l
@user-mc3du2rz8l 9 ай бұрын
Huzee wako unafaida kwetu vijana pa kujifunza mengi ya kimaarifa Na kizalendo big up prf kabudi long life💐
@ybmtaakwamtaaofficial3415
@ybmtaakwamtaaofficial3415 8 ай бұрын
🎉🎉
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 8 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 34 МЛН
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 30 МЛН
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 21 МЛН
SINGIDA: HII NDIO NYUMBA ALIYOLALA MWL. NYERERE AKIPIGANIA UHURU...
9:47
Palamagamba Kabudi: A united Kenya means a united East Africa
24:11
KTN News Kenya
Рет қаралды 1,2 МЛН
Waziri KABUDI Amvunja Mbavu MAGUFULI - "NYERERE Asingekuwa MTANZANIA"
17:33
WALINZI WAWILI WAUAWA KIKATILI SINGIDA
7:25
Wasafi Media
Рет қаралды 4,8 М.
Prof Kabudi awarudisha wabunge shuleni kwa muda
25:42
Mwananchi Digital
Рет қаралды 294 М.
Knee Slide Fails 😂
0:26
J2G
Рет қаралды 38 МЛН
Почему ГОНОЧНЫЕ ТРЕКИ бывают ЛИПКИЕ?
0:23
ЛАЙФСТОРИ
Рет қаралды 634 М.
this picture 🥶 #cr7 #edit #football #trollface
0:22
FOAR7
Рет қаралды 9 МЛН
Учу Стефа крутить 🏀
0:33
Kirill Fire Freestyle Basketball
Рет қаралды 951 М.
When You Get Injured in The Final🤯🔥
0:19
Best Football Shorts
Рет қаралды 19 МЛН
Lamine Yamal & Williams 😍
0:18
Fearron
Рет қаралды 12 МЛН