#sports #entertainment #BONGONEWSTV Usisahau ku-subscribe channel hii kwa taarifa nyingi zaidi na pia tembelea mitandao yetu ya kijamii Instagram @bongonewstz twitter @bongonewstz na Facebook @bongonewstz
Пікірлер: 69
@gosbertrwezahura36459 ай бұрын
Asante sana Prof. Kabudi. Unaielewa historia ya taifa letu vizuri sana. Kiswahili chako ni cha kuigwa na kila Mtanzania hasa wale wenye ulemavu wa kuchanganya Kiswahili na Kiingereza wakidhani ndo wataonekana wasomi. Unakipa heshima Kiswahili chetu.
@stevenobunde93459 ай бұрын
Prof. Kabudi you are the best!! Asante kutukumbusha Watanzania tulikotoka na tulipo sasa!!!
@user-cx7uz3ri6v9 ай бұрын
Asante sana Prof. Kabudi Sikuwahi kufahamu mambo mengi kuhusu mkoa wa Singida
@peterkanza22079 ай бұрын
Mzee Kabudi,sauti ya mamlaka,safi sana.
@fredyjeremia7074Ай бұрын
Vizuri sana Mzee.🙏🙏🙏🙏 Kumbe ni ndugu yetu👍
@justinebosire98049 ай бұрын
From Kenya i love listening ..to him fluency..
@KelvinMtavangu-ow8yo9 ай бұрын
UHUYU BABA NI HAZINA NA RASILIMALI WATU KUBWA SANA KWA TAIFA LETU TANZANIA. TUNAKUOMBEA AFYA NJEMA PROF P. KABUDI. HAPA KAZI TU NA KAZI IENDELEE.
@jumanneshigela29009 ай бұрын
Prof. Well done siku nitakutafuta niombe historia hii bora kabisa Mungu akihifadhi na kila lililo ovu na akupe maisha marefu ili tusome mengi toka kwako binafsi saluti kubwa kwako
@rajaburajabu125092 ай бұрын
Historia nzuri sana kabudi Najivunia sana
@thetopafricatours93559 ай бұрын
Asante Profesa na salamu kwa wanasingida. Mheshimiwa kabudi bado nakuomba uongee na Mheshimiwa Raisi kuhusu Mkataba wa Bandari Kwani Mheshimiwa Rasi alituambia wewe ni Mtu wa Mikataba. pamoja na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambao kwa kweli unahitaji marekebisho makubwa kwani wazanzibar kwa asilimia kubwa wanasema tanganyika inawanyonya nami sielewi. kabisa Tangyika inawanyojnyaje zanzibar. Mimi Naona tuwe na Nchi Moja tu. na serikali tatu hiyo inahitaji kura ya maoni pande zote Mambo haya naona ni vyema yaongelewe na ninyi wazee sasa hivi. na sio kesho.
@hajihassan54339 ай бұрын
Kama huoni Zanzibar inadhulumiwa vipi na Tanganyika basi acha Muungano ubakie hivi hivi lakini sasa mamlaka yote iliyonayo Tanganyika kwa Tanzania sasa ipewe Zanzibar na Tanganyika iwe na Serikali yake kama ilivyo leo Zanzibar. Wazanzibar HATUKUBALI hata siku moja iwe nchi moja, kimsingi hatuutaki tena Muungano kwa sababu Watanganyika wengi hamuujuwi Muungano kwa sababu hauwaumizi, Wazanzibar wote wanatafautiana kusiasa lakini kwenye kudhulumiwa na Muungano wote wanaelewa. Nakutajia mambo machache Wazanzibar hawahawahi kuwa na hata Naibu Spika, Naibu Gavana, kuna taasisi kadhaa za Muungano kama vile NECTA, TCRA, ATCL nk Wazanzibar hawapati hata ujumbe wa bodi achilia mbali management. Kwenye Katiba ibara ya 133 - 144 imezungumzia masuala ya fedha ikiwemo kuanzishwa akaunti ya pamoja, mikopo na misaada, CAG nk mbona ibara hiyo hadi inadaiwa Katiba Mpya HAZIJATEKELEZWA. Fedha ndio uchumi mkiizuwia hapo Zanzibar ndio mumeiua kabisa. Ndio tunasema Katiba mpya tuangalie na tuujadili upya Muungano kwanza tuone uendelee au uvunjwe. Wazanzibar HATUTAKUBALI Katiba Mpya ambayo ni Mkataba mpya bila kuelewana vizuri kwenye hii. Yanayoidhulumu Zanzibar hayatokani na Katiba iliyopo ni kutokutekelezwa tu, kuna assurance gani kwamba Katiba Mpya ITATEKELEZWA 100%?
@bijaporaelias42809 ай бұрын
Asante mheshimiwa kwa kutupa elimu kuhusu umhimu wa mkoa singida
@user-mc3du2rz8l9 ай бұрын
Huzee wako unafaida kwetu vijana pa kujifunza mengi ya kimaarifa Na kizalendo big up prf kabudi long life💐
@mohammadoman89639 ай бұрын
Sana Mashaallah
@foundationforcommunityhope73279 ай бұрын
Big up Prof Kabudi, popote unapokwenda na kutoa hotuba ...unakuwa super hii haina kupinga... proud of Tanzania...uko vizuri Sana.
@pepchallanga36269 ай бұрын
the only Prof we have in Tanzania
@shadowkasi68819 ай бұрын
Mimi sinashaka pro kabudi Namkubali sana.
@bonnymartin33489 ай бұрын
Asante kwa kuitaja shule yangu ya Mwenge Sekondari sauti ya Mamlaka hiyo.
@ChristianMkumbo-ix2ke9 ай бұрын
Umesoma sana lakini umetuagusha kisa cheyo simamiya ulicho someya
@obedlwinga91949 ай бұрын
Cheyo kafanya mini tens hapo? Au cheo
@rwekazamugasha64489 ай бұрын
Prof Kabudi apewe majukwaa ili aendelee kutuo historia sahihi na uasilia wa Kiswahili. Keep it up, Prof Kabudi
@user-yd1pc8uy8x9 ай бұрын
Kwa Nini mama kamtoa w ya mambo ya ndani? Niliuzika Sana.
@user-yd1pc8uy8x9 ай бұрын
Samahani mambo ya nje
@daudimaniseli7599 ай бұрын
SAUTI YENYE MATUMAIN SAUTI UKISIKIA UJUE KUNA KITU HAPO ..HONGERA MH.KABUDI
@braviuscosta14309 ай бұрын
Huyu ndo angekuwa rais nampenda sana
@mohammadoman89639 ай бұрын
Haswaaaa uongozi wa urais unahitaji mtu mwenye akili
@ObediKinkusha-gq8fw9 ай бұрын
Asante kabudi uko vizuri tunakuhitaji
@AhmedHassan-vl5zf3 ай бұрын
Singidani NI jina la kimangati ua barbagi pia hujakosea Sana watindiga NI WA barbagi WA mbugani na wanyaturu hawakutokea ethopia wametokea Somalia wao na Watusi waliondoa wakati moja
@alexanderdustan88729 ай бұрын
Huyu ndio professor
@user-ur4rx1lr6l9 ай бұрын
Huyu niwaukweli sio wengine wanao ota kama uyoga
@Sisopotashiumz8 ай бұрын
🎉🎉🎉
@karimambosanga42909 ай бұрын
Unashangaa dhahabu kama hii haithaminiwi kisa simwenzetu,ila Mungu akuongoze pr Kabudi
@meshackmwankusye29089 ай бұрын
Amina Amina sema amen ukombozi wa kweli unakuja
@MartinLaban9 ай бұрын
Jembe jembe jembe sauti haijawahi badirika safi saaana mama akitoka kura yangu nakupa roho saaaafi.
@mwanaidiomari26769 ай бұрын
It's very good
@yahayaally84169 ай бұрын
Baba Pinga kazi nakubari ww mze
@shd12m559 ай бұрын
Hk kichwa ni balaa,,RIP MAGUFULI
@AugustKisaka-qy7kl8 ай бұрын
Professional person God helps you for everything
@sashawambura9 ай бұрын
He is always unique...
@user-yd1pc8uy8x9 ай бұрын
Good man
@mariamusaulo44299 ай бұрын
Mungu akutunze ww Baba
@husseinmkanga77949 ай бұрын
Amesha ramba asali uzalendo umemshinda sasa anafukuzia vyeo. Tuliambiwa yeye ndio mzee wa mikataba na matumda yake tumeyaona bandari wanakabidhiwa Dubai na watanzania wanafukuzwa kwenye ardhi ya nchi yao wapewe wageni hongera Prof.
@joycemalima27909 ай бұрын
Hongera sana
@christopherchisuligwe5129 ай бұрын
Real profro
@josephkafumu300614 күн бұрын
Hiii ndo sauti ya kutunzwa sasa
@coolruler68209 ай бұрын
Nabii hanaga heshima kwao,,,,,watu kama hawa ingepaswa kuonekana wamekalia ngazi za juu za uongozi wa nchi ili tuyafaidi madini yaliyomo vichwani mwao,,,,ila ndivyo hivyo
@mangashajunior2429 ай бұрын
Vipi yale makonteina ya makinikia na mikataba yake imeishia wapi...
@johnmsambuzi90949 ай бұрын
Lengo la historia hiyo kwa mda huu nini,tunaomba kuelewa,na anayesomewa historia hiyo lengo afanye nini
@WestonMbuba-ff4jk9 ай бұрын
Nyerere alikuwa na akili sana
@humbemusa34809 ай бұрын
Mbojo ni hatariii saana kwa wakati huo
@mdoeonesmo67809 ай бұрын
🔥
@msafiriatanasiovicent2099 ай бұрын
Kabun we ni baraa mkuu mpe uwazir
@sabihaibrahim1439 ай бұрын
huyu akiongea hatulii macho
@jairoshamisi32669 ай бұрын
Wana manyoni singida hoyeee
@kianda9739 ай бұрын
Noah zetu ziko wapi?
@ChristianMkumbo-ix2ke9 ай бұрын
Kwanini ulijitukana mwenyewe nakukumbusha uliokotwa wapi? Do you still remember
@alexanderdustan88729 ай бұрын
Akili yako ndio inaona hivo
@mamboshepea88889 ай бұрын
Endelea kukumbuka historia na roho yako ya chuki...huwezi mfikia huyu mwamba kwa lolote !!!
@amanikudeli52979 ай бұрын
Mwamba huyu
@humbemusa34809 ай бұрын
Nimeipanda bureee hii historia ya Singida kutoka kwa Kabudi umetishaaaaaaaaaa ungesema na kinyaturu kidogo tukusikie. Maua yako tunakupatia 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-cs7xw9gl2p9 ай бұрын
Vee umnyaturu mbuyani
@augustinempule73858 ай бұрын
Mnyampaa
@godiusjilaoneka34849 ай бұрын
9
@user-or8ow5vr7m9 ай бұрын
Acha upumbavu wewe nani kakuuliza
@mohammadoman89639 ай бұрын
Kuwa na heshima kwa viongozi wako
@coolruler68209 ай бұрын
Si lazima kumsikiliza,,,kalale
@jumanneshigela29009 ай бұрын
Prof. Well done siku nitakutafuta niombe historia hii bora kabisa Mungu akihifadhi na kila lililo ovu na akupe maisha marefu ili tusome mengi toka kwako binafsi saluti kubwa kwako
@user-mc3du2rz8l9 ай бұрын
Huzee wako unafaida kwetu vijana pa kujifunza mengi ya kimaarifa Na kizalendo big up prf kabudi long life💐